MAMISS WA NGURUMO YA UPAKO HAWA HAPA/Tuma sadaka yako kwa mamiss @Mashindano ya umiss yanaendelea f

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ค. 2023
  • MLIOSEMA HUYU NI NABII WA MUNGU. NJOENI MTUPE MAELEZO.. HAYA MADHINDANO NI YESU ALIWAAGIZA,AU shetan
    MATHAYO- 24:24-25
    24 Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule
    25 Tazama, nimekwisha kuwaonya mbele.
  • ภาพยนตร์และแอนิเมชัน

ความคิดเห็น • 169

  • @user-rj3fj8uh7x
    @user-rj3fj8uh7x 7 หลายเดือนก่อน +7

    Mungu tusameh sisi wanadamu

  • @annanaiman9321
    @annanaiman9321 11 หลายเดือนก่อน +3

    Hata sadaka situmi,kwa hali Kama hii,hata sumuni situmi,huwezi muabisha yesu hivi,umezidisha

    • @ELLYJ24
      @ELLYJ24 11 หลายเดือนก่อน

      Usitume coz ukituma tu umejiunganisha na madhabahu hiyo ya shetani

  • @RebekaShumbi
    @RebekaShumbi 11 หลายเดือนก่อน +8

    Yesu anarudi muda ni mfupi ni siku zilizonenwa tubuni tubu

  • @frankvianey2438
    @frankvianey2438 10 หลายเดือนก่อน +4

    Sijawahi kuona upuuzi kama huu kwenye maisha yangu yote ukifanyika kanisan,na hao waumin wake itakuwa ameshawapa madawa wasijielewe

    • @unyakuotv.1391
      @unyakuotv.1391  6 หลายเดือนก่อน

      MATHAYO- 24:5
      5 Kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, Mimi ni Kristo; nao watadanganya wengi.

  • @MeryPapi
    @MeryPapi 3 หลายเดือนก่อน

    Salami ziwafikie waimbaji nyimbo za injiliwachungaji mitume na manabii wore walikaribishwa kanisani happy na kumwaga misifa kedekede kuwa huyu no mtumishi was mungu

  • @NicholausJulius-km9yh
    @NicholausJulius-km9yh ปีที่แล้ว +5

    Akafundisha, akasema je, haikuandikwa nyumba yangu itakua nyumba ya sala kwa mataifa yote bali ninyi mmeifanya pango la wanyang'anyi. Pango hilo na hizo ndizo sala zao,yezeber ndani yao. Moto wa BWANA na uzichome hizo roho za giza mahali hapo katika jina la Yesu Kristo.

    • @user-gv3si2mv3l
      @user-gv3si2mv3l 11 หลายเดือนก่อน

      Kanisa hilo hatawali yesu mwangalie alivyokaa nabii tafsiri yake nguvu tofauti NA ya Mungu ndio inayotumika hapo

    • @dodotsere8795
      @dodotsere8795 11 หลายเดือนก่อน

      Hakuna nyumba ya Mungu hapo

    • @unyakuotv.1391
      @unyakuotv.1391  6 หลายเดือนก่อน

      MATHAYO- 24:5
      5 Kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, Mimi ni Kristo; nao watadanganya wengi.

    • @mbembetyson05
      @mbembetyson05 5 หลายเดือนก่อน

      Choma kabisaa ameen maana wanaleta mizaha mahala paibada

  • @Jacksonswai685
    @Jacksonswai685 หลายเดือนก่อน

    Mungu akukeme

  • @JumaFupi-lh6cr
    @JumaFupi-lh6cr 2 หลายเดือนก่อน

    Huyo ndo arionana na yesu duu tumeisha mungu tuhurumie

  • @alvinbuchumi8689
    @alvinbuchumi8689 ปีที่แล้ว +1

    Ok Mungu aingiliebkati huko mbele tuendako tutakiona Cha Moto,Mungu atusaidi

  • @user-ks8lv9hs5u
    @user-ks8lv9hs5u 6 หลายเดือนก่อน +1

    Safiiii kabisasa endelea kupigs kaziiiiii baba Mang ombe niwengi hapa mjuni

  • @MeryPapi
    @MeryPapi 3 หลายเดือนก่อน

    Habali ziwafikie wachungaji walimu mitume na manabii waliofike kanisani happy na kumwaga sofa kede kede kuwa huyu no mtumishi wa mungu

  • @martinehussein7261
    @martinehussein7261 6 หลายเดือนก่อน +1

    Siku za mwisho tutaona mengi sana Eee mungu tusaidie

  • @user-wj8ym6ew1h
    @user-wj8ym6ew1h 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu alishasema muonapo mambo kama haya changamkeni.TUCHANGAMKE WAKRISTO KUMTAFUTA MUNGU MAANA NJIA NI NYEMBAMBA SANA.

  • @nanceaidan6622
    @nanceaidan6622 ปีที่แล้ว +3

    MUNGU tusamehe sisi wakosefu🙇🏼‍♀️😭

  • @festokivuyo7121
    @festokivuyo7121 2 หลายเดือนก่อน

    Wakiristo kila mtu ako mungu wake na kanisa lake na imani soko mjinga kila kitu iko wendawazi wp hii ni atari kua mwangalifu sana km ww ni mkiristo usiamini hii makanisa mengine niaya shetani

  • @upendomtui6544
    @upendomtui6544 2 หลายเดือนก่อน

    Wakujitakasa wajitakase sana,
    Na wa kiasi wazidi kiasi
    Mwenye kanisa lake anarudi muda mfupi

  • @user-qx4dz5kx3g
    @user-qx4dz5kx3g 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu atusaidie kwakeli.

  • @user-yx2go6tn5u
    @user-yx2go6tn5u 6 หลายเดือนก่อน

    Diya haki mbele ya Mwenyez mungu ni muslim pekee wakrisho amkeni ibilishi amewafunga muslim huwezi kuta mambo haya daima

  • @Reginajohnson19884
    @Reginajohnson19884 ปีที่แล้ว +2

    Hiyo ni madhabao ya kuzimu

    • @dodotsere8795
      @dodotsere8795 11 หลายเดือนก่อน +1

      Eeh mwenye macho haambiwi tazama! Live kuzimu!!!

  • @sweetberthawilliam6587
    @sweetberthawilliam6587 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu tunajua unaweza tamka kitu watu wako wanaangamia kwa kukosa maarifa

  • @Keyjop
    @Keyjop 27 วันที่ผ่านมา

    Heeeee 👀 😅😅😅😅 nacheka lakini naogopa ko mzee baba kakaapale anaenjoy watt wakionesha izo miondoko zako mwee jmn. ! Kweli kanisa ni jengo ...wameamua kuchukua ya kaisali wayalete wapi ...😭

  • @stellamsokwa6785
    @stellamsokwa6785 6 หลายเดือนก่อน

    💔💔💔💔💔BWANA YESU NIOKOE NA WATOTO WANGU,kama kanisa limegeuka hivi nitajificha wapi sasa...nirehemu mimi bwana🙏🤲

    • @unyakuotv.1391
      @unyakuotv.1391  6 หลายเดือนก่อน

      MATHAYO- 24:5
      5 Kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, Mimi ni Kristo; nao watadanganya wengi.

  • @noelmtumishi7895
    @noelmtumishi7895 11 หลายเดือนก่อน

    Yesu ebhu ona ichi kitu..mmh. rudi Tuuh tuwe nawewe kuliko na dunia

  • @joelking3692
    @joelking3692 8 หลายเดือนก่อน +1

    Ushetani sana, lakini siku inakuja haya yote yatawekwa wazi, Hayupo na hatokuwepo Mungu wa hivi, huu ni ushetani

  • @user-bd3yv2ge6j
    @user-bd3yv2ge6j 3 หลายเดือนก่อน

    Siyo madhabahu hiyo ni ushetani Mungu saidia

  • @enockniko9270
    @enockniko9270 6 หลายเดือนก่อน

    Hawa manabii ukifatilia Huwa Wana Roho ya uzinzi

  • @renathailomo1343
    @renathailomo1343 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu baba Muumba mbingu na nchi turehemu.

  • @kelvinchadulaga310
    @kelvinchadulaga310 ปีที่แล้ว +1

    Da Mungu wangu

  • @user-hv6ui1ef9t
    @user-hv6ui1ef9t 5 หลายเดือนก่อน

    😢

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 11 หลายเดือนก่อน +1

    Dah! Hatari sana,,,,na yeye amekunja nne anaangalia na kufurahia! Dah, iko shida Kwa kanisa la mtu huyu

  • @Jehovarohiband
    @Jehovarohiband 6 หลายเดือนก่อน

    Jicho lituona wa nabii wa uongo wametokea makanisani

  • @user-do2wb3rb7h
    @user-do2wb3rb7h 6 หลายเดือนก่อน +1

    Eeh Mungu wangu

  • @dickson1820
    @dickson1820 7 หลายเดือนก่อน +1

    Wana tangaza mali za jezebeli, fasion kutoka kuzimuni na viwanda vya baharini.

  • @user-pu3dc8ez7p
    @user-pu3dc8ez7p 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu tuhurumie ss wana wako hii ni hatari tena kanisan

  • @Jehovarohiband
    @Jehovarohiband 6 หลายเดือนก่อน

    Watu waMungu Tu Endelea kujitakasa Yesu anakuja hivi punde na kila

  • @VerahOnkeope2cg
    @VerahOnkeope2cg 6 หลายเดือนก่อน

    Umalaya ya hali ya JUU. JESUS IS COMING WITHOUT DELAY UJINGA HIII

  • @scimarctv10
    @scimarctv10 ปีที่แล้ว +1

    Majini Yanasambazwa mapepo duuu

  • @daudiwonte7906
    @daudiwonte7906 6 หลายเดือนก่อน

    Hii ni kanisa kweli?God have mercy.

  • @rosehusein
    @rosehusein 6 หลายเดือนก่อน

    Huyuu sio nabii shetani

  • @fridaminja7191
    @fridaminja7191 6 หลายเดือนก่อน

    Yan mzee kakunja 4 kabisa jaman

  • @user-mg7bh8yx2y
    @user-mg7bh8yx2y 10 หลายเดือนก่อน

    njia iendayo upotevuni ni Pana na wengi ndo waionayo,,,njia iendayo uzimani ni nyembamba sana nao waionayo ni wachache sana

  • @user-me8dj3xd9i
    @user-me8dj3xd9i 2 หลายเดือนก่อน

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @user-hu3sc4kg1f
    @user-hu3sc4kg1f 6 หลายเดือนก่อน

    Alhadulillah Mimi ni mwisilam wallah hii ni kanisa ama ni vituko Wacha ni cheke 😅😅😅

  • @hellen9467
    @hellen9467 11 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu ndo lucifer mwenyewe mungu atusaidie saana

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 11 หลายเดือนก่อน

    Haya mambo tunayapenda Sana

  • @OprahUrassa-ps3tb
    @OprahUrassa-ps3tb 6 หลายเดือนก่อน

    Mhhhhj a hilo ndilo neno la leo tukutane jumapili ijayo

  • @lovegodwine7868
    @lovegodwine7868 5 หลายเดือนก่อน

    Haaaaaa hivi ni kwamba waumini wote wamefungwa fahamu zao masikiiini 😢

  • @Excel-Elevation-School
    @Excel-Elevation-School 6 หลายเดือนก่อน

    😅😅 maisha ni Furaha

  • @terryjohnartist7555
    @terryjohnartist7555 6 หลายเดือนก่อน

    Heshimu madhabahu

  • @elizabethjeremiah8323
    @elizabethjeremiah8323 ปีที่แล้ว

    Nyie jaman Siamin macho yangu

  • @user-dy9ht1on7y
    @user-dy9ht1on7y 5 หลายเดือนก่อน

    Wana kata naviuno kwery d

  • @user-oq7rl5ne3l
    @user-oq7rl5ne3l 6 หลายเดือนก่อน

    Kweli maandiko yameenza kutimia alie na macho haone alio na maskio asikie yesu yukalibu kuludi

  • @Nchiyangu23
    @Nchiyangu23 ปีที่แล้ว +2

    Manyumbu ni wengi.
    Ukiitwa nyumbu pigana maana nyumbu haonagi mbali anaona mita 5. Ndio maana hata mwenzie akiliwa na simba yeye anaendelea kula nyasi pembeni. Haoni manyumbu ni wengi

  • @hassanyohna6121
    @hassanyohna6121 6 หลายเดือนก่อน

    Wewe Mzee nenda kuzimu Kachomwe moto Unautukana Ukristo na Unaaibisha kanisa lililo kombolewa Kwa Nguvu ya Msalaba ............Acha Mara Moja tabia za kipepo church.

  • @J4UPro
    @J4UPro 6 หลายเดือนก่อน

    Huu ujinga huwezi kuuona kwa Waislamu hata siku moja.

  • @asmahankh8538
    @asmahankh8538 ปีที่แล้ว

    Iyo imekua nyumba ya ibada au ya starehe,apo hapana tofauti na bar au sehemu yoyote ya starehe Tena zile mbaya

  • @EnickoAlfredy-di7oe
    @EnickoAlfredy-di7oe ปีที่แล้ว +2

    Apoteae na azidi kupotea

    • @GMD820
      @GMD820 11 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

  • @hassanmugire1497
    @hassanmugire1497 ปีที่แล้ว +7

    Hili kanisa la mchongo aisee hapa ndio kwao na shetan kbsa

  • @neemaabraham2632
    @neemaabraham2632 11 หลายเดือนก่อน +1

    Sii kila mtu anaweza kuelewa haua mafunuo ila mm ninaoona alipenda kuwainua mabinti wathaminike

    • @ELLYJ24
      @ELLYJ24 11 หลายเดือนก่อน

      Hakuna ushirika kati ya nuru na giza haya ni mambo ya giza kama kutaka wanawake wathaminiwe siyo kwa njia hiyo ya kuchekelea ushetani

    • @user-dy9ht1on7y
      @user-dy9ht1on7y 4 หลายเดือนก่อน

      Ndo kwauchi mapaja yote inje kutu aibisha tu

  • @user-ee3sl8lt7k
    @user-ee3sl8lt7k 6 หลายเดือนก่อน

    Kanisa la madimoni😂😂

  • @geraldjames8752
    @geraldjames8752 6 หลายเดือนก่อน

    Mmh dunia ina mambo kweli

  • @edithmalima9153
    @edithmalima9153 11 หลายเดือนก่อน

    yesu yupo mrandoni jaman tuanze kutubu

  • @majutojackson5718
    @majutojackson5718 6 หลายเดือนก่อน

    duh! nabii mkuu?au shetani mkuu?! kanisani mapaja nje nje na migongo! Papa nae kabariki ushoga!! samahani kanisani hamtoniona

  • @douglasochieno3358
    @douglasochieno3358 6 หลายเดือนก่อน

    Huu ndio wakati wa mwisho MAKANISA ya mashetani ndio haya Sasa amepoteza watoto wa mungu wengi sana bila kuchoka hukumu ya mungu pia haitachoka nae

  • @odilomwemeziernest646
    @odilomwemeziernest646 4 หลายเดือนก่อน

    Alafu utamkuta Benson Isaya anahamasisha watu kwenda eti huyu ni mtumishi wa Mungu, ukweli uko dhahili wala mtu hasubiri kuonyeshwa.

    • @unyakuotv.1391
      @unyakuotv.1391  4 หลายเดือนก่อน

      Si kile unaemsikiliza mtandaoni ametumwa na Mungu kuhubili au anaagizwa na Mungu, wengine wanafanya,wanaongea misandaoni kwa wayaonayo kwa macho yao. Kuwa ni mazuri

  • @user-bx6rp9ok2l
    @user-bx6rp9ok2l 6 หลายเดือนก่อน

    Hiii ni kanisa ?

  • @user-cg3vf2bl6b
    @user-cg3vf2bl6b 6 หลายเดือนก่อน +1

    😢😢hapa sasa ndio kifo cha nisher kilipotoka mungu hapendi kuthihakiwa wala kumtharau ,sasa ndio maana ya pigo la kifo cha mwanae, nyumba yangu itaitwa ni nyumba ya sala ,hii hapa utaitsje?

  • @happinesskitali164
    @happinesskitali164 ปีที่แล้ว

    Hiyo mipasuo sasa eeeenh Mungu tusamehe watu wako

    • @erasmobenardsangu-1854
      @erasmobenardsangu-1854 6 หลายเดือนก่อน

      sipisiti mkowepi mbonaamse miwaa chieni wainjiriti wafany. kaziyao msaidieni m,barikiwa s

  • @eliayohana4798
    @eliayohana4798 ปีที่แล้ว +1

    Mmmmh hii ni mbaya tume pigwa hilo kanisa

  • @josphinenduta2011
    @josphinenduta2011 6 หลายเดือนก่อน

    Lord!!

  • @aftabpits
    @aftabpits 6 หลายเดือนก่อน

    Mwanae ndio huyo
    Kamtoa sadaka,alafu mtasema huyu mzee hayupo fremason,
    Wacheni banah!
    Eh Mungu tulinde,

    • @user-cg3vf2bl6b
      @user-cg3vf2bl6b 6 หลายเดือนก่อน

      Jameni ii imenifumbua macho ,sijawai ona haya tangu nizaliwe,nyumba ya Baba yangu sio ya walevi wala wanyanganyi,sasa haya NI yapi?

  • @user-es4sj3mp6m
    @user-es4sj3mp6m 6 หลายเดือนก่อน

    Hapo ni disco na sio kanisa

  • @beatricekerubo2963
    @beatricekerubo2963 6 หลายเดือนก่อน

    Hii n kanisa ama n bar mbona mnamchezea mungu hivi😢😢😢😢

  • @user-ul8kt1cq9y
    @user-ul8kt1cq9y 6 หลายเดือนก่อน

    Huu niushenzi😢😢😢😢😢 mtupu

  • @annanaiman9321
    @annanaiman9321 11 หลายเดือนก่อน

    Baba Nabii sikutegemea kitu Kama hichi kanisani,unamuabisha yes hadharani

  • @kilongozitv5343
    @kilongozitv5343 6 หลายเดือนก่อน

    Bora mfalme zumaridi kuliko huyu nabii

  • @aginiweyessayakyando5594
    @aginiweyessayakyando5594 10 หลายเดือนก่อน

    Hii ni balaa kwa kweli 🥺🥺🥺🥺🥺

  • @ghotmedia
    @ghotmedia 6 หลายเดือนก่อน

    Mademu wa mtu hao ,,ila ushetani mtupu

  • @agreykacho1458
    @agreykacho1458 11 หลายเดือนก่อน

    Huyu mtu kiburi ya pesa imemfikisha kule alikofika mfalme Manase aseeee dah ila haupo mbali na adhabu ya Mungu wacha kikombe ifurike tu tupo hapa

  • @happinesskitali164
    @happinesskitali164 ปีที่แล้ว

    Mhhhhhh

  • @riyadmanfuha9229
    @riyadmanfuha9229 9 หลายเดือนก่อน

    Hati hallelujah?

  • @josephsokhia
    @josephsokhia ปีที่แล้ว +1

    Mmmmh hapa hakuna kitu ibirisi ameyaficha machoni kwenu msiweze kuona ingawa mna macho na wala msisikie ingawa mna masikio

    • @GMD820
      @GMD820 11 หลายเดือนก่อน

      Kweli j jmn

  • @pendonnko1150
    @pendonnko1150 6 หลายเดือนก่อน

    Dunia imekwisha

  • @user-do2wb3rb7h
    @user-do2wb3rb7h 6 หลายเดือนก่อน

    Hahaha wacha wee nabii mkuu huyo

  • @user-ef8hg6sz2r
    @user-ef8hg6sz2r 6 หลายเดือนก่อน

    🤔

  • @esuvathmollel2475
    @esuvathmollel2475 6 หลายเดือนก่อน

    😢😢😢😢

  • @espoirmlondani-ue2fm
    @espoirmlondani-ue2fm 11 หลายเดือนก่อน

    Huyu muhuni mkuu motoooooo unakusubiri maana rehema kwako azipo kweli

    • @ELLYJ24
      @ELLYJ24 11 หลายเดือนก่อน

      Hapo hakuna nabii mkuu hapo kuna najisi mkuu

  • @liesharehema5193
    @liesharehema5193 ปีที่แล้ว +1

    Watumishi wa kuzimu hawa hovyo kabisa

  • @beatricekerubo2963
    @beatricekerubo2963 6 หลายเดือนก่อน

    😢😢😢😢😢😢😢Mungu analia

  • @tecralutengano73
    @tecralutengano73 6 หลายเดือนก่อน

    😭😭😭🙆

  • @gradnessmgaya2081
    @gradnessmgaya2081 6 หลายเดือนก่อน

    😭😭😭😭😭Mungu angalia h

  • @user-gn8zs4qx2y
    @user-gn8zs4qx2y 6 หลายเดือนก่อน

    Laana

  • @jonasmalima9143
    @jonasmalima9143 ปีที่แล้ว

    Wakristu wenzangu tusipo kuwa makini na watu km hawa ukristu kwisha kabisa hii nn ktk nyumba ya bwana

  • @edwinedward6404
    @edwinedward6404 ปีที่แล้ว

    Apa mmepigwa za uso

  • @olivernyange2349
    @olivernyange2349 11 หลายเดือนก่อน +2

    Eeh kazi,ipo,jmn wakristo mwenye akili na afahamu nyakati za mwisho.hiyo ni madhabahu ya kuzimu

  • @user-dy9ht1on7y
    @user-dy9ht1on7y 5 หลายเดือนก่อน

    Iri nikanisa ama Nini jamn

  • @user-ue1vy6fe3d
    @user-ue1vy6fe3d 5 หลายเดือนก่อน

    Yani jamani watazaniya tunaelekeya wapi hii kanisa ni lakishetani kabisa uyu nabii Joo Devi nishetani kabisa

  • @rosehusein
    @rosehusein 6 หลายเดือนก่อน

    Tena hafaii ht kusalisha watu kanisa gani ikahusiana na miss

  • @mathayouser-tb4to2eb3i
    @mathayouser-tb4to2eb3i ปีที่แล้ว

    Mamae😂😂😂😂😂

  • @Neymishytz2020
    @Neymishytz2020 6 หลายเดือนก่อน

    Wako wap wale ambao walikua hawataki kuona akikosolewa na kusema watu wanamuonea wivu njooni mtuambie hili andiko lipo kitabu gani?????