KIMENUKA ACT WATOA KAULI KWA TAHARUKI ILOSAMBAA MAZRUI KUFUKUZWA ACT

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ค. 2024
  • TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
    #Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi

ความคิดเห็น • 62

  • @afropanorama4730
    @afropanorama4730 6 วันที่ผ่านมา +2

    maendeleo ndio muhimu,hizi kelele za kwenye majukwaa zimeanza miaka nenda na hakuna liwalo,wanasiasa nyote waropokaji tu

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalim 8 วันที่ผ่านมา +4

    Mazurui anapenda kuropokwa, hapimi Cha kuongea ,hutoa tu yaliomo mdomoni.😂

    • @Jal210
      @Jal210 3 วันที่ผ่านมา

      Mazurui anasema ukweli

  • @Jal210
    @Jal210 3 วันที่ผ่านมา

    Kasema ukweli maendeleo yanawndelea na yanaonekana msema ukweli mpenzi wa mungu,

  • @issakhamis9581
    @issakhamis9581 9 วันที่ผ่านมา +4

    Upo saw kamanda

    • @issakhamis9581
      @issakhamis9581 9 วันที่ผ่านมา

      Mbon nanabii issa hajaoa mpak leo

  • @BinshakbuHemed-gb2zi
    @BinshakbuHemed-gb2zi 8 วันที่ผ่านมา +2

    Wewe. Unaesema. Siorahi. Tambua. Mungu. Hashindwi. Nakitu. Kma. Unamafuta. Kweye. Akiliyako

  • @yahyahamisi2038
    @yahyahamisi2038 8 วันที่ผ่านมา +3

    Zitto kabwe katiba mpyaaaaaaa 😂😂😂 hii ni longo longo ya ki si hasa 😂 nyambafu zetu 👎👎👎

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 9 วันที่ผ่านมา +2

    Hawajakufahamu kabisaa

  • @salyali7807
    @salyali7807 7 วันที่ผ่านมา +3

    Mh Jussa ananikosha ... sichoki kumsikiliza .. May Allah amhifadhi .. Allahumma ameen

  • @user-lr6qx9df4z
    @user-lr6qx9df4z 5 วันที่ผ่านมา +1

    Kwani kusifia kitu ambacho kinaonekana kuna ubaya gani mie ndio mana siasa za kitanzani wala sizitaki ni siasa za kibwege tu

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 9 วันที่ผ่านมา +5

    kwani kuna ubaya gani kusifia Maendeleo na wakati yanaonekana?

    • @user-pe9nq3wu4p
      @user-pe9nq3wu4p 8 วันที่ผ่านมา +1

      Hakuna maendele yo yote

    • @abubakarshamuhuni3894
      @abubakarshamuhuni3894 8 วันที่ผ่านมา +1

      Maendeleo gani ulioyaona wewe

    • @salyali7807
      @salyali7807 7 วันที่ผ่านมา

      Maendeleo ya madeni

    • @Rukaiya-lt3hm
      @Rukaiya-lt3hm 4 วันที่ผ่านมา

      Maendeleo gani ulioyaona wewe

  • @mbarakahaji4302
    @mbarakahaji4302 8 วันที่ผ่านมา +1

    Wewe ndio muflis wa siasa

  • @user-hj4zt1kw4i
    @user-hj4zt1kw4i 9 วันที่ผ่านมา +2

    Wataka awe shemeji yako?
    Taja mahar ya dada yako

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 8 วันที่ผ่านมา

    Kiukweli mazruui hasomeki 😂😂😂

  • @user-lr6qx9df4z
    @user-lr6qx9df4z 5 วันที่ผ่านมา

    Huyu jussa hana tofauti na wahubiri dini mana huyu kila kukicha anahubiri anacho kiongea wala hakieleweki

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 8 วันที่ผ่านมา +2

    Acha matusi mtu mzima hovyo

    • @Rukaiya-lt3hm
      @Rukaiya-lt3hm 4 วันที่ผ่านมา

      Maalim alitukanwa sana mbona haukuumia ww

  • @alinasor8553
    @alinasor8553 5 วันที่ผ่านมา

    Iyo siasa

  • @yahyahamisi2038
    @yahyahamisi2038 8 วันที่ผ่านมา +1

    Cuf au 😂😂😂😂

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 8 วันที่ผ่านมา +1

    Acha dharau masikini wewe

  • @MAGARITanzania
    @MAGARITanzania 8 วันที่ผ่านมา +2

    Zanzibar maendeleo yapo wazi hayataki tochi, mtu asiyeona basi hataki tu kuyaona.

    • @awadhsalim2680
      @awadhsalim2680 8 วันที่ผ่านมา +1

      Maendeleo ya kuharibika kwa maadili😂

    • @Aisha-lj8bu
      @Aisha-lj8bu 8 วันที่ผ่านมา +1

      Njaaimezidi bila yashibe hakuna maendeleo

    • @omarmohammed5157
      @omarmohammed5157 8 วันที่ผ่านมา +1

      Unajuwa maaana ya maemdeleo au unaona majengo tu???😂😂😂😂😂

    • @Rukaiya-lt3hm
      @Rukaiya-lt3hm 4 วันที่ผ่านมา

      Kama yapi

  • @FamilyVideos-pt1mo
    @FamilyVideos-pt1mo 5 วันที่ผ่านมา

    Hivi bado znz kuna ccm?

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 6 วันที่ผ่านมา

    Mazrui anajitambua kuliko wewe!!

  • @Ablahisaid
    @Ablahisaid 8 วันที่ผ่านมา +1

    Mm mwenye nashanga mazuri alipigwa na ccm mpaka kutupwa Leo hii aingie ccm yani negelimuona si mtu kwli ukiangalia jisi walivyokua na mwalimu seif kukilea chama hadi hii atoke

    • @alimohammedomar3412
      @alimohammedomar3412 6 วันที่ผ่านมา

      Usishangae kwani hata Juma Othman alipigwa hadi akachakaa lakini baadae alirudia ccm na kupewa ubalozi kwa tamaa yake

  • @jumA-th7rs
    @jumA-th7rs 2 วันที่ผ่านมา

    Nyie hamueleweki mnataka nn. Eleweni Zanzibar hamuipati ngoo kama kupewa ilikua mpewe na karume lakini kashindwa na Hakuna hata nchi moja iliolisema hili.

    • @jumamuhd620
      @jumamuhd620 วันที่ผ่านมา

      Km anatoa babaako haipatikani lkn km mtoaji ni mungu basi mungu anampa amtakae bl y hesabu

  • @user-ri1yr8ks7y
    @user-ri1yr8ks7y 7 วันที่ผ่านมา

    Hy

  • @KhamisMwafrika
    @KhamisMwafrika 6 วันที่ผ่านมา

    hatumtaki tena huyobwana kashakupa fupa

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 8 วันที่ผ่านมา

    Sio Rahisi kuing'oa chama changu .wewe ongea kujifurahisha lakkini ni kitu ambacho hakiwezekani

  • @user-xv4tl8iv4l
    @user-xv4tl8iv4l 6 วันที่ผ่านมา

    ATOKE HADHARANI MWENYEWE MAZURUI ASEME SIO ASEMEWE. HAJAFA, YUHAI KWA NINI AWALISHE MANENO ? YEYE ALISEMA HADHARANI ATOKE HADHARANI ANAOGOPA NINI

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa838 8 วันที่ผ่านมา +2

    BARUDHUL WW NN ASIYEKUJUWA

    • @Aisha-lj8bu
      @Aisha-lj8bu 8 วันที่ผ่านมา +1

      Sw yy nibaradhuli naww nibashawake mjinga ww

  • @Jal210
    @Jal210 3 วันที่ผ่านมา

    Pimbi ni wewe mjinga huna adabu

  • @umsalim6515
    @umsalim6515 8 วันที่ผ่านมา +1

    Acheni bwabwaja, chama kilikuwa na nguvu kilipokuwa cha wazanzibar halisi, CUF, tangu mlipokipeleka bara mkawapa kanisa basi bwabwaja tu. Tizameni shughuli nyingi za makanisa rangi zao zipi ?

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 8 วันที่ผ่านมา

    aunajiangaisha bure siyo rahisi kuitoa Ccm Zanzibar tutawstoa mnio kwetu bara mpaka mtakoma madukavyenu mtahama nayo huko kwenu hamtoshi na bara ndiko kwenye biasha jaribuni muone cha moto

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 8 วันที่ผ่านมา +1

      Margaret,bila ya nguvu ya vyombo vya dola(polisi na jeshi),hamna ccm

    • @KibondoPaje222
      @KibondoPaje222 8 วันที่ผ่านมา +1

      HUO NI UFALA WAKO KAMA HUKO MLIKO KAMA KUZURI MBONA WAMEJAAAA HUKU VICHOGOOOO

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg 8 วันที่ผ่านมา +1

    Wanafiki wakubwa, watu wmeuwawa nyie mnakimbilia nafasi tatu, Acha Meiny aendelee kuwa Ris wetu

  • @Jal210
    @Jal210 3 วันที่ผ่านมา

    Muflusi ni wewe mpumbavu

  • @KhamisMwafrika
    @KhamisMwafrika 6 วันที่ผ่านมา

    amenunuliwa kashapewa pesahuyo

  • @user-lr6qx9df4z
    @user-lr6qx9df4z 5 วันที่ผ่านมา

    Hayo maneno ya kisiasa tu unakumbuka mzigwa aliongea nini wakati yupo kule na kujiunga CCM hayo ni maneno ya kisiasa tu na huenda pia huyo MH manzruwi pia akahamia CCM pia nae nyie wana siasa mnaaninika basi nyie si wapiga dili tu Tanzania kuna siasa kuna wapiga dili

  • @user-bi1tz8jp9f
    @user-bi1tz8jp9f 9 วันที่ผ่านมา +2

    Kumbe jussa wamjua mtume,naona hujaowa mpaka leo

    • @delasdiego6537
      @delasdiego6537 9 วันที่ผ่านมา +2

      Anamsubiria dada Yako pumbav

    • @husseinkonz5192
      @husseinkonz5192 8 วันที่ผ่านมา

      Kuoa mchezo 😂

    • @user-jh5ne9mw4w
      @user-jh5ne9mw4w 8 วันที่ผ่านมา +1

      Kwni unapata dhambi ukiwa hujaowa

    • @user-st9me2jn7o
      @user-st9me2jn7o 8 วันที่ผ่านมา

      Owa ww peke ako

    • @Aisha-lj8bu
      @Aisha-lj8bu 8 วันที่ผ่านมา +1

      Mpe dadaako atamuowa

  • @shekhanalyz1683
    @shekhanalyz1683 6 วันที่ผ่านมา

    Siasa hizo zimeshapitwa na wakati kama kiongozi anafanya vizur mpeni maua yake haijalisha chama tawala au upinzani kama mbunge wa upinzani anafanya vizuri mpeni mau kama tawala mpeni maua.