Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Terminal One JNIA Mei 13,2016

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 14 พ.ค. 2016
  • Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Terminal One JNIA Mei 13,2016

ความคิดเห็น • 201

  • @Muchoma
    @Muchoma ปีที่แล้ว +8

    Shida ya African ni wa africa tu ! 😢😢😢 RIP BAba najia uchungu kila siku , na misi mutanzania so sad 😢

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 ปีที่แล้ว +32

    Huyu mbabe wa dunia aliyesimamia nywele za wazungu bila maji akazawadiwa kifo ndio rais pekee aliyenifanya nihifadhi hotuba zake zaidi ya mia NNE nikajifunza yakwamba "kiongozi mwenye msimamo duniani asipokuwa mzungu ni dikteta"

  • @dalali_professionalwa_dodo8330
    @dalali_professionalwa_dodo8330 ปีที่แล้ว +18

    Tunaomba kujua huyu mama kama yupo hai..hii siku alijiskiaje...half hapa bado walikuwa hawajamjua vizuri mwendazake...shenzi sana hawa....na uskute hii hali imejirudia sasa hv...huyu baba mungu amuhifadhi huko aliko...kilikuwa chumaaaa

    • @majumbatv1116
      @majumbatv1116 ปีที่แล้ว +2

      Ameshafariki alikua anakaa tabata mke wa jjjj marangu

    • @dalali_professionalwa_dodo8330
      @dalali_professionalwa_dodo8330 ปีที่แล้ว +3

      @@majumbatv1116 mungu amlaze mahali pema na tunamuombea kwa mungu amsamahe dhambi zake... Mungu amrehem.

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 ปีที่แล้ว

      Alifàriki kwa kuumwa? Au kwa kihoro cha tukio hili?

  • @bennie7239
    @bennie7239 ปีที่แล้ว +12

    Taarifa za habari zilikuwa za moto sanaaa; Rais alikuwa mchapakazi..

  • @edwardnamakonde156
    @edwardnamakonde156 ปีที่แล้ว +13

    Ni mafisadi tu wanaweza kutuambia kuwa huyu alfuwa hafai kabisa.

  • @machoguhameri7757
    @machoguhameri7757 ปีที่แล้ว +9

    Mungu akupe pumziko la Amani

  • @flova7022
    @flova7022 ปีที่แล้ว +7

    Jaman Kuna wanawake Wana adabu mkono tu na goti kuchuchumia daah l wish all now days girls be like these mamas

  • @starworldengineering9523
    @starworldengineering9523 ปีที่แล้ว +8

    Duh magu mungu akulaze maali pema

  • @jumahassan273
    @jumahassan273 ปีที่แล้ว +11

    Mungu bado yupo nasi tutapata tu rais mwengine atakuwa kama wew baba ila kwa sasa atuna kiongoz wa kuendesha kazi zako ila yupo aliyekalia kiti tu na kula kuku na mrija

  • @frenziangella6676
    @frenziangella6676 ปีที่แล้ว +9

    Siwezi kumlaumu MUNGU ila kila jambo linamakusudi yake lakini tunaumia sana

  • @eliakimyesse6086
    @eliakimyesse6086 2 ปีที่แล้ว +14

    Lala pema peponi kamanda,

  • @mialanomangobo9356
    @mialanomangobo9356 ปีที่แล้ว +6

    Poleni kumpoteza jembe huyo
    Hona ukaguzi wake sehemu nyeti

  • @rosemongi5273
    @rosemongi5273 ปีที่แล้ว +9

    Mpaka sasa bado ningali na maumivu ninapo tizama kazi zako baba pumzika kwa amani,mwenyezi mungu tukumbuke tena tunakuomba ameeen

    • @hashimally
      @hashimally ปีที่แล้ว

      Musa shegh dar

  • @jumaakida5951
    @jumaakida5951 2 ปีที่แล้ว +11

    Huyu alikuwa rais mfuatiliaji!! Hakika amepita sijui kwamiaka yaribuni kama atapatikana mtu kama huyu muadilifu na mzalendo

    • @fakiinajummwe9972
      @fakiinajummwe9972 ปีที่แล้ว

      Atotokea Kwa kizazi hiki

    • @mpabwas5916
      @mpabwas5916 ปีที่แล้ว +1

      Mungu hutoa kwa namna inavyompendeza tusubiri Maamuzi ya Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema

  • @robertchuri3222
    @robertchuri3222 ปีที่แล้ว +10

    Lala salama mjomba magu yote maisha tu tumeshindwa kukutumia mungu ameamua kukubeba lala salama

  • @johnmichire7809
    @johnmichire7809 9 หลายเดือนก่อน +4

    Huyu rais ana akili sana,yaani arrival and departure passengers wanaweza tumia scanning machine moja

  • @richardmalley68
    @richardmalley68 ปีที่แล้ว +10

    Endelea kupumzika kwa amani mwamba na shujaa wa Afrika

  • @ndikumanaismail5419
    @ndikumanaismail5419 4 หลายเดือนก่อน +2

    Allah akuhifadhi mzeh wetu

  • @daudpaulo2867
    @daudpaulo2867 ปีที่แล้ว +6

    Rais Wa Dunia JPM pumzika kwa Amani

  • @evancykashaga6576
    @evancykashaga6576 ปีที่แล้ว +5

    Daaa uyu jaaaaa niatareee sana pumzika kwa amani jembe

  • @emmanuelsitayo1977
    @emmanuelsitayo1977 ปีที่แล้ว +5

    Hivi ndivyo mambo ya nchi yetu yalivyo.
    Inasikitisha mno.
    Hakuna anayesema ukweli, taaluma haitumiki na haku dhana ya uwajibikaji kabisa

  • @issayasosolo6033
    @issayasosolo6033 ปีที่แล้ว +4

    Kwa Nini tusiendelee kukumbuka Kazi ya Magu yatupasa, Ukiwa mwizi hata majibu yako nayo yatakuwa Ni ya wizi tu, Majibu yamekuwa sifuri kabisa pumbavu zao!

  • @emmanuelntalima1717
    @emmanuelntalima1717 ปีที่แล้ว +15

    Huge Loss of a true Hero..😔🤨😪

  • @zainabubalama8869
    @zainabubalama8869 2 ปีที่แล้ว +10

    Huyu mwamba alikuwa chuma

  • @azadiunatishamumyloveungab6614
    @azadiunatishamumyloveungab6614 8 ปีที่แล้ว +8

    bba ahsante kwa kazi

  • @edmundbarongo8649
    @edmundbarongo8649 ปีที่แล้ว +5

    Great Loss, Mungu utulinde.

  • @stanslausbereghe3819
    @stanslausbereghe3819 ปีที่แล้ว +10

    Kweli baba, nchi yetu na wananchi wetu tunaibiwa, hivi kwann watanzania dhambi yetu ni kubwa? Hali ni mbaya Tanzania yetu. Pumzika kwa amani. Mungu akuondolee adhabu ya mauti.

  • @stevenmundi3142
    @stevenmundi3142 ปีที่แล้ว +7

    Akitokea rais mwenye kujua vitu kama magu mniite mbwa niko lape👉 nimekaa

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 ปีที่แล้ว +5

    My President forever R.I.P Baba

  • @safarirockerz2781
    @safarirockerz2781 ปีที่แล้ว +14

    R I P DADY.. you’ll always be in our hearts..

  • @kelvinmugini6793
    @kelvinmugini6793 ปีที่แล้ว +8

    genious

  • @FabriceKihanga-de7rp
    @FabriceKihanga-de7rp วันที่ผ่านมา

    Jembe 😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @motivational_leader
    @motivational_leader ปีที่แล้ว +3

    Nakukumbuka sana magu 😢

  • @tillionsmon6131
    @tillionsmon6131 ปีที่แล้ว +5

    Tutakukumbuka babaetu,Pumzika kwa AMANI baba.

  • @tatutumbi4640
    @tatutumbi4640 ปีที่แล้ว +7

    Pumzika kwa Amani Baba. Umetimiza wajibu wako. RIP. 😭

  • @deswaggz6185
    @deswaggz6185 ปีที่แล้ว +5

    Nimerudia mara mbili mbili, kila nikimuangalia mama dah n aibu

  • @ishipalemypasco2567
    @ishipalemypasco2567 2 ปีที่แล้ว +6

    Hilo lizee la nyuma mbona kama museveni wa uganda

  • @ishipalemypasco2567
    @ishipalemypasco2567 2 ปีที่แล้ว +7

    Sema ukweli 😂😂😂😂👍👍👍

  • @clementmusa7799
    @clementmusa7799 ปีที่แล้ว +2

    Mungu acha aitwe Mungu

  • @fredythomas1848
    @fredythomas1848 ปีที่แล้ว +5

    R.i.p jpm🙏🙏

  • @sisye1
    @sisye1 ปีที่แล้ว +5

    Kama drama vile.. Sema ukweli

  • @papangoda229
    @papangoda229 ปีที่แล้ว +4

    Ulinidanganya sindio

  • @waswajumbe1075
    @waswajumbe1075 ปีที่แล้ว +1

    Magufuli rip 😭😭 ulikuwa rais Wa nguvu

  • @fadhilimbilinyi274
    @fadhilimbilinyi274 8 ปีที่แล้ว +14

    Ifikie hatua sehemu nyeti zijulikanike pia na wakuu wa mikoa kumsaidia rais, kama isingekuwa kusafiri na ndege maana yake hiyo ingekuwa njia ya panya...Tanzania tuamke hadi viongozi wa chini sio mpaka mawaziri au wakuu wa mikoa...na ni vyema kuthibitisha kwa uhakiki...mpaka rais afanye haya...lol...inaweza kuchukua muda mrefu kukua kiuchumi kwa mwenendo wa kumtegemea rais, viva rais na uwe na afya njema siku zote za uongozi wako...

  • @user-vn9yi3dj4q
    @user-vn9yi3dj4q 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu amrehemu jpm, ndio maana walimmaliza kwa kutenda ukweli jamani

  • @mfarijikibinga9281
    @mfarijikibinga9281 ปีที่แล้ว +4

    daah, RIP JPM

  • @bonfaceomuhande6332
    @bonfaceomuhande6332 5 หลายเดือนก่อน +1

    That's management indeed.everyone must be accountable for his docket

  • @LengaiSaruni
    @LengaiSaruni 5 หลายเดือนก่อน +1

    Baba umejitaidi Sana ila mungu kakupenda said

  • @mpabwas5916
    @mpabwas5916 ปีที่แล้ว +2

    Tumepoteza chapakazi na mfuatiliaji mzuri

  • @fedrickmaganga2693
    @fedrickmaganga2693 ปีที่แล้ว +3

    Good job

  • @isayakiyeyeu6295
    @isayakiyeyeu6295 ปีที่แล้ว +2

    Tutakukumbuka milele😭😭😭😭

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 11 หลายเดือนก่อน +1

    Kwani hyo mwanamke ni WA Nini? Kuna watanzania smart kuliko huyo Muongo

  • @bizzosela6186
    @bizzosela6186 ปีที่แล้ว +5

    😭😭😭R.I.P

  • @rehemashabaniameen
    @rehemashabaniameen 10 หลายเดือนก่อน +1

    Ndomana madawa yalikua mengi sana nchi

  • @PrissilaHussein-og3cg
    @PrissilaHussein-og3cg 9 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu mama Muongo da watanzania kwel tubadilikeni

  • @richardtungaraza7509
    @richardtungaraza7509 2 ปีที่แล้ว +4

    Huyu mwamba dah

  • @eriminahchai8489
    @eriminahchai8489 ปีที่แล้ว +1

    Kazi safi sana makofuli

  • @basitv2299
    @basitv2299 ปีที่แล้ว +2

    We miss u baba

  • @usetobe.1067
    @usetobe.1067 ปีที่แล้ว +17

    One in a million..Rest easy Buldoza

  • @nsanzetito1453
    @nsanzetito1453 ปีที่แล้ว

    Kasim atafanya kazi badae

  • @jumahassan273
    @jumahassan273 ปีที่แล้ว +2

    Mwamba uyo

  • @saidsalum4602
    @saidsalum4602 ปีที่แล้ว +2

    Tutakukumbuka baba

  • @chrissamani7921
    @chrissamani7921 ปีที่แล้ว +1

    Mising you so much my przdt😭

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 ปีที่แล้ว

    Duh.... yaani ni watendaji wa serikali ni Mtihani sana, sehemu kama hii ulinzi wa kitoto namna hiyo..!..duh

  • @patrickmarwa5024
    @patrickmarwa5024 ปีที่แล้ว +1

    Kuna mambo unapo angalia naona kama na angalia tamthilia hapa

  • @fidelislugusi5361
    @fidelislugusi5361 ปีที่แล้ว +1

    Tumekumiss sana dah😭😭😭😭

  • @lameckkasuga2270
    @lameckkasuga2270 ปีที่แล้ว +1

    Magufuli 🙏

  • @kelvinmugini6793
    @kelvinmugini6793 ปีที่แล้ว +2

    ni yeyeeeeeeeeeee

  • @frankmwinuka6298
    @frankmwinuka6298 ปีที่แล้ว +1

    Kweli mjomba huyu alikuwa na maswali kama tacknic

  • @tedroyc9897
    @tedroyc9897 ปีที่แล้ว

    You went too soon ,Much love from Rwanda

  • @alexmpoke2610
    @alexmpoke2610 2 ปีที่แล้ว +13

    Duuh huyu mwamba huyu!RIP.Tunapoongoza watu lazima kuwashirikisha staff wote kuanzia ngazi ya chini.Sasa hivi Domestic pia wanakagua Daresalaam wakati wa kufika

    • @huguetteomari3198
      @huguetteomari3198 2 ปีที่แล้ว +2

      Kwa kweli Kuna watu mungu aliwapa hakili ya kuhongoza lchi na kufatilia kweli kweli, pumzika kwa Amani aliekuwa Rais mkamilifu mwenye busara ndefu,

    • @huguetteomari3198
      @huguetteomari3198 2 ปีที่แล้ว +3

      Kila siku nikiona video ya ayati mangufuli huwa na humiaka kwenye rohoo Sana ,

  • @frankmwinuka6298
    @frankmwinuka6298 ปีที่แล้ว +2

    Chuma hicho tutakukumbuka baba yetu

  • @paulkarani559
    @paulkarani559 8 หลายเดือนก่อน +1

    4:16 mhudumu wa uwanja 'Ni arrivals'...4:19 Rais maghufuli 'Arrival!kwa hivyo unataka kusema staffs wote huwa ni arrival'?😆😂😅,..Rais maghufuli ulikuwa kiongozi wa pekee sana,endelea kupumzika kwa amani 😢🙏🙏

  • @FilbertKalembe-fy4oq
    @FilbertKalembe-fy4oq 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mpaka arepot pot kweli inchi hii ndomana masikini hatufanikiwa wiz mtupu

  • @lutahmwesi8525
    @lutahmwesi8525 ปีที่แล้ว +1

    😭😭😭 Daaaaah!!rest in peace.

  • @expert5898
    @expert5898 ปีที่แล้ว +2

    Ulikuwa n uozo Ila!!!

  • @user-zd7iw3my3y
    @user-zd7iw3my3y 9 หลายเดือนก่อน +1

    😢😢 r.i.p Jpm

  • @alirashid4887
    @alirashid4887 ปีที่แล้ว +2

    BABA HAKUNA KAMA WW 😭

  • @flova7022
    @flova7022 ปีที่แล้ว +1

    RIP Baba daah

  • @teulechristopher1845
    @teulechristopher1845 ปีที่แล้ว +1

    Huyu mwamba basi tu

  • @nuruabasi5503
    @nuruabasi5503 ปีที่แล้ว +2

    😭😭😭

  • @FilbertKalembe-fy4oq
    @FilbertKalembe-fy4oq 11 หลายเดือนก่อน +1

    Elimu siyo uelewa haya majitu sijui vyeti vya kugushi

  • @denistarange5580
    @denistarange5580 ปีที่แล้ว +2

    Dah

  • @charlesgasper2243
    @charlesgasper2243 ปีที่แล้ว +1

    Inawezekana timiza wajibu wako nawengine tufuate!!!!!

  • @emarrgeorge8536
    @emarrgeorge8536 ปีที่แล้ว +1

    Baba 🇹🇿🙏

  • @williumjoel1410
    @williumjoel1410 ปีที่แล้ว

    Kweli muongo nimwizi mzur make majibu yanapishana tu dah ila jpm me nmekumiss make Mambo meng sana

  • @gedionngetich6678
    @gedionngetich6678 ปีที่แล้ว +2

    Rip

  • @mikevida08
    @mikevida08 ปีที่แล้ว

    baba alikua na informants wa ki sure sana..yani anauliza swali lakini ana full data..r.i.p

  • @JosephNgoga
    @JosephNgoga 9 หลายเดือนก่อน +3

    Dunia mzima tulipoteza Kiongonzi❤❤

  • @stevenmundi3142
    @stevenmundi3142 ปีที่แล้ว +1

    Rest pema mkuu

  • @pascalntandu1217
    @pascalntandu1217 ปีที่แล้ว +3

    R.I.P daddy;hii nchi watu wetu uaminifu hakuna;kwa mfano kwa bahati mbaya nikawa raisi wa hii nchi mtatafuta pa kwenda wajinga wajinga wote.

    • @priscamrekoni3451
      @priscamrekoni3451 10 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅 eti utafagia wote 😅

  • @halunimnenwa5224
    @halunimnenwa5224 ปีที่แล้ว +1

    Kwahiyo awo asubuhi wanaamka wanaoga wanajiandaa wanaenda kazini kumbe mashine zenyewe hazifanyi kazi

  • @ipyanamwangonda5286
    @ipyanamwangonda5286 6 หลายเดือนก่อน +1

    Alikuwa baba wakuyipenda inchi yake

  • @emarrgeorge8536
    @emarrgeorge8536 ปีที่แล้ว +1

    Pumzika Baba..Ulifanya KazKutoka mtimani

  • @evanstum5032
    @evanstum5032 11 หลายเดือนก่อน +1

    RIP baba

  • @laurenciakamata
    @laurenciakamata 9 หลายเดือนก่อน

    Tunakukumbuka sana

  • @FREEMANPAUL
    @FREEMANPAUL ปีที่แล้ว +1

    Daah!!

  • @manigajr5127
    @manigajr5127 ปีที่แล้ว +3

    Huyu wiki mbili huyu mwez huyu miez m3 ila hiiiii bongo nyoso

    • @omarybakari1681
      @omarybakari1681 ปีที่แล้ว

      Wabongo waongo sana

    • @emmanuelhema186
      @emmanuelhema186 ปีที่แล้ว

      Machozi yamenitoka baada ya kumsikiliza Mwamba wetu aliyetangulia mbele za haki

  • @benedictormatemla8947
    @benedictormatemla8947 2 ปีที่แล้ว +3

    Mambo yalikua za mani ndo maana hawa hawakuweza kuripoti

  • @YonaMakali
    @YonaMakali 9 หลายเดือนก่อน

    Tu me kumic baba ❤❤❤❤❤❤