Hakuna anae kejeli msiba ila tatizo Dini yenu imeka ki mchongo mchoko tuna sema ivi mbona amu mfufui mtt wa Nabii mkuu nyie simna dai mna fufua wafu 😂Acheni uwongo
@@ramadhanjuma610 som kwanza Jin langu ndio utajua,afu kingine mwenyez Mungu pekee ndiye wakuhukum hata we hujakamilika unamapungufu yako so usije ukajihesabia haki ata kdg
@@maishayetufilm KBS tusijihesabie haki ,pia msiba usikiage kwingin lkn kufiwa na baba mama kaka dada MTT ndugu yangu Dah inauma kuliko yaani nashindwa ata nisemej ila mwenyezi Mungu atupe mwisho mwema 😥🙏
Huyo ni Mtumishi wa Mungu hilo ni jaribu usifikiri haumii anaumia saana ila hana jinsi anamjua Mungu wake anaemtumikia. Na anajua lazima ujaribiwe kwa ajili ya Utukufu wa Mungu. Hakuna atakaeishi bila majaribu. Mungu akupe ujasiri Baba kwa haya magumu unayopitia.
Nyie acheni mzaha na Mungu, hata kifo nacho kikikuta mpendwa wetu hatuachi kumshukuru Yesu Kristo kwa makofi na vigelegele maana hakuna tumaini jingine zaidi ya upendo wake kwa wanadamu. Biblia inatuambia tumshukuru Bwana kwa kila jambo, pia furahini katika BWANA, sasa nyie mnaotaka tulie kwa kuwa huwa mnalia ni chaguo lenu kulia. Tumejifunza kumsherehekea Mungu kila tuwapo ktk uwepo wake.
Mungu anawaona mnavyokejeli lakini mjue hii ni dunia leo kwa mwenzio kesho kwako. Lakini mkumbuke kwamba kila jaribu lina mlango wa kutokea Mungu wa mbinguni akutie nguvu baba.
Yaaan hata mim nawashangaa Sana wakifa matajiri wametoa kafara,kwahiyo kifo kaumbiwa mtu mwenye kipato Cha chini.Pumzika Kwa amani Nic pole Kwa familia pia
Jamani jamani nakumbuka siku kijana wetu alipoondoka, nikamuuliza mume wangu mbona umesahau muda mfupi akaniambia hajasahau ila hakuna wakumsaidia majukumu na nilazima aendelee kupambana na kumshukuru Mungu amtunzie hawa waliobaki duuu,,,, Najua Joe Davie na yeye anajitia moyo katika Mungu tuuu hawa wanadamu asilimia ndogo ni kijeli ila kubwa wanaojielewa wanajua maumivu ya msiba
Kazi ya Mungu haina makosa Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina la Bwana lihimidiwe🙏 Polee sana wana familia Mwenyez Mungu awatie nguvu katk wakat mgumu mnaopitia
Ni rahisi sana kucomment unachojisikia lakini uhalisia utabaki kuwa uhalisia tu.tujitahidi kuheshimu nafasi ya Mungu kutokana na matokeo yaliyokuwa nje ya mwanadamu.
Hakuna dini ya kweli ndugu usijidanganye, wala Mungu hajui dini ya mtu maana hakuleta dini, dini ni kama vyama vya siasa tu Yeye anaangalia ibada ya mtu ambayo ni matendo mema, hivyo elewa uisilamu hautakupeleka mbinguni bali matendo yako!!!
Hakuna matendo yanayompeleka mtu mbinguni, utaenda mbinguni kama tu ulimkiri Yesu Kristo kama Bwana na Mwokozi wa maisha yako na uliishi maisha ya toba na utakatifu na ulikufa katika Kristo, unaweza ukawa mtenda mazuri sana na jamii inakutambua lakini Yesu Kristo haishi ndani yako
Hapo ndipo naamini kuwa katitika dini zetu kuna mazingzhoong mnatuaminisha mnawafufua watoto wawenzio wakwako unamfukia sasa mbona hukutuambia kuwa imani yako inakuwa inatenda kazi kwawingine ila kwako haifanyi kazi 😢😢😢😢
Kifo ni fumbo zito ..majina ya duniani hayana nafasi ,, mali wala vipaji ,, nachotaka kusema ... vliio kwa msiba ni kuondoa uwezo wa Mungu kwa wanadamu ... binadamu mwisho wake ni kifo ...ni sifa ya Mungu nyakati wa mavuno..yake..
Zamani nilikuwa nikiona msiba nalia sana, kuna siku nimeona live mbibi kafariki hata sikuhisi chozi, Naona amelala tu, Eee Mungu nisamehe kama nawaza vibaya, Hata video zakuoneaha sana marehemu online zinanifanya niwe sugu
Baba na waumini na familia jueni kuwa mko duniani penge wanyama wakila aina spirit za kila aina huyu Baba Yuko kwajili ya watu wote familia ni ndugu pigo Lazma likupate Mzee wako au mama atafunga mlango wake anapokutana na jambazi atasepa kivyake nawe haupo na kumu yako syo ya Baba au mama, Mfalme Joe amekua akionya mengi bila kubagua mtoto au mumini kwahiyo wacheni huwa wa zazi Baba Joe na Mama Anie wamtukuze Mungu.mtoto Akisha kua nikumshauri tu kwahiyo Mimi na wewe VIP na kina monie na Kaka... VIP pata mema popote ulipo jeuka sikia ya Baba na Mama ulipo hakuna mkubwa kwa wazazi au Yesu, ni funzo syo kitu yakukenulia Meno na domo mamba. Mama na Baba muwe na afya Tele na ulinzi wa malaika bila kusita mbeleee! Mfalme koresh!
Tutakufa na atutaishi akuna mwanadamu mwenye uwezo wa kufufua binadamu kwanza kunakitu kimoja ambacho tuji funze kwani unaugonjwa unaenda hspitali wanakwambia utapona lkn. Nabiii mtoto wake kafia hospitali hiii imekaeje apo kwani alishundwa kumtibia yeye ?
Wakuhukumu ni Mungu pekee 🙏🙏🏻 na hakuna mkamilifu chin ya jua kuen makin na maneno yenu chungen ndimi zen pia mnaokejel msib😢🙏🏻
Hakuna anae kejeli msiba ila tatizo Dini yenu imeka ki mchongo mchoko tuna sema ivi mbona amu mfufui mtt wa Nabii mkuu nyie simna dai mna fufua wafu 😂Acheni uwongo
The is true 😢😢
@@ramadhanjuma610 som kwanza Jin langu ndio utajua,afu kingine mwenyez Mungu pekee ndiye wakuhukum hata we hujakamilika unamapungufu yako so usije ukajihesabia haki ata kdg
@@abdallahassan6378brother uko sawa binadamu tunajifanya tunajua kila kitu kumbe ni wadhambi na wazandiki
@@maishayetufilm KBS tusijihesabie haki ,pia msiba usikiage kwingin lkn kufiwa na baba mama kaka dada MTT ndugu yangu Dah inauma kuliko yaani nashindwa ata nisemej ila mwenyezi Mungu atupe mwisho mwema 😥🙏
Muwe na akiba ya maneno! Msiba uusikie kwa mwenzako yakikukuta domo utalifunga hilo😢😢
Mungu awasamehe tu maana hayaja wafika tusihukumu tusije tukahukumiwa
Huyo ni Mtumishi wa Mungu hilo ni jaribu usifikiri haumii anaumia saana ila hana jinsi anamjua Mungu wake anaemtumikia. Na anajua lazima ujaribiwe kwa ajili ya Utukufu wa Mungu. Hakuna atakaeishi bila majaribu. Mungu akupe ujasiri Baba kwa haya magumu unayopitia.
Hana lolote kamtoa kafara,umaarufu huwa unagarama yake ndiio karpa
Hapo ndio utajua kama ulikuwa na ranger v8 utaacha vyote mungu mkubwa RIP broo
Hakimu ni mungu pekee, mungu awape nguvu
Pole sana mtumishi wa Mungu pamoja na familia yote Kwa msiba Mwenyezi Mungu awape uvumilivu wakati huu mgumu mnaopitia
Kumuona mpendwa wako ndani ya Jeneza si kaz ndogo😢😢😢😢💔🕯🕊
Poleni Sana wazazi, hiki kitu hakizoeleki kbs inaumiza Mungu amsamehe na ampokee ktk Nuru ya uso wake.🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Pole San baba mungu akutie nguvu ndio mipango ya mungu
pole sana mtumishi wa mungu najua hili ni jaribu ndani ya huduma mungu akupe moyo wa ujasili mtumishi wamungu😊
Pole sana familia Hii Mungu mnayemtumikia akawape faraja
Polen sana wafiwa pole nabii mkuu george davis kasambale.
Askofu Maboya Mungu kukutumia sauti yako inaposikika inafariji sana!
poleni sana sote niwa mwenyezi mungu kwake tutarejea
Kifo ni mawaidha tosha wanadamu tuamini mungu yupo na anaweza fanya chochote mda wote 😢 mungu akulaze mahali pema 🤲😭😭
Mahali pema ndo wapi
Poleni sana Mama na baba wa mtoto Mungu awatie nguvu
Mungu anajaribu lake juu yamwanadamu anaemjaribu.Pole Hilo nipigo kwanabiii
Naisi kwaili iwe funzo kwauyu mchungaji apate kujua akuna nabii mkuu duniani tofauti Yesu pekee, ndie nabii mkuu ajuaye mwisho wetu.
Heeee mungu anashangiliwa kwa shangwe na vigelegele😢 astaghfirullah
Ulitaka wa kushukuru ww Mungu hua hakosei
Nyie acheni mzaha na Mungu, hata kifo nacho kikikuta mpendwa wetu hatuachi kumshukuru Yesu Kristo kwa makofi na vigelegele maana hakuna tumaini jingine zaidi ya upendo wake kwa wanadamu. Biblia inatuambia tumshukuru Bwana kwa kila jambo, pia furahini katika BWANA, sasa nyie mnaotaka tulie kwa kuwa huwa mnalia ni chaguo lenu kulia. Tumejifunza kumsherehekea Mungu kila tuwapo ktk uwepo wake.
Tuombe Mungu watoto ndio wazike wazazi zao na sio wazazi kuzika mtoto.
Ni ligha ngumu sana.
R.I.P NICK DAVIE
Pole sana jodev unalia kiume polesan
Poleni nyote Wana familia pamoja na Nabii mkuu na kanisa kwa ujumla
Mungu anawaona mnavyokejeli lakini mjue hii ni dunia leo kwa mwenzio kesho kwako. Lakini mkumbuke kwamba kila jaribu lina mlango wa kutokea Mungu wa mbinguni akutie nguvu baba.
Yaaan hata mim nawashangaa Sana wakifa matajiri wametoa kafara,kwahiyo kifo kaumbiwa mtu mwenye kipato Cha chini.Pumzika Kwa amani Nic pole Kwa familia pia
Everyone will die even the one who comment rubbish here. Very sorry the one concern
Pole sana nabii mkuu
Wenzetu mtihani wanauwezo wa kufufua halafu wanaogea na mungu Moja kwa moja wanamuacha kijana anaenda kufukiwa kweli
Tatzo kiti moto ya ucku
Pole Sana wazazi
Mungu hadhihakiwa jamani kipind hiki nikigumu kwao tuwafariji tu pole sana
Poleni kwa msiba mzito kwa wanafamilia wa nisher.msiba unauma sana tena hauzoeleki hata kidogo wee usikie kwa mwenzio tu
Rest in peace nisher mbele yako nyuma yetu kifo ni faida 🙏🙏
Mungu awape nguvu kipindi hiki kigumu apumzike kwa Aman 🙏🙏🙏 bwana ametoa na bwana ametwaha jina lake lihimidiwe 🙏🙏🙏
Mtumishi Mungu akupe uvumilivi ktk kipindi hiki kigumu sana ktk Maisha yako
Poleni sana kwa msiba
Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema pepon ss tutaongea.mengi ila mungu ndie anajua
Wenyewe macho makavu
Pole baba mtumish
Tunasikitika kwa msiba huu,,,ila huyo Mzee anayejiita nabii mkuuu abadilishe jina maana Tunaye nabii wakweli namkuu Yesu Kristo.
Sasa wewe unatafuta ugomvi na wapendwa
Yesu Kristo sio nabii ni Mungu
Dah inauma inasikitisha kuona wadogo ndo wanaondoka wakubwa wanabaki. Poleni sana familia kwa hili
Jamani jamani nakumbuka siku kijana wetu alipoondoka, nikamuuliza mume wangu mbona umesahau muda mfupi akaniambia hajasahau ila hakuna wakumsaidia majukumu na nilazima aendelee kupambana na kumshukuru Mungu amtunzie hawa waliobaki duuu,,,, Najua Joe Davie na yeye anajitia moyo katika Mungu tuuu hawa wanadamu asilimia ndogo ni kijeli ila kubwa wanaojielewa wanajua maumivu ya msiba
Hata AYUBU alipitia haya na alikua mkamilifu kila idala
Ni kweli msiba usikie kwa Hirani yako utatafita nguo nzur uvae ngoja ukufikie utataman atau kupiga minggu.awatie.nguvu.wafiwa wote
Ndio Dada angu mungu atusaidie
Hayo ni majaribu tu.kwa mtumishi wa Mungu, Hapo Imani yake IPO kwenye kipimo mbele.za Mungu, ninyi wenye kukejeri misiba ya wenzenu kuweni makini
Poleni sana
Kazi ya Mungu haina makosa Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina la Bwana lihimidiwe🙏
Polee sana wana familia Mwenyez Mungu awatie nguvu katk wakat mgumu mnaopitia
Pole familia kifo hakizoeleki😢😢
Pole mtu mwenyenia ya mungu naamini unamoyo mkuu wakukubali kusemwa vibaya na vema kunawatu wanatamani uishie apo.
Mkaliwenu na Harmorapa😮😮
Yaani ujanja ujanja kupitia dini wako manabii wengi siku hizi 😮
Wengi Hapa walitegemea Muujiza Wa Mtu kufufuliwa na Mwanadamu ...
Pole baba
Poleni sana😢
Mtoto wa nabii ni producer wa mziki wa bongoflever, huku ni kuporomoka KWA maadili ya kiroho ambako adhabu nzito hufuata
Innalilahi wa innaillahi rajeun.
Ni rahisi sana kucomment unachojisikia lakini uhalisia utabaki kuwa uhalisia tu.tujitahidi kuheshimu nafasi ya Mungu kutokana na matokeo yaliyokuwa nje ya mwanadamu.
Hakuna dini ya kweli ndugu usijidanganye, wala Mungu hajui dini ya mtu maana hakuleta dini, dini ni kama vyama vya siasa tu Yeye anaangalia ibada ya mtu ambayo ni matendo mema, hivyo elewa uisilamu hautakupeleka mbinguni bali matendo yako!!!
Hujui uisilamu ongelea chama chako km unavokiita Islam dini kamili
Hakuna matendo yanayompeleka mtu mbinguni, utaenda mbinguni kama tu ulimkiri Yesu Kristo kama Bwana na Mwokozi wa maisha yako na uliishi maisha ya toba na utakatifu na ulikufa katika Kristo, unaweza ukawa mtenda mazuri sana na jamii inakutambua lakini Yesu Kristo haishi ndani yako
Waa poleni jamani
Mungu awatie nguvu jamani.
Rest In Peace My Lovely Bro Nic (Nisher) 🕊️🕊️🕊️🕊️
we love en mic u forever ❤❤
Mungu wacha tupungue wewe uongezeke mwanadamu ni mavumbi na akifa hurudi mavumbini jana la Bwana lihimidiwe ameni RIP nisher
Wafiwa poleni sana
Alafu wanaoongea humu maneno ya kejeli wote ni waislam maana naona majina yao!!! Shida sana. Ee! Bwana uwasamehe kwa maana hawajui walitendalo!!
Sasa wewe umechanganikiwa tafuta msaada. Waisilamu wanafufuaga wafu?
Baada ya kuanza ibada ya KUMFUFUA wanaenda kumzika huyu nabii vip
Baba hawafufukagi labda mchongomchongo
Hyo nd shida yenu tukisema mnakula kiti moto ucku mnasema tunawakosea
Kumfufua so Kaz yake ni kazi ya allah
@@HeriTarim-sm5tm manabii wote Hao walioudhuria wanashindwa KUMFUFUA mbona wanasemaga wanafufua watu
Dahhh mbn waumin wanalia but MDG wake wakike na kiume Hawalii aiseee AU ndio kanuni wameambiwa wasilie ILI nabii CHEO kisishuke Kwa wananchi.
RIP NIC DAVIE
Mdogo wake aliyeshika picha jajipodoa jamani misiba ya siku hizi mmmm!
Wewe nabi umufufue huyo😮😢😢
Kabla haujaongelea msiba wa mwenzako vibaya,uwe na akika ya kesho yako pia na wapendwa wako,Watanzania tuamke kwenye huu usingizi,hatupendani
Inalillahi wainailahi rajuun
Dalili za qiyama hizi. Watakuja manabii wa uongo ndio hawa sasa.
😢rip
Pole MTU wa MUNGU
Siku nzito hii
Hana nguvu za mungu eti
Kama unaamini Kuna uingizaji katika mahubiri basi n hapa Sasa ufufuonwa Joe Darvie mbna usifufue kijana sasa
Rip nisher😢
Hii dunia banaaa
Masikini ndio wanalia
Watu hawana majonzi ila wanaangalia waombolezaji
😭😭😭😭😭😭
Poleni sana 😭 😭😭
Wewe ni mnafiki sana
Rest in peace kijana wa yesu😭😭
Baba katoa chake mwenyew nabii wa mungu tena mkuu haya mfufue mwanao sasa mbona anazikwa kwa jeneza kulikoni jamaniii 😂😂😂
kulnafsi zallikatulmauti Allah akuhidi
Wanao lia Sana watu mbali ata ukute awajawahi kumuona, ila family inalia kizungu
😂😂😂😂
Hapo ndipo naamini kuwa katitika dini zetu kuna mazingzhoong mnatuaminisha mnawafufua watoto wawenzio wakwako unamfukia sasa mbona hukutuambia kuwa imani yako inakuwa inatenda kazi kwawingine ila kwako haifanyi kazi 😢😢😢😢
Kifo ni fumbo zito ..majina ya duniani hayana nafasi ,, mali wala vipaji ,, nachotaka kusema ... vliio kwa msiba ni kuondoa uwezo wa Mungu kwa wanadamu ... binadamu mwisho wake ni kifo ...ni sifa ya Mungu nyakati wa mavuno..yake..
😢😢😢😢😢😢😢
Hamorapa na mkali wenu 😢😢😢😢
🤣🤣mnisamehe kwa kucheka
Yaaan
Wametekwaa wote kanisani kama zumariid wa mwanza anavowakanyga watu chini ya mikono
Zamani nilikuwa nikiona msiba nalia sana, kuna siku nimeona live mbibi kafariki hata sikuhisi chozi, Naona amelala tu, Eee Mungu nisamehe kama nawaza vibaya, Hata video zakuoneaha sana marehemu online zinanifanya niwe sugu
Manabii wa kweli wanafufua watu kama nabii elia
Hata Yesu hakuweza fufua wote
@@yvesmasirika3839sema hakutaka..kumbuka yeye ayaweza mambo yote.❤
Elia anakenuaga meno tu tapeli😊
@@yvesmasirika3839hakuweza au hakuamua?
Yote tutaongea lakini pale unapomwona mpendwa wako akibebwa kwa Jeneza ni shughuli ngumu saana jamani.Mungu awape matumaini.
Katoa kafara mwenyewe huyo mzee
kwahio sasa huyu nabii anafananishwa na manabii walio pita Astaghafirullah
Amufufue yy mungu na ww kuwe naeshim bs anapony watu afufui mtu
Sasa hapo ameenda kuchukua nguvu za freemson hakuna msiba hapo.
Tulisubiri ufufuo amekwamaje uyo nabii mkuu akati anamanabii kibao wakinamalisa mwamposa namatapeli wenzake kibao asa shida nn apo
Jamani MUNGU awatie nguvu
Baba na waumini na familia jueni kuwa mko duniani penge wanyama wakila aina spirit za kila aina huyu Baba Yuko kwajili ya watu wote familia ni ndugu pigo Lazma likupate Mzee wako au mama atafunga mlango wake anapokutana na jambazi atasepa kivyake nawe haupo na kumu yako syo ya Baba au mama, Mfalme Joe amekua akionya mengi bila kubagua mtoto au mumini kwahiyo wacheni huwa wa zazi Baba Joe na Mama Anie wamtukuze Mungu.mtoto Akisha kua nikumshauri tu kwahiyo Mimi na wewe VIP na kina monie na Kaka... VIP pata mema popote ulipo jeuka sikia ya Baba na Mama ulipo hakuna mkubwa kwa wazazi au Yesu, ni funzo syo kitu yakukenulia Meno na domo mamba. Mama na Baba muwe na afya Tele na ulinzi wa malaika bila kusita mbeleee! Mfalme koresh!
Mungu wasamehee maana hawajui walitendalo hao wanaozungumuza vitu vya kipumbavu
Wamemtoa sadaka uyo
Poleni sana 😢😢😢
Pore baba yetu
Ila watu Wana mtii Sana kama mtu wa serikaln
Si tajiri anahela
Tutakufa na atutaishi akuna mwanadamu mwenye uwezo wa kufufua binadamu kwanza kunakitu kimoja ambacho tuji funze kwani unaugonjwa unaenda hspitali wanakwambia utapona lkn. Nabiii mtoto wake kafia hospitali hiii imekaeje apo kwani alishundwa kumtibia yeye ?
Alikua ajashukiwa na roho mtakatifu