KIVUMBI LEO RC MAKONDA AZUWIYA NYUMBA YA KIFAHARI KUTOKA MIKONONI KWA MATAPELI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ส.ค. 2024
  • #AdilTV

ความคิดเห็น • 42

  • @hbdina
    @hbdina หลายเดือนก่อน +11

    🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Makonda neno moja tu kutoka kwangu.Baba Mungu Jehovah akulinde akupiganie kwa jina la Yesu Kristu Amina

  • @MansourAbubakar-l2b
    @MansourAbubakar-l2b หลายเดือนก่อน +9

    Makonda masikini mwamba huyu Mungu akulinde mwamba

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 หลายเดือนก่อน +7

    Asante sana mama Samia kwakumchagua Makonda.

  • @justinelukumay5308
    @justinelukumay5308 หลายเดือนก่อน +3

    Mh Makonda Mungu akulinde Moyo wako dhidi ya Hao wanyonyaji wa Wanyonge

  • @RutaEmmaMachumu
    @RutaEmmaMachumu หลายเดือนก่อน +2

    Kwanza n Tapeli kawadanganya eti ni officer wa Police, na huyo mwanasheria nae n Tapeli hata Elimu yake haitomsaidia maana hasimamii haki, anajidai eti wamemsikiliza... Mtu msomi kwl kw maelezo ya mkataba hata km ungekuwa sio msomi unaona sio sahihi kabisaa! God bless you Rc, Makonda

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 หลายเดือนก่อน +6

    Mtaa mzeesha Makonda jamani😂😂😂😂.maskini mama wawatu pole mama

  • @manaseliberatus1347
    @manaseliberatus1347 หลายเดือนก่อน +3

    KAMA NDO HIVYO HII TANZANIA WATU WENGI SANA WATAKUWA WAMEDHULUMIWA

  • @TabithaObellykasangila
    @TabithaObellykasangila หลายเดือนก่อน +3

    Mungu tunaomba ulinzi wako kwa mwanao Makonda umlinde na mtunze kila hatua

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk หลายเดือนก่อน

    Makonda kama Traore na Magufuli...Mungu akuongoze ufikie malengo yako kuwa Rais..Huyo tapeli mkubwa apigwe spana na afunguliwe mashtaka...Mr Makonda hongera kwa kazi

  • @minanielikana
    @minanielikana หลายเดือนก่อน

    Makonda endelea na ukabithi Mungu aliogukathi.
    Shika taa la Mungu undelete utawala Wa hekima.

  • @mohamedwwnurumasagcom8171
    @mohamedwwnurumasagcom8171 หลายเดือนก่อน

    Ahsante rais Samia kwa uteuzi wa Paul Makonda, hakika ni mtetezi wa haki za wananchi

  • @BoisDonkoil-rk8lr
    @BoisDonkoil-rk8lr หลายเดือนก่อน +1

    Nimeipenda..... Makonda akiona mnataka kujichanganya kuvurugana anawatumbuiza hisia zinakuwa zingine inahamasisha utulivu

  • @mandileykiritokangai3042
    @mandileykiritokangai3042 28 วันที่ผ่านมา

    Makonda mungu akulinda mweshmiw

  • @AureusLupogo
    @AureusLupogo หลายเดือนก่อน

    Mungu Akubariki Kwa kazi ya kuwasaidia nakuwatetea wa nyonge

  • @olivermassau5695
    @olivermassau5695 22 วันที่ผ่านมา

    Mungu akubariki, Sana

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 หลายเดือนก่อน +1

    Makonda mungu akupe maisha malefu

  • @user-ex9gt9np8i
    @user-ex9gt9np8i หลายเดือนก่อน +2

    Fanya kazi makonda

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 หลายเดือนก่อน

    MAKONDA MUNGU AWATANGULIE KATIKA KAZI ZAKO ASANTE KWA KUONA HAKI YA HUYU BIBI❤

  • @HamisMasele-tb7lj
    @HamisMasele-tb7lj หลายเดือนก่อน +1

    Nahitaji sku1 Tanzania ikuchangue uwe rais

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 หลายเดือนก่อน +1

    Arusha .kweli Makona shafisha shafi hao

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 หลายเดือนก่อน +1

    Ayubu amegushi nyaraka anataka amzurumu mama 😢😢😢😢😢 eeeeeejamani

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 20 วันที่ผ่านมา

    Ndio waliokupa sume hao. Mtenda haki siku zote hawapendezi kwa watu.

  • @ibrahimrutta464
    @ibrahimrutta464 หลายเดือนก่อน +1

    Nikisikiliza mkuu wa mkoa napata kugundua mama ana kazi ya ziada ana wafanyakazi hewa wengi hawatatui shida za wananchi

  • @juliusntandu4302
    @juliusntandu4302 หลายเดือนก่อน

    God bless Sir 🙏🙏

  • @MusawitsonskanaMusawitso-iy4vh
    @MusawitsonskanaMusawitso-iy4vh หลายเดือนก่อน

    Makonda mungu akubaliki sana

  • @thuweiybab3338
    @thuweiybab3338 หลายเดือนก่อน +1

    Na kama ananyamazishwa hataki umenyamaza. No bora aruhusiwe anarudi nyumbani. Mana hakuna hapo kwa julia ili a kenge mkubwa' PUMBAVU

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli kazi kazi moyo wangu naukuimbie jinsi 😂😂😂

  • @oneonego705
    @oneonego705 หลายเดือนก่อน

    Ase unatisha kwa kutenda haki

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 หลายเดือนก่อน +1

    Dhuluma mbaya

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm หลายเดือนก่อน

    Wa awake wa nchi hii wanateseka jamani. Wametuzaa hatuna heshima mpaka wana kufa. Ni Kaan’a tupu. Tuna Raisi na speaker mwanamke. Tutafanyaje tupate mabadiko nchi hii.Tunahitaji sheria zitende kazi na si kuomba dini wakati wa kazi Za serikali. Sheria safi, haki na katiba mpya. Udisi gize dini.

  • @user-mw9md1iq1n
    @user-mw9md1iq1n 20 วันที่ผ่านมา

    Kunawingine kweli

  • @user-is6np5vf6b
    @user-is6np5vf6b หลายเดือนก่อน

    Namuona afisa mtendaji aliyepandishwa cheo nafarijika sana

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 หลายเดือนก่อน +1

    Wapige spana hao wamezidi😂😂😂😂😂

  • @gildopitapita1383
    @gildopitapita1383 หลายเดือนก่อน +1

  • @thuweiybab3338
    @thuweiybab3338 หลายเดือนก่อน

    Najua huyu mama analia kwa uchungu..

  • @elipokeaakyoo6858
    @elipokeaakyoo6858 หลายเดือนก่อน

    Mweshimiwa makonda na wanyakazi wa sgr atujaingiziwa pesa zetu nssf Kwa mwaka Moja na nusu sasa unatusaidiaje na Kila mwezi tunakatwa mkuu

  • @sujaiazicani9510
    @sujaiazicani9510 หลายเดือนก่อน

    ok

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm หลายเดือนก่อน

    Huu si Maktaba, ni utapeli mtupu. Kamtapeli bibi.wote maw akili hawana şifa yoyote.

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 หลายเดือนก่อน

    Arudishiwe kilo 5 yake asepe

  • @JosephMwaipopo-px4wi
    @JosephMwaipopo-px4wi หลายเดือนก่อน

    Mama amrudishe huyu kwenye uwenezi ni kamanda kwelikwel

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g หลายเดือนก่อน

    Piga spana hao

  • @mariomachecajoaquim1921
    @mariomachecajoaquim1921 หลายเดือนก่อน