Polisi feki waliokamatwa Dodoma, RPC Muroto akiwahoji maswali
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
- Jeshi la Polisi mkoani Dodoma likiongozwa na Kamanda wake Gilles Muroto limeendelea na operation ya kusaka na kuwakamata wahalifu mbalimbali ambapo miongoni mwa waliokamatwa ni pamoja na Polisi feki, wakabaji wa kutumia nguvu, wavunjaji wa nyumba pamoja na wahamiaji haramu ambao wanadaiwa kuingia nchini bila vibali maalum.
Kamanda Honge kwa kazi Nzur , Naomba makamanda wengne waige mfano huu mikoa yote Tz
Hongera sana jeshi letu la polisi kun'gamua na kuchukua hatu Kali kwa wapuuzi hao👏❤
MTU MNENE AFYA NZURI LAKINI MHALIFU KAMANDA MAKINI SANA HUYU
Watapata tabu sana
Mwngne anardsha tumbo
Ajali dar
Kamanda safi sana unastahili pongezi umeitendea haki taaluma yako...
Wanahitajika makamanda kama hawa kwakweli Mungu akulinde wasije kukutoa roho maana kazi unayofanya kuna wanaochukizwa nayo
Mwanajuma Mahundumla kweli sister Mungu awe nae
Mwanajuma Mahundumla welcome to my channel ukhtyth-cam.com/video/ctGxynrpAZA/w-d-xo.html
Mwanajuma Mahundumla kweli kabisa
Huyo policy aneshikwa tumbo Alisha wahikunikamata kumbe feki.
Nimekubali kamanda hapo kazi tu wakomesheni hao
Asante sana kamanda wangu!!, kamanda Muroto on air again!!. Kazi nzuri, endelea kuimarisha ulinzi wa raia wema na mali zao. Kwa kufanya hivo unaokoa mambo mengi sana Kamanda M.
Dhibiti! tupe na taarifa.... tunafarijika kuona na kusikia hivo
huyo kamanda anafaa sana maana mal za raia anazirudisha mikonon mwao. kama umemkubal muroto gonga rike hapa
Ezekiel michael Msigala Namkubali kwelikweli huyu Kamanda Mungu mpe umri mrefu Amin amini amini.
Ezekiel michael Msigala siyo rike ni like correction please.
Ezekiel michael Msigala swadakta
ninomaa dom
Hata mimi namkubali kwa kweli may Allah protect him.
Kama unamkubali kamanda gonga laik apa twende sawa
Nimekupenda sana kamanda, uko vizuri, ulistahili kua IGP
Hongera kwa jeshi la polisi, wezi wakomeshwe ,hatuafanyii kazi wao pumbavu
Mungu akulinde kamanda Muroto kwa kazi nzuri.
Huyu RPC murotto ni kiongozi bora wa mwaka 👏👏
Funny 🤣🤣 haha huyu aje Kenya 🇰🇪🇰🇪
Dodoma ipo vizir kamanda anaupiga mwingi mashallah
Mgogo mpiga kazi nakukubali sana muroto💯💯💯🙏🙏🙏
uyu afande nampenda sana anafanya kazi nzuri sana natamani sikumoja nionane nae japo nimpe mkono
Nalipongeza jeshi la polis Kwa kazi nzuri ya kuwakamta hao waaalifu, opreshen hiyo ifanyike nchi nyima
Watapata taabu sanaaa!!!! Huyu Afande asitoke Dom,Presdaa usimpandishe cheo mapema asafishe kwanza Dodoma!!! Hongera Sanaa MUROTO.
mtanzania mzalendo
Muroto akiwa anakuhoji utazani anakuachia kumbe anakusukuma ndani 😂😂😂😂
Eti ameshawahi kukaba ata mama yake, ujanja hapa mjini hakuna, hili tumbo brother fanya kazi huyu afande kila nikiona taarifa yake lazma nimsikilize nakuwa nacheka sana
mohammed abdallah mi nampenda sana sio Dar kila siku kuona matako tu na chuki za kisiasa na wanaompinga huyu basi na wao wezi au vibaka
Mwanajuma Mahundumla kweli sister huyu afande Mungu amsimamie kwa kweli
mohammed abdallah Hahahaha iyo yakukaba mama yake noma .eti usirudishe tumbo nyuma
mohammed abdallah
mohammed abdallah 😂😂😂😂
Kazi nzuri Kamanda nakukubali sana.
Hongera Kwa kazi nzuri unastahili pongezj zaidi
nlikua namchukia huyu afande ila sahiv nataman kuona matukio zake 😅😅😅😅😅😅
Kazi nzuri sana kamanda nakupongeza sana na serikali kwa ujumla ujanja ujanja hakuna mjini twendelee tu kupata tabu sana
Hahahahahaahs nimependa Kwa kauri mbio watapata tabusaaaaana muroto noma kama unamkubari gonga like hapa
Kamanda hao ndo wezi wa pikipiki maaa uku dar es salamu zina ibiwa sana pkpk hebu muwe mna zitaja pleti namba zao na chesesi na injini namba ili tuzitambue izo pikipiki kamanda huwenza tuka pata pikipiki zetu kama una amini hawa ata pikipiki wana iba gonga like apaa
Hongelen sana jesh lapolis kwakaz nzur munayo ifanya
dingi muroto hoyeeee wataelewa tu ukingia dodoma hutokiii
Mungu muweke Kamanda wa Dodoma mpe umri mrefu na wajaalie wakuu wa mikoa wengine utendaji kama huu
Kazi nzuri makamanda,Mungu awe nanyi siku zote
safi kamanda Mtoto hapa kazi tu
Hongelen sana jeshi lapolisi mungu awalinde🙏🙏🙏
Ao machalii wafungw miaka yao yote yan
Jembe sana makamanda Dodoma, Dodoma saaaaaafi
Jamani mpaka anazeeka ndo wanampandisha cheo huyu Kamanda mzuri sana
Danzania,, police wenu wezuri kweli god bless all danzania police,,Aki Kaa Ni Kenya utafinywa,,, Kenyan police learn something here,,,
Rpc uko vzr sana unafanya kazi vzr kabisa
Haha uyo aliekaba adi mama yake ndio katisha....
Afande kazi nzuri kwa kiingereza wanaita "dirty work"
Hongera sana afande wa Dodoma.
4:13 hapa alitamani kumlamba kofi. 😂 Eti _Mtu munene afya nzuri lakini muhalifu_ 🤣🤣🤣
Sheria ifuate mkondo
Nakuelewaga saana Kamanda kazi kazi
RPC Muroto. Kazi nzuri🤣😂
Pita kote lakin usisogee kweny sumaku ya Muroto... Aiseee utapata tabu saaaana . hongera kamanda ..
Mwenyez Mungu akuongezee maisha maref yny baraka kwa kaz yako nzr
This officer deserves to be promoted share this video and show the president the good job this officer doing for the country and community
Big up kamanda #mroto. watapata Tabusana!
Mkuu wa mkoa mwenyewe hanambavu😂😂😂😂😂 muroto kwakweli hua ana nifurahisha
Chapa kazi wajina
Njoo Dar Kamanda utusaidie maana uku siasa tu badala ya kazi,
Aman Mark katokea Dar,Mkoa wa Kipolisi Temeke😆
Aman Mark .
Hongera murotto ucilewe cfa mkuu wakalishe wotee
daah si waje huku chuga tuondoke na milonjo yaoo daadeki zao
Kamanda fanya kazi yako nakupa zote zote wezi wanaturudisha maendereo nyuma
Watapata tabu sanaaa kama unampenda kamanda hebu mwaga like za kutosha.anafaa sana hakika mazuri yasifiwe jamani mkoa umetakata...njo na Arusha kidogo 😂😂😂😂
Dodoma safiiiiiiiiii
man jaruu jr safi kabsaaaa
Achakurudisha tumbo.
Amani kwako bro Yusuph
.safiiii kamada
Uko vzr mkuuu big up
kamanda upon making hongera sana
Kamanda tunakuitaji Dar💪💪
toa tumbooo likingia dodoma halitoki lazima utapike sawaaaa
woooyooh!!!!!!
Dodoma safi!!
😝😝😝😝ety kamchape,,huyu kamanda namkubali sn,,yupo sw ila minataka niwaambie kwa Dodoma mtapata tabu sn 🤣🤣🤣
Kamanda nakukubali sana kaz nzur
Hawa ndio makamanda wanaotakiwa na sio Wale wanaotesa na kunyanyasa viongozi wa upinzani hongera sana kamanda muroto viongozi na makamada wengine waige mfano WA kamanda Muroto.
Atwambie basi majambazi waliompiga risasi lisu...hajawakamata tu .
kungekuwepo makamanda kama hawa Tanzania ingekuwepo safi sana
Mzee upo vizuri
Nampenda sana kamanda huyu
Kazi nzuri
Dodoma noma aipimiki
Hongera Kamanda,kweli wewe ni AFANDE. Ukistaafu,tutakumiss sana.
Chapa kazi baba murotu
Nakukubali xana Afande Muruto,wape tabu sana hao
Nakukubali sana afande wangu muroto kwa kuliweka jiji salama
Hiyo ndio kazi.TV yangu inch 42 lg imeibiw
Hayo makofi mdogo madogo huwa yananiacha hoi wallah 😁😁😁😁 watapata tabu sana
Muroto RPC unatisha kamanda unafanya kazi kubwa kuliko police wote nchini rais akupe zawandi ya nishani maana wewe ndiyo kamanda pekee unayefanya kazi za uhakika mungu akubariki sana na akulinde watapata TABU SANA
Kamandaaaaa👏👏👏👏👏
Kamanda uko vizuri sana, Allah akutie nguvu kwa kila hatua unayosonga, wewe ni shujaa.
Kamanda upo vizuri
Hongera polisi kwa msako
Halafu nyie mashoga kila video eti gonga like hapa mnaboa kinoma yaani
Kwel as
😁😅👌
hha hata kwako tumefonga like haha 😂
Mungu akujalie kamanda na jeshi lako la polis kaz nzur watu tunapata shida kwenye kaz
😁😁😂😂wacha kurudisha tumbo .na nikwel nalingiza ndan alivyo ona mwenzake anashikwa shikwa hahahaahha
Hongera sana kamanda
Safi sana kamanda unasafisha jiji
Dodoma kunamatukio nako khaaaaa😠😠😠 wakaozeee jela
Rpc kwa kweli Mungu akulinde japo wakuu wako wanakuludisha nyuma,Mh Magu unamfaa sanaaaaaàà
we baba uishi miaka mingi,, natamani ungekua mkoani kwangu uwanyooshe waharifu. mungu akupe afya
Pa1 sana bro mussa
kazi nzur afande
Muroto baba uko vizuri
Hahaaaa mzee muroto safi sana
Safi sana kamanda mroto.
kamand mchapakaz 👏
duu kweli naomba wafikishwe tu mahakamani haooo
kamanda hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hapa kazi tu
Nakukubali sana we kamanda umetupa msemo wenye maana na pia unaufanyia kazi
Huyo afande anafaa sana dar es salaam muheshimiwa tunamuomba huyo afande dar es salaam. Anafaa sana.
Nimekupenda afande,!
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂daaah..huyu afande anajua kukunanga .