NABII GEORDAVIE ALIVYOWASILI, MWILI WA MTOTO WAKE WAINGIA KANISANI,VILIO VYATAWALA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ธ.ค. 2023

ความคิดเห็น • 312

  • @abdallahassan6378
    @abdallahassan6378 6 หลายเดือนก่อน +25

    Wakuhukumu ni Mungu pekee 🙏🙏🏻 na hakuna mkamilifu chin ya jua kuen makin na maneno yenu chungen ndimi zen pia mnaokejel msib😢🙏🏻

    • @ramadhanjuma610
      @ramadhanjuma610 6 หลายเดือนก่อน

      Hakuna anae kejeli msiba ila tatizo Dini yenu imeka ki mchongo mchoko tuna sema ivi mbona amu mfufui mtt wa Nabii mkuu nyie simna dai mna fufua wafu 😂Acheni uwongo

    • @mashiassenga8849
      @mashiassenga8849 6 หลายเดือนก่อน

      The is true 😢😢

    • @abdallahassan6378
      @abdallahassan6378 6 หลายเดือนก่อน +4

      @@ramadhanjuma610 som kwanza Jin langu ndio utajua,afu kingine mwenyez Mungu pekee ndiye wakuhukum hata we hujakamilika unamapungufu yako so usije ukajihesabia haki ata kdg

    • @maishayetufilm
      @maishayetufilm 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@abdallahassan6378brother uko sawa binadamu tunajifanya tunajua kila kitu kumbe ni wadhambi na wazandiki

    • @abdallahassan6378
      @abdallahassan6378 6 หลายเดือนก่อน +1

      @@maishayetufilm KBS tusijihesabie haki ,pia msiba usikiage kwingin lkn kufiwa na baba mama kaka dada MTT ndugu yangu Dah inauma kuliko yaani nashindwa ata nisemej ila mwenyezi Mungu atupe mwisho mwema 😥🙏

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 6 หลายเดือนก่อน +23

    Muwe na akiba ya maneno! Msiba uusikie kwa mwenzako yakikukuta domo utalifunga hilo😢😢

    • @user-bo5qp9gz8m
      @user-bo5qp9gz8m 6 หลายเดือนก่อน +1

      Mungu awasamehe tu maana hayaja wafika tusihukumu tusije tukahukumiwa

  • @neemajames5137
    @neemajames5137 6 หลายเดือนก่อน +17

    Huyo ni Mtumishi wa Mungu hilo ni jaribu usifikiri haumii anaumia saana ila hana jinsi anamjua Mungu wake anaemtumikia. Na anajua lazima ujaribiwe kwa ajili ya Utukufu wa Mungu. Hakuna atakaeishi bila majaribu. Mungu akupe ujasiri Baba kwa haya magumu unayopitia.

    • @salumjumaruhaga2513
      @salumjumaruhaga2513 6 หลายเดือนก่อน

      Hana lolote kamtoa kafara,umaarufu huwa unagarama yake ndiio karpa

  • @ramadhanisalum3898
    @ramadhanisalum3898 6 หลายเดือนก่อน +12

    Hapo ndio utajua kama ulikuwa na ranger v8 utaacha vyote mungu mkubwa RIP broo

  • @salimnzomo1704
    @salimnzomo1704 6 หลายเดือนก่อน +5

    Hakimu ni mungu pekee, mungu awape nguvu

  • @user-oy8gr5tz5r
    @user-oy8gr5tz5r 6 หลายเดือนก่อน +3

    Pole sana mtumishi wa Mungu pamoja na familia yote Kwa msiba Mwenyezi Mungu awape uvumilivu wakati huu mgumu mnaopitia

  • @yovystevemsowoya1418
    @yovystevemsowoya1418 6 หลายเดือนก่อน +14

    Kumuona mpendwa wako ndani ya Jeneza si kaz ndogo😢😢😢😢💔🕯🕊

  • @user-dm8oh9xe3c
    @user-dm8oh9xe3c 6 หลายเดือนก่อน +7

    Poleni Sana wazazi, hiki kitu hakizoeleki kbs inaumiza Mungu amsamehe na ampokee ktk Nuru ya uso wake.🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @AMINASAIDI-mx7rs
    @AMINASAIDI-mx7rs 6 หลายเดือนก่อน +2

    Pole San baba mungu akutie nguvu ndio mipango ya mungu

  • @user-ey9ic9kk8h
    @user-ey9ic9kk8h 6 หลายเดือนก่อน

    pole sana mtumishi wa mungu najua hili ni jaribu ndani ya huduma mungu akupe moyo wa ujasili mtumishi wamungu😊

  • @omegamathew2399
    @omegamathew2399 6 หลายเดือนก่อน +2

    Pole sana familia Hii Mungu mnayemtumikia akawape faraja

  • @linahmissanga4206
    @linahmissanga4206 6 หลายเดือนก่อน +1

    Polen sana wafiwa pole nabii mkuu george davis kasambale.

  • @chalokalunde9429
    @chalokalunde9429 6 หลายเดือนก่อน +3

    Askofu Maboya Mungu kukutumia sauti yako inaposikika inafariji sana!

  • @magrethmathayo2800
    @magrethmathayo2800 6 หลายเดือนก่อน

    poleni sana sote niwa mwenyezi mungu kwake tutarejea

  • @aishaissa2512
    @aishaissa2512 6 หลายเดือนก่อน +16

    Kifo ni mawaidha tosha wanadamu tuamini mungu yupo na anaweza fanya chochote mda wote 😢 mungu akulaze mahali pema 🤲😭😭

  • @josephanthon8037
    @josephanthon8037 6 หลายเดือนก่อน +2

    Poleni sana Mama na baba wa mtoto Mungu awatie nguvu

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu anajaribu lake juu yamwanadamu anaemjaribu.Pole Hilo nipigo kwanabiii

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 6 หลายเดือนก่อน

    Naisi kwaili iwe funzo kwauyu mchungaji apate kujua akuna nabii mkuu duniani tofauti Yesu pekee, ndie nabii mkuu ajuaye mwisho wetu.

  • @user-ds6me1eh7n
    @user-ds6me1eh7n 6 หลายเดือนก่อน +6

    Heeee mungu anashangiliwa kwa shangwe na vigelegele😢 astaghfirullah

    • @paschaziaignas6984
      @paschaziaignas6984 6 หลายเดือนก่อน

      Ulitaka wa kushukuru ww Mungu hua hakosei

    • @godsonkyara4896
      @godsonkyara4896 6 หลายเดือนก่อน

      Nyie acheni mzaha na Mungu, hata kifo nacho kikikuta mpendwa wetu hatuachi kumshukuru Yesu Kristo kwa makofi na vigelegele maana hakuna tumaini jingine zaidi ya upendo wake kwa wanadamu. Biblia inatuambia tumshukuru Bwana kwa kila jambo, pia furahini katika BWANA, sasa nyie mnaotaka tulie kwa kuwa huwa mnalia ni chaguo lenu kulia. Tumejifunza kumsherehekea Mungu kila tuwapo ktk uwepo wake.

  • @carolicarlos8699
    @carolicarlos8699 6 หลายเดือนก่อน +2

    Tuombe Mungu watoto ndio wazike wazazi zao na sio wazazi kuzika mtoto.
    Ni ligha ngumu sana.
    R.I.P NICK DAVIE

  • @aaminaasljbgbvf745
    @aaminaasljbgbvf745 6 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana jodev unalia kiume polesan

  • @MfangaShedrack
    @MfangaShedrack 6 หลายเดือนก่อน

    Poleni nyote Wana familia pamoja na Nabii mkuu na kanisa kwa ujumla

  • @neemajames5137
    @neemajames5137 6 หลายเดือนก่อน +5

    Mungu anawaona mnavyokejeli lakini mjue hii ni dunia leo kwa mwenzio kesho kwako. Lakini mkumbuke kwamba kila jaribu lina mlango wa kutokea Mungu wa mbinguni akutie nguvu baba.

    • @marcynhumbi3534
      @marcynhumbi3534 6 หลายเดือนก่อน +2

      Yaaan hata mim nawashangaa Sana wakifa matajiri wametoa kafara,kwahiyo kifo kaumbiwa mtu mwenye kipato Cha chini.Pumzika Kwa amani Nic pole Kwa familia pia

    • @kengeleloya9598
      @kengeleloya9598 6 หลายเดือนก่อน +1

      Everyone will die even the one who comment rubbish here. Very sorry the one concern

  • @stamelistameli8461
    @stamelistameli8461 6 หลายเดือนก่อน

    Pole sana nabii mkuu

  • @husseingulam8981
    @husseingulam8981 6 หลายเดือนก่อน +2

    Wenzetu mtihani wanauwezo wa kufufua halafu wanaogea na mungu Moja kwa moja wanamuacha kijana anaenda kufukiwa kweli

  • @tabithakasake8492
    @tabithakasake8492 6 หลายเดือนก่อน +2

    Pole Sana wazazi

  • @leahmtawa7038
    @leahmtawa7038 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu hadhihakiwa jamani kipind hiki nikigumu kwao tuwafariji tu pole sana

  • @dimmotvonline2384
    @dimmotvonline2384 6 หลายเดือนก่อน

    Poleni kwa msiba mzito kwa wanafamilia wa nisher.msiba unauma sana tena hauzoeleki hata kidogo wee usikie kwa mwenzio tu

  • @goodmark1336
    @goodmark1336 6 หลายเดือนก่อน +6

    Rest in peace nisher mbele yako nyuma yetu kifo ni faida 🙏🙏

  • @PhilomenaSteven-tq2tx
    @PhilomenaSteven-tq2tx 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu awape nguvu kipindi hiki kigumu apumzike kwa Aman 🙏🙏🙏 bwana ametoa na bwana ametwaha jina lake lihimidiwe 🙏🙏🙏

  • @kanaelikanuya7919
    @kanaelikanuya7919 6 หลายเดือนก่อน

    Mtumishi Mungu akupe uvumilivi ktk kipindi hiki kigumu sana ktk Maisha yako

  • @FransiskaJohn-fq1nf
    @FransiskaJohn-fq1nf 6 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana kwa msiba

  • @user-ob1pk8zi6u
    @user-ob1pk8zi6u 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema pepon ss tutaongea.mengi ila mungu ndie anajua

  • @user-tt1nm9xs4n
    @user-tt1nm9xs4n 6 หลายเดือนก่อน +3

    Wenyewe macho makavu

  • @John-gv5cw
    @John-gv5cw 6 หลายเดือนก่อน

    Pole baba mtumish

  • @user-mk3iu6ho3j
    @user-mk3iu6ho3j 6 หลายเดือนก่อน +3

    Tunasikitika kwa msiba huu,,,ila huyo Mzee anayejiita nabii mkuuu abadilishe jina maana Tunaye nabii wakweli namkuu Yesu Kristo.

    • @user-lt1bi5nr1x
      @user-lt1bi5nr1x 6 หลายเดือนก่อน

      Sasa wewe unatafuta ugomvi na wapendwa

    • @mcback4384
      @mcback4384 6 หลายเดือนก่อน

      Yesu Kristo sio nabii ni Mungu

  • @ausonjustinian4673
    @ausonjustinian4673 6 หลายเดือนก่อน

    Dah inauma inasikitisha kuona wadogo ndo wanaondoka wakubwa wanabaki. Poleni sana familia kwa hili

  • @queenmollel6739
    @queenmollel6739 6 หลายเดือนก่อน +6

    Jamani jamani nakumbuka siku kijana wetu alipoondoka, nikamuuliza mume wangu mbona umesahau muda mfupi akaniambia hajasahau ila hakuna wakumsaidia majukumu na nilazima aendelee kupambana na kumshukuru Mungu amtunzie hawa waliobaki duuu,,,, Najua Joe Davie na yeye anajitia moyo katika Mungu tuuu hawa wanadamu asilimia ndogo ni kijeli ila kubwa wanaojielewa wanajua maumivu ya msiba

    • @SMEDIA298
      @SMEDIA298 6 หลายเดือนก่อน +1

      Hata AYUBU alipitia haya na alikua mkamilifu kila idala

    • @user-ob1pk8zi6u
      @user-ob1pk8zi6u 6 หลายเดือนก่อน

      Ni kweli msiba usikie kwa Hirani yako utatafita nguo nzur uvae ngoja ukufikie utataman atau kupiga minggu.awatie.nguvu.wafiwa wote

    • @PatriciaFelix-gv6ls
      @PatriciaFelix-gv6ls 6 หลายเดือนก่อน

      Ndio Dada angu mungu atusaidie

  • @kyuneshila6750
    @kyuneshila6750 6 หลายเดือนก่อน

    Hayo ni majaribu tu.kwa mtumishi wa Mungu, Hapo Imani yake IPO kwenye kipimo mbele.za Mungu, ninyi wenye kukejeri misiba ya wenzenu kuweni makini

  • @alloycejames5285
    @alloycejames5285 6 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana

  • @marikwilliam9886
    @marikwilliam9886 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kazi ya Mungu haina makosa Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina la Bwana lihimidiwe🙏
    Polee sana wana familia Mwenyez Mungu awatie nguvu katk wakat mgumu mnaopitia

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 6 หลายเดือนก่อน +3

    Pole familia kifo hakizoeleki😢😢

  • @MathayoVictor-xb8zx
    @MathayoVictor-xb8zx 6 หลายเดือนก่อน

    Pole mtu mwenyenia ya mungu naamini unamoyo mkuu wakukubali kusemwa vibaya na vema kunawatu wanatamani uishie apo.

  • @pendo8082
    @pendo8082 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mkaliwenu na Harmorapa😮😮

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 6 หลายเดือนก่อน +2

    Yaani ujanja ujanja kupitia dini wako manabii wengi siku hizi 😮

  • @nichoojr.6747
    @nichoojr.6747 6 หลายเดือนก่อน +1

    Wengi Hapa walitegemea Muujiza Wa Mtu kufufuliwa na Mwanadamu ...

  • @John-gv5cw
    @John-gv5cw 6 หลายเดือนก่อน

    Pole baba

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 6 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana😢

  • @user-zc1xq8xk1i
    @user-zc1xq8xk1i 6 หลายเดือนก่อน

    Mtoto wa nabii ni producer wa mziki wa bongoflever, huku ni kuporomoka KWA maadili ya kiroho ambako adhabu nzito hufuata

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 6 หลายเดือนก่อน

    Innalilahi wa innaillahi rajeun.

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ni rahisi sana kucomment unachojisikia lakini uhalisia utabaki kuwa uhalisia tu.tujitahidi kuheshimu nafasi ya Mungu kutokana na matokeo yaliyokuwa nje ya mwanadamu.

  • @ImeldaSaire-ye2xq
    @ImeldaSaire-ye2xq 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hakuna dini ya kweli ndugu usijidanganye, wala Mungu hajui dini ya mtu maana hakuleta dini, dini ni kama vyama vya siasa tu Yeye anaangalia ibada ya mtu ambayo ni matendo mema, hivyo elewa uisilamu hautakupeleka mbinguni bali matendo yako!!!

    • @user-lt1bi5nr1x
      @user-lt1bi5nr1x 6 หลายเดือนก่อน

      Hujui uisilamu ongelea chama chako km unavokiita Islam dini kamili

    • @mcback4384
      @mcback4384 6 หลายเดือนก่อน

      Hakuna matendo yanayompeleka mtu mbinguni, utaenda mbinguni kama tu ulimkiri Yesu Kristo kama Bwana na Mwokozi wa maisha yako na uliishi maisha ya toba na utakatifu na ulikufa katika Kristo, unaweza ukawa mtenda mazuri sana na jamii inakutambua lakini Yesu Kristo haishi ndani yako

  • @rerisamba
    @rerisamba 6 หลายเดือนก่อน

    Waa poleni jamani

  • @user-lj9im1th6p
    @user-lj9im1th6p 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu awatie nguvu jamani.

  • @lilahdiyan468
    @lilahdiyan468 6 หลายเดือนก่อน

    Rest In Peace My Lovely Bro Nic (Nisher) 🕊️🕊️🕊️🕊️
    we love en mic u forever ❤❤

  • @user-wg1nz5ms2n
    @user-wg1nz5ms2n 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu wacha tupungue wewe uongezeke mwanadamu ni mavumbi na akifa hurudi mavumbini jana la Bwana lihimidiwe ameni RIP nisher

  • @victoriasamaga8429
    @victoriasamaga8429 6 หลายเดือนก่อน

    Wafiwa poleni sana

  • @ImeldaSaire-ye2xq
    @ImeldaSaire-ye2xq 6 หลายเดือนก่อน +1

    Alafu wanaoongea humu maneno ya kejeli wote ni waislam maana naona majina yao!!! Shida sana. Ee! Bwana uwasamehe kwa maana hawajui walitendalo!!

    • @user-lt1bi5nr1x
      @user-lt1bi5nr1x 6 หลายเดือนก่อน

      Sasa wewe umechanganikiwa tafuta msaada. Waisilamu wanafufuaga wafu?

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 6 หลายเดือนก่อน +4

    Baada ya kuanza ibada ya KUMFUFUA wanaenda kumzika huyu nabii vip

    • @user-lt1bi5nr1x
      @user-lt1bi5nr1x 6 หลายเดือนก่อน

      Baba hawafufukagi labda mchongomchongo

    • @ElishaSolomoni-kc4zk
      @ElishaSolomoni-kc4zk 6 หลายเดือนก่อน

      Hyo nd shida yenu tukisema mnakula kiti moto ucku mnasema tunawakosea

    • @HeriTarim-sm5tm
      @HeriTarim-sm5tm 6 หลายเดือนก่อน

      Kumfufua so Kaz yake ni kazi ya allah

    • @mussakimaro5588
      @mussakimaro5588 6 หลายเดือนก่อน

      @@HeriTarim-sm5tm manabii wote Hao walioudhuria wanashindwa KUMFUFUA mbona wanasemaga wanafufua watu

  • @user-eo4hd8xu6d
    @user-eo4hd8xu6d 6 หลายเดือนก่อน

    Dahhh mbn waumin wanalia but MDG wake wakike na kiume Hawalii aiseee AU ndio kanuni wameambiwa wasilie ILI nabii CHEO kisishuke Kwa wananchi.

  • @brother_majesty
    @brother_majesty 6 หลายเดือนก่อน +4

    RIP NIC DAVIE

  • @ziadasalimu1730
    @ziadasalimu1730 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mdogo wake aliyeshika picha jajipodoa jamani misiba ya siku hizi mmmm!

  • @user-to8up6cz8r
    @user-to8up6cz8r 6 หลายเดือนก่อน

    Wewe nabi umufufue huyo😮😢😢

  • @judithkirenga9977
    @judithkirenga9977 6 หลายเดือนก่อน

    Kabla haujaongelea msiba wa mwenzako vibaya,uwe na akika ya kesho yako pia na wapendwa wako,Watanzania tuamke kwenye huu usingizi,hatupendani

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 6 หลายเดือนก่อน

    Inalillahi wainailahi rajuun

  • @SaadaKiyungi-uz6jn
    @SaadaKiyungi-uz6jn 6 หลายเดือนก่อน +1

    Dalili za qiyama hizi. Watakuja manabii wa uongo ndio hawa sasa.

  • @user-zd3pz4yc8r
    @user-zd3pz4yc8r 6 หลายเดือนก่อน

    😢rip

  • @obadiajuma436
    @obadiajuma436 6 หลายเดือนก่อน

    Pole MTU wa MUNGU

  • @abdul-hamidali6534
    @abdul-hamidali6534 6 หลายเดือนก่อน +3

    Siku nzito hii

  • @rosehusein
    @rosehusein 6 หลายเดือนก่อน

    Hana nguvu za mungu eti

  • @jameskenzedex
    @jameskenzedex 6 หลายเดือนก่อน

    Kama unaamini Kuna uingizaji katika mahubiri basi n hapa Sasa ufufuonwa Joe Darvie mbna usifufue kijana sasa

  • @user-kz7fz4vz1g
    @user-kz7fz4vz1g 6 หลายเดือนก่อน

    Rip nisher😢

  • @shukranichomolla-zi5tc
    @shukranichomolla-zi5tc 6 หลายเดือนก่อน

    Hii dunia banaaa

  • @user-tt1nm9xs4n
    @user-tt1nm9xs4n 6 หลายเดือนก่อน +5

    Masikini ndio wanalia

    • @user-bo5qp9gz8m
      @user-bo5qp9gz8m 6 หลายเดือนก่อน

      Watu hawana majonzi ila wanaangalia waombolezaji

  • @CostaValenci
    @CostaValenci 6 หลายเดือนก่อน

    😭😭😭😭😭😭

  • @user-kt6ct4nh8i
    @user-kt6ct4nh8i 6 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana 😭 😭😭

  • @user-qv7yq5dw3b
    @user-qv7yq5dw3b 6 หลายเดือนก่อน

    Rest in peace kijana wa yesu😭😭

  • @user-lz3vk5yb4d
    @user-lz3vk5yb4d 6 หลายเดือนก่อน

    Baba katoa chake mwenyew nabii wa mungu tena mkuu haya mfufue mwanao sasa mbona anazikwa kwa jeneza kulikoni jamaniii 😂😂😂

  • @user-pe1qv1sn5p
    @user-pe1qv1sn5p 6 หลายเดือนก่อน

    kulnafsi zallikatulmauti Allah akuhidi

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 6 หลายเดือนก่อน +1

    Wanao lia Sana watu mbali ata ukute awajawahi kumuona, ila family inalia kizungu

  • @danielassenga7167
    @danielassenga7167 6 หลายเดือนก่อน

    Hapo ndipo naamini kuwa katitika dini zetu kuna mazingzhoong mnatuaminisha mnawafufua watoto wawenzio wakwako unamfukia sasa mbona hukutuambia kuwa imani yako inakuwa inatenda kazi kwawingine ila kwako haifanyi kazi 😢😢😢😢

  • @user-dk5kk4rf3v
    @user-dk5kk4rf3v 6 หลายเดือนก่อน

    Kifo ni fumbo zito ..majina ya duniani hayana nafasi ,, mali wala vipaji ,, nachotaka kusema ... vliio kwa msiba ni kuondoa uwezo wa Mungu kwa wanadamu ... binadamu mwisho wake ni kifo ...ni sifa ya Mungu nyakati wa mavuno..yake..

  • @user-kj2sw1gg2r
    @user-kj2sw1gg2r 6 หลายเดือนก่อน

    😢😢😢😢😢😢😢

  • @tatumatango2207
    @tatumatango2207 6 หลายเดือนก่อน +3

    Hamorapa na mkali wenu 😢😢😢😢

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 6 หลายเดือนก่อน +1

      🤣🤣mnisamehe kwa kucheka

    • @pendo8082
      @pendo8082 6 หลายเดือนก่อน

      Yaaan

  • @user-lz3vk5yb4d
    @user-lz3vk5yb4d 6 หลายเดือนก่อน

    Wametekwaa wote kanisani kama zumariid wa mwanza anavowakanyga watu chini ya mikono

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 6 หลายเดือนก่อน +2

    Zamani nilikuwa nikiona msiba nalia sana, kuna siku nimeona live mbibi kafariki hata sikuhisi chozi, Naona amelala tu, Eee Mungu nisamehe kama nawaza vibaya, Hata video zakuoneaha sana marehemu online zinanifanya niwe sugu

  • @ShirimaSigifrid-lk6ko
    @ShirimaSigifrid-lk6ko 6 หลายเดือนก่อน +2

    Manabii wa kweli wanafufua watu kama nabii elia

    • @yvesmasirika3839
      @yvesmasirika3839 6 หลายเดือนก่อน

      Hata Yesu hakuweza fufua wote

    • @agnessima5032
      @agnessima5032 6 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@yvesmasirika3839sema hakutaka..kumbuka yeye ayaweza mambo yote.❤

    • @user-lt1bi5nr1x
      @user-lt1bi5nr1x 6 หลายเดือนก่อน

      Elia anakenuaga meno tu tapeli😊

    • @mcback4384
      @mcback4384 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@yvesmasirika3839hakuweza au hakuamua?

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 6 หลายเดือนก่อน

    Yote tutaongea lakini pale unapomwona mpendwa wako akibebwa kwa Jeneza ni shughuli ngumu saana jamani.Mungu awape matumaini.

  • @GeorgeChitemo-kt8sw
    @GeorgeChitemo-kt8sw 6 หลายเดือนก่อน +1

    Katoa kafara mwenyewe huyo mzee

  • @user-pe1qv1sn5p
    @user-pe1qv1sn5p 6 หลายเดือนก่อน +1

    kwahio sasa huyu nabii anafananishwa na manabii walio pita Astaghafirullah

  • @fatumanassor4656
    @fatumanassor4656 6 หลายเดือนก่อน

    Amufufue yy mungu na ww kuwe naeshim bs anapony watu afufui mtu

  • @salehegiza3305
    @salehegiza3305 6 หลายเดือนก่อน

    Sasa hapo ameenda kuchukua nguvu za freemson hakuna msiba hapo.

  • @berthafaya1402
    @berthafaya1402 6 หลายเดือนก่อน

    Tulisubiri ufufuo amekwamaje uyo nabii mkuu akati anamanabii kibao wakinamalisa mwamposa namatapeli wenzake kibao asa shida nn apo

  • @user-hm4hk5hi1c
    @user-hm4hk5hi1c 6 หลายเดือนก่อน

    Jamani MUNGU awatie nguvu

  • @NIKUMBUKELEO
    @NIKUMBUKELEO 6 หลายเดือนก่อน

    Baba na waumini na familia jueni kuwa mko duniani penge wanyama wakila aina spirit za kila aina huyu Baba Yuko kwajili ya watu wote familia ni ndugu pigo Lazma likupate Mzee wako au mama atafunga mlango wake anapokutana na jambazi atasepa kivyake nawe haupo na kumu yako syo ya Baba au mama, Mfalme Joe amekua akionya mengi bila kubagua mtoto au mumini kwahiyo wacheni huwa wa zazi Baba Joe na Mama Anie wamtukuze Mungu.mtoto Akisha kua nikumshauri tu kwahiyo Mimi na wewe VIP na kina monie na Kaka... VIP pata mema popote ulipo jeuka sikia ya Baba na Mama ulipo hakuna mkubwa kwa wazazi au Yesu, ni funzo syo kitu yakukenulia Meno na domo mamba. Mama na Baba muwe na afya Tele na ulinzi wa malaika bila kusita mbeleee! Mfalme koresh!

  • @jafetichusi284
    @jafetichusi284 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu wasamehee maana hawajui walitendalo hao wanaozungumuza vitu vya kipumbavu

    • @jeryjery8566
      @jeryjery8566 6 หลายเดือนก่อน

      Wamemtoa sadaka uyo

  • @SallmaXg
    @SallmaXg 6 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana 😢😢😢

  • @BettyMsongole
    @BettyMsongole 6 หลายเดือนก่อน

    Pore baba yetu

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 6 หลายเดือนก่อน +2

    Ila watu Wana mtii Sana kama mtu wa serikaln

  • @NsobiLema-wq9vh
    @NsobiLema-wq9vh 6 หลายเดือนก่อน +1

    Tutakufa na atutaishi akuna mwanadamu mwenye uwezo wa kufufua binadamu kwanza kunakitu kimoja ambacho tuji funze kwani unaugonjwa unaenda hspitali wanakwambia utapona lkn. Nabiii mtoto wake kafia hospitali hiii imekaeje apo kwani alishundwa kumtibia yeye ?

    • @user-lt1bi5nr1x
      @user-lt1bi5nr1x 6 หลายเดือนก่อน

      Alikua ajashukiwa na roho mtakatifu