KIMENUKA ACT WATOA KAULI KWA TAHARUKI ILOSAMBAA MAZRUI KUFUKUZWA ACT
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ค. 2024
- TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
#Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi
maendeleo ndio muhimu,hizi kelele za kwenye majukwaa zimeanza miaka nenda na hakuna liwalo,wanasiasa nyote waropokaji tu
Mazurui anapenda kuropokwa, hapimi Cha kuongea ,hutoa tu yaliomo mdomoni.😂
Mazurui anasema ukweli
Kasema ukweli maendeleo yanawndelea na yanaonekana msema ukweli mpenzi wa mungu,
Upo saw kamanda
Mbon nanabii issa hajaoa mpak leo
Wewe. Unaesema. Siorahi. Tambua. Mungu. Hashindwi. Nakitu. Kma. Unamafuta. Kweye. Akiliyako
Zitto kabwe katiba mpyaaaaaaa 😂😂😂 hii ni longo longo ya ki si hasa 😂 nyambafu zetu 👎👎👎
Hawajakufahamu kabisaa
Mh Jussa ananikosha ... sichoki kumsikiliza .. May Allah amhifadhi .. Allahumma ameen
Hamna kitu hapo
Kwani kusifia kitu ambacho kinaonekana kuna ubaya gani mie ndio mana siasa za kitanzani wala sizitaki ni siasa za kibwege tu
kwani kuna ubaya gani kusifia Maendeleo na wakati yanaonekana?
Hakuna maendele yo yote
Maendeleo gani ulioyaona wewe
Maendeleo ya madeni
Maendeleo gani ulioyaona wewe
Wewe ndio muflis wa siasa
Wataka awe shemeji yako?
Taja mahar ya dada yako
Kiukweli mazruui hasomeki 😂😂😂
Huyu jussa hana tofauti na wahubiri dini mana huyu kila kukicha anahubiri anacho kiongea wala hakieleweki
Acha matusi mtu mzima hovyo
Maalim alitukanwa sana mbona haukuumia ww
Iyo siasa
Cuf au 😂😂😂😂
Acha dharau masikini wewe
Zanzibar maendeleo yapo wazi hayataki tochi, mtu asiyeona basi hataki tu kuyaona.
Maendeleo ya kuharibika kwa maadili😂
Njaaimezidi bila yashibe hakuna maendeleo
Unajuwa maaana ya maemdeleo au unaona majengo tu???😂😂😂😂😂
Kama yapi
Hivi bado znz kuna ccm?
Mazrui anajitambua kuliko wewe!!
Mm mwenye nashanga mazuri alipigwa na ccm mpaka kutupwa Leo hii aingie ccm yani negelimuona si mtu kwli ukiangalia jisi walivyokua na mwalimu seif kukilea chama hadi hii atoke
Usishangae kwani hata Juma Othman alipigwa hadi akachakaa lakini baadae alirudia ccm na kupewa ubalozi kwa tamaa yake
Nyie hamueleweki mnataka nn. Eleweni Zanzibar hamuipati ngoo kama kupewa ilikua mpewe na karume lakini kashindwa na Hakuna hata nchi moja iliolisema hili.
Km anatoa babaako haipatikani lkn km mtoaji ni mungu basi mungu anampa amtakae bl y hesabu
Hy
hatumtaki tena huyobwana kashakupa fupa
Sio Rahisi kuing'oa chama changu .wewe ongea kujifurahisha lakkini ni kitu ambacho hakiwezekani
ATOKE HADHARANI MWENYEWE MAZURUI ASEME SIO ASEMEWE. HAJAFA, YUHAI KWA NINI AWALISHE MANENO ? YEYE ALISEMA HADHARANI ATOKE HADHARANI ANAOGOPA NINI
BARUDHUL WW NN ASIYEKUJUWA
Sw yy nibaradhuli naww nibashawake mjinga ww
Pimbi ni wewe mjinga huna adabu
Acheni bwabwaja, chama kilikuwa na nguvu kilipokuwa cha wazanzibar halisi, CUF, tangu mlipokipeleka bara mkawapa kanisa basi bwabwaja tu. Tizameni shughuli nyingi za makanisa rangi zao zipi ?
aunajiangaisha bure siyo rahisi kuitoa Ccm Zanzibar tutawstoa mnio kwetu bara mpaka mtakoma madukavyenu mtahama nayo huko kwenu hamtoshi na bara ndiko kwenye biasha jaribuni muone cha moto
Margaret,bila ya nguvu ya vyombo vya dola(polisi na jeshi),hamna ccm
HUO NI UFALA WAKO KAMA HUKO MLIKO KAMA KUZURI MBONA WAMEJAAAA HUKU VICHOGOOOO
Wanafiki wakubwa, watu wmeuwawa nyie mnakimbilia nafasi tatu, Acha Meiny aendelee kuwa Ris wetu
Muflusi ni wewe mpumbavu
amenunuliwa kashapewa pesahuyo
Hayo maneno ya kisiasa tu unakumbuka mzigwa aliongea nini wakati yupo kule na kujiunga CCM hayo ni maneno ya kisiasa tu na huenda pia huyo MH manzruwi pia akahamia CCM pia nae nyie wana siasa mnaaninika basi nyie si wapiga dili tu Tanzania kuna siasa kuna wapiga dili
Kumbe jussa wamjua mtume,naona hujaowa mpaka leo
Anamsubiria dada Yako pumbav
Kuoa mchezo 😂
Kwni unapata dhambi ukiwa hujaowa
Owa ww peke ako
Mpe dadaako atamuowa
Siasa hizo zimeshapitwa na wakati kama kiongozi anafanya vizur mpeni maua yake haijalisha chama tawala au upinzani kama mbunge wa upinzani anafanya vizuri mpeni mau kama tawala mpeni maua.