Dkt. GeorDavie atoa Gari na zawadi za washindi wa Miss Tanzanite Manyara - GeorDavie TV
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 19 พ.ย. 2023
- SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa
Hakika mwenyezi Mungu anawaona mnacho kifanya.sijaona hata siku moja ukihubili.ila kutoa na kujionyesha.mlagowe
Aliesikia mchungaji anamsifia mdada ana meno like zangu😆😆
🤣🤣🤣🤣🤣🤣hapo kuna kupigana miti
Nyie waumini wote,someni 1Korintho 10:31. Nyie watu mnachangamoto sana. Yaani mambo ya Dunia yameingizwa kanisani. Mnafurahia kupewa gari na vijipesa lakini mwisho wake ni kilio na kusaga meno.
Shida li wapi kuzaidia
Eehh shida i wapi wewe ukisaidiwa utakataaaa
Point and fact 🎉
Yesu anasema angalieni msifanye wemawenu machoni pawatu kusudi mtazamwe na watu .pili jiulize wapo waumini wangapi hapo hawajui hata Wana kulanini mbona asiwasaidie wapo watumishi wake wangapi hawana magari mbona asiwape.tatu fuatilia watuwote maarufu aliowasaidia kama Wana vuma tena mna ibiwa nyota fungukeni macho muda simrefu mta juwa Mungu hadhihakiwi
Dah Acha niililie roho yangu, na roho za watu wangu!
YESU anarudi kumbukeni hilo
Twajua sana anarudi
Dunia inakalibia jioni kweli kweli
Acha ndg yang mm naogopa
Aiseee jmn ww acha tyu nataman kulia sijui kinini hiki😢😢😢😢😢
Hakuna uwepo wa Mungu labda km ana Mungu mwingine
Mungu tusaidie ss tulio wadogo wa imani utupe iman iliyo timilifu kiroho utuongoze ututie nguvu uturinde na manabii hawa wauongo kama ulivyo tuahidi kuwa walio wako unawajua miongoni mwaoo na mm unijue bwana yesu wangu ntie nguvu ktk roho yangu Amina
Yesu tusaidie na uturehemu kwa haya yanayo endelea
Isaiah 9:16
Kwa maana wawaongozao watu hawa ndio wawakoseshao, na hao walioongozwa na watu hao wameangamia.
[16]For the leaders of this people cause them to err; and they that are led of them are destroyed.
Siku zamwisho tutasikiya Vingi na tutaona Vingi, Neno LA Mungu hamuna😭
Tengeneza mambo yako Acha kuhukumu
@@elishamwakapugi7751kwani weweni usher wa TH-cam wakujibu watu??
,😭😭😭😭😭😭my God give us spiritual eyes we're perishing
@@elishamwakapugi7751Nobody has judged anyone bt the pple states
8:09 Nabii Mkuu kaimba goma Kalii Sanaa
Rudi Rich Mavoko ft Patoranking
Ushabiki utapoteza nafsi zenu ,bado mnayo nafasi ya kubadilisha njia zenu. Mungu awarehemu
Acha kuhukumu wewe vp wewe maisha yako ya rohoni
@@elishamwakapugi7751 sio KUHUKUMU Bblia ihv DHAMBI ZA WATU WENGNE NI DHAHIRI NAZO ZAWATANGULIA HUKUMUNI ILA WENGNE DHAMB ZAO ZA WAFUATA kwhy km n mmoja wao ,unayonafas ya KUJIPONYA roho yko na jehenam ukiwekwa mateka km ASEMavyo Yer42:22 bc tena
Watu wamepotea juu wamekosa ufahamu
Elisha sema huyu amehukumu nini?
kilicho cha MUNGU ni cha MUNGU. kama huyu jamaa ni kichekesho ni hivyo. hakuna Mungu hapa wewe. kama umetumwa nae ni wewe lakini ukweli ni kwamba huyu sio wa MUNGU. na kama huna akili ni huna akili hakuna kukupamba. ELISHA HAKIKISHA unakuwa na akili usiwe mpumbavu usieweza kujua mengi,,, ila hata huyu bado hujua sio wa kutoka kwa MUNGU?. ETI HUKUMU.. UNAJUA HUKUMU WEWE?@@elishamwakapugi7751
wachugaji apomnaonawivu rakini. watuwakiubirikweri. amtaki iyondosawa mwakipesire. arisema mkasema hanaeki mavipiapo
baba mungu akubariki nawomba namimi unisaidiye nitoke kwenye umasikini
Chukizo la uharibifu limesimama patakatifu jamani
Be blessed by gozdanny Daniel GOSPER WA INJILI
Kweli mungu akae minguni maana ujumbe wake ikishaa kwa mtumishi wake kizimuu inamtumiaa poleni sana
Geordavie ni mtumishi WA mungu WA mbinguni Alie hai
Mungu akuongezee palipo pungua
Hapa Yesu hayupo kabisa, kabisa, poleni mliopotea
Eeh!Mungu tusaidie
E Mungu tupe macho ya rohoni
Omba upewe
Baba mungu akuinue in naye akuongezee siku moja kwetu
Woh ❤Maisha marefu kwako Baba
Duuuuuu tukeshe tukiomba no comment
Jamam Mungu mwema tupe macho ya kuona, kwa jina la Yesu aminaaa
👏👏👏👏👏👏👏Kyande aliimba vizuri kuwa,kama ni kuimba na shetani anaimba wala kuimba sio njia ya wokovu
Imeandikwa nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala lakini nyinyi mmeifanya pango la wanyang,anyi
Wangejua kilicho nyuma yao ata hawawez shiriki .ila mungu awafungue macho y kiroho,
Asante baba nabii wa kisasa
Children of God perish due to lack of knowledge,I don blv in this at all,jihadhalini sana.
Muombe MUNGU akupe macho uone yaliyo nje ya fahamu na uono wa macho ya kibinadamu
Mungu atusaidie
Yaaa Mukuruuuuu Ngaii Salama Manat wa Manase Mudhambiii???Khaii my people are so good and trully mean it🙏Dear Jodave thank you my,,My small letter from Sultan Rasurul daughter am among you
E Mungu wangu e Kwa naamuna hii shetani yupo kazi it
Mungu akubariki Nabii
MZEE GEODAV NAKUKUBALI
KINOMA DUH UNATUMIA
PESA SANA MZEE GEODAV
Ubarikiwe sana baba, iendelee kuwa na moyo huo huo wakuwasaidia wanyonge kama sisi
Voici l'homme qu'il faut tuonane Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Woooow
Kanisa hili limejaza Yezebeli kibao
Mmmmh kwakweli kabisa ni aibu kwa nyumba ya ibaaada hiyo looooh
Kanisa limegeuzwa kuwa sehemu ya mamiss,andiko gani linaonesha?Yanatoka wap hayo?
Amina nabii
Kcheko cha geordevie duh
Maandi ili ya time lazima wawepo watimiza maandiko ninawahurumia maana jehamu nimahari pabaya
Huu ni uchafu mbele za mungu
Kivipisasa explain wewe msafi
Huo ni uchafuuuuu...ambaye hujaelewa basiiiii
Mungu asipoingilia Kati mmmmmh
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Baba nabii nimekupenda sana mungu akubariki
Nawe mwanangurumo upon ee
kwa huo uchafu
Mboga hizo za mchungaji zimeletwa achague ile imenona
👏👏👏
Wow! Great
Muz nabimuku unanibariki sana mimi nimucongomani
Yaani mtumishi wa MUNGU wahitaji tupi wengi mno ubarikiwe sana ❤❤❤
Muombe MUNGU akupe macho uone yaliyo nje ya fahamu na uono wa macho ya kibinadamu
aMINA dANIEL mungu ATUFUNGUE MACHO@@DanielJackson-vd2jw
Yani binadamu tumekua hatuna hofu ya mungu sasa dini gani inakubali ujinga huu
Yaani jamani Mungu atupe macho ya rohoni
Asha tupa
Tunaenda na wanao kwenda🎉
Majira sasa yapo jioni na ndege wote kwenye viota vyao Mwokozi yupo karibu na ujira wake
Bwana Yesu hakuwa na upendeleo hata sasa bado anatupenda jinsi tulivyo. TUOMBEANE TUCHUKULIANE MIZIGO. NI HERI KUTOA KULIKO KUPOKEA. MUNGU AWABARIKI WATUMISHI WOTE WAAMINIFU WANAOWAKUMBUKA WAHITAJI.
Embu shindweni kwajina la YESU
Baba uinuliwe sana❤
Mchungaji geordavie is the best.hongera Santa geordavie
Vitu za dunia hizo apeane neno na kuelekeza watu kwa njia ya ukweli
Oo Glory to God!!!
Kweli nabii hii ni Ibada au kufuru
End of the time,aminini kwamba
Watu wote Mungu anawapenda,tusijihesabie haki nakuwa zarau wengine,minakuambia hao wadada watatoka hapo wamehesabiwa haki,
Hakuna ajuaye.
Nisaidie na mm gali nalitaka au hata bajaji2 nitakushukuru
Hujielewi unajua kanuni ya kuhesabiwa haki!? Ni kutubu na kuacha dhambi na si vinginevyo sasa hapo wametubu nini? Watu hawahukumu mtu kama kupinga uchafu ni kuhukumu basi hata kushuhudia mpagani habari za Yesu ni kuhukumu?
Hujielewi unajua kanuni ya kuhesabiwa haki!? Ni kutubu na kuacha dhambi na si vinginevyo sasa hapo wametubu nini? Watu hawahukumu mtu kama kupinga uchafu ni kuhukumu basi hata kushuhudia mpagani habari za Yesu ni kuhukumu?
Daaah kweli tumefikia huku?
Yyyyyyyyyy 💜💜💜💜📖📖 ubarikiwe mtumishi
Nafurahi sana
Mungu tuhulumiee sana
Sasa hili ni kanisaa au vipi?
Mmmmh injili imevamiwa
Kwanini wasema hivi
Nabii mkuu una tabia mbaya!
Mke wa huyu jamaa anajisikiaje mumewe anavomsifia huyo msichana
Roho ya mtu ikifungiwa kwenye madhabahu basi hawezi kabisa kugundua BAYA Bali atakokotwa Hadi ....
Yaani mimi nawashangaa watu wa coment kila mtu amepewa eneo lake
Nabii wa kuzimu
Huyu ni mfanyabiashara sio nabii kajificha kwenye neno la Mungu
Kabisa😢😢
Inalilah waina lilah lajuuni
Barikiwa mtumishi wa mungu na mungu akulinde daima
We nae unasema ubarikiwe kwa kazi ipi ya Mungu??
@@mazulacelestine3038 ametenda kazi ya kitume na huo ndiyo utumishi
Lazima amuweke huyu dada maana sio kwa kumsifia huku.
Sku mungu akilud Dunian atashangaa kwan aliiacha ikiwa nzuri sana ila sasa imechafuka chafuka sana kana nichakula hakistahih kabsa kuluwa mungu atuhulumie jaman moto unatusubili
Mungu yupo wap
Kuna wagonjwa, mayatima, wanaotaka Karo ya shule who's need's are very urgent than this, is God really in this, help me choose
Wow! Amaizing,be blessed the prophet of God
Doom
Ndo mana makanisa yamekua mengi ni nyumba za biashara
Ee mungu jaman tusamehee
Be blessed Man of God
Kusali inachosha duh hii mpya
Yuko vizuri mzee wa watu hana baya
Hyu madamu abarikiwe na Mungu
Maisha mazuri ,mama na ya Baraka
The Today Christian they love commedian prichers
👉🥱
Na bado mpaka watavua nguo watembee uchi, wala MUNGU ajaagiza aya mambo.
Hili lizee linasumbuliwa na tamaa tuh hakuna chochote linawawinda liwachape baas hakuna Cha hakuna Cha jina la yesu Wala jina la Paulo hapo....
Uchafu uchafu uchafu uchafu uchafu uchafu uchafu uchafu uchafuuuuuuuuuuu!!!!!!!!
😢
Mtupuuuuu
Yani bado kuna watu wanamuhita huyu NI mtumishi wa Mungu?? Huyu NI muabudu shetani mkubwa Sana Yani huyu wakala wa kuzimu aslimia miamoja kabisa
Anakusanya nafsi tu kuzipeleka kuzimu maskini
Tokeni huko na umaskiñi wenu mawazo dumavu hayo
Machache hunaakili Nani masikini MTU aliye na Mungu wa kweli huwa anakuaga masikini ??? Lazma tukemee ushetani wa hadhalani wa geodev
Umaskini unakusumbua na makasiriko
Unahitajika ukumbozi wa kifkra aisee. Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
Kabisaaa
Ukombozi wa kifikra ni moja ya utajiri mkubwa sana.❤
Hii ndo inaitwa mtawatambua kwa matunda yao yaani mkono mmja unakemea uovu mkono mwingine unauunga mkono Mungu atusaidie tujue kwamba shetani huja kwa njia nyingi
Halima
Mama kadija umeamsha kweri kwer uko vizur
Duuuuuuuuh!
Mungu akuzidishieee
Amzidishie uchafu huo?
Huyu si mtu wa mungu pepo
Anachaguliwa walembo wakula vichocholoni😢😢😢😢
Mmmmh,si kwa unabii huo jaman!!!
baba na mm nione😢ninamayatimaa nawasomeshaa