ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

HUYU ASKOFU NI BALAA, BILA KIFICHO AMPA ZA USO RAIS SAMIA SAKATA LA BANDARI, AWATAKA WATUBU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 ก.ค. 2023
  • #TANZANIA: Huyu #Askofu ni balaa, bila kificho ampa za uso #Rais #Samia #sakata la #bandari

ความคิดเห็น • 538

  • @EmanueliSimbwe-ru5fu
    @EmanueliSimbwe-ru5fu 11 หลายเดือนก่อน +12

    Hapo sawa Baba Askofu Mungu akupe kutokunyamaza

  • @danieljonkey-vh8fc
    @danieljonkey-vh8fc ปีที่แล้ว +18

    Mungu awaone vingoz ambao wanalikana Taifa hili kama Ni kweli nchi yetu inauzwa Mungu hatanyamaza katika hili

  • @olivaerasto6669
    @olivaerasto6669 ปีที่แล้ว +13

    Mungu ni WA haki.kitafahamika kimoja wapo.Mungu atawaumbua

    • @antonywilliama2868
      @antonywilliama2868 ปีที่แล้ว

      ni kweli maana wanalazimishamkataba mbovu na hao wanao tumwa kusumbua viongozi wa dini walamba asali hawajali mali adili za taifa

  • @user-xf7pr6mj4n
    @user-xf7pr6mj4n ปีที่แล้ว +9

    Ubarikiwe Sana baba, umesimama Kama Yohana na kumwakilisha Mungu wa haki. Bwana Yesu akutangulie.

  • @godlovengonde6636
    @godlovengonde6636 11 หลายเดือนก่อน +6

    Ahsante Baba, hakika umetumwa na Mungu. Umenena vema sana

  • @filorammbaga5710
    @filorammbaga5710 ปีที่แล้ว +15

    Ni kweli mbowe alikuwa wa kwanza kutadhaharisha watanzania tumeliwa na huu mkataba .Mbowe Mungu akubariki sana.!

  • @TedyMatiku-tr8qw
    @TedyMatiku-tr8qw 11 หลายเดือนก่อน +6

    Umeongea vizuri Sana mzee kama mchungaji na kama mzee waheshma mshauli tu mama asiruhusu bandari zetu kwenda

  • @benedictoshadrack2573
    @benedictoshadrack2573 11 หลายเดือนก่อน +6

    Hivi kumbe ukihoji mkataba huo wa bandari inakuwa kosa tena duuh ama kweli nchi hii haki nikizungumukuti Mungu tutetee na utusaidie pia

    • @laborapetro5117
      @laborapetro5117 10 หลายเดือนก่อน

      Sio kweli huyu mzee muongo hakuna mkataba wa bandari kunabmakubaliano ya Dubai na Tanzania.. maana yake mkataba wa bandari hakuna na hawa wote wanatumika na wale wanufaika wa bandari

  • @ahimidiwerishya8523
    @ahimidiwerishya8523 ปีที่แล้ว +5

    Amina mtu wa Mungu. Mwenye masikio na asikie sababu inauma sana kweli sikumtegemea rais kufanya maamuzi haya

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 ปีที่แล้ว +13

    #KATIBA MPYA #OKOA BANDARI ZETU. Wao ccm kama serikali wakikutana na viongozi wa dini,ni halali lakini wananchi kupitia chadema wakiwaomba watumishi kukutana nao ni haramu,ni tishio kwa Amani ya nchi!!? Ajabu kabisa! Wakipitisha mkataba bila kuwashirikisha wananchi,ni halali,lakini wananchi wakihoji ni kuchochea vurugu, kupinga maendeleo, ni kushirikiana na mabeberu kuipinga serikali ili kuvuruga Amani ya nchi!!? Hii ndio lugha ya wachache katika serikali ya ccm kwa wananchi tuliowapa dhamana! Isaya33:1,7-10 Tuwalaani kwa sauti kuu, wasikie,na Mungu atusikie vilio vyetu.

  • @aloycegasper5188
    @aloycegasper5188 ปีที่แล้ว +10

    Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema na Neema wajalie viongozi wetu walete umoja na amani wawezi kutuongoza vema ktk hili la bandari lisituumize kwa maslahi ya wachache

  • @tatoorashedi1787
    @tatoorashedi1787 11 หลายเดือนก่อน +3

    ❤❤❤❤❤❤❤ Aminaa kiongozi nyinyi ndio mboni zetuwaTZ

  • @NeemaJulius-qo2xz
    @NeemaJulius-qo2xz ปีที่แล้ว +12

    Mungu wetu tunakuomba utusimamie Kwa ajili ya hili

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 11 หลายเดือนก่อน +2

    Amina Baba Ubarikiwe umenena bila hata kuogopa

  • @kaundavyoseena6514
    @kaundavyoseena6514 ปีที่แล้ว +6

    Msema kweli huyu Mtu. Viongozi wengine waoga yumkini hata wa dini!

  • @MaikoMkwawa-fk9tc
    @MaikoMkwawa-fk9tc 2 หลายเดือนก่อน

    Wewe baba ni mshumaha kwetu mungu akupe maisha marefu

  • @josephambrose2215
    @josephambrose2215 ปีที่แล้ว +11

    Safi sana Askofu, wachane ukweli Samia na ccm yake

  • @user-ot6hn5ye8b
    @user-ot6hn5ye8b 11 หลายเดือนก่อน +4

    Jamani kiukweli hii nchi tusikae kuogapana, sasa mnatupa elimu ya nini Jamani. God bless our country give us peaceful mind.

  • @johnsonchonja4032
    @johnsonchonja4032 11 หลายเดือนก่อน +3

    Hawa ndo watumishi wa mungu tunao wahitaji! Mbona kwenye mikutano ya ccm waga wanakwenda? Baadhi ya viongozi wa dini siku izi wamekuwa wanafiki sana na wachumia tumbo tu

  • @iddymuro
    @iddymuro ปีที่แล้ว +10

    Huo ndiyo utumishi bora wenye kumpendeza Mungu badala ya kumpendeza binadamu atakayekufa kama wengine

    • @user-hb1iw9uj3x
      @user-hb1iw9uj3x 11 หลายเดือนก่อน

      Hongera,watanzania tuwe wamoja

  • @aronligazio7403
    @aronligazio7403 ปีที่แล้ว +5

    Hili ni taifa nzuri saana, Kuna mahala tunapenda....

  • @rahimajuma5306
    @rahimajuma5306 11 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu ni mwema Mungu akubariki sana

    • @user-hb1iw9uj3x
      @user-hb1iw9uj3x 11 หลายเดือนก่อน

      Nafrah kaka umeweka udini kando

  • @ponsianaprotas8990
    @ponsianaprotas8990 11 หลายเดือนก่อน +3

    Ameeeeen! Ubarikiwe sana.

  • @joyceathanasi8435
    @joyceathanasi8435 ปีที่แล้ว +10

    Watanzania tuendelee kupiga kelele mpaka kieleweke,Mungu awabariki na kuwalinda.

  • @abrahamkalinga4291
    @abrahamkalinga4291 ปีที่แล้ว +5

    Viongozi wetu ni wezi sana Tanzania

    • @omarkabogo1580
      @omarkabogo1580 ปีที่แล้ว

      Acheni kupotoswa nyinyii, kuenimakini

    • @user-oz1pp1ck2m
      @user-oz1pp1ck2m 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@omarkabogo1580kupotosha kwani hujauma tugawane kama nawe umetafuna Asali

  • @RachealMndambi-kv9sd
    @RachealMndambi-kv9sd ปีที่แล้ว +3

    Eee Mungu Tunusuru,Tusaidie,Ingilia kati.Tupe hekma na busara za kuchanganua mambo.Aameni

  • @renatusideogratas-qr6en
    @renatusideogratas-qr6en 11 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu you pamoja na wasema kweli watanzania atujalala bunge limepowa Sana ata miradi mingi atujui atima yake.

  • @aloycegasper5188
    @aloycegasper5188 ปีที่แล้ว +4

    Amina❤

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933 หลายเดือนก่อน

    Baba askofu ubarikiwe wew umeitwa kwa jina la yesu kristu Bwana wetu, barkiwa sana,

  • @izamahmasaki4795
    @izamahmasaki4795 ปีที่แล้ว +5

    semeni Saba watu wa mungu, tuko nanyi pamoja

  • @JeremiahMugeta
    @JeremiahMugeta 11 หลายเดือนก่อน +2

    Jeremia mugeta kutoka mara tz@@@😢😢😢
    Asante sana baba askofu mungu akulinde,maana umewambia haki na kwel kuhusu bandari yetu maana ndio injini ya nchi,,,na wazo langu Kama sio katiba ya nchi huyo rais alikuwa ni WA kunyonga,

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 ปีที่แล้ว +7

    Sasa basi hii DP World tuwape Zanzibar,Zanzibar wanaitaka leo DP World,sababu itakuwa Dubai ya Afrika,lakini basi, msije mkafanya choyo na husuda,

    • @elikarimugayewi3105
      @elikarimugayewi3105 ปีที่แล้ว

      Zanzibar ni Tanzania

    • @sabraham5308
      @sabraham5308 ปีที่แล้ว

      @@elikarimugayewi3105 sasa ni sawa Zanzibar ni sehemu ya Tanzania,na bandari Tanganyika ina mamlaka yake na Zanzibari ina mamlaka yake y bandari,kama hamuwataki DP world wapeni Zanzibar,msimsingizie Mama yetu Samia mambo mabaya,msitunge mambo ya uwongo,umesema kuna genge,hilo sio kweli,maaskofu wenzako wamesema,mama anaiuza nchi,leteni ushahidi,wacha ujanja ujanja,una Jambo lakini utalitapika

  • @trillhappybeautypoint9874
    @trillhappybeautypoint9874 ปีที่แล้ว +4

    Lord of mercy 😢 tunakuhitaji🙏

  • @panadomadola3064
    @panadomadola3064 11 หลายเดือนก่อน +3

    Ongera baba kwa maneno ya kujenga

  • @meryfrank5272
    @meryfrank5272 11 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana askof hiyo ni mzr, kitu vzr so serikalini tu ata vitu vyako binafsi huwezi kuachia kiholela jamn ,

  • @MaikoMkwawa-fk9tc
    @MaikoMkwawa-fk9tc 2 หลายเดือนก่อน

    Kwakweli kizuri akidumu mtangulizeni mungu sana katika ukweli wenu nakujitoa mbele yetu na mbele ya mungu

  • @annasumaye3633
    @annasumaye3633 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akulinde mtumishi umenena vema

  • @PauloMajaba
    @PauloMajaba 3 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana baba umeongea kama baba ujapendelea chadema wala ccm unaimarisha amani na uhuru

  • @emeresianamichael5163
    @emeresianamichael5163 11 หลายเดือนก่อน +2

    Baba mungu akufunike asante kutuwakilisha Sauti yetu

  • @bullekisimikwe3852
    @bullekisimikwe3852 ปีที่แล้ว +11

    Safi sana Askofu, ikibidi tufunge na kuomba walau siku 3 ili liwakute jambo zito mpaka mkataba ufutwe

    • @lameckluyungu6737
      @lameckluyungu6737 ปีที่แล้ว +2

      Kwa nini hawana uchungu na nchi yetu, hawakumbuki waarabu walitufanyia nini wakati wa ukoloni, rushwa imewapiga upofu Tunataka bandari zetu zibaki.

    • @user-py1cb2sw7i
      @user-py1cb2sw7i 11 หลายเดือนก่อน

      Kwel na tumbo zao zinatufanya tutaumia wote

  • @johnpeter9051
    @johnpeter9051 ปีที่แล้ว +4

    Sawa kabisa

  • @user-ev7td1wf9p
    @user-ev7td1wf9p 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu atusaidie ktk ili

  • @mahubirikarismatikikatolik8281
    @mahubirikarismatikikatolik8281 11 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana Baba Askofu, mwenye masikio na alisikie neno hili.

  • @evaristokitinusa7251
    @evaristokitinusa7251 11 หลายเดือนก่อน +1

    Ubarikiwa mtu wa mungu

  • @evaristokitinusa7251
    @evaristokitinusa7251 11 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana Asikofu

  • @user-qz5ch8ke4c
    @user-qz5ch8ke4c 11 หลายเดือนก่อน +1

    Selekali yeti mungu aitazame kwajicho la husuda tunateseka sana wenyehali ya chini

  • @aliothman7930
    @aliothman7930 ปีที่แล้ว +4

    Wapenda bure mmekwisha

  • @husseinwaziri2796
    @husseinwaziri2796 ปีที่แล้ว +21

    The contract should be read to the public so that everyone to know what is inside.

  • @user-nt4lp9dy6i
    @user-nt4lp9dy6i ปีที่แล้ว +5

    Tuokolee inchi huyu rais hafai kutongoza kwa mwana mke ni kiumbe dhaifuu

  • @chomasongidion6047
    @chomasongidion6047 11 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa naanza kujifunza Jambo naninakumbuka, maneno ya magufuli kuwa mtanikumbuka kwa mazuri ai kwa mabaya,sasa tunamkumbuka , mungu mrehemu ,yaani sunia hii basi tu,tuliombee Taifa letu

  • @josephat66
    @josephat66 ปีที่แล้ว +5

    Hayo mapya na mazuri sana.. jmn nchi hii ni watu wote wenye elimu, masikini, kipofu,kirema,bubu,mtoto hivyo muliopewa mamlaka na makundi yote haya ebu jitafakarini kwa hali hii mtafanya kirema atembee na bubu aongee.. Dah namkumbuka JPM

  • @paulojohn9608
    @paulojohn9608 11 หลายเดือนก่อน +2

    safi sana askof

  • @RamadhaniAndambike-oq5on
    @RamadhaniAndambike-oq5on 11 หลายเดือนก่อน +1

    Nchi itakua salama two sisi tumuombe mungu na inatakiwa watapigwa namungu hao wote nawatake wasitake wataelewa two mungu awabariki viongozi wetu wa dini kwakupiania haki ya nchi hii

    • @user-hb1iw9uj3x
      @user-hb1iw9uj3x 11 หลายเดือนก่อน

      Hongera udin mbali na maslah ya nchi

  • @ShaibuMniwa-gy8do
    @ShaibuMniwa-gy8do ปีที่แล้ว +8

    Mama mimi ni muisilamu
    Ila mama mh SAMIA
    Chukua haya Maneno
    Yafanyie kazi haya
    Mimi nimemwelewa
    HanaBay yako xaiiii
    Iiii imeogea kasikazini
    Bado kuxali

    • @choggysly3541
      @choggysly3541 ปีที่แล้ว

      Nenda wewe

    • @daudilfrans996
      @daudilfrans996 ปีที่แล้ว

      Kwa uislam was mama Samia umefanya nini

    • @upendomwamwaja7874
      @upendomwamwaja7874 11 หลายเดือนก่อน

      Mungu akutetee mungu akutunze baba ,,mama nakuomba fuata ushauri huu

  • @chloecallie3619
    @chloecallie3619 ปีที่แล้ว +4

    Genge la wahuni achia nchi yetu kwa Jina la Yesu

  • @feristadaudi6599
    @feristadaudi6599 11 หลายเดือนก่อน +2

    Mchugaji tumwombe sana mungu tuko nyakati za mwisho paspo mungu hatujui twedako

  • @lucymarawa864
    @lucymarawa864 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu amekutoa mtumshi Asante

  • @ThomasErro-tx9td
    @ThomasErro-tx9td 10 หลายเดือนก่อน

    Huyu ni mchungajia au ni mwekiti wa chadema, amekoza maadili za kazi zake

  • @user-uz5fl1nu8y
    @user-uz5fl1nu8y ปีที่แล้ว +2

    Tatizo lao wanajikubali sana hao walio pita bila kupingwe kuna siku mungu atatulipia kilio chetu

  • @amosmganyizi7544
    @amosmganyizi7544 ปีที่แล้ว +6

    Uko vizur askofu

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 11 หลายเดือนก่อน +1

    Nchi imekuwa ya kidicteter mungu na ashuke kilio tunachokililia mungu ukaonekane

  • @eliakisinga5360
    @eliakisinga5360 ปีที่แล้ว +8

    Wanauza moyo wa nchi

    • @agathalyamuya9358
      @agathalyamuya9358 11 หลายเดือนก่อน

      Nililia sana nikamwambia mungu amsha watu waseme leo nalala kwa Amani nimefurahi Mungu ametenda

  • @Generosembaule-zb5en
    @Generosembaule-zb5en 7 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulinde Askofu

  • @emeresianamichael5163
    @emeresianamichael5163 11 หลายเดือนก่อน +2

    Tanzania niya mungu

  • @izamahmasaki4795
    @izamahmasaki4795 ปีที่แล้ว +2

    Hilo genge la majasusi was magharibi, wanalinda uchimi wa nchi zao zinazopigwa na urusi. Mama ana kazi Moja tu ...........

  • @user-cu1mf1nt9n
    @user-cu1mf1nt9n ปีที่แล้ว +3

    Asante sana askofu kwa kusema ukweli bila kumung'unya mungu akusimamie katika hilo

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933 หลายเดือนก่อน

    Tuna hitaji watu wa Mungu zaidi kama ww wakufundisha watu,

  • @user-xy2vw1jx7u
    @user-xy2vw1jx7u 5 หลายเดือนก่อน

    Nimeamua salama na family yangu nimetafuta mikono imepeleka kinywani nashkru Mungu..,, maana nchi hii hakuna mwanasiasa wala mwanadini naona wote waigizaji tu.

  • @tumainiezekia5873
    @tumainiezekia5873 11 หลายเดือนก่อน +1

    Tumepat mtu sahihi wakutusemea jmn Mungu tusaidie lipite

  • @user-oq1jg8oi9d
    @user-oq1jg8oi9d ปีที่แล้ว +6

    Tunaomba viongozi wetu wanapokosolewa wasiwe wakali na kutoa vitisho maana yake ni kwamba hatuko huru na basi elimu isiwepo kwa watu basi wawe wote wajinga katika taifa fanya kazi ya watu viongozi na wasikilize watanzani wanataka nini na nini hawataki hapo haki itakuwapo

    • @faridhassan6834
      @faridhassan6834 11 หลายเดือนก่อน +1

      Uko sawa bro,mimi niko zambia ila kila kona wazambia wanaokuja Tanzania sasa hivi wanasema Tanzania ni kama new York,na kubwa wanaongelea watu walivyokuwa wakarimu na usalama,maadui hawapendi hii watatumia kila njia tukuharibia ni wakati wa kushikana

  • @user-li6iw4tl5s
    @user-li6iw4tl5s ปีที่แล้ว +7

    Kwa kweli inakatisha tamaa juu ya nchi yetu ya tanzania

    • @shabanbaheza4711
      @shabanbaheza4711 11 หลายเดือนก่อน

      Nyie makafir ni mbwaaa ngurue inawadhuru

    • @MACHOYATAI-jk6fu
      @MACHOYATAI-jk6fu 11 หลายเดือนก่อน

      @@shabanbaheza4711 Sasa nyie waisilamu kutwa kutukana ndivyo mnavyofundishwa misiktini?

  • @tumainpeter7534
    @tumainpeter7534 ปีที่แล้ว +1

    Amina

  • @user-rn5zx2lk3x
    @user-rn5zx2lk3x 9 หลายเดือนก่อน

    Mungu anawaona

  • @kavulatikivurunzi
    @kavulatikivurunzi 11 หลายเดือนก่อน +1

    Nikweli tunakupenda sana

  • @JustineSasu-cg6pp
    @JustineSasu-cg6pp 11 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa hili la Bandari hekima lazima itumike kwa kudumidha amani na usalama wa nchi, Serekari, na vyama pinzani sharti vikae pamoja na vilimalize jambo hill.

  • @willykyando5647
    @willykyando5647 ปีที่แล้ว +4

    Tuwape zanzibar huomkataba.kama mali zote nizamuungano

  • @japhethcharles5791
    @japhethcharles5791 11 หลายเดือนก่อน +1

    Kunawatu wanazani watanzania ni wapumbavu ,nawaonea huruma sana maana Kila dhambi italipwa hapa hapa duniani

  • @user-yd6bg9ys5s
    @user-yd6bg9ys5s 11 หลายเดือนก่อน +1

    Semaaaa

  • @user-ep2cm5xo3k
    @user-ep2cm5xo3k ปีที่แล้ว +1

    Askofu ilo genge linalomkosesha Rais wetu,mnapaswa viongoz wa din kulikabis ilo genge kwa Mungu Alie hai aliangamize kabisa lisiwepo katika Nchi hii ya Tanzania.

  • @WitnessEmanuel-rb6bu
    @WitnessEmanuel-rb6bu 11 หลายเดือนก่อน +1

    Sema baba

  • @geofreyjonas4901
    @geofreyjonas4901 ปีที่แล้ว +8

    Well said our bishop, tupambanieni waumini wenu Bishop 😢

  • @user-lc4gn8fq9w
    @user-lc4gn8fq9w 10 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubaliki sana askofu

  • @jayzeem14
    @jayzeem14 ปีที่แล้ว

    Mnasifia vitu hsta pale watu wanapikuwa wamepotoka kwenye tafsiri! Mungu atusaidie

  • @KassimSalim-fi1me
    @KassimSalim-fi1me ปีที่แล้ว +2

    Mikataba mingi imefungwa na wewe ulikuwepo ukakaa kimy leo bandari unakuja juu kisa udini tu hakuna jengine

    • @user-le2zm1yj9o
      @user-le2zm1yj9o 11 หลายเดือนก่อน

      Brother Hilo halivumiliki

  • @mjumbewaaganoduniani
    @mjumbewaaganoduniani 11 หลายเดือนก่อน +2

    Ni NENO la wakati ndilo litaiponya SI Tanzania tu bali dunia nzima, naomba mnipe nafasi ya kufundisha katika media zenu .

  • @joycemaluchila1463
    @joycemaluchila1463 ปีที่แล้ว +1

    Kweli kabisa

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle 11 หลายเดือนก่อน +1

    Huo ndiyo ukweli baba

  • @user-py8lz3us3m
    @user-py8lz3us3m 11 หลายเดือนก่อน +1

    Ubalikiwe mtumishi

  • @salumbinabed6906
    @salumbinabed6906 ปีที่แล้ว +2

    Yes muheshi miwa Samia tunakuombo waznzibari tupe sisi hiyo dp world

    • @nefertitibelinda1146
      @nefertitibelinda1146 ปีที่แล้ว

      Rais Mwinyi siyo mjinga ...HAWEZI KUUKUBALI MKATABA KAMA HUU.

  • @daudilfrans996
    @daudilfrans996 ปีที่แล้ว +1

    shida bandari yetu imeingiana na siasa na udini tufate dini . tuache siasa alafu chadema Kuna ukabila na udini mwalimu Nyerere. alikaza udini mama yupo vizuri tuache udini

  • @KassimSalim-fi1me
    @KassimSalim-fi1me ปีที่แล้ว

    { ۞ یَـٰۤأَیُّهَا ٱلَّذِینَ ءَامَنُوۤا۟ إِنَّ كَثِیرࣰا مِّنَ ٱلۡأَحۡبَارِ وَٱلرُّهۡبَانِ لَیَأۡكُلُونَ أَمۡوَ ٰ⁠لَ ٱلنَّاسِ بِٱلۡبَـٰطِلِ وَیَصُدُّونَ عَن سَبِیلِ ٱللَّهِۗ وَٱلَّذِینَ یَكۡنِزُونَ ٱلذَّهَبَ وَٱلۡفِضَّةَ وَلَا یُنفِقُونَهَا فِی سَبِیلِ ٱللَّهِ فَبَشِّرۡهُم بِعَذَابٍ أَلِیمࣲ }
    [Surah At-Tawbah: 34]

  • @happyfaniabatromeo8010
    @happyfaniabatromeo8010 11 หลายเดือนก่อน

    😄😄😄Ukiona Mtumishi wa Mungu anajihusisha na siasa ujue mbele za MUNGU hasomekiii huwezi kumtumikia MUNGU na siasa 🇹🇿🇹🇿
    Wanaoongozwa na ROHO wa MUNGU hao ndio wana wa MUNGU

  • @NDEWARA
    @NDEWARA ปีที่แล้ว +6

    Ni hatari kubwa sana viongozi wa dini kuhutubia kwenye majukwaa ya siasa😢😢

    • @ibrahimgwasma1223
      @ibrahimgwasma1223 ปีที่แล้ว +1

      Maana ya hiyo kitu ni kwamba kuna viongozi wa dini na viongozi wanaotumia kivuli cha dini kujipigania

    • @GilesKhamis
      @GilesKhamis 11 หลายเดือนก่อน

      Nchi imevamiwa

  • @user-le2zm1yj9o
    @user-le2zm1yj9o 11 หลายเดือนก่อน +1

    Hakika rais Samia umeikosea Sana nchi hiii inakubid utubu

  • @benardsamizi-qo4yp
    @benardsamizi-qo4yp ปีที่แล้ว +1

    DAMU YA YESU UKUFUNIKE MTUMISHI WA MUNGU . SIMAMIA HAKI NA MUNGU WA HAKI ATAKUWA UPANDE WETU.

  • @geeva99
    @geeva99 ปีที่แล้ว +2

    Jamaa kajisau akataka kushusha spirit 😂😂😂

  • @user-dp1ch6vv6z
    @user-dp1ch6vv6z 7 หลายเดือนก่อน

    Kuna wala nchi,wenye nchi na wana nchi, ila ipo siku kama hakita chimbika basi kitaumana.

  • @KassimSalim-fi1me
    @KassimSalim-fi1me ปีที่แล้ว

    Haya matusi yote mnamtukana mama hamjui majukumu yenu makanisa yamewashinda kazi kula sadaka za watu tu

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 11 หลายเดือนก่อน +1

    viongozi wa dini msirare drc viongozi wa dini hasa wa katoliki ndio warisababisha kupata katiba mpya pia tz mnaweza kutuokoa kutoka kwa mkoloni mweusi ccm

  • @ondieckotoyo1143
    @ondieckotoyo1143 ปีที่แล้ว +1

    Ifike wakati watu waoji haki za muungano inakuwaje mzazibari aruhusiwe kumiki ardhi bara lakini mtanganyika hawarusiwi kumiliki ardhi Zanzibar muungano wa haina gani isiyo na haki katika usawa huu ni ukiukwaji wa katiba ya nchi inaongelea usawa

    • @abdulrahmanmwadini5925
      @abdulrahmanmwadini5925 ปีที่แล้ว

      Shida ni huo uislam tu,kama kweli huo sio mkutano wa dini huyo yesu unamuimba hapo wa nini,wee payuka tu lakini muwakilishi wako kashaupitisha