Polisi Dodoma baada ya kuwakamata matapeli

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 เม.ย. 2018
  • Jeshi la Polisi Dodoma linawashikilia jumla ya watu 23 kwa makosa mbalimbali ya kiuhalifu ikiwemo utapeli, wizi wa kuvunja nyumba na maduka pamoja wauzaji na watumiaji wa dawa za kulevya

ความคิดเห็น • 1K

  • @minjacsd1874
    @minjacsd1874 6 ปีที่แล้ว +16

    Mzee namuelewa Sana huwa nacheka Sana Sanaa gani inasema I love u

  • @joycesichone6516
    @joycesichone6516 6 ปีที่แล้ว +4

    l love u kamanda,mmakonde kwa malavidavi ndo mwenyewe,tanga inasubiri sanaaaa.......

  • @noellema9109
    @noellema9109 ปีที่แล้ว +1

    Kamanda nikupe hongera kwa kazi nzuri, natamani unge kuwa kilimanjaro moshi kwani biashara ya mirungi imeshamiri sana

  • @bm2tv299
    @bm2tv299 6 ปีที่แล้ว +1

    Asanteni Polisi wetu ,kazi zenu ni nzuri mno,Mungu Awabariki.

  • @babuvmasatu5354
    @babuvmasatu5354 6 ปีที่แล้ว +13

    Much respect Kamanda !👍 Dodoma is nw under cctv surveillance ...no escape from udm 😂 😂 😂

  • @anoldbashube7746
    @anoldbashube7746 5 ปีที่แล้ว +7

    kazi nzuri makamanda wangu kamata watu hao tia ndani Tz nchi ya amani saruti kwenu makamanda

  • @hassankiparamoto8855
    @hassankiparamoto8855 5 ปีที่แล้ว +10

    mi naomba askar woote wapmwe weng wao ni wavuta bang fanyen uchunguz tafadhali

  • @hansramadhan8945
    @hansramadhan8945 6 ปีที่แล้ว +8

    Big up sana mzeee Fanya kazi

  • @boniphacetv739
    @boniphacetv739 6 ปีที่แล้ว +17

    Hongera sana mkuu wa police mkoa wa dodoma unafaa kuwa next IGP

  • @brunokalipesa1339
    @brunokalipesa1339 6 ปีที่แล้ว +17

    Police fanyeni kaz vizuri sana

  • @dianaalfredy3790
    @dianaalfredy3790 2 ปีที่แล้ว +2

    Nimecheka kumuona Prosper Nchembele,kitambo sana

  • @mathiasmrita670
    @mathiasmrita670 6 ปีที่แล้ว +16

    hongera kamanda pambana saivi hakuna namna ata bakuli ukiiba tunaanikana tu ningejua wap kuna wakurugenz wa halmashaur hewa daaah pambana kamanda

  • @husseinkazungu5101
    @husseinkazungu5101 6 ปีที่แล้ว +4

    Huyu afisa kazi yake nzuri Kenya twataka kamahawa

  • @pinchesmbuche4354
    @pinchesmbuche4354 6 ปีที่แล้ว +13

    loving Tanzania public justice from Kenya.

  • @elivtv5444
    @elivtv5444 6 ปีที่แล้ว +9

    Mbona watu wenyewe wameshiba wana mbavu wanaongea wanajiamini angaria usije ukapigika kamanda

  • @thomasalphonce4249
    @thomasalphonce4249 4 ปีที่แล้ว +1

    Hongera polisi hata huku kwetu wapo wanatusumbua sana ksw

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 6 ปีที่แล้ว +3

    Bangi ni nzuri.....sivuti ila naelewa .....alafu mwonekano wa mtu haujalishi kila mtu na preference yake

  • @mchunguzikutokatz9643
    @mchunguzikutokatz9643 6 ปีที่แล้ว +8

    Mueshimiwa kamanda njoo uku dar uwakamate na mastar wakibongo kutokana wana makosa yakuji chora mwilini

  • @temesjames8867
    @temesjames8867 6 ปีที่แล้ว

    Kazi nzuri kamanda kwa kuwaweka wazi ni vizuri zaidi kwani kuwaficha si vema kabisa.

  • @kisoukejothame210
    @kisoukejothame210 4 ปีที่แล้ว +1

    Very good job,go on keep Sir

  • @jofreysanga9520
    @jofreysanga9520 5 ปีที่แล้ว +12

    Duuuh naona jamaa amejilimbikizia vyeti kibao, daa matapeli sio watu wazuri

    • @ashuramshenu1159
      @ashuramshenu1159 4 ปีที่แล้ว

      Daaaa!!!!!! matapeli nomaaa vitambulisho vyote noooooaaaa????

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi14 5 ปีที่แล้ว +4

    Kijana mzuri Afya nzuri.. hahaa😂😂😂😂😂

  • @gapserminja5215
    @gapserminja5215 2 ปีที่แล้ว

    Kweli polisi mnafanya kazi nzuri na kweli mnajitahidi kuwasihi vijana lakini hawaelewi.mungu awafungue waweze kuelewa na kuacha uovu🙏🏼

  • @0stadhramadhan377
    @0stadhramadhan377 5 ปีที่แล้ว +2

    Ahaaahaa eti mbona hakuandika kimakonde hongera afande kwakaz zuri

  • @cldmichashukim5864
    @cldmichashukim5864 5 ปีที่แล้ว +4

    He just respect you police boss the man work he say he smoke weed and he work respect that.Mr police boss know your work tattoos is not a crime it's an Art.

  • @africanlove4735
    @africanlove4735 6 ปีที่แล้ว +3

    Good job guys didn’t good job thank youb

  • @victoriakasiani9410
    @victoriakasiani9410 5 ปีที่แล้ว

    Hongera kamanda kazi nzuri piga kazi Na kufuata sheria

  • @benymngara7235
    @benymngara7235 2 ปีที่แล้ว

    Hongera sana Kamanda kwa kazi nzuri

  • @moriceemma9158
    @moriceemma9158 6 ปีที่แล้ว +6

    hivi tundu lisu alipopigwa risasi Mkuu wa polisi alikuwa naniiii

    • @charlesnoafekwalipibayaali2662
      @charlesnoafekwalipibayaali2662 3 ปีที่แล้ว

      Alikuwa mama yako. tundu wako na dereva wake mpaka leo wewe umeshawahi kuwaona wamefungua jarada? au kuzungumzia kwenda huko na kutoa maelezo? wanakimbia kwenda Polisi sasa waulize kwa nini kwanza ndio ujue mkuu wa Polisi alikuwa nani

  • @tandamtalii4008
    @tandamtalii4008 6 ปีที่แล้ว +8

    Bora umewaonyesha hao matapeli kamanda,wanaotapeliwa ni wengi mnoo kazi yako inaonekana mkuu🔥🔥

    • @josephchaki3572
      @josephchaki3572 3 ปีที่แล้ว

      Raisi watanzania makufu John pombe huyo m kubwa wapolisi na wa fanya kazi wake wa ongezwe mshaara mkubwa

  • @Joze-ko9he
    @Joze-ko9he 6 ปีที่แล้ว

    Camanda nimekupenda sana bravo kwa kazi nguvu. Unaonekana kabisa umemtumikiya rais magufuli. Tunatamani tzt nxima ingekuwa ivo

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 5 ปีที่แล้ว

    Kazi nzuri kamanda, fyekelea mbali.

  • @rutashubanyuma4546
    @rutashubanyuma4546 6 ปีที่แล้ว +32

    Ndo ujikute umemtia mimba binti yake wa chini ya miaka 18 hayo mabega yatakavyopigwa!! 😀

  • @mafyamedia8315
    @mafyamedia8315 6 ปีที่แล้ว +28

    hongera jeshi la polisi, ila tattoo sio bangi.

  • @alexyohana5624
    @alexyohana5624 ปีที่แล้ว

    Aisee tumesha tapeliwa sana very good kamanda point kwako

  • @basilisamsaka1221
    @basilisamsaka1221 6 ปีที่แล้ว

    Vita hiyo ni nzuri ifike hadi maofisini pia wapo wengine mnao humohumo,hongera mkuu

  • @charlesjoseph1806
    @charlesjoseph1806 6 ปีที่แล้ว +6

    safi san,kamanda yupo sawa

  • @emanuelmigire2611
    @emanuelmigire2611 5 ปีที่แล้ว +5

    hongereni jeshi la polisi

  • @edwardkisusuofficial
    @edwardkisusuofficial 6 ปีที่แล้ว +1

    Kazi nzuri mzee wangu piga kazi

  • @babranana6857
    @babranana6857 6 ปีที่แล้ว +8

    Angalien nywlee zakeee amekuwa syo binadamu wa kawaida😂😂😂😂

  • @tamalimuhsin4450
    @tamalimuhsin4450 6 ปีที่แล้ว +6

    Usiombe mzee wa ku touch bega akukamate😂😂😂

  • @mjige9088
    @mjige9088 4 ปีที่แล้ว +2

    Haya hakimu wa dodoma huyo anaedelea na makosa zile zile- IGP alicho wakumbusha mmesahau. Elimu ndogo kwa afisa huyu hata ushahidi anaweza kuharibu mwenyewe. This people are innocent until proven guilty by the court

  • @jensennashon6147
    @jensennashon6147 6 ปีที่แล้ว +1

    Kamanda safi sana...Mungu yupo naye kuokoa vijana wengi wanaotamani mafanikia ya shortcut

  • @rosejoseph9378
    @rosejoseph9378 6 ปีที่แล้ว +17

    Bora wamewakamata maana ni too much hongereni jeshi la polisi

  • @ramadhanikhaji800
    @ramadhanikhaji800 5 ปีที่แล้ว +3

    Uyo aliyejiandika I love you amenifurahisha sana😂😂

  • @dangotethomas3586
    @dangotethomas3586 ปีที่แล้ว +1

    Hatari sana wezi Wana akili sana inabidi njia nyingi sana kuwasoma

  • @isayajohn3259
    @isayajohn3259 2 ปีที่แล้ว +1

    Vijana wengi wanafanya hivyo kwa kukosa kazi vijana wengi wasaidie kuwapatia nafasi ya kwenda jeshini

  • @qurankareem582
    @qurankareem582 5 ปีที่แล้ว +8

    makonde 2anajua I LOVE YOU

  • @castromontana2112
    @castromontana2112 6 ปีที่แล้ว +11

    Kenyan police have no time with media they just take action unless it's reasonable. Media in tz is cheap.

  • @lawrencechacha7863
    @lawrencechacha7863 ปีที่แล้ว

    Mungu akuzidishie afya njema na maisha marefu uweze kusaidia jamii ya tanzania.

  • @abrahamkibona7038
    @abrahamkibona7038 6 ปีที่แล้ว

    Safi sana kamanda, andaa waharifu kisaikolojia wajue Dodoma hakufai

  • @gadielnkuye8495
    @gadielnkuye8495 6 ปีที่แล้ว +3

    Kwa kamera hizo afande, lazma uharifu utapungua2😂

  • @Rastamuslim
    @Rastamuslim 6 ปีที่แล้ว +63

    rasta msenge sana anashindwa kusimulia mjani ulivyo

    • @ramadhanibrahim7619
      @ramadhanibrahim7619 6 ปีที่แล้ว +2

      comrade kipepe Rasta feck huyo

    • @youngtaiz8359
      @youngtaiz8359 6 ปีที่แล้ว +2

      comrade kipepe hahahaha

    • @issamsepwa3278
      @issamsepwa3278 6 ปีที่แล้ว +4

      young taiz hayo ni madhara ya wasomi kukosa ajira! Huwez kufanya kaz kama hizo za mihur pasipo usomi

    • @isackisack6703
      @isackisack6703 6 ปีที่แล้ว +3

      kaniuzi sana kashindwa elezea ladha ya majani boya kweli yani dah alitakiwa ateme cheche

    • @eliudfaustine3242
      @eliudfaustine3242 6 ปีที่แล้ว

      XXX vbeo

  • @laurencemwanga6441
    @laurencemwanga6441 5 หลายเดือนก่อน

    Huyu askari yafaa awe na cheo zaidi. R CO. Hongera sana Baba

  • @najmaaa6548
    @najmaaa6548 2 ปีที่แล้ว

    🤣🤣🤣 jamani naumia mbavu eti mbona umejiandika hili neno llove you🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @kikameme5054
    @kikameme5054 6 ปีที่แล้ว +3

    uyo rasta ni kicha full na hao wezi INA manisha hawawezi kuji shulisha waka lime mashamba ya jeshi

  • @bwakilamychanel5951
    @bwakilamychanel5951 6 ปีที่แล้ว +8

    I love you si Sana'a jamani duuuuuh

  • @johnmwambungu7434
    @johnmwambungu7434 6 ปีที่แล้ว +1

    Gives the advice!

  • @paulomasay3415
    @paulomasay3415 2 ปีที่แล้ว

    Pllice wote kila siku wangekuwa na umoja mama hawa tanzania tungekuwa mbali sana hongereni sana kamanda sirro🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @allykassim9826
    @allykassim9826 6 ปีที่แล้ว +7

    Mambo mengine binafsi sana. Kujichora inahusu na nn?Mnaturidhisha tu. Yanafanyika makubwa sana nchi hii... Kimyaaaaaaaa.

    • @allysuleiman517
      @allysuleiman517 2 ปีที่แล้ว

      Unaoushahidi Wa moja Tuje Tukuchukue Ukautupe Maelezo kuhusu Hayo Makubwa Yanayofanyika Nchi Hii ?

  • @annievibes8794
    @annievibes8794 5 ปีที่แล้ว +3

    hahaha bro hiyo i love you ulitakiwa uiandike kwa kimakonde

    • @lizzybahati9833
      @lizzybahati9833 3 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @kennedyolang1175
    @kennedyolang1175 ปีที่แล้ว

    He is the police and he is the judge at the same time, asking very silly questions . Welcome to Africa .

  • @mahamoudgaas2611
    @mahamoudgaas2611 6 ปีที่แล้ว +6

    Any one who can explain what that officer has said and his interview aswell? Thanks

  • @KarokiaNdirango-lj3wf
    @KarokiaNdirango-lj3wf 6 หลายเดือนก่อน +1

    Tatizo vijana hawapati somo kutoka kwa baba zao na mama yao so inatakiwa muwape wafanye kazi za razima wakitoka wajbe asiefanya kazi naasile

  • @hoseakaponya5070
    @hoseakaponya5070 6 ปีที่แล้ว

    Shikamoo Kamanda! Hongera kwa kuwanasa hao jamaa ila tambua kwamba kukiri mbele ya polisi siyo sawasawa na kukiri mbele ya mahakama, "retracted and repudiated evidence" kwa hiyo maonesho hayo yatakuwa na maana zaidi endapo watakiri mbele ya makama s.27(2) &(3) of TEA/1967

  • @ernestsinje9221
    @ernestsinje9221 5 ปีที่แล้ว +9

    mi huyu RPC nampenda kweli

  • @elijahlongoy1944
    @elijahlongoy1944 5 ปีที่แล้ว +3

    Peer groups killing the youths' powers, congratulations Tanzania police for your good work

  • @jeanettemsaamba2496
    @jeanettemsaamba2496 6 ปีที่แล้ว

    fanya kazi usijali wana ichi wanao kunyima raa kajili yakukuvunja moyo achana nao uta sikia mengi kwasasa kwakuwa ume kuwa policy mchapa kazi asante Tanzania

  • @VenerandaKundi-ph4hg
    @VenerandaKundi-ph4hg 6 หลายเดือนก่อน

    Safi kamanda wetu mungu akusaidie ktk KAZI hiyo ❤❤❤😂❤😂

  • @goodluckmrosso486
    @goodluckmrosso486 6 ปีที่แล้ว +5

    I love u

  • @elizabethmichael1431
    @elizabethmichael1431 5 ปีที่แล้ว +4

    hahahaa jaman ati ilove u inamaan gani😂😂

  • @amockkalinga1520
    @amockkalinga1520 2 ปีที่แล้ว

    Jamani bangi ni hatari Sana ati nilikuwa na kete 4 lakini sioni bangi zangu hapo🤣🤣🤣🤣🤣🤣😀😀

  • @Blackie_blackie9327
    @Blackie_blackie9327 5 ปีที่แล้ว +1

    Hahaaa wamakonde wanajua 'I love you'😁😁😁😁mbavu zangu...

  • @marckozakayo5987
    @marckozakayo5987 6 ปีที่แล้ว +42

    Harakati zako sawa ila kasoro ni
    1. Kuvua mtu nguo na kumwacha kifua wazi. (ni inhumanity).
    2. Kumshikashika mwanadamu style ya kwenye soko la watumwa. Yani kumpapasa kichwani kamavile kumsaminisha.
    3. Haki ya mtuhumiwa itakuwa api endapo atashinda mahakamani wakati ushamwonesha kwenye media?
    Otherwise fight more against social evils maana Mungu atakubariki!

    • @abbysauko3725
      @abbysauko3725 6 ปีที่แล้ว +2

      marcko zakayo hyo ni sheria ya polis sa unataka mtuhumiwa ashikwe bega au mkono au

    • @abbysauko3725
      @abbysauko3725 6 ปีที่แล้ว +1

      Hyo kuvuliwa shat kwa mtuhumiwa wa kiume ni kawaida tu na ndo utaratbu

    • @alexanderkapinga2245
      @alexanderkapinga2245 6 ปีที่แล้ว +4

      marcko zakayo katika vitu sitaki kuvisikia ni kitu kinachoitwa haki za binadamu.

    • @marckozakayo5987
      @marckozakayo5987 6 ปีที่แล้ว +2

      Kwanini

    • @ashachitemo7816
      @ashachitemo7816 6 ปีที่แล้ว

      marcko zakayokhaaa

  • @alal277
    @alal277 6 ปีที่แล้ว +4

    Jamani I LOVE YOU si nakupenda

  • @user-gg8kz1rf3y
    @user-gg8kz1rf3y ปีที่แล้ว

    Mkuu mimi nakuunga mkono sana unakomesha sana ualifu lakn ninajambo langu mkuu kuhusu awa wasaidiz wako wachin wanao chafua jesh letu la police

  • @amosoluoch9770
    @amosoluoch9770 ปีที่แล้ว

    Kwani Makonde hawajui I love you? 😂😂

  • @wazirehalima4566
    @wazirehalima4566 5 ปีที่แล้ว +3

    makonde wanajua I love you Hahahaaa

  • @abangaabanga4677
    @abangaabanga4677 6 ปีที่แล้ว +16

    Amewazinguwa jamaa kweli kweli 🤣🤣🤣

  • @jacobmbukwa4409
    @jacobmbukwa4409 2 ปีที่แล้ว

    Nasshukuru. Jeshi kwakazi njema naomba namba ya porice ya hapo dodoma Kuna wengine wamebaki nataka muwatafiti nao ili wakamatwe nao

  • @ggjghh6245
    @ggjghh6245 6 ปีที่แล้ว

    Huyo bob maree wa tz afande.mbona hivyoo hahahaha

  • @alladin2548
    @alladin2548 6 ปีที่แล้ว +9

    ONLY IN TANZANIA WHERE POLICE ACT LIKE COMEDIANS

  • @malikissa8251
    @malikissa8251 6 ปีที่แล้ว +9

    Police wetu wanahitaji kusomeshwa kwa kweli aibu mi ningemuuliza kwa nini we police ndio maadili yalivokufundisha🤣

    • @Felix-lo1cx
      @Felix-lo1cx 7 หลายเดือนก่อน +1

      Kwiooo ulitaka asisemee

  • @omaryjuma5910
    @omaryjuma5910 6 ปีที่แล้ว +1

    Well done commander

  • @shamsashamsamanara410
    @shamsashamsamanara410 5 ปีที่แล้ว

    kazi nzur makamanda wetu

  • @bolizozoshirima8088
    @bolizozoshirima8088 6 ปีที่แล้ว +3

    Police unatafuta cheo
    Sasa kila kituo cha polisi wakikamata waite waanfishi wa habari sasa kutakuaje huku TH-cam

  • @janethjackson5370
    @janethjackson5370 6 ปีที่แล้ว +26

    Hahahaaaa! Mroto bhana! Eti wamakonde wanaijua I Love you?

  • @omariswafuru9399
    @omariswafuru9399 3 ปีที่แล้ว

    Mofuta bangi😄😄😄😄😄🤣🤣🤣mutaniua na tsheko.Kazi safi sana police ya Tanzanie 👋👋👋

  • @muttarutta1963
    @muttarutta1963 5 ปีที่แล้ว +1

    Sanaa bob 😁😁

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 6 ปีที่แล้ว +3

    Mbona huyu mzee anachefua....mtu kaandika "I love you" eti mbona umeandika....ushamba muuachage

  • @gracemsanjila327
    @gracemsanjila327 6 ปีที่แล้ว +39

    Me naona sawa tu kuita media kwasababu wengine waogope

    • @justinerevocatus2955
      @justinerevocatus2955 6 ปีที่แล้ว +1

      neema msanjila Nitumie iyo namba basi

    • @josephbrown4193
      @josephbrown4193 6 ปีที่แล้ว +2

      si sawa wengine hawana hatia ni muhim kuwafisha mahakman CIO kwa kiki izo hazina maana

    • @sirgomahojoa969
      @sirgomahojoa969 6 ปีที่แล้ว +2

      Kwa kuwashika wavuta bangi ndo tuogepe hamna lolote wanajaza magereza tu

    • @kesiali7401
      @kesiali7401 6 ปีที่แล้ว +1

      maju

    • @mahamudumahungu3037
      @mahamudumahungu3037 6 ปีที่แล้ว +1

      GRACE MSANjila yah ni vizuri hata wengine waone

  • @heavymachineproduction.4613
    @heavymachineproduction.4613 5 ปีที่แล้ว +2

    Play your part .... peoples rights should not be questioned 😖

  • @davidmwashiozya150
    @davidmwashiozya150 6 ปีที่แล้ว +1

    Thanks alot of

  • @seyyiedaboubakarishakhbaan7601
    @seyyiedaboubakarishakhbaan7601 6 ปีที่แล้ว +6

    Mharifu kasema kakamatw na kete nne lkn hazion mkuu Wa police hamskiliz......police wenyew bange tu

  • @gameonjashewade6352
    @gameonjashewade6352 5 ปีที่แล้ว +5

    Mbona niwatoto wadogo

    • @jerryson8973
      @jerryson8973 4 ปีที่แล้ว +1

      gameonjashe wade ila Hawana nepi

  • @jimmywaithaka5785
    @jimmywaithaka5785 4 ปีที่แล้ว +1

    Kuma wewe mkuu wa polisi.tundu lissu alipigwa risasi mkiwa wapi

  • @yusramwaku6988
    @yusramwaku6988 ปีที่แล้ว

    Kwel kabisa tusaidien yan watu tunaishi dodoma roho juujuu

  • @pinchesmbuche4354
    @pinchesmbuche4354 6 ปีที่แล้ว +6

    mirungi legal in Kenya.

    • @petibrian6882
      @petibrian6882 5 ปีที่แล้ว

      Mirungi Kenya "miraa"its legal Kabisa and we export

  • @fashionertv2408
    @fashionertv2408 6 ปีที่แล้ว +10

    mbona hizi report huwa zinarushwa na Ayo pekee.

    • @coleharvey2678
      @coleharvey2678 3 ปีที่แล้ว

      you probably dont give a shit but if you're bored like me atm then you can watch all the latest movies on instaflixxer. Been binge watching with my girlfriend for the last few weeks xD

    • @andrewernest9517
      @andrewernest9517 3 ปีที่แล้ว

      @Cole Harvey definitely, been using InstaFlixxer for years myself :D

  • @ramamanagerramso7780
    @ramamanagerramso7780 ปีที่แล้ว

    Hongera Kamanda lakini samaha ni kidogombona hawa watumiwa hawa kuulizwa wapi wanapata hizo stuff.....