"Nabii Tito" amwambia Kamanda "mimi ninatumia Biblia"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
  • Jeshi la Polisi Dodoma limemkamata mtu mmoja Tito Machibya maarufu kama Nabii Tito mwenye umri wa miaka 44 kwa kosa la kueneza chuki ya kidini dhidi ya watu wengine kinyume cha sheria. Kamanda wa Polisi Gilles Muroto amezungumza na Waandishi wa habari na kuelezea yote kwa undani.

ความคิดเห็น • 967

  • @abdallahmwinyi2106
    @abdallahmwinyi2106 6 ปีที่แล้ว +13

    Very good kamanda umefanya kazi ubarikiwe kama kichaa akatibiwe

  • @frbm1729
    @frbm1729 6 ปีที่แล้ว +4

    Kazi nzuri sana Kamanda wetu.Bwana Mungu wa Majeshi awabariki.

  • @godfreyamen1135
    @godfreyamen1135 6 ปีที่แล้ว +12

    Hongera jeshi la police,sheria ifuate mkondo, hata hao waumini wake wakamatwe,na hao makahaba wenzake wakamatwe

  • @gracethomas683
    @gracethomas683 6 ปีที่แล้ว +5

    nimemkubali kamanda ni yupo kikazi.....sanaaaaa daaah big up Kamanda👏👏👏 sheria ni msumeno

  • @samuelemmanuel3400
    @samuelemmanuel3400 6 ปีที่แล้ว +14

    Safi sana, selekali yetu ya fanya kazi nzuri. Nice work

  • @lauralaurent5994
    @lauralaurent5994 6 ปีที่แล้ว +41

    ahsante jeshi la polisi........alikuw ananichefua sann huyu mtu

    • @rowdyrondarouseyfire9476
      @rowdyrondarouseyfire9476 6 ปีที่แล้ว

      Laura Laurent
      Yaan my dear Laura hunishindi mm alinichefua cku moja kupitia video zake.

    • @sharifukiserekela3851
      @sharifukiserekela3851 6 ปีที่แล้ว

      mpokeeni nabiii wenu wengine mnapeleka sadaka Kwa tito mnagoma

    • @lauralaurent5994
      @lauralaurent5994 6 ปีที่แล้ว

      +Sharifu Kiserekela hakuna nabii wa namnaa hii,umeshaambiwa ni kichaa ........

    • @lauralaurent5994
      @lauralaurent5994 6 ปีที่แล้ว

      +Miskia Ayallah afungwee kabisaa..?..

  • @kelvinkelvin_tz3983
    @kelvinkelvin_tz3983 6 ปีที่แล้ว +7

    ahsanteni jeshi la polisi , asanteni sanaaaaaa

  • @dorahisaya2908
    @dorahisaya2908 6 ปีที่แล้ว +1

    hongereni polc kwa kazi njema na ngum mungu awape wepesi

  • @exezodacimyingaexezodac1304
    @exezodacimyingaexezodac1304 6 ปีที่แล้ว +53

    JESHI LA NA POLC KWA UJUMLA MUNGU AWABALIKI SANA NA AZIDI KUWATUMIA KWA KIWANGO KIKUBWA SANA MAANA KAZI MNAZO ZIFANYA NIKAZI NGUMU SANA SISI TULIO WENGI TUNAJUA MNAMAPITO MAGUMU LAKINI MUNGU ATAWALIPA TUU WALA MSUTISHIKE NA MTU ANAYE JIITA YEYE NDIYE KWANI MTAWATAMBUA KWA MATENDO NA MUNGU ATAKUWA NANYI KAZi #KAZI NJEMA WATUMISHI WA MUNGU

    • @capitanofindus7312
      @capitanofindus7312 6 ปีที่แล้ว +1

      Exezodaci myinga Exezodac wwcheni ujinga kila mtu ako free kwa kitu anacho kiongea watz ni wajinga

    • @capitanofindus7312
      @capitanofindus7312 6 ปีที่แล้ว

      Ujinga wa watza ndio huo kwwni kama ww unaamini dini yako utamskiliza huyo chizi polisi wa kibongo nyote mnafirwa

    • @jumaedward7110
      @jumaedward7110 6 ปีที่แล้ว

      mselemabdull kuma la mamako unafirwa mwenyew na baba yako,

    • @capitanofindus7312
      @capitanofindus7312 6 ปีที่แล้ว

      Exezodaci myinga Exezodac unajitia una matusi ila akili hamna ndio mkawa muko vijiweni munaiba tu tutawaua mwaka huu

    • @jumaedward7110
      @jumaedward7110 6 ปีที่แล้ว

      mselemabdull unaongea pumba mkundu wew

  • @katharinaandrew1514
    @katharinaandrew1514 6 ปีที่แล้ว +1

    safi sana kamanda . ubarikiwe. wapumbavu kama hao weka ndani. nimekupenda baba

  • @mesozimkombozi432
    @mesozimkombozi432 6 ปีที่แล้ว +17

    Safi sana kamanda. nimeumia sana juu ya huyu mtu.

  • @danielmsangi7271
    @danielmsangi7271 6 ปีที่แล้ว

    Asanteni jeshi la polis kwa kazi nzury maana ametudhalilisha wakristo mimi nilibakiza kumsaka na kumchoma motk

  • @rayrayroblox5663
    @rayrayroblox5663 6 ปีที่แล้ว +21

    Huyu mtu nishetani mmefanya vizuri sana yani inabidi hizo kanisa za kishetani muzipige vita

  • @ulricamakalla5565
    @ulricamakalla5565 6 ปีที่แล้ว

    Daaah imeniuma mm naheshimu ukristo wangu...mungu pekee amsamehe hajui alitendalo

  • @richardkobero6988
    @richardkobero6988 6 ปีที่แล้ว +6

    "YOU HAVE FREEDOM BUT NOT TO THAT EXTENT"-JPM

  • @bettydackman1442
    @bettydackman1442 6 ปีที่แล้ว

    Asante sana Serikali, Kamanda Mwenyezi Mungu akupemaisha Marefu ,Umenena Vema kabisa

  • @fatumafashiondesigner1461
    @fatumafashiondesigner1461 6 ปีที่แล้ว +3

    Ahsanta boss wangu

  • @elibarickandrew2870
    @elibarickandrew2870 6 ปีที่แล้ว

    Asanteni kwa kweli kwa kumkamata..kazi nzuri..

  • @judydebawsepaul905
    @judydebawsepaul905 6 ปีที่แล้ว +11

    duuh maongez yake enyew htr... unaulizwa n kosa... unajib vingn... duhh

    • @chaziotv9845
      @chaziotv9845 6 ปีที่แล้ว

      good kamanda

    • @japhetalbano1227
      @japhetalbano1227 6 ปีที่แล้ว +1

      Kamanda mpeleken milembe akabaki huko kwan hiyo dini yake ni matangazo ya biashara ya pombe

  • @davoo2555
    @davoo2555 6 ปีที่แล้ว

    Hongera kwa kazi Nzuri Afande.

  • @youngboyjustin1141
    @youngboyjustin1141 6 ปีที่แล้ว +5

    Poa sana👍👍👍

  • @denickillanga8614
    @denickillanga8614 6 ปีที่แล้ว

    Hongera polisi na nakwona ndugu yangu Ema muha upo na mkuu bless jembelangu

  • @blacknature7637
    @blacknature7637 6 ปีที่แล้ว +42

    Sura yake tu inaonesha chizi 😂😂😂 msameheni tu Ni Bora hakutukana uislam manayake waislamu wangemmeza mzima mzima

    • @maryamdounga2290
      @maryamdounga2290 6 ปีที่แล้ว +2

      Black Nature 😂😂😂😂😂jaman umenichekesha

    • @tatut3889
      @tatut3889 6 ปีที่แล้ว +1

      Black Nature 😂😂😂😂😂😂😂😂tena tusinge mchelewesha

    • @maryamdounga2290
      @maryamdounga2290 6 ปีที่แล้ว +1

      Tatu T 😂😂😂😂bahati yake cc hatuna unafiki nadin yetu

    • @sisisisilia4898
      @sisisisilia4898 6 ปีที่แล้ว

      Hahaaa hatari kwa kweli

    • @tatut3889
      @tatut3889 6 ปีที่แล้ว

      Maryam Dounga 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂dunia angeona chungu

  • @jacksonmsigwa1350
    @jacksonmsigwa1350 19 วันที่ผ่านมา

    Safi sana afande mulatto.. huyo mshenzi alikuwa ana weka picture ya mama kwenye ushenzi wake. Hongela sana jeshi la police. Miladi ayo,

  • @susanmmbaga3713
    @susanmmbaga3713 6 ปีที่แล้ว +6

    Kichäa anafanya vitu km mtu mwenye akili zake sheria ifate mkondo wake

  • @kenethmanyesela4940
    @kenethmanyesela4940 6 ปีที่แล้ว

    mbarikiwe sn, Mungu wetu sio wa maigizo kabisa.

  • @richardmuyango6106
    @richardmuyango6106 6 ปีที่แล้ว +36

    Kamanda hyo sio wakawaida hyo kma nikichaaa kweri cd hzo pamja na vitabu nani anamchapia ss kuna watu nyuma yake

    • @ابنعثمن
      @ابنعثمن 5 ปีที่แล้ว

      Hatumiki, historia inasema anaumwa

  • @yohanashedrack3109
    @yohanashedrack3109 5 ปีที่แล้ว +1

    Mbalikiwa sana jeshi la polince

  • @nazmaabdul949
    @nazmaabdul949 6 ปีที่แล้ว +18

    nikichaa kweli maana sio kawaida

    • @rubenprince8990
      @rubenprince8990 6 ปีที่แล้ว

      California love

    • @husseinmajid721
      @husseinmajid721 6 ปีที่แล้ว

      Nazma Abdul bora nabii tito alikuwa anafanya hadharan sio viongoz wengne wa dini wanaofanya mambo ya ajabu kwenye giza

    • @nazmaabdul949
      @nazmaabdul949 6 ปีที่แล้ว

      +Hussein Majid nakweli kesho kwa mungu wataenda kujibu

    • @demetrykisiya1396
      @demetrykisiya1396 6 ปีที่แล้ว

      Nazma Abdul nishida nazma

  • @jofreyjafety138
    @jofreyjafety138 6 ปีที่แล้ว

    ahsante sana serikali yangu mungu awabalik sana uyo alikua ana nikela kiasi kwamba nilitaman ata sijui nimfanyeje

  • @kanisakatolikinabiblia5220
    @kanisakatolikinabiblia5220 6 ปีที่แล้ว +11

    Duh! Pole sana Dunia

  • @ElizabethHassan-y6o
    @ElizabethHassan-y6o 26 วันที่ผ่านมา

    Mungu wetu ni mungu wa kuheshimiwa achukuliwe hatua

  • @aminasanga7096
    @aminasanga7096 6 ปีที่แล้ว

    baba angu kaka angu mroto wewe ni mlezi Wa kaka angu ni mchapa kazi tk maturubai mbagala ukiwa mkuu Wa kituo big up sana

  • @judydebawsepaul905
    @judydebawsepaul905 6 ปีที่แล้ว +6

    duuh na mbn ht haonyesh km n nabii?? yupo rough kwl

  • @michaelkasebele7168
    @michaelkasebele7168 6 ปีที่แล้ว

    safi sana jeshi la polisi,lazima misingi ya iman za watu zilindwe.KAZI NJEMA MAKAMANDA....🙋🙋

  • @motivationtv9958
    @motivationtv9958 6 ปีที่แล้ว +13

    uyo jamaa alaaniwe na haki za kishelia zifuatwe

  • @JohnMdee-pm1qh
    @JohnMdee-pm1qh 4 หลายเดือนก่อน

    Good job Afande

  • @umranim5854
    @umranim5854 6 ปีที่แล้ว +5

    Mpotovu sana sio kidogo achukuliwe hatua ana fundisha nini watoto mshenzi nimefurahi sana vitu vilivo katanzwa na mwenyezi mungu ndio ana vihalalisha mpotovu sana

  • @filimonmboya9615
    @filimonmboya9615 6 ปีที่แล้ว

    Ongereni San jeshi la police kwa kazi kubwa ya kufanya nchi hii kuwa na Amani mbarikiwe San jeshi latanzania kibinadam tunaona nikazi ndgo lakini mnafanya kazi kubwa San yakulinda misingi ya kisheria nchini Mungu bariki Africa Mungu ibariki tanzania

  • @omarymsira1848
    @omarymsira1848 6 ปีที่แล้ว +9

    Ata Kama ni kichaa afungwe tuuu

  • @KassimAli-l8k
    @KassimAli-l8k 25 วันที่ผ่านมา

    Aiseeee boraaa uyoo ni. Nguruweeee ey nabbi

  • @exezodacimyingaexezodac1304
    @exezodacimyingaexezodac1304 6 ปีที่แล้ว +16

    Kichaa hawezi kuwa na hakili ya kubana sidii na kufanya ujinga kama huo

    • @daimavlog
      @daimavlog 6 ปีที่แล้ว

      Exezodaci myinga Exezodac anaweza mpendwa

    • @newvisiontv4932
      @newvisiontv4932 6 ปีที่แล้ว

      Kuna level za ukichaa na magonjwa ya akili yapo mengi sana

    • @josej9888
      @josej9888 6 ปีที่แล้ว

      Huyu kweli, siyo kichaa, polisi wamesema hivo kutafta sababu tu, maana wameshindwa kupata jibu kamili.

    • @emanueladamayubu9940
      @emanueladamayubu9940 6 ปีที่แล้ว

      inawezekana huyu Raia sio kichaa bali ana kitu kingine

    • @ashminaabdullah5626
      @ashminaabdullah5626 6 ปีที่แล้ว

      Kweli kichaa gani uongo tu

  • @dadychaps7527
    @dadychaps7527 6 ปีที่แล้ว

    Eti kichaa na anajielewa na vtu anavyofanya..... Kifungo miaka adhaa ndio atajuwa ni kosa. Ahsante kamanda. Kenya tunaitaji makamanda kama wewe. Kazi nzuri

  • @aintnamed6839
    @aintnamed6839 6 ปีที่แล้ว +4

    Ukristo ni ukichaa..Mtu mwenye akili timamu hawezi amini eti Nabii Isa ni Mungu au mwana wa Mungu kama wanavyodai.

    • @frank01tz
      @frank01tz 6 ปีที่แล้ว +1

      Pole. Yesu ndiyo Mungu wako pia, hata ubishe mpaka ufe!

    • @francisnicholaus5590
      @francisnicholaus5590 6 ปีที่แล้ว

      Aint Named ww ni nani

    • @francisnicholaus5590
      @francisnicholaus5590 6 ปีที่แล้ว

      Aint Named asant jesh muendelee hivohivo

    • @gracesangaboloko5414
      @gracesangaboloko5414 6 ปีที่แล้ว

      Aint Named ulaaniwe wewe pamoja nakizaz chako kwa jinala Yesu kristo aliye hai na damu yako iwe juu yako nauzao wako

    • @aintnamed6839
      @aintnamed6839 6 ปีที่แล้ว +2

      Grace....maadam we ni mkristo basi tambua we ni kafiri ukubali ukatae....Fanya hima uzinduke usingizini uingie uislam kabla mauti yakupate.

  • @RehemaFilipatli
    @RehemaFilipatli หลายเดือนก่อน

    Shukrani,serikali ya Tanzania

  • @worshipertv9968
    @worshipertv9968 6 ปีที่แล้ว +3

    bora asanteni kwa kutusaidia tunaomba mfute na video zake zote

  • @chikaeze6896
    @chikaeze6896 6 ปีที่แล้ว

    Good job God bless you people good job

  • @tumainijoseph9710
    @tumainijoseph9710 6 ปีที่แล้ว +3

    sometimes 40 zimetimia

  • @daudiasafu3235
    @daudiasafu3235 6 ปีที่แล้ว +1

    Tunaomba mumuache mirembe huko huko asiletwe tena Katika jamii, safi sana jeshi letu la polisi, mshikilieni aache kabisa upuuzi huu. Abaki milembe huko.

  • @seifmohamedseif9384
    @seifmohamedseif9384 6 ปีที่แล้ว +19

    pigeni marufuku watu kuzuka na kujita manabii haya yataisha tambueni uzito wa manabii na kaz zao hapa kila kukicha manabii nani kawatuma

    • @nyombetv3370
      @nyombetv3370 6 ปีที่แล้ว +1

      kweli kaka

    • @goldmansun5859
      @goldmansun5859 6 ปีที่แล้ว

      yesu

    • @seifmohamedseif9384
      @seifmohamedseif9384 6 ปีที่แล้ว +1

      mana bii walisha hakuna nabii mpya tena na manabii Mungu ndio anae watuma sasa hawa manabii wa bongo wakujituma nani kawatuma wamekuja na ujumbe upi ? na watazame upande upi uzuka hawa manabii na kwa nn ? jibu swala la manabii linachukuliwa simple tu mtu akijisikia anakua nabii hz akili au matope

  • @kasubywilliam3565
    @kasubywilliam3565 6 ปีที่แล้ว

    Hongereni sana jeshi la polis. ila inasemekana zpo dini wanaabudu uchi km zipo fuatilien jaman

  • @immamtaki6653
    @immamtaki6653 6 ปีที่แล้ว +5

    Hugo ni mzma asijifanye kichaa afungwe tu

  • @sifasanga7866
    @sifasanga7866 6 ปีที่แล้ว

    Safi sana Kamanda........Safi sana.
    mpuuzi pia

  • @Maliyatabutv
    @Maliyatabutv 6 ปีที่แล้ว +5

    uwiiiiiii

  • @nyombetv3370
    @nyombetv3370 6 ปีที่แล้ว

    da kwa hapa jeshi la polisi mbarikiwe sana jamn

  • @Nadineshimirimana
    @Nadineshimirimana 6 ปีที่แล้ว +13

    Afungwe mushenzi sana

    • @jumannewata4856
      @jumannewata4856 6 ปีที่แล้ว +1

      tatizo nini mwacheni apige kazi tuu

  • @belindagiliard8977
    @belindagiliard8977 6 ปีที่แล้ว

    Asante kamanda.
    I salute you

  • @queenyahaya3147
    @queenyahaya3147 6 ปีที่แล้ว +4

    Kwani na wale wanawake wakamatwe nao afazalia kabisa

  • @silasmsekela9256
    @silasmsekela9256 6 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki jeshi La polisi

  • @gracejohn4925
    @gracejohn4925 6 ปีที่แล้ว +27

    Afungwe kbsa

    • @samusonibalazingiza3689
      @samusonibalazingiza3689 6 ปีที่แล้ว

      Kamanda hongera kwakumkamata huyo mpuuz sana

    • @thelovetv2976
      @thelovetv2976 5 ปีที่แล้ว

      Kabisaa kweli jeshi la police linafanya kazi yake ipasavyo mheshimiwa magufuli hongera baba hapa kazi tu.

  • @mudriqjardeny708
    @mudriqjardeny708 6 ปีที่แล้ว +2

    "Ukiona bia tano hazikukolei unaongeza konyagi."🤣🤣

  • @fredmathubejr3547
    @fredmathubejr3547 6 ปีที่แล้ว +26

    Aliona Dr shika ametoboa akaona na yeye atoke kwa njia hiyo...sasa wacha apambane na mkono wa magu, kisha God himself anamsubiri

    • @bongoyetu8938
      @bongoyetu8938 6 ปีที่แล้ว

      Fred Mathube jr
      Alikuwepo kabla ya Dr Shika,kuna video nyingine ni za miaka zaidi ya 3.

    • @amarachimoney6880
      @amarachimoney6880 6 ปีที่แล้ว

      Fred Mathube jr 😂😂😂😂😂😂😂

    • @nacyluizer3734
      @nacyluizer3734 6 ปีที่แล้ว

      Fred...hahahaahahahah

    • @emanuelyngatungs1000
      @emanuelyngatungs1000 6 ปีที่แล้ว

      Pereka mirembe huyo nishetani

    • @georgemakany7381
      @georgemakany7381 6 ปีที่แล้ว

      duu noma sana

  • @mmmglobalkenyatestimonies14
    @mmmglobalkenyatestimonies14 6 ปีที่แล้ว

    LORD HAVE MERCY HATA KANYARI WA KENYA NI TEAM MOJA NA HUYU TU

  • @abuuayoub8958
    @abuuayoub8958 6 ปีที่แล้ว +7

    Nilijua tuu Hana akili hahahahahha sema wamtie ndani hvyo hvyo Na ukichaa wake akili itakaa sawa tuu...hahahha halafu amepiga kimkorogo hahahahahha Habittth

    • @nancycosmas2083
      @nancycosmas2083 6 ปีที่แล้ว

      AB Ayoub katia na dawa eti 😂😂😂😂

    • @abuuayoub8958
      @abuuayoub8958 6 ปีที่แล้ว

      Nancy Cosmas hahahaha eeeh kitaulo kidogo Wallah Tena lazima Nuru kidogo

  • @stewartmillanzi3918
    @stewartmillanzi3918 6 ปีที่แล้ว

    Kumbe ni kichaa kama nilivyohisi. Asante serikali. Asante polisi.

  • @mctidohondoa1652
    @mctidohondoa1652 6 ปีที่แล้ว +44

    Afadhali alikua ananichafua roho sana hbu nisaidie pitieni na kwangu kuna hbr nzuri mnisaidie kusubscribe bonyeza picha kushoto

    • @sheilajuma2332
      @sheilajuma2332 6 ปีที่แล้ว +1

      Mc Tidoh Ondoa tuna subscribe wap

    • @edgarachile3119
      @edgarachile3119 6 ปีที่แล้ว +1

      Yaani eti Nabii.ujue anakufu sana.

    • @sheilajuma2332
      @sheilajuma2332 6 ปีที่แล้ว +2

      Mc Tidoh Ondoa afungwe kabisa aisee alikuwa ananichefua balaa video zake

    • @johnikovoko7472
      @johnikovoko7472 6 ปีที่แล้ว +1

      Mc Tidoh Ondoa Afungwe Tuuu

    • @eliudmanase5397
      @eliudmanase5397 6 ปีที่แล้ว

      Iwe fundisho na kwa watu wengne

  • @zachaamaster5378
    @zachaamaster5378 18 วันที่ผ่านมา

    #safii san jeshi la police

  • @hamisimsalapai7785
    @hamisimsalapai7785 6 ปีที่แล้ว +15

    wakienda kisheria hawampati... kanukuu vifungu hivyohivyo

  • @magzeeee
    @magzeeee 6 ปีที่แล้ว +1

    mimi sio fan wa huyu jamaa kabisa..lakini nimeangalia video hadi mwisho..nimependa confidence yake ya kutetea anachoamini!...

  • @ernestsinje2606
    @ernestsinje2606 6 ปีที่แล้ว +4

    Tulisema Dini ni sawa na ulevi tu...kumjuwa MUNGU sio lazima use ma dini,,kwani kabla ya Waarabu kutufanya watumwa na wakoloni ,hapo nyuma hatukuwa tunamjuwa MUNGU?

    • @ابنعثمن
      @ابنعثمن 5 ปีที่แล้ว

      Hata mimi huwa najiulizaama swali hilo, Kumbe Wahindi wangetutawala nahisi sote tungekuwa Mabaniani, no kula nyama!

    • @josephkiwale374
      @josephkiwale374 3 หลายเดือนก่อน

      Na tumezikamata kuliko hata hao waliozileta

  • @adillhabib2006
    @adillhabib2006 5 ปีที่แล้ว

    Kamnda hongera n.a. mm nataka niwe jesh

  • @rahmamohamed8083
    @rahmamohamed8083 6 ปีที่แล้ว +8

    Kama mtampata na kosa mfungeni tu mana mpotoshaj

  • @olemoissan6441
    @olemoissan6441 6 ปีที่แล้ว

    Safi Sana Kamanda na wananchi kwa kazi nzuri

  • @abdallahmtale4060
    @abdallahmtale4060 6 ปีที่แล้ว +4

    kwani yeye ni dini gani?

  • @severinimatonya1354
    @severinimatonya1354 5 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana

  • @tzviral7342
    @tzviral7342 6 ปีที่แล้ว +3

    Hakuna mtu alikua ananichefua kama huyu jamaa asee.
    Pitieni na kwenye Channel yangu takua napost Habari nzuri kilasiku...pia *SUBSCRIBE.*

  • @magnaallen115
    @magnaallen115 6 ปีที่แล้ว

    Ahsante police Mungu awabariki kwa hili maana alikuwa ananikera mpaka basi

  • @tuombesunzuesperance5196
    @tuombesunzuesperance5196 6 ปีที่แล้ว +5

    Weka dani ya njela

  • @CatherineMbatta
    @CatherineMbatta 2 หลายเดือนก่อน

    Safi sana hii imekaa vizur

  • @vanessavanedssa8068
    @vanessavanedssa8068 6 ปีที่แล้ว +5

    Wamucukuliy cheria amezid

  • @luisminolisea2483
    @luisminolisea2483 6 ปีที่แล้ว +1

    N español latino o subtituladas

  • @mbwanarajab7238
    @mbwanarajab7238 6 ปีที่แล้ว +4

    Haaa askar wanachambua vifungu vya dini,mm ningependa viongoz wa dini husika ndio wangetakiwa walalamike

    • @TwahaMaziku
      @TwahaMaziku 3 หลายเดือนก่อน

      Hapo imeguswa dini ya serikali povu linawatoka dini nyingine hua zinadhalilishwa tuu wala hakuna shida ila daaah poah tuu

  • @officialjamhurizachariagos2797
    @officialjamhurizachariagos2797 6 ปีที่แล้ว

    Brother mirrad ayo ongera sana kwa habari makini

  • @rithalaizer1151
    @rithalaizer1151 6 ปีที่แล้ว

    Asanteeeee Sana bora amekamatwa

  • @nazmaabdul949
    @nazmaabdul949 6 ปีที่แล้ว +18

    lakin kwamuenekano kweli nimwehu ila kwahao alio nao ndio wasakwe

  • @sifunisamwel4369
    @sifunisamwel4369 6 ปีที่แล้ว

    ahsante afande

  • @kuwamilionea8983
    @kuwamilionea8983 6 ปีที่แล้ว +4

    *Avande, Huyo Ni Wakupuna Viboko Mpaka Akili Zirudi*

  • @sophiaclemence6076
    @sophiaclemence6076 6 ปีที่แล้ว +2

    Thank you Lord Jesus

    • @oshyceser5975
      @oshyceser5975 6 ปีที่แล้ว

      he sail all 4from da Bible...can u lead 21,31 mathayo...then tell me

  • @hadijah2896
    @hadijah2896 6 ปีที่แล้ว +4

    Kama hana akili mbona ametoa CD halafu mavazi ametoa wapi

    • @faridymkandala1767
      @faridymkandala1767 6 ปีที่แล้ว

      Hadija H eti anaakili timamu cd kapata wapi

    • @yusuphbalali9037
      @yusuphbalali9037 6 ปีที่แล้ว

      Hadija H Kweli kabisa hayo mavazi kayatoa wapi? pia kama ni kichaa mbn siyo mchafu?

  • @josephkiwale374
    @josephkiwale374 3 หลายเดือนก่อน

    Mwamba anakwambia yesu ni mgogo,,noma xana😃😃

  • @halimamohamedy3571
    @halimamohamedy3571 6 ปีที่แล้ว +3

    amepoa kama vile cyo yeye aliyekuwa akikata maunoo

  • @alsaarh239
    @alsaarh239 6 ปีที่แล้ว

    Mlifanya vizuri sana

  • @peacesmart534
    @peacesmart534 6 ปีที่แล้ว +9

    Huyu mtu anazo akili kabisaa,,,
    Hata kama aliwahi kua chizi fresh....kutakua kitu nyuma ya hii biashara ya beer..

  • @asmabintikiwashatz9321
    @asmabintikiwashatz9321 6 ปีที่แล้ว

    hongera serikali yetu huyu jamaa chiz

  • @vivianminja6332
    @vivianminja6332 6 ปีที่แล้ว +6

    Huyu nabii mbona uso na mikono haviendani kbisaa

  • @gideonimathew6491
    @gideonimathew6491 6 ปีที่แล้ว

    Kwa kweli nimewapongeza sana Jeshi langu la police. Jina la Yesu si la mchezo mchezo

  • @Maliyatabutv
    @Maliyatabutv 6 ปีที่แล้ว +3

    HAHA HA HA HA HA UYO JAMAA NOMA NAYE ATA VITABU VIMEANDIKA WATAIBUKA MANABII WA HUONGO ILITABILIWA

    • @hdmtanzania2617
      @hdmtanzania2617 6 ปีที่แล้ว

      Asante vyombo vya usalama. Mwenyezi Mungu hadhihakiwi

    • @yusuphbalali9037
      @yusuphbalali9037 6 ปีที่แล้ว

      Daudi FM Dunia ndy inaenda mlama.

  • @lucyleganga6301
    @lucyleganga6301 ปีที่แล้ว

    Na ni nani anamchapishia mabango, vitabu hadi CD .Mmmh upo vizur sana Afande lifatiliwe saana.

  • @wilsonkaseha2034
    @wilsonkaseha2034 6 ปีที่แล้ว +3

    anzeni viboko kwanza kisha mengine yafuate. halafu kuna mwingine aliwahi kujitojeza na hiyo kauli ya kutafuna housgirl alikuwa na midevu sijui aliisjia wapi?

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72 6 ปีที่แล้ว

      Wilson Kaseha 🤣😂😂😂😂😂kabisa kaka mana ukichaa wengine utatoka kwa viboko lol

    • @abdallahnurdin8685
      @abdallahnurdin8685 6 ปีที่แล้ว

      Wilson Kaseha we nae kichaaa kumbe machiz wengi selikali aina DIN saa inakuwaje..... FucknTz

    • @wilsonkaseha2034
      @wilsonkaseha2034 6 ปีที่แล้ว

      +Mama Franjo VLOGS hahaaaaaa

  • @samwa9496
    @samwa9496 หลายเดือนก่อน

    Mmepigwa upofu