ASITUAMBIE HAKUJUA KILICHOANDIKWA AMEAGIZA YEYE MWENYEWE /TUNDU LISU AFUNGUA VIFUNGU KWA VIFUNGU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 ส.ค. 2023
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
TH-cam : www.youtube.com/@kusagatv6320...
Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...
aiseee huyu mama kwa akili zake hakustahili kuwa hata mwenyekiti wa kijiji.....namchukia sana
Wewe anahis unampenda
Samia nakuchukia sana sio kwa uyatendayotu hata jinsiayako siikubali kwenye hicho kiti
uyu Mama ni chizi zaidi ya chizi hakuna mtu anaweza kufanya upumbavu kama huu
Mungu awalani na vizazi vyenu vyote mnatuumiza sana ccm
Duuuh sasa huyu mama katubakizia nini sasa na kwanini yupo serikalini mpaka mda huu uraisi wa kuokota huu hakika tutajuta ifike hatua tuwe serious na katiba yetu ya nchi mwisho wa siku ataanza kuuza ata watu 😢😢😢😢
Watanzania wapole mmno. Upole wao umageuka kuwa upumbavu>!! Mtu anaingia jikoni kwa watanzania na kuchukuwa chakula cha kulisha wanao bado waswahili wanashangilia.!! upumbavu usio na kifani>!!!
Mamakafeliiiii😢😢😢😢
Kweli chama ya ya wala wamepoteza imani na uaminifu lakini bandari zetu zisitumike kama ngazi ya kupandia kwenda ikulu.
Watu tunahitaji zaidi ya hapo. Tunataka kusikia sera nzuri na mikakati ya kuleta maendeleo na usawa kwa wote na kuondoa utumwa unaofanywa na mafisadi wachache. Kama mtu hawezi kutamka mafisadi basi anatutia mashaka dhamira yake…..huenda tunabadilisha tu vichaka lakini nyani ni yule yule.
Wewe ndio una akili finyu. Likisemwa neno fisadi ndio ibada ya uongofu? Hayo ya bandari ni ufisadi uliopitiliza. Kuupinga ni swala la maendeleo.
Bora Sana ya magufurii
Mama Samia si mrudishe bilioni 2.5 mlizopewa km bakshishi?
Hawa watu weupe walitutesa sana many years ago eti leo tunawaonyesha meno kwa kuwapa tena rasilimali za nchi yetu eti watusadie kuendesha......kweli unampa simba akulindie swala jamani ....hayo majaribu kweli
Watanzania matajuta wakati hamtakuwa na hata muda wakuuliza nani alikuwa Samia Kikwete Makamba nape au Kinana. Mtabakia kulia na kusaga meno nchini kwenu na kuomba omba kwa wliochukua nchi yenu. Mafisadi majizi na wasaliti wote watakuwa wameishakufa. Amkeni!!!!!!
Wewe ukiwa wapi?
Kwa hiyo Dpw anagaragaza mbuga zetu na sasa anapewa bandari zote na misitu?jamani hebu kapimeni akili zao hao viongozi isije ikawa tunaongozwa na machizi freshi. Kwahio tukitaka kukata mbao tukaombe vibari Dubai.jamani
@@malamlaaj9852Nitakuwepo nawaangalia kwa makosa ya kipumbavu viongozi wenu waliyofanya> Yangu macho. !!!
@@pungopungo411Shauri ya viongozi majizi na mafisadi na mabinafsi. Shenzi type!!! meat loafs>
Ndio hivo wa mama wanaweza acha mvua inyeshe tuone panapo vuja
Kweli kweli...mmhMungu wangu, wanataka bandari wapitishe vitu vyao....
Kwa sasa hivi tunahitaji kupambania bandari zetu na rasilimali zetu zote ziwe salama kwanza.
Mambo ya uchaguzi badaye.
Huenda tunahitaji chama kingine kipya kabisa chenye viongozi wazalendo wa ukweli wenye uchungu wa kweli na watu wa faifa hili na siyo chumia tumbo tumewachoka.
Yani samia kwaupuuzi huuu nakuchukia sana
Hizo ekari million 6 za Ardhi utazitolea maelezo. Point zako zote lazima uzithibitishe na uzitolee maelezo siku tutakayokushika.
Ila watz ni wajinga,mtu anauza mali za Tanganyika na wanamuangalia tu
Wanalia rada mlima kilimanjaro
Ndio uliobaki
Rest in Peace JPM Tanganyika tumekumiss
Huyu anayeongea ndio alikimbizwa na huyo rest in peace,
Kama hakujua kilichofanyika alisainije,kama sio ujinga?AMEJUASASA AUFUTEEEEEEE
Huyo kapewa na kikwete mulizeni nyinyi mbuzi
MIMI NATAMANI KUFAHAMU, KWANINI HATUWEZI!!!!
HIVI VYUO VIKUU VYA NCHI HII VINAZALISHA MABOGA!!
Watuuz na sisi
Ccm tumewachoka 2025 hatukubali kuibiwa kura lazima damu imwagike
Ombi langu kwa rais, nakuomba mama sitisha huo mkataba mbele kuna mabaya mama tutajuta, hatakama ulitaka kutusaidia acha tupate iyo shida, subiri katiba mpya ndo mengine yaendelee
Magufuli hakututesa sisi wengine mbona? Tena wengi wetu yulifanikiwa kupata haki zetu zilizokuwa zinachukukiwa na wenye nguvu na mafisadi. Walioteseka ni mafisadi na wapinga uzalendo au wapinga Ufisadi au waliokuwa wanafaidiaka na ufisadi huo. Hili tunalielewa sana na hatudanganyiki kwa hapo.
Achaneni na mambo ubinafsi mnatuchanganya tu jamani.
Tunawapenda lakini kuweni makini tusichanganye madawa
Time will tell
Kama munamponda Magufuli na kazi zake je nyie mtafanya nini kizuri zaidi yake kwa taifa hili?
Ntaweza au mtathibutu kupinga mafisadi? Au mnatafuta tu madaraka ili kula kwa zamu?
Tupeni sera zenu ili tuwaaminj
ILA HUYU MAMA KWENYE HILI LA BANDARI AMETUVUA NGUO WATANZANIA WOTE UWE MTANZANIA WA KIKE & KIUME & MZEE &DADA &BIBI KIZEE& BABU KIZEE AMETUVUA NGUO HADHARANI MCHANA KWEUPE AU KUNA LAAANA KUNA LAAANA SIO BURE RAIS AJITAFAKAR SIO BURE ARUDI MIGUUNI KWA MUNGU WAKE AMUULIZE KUNA LAAANA INATAFUNA
Thomas Daniel freekin
BANDARI ZETU KWANZA UCHAGUZI BADAYE.
Nyie mna uchu wa Madaraka msisingizie Bandari au mambo mengine ushugurikie watu walio kupiga risasi Achana na mama yetu Tunamtambua
Wapomabwege wenginchihiihatamkiwaelimishavipiiwamekulauduviiiii😢😢😢
Mh.....
Mkataba mpaka kifo kitutenganishe
Huyo mmarekani anatakiwa apelekwe mahakamani
Mahakama gani? Ya Tanzania inayoongozwa na Samia!!!! He he he.Kama wanavyosema: serikali, mahakama, Bunge vyote ni matope> Tanzania tunaongozwa kwa huruma ya Mungu.
KUSAGA TV mbona hauonyeshi mikono iliyonyoshwa na wananchi kukubaliana / kukataa kutokana na swali la cmde Lissu: "je nani wanadhani mkataba huu wa bandari ni haramu, wanyoshe mkono, si haramu wanyoshe mikono?" KUSAGA TV kwa clip hii ulikuwa na marks 100% . Sasa kwa kutokutuonyesha hiyo kura ya mkono ya wananchi, marks zimeporomoka umebaki/umepata 65%. Thnx improve your work.
BANDARI HAIJAUZWA, ILA NI WAWEKEZAJI WANAPEWA KUWEKEZA ILI KUBORESHA NA KUONGEZA UFANISI , AJIRA KWA WATANZANIA ,KUTUONGEZEA KIPATATO VILE VILE KURAISISHA UPAKUAJI WA MIZIGO NA KUIFANYA BANDARI KUWA YA KISASA ZAID, KWAKUMALIZIA RAIS HAWEZI KUUZA KIPANDE CHOCHOTE CHA NCHI NI KITU AMBACHO HAKIWEZEKANI
Na huyu siku yake ya kutiwa mkononi ipo karibu. Lazima kwa kila analosema akiambiwa alitolee ushahidi asibadili maneno.
Hilo liko wazi mtawaita wote wahainj.Lakini je mnafuatilia utajiri wao kwa muda mfupi?
Huyu siyo kilaza Kama w3we!
Kuna kesi gani alishindwa, kenge hawo
Huyu hana matope kichwani
Na hatashangazwa akikamatwa
Ninyi mkipata nafasi ya kutawala Je hamtakuwa weziiii kama mnavyowatuhumu viongozi wa CCM.Mbona wote tunapenda helaaa
Nionavyo mimi, kama yasemwayo yana ukweli kwakweli yafanyiwe kazi kwani kesho kutwa tutalia wote. Wataalamu wa nchi hii na washauri mbalimbali saidieni kutatua changamoto hizi chã msingi mjiridhishe kwanza.
Wewe Tundu Risu
Neenda zako
Wewe ni musenge
Watanzania huyu lissu ipo siku ataleta machafuko watu kuu wana tusipo kuwa makini halafu anakwenda inje wakati wa magufuli alileta mtafaruk na akakimbia nje tuwe makini
Bandari ilijengwa na waarabu tuache ujinga kwenye hilo. Waarabu na wajeruman wawapi walianza kuja Tanzania!?. Kwenye mengine sawa ila mwanzilishi wa bandari ni mwarabu Tanzania
Wanajua wanachofaidi ndio maana hawataki ibinafisishwe
👹😈👹😈👹👹😈👹😈👹😈☝🏽☝🏽☝🏽☝🏽☝🏽☝🏽☝🏽☝🏽☝🏽☝🏽☝🏽
Hatutaki Muarabu wala Mzungu sisi ni Waafrica tunajivunia uafrika wetu usituletee mawazo mgando
Hata akili ya chura 🐸 inaafadhali kuliko hicho unachokisema cha muarabu
Ni aibu ni ujinga ni uvivu ni fedheha
@@f.a6043 umeelewa nilichosema au ndio upambe umekukolea!?. Huyo anayeongea kasoma sana kuliko wewe na mimi nashangaa inakuwaje hajui bandari ilianzishwa na mwarabu. Sijazungumzia mkataba haponimeungumzia muanzilishi wa bandari embu acha ushabiki wa kijinga
Utwana in blood
@@lusungumkolla6672 acha uchawa. Inamaana haujui mwanzilishi wa bandari ni nani!?. Huyo Lisu kasoma sana zaidi yangu. Namshangaa anaropoka babdari imeanishwa na wajerumani. Hiyo ni akili au ni matope.
Muongo mkubwA Acha uchochezi
Jamani ni kweli unaloongea LISU!!!!
Ekari 6,000,0000!!!!!!!!!!
Hector 8,000,000!! = Ekar,
8,000,000 x2.5 = 20,000,000 itunzwe/imeuzwa!!!
Mambomengine acheni JAMANI.
Haiwezekani
Tundu acha kutufanya tugawanyike, wakat ww una nyumba ubelgiji, hv tukiingia kwenye machafuko, nyie viongozi mtafurahi sio? Watanzania wenzangu tumelewa na aman, shangilieni tu, hawa wanasiasa wa Africa wote ni vibaraka, hakuna mzalendo hata mmoja, kuwen Makin na maneno ya wanasiasa, woooootee Wana hifadh nje ya nch