Msigwa Aripoti CCM Iringa Mjini | Aahidi Kuitumikia CCM kwa Nguvu Zote kama Alivyokuwa CHADEMA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ค. 2024
  • Mchungaji Peter Msigwa ameripoti rasmi katika ofisi za Chama cha Mapinduzi (CCM) Iringa Mjini ikiwa ni siku chache zimepita tangu aachane na CHADEMA na kujiunga na CCM ambapo amepokelewa kwa shangwe na kufanya mazungumzo maalum na viongozi wa Kamati ya Siasa ya CCM katika ofisi hizo.
    Wakati akizungumza mara baada ya kupokelewa katika ofisi za CCM Iringa Mjini Julai 09, 2024, Mchungaji Msigwa amesema kuwa yupo tayari kutoa ushirikiano wa kutosha ili kuwaonesha wananchi ni kwanini wanatakiwa kumuunga Mkono Rais Samia Suluhu Hassan kwa juhudi kubwa anazofanya kuiletea maendeleo Tanzania.
    Subscribe (Focus Digito TV) ili usipitwe na Video mpya zinazotoka kila siku.
    Focus Digito TV inakupa Maudhui Mazuri yanayohusu Habari, Elimu, Mitindo ya maisha, Michezo na Burudani.
    Focus Digito TV is here to provide you with contents about News, Education, Lifestyles, Sports and Entertainments.
    #FocusDigitoTV
    ..................
    Tufuatilie Zaidi kupitia:
    INSTAGRAM, TIKTOK, FACEBOOK, TWITTER (X), THREADS NA GOOGLE WEBSITE YETU YA FOCUS DIGITO TV
    Focus Digito TV is one of the best info-edu-tainment Online Media conveying contents for the Public Interest.
    Asante kwa kuchagua kutufuatilia | Thanks for Subscribing
    We Love You | Tunakupenda
    Regards
    Team FocusDigitoTV
    MSIGWA AFUNGUKA SABABU YAKUITOSA CHADEMA KUHAMIA CCM "MIMI NI MTU MZIMA
    MCHUNGAJI MSIGWA AFUNGUKA BAADA YA KUJIUNGA NA CCM, ATAJA SABABU ZILIZOMFANYA AONDOKE CHADEMA.
    MBOWE na LEMA WAMLIPUA VIBAYA PETER MSIGWA - WAMWITA MSALITI - WAFICHUA ALICHOKIFUATA
    DR.SLAA ANAONGEA SAKATA LA MSIGWA KUHAMIA CCM ZAKARIA OBAD WA CHADEMA KUFICHUA MAZITO
    MSIGWA WA CHADEMA AIBUKIA CCM RAIS SAMIA AMPOKEA

ความคิดเห็น • 92

  • @omarysheha-lc3cu
    @omarysheha-lc3cu 15 วันที่ผ่านมา +5

    Pesa za Mama Abdul zinfanya kazi

  • @adenmwakalobo760
    @adenmwakalobo760 15 วันที่ผ่านมา +3

    Duuuh kweli nchi imeharibika, watu wanajiuza mchana kweupe bila chembe ya soni eti "badala ya ku-compete, kwa nini nisi-collaborate" kumbe kanunuliwa! Yeyote aliyedhani tunauongozi, aanze kujua kwamba kila kitu kimeparaganyoka walioko madarakani kazi yao ni kuhonga watu ili wakae madarakani, basi!! Hatari kubwa...

  • @OswadSanga-hb2vi
    @OswadSanga-hb2vi 15 วันที่ผ่านมา +6

    Unaona aibu wewe kwa mungu huendi

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 15 วันที่ผ่านมา +4

    Huna sela ww kwendaaa

  • @erickmsigala138
    @erickmsigala138 15 วันที่ผ่านมา +3

    Unanuka mavi Mungu utakupiga kipigo hutaamini maisha yako pesa na vyoote ni vya muda tu cheo cha dhuluma ni laana imeikaribisha nyumbani kwako.

    • @ndogoroedson199
      @ndogoroedson199 11 วันที่ผ่านมา

      We nan? Mavi ya popo ww? Achana na Msigwa kabisa endeleeni kukalia mawe ya kikabila hayo ni upuuzi kubaki chama cha wanywa mbege

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo9870 15 วันที่ผ่านมา +3

    Mie na familia yangu tulikuwa wafuasi wako ila kwa sasa bye see you sina urafiki na msaliti yaani wewe umeenda kufuata cheo na vipande 30 ukaacha kuwa sauti ya wasio na sauti. Na umekubali kufa kisiasa. RIP

    • @brunomirambi8792
      @brunomirambi8792 15 วันที่ผ่านมา

      MSALITI MBOWE HAYO MANENO PELEKA KWA MBOWE MWENYEKITI GANI WA KUKAA MADARAKAN MIAKA 30??? ACHA POROJO ACHA POROPAGANDA

  • @user-wz3ne2kc3o
    @user-wz3ne2kc3o 15 วันที่ผ่านมา +3

    Mzee ameanza kumtukuza mama,😮

  • @piusjuma7384
    @piusjuma7384 15 วันที่ผ่านมา +5

    Jimbo tayr Lina mtu ucje ukafikr utachukua jimbo

  • @adammbuba7230
    @adammbuba7230 15 วันที่ผ่านมา +3

    Safi sana msigwa

  • @HulumaKisakali
    @HulumaKisakali 9 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu anakuona

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 15 วันที่ผ่านมา +2

    yaani shavu limenona muda mfupi kweli pesa za Samia zimefanya kazi

  • @user-zg4yz7je8d
    @user-zg4yz7je8d 15 วันที่ผ่านมา +3

    Limekaa kama msukure pumbavu zako msariti usiyekuwa na haya na unatumia jina la kudharilisha uchungaji

  • @samsonogunde4508
    @samsonogunde4508 15 วันที่ผ่านมา +2

    Katoka Mwenyewe kwa Pesa za Mama tu

  • @user-rl6vf9tg8m
    @user-rl6vf9tg8m 15 วันที่ผ่านมา +2

    Mmmmmmmmmmmh huyo ni msingwa au sion

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 15 วันที่ผ่านมา +2

    Msigwa umejidhalilisha, unatembea bila suti. Rushwa na njaa imekudhalilisha.

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 15 วันที่ผ่านมา +1

    Safi sana Msigwa, umeachana na chama cha kikabila, kidini na kikanda

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana8654 15 วันที่ผ่านมา +2

    Hiyo ndio ccm utatumika baada ya hapo-------

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 15 วันที่ผ่านมา +1

    Hofu imtawale huyu msaliti kwajina la yesu

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s 15 วันที่ผ่านมา +2

    Mhhh hata haibu hana,ni ufisadi tu

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq 15 วันที่ผ่านมา +2

    Yaani wewe huna lolote kuiamini ccm ni sawa na kumwamini shetani tutakukubari huyo mama yako akitupatia katiba mpya

  • @Peterchipemba
    @Peterchipemba 15 วันที่ผ่านมา +2

    Unakwepa mavazi ya ccm

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 6 วันที่ผ่านมา

    Mkimbizi mpooo❤

  • @MathewsSikazwe-up4qd
    @MathewsSikazwe-up4qd 13 วันที่ผ่านมา

    watz kweri kabisa nikichwa Cha wendawazim, watu wanawaza Leo tu kesho ni Giza Totoro hatari Sana.

  • @piusmdoe3200
    @piusmdoe3200 15 วันที่ผ่านมา

    Umeshindwa kusoma nyakati na majira.
    Ungesubiri tusingesema ni baada ya kukosa.

  • @samsonogunde4508
    @samsonogunde4508 15 วันที่ผ่านมา +1

    Mchungaji hata Aibu huna

  • @saidybhoky-lb7hg
    @saidybhoky-lb7hg 13 วันที่ผ่านมา

    😂acha njaa kaka

  • @saidmushehe
    @saidmushehe 10 วันที่ผ่านมา

    Hizi ni Sasa za Tanzania ...Mm Wala sisashangai

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234 10 วันที่ผ่านมา

    Huyu jamaa akachunguzwe akili sio mzima. Hafai hata kuonekana mbele ya Watanzania

  • @user-xx1je7sy4h
    @user-xx1je7sy4h 13 วันที่ผ่านมา

    Tayari kishakuwa chawa pumbavu zako mbwa wew

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 12 วันที่ผ่านมา

    kama yuda vile nahisi atajinyonga Kwa usaliti

  • @JJ-fb9jp
    @JJ-fb9jp 10 วันที่ผ่านมา

    Mbona kama wapambe ni wanafunzi wa sekondari?

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 15 วันที่ผ่านมา +1

    Chama mbogamboga cha kusomba watu kuwapikia wali haragwe cha machawa umeacha kupigania haki utalaaniwa

  • @dennisungonella205
    @dennisungonella205 12 วันที่ผ่านมา

    Haahaa msigwa kafilisika, kafuata mlo ccm😂😂

  • @AizackKalenge-ro5rc
    @AizackKalenge-ro5rc 12 วันที่ผ่านมา

    Msigwa unadhani utaibomoa Chadema?

  • @willykomba8376
    @willykomba8376 7 วันที่ผ่านมา

    NJAA Mweee 😢

  • @majidimussa8678
    @majidimussa8678 13 วันที่ผ่านมา

    mbona nyuma yke kuna kamanda kavalia nguo ndan

  • @geofreykasinda1895
    @geofreykasinda1895 11 วันที่ผ่านมา

    Yani watanzania bado atuja amuwa, kama tungeamka hawa ccm wasinge kuwepo madarakani

  • @adeltuszakumuha9618
    @adeltuszakumuha9618 15 วันที่ผ่านมา +2

    Shenzi

  • @makobamasawemangu4122
    @makobamasawemangu4122 13 วันที่ผ่านมา

    Jamaa linasema ccm oye huku limekunja ngumi hili niliana Chadema kabisa wana ccm tustukeni

  • @ramawilson3709
    @ramawilson3709 11 วันที่ผ่านมา

    Umekuwa lipumbavu kwelikweli

  • @makobamasawemangu4122
    @makobamasawemangu4122 13 วันที่ผ่านมา

    Mbona kama naona kunalijamaa limevaa tisheti ya Chadema hapo nyuma

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatv 13 วันที่ผ่านมา

    Pyeerrerrrrrr

  • @aloycemisigalo3983
    @aloycemisigalo3983 11 วันที่ผ่านมา

    Msukuma alisema kweli kabisa huyu ni zaidi ya shetani kabisa, huyu kakubali kununuliwa kwa vpande 30 vya fedha.

  • @Aida-qh3jq
    @Aida-qh3jq 13 วันที่ผ่านมา

    Mtaogea kila siku ccm haifai mpka mnakufa mnaiacha ccm inaogoz tu naimani na hilo

  • @MichaelMwasese
    @MichaelMwasese 13 วันที่ผ่านมา

    Kumbe njaa mchungaji wa ,mchongo kama ww na yuda esc mtakuwa kun za kuchomea wengineo

  • @salumbujjo2320
    @salumbujjo2320 14 วันที่ผ่านมา

    Anaongea ila moyoni anaumia sana huwa uovu ni ugongwa ukubwa kuliko magonwa ya kuumiza

  • @user-jo9gp5tb9w
    @user-jo9gp5tb9w 9 วันที่ผ่านมา

    Wewe nimsaliti mkubwa unakua kma vile unakua wakike

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 15 วันที่ผ่านมา

    Wale wanataka kumuunga mkono Msigwa, wamejinyea.

  • @Aida-qh3jq
    @Aida-qh3jq 13 วันที่ผ่านมา

    Fanya kazi msingwa acha waseme usiku na mchana

  • @OdiloMagungu-uf5is
    @OdiloMagungu-uf5is 15 วันที่ผ่านมา +2

    Mzee umekwisha

  • @aloycemisigalo3983
    @aloycemisigalo3983 11 วันที่ผ่านมา

    Ukaribisho wa watoto, wewe ni hovyo kabisa, njaa mbaya sana.

  • @bazilmateru915
    @bazilmateru915 12 วันที่ผ่านมา

    Gen z ya Tanzanian

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn 11 วันที่ผ่านมา

    Chadema imekupendezesha wewe na imekutoa mbali

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu8873 15 วันที่ผ่านมา

    Huyu hana muda mrefu wa kisiasa eti huyu ni mchungaji

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u 14 วันที่ผ่านมา

    Wewe unasiasa za kinafiki shida njaa kali

  • @user-bz3kk5te4m
    @user-bz3kk5te4m 15 วันที่ผ่านมา

    Kazi ipo hapo na Wana ccm wenyewe

  • @simonmalegesi414
    @simonmalegesi414 13 วันที่ผ่านมา

    Jamaa kangara sura 😂😂😂😂

  • @user-qy9fj3yo2t
    @user-qy9fj3yo2t 13 วันที่ผ่านมา

    Mbona kama hayuko serious Nina mashaka naye

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 12 วันที่ผ่านมา

    kuuza badar

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana8654 15 วันที่ผ่านมา

    Na za ziara za Mwanza ikoje mbona husemi

  • @stevenibrahimu326
    @stevenibrahimu326 13 วันที่ผ่านมา

    hata sura inaonyesha mnafiki sana

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatv 13 วันที่ผ่านมา

    Nimecheka halina Aibu

  • @user-zu8ou2oe4c
    @user-zu8ou2oe4c 13 วันที่ผ่านมา

    Huna lolote unawaalika chama chako cha zamn nani aje kukusikilxa ww mpuuz

  • @GaradiGaradi-zq1wf
    @GaradiGaradi-zq1wf 15 วันที่ผ่านมา

    Umepata ajali ya kisiasa uchawa wako ukiupeka ccm umeisha hao wanajuana.

  • @mgungulem3187
    @mgungulem3187 11 วันที่ผ่านมา

    Ms#nge

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
    @SmilingFlowerBouquet-hs2hv 7 วันที่ผ่านมา

    Umekwisha kisiasa ww? Lushwa imekuponza

  • @timothchidebwe
    @timothchidebwe 14 วันที่ผ่านมา

    Siwezi .Kuna .kumsikiliza .mwehu

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 12 วันที่ผ่านมา

    ms igwA lost darection why no confidence on ccm as the powerforce msigwA was before even voice that moray msigwA was in chadema is the different msigwA we know him that anounciment all political party attend his first meeting in lringia home place msigwA lost popularity l don't think so if chadema will attend that call for msigwA to leasening him on thouse opposition leader l don't think so number 2 ccm has got no problem of politician problems of ccm reality underground speak reality underground wich msigwA cant be free wil be Force and control by ccm what to say with limit hapo ndipo patakapo mkwaza msigwA kupangiwa cha kusema na kuwa monitor maneno ya kusema ndani ya ccm tofouti km angekuwa 4:33 upinzani chama kingine angelikuwa na nguvu

  • @user-fx4pr4vp8p
    @user-fx4pr4vp8p 12 วันที่ผ่านมา

    Hana aman

  • @ZuhuraMarande-fl2zw
    @ZuhuraMarande-fl2zw 13 วันที่ผ่านมา

    Kinyambe😅😅😅😅😅

  • @sadamshantiwa9749
    @sadamshantiwa9749 15 วันที่ผ่านมา

    Zakayo

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur 15 วันที่ผ่านมา

    Duuuuu!!!

  • @sizorstartv6168
    @sizorstartv6168 12 วันที่ผ่านมา

    Msigwa umesikitisha watanzania ..umekuwa msaliti wa ajabu ajabu .. hatuamini machoni mwetu ..ila pigo likukute kama farao katika biblia ..leo unaonekana na kujidhalilisha kisa cheo..kumbe kupigania kwako haki za wanachi ilikuwa geresha bali wataka cheo ..Hakika hustahili hata huko CCM muwe nae makini msimwamini kirahisi

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234 10 วันที่ผ่านมา

    Msigwa ni cartoon comedian hafai

  • @user-nf1tg3kt3y
    @user-nf1tg3kt3y 15 วันที่ผ่านมา

    Mkundu wako uliojaa mavi mpumbavu sana wewe yaani huna tofauti na Malaya anaotembea na kila mwanaume

    • @huyu1993
      @huyu1993 15 วันที่ผ่านมา

      Malaya unamjua ?

  • @christophersimoni1434
    @christophersimoni1434 13 วันที่ผ่านมา

    pimbi wewe😅😅

  • @lucksonsikaona505
    @lucksonsikaona505 14 วันที่ผ่านมา

    Mukundu kabisa msgwa wewe ni motoni ya jehenamu

  • @user-md4ui2qw5n
    @user-md4ui2qw5n 10 วันที่ผ่านมา

    Yuda msigwa mkundu wako

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 15 วันที่ผ่านมา

    Mpumbavu mkubwa

  • @rahmazahor4333
    @rahmazahor4333 15 วันที่ผ่านมา

    Msigwa oyeeeer

  • @ngurukitv4584
    @ngurukitv4584 8 วันที่ผ่านมา

    Looking good follow back done 🇱🇷 ✔ 👍 ❤❤❤❤❤❤

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 15 วันที่ผ่านมา

    Safi sana msugwa

  • @brunomirambi8792
    @brunomirambi8792 15 วันที่ผ่านมา

    MSIGWA UNAJUA SANA AKILI KUBWA