Mwanasheria Amvaa Mch. Msigwa Aitaka TAKUKURU ichunguze Tuhuma za Rushwa CHADEMA|Hawezi Kuwa Mbunge
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ต.ค. 2024
- Mwanasheria Baraka Jeremia Kimata ambaye aliyewahi kuwa Diwani wa kata ya Kitwiru manispaa ya Iringa mkoani Iringa kupitia CHADEMA kabla hajajitoa kwenye chama hicho na kujiunga na CCM Mwaka 2017, ameitaka Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa Tanzania (TAKUKURU) ifanyie kazi na uchunguzi tuhuma zilizotolewa na Mch. Peter Msigwa zinazodai kuwa ndani ya CHADEMA kuna Rushwa na ubadhirifu wa fedha unaendelea jambo linalokwamisha baadhi ya mambo hasa uchaguzi kufanyika kinyume cha taratibu.
Vile vile, Baraka amemshauri Mch. Msigwa afanye uamuzi wa kujiunga na CCM huku akisema kuwa Mch. Msigwa hawezi kupata nafasi ya kugombea ubunge jimbo la Iringa mjini kupitia CHADEMA kwasababu tayari ameishaanza kuwasema wale ambao ndo wangepitisha jina lake kwenye Kamati kuu ya Chama hicho.
Subscribe (Focus Digito TV) ili usipitwe na Video mpya zinazotoka kila siku.
Focus Digito TV inakupa Maudhui Mazuri yanayohusu Habari, Elimu, Mitindo ya maisha, Michezo na Burudani.
Focus Digito TV is here to provide you with contents about News, Education, Lifestyles, Sports and Entertainments.
#FocusDigitoTV
..................
Tufuatilie Zaidi kupitia:
INSTAGRAM, TIKTOK, FACEBOOK, TWITTER (X), THREADS NA GOOGLE WEBSITE YETU YA FOCUS DIGITO TV
Focus Digito TV is one of the best info-edu-tainment Online Media conveying contents for the Public Interest.
Asante kwa kuchagua kutufuatilia | Thanks for Subscribing
We Love You | Tunakupenda
Regards
Team FocusDigitoTV
Hawa ndio wanasheria wetu Tz
Bangaladesh !!!
CCM mpina Yuko wapi leo
Sinawakiri ngojaninyamaze jiongeze baba
Pumba tuu😊
Hakuna chama kinachoongoza kwa rushwa Kama huko ulipoamia ccm!!!! 😮😮
Umekula.maharage ya wapi.we mjinga
Kamuulize Mpina na Bashe ! Kwani Chadema ni chama cha Msigwa!?
Cnc 2017
Na huyu ni mwanasheria?
Wewe sitakufahamu bye.
Hujielewi na uanasheria wako, kwani msigwa si kapewa rushwa na CCM? Sikiliza kauli ya Msukuma
Hacha huongo ccm ndo inaongoza Kwa lushwa SI mda mlefu msigwa mkeka utasoma
Hovyo
Wewe acha kutapika elimu yako NI ndogo kuizungumzia chadema.
Wewe ni rofa kwani kosa liko wapi nenda mahakamani.
Wakuchuliwa hatua ccm maana wanaiba kula adi nchi mzima watu mnafikili niwajinga hawaoni mnakombilia uko mkaungane kuwaibia wananchi haki zao ulikosa haki inatafutwa kwa vyovyote kaka ata kwa matusi na kupigana kabisa niyi jifanyeni mnaenda kuunga juhudi kube mamluki kwa ni hatuwajui adui umpe kasiri ataiba mpaka sinki la toilet weee
Ubwa koko wewe😢😢
Huna akili
Sifuri,ziro,Bure kabisa yaani O
ni kweli takukuru wachunguze na kumhoji msukuma altaja pesa zilikotoka.
Kumbe na wewe ni utoporoo😂.
Unaongea Utoporoo.
Chadema ina damu.
Unafiki mtupu.
Huna lolote
Pumbavu tu wewe
Ujinga wako tu huo
Huna akili
Huna akili
Huna akili,