Majambazi sugu wakamatwa na polisi kwenye mpaka wa Burundi na Tanzania
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2019
- Jeshi la Polisi la Burundi kwa ushirikiano na Jeshi la Polisi la Tanzania wamewakamata majambazi sugu ambao wamekuwa wakiendesha vitendo vya ujambazi na mauwaji katika nchi hizo mbili. Wasemaji wa majeshi hayo wameahidi kuendelea kushirikiana ili kukomesha uhali kwenye mipaka ya nchi hizo
Hongera sana sheji zetu kwakazi kubwa mlio ifanya Hao wafanyie serekali kazi mpaka kufa
Asante ni sana jeshi la Tanzanie kwa hicho kitendo chenye muridufanyizia mwendelee n'a kazi kenye mulikabiziw n'a mungu verry good
Hongereni sana ushirikiano no jambo nzuri bgp kwenu
Azzvilañ
Hongera Sana Mr. Otieno tiji ler.
Hongereni San jeshi la ulinzi na usalama kwa kutimiza majukum yenu
Tz pia iko na Otieno all the way from kenya
Kazi nzuri pande zote mbili
Shirikianeni kurinda nchi zetu bwana awe nayi
kazi nzuri sana Mungu azd kuwapa maarifa
MUNG AWABARIK SANA KWA KAZ NZUR TANZANIA N BURUNDI MUKIWA HIVO AMAN ITAKUEPO
hongera pia jeshi letu la Tanzania na la jeshi la Burundi kwa ushirikiano
#nakubali jexh
Ongera sana kwa ushirikiyano na undugu wema kati y'a serkali y'a Tanzaniya na Burundi kwa kuwanasa ayo majangiri,endeliyeni na musi-mamo uyo uyo
Hamonahz
Naipongeza sana jeshiraporisi kwakazinzry wanayoifanya
Safi sana jeshi kaz nzuri,
Mbalikiwe saana kwa kuilinda apya yetu❤ naushilikiano mzuri❤
Jeshi la polisi wanapaswa kupongezwa Kwa kazi nzuri wanayofanya
Asante sana na wakomeshe ili siku nyingine wasirudie tena
Congretulations, burundi kiswahili limewapiga chenga ila no matter ndo ujirani mwema uo.
Ukikutana nao mchana huwezi kuwadhania
You people should know that Swahili is not his first language. He tried.
Asanteni sana watanzania, ndoa sasa ujirani mwema!!!
Towa Rwanda kinywani mwako we shenzi. Iyo ni mchezo wakubomowa kambi za watu wenye mulikimbiza nyie wawuwaji. Mutaka kuingiza roho mbaya TZ. Inchi imewashinda kuongoza kazi kutesa warundi na kutukana rwanda. Asie juwa ya kesho tesa binadamu mwenzie. Awo watu ni ma baba wa familia munawakamata tu juu mutengeneze mambo yakufuza wa kimbizi. Ila kuna mungu anawaona.
Hongeren policy kwa kuilisha usalama huko burund
Hongera sana
Mzee wetu umeongea kiswahili kizuri 🤣🤣😳🙏🇧🇮🇧🇮♥️♥️♥️
Amejitaidi😂😂
Many thanks from people's of Tanzania and Burundi.
Vunjeni hiyo miguu mkifanya hivyo hayatakuja tena tanzania mnawachelewesha ondokeni na miguu mkiwaacha hawataacha wizi ndo kazi waliochagua
Kazi nzuri makamanda
Vzr
Rwanda wanapokea wezi polis Burundi kathibitisha
Inkuru zumu police
Kiswahili sio sana .mzhe watu . lakini bravo mumefanya kazi nzuri
Ongera Musemeaji wa police yetu Burundi kuyiongelea police na nina kupa 20/20 kwa kiswahili fresh umeongea
Umesikia kiswahili ndugu yangu nihatari kabisa
Haxymester
@@fredricksakagabo5198 v
@@fredricksakagabo5198 w
@@fredricksakagabo5198 soka
Fanya kazi
Hao wameibia watu wengi mpakani so mimi niliona kuna kingine hao Madeleva wanatoka Tanzania hawana vitamburisho vya babarabalani mpaka wanauza wasafili kwa ma polici watanzania kwakua hawana kalatasi zagutosha wakati wagutoa Rushwa wenyewe kesi inasingizia wasafili. Mimi niliyibiwa mpaka wakanipitisha njia mbaya kuvukaa mpakaa
Kibao cha mpaka nimeona kipo.chini ufanyike utarstibu kiwe juu kionekane vizuri
Omar Ramadhani
Omar Ramadhani pw
Kweli kabisa halafu kichafu
Hawa waliwahi kututeka mliwa wa simba biharamlo walikua wanaongea kurundi walinipiga sana fimbo nashkuru mungu nilisalimika ila wametesa sana watu tanzania hata kuua tena sisahau ilikua siku ya kwanza ramadhani nimefunga na huku nafanyiwa unyama nilimlilia sana mungu kabla sijafika nilipokua naelekea niliskia baadhi yao wamekamatwa na kuuliwa asante mungu
Pppppqpqqà
Pp
P
Pppppp.
p
Mkubwa hovyo,huezi ongea bila kuyitolea mfano Rwanda that's not professional
Nimubarekure ntimwibagire Ko KIGOMA kariyuBURUNDI barundi barundikazi ntimwibagire
Jamani polisi waoongezwe maana majambazi ni wauwaji! 👐 🖐
Hongelen Askari kwa Kaz yenu nzuri
Ukiteteya,ukisema kama si wajambazi,wameshikwa na silaha nyingi ,masase na boom 2,wewe unaonesha ni wandugu zako majambazi
Ongeraa Sana Burundi natanzaniii tukopamoja
Kwizera Jean.Bosco
Tuzidi kurinda mipaka yetu iri amani iyendere asateni kaushirikiyano muzuri wa mataifa mawiri kuwakamata madui kama hawa wanao vunja amani
Ongera sana jeshiila burundii na tanzania
Mungu awaponye
Sm keep it up
Wajambazi wote muatafute muaeke magelezani
Kunawatu tuliteseka mkulima lakini ukirudi batakwambia reta pesa zikikosa watakuwua
Viva Africa .. Thank you inspector.
Joseph nivizuli kuwakamata na kuwafikisha vyombo vya habar
Alhamdulillah kweli penye awakuwauwa mana warundi kwakuuwa wanajitaidi😔😔afu izoninjatu zinawasumbua jamani nkurunziza shenzi kbs 😏 😏 samekata kutoka kuutawala
urishudia wangapi mushenzi mbwa weee nyoko
@@tatiya6883 🤣🤣mbwa mamako babako adiukomzima mxiuu wauwaji wakubwa nyie mburu kengewe
Wewewewewewewewewewe Ashura komanaukomazike pumu pumuliachooni mende nainzi zikwigie mdomoni koma kuzungumzia ichiyetu vibaya Ashura Kwani warundi niwauanji kuliko zingine INCi Ashura yani uko tz hakunawauanji Ashura kwanini hua mnazungumzia lNCiyètuvibaya
@@zabibuilovemycountryofburu9156 🇫🇷👈
@@ashuraussein7582 nanyipia mkowauanji wakubwa nyie usitakikuzungumzia inci yetu vibaya ashura
Hawo majambanzi wataona mot watanzania
Desire Nshimirimana k
Hongereni
Ukiuwa kwa upanga utakufa kwa upanga wauwen hao
Rwanda wanawapa ma Hotels? hamuna uhaki yeyote bwana. hatupo malafiki nawajambazi, wende ujifunze Kiswahili na kusema sawa Politician.
Wauliwe hao wabaya sana wakikukuta ndani wallah wanauwa watu majambazi sio watu bora ukutane nasimba kuliko hao
Ushirikiano wa kulinda usalama ndo kitu muhimu zaidi ili raia waishi bila ya hofu
Chungeni usalama wa nchi yenu nyie warundi msituingize sisi wanyarwanda kwenye ujambazi wenu hatutaki hilo
Tanzania ndi dziko labwino Pilirani apolisi athu timakunyadirani
Uweni hao maana wao wameua sa2 sio watu wazuri
Kabixa
Pongezi Sana endeleeni ivo ivo
Beloved, I don't know you in person but God know you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (TWINS ALIVE FOUNDATION) in Rivers state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2348157404923) tell him I sent you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you in Jesus name
Hongera sana kwa usilikiano
Kwizera Jean Bosco
Mm kama mm ao watu waajibishwe iwe fundisho kwawatu wote tanzania pamoja na Burundi
Yani kama unawapa kiburi hawa majambazi dungu hawaja kuingilia wabaya sana sikiaty kwajilani wanachinja kabisa wahukumiwe kunyongwa
Wow!
Doh wizi umekithir sasa?msiwauwe isipokuwa kila jambazi moja apewe grass 3 za uice ya cement alfu waachilieni.hii itapunguza wizi.
Hofu yangu isije kuwa Wapinzani huko Burundi
Hao sio wa kuwaacha wapate hukumu inayowasitahili kisheria najua jeshi ra porisi navyombo vyote vya urinzi na usarama viko macho pande zote Tanzania na burundi shikamaneni kutokomeza uhalifu huu amani ienderee kuonekana hongereni Sana mungu awasimamie ktk majukumu yenu
Duu hongereni kwakazi munanao Fanya
Hongera
Pia
Wataishia usalama wa taifa adhabu ni kuwamaliza kwani wanaua wananchi wapigwe risasi hadharani
Lamentável isso
Safi makamanda wote wawili, ila Burundi wana Kiswahili kizuri saana, angekuwa kamanda wa kule angeongea Kimarekani huku yeye Ni Mkisii😎😎😎
😂😂
Kiswahili Tanzania sasa Burundi kiswahili kawaida sana
Nendeni na kure buhigwe wana sumbua sana
Mgox
Hapa Kenya majambazi kama hawa huwa polisi wanawapiga risasi na hiyo file inafungwa tunaenda kazi ya kusaka wengine.
Safi sana makanda
Mungu awabaliki
Yaani nyie warundi sijui mtaritambua hili lini? Rwanda ni nchi ambayo inapenda amani sijui itakua na faida gani eti watu waue Burundi halafu wakimbilir Rwanda eti wapokelewe acheni uwongo wenu nyie
Rwanda inawazidi usalama usafi n'a wema pia
Hivyo ndivyo inavyotakiwa, siyo kuwaua, mnawakamata na kuwafikisha mbele ya Vyombo vya SHERIA.
Wewe moja wapo nini? Au wenzako Bora wauawe2
Na wewe ni jambaz ndo maana unawatetea
Hao majambazi sugu wachukuliwe hatua kal ili liwe fundish hat kwa majambaz wengine
Mbaka is Right
Swali ninayo Wale watu munakamata kweny Camp yawakimbizi nimajambazi??? Police mufanyekaz Alakini Pia musije mukavuluge wusalama waba kimbizi plz Tanzania na Burundi so vizulu kuvulug wakimbizi! !!
Hongeren xan
jamani Tanzania tufanyeni tuwe na amani kupendana
Matokeo ya mtihani
darasa la Saba
Good work
Abdallah juma
Buruhdina
Mbona kama saido yupo katika hao watuhumiwa
Good job
Brighton_p beat hata sura zinaonekana mbaya zamauwaji
Zebedyo
Hongereni sana
Beautiful songs
Aw
@@AlexErnest-yx6ir
mj ljj'jj le} immopm/0 hhh(lkg mm) gj/hu ok je'kj ba hh hhh😊jk😊 je kb je ng hh+hh ilu- gjb n'n€n'n& l ne 0:13 +h
Uniform ya polisi ya bulundi inafanana na ya Kenya polisi
Anaongea vizuri nimependa
#nakubari jexhi jexhi
Majambazi sugu mnawajua lkn?mnakamta wizi wa kuku eti jambazi sugu
Asante Tanzania
Safiiiii
ARPC wa meru hongera Sana kamanda,,
Amen Amen. Barikiwa nyote. Amen.
Amani na Upendo. Botrus
Anyone to explain for me in English what is happening please
Muzo Gasbreak ur
MejaLavaLaLva
Robbers who doing robbering in both Tanzania and burundi,they do criminal in one country and escape to another country,they are finally arested by police.
Ezekia Mbise sentenced to which penalty?
Gooo
Mbosso wimbo mpya
Vzr
Hizo bunduki ziliibiwa lini leo mnazikamata ..hatuwaelewi
Ewe akabi gatwengwa nk Akeza, hari ibisuma n abicanyi baruta abapolici bo mu burundi, amabi bamaze gukorera abarundi mu myaka cumi iheze ntayo twaribwabone kuva uburundi bubaho.
Acha domo wewe, rudi nyumbani ukaanze maisha.
@@motomoya8463 mbe wewe uvuye mu mwobo wahe? Nta kirundi uzi?uri umutanzaniya ko mbona benshi bigira abarundi?
@@motomoya8463 taha iwanyu muri tanzaniya wa mujinga w umuswahiri.
@@christiannsengiyumva6253 Uburundi buriko burater'imbere mutama.
Tahuka gusa ugifitse umwanya.
@@motomoya8463 ntaha hehe kandi ndi ngaha buja?iryo tera mbere uvuga n ubukene abantu tubayemwo hamwe na cholera iriko irabica bigacika,amayarara yuzuye ama quartiers yo mu gisagara ,amahera y amarundi yacitse nka papier de toilette nivyo wita iterambere ?rya iyo misigazwa y aba dd utekereze ntawukeneye impanuro zawe kuko nawe ntuzi n ivyo uvuga.
hasikali...wa..bulundi...na...tanzania...wogeleni..sana..mm..bakali..kutoka...bunju..b
Mjukuu WA mwanamalundi
Mkuu wa police burundi amedanganyia Rwanda kwani Rwanda haina haha na pesa za kupatiya wajambazi wa Burundi ile ni udanganyifu mtupu
Sema nyie sio wazr sanaaaa