Anaeona ni maigizo akaibe au avunje sheria ya nchi nae wamuigizie kama hao,ila mm ushauri kwa jeshi, MTU akiachishwa kazi apekuliwe vilivyo asiondoke na kitu kinachohusiana na jeshi maana ni hatari sana,hatujui vita itatokea lini,na wapi,sasa hawa walio na sare za jeshi watafelisha mapambano zidi ya adui maana jeshi likiona sare hiyo litasema in mwenzao kumbe sio#safi sana mzee wangu hiyo ndiyo kazi ya jeshi.
Wewe ni muhuni wewe kwanza ulikataza wananchi wasifanye maombi kipindi cha kaka yetu mpendwa wetu lisu alivyo shambuliwa na hawo wahuni washenzi kama wewe sis tuliumia sana kaka yetu kuhumizwa na mashetani wenzeni
Big sana mzee wangu mungu akubaliki mzee wangu kwa kazi nzuri ya kukamataa waalifu hapa nchini na mkoani dodoma big up sana mzee raisi akufikirie maana unapiga sana kazi
hongera sana tena sana RPC DODOMA unafanya kazi nzuri muno na jeshi lako,,,kwa hakika tunajivunia tuko salama ..endelea kutulinda wananchi MUNGU atakulipa kwa kazi nzuri unayofanya ya kutulinda
Am glad to see how this Tanzanian senior police officer address the press and the general public, cautions them not to fall prey of these thugs,on same note he's exercising great care while handling the exhibits not touching them with bare hands.
huyo mwanajeshi japo ni mhalifu lakini ni ishara ya kwamba jeshi letu lina majasiri yuko smati jasiri haogopi yeye aliandaliwa kupambana na vita sasa kesi kama hiyo ndo atetemeke nini sasa Cha muhimu wewe pata picha aliyetolewa kazi jasiri hivyo walio baki je? Hongera jeshi la tanzania.
Daaah kazi nziri sana Jeshi la polisi..ningekua na uwezo ningewapa zawadi kubwa sana but MUNGU awabariki sana na awe nanyi katika kazi zenu awape nguvu na imani ya kutumika kwauwaminifu.
Afande wangu hongera kwa kazi nzuri kuwakamata hao majangiri... Lakini nikushauli kitu kimoja ili JWTZ wawe na amani wapelekeni hao waalifu pale Maktopola muwakabizi pale wakachezee kwanza.. Wakabizi kwa wale MP ambao hawajawai kuliona jua wenye macho mekundu nadhani baada ya hapo haina haja ya case peleka moja kwa moja gerezani wataponea huko huko majeraha yao.
Nyinyi mnaomdhihaki Kamanda endeleeni tu mnafikiri Tz ni nchi ya mchezo sisi tulioshuhudia wakati Wa makaburu wakitaka kuhujumu nchi hii nawakashindwa tunajua,na nyinyi kama mmetumwa haya tutaona mwisho wake
Mimi hiyo kazi ya jeshi LA Tanzania naipenda sana ila hawo washuhulikieni Mimi nasubiri mh magufuli atakapo kuja rombo aniteuwe niende mafunzoni jeshiniiii
Kwel watanzania wameoza akili......maaana sio kwa kulalamika huko kwa kipuuzi wakikamatwa mnasema maigizo ....wasipokamatwa mnasema hawajulikani ......jamani kwel ipo siku mtatambua mchango wa jeshi letu imara na lenye sifa ya uadilifu .....Mungu ibarik Tanzania
Hii nchi ina raia waliooza akili, wasipokamatwa mnaanza kudai police wanasema upelelezi upelelezi lkn hamuoni matokeo, wakikamata wahalifu mnasema wanaigiza, semeni sasa mnataka nini!!, You have been brainwashed by medias, wake up guys.
Chadema wameoza.police wacpokamata wahalifu wanasema mbona hawakamatwi.wakikatwa wanasema police anataka apande cheo au maigizo.wanataka Nn chadema?. Kila kitu kwao maneno.
Weeeee jaamaa Comment zako zote TH-cam ni upupu wee Jinga sanaa Tena la Mwisho Tena wee ndio unaweza ukawa mbaya sana Maana Uchama sio Unatoka wapi hapo kuwa na Akili na mtu unae weza kupambanua mambo sio ujinga unao weka weka Hapa Sijui mtu wawapi Nyie ndio mnao turudisha nyuma Tz kwa ajili ya Ujinga ujinga kama ulio Nao.. Wee ni wakuhurumiaa kabisaa
Mzee mwanajeshi ,nimempenda sana ,anaconfidence na alikua anatafuta chakula cha familia ,
Kazi nzuri Jeshi letu la polisi.., , hao ni wavuvi wakajifuze kazi gerezani..
Kaka umekoxea siyo wavuvi.....ni wavivu😂😂😂
Hongera sana kamanda wa DODOMA Mungu akusimamie. Hawa ndio wanaotesa wananchi kuwarudisha nyuma kiuchumi
Asanteni jeshi la police kwa kazi nzuri endeleeni kuchapa kazi.
Safi sana,Askari wetu kazi nzuri sana,hakika kazi yenu tunaiyona.
Safii sana jeshi la police kazi nzurii allah awaongoze kweny kazii zenu inshaallah🤲🤲dodoma sio mji wa matukio mkifika uku cha moto mtakiona😏😏
Anaeona ni maigizo akaibe au avunje sheria ya nchi nae wamuigizie kama hao,ila mm ushauri kwa jeshi, MTU akiachishwa kazi apekuliwe vilivyo asiondoke na kitu kinachohusiana na jeshi maana ni hatari sana,hatujui vita itatokea lini,na wapi,sasa hawa walio na sare za jeshi watafelisha mapambano zidi ya adui maana jeshi likiona sare hiyo litasema in mwenzao kumbe sio#safi sana mzee wangu hiyo ndiyo kazi ya jeshi.
Wewe ni muhuni wewe kwanza ulikataza wananchi wasifanye maombi kipindi cha kaka yetu mpendwa wetu lisu alivyo shambuliwa na hawo wahuni washenzi kama wewe sis tuliumia sana kaka yetu kuhumizwa na mashetani wenzeni
Hongereni kazi yenu ni njema Mungu awaongezee maarifa na macho
Big sana mzee wangu mungu akubaliki mzee wangu kwa kazi nzuri ya kukamataa waalifu hapa nchini na mkoani dodoma big up sana mzee raisi akufikirie maana unapiga sana kazi
Asanteni jeshi la polisi ao wamezidi kuta peri wana nchi kazi nzuri
Kazi nzuri askari wetu
Mungu awatie nguvu kwa kujitoa kuilinda nchi yetu
Jjtach
Safi kamanda kazi nzuri
Hongera polisi Dodoma, na Veyula mje kuna wezi sana tena wanaanzakuiba kuanzia saa 4
hongera sana tena sana RPC DODOMA unafanya kazi nzuri muno na jeshi lako,,,kwa hakika tunajivunia tuko salama ..endelea kutulinda wananchi MUNGU atakulipa kwa kazi nzuri unayofanya ya kutulinda
Asanteni sana majeshi yetu kwa kazi nzuri sana mwenyezi MUNGU yupo pamoja nanyi
wcb wanatisha kira nikirudia bado daaa Omary pole
wcb wanatisha kira nikirudia bado daaa Omary tudulisu
Asante sana jeshi la usalama kwa kazi nzuri. Mwenyezi MUNGU aendelee kuwajalia uweza na nguvu ya kuu kabili uovu na kuuondosha kabisa.
Hosea Swai ww fala usimtaje mungu kwenye maigizo kama haya ebu muogopeni mungu
Am glad to see how this Tanzanian senior police officer address the press and the general public, cautions them not to fall prey of these thugs,on same note he's exercising great care while handling the exhibits not touching them with bare hands.
Asante kamanda safi sana
Tushukuru sana majeshi yetu Kwa kazi nzuri
Season 2
Mbona anajieleza kama yupo bongo star search hana hata wasiwasi 😎😎
huyo mwanajeshi japo ni mhalifu lakini ni ishara ya kwamba jeshi letu lina majasiri yuko smati jasiri haogopi yeye aliandaliwa kupambana na vita sasa kesi kama hiyo ndo atetemeke nini sasa
Cha muhimu wewe pata picha aliyetolewa kazi jasiri hivyo walio baki je?
Hongera jeshi la tanzania.
good
Usidanganye watu bhana katiba ya wapi hiyo uyo matapeli tu
Huwezi jua anaweza yupo ktk kozi maarumu
Hhhhhh kweli
kweli!!! Mungu tusaidie.!!!
Hahahahaha huyo MZEE anavyoelezea utadhani biashara Fulani hivi halali yani hadi kutabasamu . Hongera kamanda Dom mambo motooo
Poleni sana jeshi la polisi mnafanya kazi ngumu sana
Siku zote Soldier ni mkweli...nimekubali Combat ‘ ...!..💣💥
Safikamanda
Mroto upo vizuri sana mungu akuongoze kwa kila jiti hada zaako za kupambana na wa harifu kwa kweri upo kikazi zaidi
Hongera sana askari we2, Mungu awabariki
Ni Sheria, mwanajeshi akifukuzwa kwa utovu wa nidhamu anyang'anywi mavazi ya keshi!! hatari sana.
Kazi nzuri kamanda umefanya
Hija lopa
Hasumani lopa
Nilikua nangojea Harmonize, sijui mbona hajakamatwa pia..
Yule konde boy hawezi kamatwa ujue ivo
Fazaahaaaaa awooo
Daaah kazi nziri sana Jeshi la polisi..ningekua na uwezo ningewapa zawadi kubwa sana but MUNGU awabariki sana na awe nanyi katika kazi zenu awape nguvu na imani ya kutumika kwauwaminifu.
Safi kamanda good work
Hongereni kazi nzuri
Afande wangu hongera kwa kazi nzuri kuwakamata hao majangiri... Lakini nikushauli kitu kimoja ili JWTZ wawe na amani wapelekeni hao waalifu pale Maktopola muwakabizi pale wakachezee kwanza.. Wakabizi kwa wale MP ambao hawajawai kuliona jua wenye macho mekundu nadhani baada ya hapo haina haja ya case peleka moja kwa moja gerezani wataponea huko huko majeraha yao.
Joseph Kazungu Ahaaaa umejua kunichekesha
Joseph Kazungu hahhaha makotopola pale watakiona aisee watajamba cheche
Joseph Kazungu mbn
Joseph Kazungu kweli kabisa watajua kuiba ni bonge la kazi
Kz nzuri
Wapigaji wastaarabu kweli hawana haja ya kudhuru mtu.
Walikua well organized lazima mtu awaamini.
Tunaheshimu sana jeshi la polisi kwa kazi nzuri wanayofanya!!..ila kwa hili ni dhahiri kabsa n igizo la kutengenezwa
namuonea huruma I'm coming from very humbly soldiers family he is looking like my dad...
Hahah
Mhhhh!!!mbona wanaongea wanajiami kihivyo hata hawana hofu.
acheni hzo mroto ni mchapa kazi tk akiwa ocd maturubai ni mlinzi mzuri Wa RAIA wake hongela sana
Amina Sanga
Huyo arudishwe kazini, ugumu wa maisha ndio humfikisha MTU mahari hapo
Nyinyi mnaomdhihaki Kamanda endeleeni tu mnafikiri Tz ni nchi ya mchezo sisi tulioshuhudia wakati Wa makaburu wakitaka kuhujumu nchi hii nawakashindwa tunajua,na nyinyi kama mmetumwa haya tutaona mwisho wake
Pongezi kwa Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma kwa kazi nzuri, watu wa aina hiyo wamekuwa tatizo kwenye jamii. Kila la heri Kamanda na vijana wako.
Tunacheza sana Dodoma😂😂😂
uwo niuzalilishaji wajeshi kwanini musimvue kweza ilovazi au amujui kamailovazi ndousalama wamchi
Kamanda Mliro anastahili kabisa kuwa Mkuu wa Wilaya au hata Mkoa, ameitendea vyema sana kazi yake na nchi yake.
Daaa huyu mkuu wa police Dodoma na mkubali sana
Gasper Kivamba Kivamba yani ni sheeeda ameamua kuzalilisha jeshi la watu achukuliwe hatua kabisa kweli mwanangu daaa
Kubwa zima zee zima ovyooo
Kova Jr Hakunaga Mwendelezo hapo 😂😂😂😂😂
Hizo Kazi Mzuri,,,Sio kutunyima Raha Bodaboda
msema hukweli mtumishi wa mungu
hongereni polisi kwa kazi nzuri,bora kuongeza nguvu zenu kwa wahalifu kuliko kwa wanasiasa.
nimekubali confidence ya huyo tapeli mwanajeshi
Hongera sana kamanda kwa kazi nzuri
Waliompiga Lissu waliingia Dodoma na wakaondoka kurejea Dar kiulaiiinii
Mwenzetu kumbe unajua walitokea dar?
@@protasmalala7559 hahahaha anawafahamu🤣🤣😂
Kumbee inabidi uisaidie Police
Atatusaidia zaidi kupunguza mlolongo wa upelelezi
Kkkkkkkk interesting Indeed. Wakiingua dodoma hawatoki. So the attackers of tundu lissu bado inside Dodoma
Mimi hiyo kazi ya jeshi LA Tanzania naipenda sana ila hawo washuhulikieni Mimi nasubiri mh magufuli atakapo kuja rombo aniteuwe niende mafunzoni jeshiniiii
Daaaa hii Kali, yaani mtuhumiwa unafunguka bila wasiwasi, sijaelewa hiii
Shylagwa de Balima yaani wewe una mawzo kama yangu .....angalia kwenye koment yangu uone nilicho andika!!!!!
hajawah kuwa afande anatoa sirii tu kurahs
Fanya uhalifu ndo utajua Kama utafanywa nn ili ufunguke kila kitu
Unadhani anaongea tu, ashapitishwa jikoni kwanza
Safi sana mzee wa watapata tabi sana wapewe kipigo cha mbwa koko tu
Congratulations isipect
Anco Magu
😂 😂 😂 😂 isipect lol
Jamilla Ibrahim 😂😂😂
Hahahahhahahaha
Jamilla Ibrahim nawe c unaamini kuwa lugha yetu hiyo my
benard munna usinicheke nifundishe jinsi ya kuandika
Asante jeshi la tanzania hii ni kwaajili ya raisi wetu magufuli
Big up kamanda!
Kazi nzuri kamanda,hongereni sana.
naona kamanda mroto anafuata nyayo ya kova safi sana
yusuph hassani kiboko alikua Alfred tibaigana
Hatari sana Good job 4 police force
Gonga like kama una kubari kazi anayo ifanya huyo askali
Safi sana kamanda
Kwel watanzania wameoza akili......maaana sio kwa kulalamika huko kwa kipuuzi wakikamatwa mnasema maigizo ....wasipokamatwa mnasema hawajulikani ......jamani kwel ipo siku mtatambua mchango wa jeshi letu imara na lenye sifa ya uadilifu .....Mungu ibarik Tanzania
Ajali kazini, Dodoma kunapigika sana tu.
Matitu_jr
Mwanajeshi kafunguka vizuri
views 22k hana kinyongo hhhhh
views 22k 😂😂😂
kama mchezo hivi,muharifu halafu kesi inahusu jeshi anatiririka kwa confidence hivyo wakati anajua linalomfuatia,,,,
Mmmmh hata sijaelewa
Kiki za kipuuziii yani ata hamujui kujipanga na uwongo, hao ambao hawakuhojiwa ndio waizi wa ukweli ila uyo mwanajeshi ni kiki tu
Umeona eee
Sijaipenda hii
Mkuu naomba mnitumie namba zenu niwatumie namba yasimu inafanya utapeli kwa kupitia jina la kiongozi.
Brait Michmmmsex
hongereni sana jeshi la polisi kwakazi nzuri.
sawa sawa Mkubwa
KAMANDA hongera sana
DUUUUUU HATARI SANA NA HONGERTA POLISI DODOMA
Duh anajiamini mbona
itabidi huyo mwanajeshi wamrudishe jeshini
Kweli tena bado ana nguvi kabisa
Hongera jeshi la police dodoma
Kwa kweli Askari ya Tz wako na nidamu, ingekuwa ya Kenya hawa shavunjwa vunjwa
Hongereni sana ila isiwe ni kiki mbona anjieleza kwa kujiamini ivyo
Guys get a lawyer, you dont have to answer any of those abusive questions whatsoever, dont get abused, you will also have a chance to sue them.
😂😂😂that is afrika and not Europe
Kama mwalifu anajieleza hvyo nihatareeeee sana...😎😎😎😎😎 ila nahc tyu jaman hizo ni mbinu za kujulikan tyu nahc tyu jmn
Goodluck Mrosso yaani jamaa anavyojieleza kama anaelezea tamthilia hivi , hana hata chembe ya hofu yani jaamni
tehetehe
Anajielezea vizurii ili asemehewe jamani
Hamna mualifu apo wametengeneza watu wao mtuhumiwa gani anajieleza kama biashara ya nyanya anafanyaa
Ahsante kwa kazi nzuri na wale watu wasio julikana umefikia wapi?
Hii nchi ina raia waliooza akili, wasipokamatwa mnaanza kudai police wanasema upelelezi upelelezi lkn hamuoni matokeo, wakikamata wahalifu mnasema wanaigiza, semeni sasa mnataka nini!!, You have been brainwashed by medias, wake up guys.
Jonathan Masu
Hahaha
Jonathan Masu ,Tunawataka waliomimina risasi 38 saa sabamchana,kama Dodoma ukiingia hutoki,walewalitokajee?
Ziada alute, sawa endeleeni kuwa wavumilivu watawaletea
Jonathan Masu hao wa pikipiki sawa lakn yule luten mmmmmh
Jonathan Masu kuna majitu majinga hata yafanyiwe nini yatapinga tu
nice job kamanda
Wanajeshi gani hao wanaropoka hivyoo najua mwanajeshi rohongumu kumezaa 😈😈
Huo ndo uwanaume akipatwa hakuna jins nimemkubal Afand wang
Kweli mnafanya kazi
Mhalifu gani anafunguka Hana wacwac 🙄🙄🙄🙄🙄 au ni kiki anataka awe igp
Unataka aongee akilia au
Festo Edward1 umeona ee it has never happen like this ati mtu akubali live makosa.Tz bhana nchii ya kiki
maigizo hyoo
hujawahi kubanwa wewe
Festo Edward1 huyo alikuw ni soja ndo maan han wacwac angalia ambao hawan combat
Hongera RPC dodoma kwa kazi nzuri....
Wa Lissu Walitokaje Dodoma Mpaka Leo movie 2
Uyu mwanajeshi mungu kamukumu kwa zurma
Hao wapelekwe jeshini hivyo hivyo alivyo ili akaadhibiwe huko huko anataka kudhalilisha JWTZ?
Hh
Ahsanteni sana jeshi la ulinzi
Hamnaga Mwanajeshi boya boya ivyo,
Hyooo ni dodoma nazani unaelewa nikisema hvyoo,,,Tnzania yote iko pale.
Hapo nitawasifia kwelikweli.....safi sana
Hahaha daaaah hii movie inaitwajee??
Peter Kawandamo ww nawe unavituko
Peter Kawandamo Double impact
Hio movie banaa hakuna kitu hapo
Mission impossible
Mroto nakukubali sana piga Kaz
Alafu anaongea bila wasi wasi 😂😂😂😂😂🤣🤣🤣
Yan utazan hakuna kitu
Nampenda pia ula awe makini👏👏👏
Mi ningemsamehe kusema ukwel ni kutubu.
Chadema wameoza.police wacpokamata wahalifu wanasema mbona hawakamatwi.wakikatwa wanasema police anataka apande cheo au maigizo.wanataka Nn chadema?. Kila kitu kwao maneno.
Emanuel Mlowe kaka chadema wanatoka wapi hpo acheni ujinga wa uchama unaligawa taifa
Emanuel Mlowe kweli kabisa wapuuz hao
Weeeee jaamaa Comment zako zote TH-cam ni upupu wee Jinga sanaa Tena la Mwisho Tena wee ndio unaweza ukawa mbaya sana Maana Uchama sio Unatoka wapi hapo kuwa na Akili na mtu unae weza kupambanua mambo sio ujinga unao weka weka Hapa Sijui mtu wawapi Nyie ndio mnao turudisha nyuma Tz kwa ajili ya Ujinga ujinga kama ulio Nao.. Wee ni wakuhurumiaa kabisaa
Halina itikadi hili acha kutugawa
Sa chadema inahusu nnn mbulurula ww