MAMISS WA NGURUMO YA UPAKO HAWA HAPA/Tuma sadaka yako kwa mamiss @Mashindano ya umiss yanaendelea f
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ค. 2023
- MLIOSEMA HUYU NI NABII WA MUNGU. NJOENI MTUPE MAELEZO.. HAYA MADHINDANO NI YESU ALIWAAGIZA,AU shetan
MATHAYO- 24:24-25
24 Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule
25 Tazama, nimekwisha kuwaonya mbele. - ภาพยนตร์และแอนิเมชัน
Mungu tusameh sisi wanadamu
Hata sadaka situmi,kwa hali Kama hii,hata sumuni situmi,huwezi muabisha yesu hivi,umezidisha
Usitume coz ukituma tu umejiunganisha na madhabahu hiyo ya shetani
Yesu anarudi muda ni mfupi ni siku zilizonenwa tubuni tubu
Sijawahi kuona upuuzi kama huu kwenye maisha yangu yote ukifanyika kanisan,na hao waumin wake itakuwa ameshawapa madawa wasijielewe
MATHAYO- 24:5
5 Kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, Mimi ni Kristo; nao watadanganya wengi.
Salami ziwafikie waimbaji nyimbo za injiliwachungaji mitume na manabii wore walikaribishwa kanisani happy na kumwaga misifa kedekede kuwa huyu no mtumishi was mungu
Akafundisha, akasema je, haikuandikwa nyumba yangu itakua nyumba ya sala kwa mataifa yote bali ninyi mmeifanya pango la wanyang'anyi. Pango hilo na hizo ndizo sala zao,yezeber ndani yao. Moto wa BWANA na uzichome hizo roho za giza mahali hapo katika jina la Yesu Kristo.
Kanisa hilo hatawali yesu mwangalie alivyokaa nabii tafsiri yake nguvu tofauti NA ya Mungu ndio inayotumika hapo
Hakuna nyumba ya Mungu hapo
MATHAYO- 24:5
5 Kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, Mimi ni Kristo; nao watadanganya wengi.
Choma kabisaa ameen maana wanaleta mizaha mahala paibada
Mungu akukeme
Huyo ndo arionana na yesu duu tumeisha mungu tuhurumie
Ok Mungu aingiliebkati huko mbele tuendako tutakiona Cha Moto,Mungu atusaidi
Safiiii kabisasa endelea kupigs kaziiiiii baba Mang ombe niwengi hapa mjuni
Habali ziwafikie wachungaji walimu mitume na manabii waliofike kanisani happy na kumwaga sofa kede kede kuwa huyu no mtumishi wa mungu
Siku za mwisho tutaona mengi sana Eee mungu tusaidie
Mungu alishasema muonapo mambo kama haya changamkeni.TUCHANGAMKE WAKRISTO KUMTAFUTA MUNGU MAANA NJIA NI NYEMBAMBA SANA.
MUNGU tusamehe sisi wakosefu🙇🏼♀️😭
Wakiristo kila mtu ako mungu wake na kanisa lake na imani soko mjinga kila kitu iko wendawazi wp hii ni atari kua mwangalifu sana km ww ni mkiristo usiamini hii makanisa mengine niaya shetani
Wakujitakasa wajitakase sana,
Na wa kiasi wazidi kiasi
Mwenye kanisa lake anarudi muda mfupi
Mungu atusaidie kwakeli.
Diya haki mbele ya Mwenyez mungu ni muslim pekee wakrisho amkeni ibilishi amewafunga muslim huwezi kuta mambo haya daima
Hiyo ni madhabao ya kuzimu
Eeh mwenye macho haambiwi tazama! Live kuzimu!!!
Mungu tunajua unaweza tamka kitu watu wako wanaangamia kwa kukosa maarifa
Heeeee 👀 😅😅😅😅 nacheka lakini naogopa ko mzee baba kakaapale anaenjoy watt wakionesha izo miondoko zako mwee jmn. ! Kweli kanisa ni jengo ...wameamua kuchukua ya kaisali wayalete wapi ...😭
💔💔💔💔💔BWANA YESU NIOKOE NA WATOTO WANGU,kama kanisa limegeuka hivi nitajificha wapi sasa...nirehemu mimi bwana🙏🤲
MATHAYO- 24:5
5 Kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, Mimi ni Kristo; nao watadanganya wengi.
Yesu ebhu ona ichi kitu..mmh. rudi Tuuh tuwe nawewe kuliko na dunia
Ushetani sana, lakini siku inakuja haya yote yatawekwa wazi, Hayupo na hatokuwepo Mungu wa hivi, huu ni ushetani
Siyo madhabahu hiyo ni ushetani Mungu saidia
Hawa manabii ukifatilia Huwa Wana Roho ya uzinzi
Mungu baba Muumba mbingu na nchi turehemu.
Da Mungu wangu
😢
Dah! Hatari sana,,,,na yeye amekunja nne anaangalia na kufurahia! Dah, iko shida Kwa kanisa la mtu huyu
Jicho lituona wa nabii wa uongo wametokea makanisani
Eeh Mungu wangu
Wana tangaza mali za jezebeli, fasion kutoka kuzimuni na viwanda vya baharini.
Mungu tuhurumie ss wana wako hii ni hatari tena kanisan
Watu waMungu Tu Endelea kujitakasa Yesu anakuja hivi punde na kila
Umalaya ya hali ya JUU. JESUS IS COMING WITHOUT DELAY UJINGA HIII
Majini Yanasambazwa mapepo duuu
Hii ni kanisa kweli?God have mercy.
Huyuu sio nabii shetani
Yan mzee kakunja 4 kabisa jaman
njia iendayo upotevuni ni Pana na wengi ndo waionayo,,,njia iendayo uzimani ni nyembamba sana nao waionayo ni wachache sana
😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Alhadulillah Mimi ni mwisilam wallah hii ni kanisa ama ni vituko Wacha ni cheke 😅😅😅
Huyu ndo lucifer mwenyewe mungu atusaidie saana
Haya mambo tunayapenda Sana
Mhhhhj a hilo ndilo neno la leo tukutane jumapili ijayo
Haaaaaa hivi ni kwamba waumini wote wamefungwa fahamu zao masikiiini 😢
😅😅 maisha ni Furaha
Heshimu madhabahu
Nyie jaman Siamin macho yangu
Wana kata naviuno kwery d
Kweli maandiko yameenza kutimia alie na macho haone alio na maskio asikie yesu yukalibu kuludi
Manyumbu ni wengi.
Ukiitwa nyumbu pigana maana nyumbu haonagi mbali anaona mita 5. Ndio maana hata mwenzie akiliwa na simba yeye anaendelea kula nyasi pembeni. Haoni manyumbu ni wengi
😂😂😂
Wewe Mzee nenda kuzimu Kachomwe moto Unautukana Ukristo na Unaaibisha kanisa lililo kombolewa Kwa Nguvu ya Msalaba ............Acha Mara Moja tabia za kipepo church.
E
Huu ujinga huwezi kuuona kwa Waislamu hata siku moja.
Iyo imekua nyumba ya ibada au ya starehe,apo hapana tofauti na bar au sehemu yoyote ya starehe Tena zile mbaya
Apoteae na azidi kupotea
😂😂😂😂
Hili kanisa la mchongo aisee hapa ndio kwao na shetan kbsa
Sii kila mtu anaweza kuelewa haua mafunuo ila mm ninaoona alipenda kuwainua mabinti wathaminike
Hakuna ushirika kati ya nuru na giza haya ni mambo ya giza kama kutaka wanawake wathaminiwe siyo kwa njia hiyo ya kuchekelea ushetani
Ndo kwauchi mapaja yote inje kutu aibisha tu
Kanisa la madimoni😂😂
Mmh dunia ina mambo kweli
yesu yupo mrandoni jaman tuanze kutubu
duh! nabii mkuu?au shetani mkuu?! kanisani mapaja nje nje na migongo! Papa nae kabariki ushoga!! samahani kanisani hamtoniona
Huu ndio wakati wa mwisho MAKANISA ya mashetani ndio haya Sasa amepoteza watoto wa mungu wengi sana bila kuchoka hukumu ya mungu pia haitachoka nae
Alafu utamkuta Benson Isaya anahamasisha watu kwenda eti huyu ni mtumishi wa Mungu, ukweli uko dhahili wala mtu hasubiri kuonyeshwa.
Si kile unaemsikiliza mtandaoni ametumwa na Mungu kuhubili au anaagizwa na Mungu, wengine wanafanya,wanaongea misandaoni kwa wayaonayo kwa macho yao. Kuwa ni mazuri
Hiii ni kanisa ?
😢😢hapa sasa ndio kifo cha nisher kilipotoka mungu hapendi kuthihakiwa wala kumtharau ,sasa ndio maana ya pigo la kifo cha mwanae, nyumba yangu itaitwa ni nyumba ya sala ,hii hapa utaitsje?
Hiyo mipasuo sasa eeeenh Mungu tusamehe watu wako
sipisiti mkowepi mbonaamse miwaa chieni wainjiriti wafany. kaziyao msaidieni m,barikiwa s
Mmmmh hii ni mbaya tume pigwa hilo kanisa
Lord!!
Mwanae ndio huyo
Kamtoa sadaka,alafu mtasema huyu mzee hayupo fremason,
Wacheni banah!
Eh Mungu tulinde,
Jameni ii imenifumbua macho ,sijawai ona haya tangu nizaliwe,nyumba ya Baba yangu sio ya walevi wala wanyanganyi,sasa haya NI yapi?
Hapo ni disco na sio kanisa
Hii n kanisa ama n bar mbona mnamchezea mungu hivi😢😢😢😢
Huu niushenzi😢😢😢😢😢 mtupu
Baba Nabii sikutegemea kitu Kama hichi kanisani,unamuabisha yes hadharani
Bora mfalme zumaridi kuliko huyu nabii
Hii ni balaa kwa kweli 🥺🥺🥺🥺🥺
Mademu wa mtu hao ,,ila ushetani mtupu
Huyu mtu kiburi ya pesa imemfikisha kule alikofika mfalme Manase aseeee dah ila haupo mbali na adhabu ya Mungu wacha kikombe ifurike tu tupo hapa
Mhhhhhh
Hati hallelujah?
Mmmmh hapa hakuna kitu ibirisi ameyaficha machoni kwenu msiweze kuona ingawa mna macho na wala msisikie ingawa mna masikio
Kweli j jmn
Dunia imekwisha
Hahaha wacha wee nabii mkuu huyo
🤔
😢😢😢😢
Huyu muhuni mkuu motoooooo unakusubiri maana rehema kwako azipo kweli
Hapo hakuna nabii mkuu hapo kuna najisi mkuu
Watumishi wa kuzimu hawa hovyo kabisa
😢😢😢😢😢😢😢Mungu analia
😭😭😭🙆
😭😭😭😭😭Mungu angalia h
Laana
Wakristu wenzangu tusipo kuwa makini na watu km hawa ukristu kwisha kabisa hii nn ktk nyumba ya bwana
Apa mmepigwa za uso
Eeh kazi,ipo,jmn wakristo mwenye akili na afahamu nyakati za mwisho.hiyo ni madhabahu ya kuzimu
Iri nikanisa ama Nini jamn
Yani jamani watazaniya tunaelekeya wapi hii kanisa ni lakishetani kabisa uyu nabii Joo Devi nishetani kabisa
Tena hafaii ht kusalisha watu kanisa gani ikahusiana na miss
Mamae😂😂😂😂😂
Wako wap wale ambao walikua hawataki kuona akikosolewa na kusema watu wanamuonea wivu njooni mtuambie hili andiko lipo kitabu gani?????