❤❤❤ Mungu awalinde sana, tupo nyuma yenu ss kama Wananchi na hatutakubaliana na ujinga wa Serikali na Wabunge unaoendelea. Kitaeleweka tu, tumechoka sana Watanganyika. Na hatuwataki hao waarabu na mkataba wao.
Mimitu niwashauli watanzania wenzangu ikibidi maandamano yafanyike mpaka bungeni mlale pale ukumbini kuanzia mlangoni mpaka pale mkataba huu wa kuiuza nchi utapa futiliwa mbari.
Hawapewi limit ya muda kukamilisha majukumu mpaka sasa bwawa la mwalimu Nyerere mpaka sasa kimya na saizi hatujawahi sikia fisadi katumbuliwa na ulinzi wa tanzanite hatuambiwi
SEMA kina mdude wanapashwa kujaribu kuwa realistic hapa ukiangalia comment majina ya kiislam wanampinga maana yake hakubaliki upande huo kwahiyo wapatikane watu wanaokubalika na watu wote tofaut na hivyo hayupo serious
Henry Ndosi najua wewe ni Kada ila jifunze kutetea ndugu zako na rasilimali zako kwa ajili kizazi chetu, acha kujitoa ufahamu kwa ajili ya ushabiki mandazi.
Unaipa serikali siku 30, hio sheria umeitoa kifungu gani, huna uhalali wa kuwalazimisha watu kuandamana, kama mmechoka kuishi tanzania ya amani, jeshi la polisi litakusurutisheni mahala sahihi mnapostahili
Kama una uboya kama huu hata wazee kama nyerere enzi hizo wasingeweza kupata uhuru wa bara la Africa wakina mandela na mugabe kwa mtu kama wewe unafaa tu uolewe.Mwanaume hawi muoga yupo tayari kwa lolote hata kufa ili mradi alinde ama aokoe familia yake.Sasa mtu kama wewe mke wako aseme anaishi na mwanamke mwenzake ama na mume wake mwanaume ukitishwa kidogo unasema yote.
Ungekaa tu kimya maana unajidhalilisha . Maana hata Kama ni uchawa wewe unanuka kunguni . Yaani watu wanatetea nchi wewe unakejeli. Duh Kuna watu wanajiita watu wazima lakini ukipima akili zao zinafanana na mtoto wa miaka miwili
SISI Wengine ambako hatuna passport tutaweka bando tu siku hiyo tushuhudieh tu mtafanyaje maana hatuwezi fata ujinga kama huo Mimi mtoto wa kitanzannia Nina maisha dunia sana alafu nijipngezee matatizoh mengine ili wewe ushike uongozi si ujinga uooooh😂😂
Wananchi waanzie misikitini na makanisani maana huko pekee ndo kuna matumani ya kweli, Tamko la Shura ya maimamu nimelisoma na Tamko la wakatoliki nimelisoma wote wametoa hoja zinazofanana, BINAFSI YANGU NITAANDAMANA KWA AMANI SITAKO WATOTO WANGU WAWE WATUMWA SABABU YA FISI WACHACHE WENYE TAMAA!
Mm ninashauri hawa watu serikali sio wa kuwaacha wanapotosha watanzania.Hawa watu wakamatwe na wafungwe milele.Wanaitukana serikali bila sababu.Hawa kwenye nchi hii ni akina nani?Wanaipaje serikali maneno makali?Wakaandamene na baba zao na wake zao,na watoto wao.Anamtukana hadi mkuu wa Jeshi la polis?Anamtukana hadi rais? Serikali ipo wapi?
Hawa viongozi wajinga sana nafikiri ni sababu hawapewi masharti ya kufanya kazi Ebu katiba mpya ikitokea basi Kila kiongizi apewe mkakati na muda maalum akishindwa ajihudhuru
❤❤❤ Mungu awalinde sana, tupo nyuma yenu ss kama Wananchi na hatutakubaliana na ujinga wa Serikali na Wabunge unaoendelea. Kitaeleweka tu, tumechoka sana Watanganyika. Na hatuwataki hao waarabu na mkataba wao.
Hongera sana Mungu asimame ajitetee sana kwa ajili ya kunusuru raslimali za nchi
Kaka shikamoo nanyanyua mikono saluti kwako mimi nipopamoja nawewe huyumama hatumtaki
Mkatapa mbovu hafai hata kuifungia chapati.
👏👏👏 kamanda Mdude 💪
Sijawahi kuona watu wapuuzi kama hawa CCM yani utafikiri wameolewa na waarabu
Mungu akupe maisha marefu mdude
Ila huyu mwamba ni noma 🙌🏾 mixer 🤣🤣🤣 dah!! kweli kuna watu wa spirit na mambo yao
Mungu akulinde daima mtetezi wa rasilimali za Taifa letu.
Cha kushangaza huwezi kuona vyombo vya habar nchini wakirusha kwenye taarifa zao za habar 😃😃🙌😃
Vyombo vya habari havioneshi machizi
MDUDE NYAGALI MWANAHARAKATI WA KWELI❤❤
Thanks alot to help us
Hawa mashetani wamekula pesa za waraabu wamejitoa ufahamu dawa ni nguvu za umma
Kweli ndg
Big up Mdude, docta slaha,Mwabukusi💪💪💪
Mimitu niwashauli watanzania wenzangu ikibidi maandamano yafanyike mpaka bungeni mlale pale ukumbini kuanzia mlangoni mpaka pale mkataba huu wa kuiuza nchi utapa futiliwa mbari.
Mimi nitakwenda kwenye maandamano , sitaki watoto wangu wawe WATUMWA sababu ya FISI wachache waliovaa miili ya kibinadamu! NA ITAKUWA HIVYO
Safi sana 🎉🎉🎉
Safi sana mdude unanivutia sana na kunipa hamasa ya kutetea nchi yangu
Mungu akubariki
Angekuwapo mwl Nyerere Labda tungeelewa,pf shivji ,warioba, watu bwana ,tuleteeni mafuta tujiajiri sisi,
Safi sana
Kweli tuko pamoja
Mdude Yuko vizur mashalla
Tuko pamojaaaaaaaaa
Uko sawa
Samia awache kuangalia kenya kukiwaka ataarishe kuzima moto kwake mwenyewe
Hawapewi limit ya muda kukamilisha majukumu mpaka sasa bwawa la mwalimu Nyerere mpaka sasa kimya na saizi hatujawahi sikia fisadi katumbuliwa na ulinzi wa tanzanite hatuambiwi
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
✌
Mdude apewe maua yake mapema
Hee mwenyezi mungu tusaidie nchi yetu iwe sarama.viongozi wa dini simama na awa watu ili kunusulu nchi yetu
Mm nimo mungu atutangulie ktk hili
Tim will tell soon
Kaka nakukubali sana
Yaan waambieeeee
Tupo pamoja
Sana sana kitenge
Mimi nitaungana na wananchi wa Dodoma tunaelekea kwenye jengo la bunge
SEMA kina mdude wanapashwa kujaribu kuwa realistic hapa ukiangalia comment majina ya kiislam wanampinga maana yake hakubaliki upande huo kwahiyo wapatikane watu wanaokubalika na watu wote tofaut na hivyo hayupo serious
Awajui mtu unapo mkosea mungu na ukumu ya mungu ni ipi .sasa wasubili waone kama mungu yupo au ayupo
Sasa madamano lini jamani
Tupo pamoja mkuu
Vijana wamelala 4 for 4 wakija kuamka tumekwisha
Nina Imani kwamba Kama bunge likishindwaa rais na mahakama kuona umuhimu wa malalamiko yetu.
bas Maandamano ni lazima.
Tunataka katiba mpya
Mimi nawasubili
Ccm ni majizi yalio shindikana wanaongoza Nnchi kimazoea awajui kizazi kipya kimesoma wajiandae kwa mapinduzi walafi wote wa ccm
Mbwaa uyu yupo
Wewe nimzalendo lazima watanzania tukuunge mkono
Mnabahati nyinyi Huuyu mama amewahurumia. Kama ni Mimi mungeishia jela.
WWE huna akili pinga kwa hoja sio nguvu
Ungekuwa na gereza la kuwaweka watz wote? Fikiri kama mtu hai!!!
Tukose pamoja Mdude
Watz wamerara 4to4
Makanisa tena?
Xanax mdude
😂😂😂😂😂😢😢😢
Huyu mdude kichaa kimepamba moto
Wewe ni darasa la Saba au failure flani hujitambui wewe
Henry Ndosi najua wewe ni Kada ila jifunze kutetea ndugu zako na rasilimali zako kwa ajili kizazi chetu, acha kujitoa ufahamu kwa ajili ya ushabiki mandazi.
Unaipa serikali siku 30, hio sheria umeitoa kifungu gani, huna uhalali wa kuwalazimisha watu kuandamana, kama mmechoka kuishi tanzania ya amani, jeshi la polisi litakusurutisheni mahala sahihi mnapostahili
Kama una uboya kama huu hata wazee kama nyerere enzi hizo wasingeweza kupata uhuru wa bara la Africa wakina mandela na mugabe kwa mtu kama wewe unafaa tu uolewe.Mwanaume hawi muoga yupo tayari kwa lolote hata kufa ili mradi alinde ama aokoe familia yake.Sasa mtu kama wewe mke wako aseme anaishi na mwanamke mwenzake ama na mume wake mwanaume ukitishwa kidogo unasema yote.
@@corporatethugsent7380 Nina wasiwasi huyu keshaleft group letu la wanaume
Unaijua amani wewe matako watu kama nyie amtakiwi kuishi kwenye hii dunia nchi yako inauzwa unatoa macho tu .
@@omaryyusuph7877 huyu jamaa chenga kweli huenda haijitambui
Ungekaa tu kimya maana unajidhalilisha . Maana hata Kama ni uchawa wewe unanuka kunguni . Yaani watu wanatetea nchi wewe unakejeli. Duh Kuna watu wanajiita watu wazima lakini ukipima akili zao zinafanana na mtoto wa miaka miwili
Mmmh, Ulevi wa uhuru wa kuzungumza.
Sawa baba sema . Waambie .ukweli .ila mungu anawaona
SISI Wengine ambako hatuna passport tutaweka bando tu siku hiyo tushuhudieh tu mtafanyaje maana hatuwezi fata ujinga kama huo Mimi mtoto wa kitanzannia Nina maisha dunia sana alafu nijipngezee matatizoh mengine ili wewe ushike uongozi si ujinga uooooh😂😂
Yani wajinga ndowaliwao
Unacho kisema ni sawa na jina lako mdude umepanda unatoa tamko kama nani acha wehu.
Pana kinyesi kwenye fuvu badala ya ubongo?
We akili huna unatufata kiki tu pumbav weee... IGP hawa vunja miguu wote pumbav
Mwamba
Mwambia mama ako name familiar yako wakandamane
Wewe ni choko kufa wewe vizazi vijacho vije kuishi vizuri watu kama nyie kwetu mboga
Choko wewe hujitambui
FUTA KAULI YA KUTUMIA KANISA KWENYE MAANDAMANO YENU.
KANISA LIKO NA WAKIASI CHAKE
Afute ya Nini Mimi nitaanzia church na wanakwaya wenzangu...
Wananchi waanzie misikitini na makanisani maana huko pekee ndo kuna matumani ya kweli, Tamko la Shura ya maimamu nimelisoma na Tamko la wakatoliki nimelisoma wote wametoa hoja zinazofanana, BINAFSI YANGU NITAANDAMANA KWA AMANI SITAKO WATOTO WANGU WAWE WATUMWA SABABU YA FISI WACHACHE WENYE TAMAA!
Brain abscess
Mbwaaa andamana na mama yako
Elimu ndogo wewe Kagya
Eti watahamasisha makanisa!
Unatupeleka kwenye ugomvi wa kidini mjinga wewe
Amesema dini zote acha kupotosha
Yaani umesikia makanisa tuuu
We fara sana hujitambui
Mm ninashauri hawa watu serikali sio wa kuwaacha wanapotosha watanzania.Hawa watu wakamatwe na wafungwe milele.Wanaitukana serikali bila sababu.Hawa kwenye nchi hii ni akina nani?Wanaipaje serikali maneno makali?Wakaandamene na baba zao na wake zao,na watoto wao.Anamtukana hadi mkuu wa Jeshi la polis?Anamtukana hadi rais? Serikali ipo wapi?
Hapo kwa kufungwa milele unakosea hebu fanya ufungwe wew milele kwa kutetea ujinga wa kuuzwa kwa bandari za Tanganyika milele boya mmoja wew
Yaan ww mpumbavu kabisa
Namimi uku rindi nasubiria tarehe ya maandamano ili niwapitie watu wangu takaandamane tulinde rindi yetu
Safi sana
Hawa viongozi wajinga sana nafikiri ni sababu hawapewi masharti ya kufanya kazi
Ebu katiba mpya ikitokea basi Kila kiongizi apewe mkakati na muda maalum akishindwa ajihudhuru
Safi sana