CHADEMA Iringa Watoa Tamko na Msimamo Sakata la Msigwa Kuhamia CCM "Aache Kuitaja CHADEMA"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.ค. 2024
  • Viongozi CHADEMA Iringa Mjini wakiongozwa na Mwenyekiti wao Frank Nyalusi Wametoa Tamkon lao huku wakielezea msimamo wao juu ya Sakata la Mchungaji Peter Msigwa kuachana na Chama hicho na kuamua kujiunga na CCM.
    "yeye ameachana na CHADEMA, aache kuitaja" -Amesema Frank Nyalusi.
    Subscribe (Focus Digito TV) ili usipitwe na Video mpya zinazotoka kila siku.
    Focus Digito TV inakupa Maudhui Mazuri yanayohusu Habari, Elimu, Mitindo ya maisha, Michezo na Burudani.
    Focus Digito TV is here to provide you with contents about News, Education, Lifestyles, Sports and Entertainments.
    #FocusDigitoTV
    ..................
    Tufuatilie Zaidi kupitia:
    INSTAGRAM, TIKTOK, FACEBOOK, TWITTER (X), THREADS NA GOOGLE WEBSITE YETU YA FOCUS DIGITO TV
    Focus Digito TV is one of the best info-edu-tainment Online Media conveying contents for the Public Interest.
    Asante kwa kuchagua kutufuatilia | Thanks for Subscribing
    We Love You | Tunakupenda
    Regards
    Team FocusDigitoTV
    MCHUNGAJI MSIGWA AFUNGUKA BAADA YA KUJIUNGA NA CCM, ATAJA SABABU ZILIZOMFANYA AONDOKE CHADEMA
    MSIGWA AMLIPUA VIBAYA MBOWE BAADA ya KUHAMIA CCM - AFICHUA MADUDU ya CHADEMA - ''HATUNA
    MSIGWA AFUNGUKA SABABU YAKUITOSA CHADEMA KUHAMIA CCM "MIMI NI MTU MZIMA
    DR.SLAA ANAONGEA SAKATA LA MSIGWA KUHAMIA CCM ZAKARIA OBAD WA CHADEMA KUFICHUA MAZITO
    CHADEMA waionya CCM baada ya kumpokea Mchungaji Peter Msigwa.

ความคิดเห็น • 86

  • @richardmakweta8875
    @richardmakweta8875 3 วันที่ผ่านมา +3

    Mungu awabariki Sana Wana lringa mjini kupigania haki kunahitaji moyo imara Sana ,Nchi hii inahitaji ukombozi wakina ,Mungu awatetee watu wake

  • @eliaskhamis1546
    @eliaskhamis1546 4 วันที่ผ่านมา +12

    Umenena vyema sana Mwenyekiti NYALUSI

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 วันที่ผ่านมา

      hakuna mwanachama makini anayeweza kuama chama kumfuata mtu. Msigwa kamfuata mama kesho mama hayuko atarudi chadema!!??

  • @josephatmhamiji4886
    @josephatmhamiji4886 3 วันที่ผ่านมา +10

    Chadema nichuo kikuu mungu ibariki Chadema naviongozi ote wachadema ote

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn 3 วันที่ผ่านมา +6

    Safi Sana kamanda

  • @edsonkahesi8603
    @edsonkahesi8603 3 วันที่ผ่านมา +3

    Kamwene Iringa, nashukuru kuona bado mko imara sana, nawasilimu kutokea Bukoba.

  • @kagombaEnok
    @kagombaEnok 4 วันที่ผ่านมา +7

    Safi sana Nyalusi tena wewe ndo unafaa kuwa mbunge wa jimbo hilo la Iringa mjini baada ya huyo mroho wa madaraka kukisaliti chama

  • @andrewassey5108
    @andrewassey5108 4 วันที่ผ่านมา +9

    Msigwa ni msaliti aishie mbaliiiiii

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo9870 4 วันที่ผ่านมา +5

    Ubarikiwe sana Mwenyekiti

  • @user-bx3ko9ft5t
    @user-bx3ko9ft5t 4 วันที่ผ่านมา +7

    Mmeni furahisha sana hongereni

  • @alphoncejmrema7912
    @alphoncejmrema7912 4 วันที่ผ่านมา +6

    Asante kiongoz

  • @tumainikibona5252
    @tumainikibona5252 3 วันที่ผ่านมา +3

    Nyalusi uko imara sana hongera

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 4 วันที่ผ่านมา +4

    Wana Iringa hakikisheni Msigwa ajione kuwa CHADEMA haikuwa yeye. Ni msaliti ameshikwa matiti tu kalegea, akavulie gauni lake huko alikoenda.

  • @efatauroki867
    @efatauroki867 4 วันที่ผ่านมา +6

    Muhongeaji yuko vizuri inaonekana uyu jamaa akawa no1 tz kwa kutetea wanyonge ila hajapata chaneli tu

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 2 วันที่ผ่านมา +1

    Nyalusi pamoja na hayo maneno utashangaa kesho tunakusikia upo ccm

  • @AthumanDauda
    @AthumanDauda 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Point kubwa

  • @ofreyking5975
    @ofreyking5975 4 วันที่ผ่านมา +8

    Safi sana msigwa mroho wa madaraka aende zake alishindwa had uchungaji

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq 4 วันที่ผ่านมา +3

    Unaweza ukaanza vizuri ukamaliza vibaya Kwa haya mateso ccm wanayotutesa na musigwa anaenda kuwafunga mkono huu uchungajiwake umevamiwa na shetani asipofunga na kuomba majibu mutayaona

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 3 วันที่ผ่านมา +2

    Wana Iringa Msigwa alikua chain ya viungo vingi,na mnyororo mmoja ukikatika chama kinaunga tena mwingine, kinaendelea...mbinu zozote za ccm za vitisho, hongo,utekaji,nk ili kuua vyama haitafanikiwa!

  • @VedastoKiungo
    @VedastoKiungo 4 วันที่ผ่านมา +3

    Nimekuelewa mzee

  • @leoncebenjamin8107
    @leoncebenjamin8107 3 วันที่ผ่านมา +2

    Safi kabisaa

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo9870 4 วันที่ผ่านมา +2

    Safi sana Mwenyekiti

  • @cyprianboniphace-oz5lw
    @cyprianboniphace-oz5lw 3 วันที่ผ่านมา +1

    Kiongozi aliyekuwa na mvuto kwa watu alikuwa Lowasa aliondoka CCM na watu Chadema ikapata wabunge 48 Msigwa kaondoka yeye na familia yake.

  • @leodgardotmar7198
    @leodgardotmar7198 4 วันที่ผ่านมา +4

    Iringa msituangushe, vanya lukolo

  • @abbiecox1
    @abbiecox1 วันที่ผ่านมา

    MBONA CDM WANAITAJA CCM! MUACHENI MSIGWA ASEME NINYI ENDELEENI NA YENU

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 2 วันที่ผ่านมา

    njaaa hatrr sanaa

  • @josephatmhamiji4886
    @josephatmhamiji4886 3 วันที่ผ่านมา +2

    Msigwa siyo mungu

    • @leonardchoma3765
      @leonardchoma3765 3 วันที่ผ่านมา

      Mungu wenu ni Mbowe.Wataondoka wengi.

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 2 วันที่ผ่านมา +1

    Kupitia msigwa imenifanya nisimwamini mtu Yan msigwa ww Ni kigeugeu umesha fungwa mdomo huko uliko kwenda

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 3 วันที่ผ่านมา +1

    msigwa maamuzi yake ni ya kibnafisi hats hakufikiria familia yake maana haitaaminiwa kwenye taasisi kubwa za nadani na nchi na nje ya nchi kwa mantiki ni damu ya kizazi kischo na msimamamo

  • @OswadSanga-hb2vi
    @OswadSanga-hb2vi 3 วันที่ผ่านมา +1

    Ukweli ni kwamba msigwa kufeli uchaguzi unahama chama tumpuuze msigwa watanzania

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn 3 วันที่ผ่านมา +1

    Amelamba Dora 300000 toka ccm msigwa huyo ili kusariti chadema

  • @salehmdemu5722
    @salehmdemu5722 วันที่ผ่านมา

    Mchungaji msaliti ,,njaa kali

  • @daudimaembe3360
    @daudimaembe3360 2 วันที่ผ่านมา

    Safi kabisaaaa

  • @jmastertz161
    @jmastertz161 3 วันที่ผ่านมา +1

    aende tu yule kwanza mubifsi sana yule

  • @JohnKuyumbe
    @JohnKuyumbe 3 วันที่ผ่านมา +1

    Mnaojielewa bakieni kujenga demokrasia

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575 4 วันที่ผ่านมา

    Sana sana atakalolifanya siku anakuja kwa mkutano atakuwa amewanunua wanaCCM watakuja kujidai wanagama CDM kujiunga CCM kumbe niwalewale!!!

  • @kibemassao6478
    @kibemassao6478 4 วันที่ผ่านมา +4

    Bro unajua kuongea...

  • @yahyahamisi2038
    @yahyahamisi2038 2 วันที่ผ่านมา

    Ccmm wamemchoka jeska 🤣🤣 mchungaji changamkia fursa 🤣🤣 waweza teuliwa au kuwa nbunge 😢😢 CCCM oyeeed 🤣🤣🤣😆

  • @MonayLai
    @MonayLai 4 วันที่ผ่านมา +1

    yaani kwa changamkeni mpate mtu makini jimbo liko wazi hili ushindi wa bureeeeeeeeeeeee 😆😆

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 3 วันที่ผ่านมา

    Kwa hayo yaliyofanyika awamu. Ya tano wew uliyafurahia kama mwanadamu lakini mungu hakufurahia ndo maana alimuondoa magufuli haraka sana

  • @AnordKirizestom
    @AnordKirizestom 4 วันที่ผ่านมา +9

    Nataka kadi ya chama naipataje? Nipo mkoa wa kagera wilaya muleba namba yangu ni 0657952339

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd 3 วันที่ผ่านมา +1

      Hongera Sana Anord Kwa UZALENDO wako, wewe una Kili kubwa ndiyo maana umetambua kuw CHADEMA ndiyo chama cha siasa pekee IMARA nhini kuing'oa ccm na CCM inajua hivyo ndiyo sababu inazuia Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi paka SASA!!! Nina uhakika wahusika wakiona.namba ya simu yako watakuhudumia.

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd 3 วันที่ผ่านมา +1

      Arnod nimesahau Jambo muhimu sana nalo ni usiache kujiandikisha Kwa ajili ya kupiga Kura kwa 2024 na 2025 Kura yako 1 Kwa CHADEMA no mtaji mkubwa Sana. Tuko pamoja. NAIPENDA NA KUIKUBALI SANA CHADEMA CHINI YA KAMANDA MH. MBOWE MWENYEKITI BORA WA SISA SAFI NCHINI!!!

    • @andersonnyahove2867
      @andersonnyahove2867 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Anord unaishi wapi nikuelekeze namna ya kupata kadi mpya za chadema na CDME no mpya? Mm ni kati ya wanaosajili ila nlipenda ufanyie uliko ili iwe rahsi kupata kadi na kulipia hkohko

  • @marthaswai1185
    @marthaswai1185 3 วันที่ผ่านมา

    Chadema ni jiko la viongozi.CCM tuwe makini.Wanaweza kuhamia wote kwetu ili kutusukuma nje kindakindaki

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza482 3 วันที่ผ่านมา

    Huyo si mchungaji tena, kakosa uvumilivu, njaa nayo imechangia

  • @jacksonchatanda9683
    @jacksonchatanda9683 3 วันที่ผ่านมา

    kiongozi naona mafua yamekubana sana, au homa ya kuondoka msigwa😷😷😷😷😷

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si 3 วันที่ผ่านมา

    Hao ni watu ambao wanaweza kukiuza

  • @alphoncejmrema7912
    @alphoncejmrema7912 4 วันที่ผ่านมา +1

    Niwaambie kitu msimtaje taje tena

  • @Kalunirashidi
    @Kalunirashidi 2 วันที่ผ่านมา

    .mnazirizi sakosi yenu

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 3 วันที่ผ่านมา +1

    kwanza sio mhehe ni mngoni mhehe ninavyo mjua mkwawa hakubali kuuza utu wake

  • @ndalahwakulwa4517
    @ndalahwakulwa4517 2 วันที่ผ่านมา

    Petro ni ULANZI
    Ni mlevi😂

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 2 วันที่ผ่านมา

    Ukweli hata hicho kikao hakingekuwepo mmekaa kwasababu ya msigwa kuondoka Nijuavyo mimi chadema iringa mkoa ilikuwa ni msigwa hata kwenye taifa msigwa chadema imepata pigo

  • @petermogha7025
    @petermogha7025 3 วันที่ผ่านมา

    Kutaja CCM nikuipenda

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
    @SmilingFlowerBouquet-hs2hv 3 วันที่ผ่านมา

    MSIGWA ULISHINDWA KUYATAMBUA HAYA USIFANYE MAAMZ YEYOTE YALE UKIWA NA HASILA AU FULAHA ILIYO PITILIZA MAZALA YAKE UTAKUJA JUTIA

  • @khatibabass3106
    @khatibabass3106 4 วันที่ผ่านมา

    Mwenzako msigwa alisema nyumba itiwe moto akihama wewe unasema utakua wa mwisho

  • @AiserAli-mq6sz
    @AiserAli-mq6sz 4 วันที่ผ่านมา

    Sura yako mtu njaa kali sana ww wanunulika haraka ww wacha sifa

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 2 วันที่ผ่านมา

    Chadema ni meli mbovu wala rushwa ninyi kwa mujibu wa mwenyekiti wenu! Chadema cyo chama chako msigwa atakitaja tu kwa unafiki mlionao

    • @user-bx3ko9ft5t
      @user-bx3ko9ft5t 2 วันที่ผ่านมา

      Nyinyi mlio uza nchiii je

  • @eliasmakoye3939
    @eliasmakoye3939 3 วันที่ผ่านมา

    CDM mazambi ni mengi

  • @HabibuSalumu-iv5wl
    @HabibuSalumu-iv5wl 4 วันที่ผ่านมา

    Hi I

  • @dennisungonella205
    @dennisungonella205 3 วันที่ผ่านมา

    Jengeni chama kama taasisi, acheni kuabudu watu

  • @user-qp7ym1lb8y
    @user-qp7ym1lb8y 16 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Pointi

  • @user-rx8uf5ov5q
    @user-rx8uf5ov5q 4 วันที่ผ่านมา

    Nawaunga mkono kaondoka na njaa zake

  • @yohanamsongole6489
    @yohanamsongole6489 4 วันที่ผ่านมา

    Lakini naona wengine wamekunja sula

  • @josephatmhamiji4886
    @josephatmhamiji4886 3 วันที่ผ่านมา +1

    Kiongozi mwenye hofu na mungu ataheshim maandiko matakatifu

  • @MalamboSelijusi
    @MalamboSelijusi 3 วันที่ผ่านมา

    Tafuta sera

  • @Aman-kp4wl
    @Aman-kp4wl 4 วันที่ผ่านมา

    Wewe.ninyalisi?mbona tulikua tunakusikia alikubania msaliti

  • @samwelkavwanga4491
    @samwelkavwanga4491 4 วันที่ผ่านมา

    Video mbovu inakata

  • @user-vl4rz6lf6d
    @user-vl4rz6lf6d 3 วันที่ผ่านมา

    Inaonyesha mmeumia sana Kuhama kwa msigwa nyie bakini na sakosi yenu Mwenzanu kaona mbali

    • @barakalameck7342
      @barakalameck7342 3 วันที่ผ่านมา +2

      Kwanini hakuona mbali mda wote mpaka aje aondoke wakati wakushindwa uchaguzi..huyo nimroho wamadaraka.

  • @NDEWARA
    @NDEWARA 4 วันที่ผ่านมา

    CHADOMOOOO😂😂

  • @AiserAli-mq6sz
    @AiserAli-mq6sz 4 วันที่ผ่านมา

    Ww unaushahidi kuwa ccm inateka watu ww una jua mengi ulezee viombo vya usalama zaidi ingikuwa wakati awamu ya 5 saa hii umesahaulika hauko tena raia uko polisi waeleza vizuri

  • @vascomwalongo451
    @vascomwalongo451 3 วันที่ผ่านมา

    Nop.
    Hakuna Upinzani Tz.

  • @pancrasluoga4584
    @pancrasluoga4584 4 วันที่ผ่านมา

    Mbona maneno yanajirudia

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm 4 วันที่ผ่านมา

      Acha nongwa. Hulazimishwi kusikiliza umejileta mwenyewe.

  • @AiserAli-mq6sz
    @AiserAli-mq6sz 4 วันที่ผ่านมา

    Chadema sio chama demokrasia ni cha mbowe ww humtaki msigwa kiti cha iringa mjini cha msigwa wacha tisha toto hiyo ww ata mavi ya msigwa huyawezi paka ww

  • @MonayLai
    @MonayLai 4 วันที่ผ่านมา +2

    nawaunga mkono yaani kama ndio wamewaza kumsimamisha heri wamwache tu yule mama wa watu sijui mtambakavangu Iringa tunawajua hamyumbishwagi atapigwa asubuhi kura za chap chap

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq 4 วันที่ผ่านมา +1

    Unaweza ukaanza vizuri ukamaliza vibaya Kwa haya mateso ccm wanayotutesa na musigwa anaenda kuwafunga mkono huu uchungajiwake umevamiwa na shetani asipofunga na kuomba majibu mutayaona

    • @sophiemsuya6507
      @sophiemsuya6507 3 วันที่ผ่านมา +1

      Tumempa pole Mchg Msigwa. Angeondoka mapema au angesubiri hata ipite miezi 6 ndipo aondoke, ila kwa Sasa inamaanisha alitaka kujimilikisha uenyekiti wa kanda ndo kakosa, ameamua kutimiza ndoto zake za kutangatanga.