Umati wa MWAMPOSA wamshangaza RC CHALAMILA,afunguka MAZITO ''kama ni UCHAWI ata mimi usingenifikia''

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 410

  • @aghamedia
    @aghamedia 5 วันที่ผ่านมา +18

    Speech Yako mkuu ni nzr sana umenena vyema

  • @hboywasasa
    @hboywasasa 5 วันที่ผ่านมา +11

    Mkuu wa mkoa umetisha sana bongo la poiti nimekuelewa sana mjomba chalamila

  • @kingswebe3251
    @kingswebe3251 3 วันที่ผ่านมา +6

    Kuna kantu kilisema mwamposa ataanza kupoteana kwanzia mwezi wa 3 ndio kwanza anauwasha moto

  • @saxannjo6173
    @saxannjo6173 6 วันที่ผ่านมา +15

    AMAIZING,,,,,TB JOSHUA in TANZANIA

    • @Maryc2G
      @Maryc2G 5 วันที่ผ่านมา

      @@saxannjo6173 yes 👍🏽

  • @odhiaodhia9898
    @odhiaodhia9898 6 วันที่ผ่านมา +8

    Hongera sana mtumishi wa Mungu utukufu kwa Yesu

  • @suzysam6002
    @suzysam6002 4 วันที่ผ่านมา +5

    Maneno mazito sana mkuu MUNGU akubariki sana mkuu , mwenye masikio na asikie

  • @TumsifuErick
    @TumsifuErick วันที่ผ่านมา +1

    Hongera sana mh.charamila hakika utaendelea kujikusanyia umaarufu kwa points zako muhimu

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 2 วันที่ผ่านมา +1

    Mkuu wa mkoa DAR,, UMEongea serious ..ujumbe wa amani na upendo kwa watu wako na mataifa mengine tumekuskia baba.BARIKIWA SANA.

  • @victorwilliam9987
    @victorwilliam9987 5 วันที่ผ่านมา +7

    ukifikiria vizuri utagundua ata mondi akifanya show hajazi hivi, utakuja gundua,wakina mwamposa ndo ma super star wa hii nchi.. watu wenye mashabiki wao.. plus wanatoa sadaka.. plus unaweza kuta kazi ya mungu haina kodi. yan hawa ndo ma star wenye u billionaire ja hawajionyeshi..

    • @janesuma-is4wc
      @janesuma-is4wc 3 วันที่ผ่านมา

      Na umati still mdogo hawajaja wote wapo tulio keshea majumbani ni hatari sana

  • @terezadotto5458
    @terezadotto5458 4 วันที่ผ่านมา +3

    Hongera mhe.kutuasa vizuri kabisa juu ya habari ya mbinguni.Safi sana

  • @Oldskulgemini9991
    @Oldskulgemini9991 5 วันที่ผ่านมา +6

    Hakuna mtu Bongo anaweza kujaza kama hivi

  • @hamadsheni8997
    @hamadsheni8997 6 วันที่ผ่านมา +24

    YEREMIA 50:6. YACMA KONDOO WANGU WANAPOTEZWA NA WACHUNGAJI WAO.

    • @DjMswati
      @DjMswati 5 วันที่ผ่านมา +2

      kweli broo

    • @HamduniYasir
      @HamduniYasir 5 วันที่ผ่านมา +1

      Hamad Shein 😂😂😂

    • @luotagwabt7730
      @luotagwabt7730 5 วันที่ผ่านมา +4

      Hahahaha kwa masheikh unaenda kupata kisomo na mavukizi ubani wa majini lakini jina la Yesu aaah.

    • @gosbertbuberwa6198
      @gosbertbuberwa6198 5 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@luotagwabt7730😂😂😂😂😂😂😂😂Mwambie Huyoooo!

    • @corrolesscps
      @corrolesscps 5 วันที่ผ่านมา +4

      Wewe endelea na yako, hapa kwa Mwamposa anahubiria YESU KRISTO, yeye ni njia ya kweli na uzima, yeye ni mponyaji, anaokoa, na kufungua, kila Giza, alikuja kwa ajili ya kuokoa ulimwengu, kwa tatizo lako lolote ille, yeye yupo kwa ajili yako,akuja kwaajili ya Dini, na kila atake litaja Jina la Bwana ataokoka

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 6 วันที่ผ่านมา +15

    Mtumishi wa Mungu Chalamila 👏🏽👏🏽🇹🇿🇹🇿

    • @shijandobehe4953
      @shijandobehe4953 5 วันที่ผ่านมา +2

      @@Maryc2G 😅😅😅 huyo ni mlevi mmoja mzuri tu

    • @Maryc2G
      @Maryc2G 5 วันที่ผ่านมา +2

      @@shijandobehe4953 ohhh, Mungu ampiganie aache kilevi, maana madhabahu anaiweza sana.

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 5 วันที่ผ่านมา +2

      ​@@Maryc2Gwe unafaa kua mtumishi wa MUNGU,,

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 5 วันที่ผ่านมา

      ​@@shijandobehe4953kama ni mlevi! Unapaswa kumwombea aache ulevi, na sio ku-mhukimu.

    • @shijandobehe4953
      @shijandobehe4953 3 วันที่ผ่านมา

      kweli kabsaa jukwaa analimudu ila Sasa kwenye utumishi ni wito awaachie wengine yeye anafaa kwenye siasa labda hapo baadae coz mungu ana watu wake kama na yeye anaweza kuwa miongoni mwao sawa

  • @mudywaya328
    @mudywaya328 6 วันที่ผ่านมา +10

    mkuuwamkowa huyu namkubalisana👏👏👏👏👏👏💥

  • @naimarishedy1523
    @naimarishedy1523 5 วันที่ผ่านมา +7

    Mkuu umenena point. Pastor Mwamposa niinue NAMI ktk magumu niepushe na hasira kwa wanaonitafuyia chuki zisizo na sababu. Niinue baba🙏

    • @janesuma-is4wc
      @janesuma-is4wc 3 วันที่ผ่านมา +1

      😢 dah mtumishi anakuinuaje Yesu pekee ndio anaweza kukuinua na kukutoa apo ulipo unapaswa kufata magizo ya mtumishi uchukue hatua ya imani kumwamini Yesu uwinuke mtumishi ni njia tu muinuaji ni Yesu

    • @Bilioneabichwa331
      @Bilioneabichwa331 2 วันที่ผ่านมา

      Pumbav, yaani akuinue mwamposa?

    • @othmanmaulid4867
      @othmanmaulid4867 2 วันที่ผ่านมา

      Badili umuombe mungu unamuomba mwamposa acha ujinga

  • @edwinamos9734
    @edwinamos9734 5 วันที่ผ่านมา +6

    Jamani mtume Mwamposa yupo safi sana.Kiukweli hata akija malaika bado hamto amini utaki kwenda achaaa!!!!!! sisi tutaenda bora kukukimbilia miujiza tena bureee kabisa kuliko mazinga obwe ya waganga na bado mnalipia na kutapeliwa.

    • @VitusMagobe
      @VitusMagobe วันที่ผ่านมา

      Kweli kaka watu wanaongea mengi kumhusu mtume

  • @kadrimwingamno258
    @kadrimwingamno258 2 วันที่ผ่านมา +2

    Uma una-angamia kwa uvivu wa kutaka kupata maisha mazuri kwa kuwamini wachawi. Ambao wamejivisha Johoo la utume. Audhubillah.

    • @happynkya9770
      @happynkya9770 วันที่ผ่านมา

      Na weee kuwà mchawi ili uache maneno mengi

  • @augustinenjesi3215
    @augustinenjesi3215 5 วันที่ผ่านมา +5

    Duuuuu huyu mwamba apewe tu mauwa yake sio kwa utitiri huo

  • @mohammedkombo9798
    @mohammedkombo9798 5 วันที่ผ่านมา +5

    Huyu jamaa anakubalika sana not a joke

  • @norfenvgeraldo9493
    @norfenvgeraldo9493 5 วันที่ผ่านมา +6

    Nimebarikiwa sana kwenye huu mkesha nimejiunganisha kwenye tv nikiwa Mozambique 🇲🇿 (palma) presha ya kupanda na kushuja nimepona kabisa 🙏🙏 🙏

    • @hamisisaidi9069
      @hamisisaidi9069 5 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂😂😂

    • @badirashid4668
      @badirashid4668 3 วันที่ผ่านมา

      😂

    • @wadantz123
      @wadantz123 3 วันที่ผ่านมา

      We jamaa muongo😂😂😂😂

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats 6 วันที่ผ่านมา +11

    Watu wana shida mzeee wangu.

  • @ruahahilltoplodge
    @ruahahilltoplodge 4 วันที่ผ่านมา +3

    Mwamposa baba ninakupenda sanaa Mungu aliyekupa kibali akupe maisha marefu uifanye kazi uokoe watu wake..

  • @benmbwele
    @benmbwele 5 วันที่ผ่านมา +3

    Kuna wetu ni watumishi wa Mungu ila hawajijui.
    Chalamila ni mmojawapo.
    Ipo sikumoja mtakumbuka maneno yangu...!

  • @ShabanMainde
    @ShabanMainde 2 วันที่ผ่านมา +2

    Alikusanya dunia sio kijiji😮

  • @FloraMarinyo
    @FloraMarinyo 4 วันที่ผ่านมา +3

    Wanadam hawapendi kuona watu wanakimbilia kwa Yesu.......

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 4 วันที่ผ่านมา

      kweli ili waendelee kuturoga

  • @costantinekikinda7574
    @costantinekikinda7574 2 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂😂😂 charamila ni mwana sahikolojia sana hongera kwa neno MWENYE macho na aone amen

  • @HASASON
    @HASASON 6 วันที่ผ่านมา +39

    Mimi nilikaa miaka miwili sina kazi lakini nilimsikia mwamposa kwa bahati nzuri tu kwenye radio dodoma nikafatilia yale maombi ndani ya siku 4 nikapigiwa simu ni kapata kazi mshahara laki 6 ni mwaka wa tatu naenda sasa kazini

    • @davidsamson8292
      @davidsamson8292 5 วันที่ผ่านมา +3

      Imani yako imekuponya

    • @Henricovicent
      @Henricovicent 5 วันที่ผ่านมา +5

      Machawa wa Mwamposa utawajua tu.

    • @user-ts9lp4rm9j
      @user-ts9lp4rm9j 5 วันที่ผ่านมา +3

      Hata mmi tena nilienda mara moja tu na kazi,mtto,mke juu

    • @Henricovicent
      @Henricovicent 5 วันที่ผ่านมา +2

      @@user-ts9lp4rm9j Machawa wa Mwamposa utawajua tu kwa matendo yao.

    • @BakariAlly-dm1vf
      @BakariAlly-dm1vf 5 วันที่ผ่านมา

      😂😂

  • @VictoriaNgatunga-nm9py
    @VictoriaNgatunga-nm9py 2 วันที่ผ่านมา +2

    Kwa maombezi ya mtume na Mimi ntapokea mapacha 🙏

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 6 วันที่ผ่านมา +7

    Chalamila leo umenifuraisha sana

  • @user-st3ws1ns5g
    @user-st3ws1ns5g 22 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Show ya mwamposa imejaa,ila chalamila unatuchosha kweli sikuizii

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 5 วันที่ผ่านมา +11

    Tunakimbila miugiza simama omba mungu yupo uvivu ni mbaya

  • @salummahanzar6714
    @salummahanzar6714 2 วันที่ผ่านมา +2

    RC chalamila nakukubali Sana kaka

  • @mrsmussa115
    @mrsmussa115 5 วันที่ผ่านมา +20

    ujinga ni mzigo Allah atuongoze

    • @omytifa6403
      @omytifa6403 5 วันที่ผ่านมา +1

      Ameen

    • @tanzanianpatriotic3532
      @tanzanianpatriotic3532 5 วันที่ผ่านมา +4

      Maranyingi mjinga huzani yeye ni mwerevu na kumuita mwerevu mjinga, lakini ukijua yakwamba Mungu anaweza kuongea na wewe binafsi basi jaribu kumuliza ukweli ni upi,atakupa utayari wakujifunza na atasema na wewe binafsi.

    • @luotagwabt7730
      @luotagwabt7730 5 วันที่ผ่านมา

      Allah atuongoze wapi ndugu malizia hapo...kwenye njia iliyonyooka ya 3rd Caliph Uthman kurani moja ilinyooka isiyo na kujichanganya au wapi, au atuongoze Kibra kubusu jiwe jeusi na kumpiga mawe shaitwani fafanua vizuri...au kwa sabab hana mtoto na hakuwa na mke, au kwa sababu Isa atarudi kuwahukumu wakristo ya kwamba kwanini walimfanya Isa, Maryam na Allah kuwa Mungu watatu? jifunze atuongoze wapi???

    • @pastadandan3569
      @pastadandan3569 5 วันที่ผ่านมา +6

      Waislamu wanakwazika sana wakiona viwango hivi

    • @gosbertbuberwa6198
      @gosbertbuberwa6198 5 วันที่ผ่านมา

      ​@@pastadandan3569Sanaaaa! Mpaka Wasemeeee!

  • @kessiahLutungulu-t3s
    @kessiahLutungulu-t3s วันที่ผ่านมา

    Baba mungu akupe maisha milioni

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe4953 6 วันที่ผ่านมา +14

    Jana mida ya saa2 usiku nikiwa mitaa ya mikocheni aisee kulikuwa na foleni ya hatari ogopaaa mabasi YALIKUWA full watu wanatembea mpaka Kwa mguu kiufupi ilikuwa ni hatari hasa Wana wake watu wanataka miujiza na mafanikio na sio mungu

    • @user-ez1ky4ls7c
      @user-ez1ky4ls7c 5 วันที่ผ่านมา +2

      😂😂😂😂😂😂kabisa

    • @shijandobehe4953
      @shijandobehe4953 5 วันที่ผ่านมา

      @@user-ez1ky4ls7c na hao watu hawana Cha bible wa Quran tutafika tumechoka Sana wanahubiliwa mafanikio tu ukisikiliza kipindi Cha ushuhuda aisee shuhuda za kutisha tisha KAZI yao ni kutumia maji na mafuta ya upako huna haja ya kutaja jina la MUNGU 😥

    • @user-ur7pw9ek6s
      @user-ur7pw9ek6s 5 วันที่ผ่านมา +1

      Ujinga ni mzigo kwakweli watu hawataki kufanya kazi wanataka utajiri na maisha mazuri kwa miujiza 😂😂😂😂

    • @Kelvinjoseph-jz7kq
      @Kelvinjoseph-jz7kq 5 วันที่ผ่านมา +2

      @@user-ur7pw9ek6s Kam wasingekuw Na mafanikio bas kusingekuw Na foleni za Magari ,,wangekuw Na punda ndio mseme,,2sipend kuhukm

    • @ce-08
      @ce-08 5 วันที่ผ่านมา +2

      Kama familia yako hajawah kupata shida na ikatatuliwa kwa mwamposa huwez kumuelewa utamuona ni Muongo tu

  • @lusogoalbert138
    @lusogoalbert138 วันที่ผ่านมา

    DC Chalamira kashusha point nzito saaana makofi kwakee🎉🎉

  • @Oboss_billharvester
    @Oboss_billharvester 5 วันที่ผ่านมา +6

    Naona Leo chalamila kaongea uhalisia na ukweli wa maisha

    • @GeofreyKalo-ot3we
      @GeofreyKalo-ot3we 5 วันที่ผ่านมา

      Kama mtu hajakutana na changamoto hutomuona Kwa mwamposa ila kiukweli chalamila kaongea point shida watu wanaubishi mwingi Hadi kwenye maswala ya Imani MUNGU mbariki RC MUNGU mbariki apostle

    • @stanleymissiontv2303
      @stanleymissiontv2303 5 วันที่ผ่านมา +1

      Jamaaa likiamua kuongea point liko vzr

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 5 วันที่ผ่านมา

      @@stanleymissiontv2303 kwa kweli🤣🤣

    • @AgnesNjau-iq3gf
      @AgnesNjau-iq3gf 3 วันที่ผ่านมา

      Na wengine wapo humu ukweli huo unawauma haswaaa....

  • @martinlema4192
    @martinlema4192 วันที่ผ่านมา

    Amen! Nawakumbusha msisahau kipindi cha masika haliya mvua kidogo si rafiki.

  • @user-ni2kv3yf6e
    @user-ni2kv3yf6e 4 วันที่ผ่านมา +2

    Namuona magufuli wa badae

  • @Oboss_billharvester
    @Oboss_billharvester 5 วันที่ผ่านมา +3

    Huyu jamaa aache siasa ana chembechembe za kiutumishi wa kiungu, ila siasa inampotezea dhumini la mungu Ndani yake

    • @eunicejohn5520
      @eunicejohn5520 5 วันที่ผ่านมา

      Sana tu ila MUNGU ana njia akiamua anamtoa kwenye uongozi

  • @user-us1mh8zw1v
    @user-us1mh8zw1v 5 วันที่ผ่านมา +2

    Nakuelewa sana mkuu wa mkoa Wang Kwa speech zako unanimaliziaga bando Kwa harakati zako ususani speech zako mwamposa mola azid kukujalia tusiksikatae watoto na WA mama masiue watoto Leo waZaz wake mwamposa wanajivunia mtoto wap saffff

  • @bennygwasa4563
    @bennygwasa4563 5 วันที่ผ่านมา +3

    Mkuu wa mkoa upo vizuri sana

  • @evaristmbuya6220
    @evaristmbuya6220 4 วันที่ผ่านมา +2

    Kazi kazi

  • @GodfreyMwamaso
    @GodfreyMwamaso 4 วันที่ผ่านมา +3

    Amen Amen.umenena vema mtumishi wa Mungu chalamila una utumishi ndani yako Mungu akuinue

  • @FurahiniMbise-cb6uf
    @FurahiniMbise-cb6uf 4 วันที่ผ่านมา +2

    Ameeen and ameen

  • @user-tr3bi1ry6t
    @user-tr3bi1ry6t 4 วันที่ผ่านมา +2

    Mtu wa maaana kabisa chalamila

  • @Yesunimwokozi1
    @Yesunimwokozi1 5 วันที่ผ่านมา +5

    Mtumish wa MUNGU MWAMPOSA,, MUNGU AKUBARIKI ZAID

  • @joshuaezekiel8257
    @joshuaezekiel8257 3 วันที่ผ่านมา +1

    Ameen kubwa mkuuu wetu

  • @Dema_Tours
    @Dema_Tours 3 วันที่ผ่านมา +1

    Mtumishi wa Mungu

  • @ezekiambise2595
    @ezekiambise2595 6 วันที่ผ่านมา +3

    Jina la bwana libarikiwe.

  • @bettykinyami5096
    @bettykinyami5096 วันที่ผ่านมา

    Njia ya shetani ina watu wengi sana hii ni njia pana lakini njia ya Mungu ni nyembamba na imeaonga nao waionayo ni wachache,

  • @user-yh8ny1nf3f
    @user-yh8ny1nf3f 5 วันที่ผ่านมา +2

    Maneno ya upako

  • @MagrethSudy
    @MagrethSudy วันที่ผ่านมา

    Pamoja mtumishi

  • @user-nb2jw4km6f
    @user-nb2jw4km6f 5 วันที่ผ่านมา +2

    Watu wengi kama utitiri

  • @tseaamaqhamarabura7138
    @tseaamaqhamarabura7138 3 วันที่ผ่านมา +1

    Dar imepata RC hakika

  • @japhetmsafiri
    @japhetmsafiri 5 วันที่ผ่านมา

    Salaam Almassih, Yeshua akibar

  • @babajay3445
    @babajay3445 5 วันที่ผ่านมา +9

    Hao wote uliowaona hapo hawakufuata wokovu Wana hali ngumu ya maisha iliyosababiswha na ccm wenyewe

    • @josephdimosso6380
      @josephdimosso6380 5 วันที่ผ่านมา

      Hamna habari ya wokovu, hapo ni mafanikio na magonjwa iponyaji

    • @josephdimosso6380
      @josephdimosso6380 5 วันที่ผ่านมา

      Hamna habari ya wokovu, hapo ni mafanikio na magonjwa iponyaji

    • @PrudencePaul-mr1ge
      @PrudencePaul-mr1ge 4 วันที่ผ่านมา

      Hayajawafika siku yakiwafika mtaelewa

    • @calvinpaul2171
      @calvinpaul2171 3 วันที่ผ่านมา

      Kwel kabxaa

    • @AGM19697
      @AGM19697 2 วันที่ผ่านมา

      Mimi sina hali ngumu ya maisha na nilienda kumtukuza Mungu mkeshani

  • @emmanuelmlekwangano9991
    @emmanuelmlekwangano9991 5 วันที่ผ่านมา +1

    Mwamposa ni asset kwa wanasiasa

  • @yaluclile566
    @yaluclile566 5 วันที่ผ่านมา +1

    Nina mtoto nikicha naomba unisaidie nipo burundi

  • @dismaboytz4849
    @dismaboytz4849 6 วันที่ผ่านมา +6

    Kinacho tuponza TZ ni umasikini 😂 mashehe Huwa wanaongea sana wakiona seem Kuna ubwabwa chalamila shikamoo baba kz unaiweza Mimi kama___siachi uchawa😂😂😂😂😂 kwenye pesa

    • @MuniraShughuli-kc7vj
      @MuniraShughuli-kc7vj 6 วันที่ผ่านมา

      Ovyooo

    • @omarmohammed5157
      @omarmohammed5157 5 วันที่ผ่านมา

      Na ujinga pia unatuponza

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 5 วันที่ผ่านมา

      Unaleta kashfa isiyo na maana. Waislamu huwaga hawatumii uchawi. Na dini yao huwezi kuichanganya na uongo ndio tofauti. Mm siamini kama mwamposa ana uwezo wowote zaidi ya uchawi anaotumia.

    • @ashuramuhammed3257
      @ashuramuhammed3257 5 วันที่ผ่านมา

      Wewe chalamina ndo umesilimu wewe mtume mwamposa tena

  • @yaluclile566
    @yaluclile566 5 วันที่ผ่านมา +1

    Naomba namba ya mwaposa nipo Burundi

  • @happynkya9770
    @happynkya9770 วันที่ผ่านมา

    Duuuh hapa ilikuwa benjamin mkapa au

  • @VeronicaRugoyi
    @VeronicaRugoyi วันที่ผ่านมา

    Watu wanapenda miujiza kuliko neno

  • @YasreArafat-kk9en
    @YasreArafat-kk9en 5 วันที่ผ่านมา +1

    Hili swala la WANASiasa kuongea makanisani Na miskitini
    Kwa tz ruksa kabisa Na watz hatuna shida kabisa Na Hilo
    Endeleeni waeshimiwa mskate tamaa
    Sisi ndio wabongo Bana
    Halafu kwani huwa ni sifa Gani unaposkia
    Mtu anasema um(unacheza Na mbogo wewe)huwa Ina maana Gani
    Halafu mueshimiwa si ni Abubaker au?

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 2 วันที่ผ่านมา

    AMEN🙏🙏

  • @gelarisjonathan7081
    @gelarisjonathan7081 5 วันที่ผ่านมา +2

    Çhalamira mbona muhubiri mzuri

  • @achawanunetv1167
    @achawanunetv1167 6 วันที่ผ่านมา +2

    Wa Kaka wakina Juma Lokole Na Noël wa wasafi

  • @GeorgeChitemo-kt8sw
    @GeorgeChitemo-kt8sw 6 วันที่ผ่านมา +4

    Muabudu rusifa mkubwa Sana mwamposa muuni Moto unamsubiria asipo tubu lazma ziwa la Moto na reg rusifa wake

  • @upendomwakalibule
    @upendomwakalibule 6 วันที่ผ่านมา

    Ameeeeeeen

  • @HappinessMsham
    @HappinessMsham วันที่ผ่านมา

    ❤❤

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 5 วันที่ผ่านมา +3

    Innarilah wainahilah rajiun

    • @Nick16697
      @Nick16697 5 วันที่ผ่านมา

      Usilo lijua kwako ni sawa na usiku wa giza..

    • @SharifTwahirAbdullqadir
      @SharifTwahirAbdullqadir 5 วันที่ผ่านมา

      Nailo ndo guza lenyewe​@@Nick16697

    • @AGM19697
      @AGM19697 2 วันที่ผ่านมา

      Yule wa kwenu alishawaambieni yeye hajui anaenda wapi wala hajui ninyi mtaenda wapi ila anawaonya tu.
      Na mpaka leo mnamuombea, sasa hapo mbona mtihani mkubwa sana.
      Yesu alisema mimi ni njia kweli na uzima mtu hawezi kwenda kwa Baba bila kupitia yeye

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 5 วันที่ผ่านมา +5

    Hapo ni wanawake ni wengi sn

    • @AGM19697
      @AGM19697 2 วันที่ผ่านมา

      Ni hao hao waliodamka asubuhi na mapema kuuangalia mwili wa Yesu kaburini

  • @matukiotvonline6366
    @matukiotvonline6366 6 วันที่ผ่านมา +4

    Dunia hii muamini mungu tuu hata viongozi wa nchi huongoza kuwafanya raiya kuwa mazezeta daah😥😥😥😥

    • @Beauthoms
      @Beauthoms 6 วันที่ผ่านมา +2

      Amini unachokiamini kila mtu anashida zake mzee ,ko usihukumu usichokijua

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 5 วันที่ผ่านมา +1

      We mwenyewe zezeta au hujajiua?

  • @MashakaMagesa
    @MashakaMagesa 4 วันที่ผ่านมา +2

    Hiyo madhabahu ya Alise inatenda kama ukiamini tu mimi nimepokea chako ni chako mara 2 leo niko vizuri Namshukru mungu wa mbinguni

  • @michaelmlugu5654
    @michaelmlugu5654 5 วันที่ผ่านมา +2

    Akuombee wewe uwe waziri aombee na wezi wa serikali waache kuiba aiombee serikali watu wasiojulikana wapatikane na waache kuwatesa watu na kuwaua mkuu una fungu hapo

  • @PrinceCharlz-vv1zs
    @PrinceCharlz-vv1zs 5 วันที่ผ่านมา +3

    waislam wanakasirik sabab Mungu wetu anafanya kuliko kawaida

    • @omytifa6403
      @omytifa6403 5 วันที่ผ่านมา +1

      Atukasir nyinyi mna dini yetu na sis tuna dini yetu

    • @user-ts9lp4rm9j
      @user-ts9lp4rm9j 5 วันที่ผ่านมา

      Cha ajabu hapo kwa MWAMPOSA waislam n wengi kuliko wenye dini yao na wanashida balaa

    • @user-cq4lp5rv1l
      @user-cq4lp5rv1l 5 วันที่ผ่านมา

      Mungu wako sisi waislam hatuna mungu

    • @omytifa6403
      @omytifa6403 5 วันที่ผ่านมา

      @@user-cq4lp5rv1l ww sio muislam km una MUNGU

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 4 วันที่ผ่านมา

      @@omytifa6403wenzio wamejaa kwa mwampisa umebaki wewe

  • @MwalimuJelly
    @MwalimuJelly 5 วันที่ผ่านมา

    Amen

  • @mr_kajomba_og5719
    @mr_kajomba_og5719 6 วันที่ผ่านมา +1

    Sisi watu wa Kawe tumekipata Cha moto Naul kawe Morocco buku kawe bugurun buku jero kawe mbagala 2000 na bado gar nizakugombaniwa

  • @MozaSihha
    @MozaSihha 5 วันที่ผ่านมา

  • @KhalidAlly-je8ky
    @KhalidAlly-je8ky 5 วันที่ผ่านมา

    Duh

  • @user-ym6hd7xh3g
    @user-ym6hd7xh3g 2 วันที่ผ่านมา

    Palipo mzoga ndipo wakusanyikapo tai.

  • @SmilingBeaver-rf6sf
    @SmilingBeaver-rf6sf 5 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤❤❤

  • @AdamAmos-rr6fg
    @AdamAmos-rr6fg 6 วันที่ผ่านมา +6

    Uyu nae chawa kwel uyu

  • @consolatamaunde9820
    @consolatamaunde9820 4 วันที่ผ่านมา

    Kuwa mkuu wa mkoa sio ndo kuwa na macho ya rohoni izo habari za mchawi au sio mchawi waachie watu wa rohoni . Inawezekana umesimama kwenye madhabahu inayosababisha hayo yote yanatusumbua POLE

  • @user-ii1gz2it4c
    @user-ii1gz2it4c 5 วันที่ผ่านมา

    🔥🔥🔥🔥🇧🇮🇧🇮

  • @hadijatwahadossa
    @hadijatwahadossa 5 วันที่ผ่านมา

    Hakuna kitu hapo,,,,hata wakina Bushiri walikuwepo South Africa,,, wamekimbia wenyewe,,,wakina TB Joshua wako wapi....hayo ni matangazo kama yalivyo matangazo ya biashara,......wapeni mitaji.....sio mikopo

  • @nathanpangjanda2734
    @nathanpangjanda2734 6 วันที่ผ่านมา +3

    Hao wote ni wanyakyusa hapo kuna ukabila fulani

    • @user-jj7qv7kh2s
      @user-jj7qv7kh2s 6 วันที่ผ่านมา

      Yani wewe akili yako imeishia hapo

    • @user-jj7qv7kh2s
      @user-jj7qv7kh2s 6 วันที่ผ่านมา

      Hapo kuna makabila yote mpaka wazungu wahindi wapo hapo.

    • @ambakisyemwakinunu2002
      @ambakisyemwakinunu2002 6 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂 Umechemka vibaya RC CHARAMILA n MNYALUKOLO(MHEHE) wa IRINGA/NJOMBE na MWAMPOSA ni MNYAKYUSA wa MBEYA,waache watu na Imani zao wewe na mimi tubaki na tunachoamini ila haifai kujiona wewe uko sahihi kuliko mwingine juu ya imani Maana ni Mungu pekee ndo anajua usahihi wa imani ya mtu

    • @user-ts9lp4rm9j
      @user-ts9lp4rm9j 5 วันที่ผ่านมา

      Rc chalamila cio mnyakusa n muhehe

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 4 วันที่ผ่านมา

      ufahamu wako kiwango cha chini kabisa

  • @jaromemwazembe6396
    @jaromemwazembe6396 5 วันที่ผ่านมา +2

    Nakusihi Mwamposa fundisho watu kumwamini Kristo na kuacha dhambi hayo Mambo ya utajiri yatafuatana nao wakifundishwa ujuzi wa kufanya kazi. Fuata fundisho la Yesu Kristo pekee achana nabkuwafanya watu wajihisi wamefugwa kila mahali hapana wafundishe kuwa na Imani thabiti kwa Kristo isiyo na viambayanisho/visaidizi vya mafuta,maji ya upako etc.

    • @ChristopherNgubiagai
      @ChristopherNgubiagai 5 วันที่ผ่านมา +2

      Undisha wewe labda niwitowako achakujitia wewe ndie unamjuamungu saaana fuatayako

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 4 วันที่ผ่านมา

      ushawai fwatilia mafundisho yake au unaota kijana kabla hujacomment fwatilia ibada za mwamposa ndo utajua anafundisha nini 😂😂😂😂

    • @ChristopherNgubiagai
      @ChristopherNgubiagai 3 วันที่ผ่านมา

      @Leeeeeeee-96 biblia ni kubwa sana achakudharau anachofundisha mtumishi,ebu niambie kosamojakimaandiko lamwamposa,acheni ulimbuken wamapokeo yamadhehebu

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 3 วันที่ผ่านมา

      @@ChristopherNgubiagai mimi au wewe ndo limbukeni uko zama zipi bro

    • @ChristopherNgubiagai
      @ChristopherNgubiagai 3 วันที่ผ่านมา

      @Leeeeeeee-96 we nimshamba wamaandiko unawaza kukemea dhambi kuish kifukara,mafundisho yakipumbavu yamekufanya uenautindio wakiroho.mnajiona mnajua mungu kumbe mmefungwa

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee 5 วันที่ผ่านมา +1

    Narudia tena Mungu siyo wa quantity yeye ni wa quality. Sauti ya wengi si sauti ya Mungu bali sauti ya mwenye haki ndiyo sauti ya Mungu.

    • @Oldskulgemini9991
      @Oldskulgemini9991 5 วันที่ผ่านมา +1

      Kwahiyo unataka kusema hao wengi sio wa Mungu ila wewe ndo wa Mungu eti😅 we umejuaje kama sio wa Mungu?

    • @shongatv1224
      @shongatv1224 5 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@Oldskulgemini9991watanzania wengi tupo njia panda jambo likiwa kubwa ni shetani likiwa dogo sana tunaamin ndo haki yetu

    • @Oldskulgemini9991
      @Oldskulgemini9991 5 วันที่ผ่านมา

      @@shongatv1224 vichwa panzi, watu wote hao kwamba ni wehu ila wao wachache ndo wanajiona wanaakili😅 ukiona mtu anaetumia muda wake kufatilia dini za wengine jua Hana kazi ya kufanya, maisha Yako mbio Sana unaanzaje kupoteza muda kuanza kukosoa Imani za watu

    • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
      @RubenMtuwaMungu-bz8ee 4 วันที่ผ่านมา

      @@shongatv1224 huu ni wakati wa kunyang'anywa taji ya uzima. Hatumpingi mtu kwa ajili ya wivu, laiti ningekutana na wanaokwenda kwa manabii wa hivyo ninge debate nao kibiblia tuweke pembeni itikadi zetu za madhehebu na ufuasi ndipo ungejua kuwa watu wengi hawajui hata sababu gani Yesu alikuja duniani na alikufa kwa sababu gani Ili iweje. Sababu injili tuliyoachiwa na Yesu haikubaliki kwa kizazi cha leo na kwakuwa ni hivyo je injili inayopendwa na kizazi cha leo itawapeleka wapi hatimaye!?

    • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
      @RubenMtuwaMungu-bz8ee 4 วันที่ผ่านมา

      @@Oldskulgemini9991 swali la kitoto! Nimejuaje na wewe umejuaje kuwa ni ya Mungu? In short jambo lolote hupimwa kwa kipimo kinachokubalika na wote. Swali imani yako wewe huwa unaipima kwa kutumia nini? Biblia ndiyo kipimo pekee kinachokubalika ikiwa wewe unajitambua kama mkristo. Waliojikinai hubeza mwongozo wa biblia kwa kuwa imeandikwa "kuna wakati watayakataa mafundisho yenye uzima na kufuata mafundisho ya mashetani kwa kuwa wana masikio ya utafiti". Mathayo sura ya 24 na Yeremia 23:16-30 biblia imeeleza wazi manabii wa uongo walivyo. Kama ni suala la miujiza na utajiri wa vitu hicho siyo lengo kuu la Yesu kufa msalabani. Injili ya utajirisho na kuondoa laana ni dhaifu haiwezi kuwashawishi mabilionea duniani ambao wengi wao ni wapagani kumwamini Yesu.

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj 6 วันที่ผ่านมา +8

    Astaghafirullah

    • @luotagwabt7730
      @luotagwabt7730 5 วันที่ผ่านมา

      Ukisomewa kisomo cha majini na kufukizwa ubani fresh au siyo

    • @Nick16697
      @Nick16697 5 วันที่ผ่านมา

      ​@@luotagwabt7730hawa watu ni wa ajabu sana sijui kwann, wanafika mahali wanasema kuna majini wema 😂😂

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 4 วันที่ผ่านมา

      bafo hujasema wenzio na nikabu na majuba na barakashia wamejaa kwa mwamposa mpaka watu kutoka zanzbar

    • @AGM19697
      @AGM19697 2 วันที่ผ่านมา

      ​@@Nick16697hivi wanashinwaje kushtuka? Majini ni vijana wa shetani na tunaambiwa majini ni Waislamu, hapo sasa wanashindwaje kushtuka?

  • @alexandernyambo7739
    @alexandernyambo7739 3 วันที่ผ่านมา

    RC UMESAHAU AU HAUJUI KUWA MAANDIKO YANATIMIA
    SOMA MATHAYO 7:13
    "NJIA IENDAYO UTOTEVUNI NI PANA, NAO NI WENGI WAIPITATOOO.

  • @stanleymanya438
    @stanleymanya438 5 วันที่ผ่านมา

    Ukovizuri mr copypest.

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 4 วันที่ผ่านมา

    Kura za 2025 hizo.😂😂

  • @karimjuma4019
    @karimjuma4019 5 วันที่ผ่านมา +3

    Anafuata maneno ya mama uyu jamaa kweli chawa

  • @vicentmapunda3146
    @vicentmapunda3146 6 วันที่ผ่านมา +2

    Mliskia wap kumuona mchungaji unatoa hela😂😂

    • @aghamedia
      @aghamedia 5 วันที่ผ่านมา

      @@vicentmapunda3146 ya kiboko sasa io

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 4 วันที่ผ่านมา

      mwamposa ni bure kabisa ata sadaka sio lazima umechemka ndugu 😂

    • @AGM19697
      @AGM19697 2 วันที่ผ่านมา

      Pale ni mguu wako tu mengine kadiri ulivyojaliwa

  • @johnsonzuma4932
    @johnsonzuma4932 5 วันที่ผ่านมา

    Wewe RC siyo harufu wewe ni mtanzania gani!!! MTU atowi arufu bali MTU ana towa Rehe juwa hilo...

  • @joshuajofrey9832
    @joshuajofrey9832 5 วันที่ผ่านมา

    Hapo wanaccm wanafikili ni namna gani watamtumia mwamposa kujinufaisha kisiasa

  • @jesusnetworkministry
    @jesusnetworkministry 6 วันที่ผ่านมา +1

    kweli njia ni pana sana

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 4 วันที่ผ่านมา

      bado hujasema mtu uliefika mbinguni 😂

  • @NashonJunior-or5eh
    @NashonJunior-or5eh 4 วันที่ผ่านมา +1

    Sijawai ona akihubir watu waache dhambii

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 4 วันที่ผ่านมา

      una uhakika ata leo kahubiri watu waache zambi acha kukurupuka utaaibika vibaya

    • @janesuma-is4wc
      @janesuma-is4wc 3 วันที่ผ่านมา

      Wewe umehubiria wangapi waache dhambi zaidi ya kuhukumu

  • @badirashid4668
    @badirashid4668 3 วันที่ผ่านมา

    😂😂