Polisi feki waliokamatwa Dodoma, RPC Muroto akiwahoji maswali

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
  • Jeshi la Polisi mkoani Dodoma likiongozwa na Kamanda wake Gilles Muroto limeendelea na operation ya kusaka na kuwakamata wahalifu mbalimbali ambapo miongoni mwa waliokamatwa ni pamoja na Polisi feki, wakabaji wa kutumia nguvu, wavunjaji wa nyumba pamoja na wahamiaji haramu ambao wanadaiwa kuingia nchini bila vibali maalum.

ความคิดเห็น •

  • @peterchesam5737
    @peterchesam5737 6 ปีที่แล้ว +4

    Kamanda Honge kwa kazi Nzur , Naomba makamanda wengne waige mfano huu mikoa yote Tz

  • @raphaelmwamakimbula9642
    @raphaelmwamakimbula9642 ปีที่แล้ว +2

    Hongera sana jeshi letu la polisi kun'gamua na kuchukua hatu Kali kwa wapuuzi hao👏❤

  • @BurhaniLiyau
    @BurhaniLiyau 6 ปีที่แล้ว +91

    MTU MNENE AFYA NZURI LAKINI MHALIFU KAMANDA MAKINI SANA HUYU

    • @josephmpunta2662
      @josephmpunta2662 6 ปีที่แล้ว +1

      Watapata tabu sana

    • @stephenemganga3604
      @stephenemganga3604 6 ปีที่แล้ว +1

      Mwngne anardsha tumbo

    • @sauliali4877
      @sauliali4877 6 ปีที่แล้ว +1

      Ajali dar

    • @lucyshula5669
      @lucyshula5669 5 ปีที่แล้ว +1

      Kamanda safi sana unastahili pongezi umeitendea haki taaluma yako...

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 6 ปีที่แล้ว +53

    Wanahitajika makamanda kama hawa kwakweli Mungu akulinde wasije kukutoa roho maana kazi unayofanya kuna wanaochukizwa nayo

    • @mohammedabdallah6390
      @mohammedabdallah6390 6 ปีที่แล้ว +1

      Mwanajuma Mahundumla kweli sister Mungu awe nae

    • @mustaphahassan589
      @mustaphahassan589 6 ปีที่แล้ว

      Mwanajuma Mahundumla welcome to my channel ukhtyth-cam.com/video/ctGxynrpAZA/w-d-xo.html

    • @mimielias5422
      @mimielias5422 6 ปีที่แล้ว

      Mwanajuma Mahundumla kweli kabisa

    • @davidmakwala6012
      @davidmakwala6012 6 ปีที่แล้ว

      Huyo policy aneshikwa tumbo Alisha wahikunikamata kumbe feki.

    • @faridafarida4314
      @faridafarida4314 5 ปีที่แล้ว

      Nimekubali kamanda hapo kazi tu wakomesheni hao

  • @paulmadundo8084
    @paulmadundo8084 6 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana kamanda wangu!!, kamanda Muroto on air again!!. Kazi nzuri, endelea kuimarisha ulinzi wa raia wema na mali zao. Kwa kufanya hivo unaokoa mambo mengi sana Kamanda M.
    Dhibiti! tupe na taarifa.... tunafarijika kuona na kusikia hivo

  • @ezekielmichaelmsigala8545
    @ezekielmichaelmsigala8545 6 ปีที่แล้ว +263

    huyo kamanda anafaa sana maana mal za raia anazirudisha mikonon mwao. kama umemkubal muroto gonga rike hapa

    • @kassimandrea8540
      @kassimandrea8540 6 ปีที่แล้ว +8

      Ezekiel michael Msigala Namkubali kwelikweli huyu Kamanda Mungu mpe umri mrefu Amin amini amini.

    • @anthonyluhumbika4693
      @anthonyluhumbika4693 6 ปีที่แล้ว +1

      Ezekiel michael Msigala siyo rike ni like correction please.

    • @komboomar8275
      @komboomar8275 6 ปีที่แล้ว +1

      Ezekiel michael Msigala swadakta

    • @shekhekhandereizer559
      @shekhekhandereizer559 6 ปีที่แล้ว +1

      ninomaa dom

    • @azizamwimbe9417
      @azizamwimbe9417 6 ปีที่แล้ว +2

      Hata mimi namkubali kwa kweli may Allah protect him.

  • @maikomgwao4906
    @maikomgwao4906 6 ปีที่แล้ว +68

    Kama unamkubali kamanda gonga laik apa twende sawa

  • @trilionea_online_TV
    @trilionea_online_TV 6 ปีที่แล้ว +3

    Nimekupenda sana kamanda, uko vizuri, ulistahili kua IGP

  • @labanakyoo4177
    @labanakyoo4177 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongera kwa jeshi la polisi, wezi wakomeshwe ,hatuafanyii kazi wao pumbavu

  • @jensennashon6147
    @jensennashon6147 6 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akulinde kamanda Muroto kwa kazi nzuri.

  • @mosesjnr8436
    @mosesjnr8436 6 ปีที่แล้ว +7

    Huyu RPC murotto ni kiongozi bora wa mwaka 👏👏

  • @alextercisio
    @alextercisio 2 ปีที่แล้ว +1

    Funny 🤣🤣 haha huyu aje Kenya 🇰🇪🇰🇪

  • @RahimaMct-ik8mr
    @RahimaMct-ik8mr 2 หลายเดือนก่อน

    Dodoma ipo vizir kamanda anaupiga mwingi mashallah

  • @mindirajabu9039
    @mindirajabu9039 4 ปีที่แล้ว

    Mgogo mpiga kazi nakukubali sana muroto💯💯💯🙏🙏🙏

  • @thomassylivester6751
    @thomassylivester6751 6 ปีที่แล้ว +1

    uyu afande nampenda sana anafanya kazi nzuri sana natamani sikumoja nionane nae japo nimpe mkono

  • @leticiaclemence
    @leticiaclemence 5 หลายเดือนก่อน

    Nalipongeza jeshi la polis Kwa kazi nzuri ya kuwakamta hao waaalifu, opreshen hiyo ifanyike nchi nyima

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo7001 6 ปีที่แล้ว +4

    Watapata taabu sanaaa!!!! Huyu Afande asitoke Dom,Presdaa usimpandishe cheo mapema asafishe kwanza Dodoma!!! Hongera Sanaa MUROTO.

  • @divineidentity9445
    @divineidentity9445 6 ปีที่แล้ว +5

    Muroto akiwa anakuhoji utazani anakuachia kumbe anakusukuma ndani 😂😂😂😂

  • @mohammedabdallah6390
    @mohammedabdallah6390 6 ปีที่แล้ว +39

    Eti ameshawahi kukaba ata mama yake, ujanja hapa mjini hakuna, hili tumbo brother fanya kazi huyu afande kila nikiona taarifa yake lazma nimsikilize nakuwa nacheka sana

    • @mwanajumaomahundumla6504
      @mwanajumaomahundumla6504 6 ปีที่แล้ว +1

      mohammed abdallah mi nampenda sana sio Dar kila siku kuona matako tu na chuki za kisiasa na wanaompinga huyu basi na wao wezi au vibaka

    • @mohammedabdallah6390
      @mohammedabdallah6390 6 ปีที่แล้ว

      Mwanajuma Mahundumla kweli sister huyu afande Mungu amsimamie kwa kweli

    • @p.kasongot979
      @p.kasongot979 6 ปีที่แล้ว +1

      mohammed abdallah Hahahaha iyo yakukaba mama yake noma .eti usirudishe tumbo nyuma

    • @mwalukoerick2801
      @mwalukoerick2801 6 ปีที่แล้ว

      mohammed abdallah

    • @gregorychogelo2013
      @gregorychogelo2013 6 ปีที่แล้ว

      mohammed abdallah 😂😂😂😂

  • @yahyamajidyahyahilalal-har8762
    @yahyamajidyahyahilalal-har8762 6 ปีที่แล้ว +4

    Kazi nzuri Kamanda nakukubali sana.

  • @lonickmpumilwa
    @lonickmpumilwa 4 ปีที่แล้ว

    Hongera Kwa kazi nzuri unastahili pongezj zaidi

  • @emmanueljuvieh4316
    @emmanueljuvieh4316 6 ปีที่แล้ว +1

    nlikua namchukia huyu afande ila sahiv nataman kuona matukio zake 😅😅😅😅😅😅

  • @Loftyattorneys
    @Loftyattorneys 6 ปีที่แล้ว

    Kazi nzuri sana kamanda nakupongeza sana na serikali kwa ujumla ujanja ujanja hakuna mjini twendelee tu kupata tabu sana

  • @sembosayenda7182
    @sembosayenda7182 6 ปีที่แล้ว

    Hahahahahaahs nimependa Kwa kauri mbio watapata tabusaaaaana muroto noma kama unamkubari gonga like hapa

  • @hajihansy9598
    @hajihansy9598 6 ปีที่แล้ว +1

    Kamanda hao ndo wezi wa pikipiki maaa uku dar es salamu zina ibiwa sana pkpk hebu muwe mna zitaja pleti namba zao na chesesi na injini namba ili tuzitambue izo pikipiki kamanda huwenza tuka pata pikipiki zetu kama una amini hawa ata pikipiki wana iba gonga like apaa

  • @Rose-h8e1m
    @Rose-h8e1m หลายเดือนก่อน

    Hongelen sana jesh lapolis kwakaz nzur munayo ifanya

  • @limokisuda4145
    @limokisuda4145 6 ปีที่แล้ว +28

    dingi muroto hoyeeee wataelewa tu ukingia dodoma hutokiii

  • @kassimandrea8540
    @kassimandrea8540 6 ปีที่แล้ว +2

    Mungu muweke Kamanda wa Dodoma mpe umri mrefu na wajaalie wakuu wa mikoa wengine utendaji kama huu

  • @anatorydesdery4593
    @anatorydesdery4593 6 ปีที่แล้ว

    Kazi nzuri makamanda,Mungu awe nanyi siku zote

  • @selemankilawa1589
    @selemankilawa1589 6 ปีที่แล้ว

    safi kamanda Mtoto hapa kazi tu

  • @TedyDaudy-c8t
    @TedyDaudy-c8t 6 หลายเดือนก่อน

    Hongelen sana jeshi lapolisi mungu awalinde🙏🙏🙏

  • @DjSulleTz
    @DjSulleTz หลายเดือนก่อน +1

    Ao machalii wafungw miaka yao yote yan

  • @jilindamalgwe1811
    @jilindamalgwe1811 5 ปีที่แล้ว +1

    Jembe sana makamanda Dodoma, Dodoma saaaaaafi

  • @sembosayenda7182
    @sembosayenda7182 6 ปีที่แล้ว +1

    Jamani mpaka anazeeka ndo wanampandisha cheo huyu Kamanda mzuri sana

  • @thepowerofsilentsoul2135
    @thepowerofsilentsoul2135 3 ปีที่แล้ว

    Danzania,, police wenu wezuri kweli god bless all danzania police,,Aki Kaa Ni Kenya utafinywa,,, Kenyan police learn something here,,,

  • @ShangweMfilinge
    @ShangweMfilinge 8 หลายเดือนก่อน +1

    Rpc uko vzr sana unafanya kazi vzr kabisa

  • @Blackie_blackie9327
    @Blackie_blackie9327 6 ปีที่แล้ว +1

    Haha uyo aliekaba adi mama yake ndio katisha....

  • @JOSEPHASSENGA-jk2iu
    @JOSEPHASSENGA-jk2iu 8 หลายเดือนก่อน

    Afande kazi nzuri kwa kiingereza wanaita "dirty work"

  • @swithinshayo8586
    @swithinshayo8586 4 ปีที่แล้ว

    Hongera sana afande wa Dodoma.

  • @tzviral7342
    @tzviral7342 6 ปีที่แล้ว +3

    4:13 hapa alitamani kumlamba kofi. 😂 Eti _Mtu munene afya nzuri lakini muhalifu_ 🤣🤣🤣

  • @sadikidaudi1223
    @sadikidaudi1223 6 ปีที่แล้ว

    Nakuelewaga saana Kamanda kazi kazi

  • @remedymoody
    @remedymoody 6 ปีที่แล้ว +1

    RPC Muroto. Kazi nzuri🤣😂

  • @angelamartinchiteji2461
    @angelamartinchiteji2461 6 ปีที่แล้ว

    Pita kote lakin usisogee kweny sumaku ya Muroto... Aiseee utapata tabu saaaana . hongera kamanda ..

  • @darweshathumans8302
    @darweshathumans8302 6 ปีที่แล้ว

    Mwenyez Mungu akuongezee maisha maref yny baraka kwa kaz yako nzr

  • @warsamemahamud1626
    @warsamemahamud1626 4 ปีที่แล้ว

    This officer deserves to be promoted share this video and show the president the good job this officer doing for the country and community

  • @lambooluseba8875
    @lambooluseba8875 6 ปีที่แล้ว

    Big up kamanda #mroto. watapata Tabusana!

  • @josephjoseph7348
    @josephjoseph7348 6 ปีที่แล้ว

    Mkuu wa mkoa mwenyewe hanambavu😂😂😂😂😂 muroto kwakweli hua ana nifurahisha

  • @gileskandege4950
    @gileskandege4950 6 ปีที่แล้ว +2

    Chapa kazi wajina

  • @amandusmark3060
    @amandusmark3060 6 ปีที่แล้ว +21

    Njoo Dar Kamanda utusaidie maana uku siasa tu badala ya kazi,

    • @wechemakambo2182
      @wechemakambo2182 6 ปีที่แล้ว +1

      Aman Mark katokea Dar,Mkoa wa Kipolisi Temeke😆

    • @msafisoon3582
      @msafisoon3582 6 ปีที่แล้ว +1

      Aman Mark .

  • @cassianandrewnyonyo2894
    @cassianandrewnyonyo2894 6 ปีที่แล้ว

    Hongera murotto ucilewe cfa mkuu wakalishe wotee

  • @MaaniBoniphas
    @MaaniBoniphas 8 หลายเดือนก่อน +1

    daah si waje huku chuga tuondoke na milonjo yaoo daadeki zao

  • @omaryzuberi2897
    @omaryzuberi2897 6 ปีที่แล้ว

    Kamanda fanya kazi yako nakupa zote zote wezi wanaturudisha maendereo nyuma

  • @dannykyungay6527
    @dannykyungay6527 6 ปีที่แล้ว

    Watapata tabu sanaaa kama unampenda kamanda hebu mwaga like za kutosha.anafaa sana hakika mazuri yasifiwe jamani mkoa umetakata...njo na Arusha kidogo 😂😂😂😂

  • @manjaruujr6504
    @manjaruujr6504 6 ปีที่แล้ว +23

    Dodoma safiiiiiiiiii

    • @radhiambwana1792
      @radhiambwana1792 6 ปีที่แล้ว +1

      man jaruu jr safi kabsaaaa

    • @dttrnts392
      @dttrnts392 6 ปีที่แล้ว +1

      Achakurudisha tumbo.

  • @simpeponestory7637
    @simpeponestory7637 6 ปีที่แล้ว

    Amani kwako bro Yusuph

  • @maheligati2936
    @maheligati2936 4 ปีที่แล้ว

    .safiiii kamada

  • @desultansaid3647
    @desultansaid3647 6 ปีที่แล้ว

    Uko vzr mkuuu big up

  • @rajabumazua1935
    @rajabumazua1935 6 ปีที่แล้ว

    kamanda upon making hongera sana

  • @azizamwimbe9417
    @azizamwimbe9417 6 ปีที่แล้ว +1

    Kamanda tunakuitaji Dar💪💪

  • @limokisuda4145
    @limokisuda4145 6 ปีที่แล้ว +9

    toa tumbooo likingia dodoma halitoki lazima utapike sawaaaa

  • @pacxym3874
    @pacxym3874 6 ปีที่แล้ว +1

    woooyooh!!!!!!
    Dodoma safi!!

  • @khamiskhamis5323
    @khamiskhamis5323 6 ปีที่แล้ว +1

    😝😝😝😝ety kamchape,,huyu kamanda namkubali sn,,yupo sw ila minataka niwaambie kwa Dodoma mtapata tabu sn 🤣🤣🤣

  • @HALIHAMISI
    @HALIHAMISI 8 หลายเดือนก่อน

    Kamanda nakukubali sana kaz nzur

  • @bibukaelias9900
    @bibukaelias9900 6 ปีที่แล้ว +1

    Hawa ndio makamanda wanaotakiwa na sio Wale wanaotesa na kunyanyasa viongozi wa upinzani hongera sana kamanda muroto viongozi na makamada wengine waige mfano WA kamanda Muroto.

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 4 ปีที่แล้ว

      Atwambie basi majambazi waliompiga risasi lisu...hajawakamata tu .

  • @isaacbusungu9670
    @isaacbusungu9670 6 ปีที่แล้ว

    kungekuwepo makamanda kama hawa Tanzania ingekuwepo safi sana

  • @aishachambo3293
    @aishachambo3293 6 ปีที่แล้ว

    Mzee upo vizuri

  • @saddykayage6519
    @saddykayage6519 6 ปีที่แล้ว +1

    Nampenda sana kamanda huyu

  • @bakariathumani9011
    @bakariathumani9011 6 ปีที่แล้ว

    Kazi nzuri

  • @kharidilukanda895
    @kharidilukanda895 6 ปีที่แล้ว +1

    Dodoma noma aipimiki

  • @thomasnyarusanda2608
    @thomasnyarusanda2608 6 ปีที่แล้ว

    Hongera Kamanda,kweli wewe ni AFANDE. Ukistaafu,tutakumiss sana.

  • @dogowamwaza8519
    @dogowamwaza8519 2 ปีที่แล้ว

    Chapa kazi baba murotu

  • @yohanambonankila932
    @yohanambonankila932 6 ปีที่แล้ว

    Nakukubali xana Afande Muruto,wape tabu sana hao

  • @danielmahega5873
    @danielmahega5873 3 ปีที่แล้ว

    Nakukubali sana afande wangu muroto kwa kuliweka jiji salama

  • @gesusgegangphray7689
    @gesusgegangphray7689 6 ปีที่แล้ว +1

    Hiyo ndio kazi.TV yangu inch 42 lg imeibiw

  • @princessfettyrashidi2409
    @princessfettyrashidi2409 6 ปีที่แล้ว +2

    Hayo makofi mdogo madogo huwa yananiacha hoi wallah 😁😁😁😁 watapata tabu sana

  • @joshuasamson4174
    @joshuasamson4174 6 ปีที่แล้ว

    Muroto RPC unatisha kamanda unafanya kazi kubwa kuliko police wote nchini rais akupe zawandi ya nishani maana wewe ndiyo kamanda pekee unayefanya kazi za uhakika mungu akubariki sana na akulinde watapata TABU SANA

  • @lucky9285
    @lucky9285 6 ปีที่แล้ว +1

    Kamandaaaaa👏👏👏👏👏

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 6 ปีที่แล้ว

    Kamanda uko vizuri sana, Allah akutie nguvu kwa kila hatua unayosonga, wewe ni shujaa.

  • @KlemenceShirima-r6i
    @KlemenceShirima-r6i 6 หลายเดือนก่อน

    Kamanda upo vizuri

  • @VitusTumwesige
    @VitusTumwesige หลายเดือนก่อน

    Hongera polisi kwa msako

  • @officialkamdudu
    @officialkamdudu 6 ปีที่แล้ว +14

    Halafu nyie mashoga kila video eti gonga like hapa mnaboa kinoma yaani

  • @ommyd7196
    @ommyd7196 3 ปีที่แล้ว

    Mungu akujalie kamanda na jeshi lako la polis kaz nzur watu tunapata shida kwenye kaz

  • @zahararajabu4169
    @zahararajabu4169 6 ปีที่แล้ว

    😁😁😂😂wacha kurudisha tumbo .na nikwel nalingiza ndan alivyo ona mwenzake anashikwa shikwa hahahaahha

  • @msafirmasiku9721
    @msafirmasiku9721 6 ปีที่แล้ว

    Hongera sana kamanda

  • @joelsamson8752
    @joelsamson8752 6 ปีที่แล้ว

    Safi sana kamanda unasafisha jiji

  • @mdzainb3722
    @mdzainb3722 4 ปีที่แล้ว +1

    Dodoma kunamatukio nako khaaaaa😠😠😠 wakaozeee jela

  • @zegelibilishanga4761
    @zegelibilishanga4761 4 ปีที่แล้ว

    Rpc kwa kweli Mungu akulinde japo wakuu wako wanakuludisha nyuma,Mh Magu unamfaa sanaaaaaàà

  • @winniemwasenga
    @winniemwasenga 6 ปีที่แล้ว

    we baba uishi miaka mingi,, natamani ungekua mkoani kwangu uwanyooshe waharifu. mungu akupe afya

  • @simpeponestory7637
    @simpeponestory7637 6 ปีที่แล้ว

    Pa1 sana bro mussa

  • @sasherbaiby7277
    @sasherbaiby7277 6 ปีที่แล้ว

    kazi nzur afande

  • @yohanajamestz9950
    @yohanajamestz9950 5 ปีที่แล้ว

    Muroto baba uko vizuri

  • @Abdulomarylaini
    @Abdulomarylaini 17 วันที่ผ่านมา

    Hahaaaa mzee muroto safi sana

  • @williamlema9682
    @williamlema9682 6 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana kamanda mroto.

  • @akbardasilva2028
    @akbardasilva2028 6 ปีที่แล้ว

    kamand mchapakaz 👏

  • @pascalyfredynandy7220
    @pascalyfredynandy7220 5 ปีที่แล้ว

    duu kweli naomba wafikishwe tu mahakamani haooo

  • @asiaokeay1654
    @asiaokeay1654 6 ปีที่แล้ว

    kamanda hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hapa kazi tu

  • @cleopatraefatha3859
    @cleopatraefatha3859 6 ปีที่แล้ว

    Nakukubali sana we kamanda umetupa msemo wenye maana na pia unaufanyia kazi

  • @emelinmshana6265
    @emelinmshana6265 6 ปีที่แล้ว +1

    Huyo afande anafaa sana dar es salaam muheshimiwa tunamuomba huyo afande dar es salaam. Anafaa sana.

  • @philip788
    @philip788 6 ปีที่แล้ว

    Nimekupenda afande,!

  • @IbrahimuAlawi
    @IbrahimuAlawi ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂daaah..huyu afande anajua kukunanga .