Mwanzo Mwisho Jinsi Hotuba ya Lissu Ilivyolitikisa Jiji la Arusha
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ก.พ. 2024
- Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) leo kinaongoza maandamano ya amani jijini Arusha yakilenga kuishinikiza Serikali kutoipitisha miswada ya sheria za uchaguzi.
Mpaka sasa chama hicho cha upinzani nchini kimeweza kufanya maandamano ya amani katika majiji makubwa manne nchini yakijumuisha Dar es Salaam, Mwanza, Mbeya na sasa Arusha.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.
President republic of Tanzania TUNDU LISU 2025
❤❤❤ lisu pamoja
True story Dunia Nzima magari yatapita njia nyingine sio njia Moja na waandamanaji.Salute waeleweshe Hao wamelala
Msema kwel na mshauri mzur aisee Lissu mungu akutenze popote ulipo
Hongera sana lisu kaka yangu
Mungu akutunze baba na akupe maisha marefu ili watanzania waendelee kuchota hazina ambayo Mungu ameweka ndani yako.
5⁵⁵⁵5⁵55⁵⁵⁵5⁵5⁵⁵⁵⁵⁵t5⁵55⁵⁵⁵⁵5⁵⁵⁵5⁵⁵⁵5😢😢
Pamba inalimwa Mwanza Mongera Halafu Mongera yuko Arusha na ni mjumbe wa Bodi ya Pamba eti nini 😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
😅😅😅
Inaumiza sana mkuu, mimi nimekosa nguvu ya kucheka nimejisikia kulia.
Upuuziii😂
oyaaa humu asiyehusika na shoo ashuke napata hasira nikiona mtu anayemsema vbaya huyu dingii mungu akulinde sana oneday yes
risu saruti uyu Mzee saruti jeshi Ra mtu m Moja Yani waungane mi naona awa mfikii uyu kiyumo ana mambo yakipeke yake AA ana wasanini rakini ao watu a saritu mwana tundurisu baba
Uko poa Sana. Mungu akupe afya njema
Big up bro nakukubali sana maisha marefu na ubaki na uzalendo wako
Shikamoo baba pokea mauwa yako bab🙏🙏🙏
Nilikuwepo apo live ✌️✌️
✌
Unatufungua sana tusiyejuwa maujingq ya watawala
Huyo jamaa aliyesimama nyuma ya bodgadi wa lissu aliyevaa kofia nyekundu kafanana na Magu atari😂😂
Ebana kweli kabisa🙏
😂😂😂 mapolisiiiií angalia wasikugeuke lisu hao
Mbeba Maono afi hadi kusudinlitimie,walishindwa kumuuwa ,hawataweza tena ,Kwajina La Mungu alie hai
@@siamollel9725 ameeeeniii
Hongeren. Makamanda wetu mnatusemea tuko pamoja
Pamoja sana.
Ķ,ìl
Good
Lisu you are a hero of Tz and Africa against Dictors of Tz, who serves their own greediness.
I wish Mzee Magu angekuwepo!!😂😂😂😂🤣😂
Big up nakuelewa sana
Uchongewe sanamu
Saa mbona unamwita mjinga ,lisu ipo cku watanzania wasipokuelewa cku ukifa watasema lisu alisema bora yeye,jitu kama huwezi toa maon kaa kimya kuliko kutukana
Mungu akupe maisha marefu
Fact tunu ya mungu KwA watanzania mungu akulinde
Mama anapiga kazi sawa ila hoja zisikilizeni vizuri jamani msitubeze chadema
Wewe ni noma san
Chuma hiki unaweza ukakosea ukakiita Mungu.
Nimekuelewa mkuu ❤
Mungu akubariki akupe maisha marefu ni rais wa wanainchi. Watawala na machawa hawawezi kukupenda kaza boot kesho ya watanzania iko karibu.
Mungu akulinde mh tundu lissu
You're a lion of Africa
Huyu ndiye wazembe wanamwita shoga ? Mungu amlinde sana tuendelee kuelimishwa
Kwa kweli leo Tundu Lisu nimekuelewa na umeleweka vizuri hotuba yako imetufungua na kuelewa mambo mengine ambayo binafsi nilikuwa siyajui hongera sana kwa hotuba nzuri hakika tunaliwa na watu wachache pambana wananchi tupo pamoja nanyi watatuelewa 2025
Camera man, umetisha. Good job.
My mentor i wish i met you in anyway corner of this world 🌍🌍🌍
Now I get why Lowasa was denied to be the head of State 😮 my God
Nimekuelewa lisu. Asante kwa kutoka somo
tupo pamoja tutaandamana mpaka kieleweke
ukweli sisi huku chini tunaosota ndotunajua mengi,jengeni mazingira ya kupokea kero zetu mziseme majukwaani
Mungu amlinde sana huyu bwana
Ni kweli babaa
Pamoja sana
Upuuzi kabisa,Tena haswaaaaa
Peeople 💪💪💪
Mzee Mungu akupe maisha marefu siku moja jua litachomoza magarib na kuzama mashariki ipo siku
aaa baba mungu akurinde baba sisi badi tupu pamoja na wewe baba karibu kirwa baba tume kumisi baba
Peoples power
Bro asante
Wee jiulize tu,angalia magari ya kubebea wagonjwa mengi yamechoka sana,ukilinganisha na magari viongozi wa ccm na serikali 😢😢
Hoja ya msingi
The geneous guy in this country, may God reward you more years.
Yaan huyu mtu hatari sana tena sanaaaa alichokiongea ni ukweli mtupu chaguzi zinakalibia sasa wamepewa watu kazi ya kuleta mzigo huo ili wapate nguo za mabango ya uchaguzi sisi tunashangilia tu kwa kupewa jezi ujinga umetujaa sana vichwani
Nakubali sana mwanaharakat,
Hivi anayempinga huyu anaakili sawa sawa!!
Hata mm nitashangaa
Ukiona mtu ana mpinga lissu na hayupo kwenye system jua hana akili timamu.
Usifananishe mwandam na Mungu
Kenge we WA kijani, tunazungumzia katiba mbovu inayompa rais wa nchi hii kuchukua nafasi ya Mungu kama sio mungu.
What kind of 🚨 😁😁😁
Uhusiano wakatiba nikipata viongozi Bora sio Bora viongoz
Mungu atulinde tunatabika sana maisha yamekuwa magumu sana
Burund madereva wakigoma mishahara matajiri wakaongeza.wabongo walipo karibu kugoma wakasaini kazinmadereva wengine siku ile ile mda ule ule.tumuumgeni mko tu mama dah
❤chadema hoyee ungea baba polisi wa arusha malaya hao watolewe wote wsekeza wasomi
Ubarikiwe sana
Na kukubali sana kaka achane vibaka hao
Hao miungu wa kuchonga mungu wa kweli anawaona! Na malipo ni hapahapa duniani....!!!! Wacha watuulie familia zetu za kwao zinawiri...
Ramadhani Issa sawaya fundi
Tunashukuru mzee kwa kuwa mtetezi wa haki
Lisu ❤
Sema baba
Mwl.kasema watu wa gome kuulipa kodi sii kufanya kaz erewaniiii masege sent
Ikulu ya Rais Mama Samia mkiwa na tatizo au shida ndio mnamuita RAIS SAMIA
Huyu anafaa kuidimamia hii nchi maana Jana upuuzi na anaonekana ana uchungu na wananchi
Barikiwa sana
🎉🎉
MAJIZI,MANAFKI,MACCM HAYO..
namkubari sana uyu mwamba
Most of the rulling part in Africa do silence opposition parties in many ways
good
mungu tusaidie tupate rais kama huyu
Dah !! Mmiliki wa saa ndiye atakuambia muda !! 😂😂😂
..
daaa
HATUTAKI HISTORIA.
Hutaki wewe sisi tu nataka. Tumia sindano ikuingie.
Safi sana endeleeni kutuletea taalifa mzurmzuri km hizi zachadema
Mungu akulide sana lisu hakupe siku nyingi zakutosho Amina
Mungu ibariki Tanzania
Hakika kila kitu kina mwisho hakika mungu anawaona walichokifanya na wanalopanga kukifanya na kuendelea kuonea watu.
You're not normal big up mr Lisu
Sawa sawa sisi tulisumiwa Sana na serikali yetu na tunaonewa sisi wahanga wa nchi ya Tanzania na bado tunaonewa na serikali yetu Asante Sana
Sio wamasai tu sehem nyingi wamenyang'anya maeneo yalikuwa yakuchungia yote wamegawana mtusaidie kutusemea sahiz hakuna hata maeneo yakuchungia mifugo
Lisu tunakuelewa sana ndiyo maana Mungu kakuokoa kwenye jaribio ulilopitia
Ongea baba
Katiba mpya sasa hii iliyopo inatengeneza miungu watu
Puuzi typing 😂😂😂😂😂
Is there away we can do politics >> without being Nuscty??
✌️✌️✌️✌️💪❤
Lisu🎉
Good sana lissu❤❤❤
Mm nakukubali mpaka kufaa kamanda lissu
Hotuba zako nazikubali ni zaidi ya hotuba za Nyerere na maneno yako siku zote ni kweli ni fisadi na chama tu anaweza kuyakebehi Mungu akubariki kazi inayojengwa ni kazi ya Mungu . Tunakuunga mkono tumechoka na upuuzi wa watawala. wetu
Safi
Power
Hongera sana Lissu kwa kuongea ukweli tunaunga mkono hotuba ya kihistoria.
Mheshimiwa! Kwanini umenyoa na kuonekana Kama vijana wahuni???? Unatupa mambo mazuri sana ya maendeleo yetu! Onesha basi uadilifu katika mwonekano wako
Interpole one man
Lisu ongera Sana broo mungu akulinde sana
BRAVO MH. LISSU.
...WATANZANIA TUNAKUELEWA WEWE BINAFSI NA CHADEMA MNAVYOPIGANIA NA KUPINGA NJIA KUU ZA UCHUMI NA RASILIMALI ZA NCHI YETU 'KUUZWA' NA 'KUMILIKIWA' NA WAGENI NA MAKUWADI NA MADALALI WAO WA NDANI WAKIWEMO WAFANYABIASHARA NA VIONGOZI WETU NA FAMILIA ZAO!
Superdoll alipewa Kagera sugar na Mtibwa