Dkt. GeorDavie atoa Gari na zawadi za washindi wa Miss Tanzanite Manyara - GeorDavie TV

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 19 พ.ย. 2023
  • SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
    Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
    TUFUATILIE
    ▶︎ Facebook: / geordavietv
    ▶︎ Instagram: / geordavietv
    ▶︎@GeorDavie Maarifa

ความคิดเห็น • 347

  • @AhaziAlexander
    @AhaziAlexander 7 หลายเดือนก่อน +10

    Hakika mwenyezi Mungu anawaona mnacho kifanya.sijaona hata siku moja ukihubili.ila kutoa na kujionyesha.mlagowe

  • @veronicamnico4773
    @veronicamnico4773 7 หลายเดือนก่อน +12

    Aliesikia mchungaji anamsifia mdada ana meno like zangu😆😆

    • @isaacomayio7768
      @isaacomayio7768 6 หลายเดือนก่อน

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣hapo kuna kupigana miti

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa5566 7 หลายเดือนก่อน +13

    Nyie waumini wote,someni 1Korintho 10:31. Nyie watu mnachangamoto sana. Yaani mambo ya Dunia yameingizwa kanisani. Mnafurahia kupewa gari na vijipesa lakini mwisho wake ni kilio na kusaga meno.

    • @elijahsandeh5324
      @elijahsandeh5324 6 หลายเดือนก่อน

      Shida li wapi kuzaidia

    • @jamesndirangu2425
      @jamesndirangu2425 6 หลายเดือนก่อน +1

      Eehh shida i wapi wewe ukisaidiwa utakataaaa

    • @DanielJackson-vd2jw
      @DanielJackson-vd2jw 6 หลายเดือนก่อน

      Point and fact 🎉

    • @user-ph3pi1dm2n
      @user-ph3pi1dm2n 5 หลายเดือนก่อน

      Yesu anasema angalieni msifanye wemawenu machoni pawatu kusudi mtazamwe na watu .pili jiulize wapo waumini wangapi hapo hawajui hata Wana kulanini mbona asiwasaidie wapo watumishi wake wangapi hawana magari mbona asiwape.tatu fuatilia watuwote maarufu aliowasaidia kama Wana vuma tena mna ibiwa nyota fungukeni macho muda simrefu mta juwa Mungu hadhihakiwi

  • @charlesmbunda6759
    @charlesmbunda6759 7 หลายเดือนก่อน +13

    Dah Acha niililie roho yangu, na roho za watu wangu!

  • @veronicamnico4773
    @veronicamnico4773 7 หลายเดือนก่อน +9

    YESU anarudi kumbukeni hilo

  • @KushahaLaban-co1un
    @KushahaLaban-co1un 7 หลายเดือนก่อน +15

    Dunia inakalibia jioni kweli kweli

    • @veronicanestory1662
      @veronicanestory1662 7 หลายเดือนก่อน

      Acha ndg yang mm naogopa

    • @Sarahsaid2648
      @Sarahsaid2648 5 หลายเดือนก่อน

      Aiseee jmn ww acha tyu nataman kulia sijui kinini hiki😢😢😢😢😢

  • @MatildeBjelland
    @MatildeBjelland 6 หลายเดือนก่อน +2

    Hakuna uwepo wa Mungu labda km ana Mungu mwingine

  • @user-sk9zr4bn2k
    @user-sk9zr4bn2k 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu tusaidie ss tulio wadogo wa imani utupe iman iliyo timilifu kiroho utuongoze ututie nguvu uturinde na manabii hawa wauongo kama ulivyo tuahidi kuwa walio wako unawajua miongoni mwaoo na mm unijue bwana yesu wangu ntie nguvu ktk roho yangu Amina

  • @praiseludutu4053
    @praiseludutu4053 6 หลายเดือนก่อน +2

    Yesu tusaidie na uturehemu kwa haya yanayo endelea

  • @gideonelishadai100
    @gideonelishadai100 5 หลายเดือนก่อน +2

    Isaiah 9:16
    Kwa maana wawaongozao watu hawa ndio wawakoseshao, na hao walioongozwa na watu hao wameangamia.
    [16]For the leaders of this people cause them to err; and they that are led of them are destroyed.

  • @user-tj3wu4jw2p
    @user-tj3wu4jw2p 7 หลายเดือนก่อน +9

    Siku zamwisho tutasikiya Vingi na tutaona Vingi, Neno LA Mungu hamuna😭

    • @elishamwakapugi7751
      @elishamwakapugi7751 7 หลายเดือนก่อน

      Tengeneza mambo yako Acha kuhukumu

    • @lilianeerica3318
      @lilianeerica3318 6 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@elishamwakapugi7751kwani weweni usher wa TH-cam wakujibu watu??

    • @isaacomayio7768
      @isaacomayio7768 6 หลายเดือนก่อน

      ,😭😭😭😭😭😭my God give us spiritual eyes we're perishing

    • @isaacomayio7768
      @isaacomayio7768 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@elishamwakapugi7751Nobody has judged anyone bt the pple states

  • @Excel-Elevation-School
    @Excel-Elevation-School 5 หลายเดือนก่อน +1

    8:09 Nabii Mkuu kaimba goma Kalii Sanaa
    Rudi Rich Mavoko ft Patoranking

  • @johnmnyawi5718
    @johnmnyawi5718 7 หลายเดือนก่อน +16

    Ushabiki utapoteza nafsi zenu ,bado mnayo nafasi ya kubadilisha njia zenu. Mungu awarehemu

    • @elishamwakapugi7751
      @elishamwakapugi7751 7 หลายเดือนก่อน

      Acha kuhukumu wewe vp wewe maisha yako ya rohoni

    • @chrisdeoglatias8665
      @chrisdeoglatias8665 7 หลายเดือนก่อน

      @@elishamwakapugi7751 sio KUHUKUMU Bblia ihv DHAMBI ZA WATU WENGNE NI DHAHIRI NAZO ZAWATANGULIA HUKUMUNI ILA WENGNE DHAMB ZAO ZA WAFUATA kwhy km n mmoja wao ,unayonafas ya KUJIPONYA roho yko na jehenam ukiwekwa mateka km ASEMavyo Yer42:22 bc tena

    • @isaacomayio7768
      @isaacomayio7768 6 หลายเดือนก่อน

      Watu wamepotea juu wamekosa ufahamu

    • @mimimimi-pg5uk
      @mimimimi-pg5uk 5 หลายเดือนก่อน

      Elisha sema huyu amehukumu nini?
      kilicho cha MUNGU ni cha MUNGU. kama huyu jamaa ni kichekesho ni hivyo. hakuna Mungu hapa wewe. kama umetumwa nae ni wewe lakini ukweli ni kwamba huyu sio wa MUNGU. na kama huna akili ni huna akili hakuna kukupamba. ELISHA HAKIKISHA unakuwa na akili usiwe mpumbavu usieweza kujua mengi,,, ila hata huyu bado hujua sio wa kutoka kwa MUNGU?. ETI HUKUMU.. UNAJUA HUKUMU WEWE?@@elishamwakapugi7751

    • @erasmobenardsangu-1854
      @erasmobenardsangu-1854 5 หลายเดือนก่อน

      wachugaji apomnaonawivu rakini. watuwakiubirikweri. amtaki iyondosawa mwakipesire. arisema mkasema hanaeki mavipiapo

  • @user-kq9lb7bd8l
    @user-kq9lb7bd8l 2 หลายเดือนก่อน

    baba mungu akubariki nawomba namimi unisaidiye nitoke kwenye umasikini

  • @GgSaw-vi4mo
    @GgSaw-vi4mo 7 หลายเดือนก่อน +8

    Chukizo la uharibifu limesimama patakatifu jamani

  • @gozdannyisaya6641
    @gozdannyisaya6641 6 หลายเดือนก่อน +1

    Be blessed by gozdanny Daniel GOSPER WA INJILI

  • @samwelimollel
    @samwelimollel 7 หลายเดือนก่อน +3

    Kweli mungu akae minguni maana ujumbe wake ikishaa kwa mtumishi wake kizimuu inamtumiaa poleni sana

  • @VisionVibes8
    @VisionVibes8 5 หลายเดือนก่อน

    Geordavie ni mtumishi WA mungu WA mbinguni Alie hai

  • @user-ke9bg1dm9c
    @user-ke9bg1dm9c 10 วันที่ผ่านมา

    Mungu akuongezee palipo pungua

  • @GodfridMbele-sb1ks
    @GodfridMbele-sb1ks 7 หลายเดือนก่อน +2

    Hapa Yesu hayupo kabisa, kabisa, poleni mliopotea

  • @mariammbwaga8463
    @mariammbwaga8463 7 หลายเดือนก่อน +6

    Eeh!Mungu tusaidie

  • @raynawilliam4719
    @raynawilliam4719 7 หลายเดือนก่อน +9

    E Mungu tupe macho ya rohoni

  • @agnessmalyeek9387
    @agnessmalyeek9387 7 หลายเดือนก่อน

    Baba mungu akuinue in naye akuongezee siku moja kwetu

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 6 หลายเดือนก่อน +1

    Woh ❤Maisha marefu kwako Baba

  • @luicensigabriel104
    @luicensigabriel104 7 หลายเดือนก่อน +1

    Duuuuuu tukeshe tukiomba no comment

  • @QwaridaNadamassay
    @QwaridaNadamassay 6 หลายเดือนก่อน

    Jamam Mungu mwema tupe macho ya kuona, kwa jina la Yesu aminaaa

    • @isaacomayio7768
      @isaacomayio7768 6 หลายเดือนก่อน

      👏👏👏👏👏👏👏Kyande aliimba vizuri kuwa,kama ni kuimba na shetani anaimba wala kuimba sio njia ya wokovu

  • @Apostlegmkumbwa
    @Apostlegmkumbwa 7 หลายเดือนก่อน +7

    Imeandikwa nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala lakini nyinyi mmeifanya pango la wanyang,anyi

    • @JedidaNdutuu-ys3lx
      @JedidaNdutuu-ys3lx 3 หลายเดือนก่อน

      Wangejua kilicho nyuma yao ata hawawez shiriki .ila mungu awafungue macho y kiroho,

  • @AbedKirway-tr5wx
    @AbedKirway-tr5wx 7 หลายเดือนก่อน +2

    Asante baba nabii wa kisasa

  • @bettywambui5871
    @bettywambui5871 7 หลายเดือนก่อน +6

    Children of God perish due to lack of knowledge,I don blv in this at all,jihadhalini sana.

    • @DanielJackson-vd2jw
      @DanielJackson-vd2jw 6 หลายเดือนก่อน

      Muombe MUNGU akupe macho uone yaliyo nje ya fahamu na uono wa macho ya kibinadamu

  • @user-tk2rd7pe3v
    @user-tk2rd7pe3v 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu atusaidie

  • @samiramawby1257
    @samiramawby1257 7 หลายเดือนก่อน +1

    Yaaa Mukuruuuuu Ngaii Salama Manat wa Manase Mudhambiii???Khaii my people are so good and trully mean it🙏Dear Jodave thank you my,,My small letter from Sultan Rasurul daughter am among you

    • @nicocoba1741
      @nicocoba1741 7 หลายเดือนก่อน

      E Mungu wangu e Kwa naamuna hii shetani yupo kazi it

  • @amanikivuyo8141
    @amanikivuyo8141 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki Nabii

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 6 หลายเดือนก่อน +1

    MZEE GEODAV NAKUKUBALI
    KINOMA DUH UNATUMIA
    PESA SANA MZEE GEODAV

  • @DianaShayo-io1pz
    @DianaShayo-io1pz 7 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe sana baba, iendelee kuwa na moyo huo huo wakuwasaidia wanyonge kama sisi

  • @BisimwaMusagalusa
    @BisimwaMusagalusa 5 หลายเดือนก่อน

    Voici l'homme qu'il faut tuonane Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @zimanigervas7281
    @zimanigervas7281 7 หลายเดือนก่อน +1

    Woooow

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa5566 7 หลายเดือนก่อน +5

    Kanisa hili limejaza Yezebeli kibao

  • @user-kh2bm4ug9t
    @user-kh2bm4ug9t 7 หลายเดือนก่อน +3

    Mmmmh kwakweli kabisa ni aibu kwa nyumba ya ibaaada hiyo looooh

  • @mosesndimgwanko1079
    @mosesndimgwanko1079 7 หลายเดือนก่อน +3

    Kanisa limegeuzwa kuwa sehemu ya mamiss,andiko gani linaonesha?Yanatoka wap hayo?

  • @FiveFunny
    @FiveFunny 7 หลายเดือนก่อน

    Amina nabii

  • @bujashidaniel5537
    @bujashidaniel5537 6 หลายเดือนก่อน +2

    Kcheko cha geordevie duh

  • @user-pe8vt4lo3g
    @user-pe8vt4lo3g 7 หลายเดือนก่อน +4

    Maandi ili ya time lazima wawepo watimiza maandiko ninawahurumia maana jehamu nimahari pabaya

  • @lidyagadyaaminasana576
    @lidyagadyaaminasana576 7 หลายเดือนก่อน +12

    Huu ni uchafu mbele za mungu

    • @jamesndirangu2425
      @jamesndirangu2425 6 หลายเดือนก่อน

      Kivipisasa explain wewe msafi

    • @QwaridaNadamassay
      @QwaridaNadamassay 6 หลายเดือนก่อน

      Huo ni uchafuuuuu...ambaye hujaelewa basiiiii

    • @QwaridaNadamassay
      @QwaridaNadamassay 6 หลายเดือนก่อน

      Mungu asipoingilia Kati mmmmmh

  • @francislekula-fs1cj
    @francislekula-fs1cj 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @MwanaNgurumo
    @MwanaNgurumo 7 หลายเดือนก่อน +1

    Baba nabii nimekupenda sana mungu akubariki

  • @elieneapalangyo6938
    @elieneapalangyo6938 7 หลายเดือนก่อน +5

    Mboga hizo za mchungaji zimeletwa achague ile imenona

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 7 หลายเดือนก่อน +1

    👏👏👏

  • @akutiboysolomon9418
    @akutiboysolomon9418 7 หลายเดือนก่อน +1

    Wow! Great

  • @user-mw5om6tl1o
    @user-mw5om6tl1o 6 หลายเดือนก่อน

    Muz nabimuku unanibariki sana mimi nimucongomani

  • @AngelRupia-od2gu
    @AngelRupia-od2gu 7 หลายเดือนก่อน

    Yaani mtumishi wa MUNGU wahitaji tupi wengi mno ubarikiwe sana ❤❤❤

    • @DanielJackson-vd2jw
      @DanielJackson-vd2jw 6 หลายเดือนก่อน

      Muombe MUNGU akupe macho uone yaliyo nje ya fahamu na uono wa macho ya kibinadamu

    • @mimimimi-pg5uk
      @mimimimi-pg5uk 5 หลายเดือนก่อน

      aMINA dANIEL mungu ATUFUNGUE MACHO@@DanielJackson-vd2jw

  • @twahaismail9440
    @twahaismail9440 7 หลายเดือนก่อน +3

    Yani binadamu tumekua hatuna hofu ya mungu sasa dini gani inakubali ujinga huu

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 7 หลายเดือนก่อน +4

    Yaani jamani Mungu atupe macho ya rohoni

  • @user-gz7ds4mb6x
    @user-gz7ds4mb6x 7 หลายเดือนก่อน

    Tunaenda na wanao kwenda🎉

  • @praiseludutu4053
    @praiseludutu4053 6 หลายเดือนก่อน +1

    Majira sasa yapo jioni na ndege wote kwenye viota vyao Mwokozi yupo karibu na ujira wake

  • @user-qz4bk5zc8z
    @user-qz4bk5zc8z 7 หลายเดือนก่อน

    Bwana Yesu hakuwa na upendeleo hata sasa bado anatupenda jinsi tulivyo. TUOMBEANE TUCHUKULIANE MIZIGO. NI HERI KUTOA KULIKO KUPOKEA. MUNGU AWABARIKI WATUMISHI WOTE WAAMINIFU WANAOWAKUMBUKA WAHITAJI.

  • @sashalemmoh3264
    @sashalemmoh3264 6 หลายเดือนก่อน

    Embu shindweni kwajina la YESU

  • @agnessmalyeek9387
    @agnessmalyeek9387 4 หลายเดือนก่อน

    Baba uinuliwe sana❤

  • @klauskilamla1957
    @klauskilamla1957 6 หลายเดือนก่อน

    Mchungaji geordavie is the best.hongera Santa geordavie

    • @isaacomayio7768
      @isaacomayio7768 6 หลายเดือนก่อน

      Vitu za dunia hizo apeane neno na kuelekeza watu kwa njia ya ukweli

  • @ebenezermachange-zp4es
    @ebenezermachange-zp4es 7 หลายเดือนก่อน +1

    Oo Glory to God!!!

  • @lidyagadyaaminasana576
    @lidyagadyaaminasana576 7 หลายเดือนก่อน +4

    Kweli nabii hii ni Ibada au kufuru

  • @mwesi527
    @mwesi527 7 หลายเดือนก่อน +3

    End of the time,aminini kwamba

  • @hajimnzava1972
    @hajimnzava1972 7 หลายเดือนก่อน +1

    Watu wote Mungu anawapenda,tusijihesabie haki nakuwa zarau wengine,minakuambia hao wadada watatoka hapo wamehesabiwa haki,

    • @agnessima5032
      @agnessima5032 7 หลายเดือนก่อน

      Hakuna ajuaye.

    • @HappyMubiligi-hq9uv
      @HappyMubiligi-hq9uv 6 หลายเดือนก่อน

      Nisaidie na mm gali nalitaka au hata bajaji2 nitakushukuru

    • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
      @RubenMtuwaMungu-bz8ee 5 หลายเดือนก่อน

      Hujielewi unajua kanuni ya kuhesabiwa haki!? Ni kutubu na kuacha dhambi na si vinginevyo sasa hapo wametubu nini? Watu hawahukumu mtu kama kupinga uchafu ni kuhukumu basi hata kushuhudia mpagani habari za Yesu ni kuhukumu?

    • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
      @RubenMtuwaMungu-bz8ee 5 หลายเดือนก่อน

      Hujielewi unajua kanuni ya kuhesabiwa haki!? Ni kutubu na kuacha dhambi na si vinginevyo sasa hapo wametubu nini? Watu hawahukumu mtu kama kupinga uchafu ni kuhukumu basi hata kushuhudia mpagani habari za Yesu ni kuhukumu?

  • @user-gs8zo4dy1l
    @user-gs8zo4dy1l 7 หลายเดือนก่อน +2

    Daaah kweli tumefikia huku?

  • @rev.pasteuraimablebaobabt.v.
    @rev.pasteuraimablebaobabt.v. 7 หลายเดือนก่อน +1

    Yyyyyyyyyy 💜💜💜💜📖📖 ubarikiwe mtumishi

  • @signolinenikiza3710
    @signolinenikiza3710 7 หลายเดือนก่อน

    Nafurahi sana

  • @Rapezo
    @Rapezo 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu tuhulumiee sana

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 7 หลายเดือนก่อน +2

    Sasa hili ni kanisaa au vipi?

  • @user-kh2bm4ug9t
    @user-kh2bm4ug9t 7 หลายเดือนก่อน +2

    Mmmmh injili imevamiwa

  • @remigimtenga7608
    @remigimtenga7608 7 หลายเดือนก่อน +3

    Nabii mkuu una tabia mbaya!

  • @user-vz4xv7lg3x
    @user-vz4xv7lg3x 7 หลายเดือนก่อน +3

    Mke wa huyu jamaa anajisikiaje mumewe anavomsifia huyo msichana

  • @EliyaMwangobe
    @EliyaMwangobe 6 หลายเดือนก่อน +1

    Roho ya mtu ikifungiwa kwenye madhabahu basi hawezi kabisa kugundua BAYA Bali atakokotwa Hadi ....

  • @FidasMwaiteghelesya-hw9qs
    @FidasMwaiteghelesya-hw9qs 6 หลายเดือนก่อน

    Yaani mimi nawashangaa watu wa coment kila mtu amepewa eneo lake

  • @gideonelishadai100
    @gideonelishadai100 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nabii wa kuzimu

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 7 หลายเดือนก่อน +5

    Huyu ni mfanyabiashara sio nabii kajificha kwenye neno la Mungu

  • @user-zz7ep5of2m
    @user-zz7ep5of2m 7 หลายเดือนก่อน +2

    Inalilah waina lilah lajuuni

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn 7 หลายเดือนก่อน +1

    Barikiwa mtumishi wa mungu na mungu akulinde daima

    • @mazulacelestine3038
      @mazulacelestine3038 7 หลายเดือนก่อน +3

      We nae unasema ubarikiwe kwa kazi ipi ya Mungu??

    • @Aminmwansile-we8vn
      @Aminmwansile-we8vn 7 หลายเดือนก่อน

      @@mazulacelestine3038 ametenda kazi ya kitume na huo ndiyo utumishi

  • @alfredpaulokijangwa1229
    @alfredpaulokijangwa1229 4 หลายเดือนก่อน +1

    Lazima amuweke huyu dada maana sio kwa kumsifia huku.

  • @user-vs9pg9kg7q
    @user-vs9pg9kg7q 5 หลายเดือนก่อน

    Sku mungu akilud Dunian atashangaa kwan aliiacha ikiwa nzuri sana ila sasa imechafuka chafuka sana kana nichakula hakistahih kabsa kuluwa mungu atuhulumie jaman moto unatusubili

  • @glorychristopher7283
    @glorychristopher7283 7 หลายเดือนก่อน

    Mungu yupo wap

  • @user-yw5gc4dk4h
    @user-yw5gc4dk4h 3 หลายเดือนก่อน

    Kuna wagonjwa, mayatima, wanaotaka Karo ya shule who's need's are very urgent than this, is God really in this, help me choose

  • @akutiboysolomon9418
    @akutiboysolomon9418 7 หลายเดือนก่อน +2

    Wow! Amaizing,be blessed the prophet of God

  • @user-xt4mi5zs2s
    @user-xt4mi5zs2s 7 หลายเดือนก่อน +2

    Ndo mana makanisa yamekua mengi ni nyumba za biashara

  • @glorychristopher7283
    @glorychristopher7283 7 หลายเดือนก่อน

    Ee mungu jaman tusamehee

  • @BeullahBujah-lk3sx
    @BeullahBujah-lk3sx 7 หลายเดือนก่อน

    Be blessed Man of God

  • @mwesi527
    @mwesi527 7 หลายเดือนก่อน +2

    Kusali inachosha duh hii mpya

  • @jacsonbayyo3482
    @jacsonbayyo3482 7 หลายเดือนก่อน +1

    Yuko vizuri mzee wa watu hana baya

  • @user-vj7lo7tl6l
    @user-vj7lo7tl6l 6 หลายเดือนก่อน

    Hyu madamu abarikiwe na Mungu

  • @agnessmalyeek9387
    @agnessmalyeek9387 7 หลายเดือนก่อน

    Maisha mazuri ,mama na ya Baraka

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k 7 หลายเดือนก่อน +3

    The Today Christian they love commedian prichers

  • @user-sr3vb7fs9y
    @user-sr3vb7fs9y 4 หลายเดือนก่อน

    Na bado mpaka watavua nguo watembee uchi, wala MUNGU ajaagiza aya mambo.

  • @uthmanmaluja7005
    @uthmanmaluja7005 5 หลายเดือนก่อน

    Hili lizee linasumbuliwa na tamaa tuh hakuna chochote linawawinda liwachape baas hakuna Cha hakuna Cha jina la yesu Wala jina la Paulo hapo....

  • @alfaksadibehuta7960
    @alfaksadibehuta7960 7 หลายเดือนก่อน +4

    Uchafu uchafu uchafu uchafu uchafu uchafu uchafu uchafu uchafuuuuuuuuuuu!!!!!!!!

  • @GeorgeChitemo-kt8sw
    @GeorgeChitemo-kt8sw 7 หลายเดือนก่อน +5

    Yani bado kuna watu wanamuhita huyu NI mtumishi wa Mungu?? Huyu NI muabudu shetani mkubwa Sana Yani huyu wakala wa kuzimu aslimia miamoja kabisa

    • @goldenvibeztz8579
      @goldenvibeztz8579 7 หลายเดือนก่อน +1

      Anakusanya nafsi tu kuzipeleka kuzimu maskini

    • @machachehardware5975
      @machachehardware5975 7 หลายเดือนก่อน

      Tokeni huko na umaskiñi wenu mawazo dumavu hayo

    • @GeorgeChitemo-kt8sw
      @GeorgeChitemo-kt8sw 7 หลายเดือนก่อน +1

      Machache hunaakili Nani masikini MTU aliye na Mungu wa kweli huwa anakuaga masikini ??? Lazma tukemee ushetani wa hadhalani wa geodev

    • @nicebatare2737
      @nicebatare2737 7 หลายเดือนก่อน

      Umaskini unakusumbua na makasiriko

  • @cosmassisa5256
    @cosmassisa5256 7 หลายเดือนก่อน +7

    Unahitajika ukumbozi wa kifkra aisee. Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa

    • @mwesi527
      @mwesi527 7 หลายเดือนก่อน

      Kabisaaa

    • @agnessima5032
      @agnessima5032 7 หลายเดือนก่อน

      Ukombozi wa kifikra ni moja ya utajiri mkubwa sana.❤

  • @mamakhadijah2352
    @mamakhadijah2352 7 หลายเดือนก่อน +5

    Hii ndo inaitwa mtawatambua kwa matunda yao yaani mkono mmja unakemea uovu mkono mwingine unauunga mkono Mungu atusaidie tujue kwamba shetani huja kwa njia nyingi

  • @christinakomba689
    @christinakomba689 27 วันที่ผ่านมา

    Duuuuuuuuh!

  • @dorahpatrick6698
    @dorahpatrick6698 7 หลายเดือนก่อน

    Mungu akuzidishieee

    • @peterntora5041
      @peterntora5041 7 หลายเดือนก่อน

      Amzidishie uchafu huo?

  • @mpesastatements2265
    @mpesastatements2265 6 หลายเดือนก่อน

    Huyu si mtu wa mungu pepo

    • @lilianeerica3318
      @lilianeerica3318 6 หลายเดือนก่อน +1

      Anachaguliwa walembo wakula vichocholoni😢😢😢😢

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 4 หลายเดือนก่อน

    Mmmmh,si kwa unabii huo jaman!!!

  • @SalmaAlly-dg3xn
    @SalmaAlly-dg3xn หลายเดือนก่อน

    baba na mm nione😢ninamayatimaa nawasomeshaa