CHADEMA Iringa Watoa Tamko na Msimamo Sakata la Msigwa Kuhamia CCM "Aache Kuitaja CHADEMA"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ก.ค. 2024
- Viongozi CHADEMA Iringa Mjini wakiongozwa na Mwenyekiti wao Frank Nyalusi Wametoa Tamkon lao huku wakielezea msimamo wao juu ya Sakata la Mchungaji Peter Msigwa kuachana na Chama hicho na kuamua kujiunga na CCM.
"yeye ameachana na CHADEMA, aache kuitaja" -Amesema Frank Nyalusi.
Subscribe (Focus Digito TV) ili usipitwe na Video mpya zinazotoka kila siku.
Focus Digito TV inakupa Maudhui Mazuri yanayohusu Habari, Elimu, Mitindo ya maisha, Michezo na Burudani.
Focus Digito TV is here to provide you with contents about News, Education, Lifestyles, Sports and Entertainments.
#FocusDigitoTV
..................
Tufuatilie Zaidi kupitia:
INSTAGRAM, TIKTOK, FACEBOOK, TWITTER (X), THREADS NA GOOGLE WEBSITE YETU YA FOCUS DIGITO TV
Focus Digito TV is one of the best info-edu-tainment Online Media conveying contents for the Public Interest.
Asante kwa kuchagua kutufuatilia | Thanks for Subscribing
We Love You | Tunakupenda
Regards
Team FocusDigitoTV
MCHUNGAJI MSIGWA AFUNGUKA BAADA YA KUJIUNGA NA CCM, ATAJA SABABU ZILIZOMFANYA AONDOKE CHADEMA
MSIGWA AMLIPUA VIBAYA MBOWE BAADA ya KUHAMIA CCM - AFICHUA MADUDU ya CHADEMA - ''HATUNA
MSIGWA AFUNGUKA SABABU YAKUITOSA CHADEMA KUHAMIA CCM "MIMI NI MTU MZIMA
DR.SLAA ANAONGEA SAKATA LA MSIGWA KUHAMIA CCM ZAKARIA OBAD WA CHADEMA KUFICHUA MAZITO
CHADEMA waionya CCM baada ya kumpokea Mchungaji Peter Msigwa.
Mungu awabariki Sana Wana lringa mjini kupigania haki kunahitaji moyo imara Sana ,Nchi hii inahitaji ukombozi wakina ,Mungu awatetee watu wake
Umenena vyema sana Mwenyekiti NYALUSI
hakuna mwanachama makini anayeweza kuama chama kumfuata mtu. Msigwa kamfuata mama kesho mama hayuko atarudi chadema!!??
Chadema nichuo kikuu mungu ibariki Chadema naviongozi ote wachadema ote
Toka lin?
Safi Sana kamanda
Kamwene Iringa, nashukuru kuona bado mko imara sana, nawasilimu kutokea Bukoba.
Safi sana Nyalusi tena wewe ndo unafaa kuwa mbunge wa jimbo hilo la Iringa mjini baada ya huyo mroho wa madaraka kukisaliti chama
Msigwa ni msaliti aishie mbaliiiiii
Ubarikiwe sana Mwenyekiti
Mmeni furahisha sana hongereni
Asante kiongoz
Nyalusi uko imara sana hongera
Wana Iringa hakikisheni Msigwa ajione kuwa CHADEMA haikuwa yeye. Ni msaliti ameshikwa matiti tu kalegea, akavulie gauni lake huko alikoenda.
Muhongeaji yuko vizuri inaonekana uyu jamaa akawa no1 tz kwa kutetea wanyonge ila hajapata chaneli tu
Nyalusi pamoja na hayo maneno utashangaa kesho tunakusikia upo ccm
Point kubwa
Safi sana msigwa mroho wa madaraka aende zake alishindwa had uchungaji
Unaweza ukaanza vizuri ukamaliza vibaya Kwa haya mateso ccm wanayotutesa na musigwa anaenda kuwafunga mkono huu uchungajiwake umevamiwa na shetani asipofunga na kuomba majibu mutayaona
Wana Iringa Msigwa alikua chain ya viungo vingi,na mnyororo mmoja ukikatika chama kinaunga tena mwingine, kinaendelea...mbinu zozote za ccm za vitisho, hongo,utekaji,nk ili kuua vyama haitafanikiwa!
Nimekuelewa mzee
Safi kabisaa
Safi sana Mwenyekiti
Kiongozi aliyekuwa na mvuto kwa watu alikuwa Lowasa aliondoka CCM na watu Chadema ikapata wabunge 48 Msigwa kaondoka yeye na familia yake.
Iringa msituangushe, vanya lukolo
MBONA CDM WANAITAJA CCM! MUACHENI MSIGWA ASEME NINYI ENDELEENI NA YENU
njaaa hatrr sanaa
Msigwa siyo mungu
Mungu wenu ni Mbowe.Wataondoka wengi.
Kupitia msigwa imenifanya nisimwamini mtu Yan msigwa ww Ni kigeugeu umesha fungwa mdomo huko uliko kwenda
msigwa maamuzi yake ni ya kibnafisi hats hakufikiria familia yake maana haitaaminiwa kwenye taasisi kubwa za nadani na nchi na nje ya nchi kwa mantiki ni damu ya kizazi kischo na msimamamo
Ukweli ni kwamba msigwa kufeli uchaguzi unahama chama tumpuuze msigwa watanzania
Amelamba Dora 300000 toka ccm msigwa huyo ili kusariti chadema
Mchungaji msaliti ,,njaa kali
Safi kabisaaaa
aende tu yule kwanza mubifsi sana yule
Mnaojielewa bakieni kujenga demokrasia
Sana sana atakalolifanya siku anakuja kwa mkutano atakuwa amewanunua wanaCCM watakuja kujidai wanagama CDM kujiunga CCM kumbe niwalewale!!!
Bro unajua kuongea...
Ccmm wamemchoka jeska 🤣🤣 mchungaji changamkia fursa 🤣🤣 waweza teuliwa au kuwa nbunge 😢😢 CCCM oyeeed 🤣🤣🤣😆
yaani kwa changamkeni mpate mtu makini jimbo liko wazi hili ushindi wa bureeeeeeeeeeeee 😆😆
Kwa hayo yaliyofanyika awamu. Ya tano wew uliyafurahia kama mwanadamu lakini mungu hakufurahia ndo maana alimuondoa magufuli haraka sana
Nataka kadi ya chama naipataje? Nipo mkoa wa kagera wilaya muleba namba yangu ni 0657952339
Hongera Sana Anord Kwa UZALENDO wako, wewe una Kili kubwa ndiyo maana umetambua kuw CHADEMA ndiyo chama cha siasa pekee IMARA nhini kuing'oa ccm na CCM inajua hivyo ndiyo sababu inazuia Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi paka SASA!!! Nina uhakika wahusika wakiona.namba ya simu yako watakuhudumia.
Arnod nimesahau Jambo muhimu sana nalo ni usiache kujiandikisha Kwa ajili ya kupiga Kura kwa 2024 na 2025 Kura yako 1 Kwa CHADEMA no mtaji mkubwa Sana. Tuko pamoja. NAIPENDA NA KUIKUBALI SANA CHADEMA CHINI YA KAMANDA MH. MBOWE MWENYEKITI BORA WA SISA SAFI NCHINI!!!
Anord unaishi wapi nikuelekeze namna ya kupata kadi mpya za chadema na CDME no mpya? Mm ni kati ya wanaosajili ila nlipenda ufanyie uliko ili iwe rahsi kupata kadi na kulipia hkohko
Chadema ni jiko la viongozi.CCM tuwe makini.Wanaweza kuhamia wote kwetu ili kutusukuma nje kindakindaki
Huyo si mchungaji tena, kakosa uvumilivu, njaa nayo imechangia
kiongozi naona mafua yamekubana sana, au homa ya kuondoka msigwa😷😷😷😷😷
Hao ni watu ambao wanaweza kukiuza
Niwaambie kitu msimtaje taje tena
.mnazirizi sakosi yenu
kwanza sio mhehe ni mngoni mhehe ninavyo mjua mkwawa hakubali kuuza utu wake
Msigwanimuwanji
Petro ni ULANZI
Ni mlevi😂
Ukweli hata hicho kikao hakingekuwepo mmekaa kwasababu ya msigwa kuondoka Nijuavyo mimi chadema iringa mkoa ilikuwa ni msigwa hata kwenye taifa msigwa chadema imepata pigo
Acha uongo wewe
Kutaja CCM nikuipenda
MSIGWA ULISHINDWA KUYATAMBUA HAYA USIFANYE MAAMZ YEYOTE YALE UKIWA NA HASILA AU FULAHA ILIYO PITILIZA MAZALA YAKE UTAKUJA JUTIA
Mwenzako msigwa alisema nyumba itiwe moto akihama wewe unasema utakua wa mwisho
Sura yako mtu njaa kali sana ww wanunulika haraka ww wacha sifa
Chadema ni meli mbovu wala rushwa ninyi kwa mujibu wa mwenyekiti wenu! Chadema cyo chama chako msigwa atakitaja tu kwa unafiki mlionao
Nyinyi mlio uza nchiii je
CDM mazambi ni mengi
Hi I
Jengeni chama kama taasisi, acheni kuabudu watu
Pointi
Nawaunga mkono kaondoka na njaa zake
Lakini naona wengine wamekunja sula
Kiongozi mwenye hofu na mungu ataheshim maandiko matakatifu
Tafuta sera
Wewe.ninyalisi?mbona tulikua tunakusikia alikubania msaliti
Video mbovu inakata
Inaonyesha mmeumia sana Kuhama kwa msigwa nyie bakini na sakosi yenu Mwenzanu kaona mbali
Kwanini hakuona mbali mda wote mpaka aje aondoke wakati wakushindwa uchaguzi..huyo nimroho wamadaraka.
CHADOMOOOO😂😂
Ww unaushahidi kuwa ccm inateka watu ww una jua mengi ulezee viombo vya usalama zaidi ingikuwa wakati awamu ya 5 saa hii umesahaulika hauko tena raia uko polisi waeleza vizuri
Nop.
Hakuna Upinzani Tz.
Mbona maneno yanajirudia
Acha nongwa. Hulazimishwi kusikiliza umejileta mwenyewe.
Chadema sio chama demokrasia ni cha mbowe ww humtaki msigwa kiti cha iringa mjini cha msigwa wacha tisha toto hiyo ww ata mavi ya msigwa huyawezi paka ww
nawaunga mkono yaani kama ndio wamewaza kumsimamisha heri wamwache tu yule mama wa watu sijui mtambakavangu Iringa tunawajua hamyumbishwagi atapigwa asubuhi kura za chap chap
Unaweza ukaanza vizuri ukamaliza vibaya Kwa haya mateso ccm wanayotutesa na musigwa anaenda kuwafunga mkono huu uchungajiwake umevamiwa na shetani asipofunga na kuomba majibu mutayaona
Tumempa pole Mchg Msigwa. Angeondoka mapema au angesubiri hata ipite miezi 6 ndipo aondoke, ila kwa Sasa inamaanisha alitaka kujimilikisha uenyekiti wa kanda ndo kakosa, ameamua kutimiza ndoto zake za kutangatanga.