Huyu mbabe wa dunia aliyesimamia nywele za wazungu bila maji akazawadiwa kifo ndio rais pekee aliyenifanya nihifadhi hotuba zake zaidi ya mia NNE nikajifunza yakwamba "kiongozi mwenye msimamo duniani asipokuwa mzungu ni dikteta"
Tunaomba kujua huyu mama kama yupo hai..hii siku alijiskiaje...half hapa bado walikuwa hawajamjua vizuri mwendazake...shenzi sana hawa....na uskute hii hali imejirudia sasa hv...huyu baba mungu amuhifadhi huko aliko...kilikuwa chumaaaa
Mungu bado yupo nasi tutapata tu rais mwengine atakuwa kama wew baba ila kwa sasa atuna kiongoz wa kuendesha kazi zako ila yupo aliyekalia kiti tu na kula kuku na mrija
Kwa Nini tusiendelee kukumbuka Kazi ya Magu yatupasa, Ukiwa mwizi hata majibu yako nayo yatakuwa Ni ya wizi tu, Majibu yamekuwa sifuri kabisa pumbavu zao!
Kweli baba, nchi yetu na wananchi wetu tunaibiwa, hivi kwann watanzania dhambi yetu ni kubwa? Hali ni mbaya Tanzania yetu. Pumzika kwa amani. Mungu akuondolee adhabu ya mauti.
Ifikie hatua sehemu nyeti zijulikanike pia na wakuu wa mikoa kumsaidia rais, kama isingekuwa kusafiri na ndege maana yake hiyo ingekuwa njia ya panya...Tanzania tuamke hadi viongozi wa chini sio mpaka mawaziri au wakuu wa mikoa...na ni vyema kuthibitisha kwa uhakiki...mpaka rais afanye haya...lol...inaweza kuchukua muda mrefu kukua kiuchumi kwa mwenendo wa kumtegemea rais, viva rais na uwe na afya njema siku zote za uongozi wako...
Duuh huyu mwamba huyu!RIP.Tunapoongoza watu lazima kuwashirikisha staff wote kuanzia ngazi ya chini.Sasa hivi Domestic pia wanakagua Daresalaam wakati wa kufika
4:16 mhudumu wa uwanja 'Ni arrivals'...4:19 Rais maghufuli 'Arrival!kwa hivyo unataka kusema staffs wote huwa ni arrival'?😆😂😅,..Rais maghufuli ulikuwa kiongozi wa pekee sana,endelea kupumzika kwa amani 😢🙏🙏
Shida ya African ni wa africa tu ! 😢😢😢 RIP BAba najia uchungu kila siku , na misi mutanzania so sad 😢
Huyu mbabe wa dunia aliyesimamia nywele za wazungu bila maji akazawadiwa kifo ndio rais pekee aliyenifanya nihifadhi hotuba zake zaidi ya mia NNE nikajifunza yakwamba "kiongozi mwenye msimamo duniani asipokuwa mzungu ni dikteta"
Umesema kweli baba
Trueeee
Uyu wazungu na wasaliti baina yetu, walimmaliza...
Hakika kaka
P0a
@@gabylove4602
Tunaomba kujua huyu mama kama yupo hai..hii siku alijiskiaje...half hapa bado walikuwa hawajamjua vizuri mwendazake...shenzi sana hawa....na uskute hii hali imejirudia sasa hv...huyu baba mungu amuhifadhi huko aliko...kilikuwa chumaaaa
Ameshafariki alikua anakaa tabata mke wa jjjj marangu
@@majumbatv1116 mungu amlaze mahali pema na tunamuombea kwa mungu amsamahe dhambi zake... Mungu amrehem.
Alifàriki kwa kuumwa? Au kwa kihoro cha tukio hili?
Taarifa za habari zilikuwa za moto sanaaa; Rais alikuwa mchapakazi..
Ni mafisadi tu wanaweza kutuambia kuwa huyu alfuwa hafai kabisa.
Mungu akupe pumziko la Amani
Jaman Kuna wanawake Wana adabu mkono tu na goti kuchuchumia daah l wish all now days girls be like these mamas
Duh magu mungu akulaze maali pema
Mungu bado yupo nasi tutapata tu rais mwengine atakuwa kama wew baba ila kwa sasa atuna kiongoz wa kuendesha kazi zako ila yupo aliyekalia kiti tu na kula kuku na mrija
Siwezi kumlaumu MUNGU ila kila jambo linamakusudi yake lakini tunaumia sana
Lala pema peponi kamanda,
Poleni kumpoteza jembe huyo
Hona ukaguzi wake sehemu nyeti
Mpaka sasa bado ningali na maumivu ninapo tizama kazi zako baba pumzika kwa amani,mwenyezi mungu tukumbuke tena tunakuomba ameeen
Musa shegh dar
Huyu alikuwa rais mfuatiliaji!! Hakika amepita sijui kwamiaka yaribuni kama atapatikana mtu kama huyu muadilifu na mzalendo
Atotokea Kwa kizazi hiki
Mungu hutoa kwa namna inavyompendeza tusubiri Maamuzi ya Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema
Lala salama mjomba magu yote maisha tu tumeshindwa kukutumia mungu ameamua kukubeba lala salama
Huyu rais ana akili sana,yaani arrival and departure passengers wanaweza tumia scanning machine moja
Endelea kupumzika kwa amani mwamba na shujaa wa Afrika
Allah akuhifadhi mzeh wetu
Rais Wa Dunia JPM pumzika kwa Amani
Daaa uyu jaaaaa niatareee sana pumzika kwa amani jembe
Hivi ndivyo mambo ya nchi yetu yalivyo.
Inasikitisha mno.
Hakuna anayesema ukweli, taaluma haitumiki na haku dhana ya uwajibikaji kabisa
Kwa Nini tusiendelee kukumbuka Kazi ya Magu yatupasa, Ukiwa mwizi hata majibu yako nayo yatakuwa Ni ya wizi tu, Majibu yamekuwa sifuri kabisa pumbavu zao!
Huge Loss of a true Hero..😔🤨😪
Mrrtþtttþ¾eedèŕrŕŕrŕe
Huyu mwamba alikuwa chuma
chuma hasaa
bba ahsante kwa kazi
Great Loss, Mungu utulinde.
Kweli baba, nchi yetu na wananchi wetu tunaibiwa, hivi kwann watanzania dhambi yetu ni kubwa? Hali ni mbaya Tanzania yetu. Pumzika kwa amani. Mungu akuondolee adhabu ya mauti.
Akitokea rais mwenye kujua vitu kama magu mniite mbwa niko lape👉 nimekaa
Haha, yani wewe
My President forever R.I.P Baba
R I P DADY.. you’ll always be in our hearts..
genious
Jembe 😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Nakukumbuka sana magu 😢
Tutakukumbuka babaetu,Pumzika kwa AMANI baba.
Pumzika kwa Amani Baba. Umetimiza wajibu wako. RIP. 😭
Nimerudia mara mbili mbili, kila nikimuangalia mama dah n aibu
Hilo lizee la nyuma mbona kama museveni wa uganda
Ahahaha mwenyewe nikajua museven
Sema ukweli 😂😂😂😂👍👍👍
Mungu acha aitwe Mungu
R.i.p jpm🙏🙏
Kama drama vile.. Sema ukweli
Ulinidanganya sindio
Magufuli rip 😭😭 ulikuwa rais Wa nguvu
Ifikie hatua sehemu nyeti zijulikanike pia na wakuu wa mikoa kumsaidia rais, kama isingekuwa kusafiri na ndege maana yake hiyo ingekuwa njia ya panya...Tanzania tuamke hadi viongozi wa chini sio mpaka mawaziri au wakuu wa mikoa...na ni vyema kuthibitisha kwa uhakiki...mpaka rais afanye haya...lol...inaweza kuchukua muda mrefu kukua kiuchumi kwa mwenendo wa kumtegemea rais, viva rais na uwe na afya njema siku zote za uongozi wako...
Mungu amrehemu jpm, ndio maana walimmaliza kwa kutenda ukweli jamani
daah, RIP JPM
That's management indeed.everyone must be accountable for his docket
Baba umejitaidi Sana ila mungu kakupenda said
Tumepoteza chapakazi na mfuatiliaji mzuri
Good job
Tutakukumbuka milele😭😭😭😭
Kwani hyo mwanamke ni WA Nini? Kuna watanzania smart kuliko huyo Muongo
😭😭😭R.I.P
Ndomana madawa yalikua mengi sana nchi
Huyu mama Muongo da watanzania kwel tubadilikeni
Huyu mwamba dah
r i p magu mis you
Kazi safi sana makofuli
We miss u baba
One in a million..Rest easy Buldoza
Kasim atafanya kazi badae
Mwamba uyo
Tutakukumbuka baba
Mising you so much my przdt😭
Duh.... yaani ni watendaji wa serikali ni Mtihani sana, sehemu kama hii ulinzi wa kitoto namna hiyo..!..duh
Kuna mambo unapo angalia naona kama na angalia tamthilia hapa
Tumekumiss sana dah😭😭😭😭
Magufuli 🙏
ni yeyeeeeeeeeeee
Kweli mjomba huyu alikuwa na maswali kama tacknic
You went too soon ,Much love from Rwanda
Duuh huyu mwamba huyu!RIP.Tunapoongoza watu lazima kuwashirikisha staff wote kuanzia ngazi ya chini.Sasa hivi Domestic pia wanakagua Daresalaam wakati wa kufika
Kwa kweli Kuna watu mungu aliwapa hakili ya kuhongoza lchi na kufatilia kweli kweli, pumzika kwa Amani aliekuwa Rais mkamilifu mwenye busara ndefu,
Kila siku nikiona video ya ayati mangufuli huwa na humiaka kwenye rohoo Sana ,
Chuma hicho tutakukumbuka baba yetu
4:16 mhudumu wa uwanja 'Ni arrivals'...4:19 Rais maghufuli 'Arrival!kwa hivyo unataka kusema staffs wote huwa ni arrival'?😆😂😅,..Rais maghufuli ulikuwa kiongozi wa pekee sana,endelea kupumzika kwa amani 😢🙏🙏
Mpaka arepot pot kweli inchi hii ndomana masikini hatufanikiwa wiz mtupu
😭😭😭 Daaaaah!!rest in peace.
Ulikuwa n uozo Ila!!!
😢😢 r.i.p Jpm
BABA HAKUNA KAMA WW 😭
RIP Baba daah
Huyu mwamba basi tu
😭😭😭
Elimu siyo uelewa haya majitu sijui vyeti vya kugushi
Dah
Inawezekana timiza wajibu wako nawengine tufuate!!!!!
Baba 🇹🇿🙏
Kweli muongo nimwizi mzur make majibu yanapishana tu dah ila jpm me nmekumiss make Mambo meng sana
Rip
baba alikua na informants wa ki sure sana..yani anauliza swali lakini ana full data..r.i.p
Dunia mzima tulipoteza Kiongonzi❤❤
Rest pema mkuu
R.I.P daddy;hii nchi watu wetu uaminifu hakuna;kwa mfano kwa bahati mbaya nikawa raisi wa hii nchi mtatafuta pa kwenda wajinga wajinga wote.
😅😅😅 eti utafagia wote 😅
Kwahiyo awo asubuhi wanaamka wanaoga wanajiandaa wanaenda kazini kumbe mashine zenyewe hazifanyi kazi
Alikuwa baba wakuyipenda inchi yake
Pumzika Baba..Ulifanya KazKutoka mtimani
RIP baba
Tunakukumbuka sana
Daah!!
Huyu wiki mbili huyu mwez huyu miez m3 ila hiiiii bongo nyoso
Wabongo waongo sana
Machozi yamenitoka baada ya kumsikiliza Mwamba wetu aliyetangulia mbele za haki
Mambo yalikua za mani ndo maana hawa hawakuweza kuripoti
Tu me kumic baba ❤❤❤❤❤❤