Msigwa Aripoti CCM Iringa Mjini | Aahidi Kuitumikia CCM kwa Nguvu Zote kama Alivyokuwa CHADEMA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ค. 2024
- Mchungaji Peter Msigwa ameripoti rasmi katika ofisi za Chama cha Mapinduzi (CCM) Iringa Mjini ikiwa ni siku chache zimepita tangu aachane na CHADEMA na kujiunga na CCM ambapo amepokelewa kwa shangwe na kufanya mazungumzo maalum na viongozi wa Kamati ya Siasa ya CCM katika ofisi hizo.
Wakati akizungumza mara baada ya kupokelewa katika ofisi za CCM Iringa Mjini Julai 09, 2024, Mchungaji Msigwa amesema kuwa yupo tayari kutoa ushirikiano wa kutosha ili kuwaonesha wananchi ni kwanini wanatakiwa kumuunga Mkono Rais Samia Suluhu Hassan kwa juhudi kubwa anazofanya kuiletea maendeleo Tanzania.
Subscribe (Focus Digito TV) ili usipitwe na Video mpya zinazotoka kila siku.
Focus Digito TV inakupa Maudhui Mazuri yanayohusu Habari, Elimu, Mitindo ya maisha, Michezo na Burudani.
Focus Digito TV is here to provide you with contents about News, Education, Lifestyles, Sports and Entertainments.
#FocusDigitoTV
..................
Tufuatilie Zaidi kupitia:
INSTAGRAM, TIKTOK, FACEBOOK, TWITTER (X), THREADS NA GOOGLE WEBSITE YETU YA FOCUS DIGITO TV
Focus Digito TV is one of the best info-edu-tainment Online Media conveying contents for the Public Interest.
Asante kwa kuchagua kutufuatilia | Thanks for Subscribing
We Love You | Tunakupenda
Regards
Team FocusDigitoTV
MSIGWA AFUNGUKA SABABU YAKUITOSA CHADEMA KUHAMIA CCM "MIMI NI MTU MZIMA
MCHUNGAJI MSIGWA AFUNGUKA BAADA YA KUJIUNGA NA CCM, ATAJA SABABU ZILIZOMFANYA AONDOKE CHADEMA.
MBOWE na LEMA WAMLIPUA VIBAYA PETER MSIGWA - WAMWITA MSALITI - WAFICHUA ALICHOKIFUATA
DR.SLAA ANAONGEA SAKATA LA MSIGWA KUHAMIA CCM ZAKARIA OBAD WA CHADEMA KUFICHUA MAZITO
MSIGWA WA CHADEMA AIBUKIA CCM RAIS SAMIA AMPOKEA
Pesa za Mama Abdul zinfanya kazi
Duuuh kweli nchi imeharibika, watu wanajiuza mchana kweupe bila chembe ya soni eti "badala ya ku-compete, kwa nini nisi-collaborate" kumbe kanunuliwa! Yeyote aliyedhani tunauongozi, aanze kujua kwamba kila kitu kimeparaganyoka walioko madarakani kazi yao ni kuhonga watu ili wakae madarakani, basi!! Hatari kubwa...
Unaona aibu wewe kwa mungu huendi
Huna sela ww kwendaaa
Unanuka mavi Mungu utakupiga kipigo hutaamini maisha yako pesa na vyoote ni vya muda tu cheo cha dhuluma ni laana imeikaribisha nyumbani kwako.
We nan? Mavi ya popo ww? Achana na Msigwa kabisa endeleeni kukalia mawe ya kikabila hayo ni upuuzi kubaki chama cha wanywa mbege
Mie na familia yangu tulikuwa wafuasi wako ila kwa sasa bye see you sina urafiki na msaliti yaani wewe umeenda kufuata cheo na vipande 30 ukaacha kuwa sauti ya wasio na sauti. Na umekubali kufa kisiasa. RIP
MSALITI MBOWE HAYO MANENO PELEKA KWA MBOWE MWENYEKITI GANI WA KUKAA MADARAKAN MIAKA 30??? ACHA POROJO ACHA POROPAGANDA
Mzee ameanza kumtukuza mama,😮
Jimbo tayr Lina mtu ucje ukafikr utachukua jimbo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😮
Safi sana msigwa
Mungu anakuona
yaani shavu limenona muda mfupi kweli pesa za Samia zimefanya kazi
Limekaa kama msukure pumbavu zako msariti usiyekuwa na haya na unatumia jina la kudharilisha uchungaji
Katoka Mwenyewe kwa Pesa za Mama tu
Mmmmmmmmmmmh huyo ni msingwa au sion
Msigwa umejidhalilisha, unatembea bila suti. Rushwa na njaa imekudhalilisha.
Safi sana Msigwa, umeachana na chama cha kikabila, kidini na kikanda
Hiyo ndio ccm utatumika baada ya hapo-------
Hofu imtawale huyu msaliti kwajina la yesu
Mhhh hata haibu hana,ni ufisadi tu
Yaani wewe huna lolote kuiamini ccm ni sawa na kumwamini shetani tutakukubari huyo mama yako akitupatia katiba mpya
Unakwepa mavazi ya ccm
Unadhani hatavaa?
Mkimbizi mpooo❤
watz kweri kabisa nikichwa Cha wendawazim, watu wanawaza Leo tu kesho ni Giza Totoro hatari Sana.
Umeshindwa kusoma nyakati na majira.
Ungesubiri tusingesema ni baada ya kukosa.
Mchungaji hata Aibu huna
😂acha njaa kaka
Hizi ni Sasa za Tanzania ...Mm Wala sisashangai
Huyu jamaa akachunguzwe akili sio mzima. Hafai hata kuonekana mbele ya Watanzania
Tayari kishakuwa chawa pumbavu zako mbwa wew
kama yuda vile nahisi atajinyonga Kwa usaliti
Mbona kama wapambe ni wanafunzi wa sekondari?
Chama mbogamboga cha kusomba watu kuwapikia wali haragwe cha machawa umeacha kupigania haki utalaaniwa
Haahaa msigwa kafilisika, kafuata mlo ccm😂😂
Msigwa unadhani utaibomoa Chadema?
NJAA Mweee 😢
mbona nyuma yke kuna kamanda kavalia nguo ndan
Yani watanzania bado atuja amuwa, kama tungeamka hawa ccm wasinge kuwepo madarakani
Shenzi
Jamaa linasema ccm oye huku limekunja ngumi hili niliana Chadema kabisa wana ccm tustukeni
Umekuwa lipumbavu kwelikweli
Mbona kama naona kunalijamaa limevaa tisheti ya Chadema hapo nyuma
Pyeerrerrrrrr
Msukuma alisema kweli kabisa huyu ni zaidi ya shetani kabisa, huyu kakubali kununuliwa kwa vpande 30 vya fedha.
Mtaogea kila siku ccm haifai mpka mnakufa mnaiacha ccm inaogoz tu naimani na hilo
Kumbe njaa mchungaji wa ,mchongo kama ww na yuda esc mtakuwa kun za kuchomea wengineo
Anaongea ila moyoni anaumia sana huwa uovu ni ugongwa ukubwa kuliko magonwa ya kuumiza
Wewe nimsaliti mkubwa unakua kma vile unakua wakike
Wale wanataka kumuunga mkono Msigwa, wamejinyea.
Fanya kazi msingwa acha waseme usiku na mchana
Mzee umekwisha
🐍
Hii ndio siasa
@@apostlejacksonkalinga5191 njaaa
Ukaribisho wa watoto, wewe ni hovyo kabisa, njaa mbaya sana.
Gen z ya Tanzanian
Chadema imekupendezesha wewe na imekutoa mbali
Huyu hana muda mrefu wa kisiasa eti huyu ni mchungaji
Wewe unasiasa za kinafiki shida njaa kali
Kazi ipo hapo na Wana ccm wenyewe
Jamaa kangara sura 😂😂😂😂
Mbona kama hayuko serious Nina mashaka naye
kuuza badar
Na za ziara za Mwanza ikoje mbona husemi
hata sura inaonyesha mnafiki sana
Nimecheka halina Aibu
Huna lolote unawaalika chama chako cha zamn nani aje kukusikilxa ww mpuuz
Umepata ajali ya kisiasa uchawa wako ukiupeka ccm umeisha hao wanajuana.
Ms#nge
Umekwisha kisiasa ww? Lushwa imekuponza
Siwezi .Kuna .kumsikiliza .mwehu
ms igwA lost darection why no confidence on ccm as the powerforce msigwA was before even voice that moray msigwA was in chadema is the different msigwA we know him that anounciment all political party attend his first meeting in lringia home place msigwA lost popularity l don't think so if chadema will attend that call for msigwA to leasening him on thouse opposition leader l don't think so number 2 ccm has got no problem of politician problems of ccm reality underground speak reality underground wich msigwA cant be free wil be Force and control by ccm what to say with limit hapo ndipo patakapo mkwaza msigwA kupangiwa cha kusema na kuwa monitor maneno ya kusema ndani ya ccm tofouti km angekuwa 4:33 upinzani chama kingine angelikuwa na nguvu
Hana aman
Kinyambe😅😅😅😅😅
Zakayo
Duuuuu!!!
Msigwa umesikitisha watanzania ..umekuwa msaliti wa ajabu ajabu .. hatuamini machoni mwetu ..ila pigo likukute kama farao katika biblia ..leo unaonekana na kujidhalilisha kisa cheo..kumbe kupigania kwako haki za wanachi ilikuwa geresha bali wataka cheo ..Hakika hustahili hata huko CCM muwe nae makini msimwamini kirahisi
Msigwa ni cartoon comedian hafai
Mkundu wako uliojaa mavi mpumbavu sana wewe yaani huna tofauti na Malaya anaotembea na kila mwanaume
Malaya unamjua ?
pimbi wewe😅😅
Mukundu kabisa msgwa wewe ni motoni ya jehenamu
Yuda msigwa mkundu wako
Mpumbavu mkubwa
Msigwa oyeeeer
Looking good follow back done 🇱🇷 ✔ 👍 ❤❤❤❤❤❤
Safi sana msugwa
MSIGWA UNAJUA SANA AKILI KUBWA