Mwanzo Mwisho Jinsi Hotuba ya Lissu Ilivyolitikisa Jiji la Arusha

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ก.พ. 2024
  • Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) leo kinaongoza maandamano ya amani jijini Arusha yakilenga kuishinikiza Serikali kutoipitisha miswada ya sheria za uchaguzi.
    Mpaka sasa chama hicho cha upinzani nchini kimeweza kufanya maandamano ya amani katika majiji makubwa manne nchini yakijumuisha Dar es Salaam, Mwanza, Mbeya na sasa Arusha.
    Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

ความคิดเห็น • 387

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 5 หลายเดือนก่อน +22

    President republic of Tanzania TUNDU LISU 2025

  • @Dik770
    @Dik770 5 หลายเดือนก่อน +15

    ❤❤❤ lisu pamoja

  • @HappyBooks-dj6oy
    @HappyBooks-dj6oy 5 หลายเดือนก่อน +7

    True story Dunia Nzima magari yatapita njia nyingine sio njia Moja na waandamanaji.Salute waeleweshe Hao wamelala

  • @marlopharle9199
    @marlopharle9199 4 หลายเดือนก่อน +3

    Msema kwel na mshauri mzur aisee Lissu mungu akutenze popote ulipo

  • @jumakilinja6341
    @jumakilinja6341 5 หลายเดือนก่อน +20

    Hongera sana lisu kaka yangu

  • @user-le7ek2zs4t
    @user-le7ek2zs4t 5 หลายเดือนก่อน +12

    Mungu akutunze baba na akupe maisha marefu ili watanzania waendelee kuchota hazina ambayo Mungu ameweka ndani yako.

    • @BazilTemu
      @BazilTemu 5 หลายเดือนก่อน

      5⁵⁵⁵5⁵55⁵⁵⁵5⁵5⁵⁵⁵⁵⁵t5⁵55⁵⁵⁵⁵5⁵⁵⁵5⁵⁵⁵5😢😢

  • @mayalakatema2576
    @mayalakatema2576 5 หลายเดือนก่อน +17

    Pamba inalimwa Mwanza Mongera Halafu Mongera yuko Arusha na ni mjumbe wa Bodi ya Pamba eti nini 😂😂😂😂😂😂😂

    • @user-td9rq5vl1v
      @user-td9rq5vl1v 5 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂

    • @erickabel6201
      @erickabel6201 5 หลายเดือนก่อน +1

      😅😅😅

    • @fadhilikombe3338
      @fadhilikombe3338 5 หลายเดือนก่อน +1

      Inaumiza sana mkuu, mimi nimekosa nguvu ya kucheka nimejisikia kulia.

    • @marakidtz9454
      @marakidtz9454 5 หลายเดือนก่อน +1

      Upuuziii😂

  • @user-cw7xw9cu6m
    @user-cw7xw9cu6m 5 หลายเดือนก่อน +8

    oyaaa humu asiyehusika na shoo ashuke napata hasira nikiona mtu anayemsema vbaya huyu dingii mungu akulinde sana oneday yes

    • @DulaMudi
      @DulaMudi 17 วันที่ผ่านมา +2

      risu saruti uyu Mzee saruti jeshi Ra mtu m Moja Yani waungane mi naona awa mfikii uyu kiyumo ana mambo yakipeke yake AA ana wasanini rakini ao watu a saritu mwana tundurisu baba

  • @emmanuelthomas554
    @emmanuelthomas554 5 หลายเดือนก่อน +12

    Uko poa Sana. Mungu akupe afya njema

  • @thomasmollel9465
    @thomasmollel9465 5 หลายเดือนก่อน +13

    Big up bro nakukubali sana maisha marefu na ubaki na uzalendo wako

  • @user-do5by8jl6g
    @user-do5by8jl6g 5 หลายเดือนก่อน +3

    Shikamoo baba pokea mauwa yako bab🙏🙏🙏

  • @edwinrevocatus
    @edwinrevocatus 5 หลายเดือนก่อน +8

    Nilikuwepo apo live ✌️✌️

  • @user-bz6ck8tz2z
    @user-bz6ck8tz2z 5 หลายเดือนก่อน +12

    Unatufungua sana tusiyejuwa maujingq ya watawala

  • @talents7934
    @talents7934 5 หลายเดือนก่อน +3

    Huyo jamaa aliyesimama nyuma ya bodgadi wa lissu aliyevaa kofia nyekundu kafanana na Magu atari😂😂

  • @MohamedMkota
    @MohamedMkota 5 หลายเดือนก่อน +6

    😂😂😂 mapolisiiiií angalia wasikugeuke lisu hao

    • @siamollel9725
      @siamollel9725 5 หลายเดือนก่อน +3

      Mbeba Maono afi hadi kusudinlitimie,walishindwa kumuuwa ,hawataweza tena ,Kwajina La Mungu alie hai

    • @MohamedMkota
      @MohamedMkota 5 หลายเดือนก่อน +1

      @@siamollel9725 ameeeeniii

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u 5 หลายเดือนก่อน +2

    Hongeren. Makamanda wetu mnatusemea tuko pamoja

  • @davidmpiluka5224
    @davidmpiluka5224 5 หลายเดือนก่อน +7

    Pamoja sana.

  • @frenktarimo4703
    @frenktarimo4703 5 หลายเดือนก่อน +10

    Good

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 5 หลายเดือนก่อน +20

    Lisu you are a hero of Tz and Africa against Dictors of Tz, who serves their own greediness.

  • @tuikezeezra1315
    @tuikezeezra1315 5 หลายเดือนก่อน +2

    I wish Mzee Magu angekuwepo!!😂😂😂😂🤣😂

  • @belinabaya6977
    @belinabaya6977 5 หลายเดือนก่อน +13

    Big up nakuelewa sana
    Uchongewe sanamu

  • @viviandule8171
    @viviandule8171 5 หลายเดือนก่อน +3

    Saa mbona unamwita mjinga ,lisu ipo cku watanzania wasipokuelewa cku ukifa watasema lisu alisema bora yeye,jitu kama huwezi toa maon kaa kimya kuliko kutukana

  • @user-nd8mc6mz1s
    @user-nd8mc6mz1s 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akupe maisha marefu

  • @danielmalale2615
    @danielmalale2615 3 หลายเดือนก่อน +1

    Fact tunu ya mungu KwA watanzania mungu akulinde

  • @user-bl3go5yr8u
    @user-bl3go5yr8u 5 หลายเดือนก่อน +4

    Mama anapiga kazi sawa ila hoja zisikilizeni vizuri jamani msitubeze chadema

  • @user-lx7ez3rq4c
    @user-lx7ez3rq4c 5 หลายเดือนก่อน +2

    Wewe ni noma san

  • @user-uy2ot2so9l
    @user-uy2ot2so9l 5 หลายเดือนก่อน +7

    Chuma hiki unaweza ukakosea ukakiita Mungu.

  • @user-de8ly6ck8x
    @user-de8ly6ck8x 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nimekuelewa mkuu ❤

  • @user-le7ek2zs4t
    @user-le7ek2zs4t 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki akupe maisha marefu ni rais wa wanainchi. Watawala na machawa hawawezi kukupenda kaza boot kesho ya watanzania iko karibu.

  • @YonahMalaki-xx4pf
    @YonahMalaki-xx4pf 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akulinde mh tundu lissu

  • @user-le7ek2zs4t
    @user-le7ek2zs4t 5 หลายเดือนก่อน +4

    You're a lion of Africa

  • @leonardngulo8809
    @leonardngulo8809 5 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu ndiye wazembe wanamwita shoga ? Mungu amlinde sana tuendelee kuelimishwa

  • @ngamugamahonzelosanga3316
    @ngamugamahonzelosanga3316 5 หลายเดือนก่อน +5

    Kwa kweli leo Tundu Lisu nimekuelewa na umeleweka vizuri hotuba yako imetufungua na kuelewa mambo mengine ambayo binafsi nilikuwa siyajui hongera sana kwa hotuba nzuri hakika tunaliwa na watu wachache pambana wananchi tupo pamoja nanyi watatuelewa 2025

  • @evaemil856
    @evaemil856 5 หลายเดือนก่อน +1

    Camera man, umetisha. Good job.

  • @user-lt8oj3ui4q
    @user-lt8oj3ui4q 4 หลายเดือนก่อน

    My mentor i wish i met you in anyway corner of this world 🌍🌍🌍

  • @OckendenMkandawire
    @OckendenMkandawire 5 หลายเดือนก่อน +5

    Now I get why Lowasa was denied to be the head of State 😮 my God

  • @monicamwita7865
    @monicamwita7865 5 หลายเดือนก่อน

    Nimekuelewa lisu. Asante kwa kutoka somo

  • @user-rr7kj2sb7s
    @user-rr7kj2sb7s 5 หลายเดือนก่อน +3

    tupo pamoja tutaandamana mpaka kieleweke

  • @siamollel9725
    @siamollel9725 5 หลายเดือนก่อน +2

    ukweli sisi huku chini tunaosota ndotunajua mengi,jengeni mazingira ya kupokea kero zetu mziseme majukwaani

  • @JohnBunzali-ni2zq
    @JohnBunzali-ni2zq 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu amlinde sana huyu bwana

  • @miriamamiri641
    @miriamamiri641 5 หลายเดือนก่อน +2

    Ni kweli babaa

  • @MakarangaJohn-wi7yk
    @MakarangaJohn-wi7yk 4 หลายเดือนก่อน

    Pamoja sana

  • @muhidinsultan2049
    @muhidinsultan2049 5 หลายเดือนก่อน

    Upuuzi kabisa,Tena haswaaaaa
    Peeople 💪💪💪

  • @user-xk1bx2gp6e
    @user-xk1bx2gp6e 4 หลายเดือนก่อน

    Mzee Mungu akupe maisha marefu siku moja jua litachomoza magarib na kuzama mashariki ipo siku

  • @DulaMudi
    @DulaMudi 17 วันที่ผ่านมา

    aaa baba mungu akurinde baba sisi badi tupu pamoja na wewe baba karibu kirwa baba tume kumisi baba

  • @michaelboniface7003
    @michaelboniface7003 5 หลายเดือนก่อน +1

    Peoples power

  • @user-pz2kp2ej5e
    @user-pz2kp2ej5e 5 หลายเดือนก่อน +1

    Bro asante

  • @mchunguliechibwa198
    @mchunguliechibwa198 5 หลายเดือนก่อน +1

    Wee jiulize tu,angalia magari ya kubebea wagonjwa mengi yamechoka sana,ukilinganisha na magari viongozi wa ccm na serikali 😢😢

  • @nabimanyafesto5014
    @nabimanyafesto5014 5 หลายเดือนก่อน +15

    The geneous guy in this country, may God reward you more years.

    • @rogersiddy
      @rogersiddy 5 หลายเดือนก่อน +2

      Yaan huyu mtu hatari sana tena sanaaaa alichokiongea ni ukweli mtupu chaguzi zinakalibia sasa wamepewa watu kazi ya kuleta mzigo huo ili wapate nguo za mabango ya uchaguzi sisi tunashangilia tu kwa kupewa jezi ujinga umetujaa sana vichwani

  • @jossporahmsw8420
    @jossporahmsw8420 5 หลายเดือนก่อน +3

    Nakubali sana mwanaharakat,

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m 5 หลายเดือนก่อน +17

    Hivi anayempinga huyu anaakili sawa sawa!!

    • @faustinejemsi1488
      @faustinejemsi1488 5 หลายเดือนก่อน

      Hata mm nitashangaa

    • @user-rn9og1rk3l
      @user-rn9og1rk3l 5 หลายเดือนก่อน

      Ukiona mtu ana mpinga lissu na hayupo kwenye system jua hana akili timamu.

  • @SamweliLekibenge
    @SamweliLekibenge 5 หลายเดือนก่อน +2

    Usifananishe mwandam na Mungu

    • @gangan4618
      @gangan4618 5 หลายเดือนก่อน

      Kenge we WA kijani, tunazungumzia katiba mbovu inayompa rais wa nchi hii kuchukua nafasi ya Mungu kama sio mungu.

  • @NyokaaWise
    @NyokaaWise 5 หลายเดือนก่อน +1

    What kind of 🚨 😁😁😁

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u 5 หลายเดือนก่อน +1

    Uhusiano wakatiba nikipata viongozi Bora sio Bora viongoz

  • @user-zh1py1fz1l
    @user-zh1py1fz1l 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu atulinde tunatabika sana maisha yamekuwa magumu sana

  • @user-wu9zz1bm9h
    @user-wu9zz1bm9h 5 หลายเดือนก่อน +3

    Burund madereva wakigoma mishahara matajiri wakaongeza.wabongo walipo karibu kugoma wakasaini kazinmadereva wengine siku ile ile mda ule ule.tumuumgeni mko tu mama dah

  • @user-ru1st2yc9z
    @user-ru1st2yc9z 5 หลายเดือนก่อน

    ❤chadema hoyee ungea baba polisi wa arusha malaya hao watolewe wote wsekeza wasomi

  • @ChachaMariba
    @ChachaMariba 3 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe sana

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u 5 หลายเดือนก่อน +1

    Na kukubali sana kaka achane vibaka hao

  • @bakarimmbaga2344
    @bakarimmbaga2344 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hao miungu wa kuchonga mungu wa kweli anawaona! Na malipo ni hapahapa duniani....!!!! Wacha watuulie familia zetu za kwao zinawiri...

  • @Athumanirasuli
    @Athumanirasuli 2 หลายเดือนก่อน

    Ramadhani Issa sawaya fundi

  • @mokiaolenaputu7648
    @mokiaolenaputu7648 5 หลายเดือนก่อน +9

    Tunashukuru mzee kwa kuwa mtetezi wa haki

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 5 หลายเดือนก่อน +2

    Lisu ❤

  • @user-vq8mi4xf7d
    @user-vq8mi4xf7d 5 หลายเดือนก่อน +1

    Sema baba

  • @user-dq5xt8ed7w
    @user-dq5xt8ed7w 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mwl.kasema watu wa gome kuulipa kodi sii kufanya kaz erewaniiii masege sent

  • @user-pw4bc7sr5y
    @user-pw4bc7sr5y 5 หลายเดือนก่อน +2

    Ikulu ya Rais Mama Samia mkiwa na tatizo au shida ndio mnamuita RAIS SAMIA

  • @eltonbosha2141
    @eltonbosha2141 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu anafaa kuidimamia hii nchi maana Jana upuuzi na anaonekana ana uchungu na wananchi
    Barikiwa sana

  • @user-um7rz2lv3t
    @user-um7rz2lv3t วันที่ผ่านมา

    🎉🎉

  • @mchunguliechibwa198
    @mchunguliechibwa198 5 หลายเดือนก่อน +1

    MAJIZI,MANAFKI,MACCM HAYO..

  • @salomemahenge7935
    @salomemahenge7935 5 หลายเดือนก่อน +1

    namkubari sana uyu mwamba

  • @user-ee4sf5hi6g
    @user-ee4sf5hi6g 4 หลายเดือนก่อน

    Most of the rulling part in Africa do silence opposition parties in many ways

  • @user-sj9ob8vb3s
    @user-sj9ob8vb3s 5 หลายเดือนก่อน

    good

  • @jofreyjohn6796
    @jofreyjohn6796 5 หลายเดือนก่อน +8

    mungu tusaidie tupate rais kama huyu

  • @devisshirima6780
    @devisshirima6780 5 หลายเดือนก่อน +4

    Dah !! Mmiliki wa saa ndiye atakuambia muda !! 😂😂😂

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 5 หลายเดือนก่อน +1

    HATUTAKI HISTORIA.

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 5 หลายเดือนก่อน

      Hutaki wewe sisi tu nataka. Tumia sindano ikuingie.

  • @sudiomari5881
    @sudiomari5881 5 หลายเดือนก่อน

    Safi sana endeleeni kutuletea taalifa mzurmzuri km hizi zachadema

  • @abelmghana2843
    @abelmghana2843 5 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu akulide sana lisu hakupe siku nyingi zakutosho Amina

  • @SALOMECHARLES-pv6up
    @SALOMECHARLES-pv6up 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu ibariki Tanzania

  • @RamaNinga-jv2xw
    @RamaNinga-jv2xw 3 หลายเดือนก่อน

    Hakika kila kitu kina mwisho hakika mungu anawaona walichokifanya na wanalopanga kukifanya na kuendelea kuonea watu.

  • @user-le7ek2zs4t
    @user-le7ek2zs4t 5 หลายเดือนก่อน

    You're not normal big up mr Lisu

  • @lekunatimoreto35
    @lekunatimoreto35 5 หลายเดือนก่อน +4

    Sawa sawa sisi tulisumiwa Sana na serikali yetu na tunaonewa sisi wahanga wa nchi ya Tanzania na bado tunaonewa na serikali yetu Asante Sana

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u 5 หลายเดือนก่อน +1

    Sio wamasai tu sehem nyingi wamenyang'anya maeneo yalikuwa yakuchungia yote wamegawana mtusaidie kutusemea sahiz hakuna hata maeneo yakuchungia mifugo

  • @clemencemarcelli3365
    @clemencemarcelli3365 5 หลายเดือนก่อน +4

    Lisu tunakuelewa sana ndiyo maana Mungu kakuokoa kwenye jaribio ulilopitia

  • @antonyelias866
    @antonyelias866 5 หลายเดือนก่อน +3

    Ongea baba

  • @clemencemarcelli3365
    @clemencemarcelli3365 5 หลายเดือนก่อน +1

    Katiba mpya sasa hii iliyopo inatengeneza miungu watu

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 5 หลายเดือนก่อน

    Puuzi typing 😂😂😂😂😂

  • @franciskarangwa6554
    @franciskarangwa6554 23 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Is there away we can do politics >> without being Nuscty??

  • @rehemadaudi4390
    @rehemadaudi4390 5 หลายเดือนก่อน +2

    ✌️✌️✌️✌️💪❤

  • @lucasshirima2880
    @lucasshirima2880 5 หลายเดือนก่อน +1

    Lisu🎉

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 5 หลายเดือนก่อน

    Good sana lissu❤❤❤

  • @zhaozlyoung
    @zhaozlyoung 5 หลายเดือนก่อน +4

    Mm nakukubali mpaka kufaa kamanda lissu

  • @user-le7ek2zs4t
    @user-le7ek2zs4t 5 หลายเดือนก่อน +4

    Hotuba zako nazikubali ni zaidi ya hotuba za Nyerere na maneno yako siku zote ni kweli ni fisadi na chama tu anaweza kuyakebehi Mungu akubariki kazi inayojengwa ni kazi ya Mungu . Tunakuunga mkono tumechoka na upuuzi wa watawala. wetu

  • @dullahtechtz3422
    @dullahtechtz3422 2 หลายเดือนก่อน

    Safi

  • @abnermailos8043
    @abnermailos8043 4 หลายเดือนก่อน

    Power

  • @oscarmnyawami6667
    @oscarmnyawami6667 5 หลายเดือนก่อน +3

    Hongera sana Lissu kwa kuongea ukweli tunaunga mkono hotuba ya kihistoria.

  • @WmareteMarete
    @WmareteMarete 5 หลายเดือนก่อน

    Mheshimiwa! Kwanini umenyoa na kuonekana Kama vijana wahuni???? Unatupa mambo mazuri sana ya maendeleo yetu! Onesha basi uadilifu katika mwonekano wako

  • @neveledickson3323
    @neveledickson3323 5 หลายเดือนก่อน

    Interpole one man

  • @SebastianSteven-pt8kh
    @SebastianSteven-pt8kh 2 หลายเดือนก่อน

    Lisu ongera Sana broo mungu akulinde sana

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 5 หลายเดือนก่อน +2

    BRAVO MH. LISSU.
    ...WATANZANIA TUNAKUELEWA WEWE BINAFSI NA CHADEMA MNAVYOPIGANIA NA KUPINGA NJIA KUU ZA UCHUMI NA RASILIMALI ZA NCHI YETU 'KUUZWA' NA 'KUMILIKIWA' NA WAGENI NA MAKUWADI NA MADALALI WAO WA NDANI WAKIWEMO WAFANYABIASHARA NA VIONGOZI WETU NA FAMILIA ZAO!

  • @user-ny4zx8bx2v
    @user-ny4zx8bx2v 5 หลายเดือนก่อน +1

    Superdoll alipewa Kagera sugar na Mtibwa