ukifikiria vizuri utagundua ata mondi akifanya show hajazi hivi, utakuja gundua,wakina mwamposa ndo ma super star wa hii nchi.. watu wenye mashabiki wao.. plus wanatoa sadaka.. plus unaweza kuta kazi ya mungu haina kodi. yan hawa ndo ma star wenye u billionaire ja hawajionyeshi..
Wewe endelea na yako, hapa kwa Mwamposa anahubiria YESU KRISTO, yeye ni njia ya kweli na uzima, yeye ni mponyaji, anaokoa, na kufungua, kila Giza, alikuja kwa ajili ya kuokoa ulimwengu, kwa tatizo lako lolote ille, yeye yupo kwa ajili yako,akuja kwaajili ya Dini, na kila atake litaja Jina la Bwana ataokoka
kweli kabsaa jukwaa analimudu ila Sasa kwenye utumishi ni wito awaachie wengine yeye anafaa kwenye siasa labda hapo baadae coz mungu ana watu wake kama na yeye anaweza kuwa miongoni mwao sawa
😢 dah mtumishi anakuinuaje Yesu pekee ndio anaweza kukuinua na kukutoa apo ulipo unapaswa kufata magizo ya mtumishi uchukue hatua ya imani kumwamini Yesu uwinuke mtumishi ni njia tu muinuaji ni Yesu
Jamani mtume Mwamposa yupo safi sana.Kiukweli hata akija malaika bado hamto amini utaki kwenda achaaa!!!!!! sisi tutaenda bora kukukimbilia miujiza tena bureee kabisa kuliko mazinga obwe ya waganga na bado mnalipia na kutapeliwa.
Mimi nilikaa miaka miwili sina kazi lakini nilimsikia mwamposa kwa bahati nzuri tu kwenye radio dodoma nikafatilia yale maombi ndani ya siku 4 nikapigiwa simu ni kapata kazi mshahara laki 6 ni mwaka wa tatu naenda sasa kazini
Maranyingi mjinga huzani yeye ni mwerevu na kumuita mwerevu mjinga, lakini ukijua yakwamba Mungu anaweza kuongea na wewe binafsi basi jaribu kumuliza ukweli ni upi,atakupa utayari wakujifunza na atasema na wewe binafsi.
Allah atuongoze wapi ndugu malizia hapo...kwenye njia iliyonyooka ya 3rd Caliph Uthman kurani moja ilinyooka isiyo na kujichanganya au wapi, au atuongoze Kibra kubusu jiwe jeusi na kumpiga mawe shaitwani fafanua vizuri...au kwa sabab hana mtoto na hakuwa na mke, au kwa sababu Isa atarudi kuwahukumu wakristo ya kwamba kwanini walimfanya Isa, Maryam na Allah kuwa Mungu watatu? jifunze atuongoze wapi???
Jana mida ya saa2 usiku nikiwa mitaa ya mikocheni aisee kulikuwa na foleni ya hatari ogopaaa mabasi YALIKUWA full watu wanatembea mpaka Kwa mguu kiufupi ilikuwa ni hatari hasa Wana wake watu wanataka miujiza na mafanikio na sio mungu
@@user-ez1ky4ls7c na hao watu hawana Cha bible wa Quran tutafika tumechoka Sana wanahubiliwa mafanikio tu ukisikiliza kipindi Cha ushuhuda aisee shuhuda za kutisha tisha KAZI yao ni kutumia maji na mafuta ya upako huna haja ya kutaja jina la MUNGU 😥
Kama mtu hajakutana na changamoto hutomuona Kwa mwamposa ila kiukweli chalamila kaongea point shida watu wanaubishi mwingi Hadi kwenye maswala ya Imani MUNGU mbariki RC MUNGU mbariki apostle
Nakuelewa sana mkuu wa mkoa Wang Kwa speech zako unanimaliziaga bando Kwa harakati zako ususani speech zako mwamposa mola azid kukujalia tusiksikatae watoto na WA mama masiue watoto Leo waZaz wake mwamposa wanajivunia mtoto wap saffff
Kinacho tuponza TZ ni umasikini 😂 mashehe Huwa wanaongea sana wakiona seem Kuna ubwabwa chalamila shikamoo baba kz unaiweza Mimi kama___siachi uchawa😂😂😂😂😂 kwenye pesa
Unaleta kashfa isiyo na maana. Waislamu huwaga hawatumii uchawi. Na dini yao huwezi kuichanganya na uongo ndio tofauti. Mm siamini kama mwamposa ana uwezo wowote zaidi ya uchawi anaotumia.
Hili swala la WANASiasa kuongea makanisani Na miskitini Kwa tz ruksa kabisa Na watz hatuna shida kabisa Na Hilo Endeleeni waeshimiwa mskate tamaa Sisi ndio wabongo Bana Halafu kwani huwa ni sifa Gani unaposkia Mtu anasema um(unacheza Na mbogo wewe)huwa Ina maana Gani Halafu mueshimiwa si ni Abubaker au?
Yule wa kwenu alishawaambieni yeye hajui anaenda wapi wala hajui ninyi mtaenda wapi ila anawaonya tu. Na mpaka leo mnamuombea, sasa hapo mbona mtihani mkubwa sana. Yesu alisema mimi ni njia kweli na uzima mtu hawezi kwenda kwa Baba bila kupitia yeye
Akuombee wewe uwe waziri aombee na wezi wa serikali waache kuiba aiombee serikali watu wasiojulikana wapatikane na waache kuwatesa watu na kuwaua mkuu una fungu hapo
Kuwa mkuu wa mkoa sio ndo kuwa na macho ya rohoni izo habari za mchawi au sio mchawi waachie watu wa rohoni . Inawezekana umesimama kwenye madhabahu inayosababisha hayo yote yanatusumbua POLE
Hakuna kitu hapo,,,,hata wakina Bushiri walikuwepo South Africa,,, wamekimbia wenyewe,,,wakina TB Joshua wako wapi....hayo ni matangazo kama yalivyo matangazo ya biashara,......wapeni mitaji.....sio mikopo
😂😂😂😂😂 Umechemka vibaya RC CHARAMILA n MNYALUKOLO(MHEHE) wa IRINGA/NJOMBE na MWAMPOSA ni MNYAKYUSA wa MBEYA,waache watu na Imani zao wewe na mimi tubaki na tunachoamini ila haifai kujiona wewe uko sahihi kuliko mwingine juu ya imani Maana ni Mungu pekee ndo anajua usahihi wa imani ya mtu
Nakusihi Mwamposa fundisho watu kumwamini Kristo na kuacha dhambi hayo Mambo ya utajiri yatafuatana nao wakifundishwa ujuzi wa kufanya kazi. Fuata fundisho la Yesu Kristo pekee achana nabkuwafanya watu wajihisi wamefugwa kila mahali hapana wafundishe kuwa na Imani thabiti kwa Kristo isiyo na viambayanisho/visaidizi vya mafuta,maji ya upako etc.
@Leeeeeeee-96 biblia ni kubwa sana achakudharau anachofundisha mtumishi,ebu niambie kosamojakimaandiko lamwamposa,acheni ulimbuken wamapokeo yamadhehebu
@@shongatv1224 vichwa panzi, watu wote hao kwamba ni wehu ila wao wachache ndo wanajiona wanaakili😅 ukiona mtu anaetumia muda wake kufatilia dini za wengine jua Hana kazi ya kufanya, maisha Yako mbio Sana unaanzaje kupoteza muda kuanza kukosoa Imani za watu
@@shongatv1224 huu ni wakati wa kunyang'anywa taji ya uzima. Hatumpingi mtu kwa ajili ya wivu, laiti ningekutana na wanaokwenda kwa manabii wa hivyo ninge debate nao kibiblia tuweke pembeni itikadi zetu za madhehebu na ufuasi ndipo ungejua kuwa watu wengi hawajui hata sababu gani Yesu alikuja duniani na alikufa kwa sababu gani Ili iweje. Sababu injili tuliyoachiwa na Yesu haikubaliki kwa kizazi cha leo na kwakuwa ni hivyo je injili inayopendwa na kizazi cha leo itawapeleka wapi hatimaye!?
@@Oldskulgemini9991 swali la kitoto! Nimejuaje na wewe umejuaje kuwa ni ya Mungu? In short jambo lolote hupimwa kwa kipimo kinachokubalika na wote. Swali imani yako wewe huwa unaipima kwa kutumia nini? Biblia ndiyo kipimo pekee kinachokubalika ikiwa wewe unajitambua kama mkristo. Waliojikinai hubeza mwongozo wa biblia kwa kuwa imeandikwa "kuna wakati watayakataa mafundisho yenye uzima na kufuata mafundisho ya mashetani kwa kuwa wana masikio ya utafiti". Mathayo sura ya 24 na Yeremia 23:16-30 biblia imeeleza wazi manabii wa uongo walivyo. Kama ni suala la miujiza na utajiri wa vitu hicho siyo lengo kuu la Yesu kufa msalabani. Injili ya utajirisho na kuondoa laana ni dhaifu haiwezi kuwashawishi mabilionea duniani ambao wengi wao ni wapagani kumwamini Yesu.
Speech Yako mkuu ni nzr sana umenena vyema
Mkuu wa mkoa umetisha sana bongo la poiti nimekuelewa sana mjomba chalamila
Kuna kantu kilisema mwamposa ataanza kupoteana kwanzia mwezi wa 3 ndio kwanza anauwasha moto
AMAIZING,,,,,TB JOSHUA in TANZANIA
@@saxannjo6173 yes 👍🏽
Hongera sana mtumishi wa Mungu utukufu kwa Yesu
Maneno mazito sana mkuu MUNGU akubariki sana mkuu , mwenye masikio na asikie
Hongera sana mh.charamila hakika utaendelea kujikusanyia umaarufu kwa points zako muhimu
Mkuu wa mkoa DAR,, UMEongea serious ..ujumbe wa amani na upendo kwa watu wako na mataifa mengine tumekuskia baba.BARIKIWA SANA.
ukifikiria vizuri utagundua ata mondi akifanya show hajazi hivi, utakuja gundua,wakina mwamposa ndo ma super star wa hii nchi.. watu wenye mashabiki wao.. plus wanatoa sadaka.. plus unaweza kuta kazi ya mungu haina kodi. yan hawa ndo ma star wenye u billionaire ja hawajionyeshi..
Na umati still mdogo hawajaja wote wapo tulio keshea majumbani ni hatari sana
Hongera mhe.kutuasa vizuri kabisa juu ya habari ya mbinguni.Safi sana
Hakuna mtu Bongo anaweza kujaza kama hivi
YEREMIA 50:6. YACMA KONDOO WANGU WANAPOTEZWA NA WACHUNGAJI WAO.
kweli broo
Hamad Shein 😂😂😂
Hahahaha kwa masheikh unaenda kupata kisomo na mavukizi ubani wa majini lakini jina la Yesu aaah.
@@luotagwabt7730😂😂😂😂😂😂😂😂Mwambie Huyoooo!
Wewe endelea na yako, hapa kwa Mwamposa anahubiria YESU KRISTO, yeye ni njia ya kweli na uzima, yeye ni mponyaji, anaokoa, na kufungua, kila Giza, alikuja kwa ajili ya kuokoa ulimwengu, kwa tatizo lako lolote ille, yeye yupo kwa ajili yako,akuja kwaajili ya Dini, na kila atake litaja Jina la Bwana ataokoka
Mtumishi wa Mungu Chalamila 👏🏽👏🏽🇹🇿🇹🇿
@@Maryc2G 😅😅😅 huyo ni mlevi mmoja mzuri tu
@@shijandobehe4953 ohhh, Mungu ampiganie aache kilevi, maana madhabahu anaiweza sana.
@@Maryc2Gwe unafaa kua mtumishi wa MUNGU,,
@@shijandobehe4953kama ni mlevi! Unapaswa kumwombea aache ulevi, na sio ku-mhukimu.
kweli kabsaa jukwaa analimudu ila Sasa kwenye utumishi ni wito awaachie wengine yeye anafaa kwenye siasa labda hapo baadae coz mungu ana watu wake kama na yeye anaweza kuwa miongoni mwao sawa
mkuuwamkowa huyu namkubalisana👏👏👏👏👏👏💥
Mkuu umenena point. Pastor Mwamposa niinue NAMI ktk magumu niepushe na hasira kwa wanaonitafuyia chuki zisizo na sababu. Niinue baba🙏
😢 dah mtumishi anakuinuaje Yesu pekee ndio anaweza kukuinua na kukutoa apo ulipo unapaswa kufata magizo ya mtumishi uchukue hatua ya imani kumwamini Yesu uwinuke mtumishi ni njia tu muinuaji ni Yesu
Pumbav, yaani akuinue mwamposa?
Badili umuombe mungu unamuomba mwamposa acha ujinga
Jamani mtume Mwamposa yupo safi sana.Kiukweli hata akija malaika bado hamto amini utaki kwenda achaaa!!!!!! sisi tutaenda bora kukukimbilia miujiza tena bureee kabisa kuliko mazinga obwe ya waganga na bado mnalipia na kutapeliwa.
Kweli kaka watu wanaongea mengi kumhusu mtume
Uma una-angamia kwa uvivu wa kutaka kupata maisha mazuri kwa kuwamini wachawi. Ambao wamejivisha Johoo la utume. Audhubillah.
Na weee kuwà mchawi ili uache maneno mengi
Duuuuu huyu mwamba apewe tu mauwa yake sio kwa utitiri huo
Huyu jamaa anakubalika sana not a joke
Nimebarikiwa sana kwenye huu mkesha nimejiunganisha kwenye tv nikiwa Mozambique 🇲🇿 (palma) presha ya kupanda na kushuja nimepona kabisa 🙏🙏 🙏
😂😂😂😂😂😂
😂
We jamaa muongo😂😂😂😂
Watu wana shida mzeee wangu.
Mwamposa baba ninakupenda sanaa Mungu aliyekupa kibali akupe maisha marefu uifanye kazi uokoe watu wake..
Kibal gan nisili yke zinduka
Kuna wetu ni watumishi wa Mungu ila hawajijui.
Chalamila ni mmojawapo.
Ipo sikumoja mtakumbuka maneno yangu...!
Alikusanya dunia sio kijiji😮
Wanadam hawapendi kuona watu wanakimbilia kwa Yesu.......
kweli ili waendelee kuturoga
😂😂😂😂😂 charamila ni mwana sahikolojia sana hongera kwa neno MWENYE macho na aone amen
Mimi nilikaa miaka miwili sina kazi lakini nilimsikia mwamposa kwa bahati nzuri tu kwenye radio dodoma nikafatilia yale maombi ndani ya siku 4 nikapigiwa simu ni kapata kazi mshahara laki 6 ni mwaka wa tatu naenda sasa kazini
Imani yako imekuponya
Machawa wa Mwamposa utawajua tu.
Hata mmi tena nilienda mara moja tu na kazi,mtto,mke juu
@@user-ts9lp4rm9j Machawa wa Mwamposa utawajua tu kwa matendo yao.
😂😂
Kwa maombezi ya mtume na Mimi ntapokea mapacha 🙏
Chalamila leo umenifuraisha sana
Show ya mwamposa imejaa,ila chalamila unatuchosha kweli sikuizii
Tunakimbila miugiza simama omba mungu yupo uvivu ni mbaya
RC chalamila nakukubali Sana kaka
ujinga ni mzigo Allah atuongoze
Ameen
Maranyingi mjinga huzani yeye ni mwerevu na kumuita mwerevu mjinga, lakini ukijua yakwamba Mungu anaweza kuongea na wewe binafsi basi jaribu kumuliza ukweli ni upi,atakupa utayari wakujifunza na atasema na wewe binafsi.
Allah atuongoze wapi ndugu malizia hapo...kwenye njia iliyonyooka ya 3rd Caliph Uthman kurani moja ilinyooka isiyo na kujichanganya au wapi, au atuongoze Kibra kubusu jiwe jeusi na kumpiga mawe shaitwani fafanua vizuri...au kwa sabab hana mtoto na hakuwa na mke, au kwa sababu Isa atarudi kuwahukumu wakristo ya kwamba kwanini walimfanya Isa, Maryam na Allah kuwa Mungu watatu? jifunze atuongoze wapi???
Waislamu wanakwazika sana wakiona viwango hivi
@@pastadandan3569Sanaaaa! Mpaka Wasemeeee!
Baba mungu akupe maisha milioni
Jana mida ya saa2 usiku nikiwa mitaa ya mikocheni aisee kulikuwa na foleni ya hatari ogopaaa mabasi YALIKUWA full watu wanatembea mpaka Kwa mguu kiufupi ilikuwa ni hatari hasa Wana wake watu wanataka miujiza na mafanikio na sio mungu
😂😂😂😂😂😂kabisa
@@user-ez1ky4ls7c na hao watu hawana Cha bible wa Quran tutafika tumechoka Sana wanahubiliwa mafanikio tu ukisikiliza kipindi Cha ushuhuda aisee shuhuda za kutisha tisha KAZI yao ni kutumia maji na mafuta ya upako huna haja ya kutaja jina la MUNGU 😥
Ujinga ni mzigo kwakweli watu hawataki kufanya kazi wanataka utajiri na maisha mazuri kwa miujiza 😂😂😂😂
@@user-ur7pw9ek6s Kam wasingekuw Na mafanikio bas kusingekuw Na foleni za Magari ,,wangekuw Na punda ndio mseme,,2sipend kuhukm
Kama familia yako hajawah kupata shida na ikatatuliwa kwa mwamposa huwez kumuelewa utamuona ni Muongo tu
DC Chalamira kashusha point nzito saaana makofi kwakee🎉🎉
Naona Leo chalamila kaongea uhalisia na ukweli wa maisha
Kama mtu hajakutana na changamoto hutomuona Kwa mwamposa ila kiukweli chalamila kaongea point shida watu wanaubishi mwingi Hadi kwenye maswala ya Imani MUNGU mbariki RC MUNGU mbariki apostle
Jamaaa likiamua kuongea point liko vzr
@@stanleymissiontv2303 kwa kweli🤣🤣
Na wengine wapo humu ukweli huo unawauma haswaaa....
Amen! Nawakumbusha msisahau kipindi cha masika haliya mvua kidogo si rafiki.
Namuona magufuli wa badae
Huyu jamaa aache siasa ana chembechembe za kiutumishi wa kiungu, ila siasa inampotezea dhumini la mungu Ndani yake
Sana tu ila MUNGU ana njia akiamua anamtoa kwenye uongozi
Nakuelewa sana mkuu wa mkoa Wang Kwa speech zako unanimaliziaga bando Kwa harakati zako ususani speech zako mwamposa mola azid kukujalia tusiksikatae watoto na WA mama masiue watoto Leo waZaz wake mwamposa wanajivunia mtoto wap saffff
Mkuu wa mkoa upo vizuri sana
Kazi kazi
Amen Amen.umenena vema mtumishi wa Mungu chalamila una utumishi ndani yako Mungu akuinue
Ameeen and ameen
Mtu wa maaana kabisa chalamila
Mtumish wa MUNGU MWAMPOSA,, MUNGU AKUBARIKI ZAID
Ameen kubwa mkuuu wetu
Mtumishi wa Mungu
Jina la bwana libarikiwe.
Njia ya shetani ina watu wengi sana hii ni njia pana lakini njia ya Mungu ni nyembamba na imeaonga nao waionayo ni wachache,
Maneno ya upako
Pamoja mtumishi
Watu wengi kama utitiri
Dar imepata RC hakika
Salaam Almassih, Yeshua akibar
Hao wote uliowaona hapo hawakufuata wokovu Wana hali ngumu ya maisha iliyosababiswha na ccm wenyewe
Hamna habari ya wokovu, hapo ni mafanikio na magonjwa iponyaji
Hamna habari ya wokovu, hapo ni mafanikio na magonjwa iponyaji
Hayajawafika siku yakiwafika mtaelewa
Kwel kabxaa
Mimi sina hali ngumu ya maisha na nilienda kumtukuza Mungu mkeshani
Mwamposa ni asset kwa wanasiasa
Nina mtoto nikicha naomba unisaidie nipo burundi
Kinacho tuponza TZ ni umasikini 😂 mashehe Huwa wanaongea sana wakiona seem Kuna ubwabwa chalamila shikamoo baba kz unaiweza Mimi kama___siachi uchawa😂😂😂😂😂 kwenye pesa
Ovyooo
Na ujinga pia unatuponza
Unaleta kashfa isiyo na maana. Waislamu huwaga hawatumii uchawi. Na dini yao huwezi kuichanganya na uongo ndio tofauti. Mm siamini kama mwamposa ana uwezo wowote zaidi ya uchawi anaotumia.
Wewe chalamina ndo umesilimu wewe mtume mwamposa tena
Naomba namba ya mwaposa nipo Burundi
Duuuh hapa ilikuwa benjamin mkapa au
Watu wanapenda miujiza kuliko neno
Hili swala la WANASiasa kuongea makanisani Na miskitini
Kwa tz ruksa kabisa Na watz hatuna shida kabisa Na Hilo
Endeleeni waeshimiwa mskate tamaa
Sisi ndio wabongo Bana
Halafu kwani huwa ni sifa Gani unaposkia
Mtu anasema um(unacheza Na mbogo wewe)huwa Ina maana Gani
Halafu mueshimiwa si ni Abubaker au?
AMEN🙏🙏
Çhalamira mbona muhubiri mzuri
Ana tone ya kuhubiri kabisa
Wa Kaka wakina Juma Lokole Na Noël wa wasafi
Muabudu rusifa mkubwa Sana mwamposa muuni Moto unamsubiria asipo tubu lazma ziwa la Moto na reg rusifa wake
Ww umetubu nyoko ww
Fungua na wew
Hivi hawa watu huwa siwaelewi wenyewe yesu ndo wanamuita mngu au
Kiukweli mwamposa Yuko upande wA shetani,
Atubu kwani amekokesea nin
Ameeeeeeen
❤❤
Innarilah wainahilah rajiun
Usilo lijua kwako ni sawa na usiku wa giza..
Nailo ndo guza lenyewe@@Nick16697
Yule wa kwenu alishawaambieni yeye hajui anaenda wapi wala hajui ninyi mtaenda wapi ila anawaonya tu.
Na mpaka leo mnamuombea, sasa hapo mbona mtihani mkubwa sana.
Yesu alisema mimi ni njia kweli na uzima mtu hawezi kwenda kwa Baba bila kupitia yeye
Hapo ni wanawake ni wengi sn
Ni hao hao waliodamka asubuhi na mapema kuuangalia mwili wa Yesu kaburini
Dunia hii muamini mungu tuu hata viongozi wa nchi huongoza kuwafanya raiya kuwa mazezeta daah😥😥😥😥
Amini unachokiamini kila mtu anashida zake mzee ,ko usihukumu usichokijua
We mwenyewe zezeta au hujajiua?
Hiyo madhabahu ya Alise inatenda kama ukiamini tu mimi nimepokea chako ni chako mara 2 leo niko vizuri Namshukru mungu wa mbinguni
Akuombee wewe uwe waziri aombee na wezi wa serikali waache kuiba aiombee serikali watu wasiojulikana wapatikane na waache kuwatesa watu na kuwaua mkuu una fungu hapo
We chiz
pambana na hali yako
waislam wanakasirik sabab Mungu wetu anafanya kuliko kawaida
Atukasir nyinyi mna dini yetu na sis tuna dini yetu
Cha ajabu hapo kwa MWAMPOSA waislam n wengi kuliko wenye dini yao na wanashida balaa
Mungu wako sisi waislam hatuna mungu
@@user-cq4lp5rv1l ww sio muislam km una MUNGU
@@omytifa6403wenzio wamejaa kwa mwampisa umebaki wewe
Amen
Sisi watu wa Kawe tumekipata Cha moto Naul kawe Morocco buku kawe bugurun buku jero kawe mbagala 2000 na bado gar nizakugombaniwa
Kufa kufaana
❤
Duh
Palipo mzoga ndipo wakusanyikapo tai.
❤❤❤❤❤❤
Uyu nae chawa kwel uyu
Kuwa mkuu wa mkoa sio ndo kuwa na macho ya rohoni izo habari za mchawi au sio mchawi waachie watu wa rohoni . Inawezekana umesimama kwenye madhabahu inayosababisha hayo yote yanatusumbua POLE
🔥🔥🔥🔥🇧🇮🇧🇮
Hakuna kitu hapo,,,,hata wakina Bushiri walikuwepo South Africa,,, wamekimbia wenyewe,,,wakina TB Joshua wako wapi....hayo ni matangazo kama yalivyo matangazo ya biashara,......wapeni mitaji.....sio mikopo
Hao wote ni wanyakyusa hapo kuna ukabila fulani
Yani wewe akili yako imeishia hapo
Hapo kuna makabila yote mpaka wazungu wahindi wapo hapo.
😂😂😂😂😂 Umechemka vibaya RC CHARAMILA n MNYALUKOLO(MHEHE) wa IRINGA/NJOMBE na MWAMPOSA ni MNYAKYUSA wa MBEYA,waache watu na Imani zao wewe na mimi tubaki na tunachoamini ila haifai kujiona wewe uko sahihi kuliko mwingine juu ya imani Maana ni Mungu pekee ndo anajua usahihi wa imani ya mtu
Rc chalamila cio mnyakusa n muhehe
ufahamu wako kiwango cha chini kabisa
Nakusihi Mwamposa fundisho watu kumwamini Kristo na kuacha dhambi hayo Mambo ya utajiri yatafuatana nao wakifundishwa ujuzi wa kufanya kazi. Fuata fundisho la Yesu Kristo pekee achana nabkuwafanya watu wajihisi wamefugwa kila mahali hapana wafundishe kuwa na Imani thabiti kwa Kristo isiyo na viambayanisho/visaidizi vya mafuta,maji ya upako etc.
Undisha wewe labda niwitowako achakujitia wewe ndie unamjuamungu saaana fuatayako
ushawai fwatilia mafundisho yake au unaota kijana kabla hujacomment fwatilia ibada za mwamposa ndo utajua anafundisha nini 😂😂😂😂
@Leeeeeeee-96 biblia ni kubwa sana achakudharau anachofundisha mtumishi,ebu niambie kosamojakimaandiko lamwamposa,acheni ulimbuken wamapokeo yamadhehebu
@@ChristopherNgubiagai mimi au wewe ndo limbukeni uko zama zipi bro
@Leeeeeeee-96 we nimshamba wamaandiko unawaza kukemea dhambi kuish kifukara,mafundisho yakipumbavu yamekufanya uenautindio wakiroho.mnajiona mnajua mungu kumbe mmefungwa
Narudia tena Mungu siyo wa quantity yeye ni wa quality. Sauti ya wengi si sauti ya Mungu bali sauti ya mwenye haki ndiyo sauti ya Mungu.
Kwahiyo unataka kusema hao wengi sio wa Mungu ila wewe ndo wa Mungu eti😅 we umejuaje kama sio wa Mungu?
@@Oldskulgemini9991watanzania wengi tupo njia panda jambo likiwa kubwa ni shetani likiwa dogo sana tunaamin ndo haki yetu
@@shongatv1224 vichwa panzi, watu wote hao kwamba ni wehu ila wao wachache ndo wanajiona wanaakili😅 ukiona mtu anaetumia muda wake kufatilia dini za wengine jua Hana kazi ya kufanya, maisha Yako mbio Sana unaanzaje kupoteza muda kuanza kukosoa Imani za watu
@@shongatv1224 huu ni wakati wa kunyang'anywa taji ya uzima. Hatumpingi mtu kwa ajili ya wivu, laiti ningekutana na wanaokwenda kwa manabii wa hivyo ninge debate nao kibiblia tuweke pembeni itikadi zetu za madhehebu na ufuasi ndipo ungejua kuwa watu wengi hawajui hata sababu gani Yesu alikuja duniani na alikufa kwa sababu gani Ili iweje. Sababu injili tuliyoachiwa na Yesu haikubaliki kwa kizazi cha leo na kwakuwa ni hivyo je injili inayopendwa na kizazi cha leo itawapeleka wapi hatimaye!?
@@Oldskulgemini9991 swali la kitoto! Nimejuaje na wewe umejuaje kuwa ni ya Mungu? In short jambo lolote hupimwa kwa kipimo kinachokubalika na wote. Swali imani yako wewe huwa unaipima kwa kutumia nini? Biblia ndiyo kipimo pekee kinachokubalika ikiwa wewe unajitambua kama mkristo. Waliojikinai hubeza mwongozo wa biblia kwa kuwa imeandikwa "kuna wakati watayakataa mafundisho yenye uzima na kufuata mafundisho ya mashetani kwa kuwa wana masikio ya utafiti". Mathayo sura ya 24 na Yeremia 23:16-30 biblia imeeleza wazi manabii wa uongo walivyo. Kama ni suala la miujiza na utajiri wa vitu hicho siyo lengo kuu la Yesu kufa msalabani. Injili ya utajirisho na kuondoa laana ni dhaifu haiwezi kuwashawishi mabilionea duniani ambao wengi wao ni wapagani kumwamini Yesu.
Astaghafirullah
Ukisomewa kisomo cha majini na kufukizwa ubani fresh au siyo
@@luotagwabt7730hawa watu ni wa ajabu sana sijui kwann, wanafika mahali wanasema kuna majini wema 😂😂
bafo hujasema wenzio na nikabu na majuba na barakashia wamejaa kwa mwamposa mpaka watu kutoka zanzbar
@@Nick16697hivi wanashinwaje kushtuka? Majini ni vijana wa shetani na tunaambiwa majini ni Waislamu, hapo sasa wanashindwaje kushtuka?
RC UMESAHAU AU HAUJUI KUWA MAANDIKO YANATIMIA
SOMA MATHAYO 7:13
"NJIA IENDAYO UTOTEVUNI NI PANA, NAO NI WENGI WAIPITATOOO.
Ukovizuri mr copypest.
Kura za 2025 hizo.😂😂
Anafuata maneno ya mama uyu jamaa kweli chawa
Mliskia wap kumuona mchungaji unatoa hela😂😂
@@vicentmapunda3146 ya kiboko sasa io
mwamposa ni bure kabisa ata sadaka sio lazima umechemka ndugu 😂
Pale ni mguu wako tu mengine kadiri ulivyojaliwa
Wewe RC siyo harufu wewe ni mtanzania gani!!! MTU atowi arufu bali MTU ana towa Rehe juwa hilo...
Hapo wanaccm wanafikili ni namna gani watamtumia mwamposa kujinufaisha kisiasa
kweli njia ni pana sana
bado hujasema mtu uliefika mbinguni 😂
Sijawai ona akihubir watu waache dhambii
una uhakika ata leo kahubiri watu waache zambi acha kukurupuka utaaibika vibaya
Wewe umehubiria wangapi waache dhambi zaidi ya kuhukumu
😂😂