WAZIRI SILAA ALIVYOKATAA RUSHWA YA MIL.300/=, KUTOKA KWA MATAJIRI WA KITUO CHA MAFUTA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
  • #itvtanzania #silaa #rushwa
    Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
    Subscribe to our TH-cam Channel : bit.ly/itvtanzania
    Facebook : bit.ly/2KeQNl3
    Twitter : bit.ly/2XG7aii
    Instagram : bit.ly/34KItmg

ความคิดเห็น • 117

  • @frankmwakibingafm5266
    @frankmwakibingafm5266 9 หลายเดือนก่อน +8

    Mungu akubariki waziri Rushwa ni adui wa haki Hongera sana

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 9 หลายเดือนก่อน +20

    Mngekua mnatoa haki kwa watu wa Hali ya chini pia mngetisha sana,lkn uyo mwekezaji kajenga sehemu ya vigogo lazima atolewe lkn vipi wananchi wa Hali ya chini???This is not fair kwa kweli😢

    • @kwayaviwawaparokiayabashne9281
      @kwayaviwawaparokiayabashne9281 9 หลายเดือนก่อน +1

      Kweli kabisa umenena

    • @mussarashid2216
      @mussarashid2216 9 หลายเดือนก่อน +1

      Waziri anajitoa KIFUA MBELE kisa KITUO cha MAFUTA kakataa Mill 300 lakin kuna Wananchi WAMEBOMOLEWA huko nyumba zao mpaka RC kaenda baada ya Waziri kwenda kusaidia mamia wanaolala nje eti kwa vile TIBAIJUKA na bado analala ndani lakin WAZIRI kaenda nchi hii bana

    • @feisalboy6702
      @feisalboy6702 9 หลายเดือนก่อน

      Siasa mbaya hizi

    • @fidemgonja1966
      @fidemgonja1966 9 หลายเดือนก่อน

      Kwaiyo gbp kajichanganya. Kujenga eneo la vigogo😀😀😀

    • @SaidiMkome-qq7hy
      @SaidiMkome-qq7hy 3 หลายเดือนก่อน

      Tatizo ufatilii uyo jamaa au umecoment tyuu😂😂

  • @sunyareh
    @sunyareh 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki Kwa kila siku ya Maisha yako.. Asante kwa kua Mzalendo halisi shujaa wa kipigania haki..

  • @shalomchaula4420
    @shalomchaula4420 9 หลายเดือนก่อน +3

    Mh waziri kama kweli uko na haki na unasimamia neno la MUNGU basi Mungu atakulinda na kukupa heshima ambayo pesa kwako haitakuwa ni kitu ila atakupa nafasi ambayo heshima yake itakuwa juu na mbinguni atakungoja kukulaki Kwa uwaminifu wako katika dhamani hii ....ukuwengine makampuni binafsi yameharibu maeneo yetu wamepitisha BARABARA kupasua maeneo yetu na kusababisha viwanja viingiliane Sana dodoma ....mh waziri hii Kazi Mungu akushike mkono Kwa kukupa afya ,nguvu ,hekima na maarifa mwili wako ufumwe na kulindwa na damu ya Yesu

  • @michaelayubu9100
    @michaelayubu9100 9 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu akutunze mh waziri

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy4391 9 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu akubariki baba. Rushwa ni adui wa haki.

  • @OsmundKipengele
    @OsmundKipengele 6 หลายเดือนก่อน

    Hongera Mh. Waziri wa Ardhi na MAENDELEO ya Makazi. Watanzania wako anataka kumharibia WEWE na Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

  • @FurahaMwajeka
    @FurahaMwajeka 7 หลายเดือนก่อน +2

    Good speach mh.slaa

  • @fadyaarif5909
    @fadyaarif5909 9 หลายเดือนก่อน +3

    Hongera sana Mh waziri

  • @zakiamseka9698
    @zakiamseka9698 9 หลายเดือนก่อน +3

    Congratulations Mheshimiwa wewe kama mimi rushwa hapana

  • @Dorka12-n7b
    @Dorka12-n7b 3 หลายเดือนก่อน

    Hongera siraa wewe ni mja mungu barikiwa sana

  • @Ezekiel-rh2ni
    @Ezekiel-rh2ni 7 หลายเดือนก่อน +3

    For sure waziri yupo vzr kwenye swala la sheria

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 7 หลายเดือนก่อน +2

    Mwenyez mungu akubariki wazir

  • @edisonkalikawe7618
    @edisonkalikawe7618 9 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu akubaliki sana🙏, kwa kulishinda pepo la tamaa

    • @ruhindacostantine2092
      @ruhindacostantine2092 9 หลายเดือนก่อน

      Hongera sana ndugu waziri nilikuwa ckujui vzr leo nimekufahamu

  • @MgoriHc
    @MgoriHc 9 หลายเดือนก่อน +2

    Waziri Ana chembechembe za ukaburu. Kumwambia mfanyakazi si mzaliwa wa kinondoni ni ubaguzi usio na tija. Mngempanga alikozaliwa kama sehemu aliyozaliwa ni muhimu

  • @endwardntandu3736
    @endwardntandu3736 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hakika waziri slaa na mh makonda ninyi ni wazalendo wa watanzania mungu aendelee kuwalinda

  • @erickzephania1030
    @erickzephania1030 9 หลายเดือนก่อน +2

    Jerry kama ni kweli umekataa hiyo hela, Mungu atakuongezea mara 10 zaidi. Ubarikiwe

    • @FurahaMwajeka
      @FurahaMwajeka 6 หลายเดือนก่อน +1

      Ni kushinda tamaa post to ya uwaziri Ina posho nzuri sana mshara nzuri, kiukweli ukishinda tamaa cheo tu kinatosha say ukihudumu 3 to 5years or ten kazi tu acha vibahasha vya kawaida visivo rushwa... Kahawa ama lunch ... Uwaziri unatosha

  • @salumally663
    @salumally663 9 หลายเดือนก่อน +3

    Vizuri sana mheshimiwa barabara kwenda moroco vituo vya mafuta kama upupu....this is madness...

  • @emmanuelsitayo1977
    @emmanuelsitayo1977 9 หลายเดือนก่อน +1

    Bravo waziri.
    Waoneshe kuwa sio kila kiongozi anapokea rushwa.
    Pesa zao ni mauti ya wanyonge.

  • @judicalosika7642
    @judicalosika7642 9 หลายเดือนก่อน +3

    MILION MIA TATU (300,000,000/=)
    YAANI UNAPEWA TU!,
    YAANI UNALETEWA!!
    YAANI UNAIMBEWA TU MILLIONI Miatatu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
    Haka ka-Nchi Katamu Mno!

  • @ayubujohn8320
    @ayubujohn8320 4 หลายเดือนก่อน +2

    Waziri Yuko vizuri ila Hilo bango linaziba mpaka video wakuu

  • @francomwalutende7864
    @francomwalutende7864 9 หลายเดือนก่อน +1

    Well said honorable

  • @GodlivenMaximillian-ot7mg
    @GodlivenMaximillian-ot7mg 9 หลายเดือนก่อน +2

    Tumewekwa hapa kuwa "The voice of the voiceless" hilo ni Jambo kubwa Mh. Waziri

    • @josee8224
      @josee8224 9 หลายเดือนก่อน

      voiceless wenyewe sasa...1 Tibaijuka...2...3...4....

  • @ephraimndelwa4073
    @ephraimndelwa4073 9 หลายเดือนก่อน +4

    Waziri huyu nilikuwa simpendi tangu wkt wa bandari, sasa nampenda kwa maelezo yake

  • @edwinmbelle4207
    @edwinmbelle4207 9 หลายเดือนก่อน +3

    Hongera sana kwa msimamo wa kizalendo , karibu sana Yombo vituka kuna kiwanda kimejengwa kwenye makazi ya watu pia ! Serikali ya mtaa Mzambarauni Kata ya Yombo Vituka, ukuta wa kiwanda umejengwa kwenye hifadhi ya barabara.

    • @feisalboy6702
      @feisalboy6702 9 หลายเดือนก่อน

      Hilo sahau Kaka lbd muwe mnakaa na washua huko

  • @husseinadolf9500
    @husseinadolf9500 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu akujalie kila la ghery in sha Allah

  • @SillinusNyanda
    @SillinusNyanda 9 หลายเดือนก่อน +2

    Nimekufurahia sana.Sipendi RUSHWA kabisa.

  • @tanzaniantraveller
    @tanzaniantraveller 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kwakweli MUNGU amemmulikia mh. rais wetu kuwapata viongozi wa namna hii

  • @SiwemaAnwar
    @SiwemaAnwar 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki sana

  • @IsmailElmazroui
    @IsmailElmazroui 5 หลายเดือนก่อน

    Allah akubarik kiongoz

  • @estherngela9765
    @estherngela9765 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki baba wewe na Makonda mnawafuta machozi wanyonge na walio onewa. Wenye pesa hutumia nguvu kudhulumu watu.

  • @maggiehiza5884
    @maggiehiza5884 9 หลายเดือนก่อน +3

    Umeonyesha ujasiri.
    Miji inaharibika sana.

  • @LevinantAoko
    @LevinantAoko 3 หลายเดือนก่อน

    Hata sisi huku Kenya tunataka jeshi kama huyu ,kijana mdogo lakini akili inalingana na karai ,hekima kama yote ,Mungu amewaleta ilimsaidie wanyonge tz ,ooh God ,tuletee kama Hawa ,Makonda ,silaa.

  • @AllyDaudiNgoyeji
    @AllyDaudiNgoyeji 9 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana Ndugu Waziri,matajiri nchi hii wamekuwa miungu kabisa.Tangu huyu tajiri aanze kujenga ,Je ,mlolongo wa viongozi hawakuliona Hilo Hadi Mama yetu Tibaijuka na wenzake walipoenda site wakiambatana na NduguChalamila?Hapa iliyotumika ni rushwa tu.Huyu Mkuu wa PCCB hakuona kilichokuwa kinafanyika hapo?Huyu Ndugu yetu wa PCCB kazi hiyo haiwezi,kwani kila mahali rushwa imekuwa jambo la kawaida tangu mwenda zake aondoke.

  • @MussaFundi-rt3wr
    @MussaFundi-rt3wr 6 หลายเดือนก่อน

    Daa,,,,,! Viongoz km nyinyi ndo tunaowataka. M\mungu hemu wafichue viongoz wengine km huyu.

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi5985 9 หลายเดือนก่อน +1

    Yeah!Kufuata taratibu ni muhimu ila pia tusizipige vita sheli ni huduma 😢 sana kwa jamii pia hukuza miji na kufanya ipendeze .Siku ukikosa mafuta ndo mtajuwa umuhimu wa sheli

    • @mohamedmbalazi748
      @mohamedmbalazi748 9 หลายเดือนก่อน

      Huu ujumbe haupo sehemu sahihi

  • @EvaKiswaga-j2o
    @EvaKiswaga-j2o 9 หลายเดือนก่อน

    ndio maana magufuli aliwafilisi.sheria sheli ijengwe pembeni sio kwenye makazi ya watu. Kila kona sheli. Hamisha watu. Weka sheli. Sio haki. Wenye viti wananjaa hao. Hawana ubinadam. Uko vizuri sana jery

    • @edwardjohn1507
      @edwardjohn1507 9 หลายเดือนก่อน +1

      Wakati wanajyenga awo mawaziri warikua wapi naserika

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk 9 หลายเดือนก่อน +1

    Jerry umezingua, unakataaje million 300

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 9 หลายเดือนก่อน

    Safi sana

  • @LEO-uq6el
    @LEO-uq6el 9 หลายเดือนก่อน

    Jembe langu la pili jerry slaa baada ya chalamila safi good reasoning

  • @estomiailomo7844
    @estomiailomo7844 6 หลายเดือนก่อน

    Najua ww ni msikivu kuna kituo mkoa wa songwe kimejengwa kalibu na kituo cha police je ni sahii hii kweli

  • @camiliuskilenga6304
    @camiliuskilenga6304 9 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli mueshimiwa waziri haki huinua wengi bali dhambi niaibu MITHAL 14:34.

  • @fredymapunda1768
    @fredymapunda1768 9 หลายเดือนก่อน

    He sound so good

  • @julianamassawe2508
    @julianamassawe2508 5 หลายเดือนก่อน

    Tunakuomba na huku kwetu jamani Mungu akuweke jamani

  • @chrispinboniface3329
    @chrispinboniface3329 9 หลายเดือนก่อน +1

    Unafanya vzur sana, lakin usipoangalia nchi hii imejaa wahuni sana

  • @juliusngavatula243
    @juliusngavatula243 9 หลายเดือนก่อน +1

    Bloo geuza shiling

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 9 หลายเดือนก่อน

    Njoo Morogoro barabara inayoenda Dodoma ( Dodoma - Njovu) barabara iko upande wa kulia kutoka Msamvu round about ni km 25 na hiyo barabara inaenda kukutana na Iringa road na junction ya Mzumbe University,
    Kuna kituo cha Petrolium kinajengwa hapo kwenye junction ya barabara ya Dodoma na Vunjo ni barabara ya vumbi bado haijawekwa lami na ni makazi ya watu
    Please Mh Slaa tunakuamini na kukujali na utakuja Morogoro
    Be blessed🙏🏼🙏🏼

  • @EstherYoram
    @EstherYoram 3 หลายเดือนก่อน

    Natamin na mm nipate hiyo nafasi yani hata aloibiwa au kuzurumiwa chochote hata mia angeipata.

  • @zawadjose5440
    @zawadjose5440 6 หลายเดือนก่อน

    Fanya kazi tunakuombea waziri

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrika 9 หลายเดือนก่อน

    Hili ni tatizo kubwa. Ndiyo yaleyale ya wazo wananchi kujenga nyumba moja mpaka 400 ndiyo waje waamishwe bila kujali hasara wanayo pata. Na mamlaka usika ilikua inawangalia tu. Ili tatizo.wawajibishwe kwanza mamlaka usika.

  • @RobertsKibasa
    @RobertsKibasa 9 หลายเดือนก่อน

    Ni janga la kitaifa, ujenzi wa vituo vya mafuta hata kwenye makazi ya wananchi, ni hatari kwa maisha ya wanadamu, kama sheri ipo, wale wote waliokiuka visima hivyo vibomolewe na siyo vinginevyo.

  • @salumjabir813
    @salumjabir813 2 หลายเดือนก่อน

    Watanzania tumekosa imani..kiasi kila ki nachozungumzwa hatujui ni kweli au so kweli...unaongea kwa haki...lkn ukweli uliofchkana mnajua wawili tu..wewe na mungu wako.

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 9 หลายเดือนก่อน

    Ni upande wa kushoto kuelekea Dodoma ukitokea Morogoro Msamvu round about ni Dodoma rd / Njovu

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 9 หลายเดือนก่อน

    Karibu Tabata segerea vinaota kama uyoga

  • @MagidaFafa
    @MagidaFafa 6 หลายเดือนก่อน

    Waziri chukua izo milioni mama Samia aaminiki ho utakuja kushukuru baadae

  • @mussarashid2216
    @mussarashid2216 9 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa hiyo hapa Waziri kaenda kwa ajili ya TIBAIJUKA na sio matatizo ya WANANCHI

    • @Jackson-Novat
      @Jackson-Novat 9 หลายเดือนก่อน +2

      Kwani TIBAIJUKA sio mwananchi??😂😂

    • @mussarashid2216
      @mussarashid2216 9 หลายเดือนก่อน

      @@Jackson-Novat Kama ingekuwa wananchi wa kawaid kwao ndo kumeeka ichi KITUO cha MAFUTA waziri asingeend na hata RC usingemuona ila kwa vile ni TIBAIJUKA basi serikali imesogea haraka sanaaaaa....
      Na ndo maana nimesema TIBAIJUKA na sio WANANCHO kwa vile TIBAIJUKA sio mwananchi na ukitaka Amini hilo basi leo kwako kuwe na tatizo kama hili ndo utajua we MWANANCHI na wengin sio wananch

  • @fadhilikyandofadhilikyando5666
    @fadhilikyandofadhilikyando5666 4 หลายเดือนก่อน

    Jamanii huyu jamaa mwambaaaa huyu

  • @josee8224
    @josee8224 9 หลายเดือนก่อน +1

    tunataka ajira vijana,changamoto zilizopo zitatuliwe ila kituo hicho kina faida,kodi kwa serikali, na ajira.

    • @ramadhanishabani807
      @ramadhanishabani807 6 หลายเดือนก่อน

      Atatue changamoto sio kusimamisha matumiz

  • @suleimansalym7537
    @suleimansalym7537 9 หลายเดือนก่อน

    Just imagine tu kma kimejengwa Mbagala au sehemu nyengine yenye watu wasio na sauti hapo Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa tu angetosha ku sort hili jambo na wananchi wangeshindwa maana kma hivi vipo tele lkn hakuna anaesema.😂😂😂😂

  • @CollinsngasalaGhambi
    @CollinsngasalaGhambi 7 หลายเดือนก่อน

    Swala ardhi naona hata selikali inachangia mgogoro sababu hawajweka utaratib mzuri mfano tz ni inchi kubwa Sana lakn utakuta watu wanauana sababu ya kiwanja 7*7 😅 utajiuliza tatizo Kuna tatizo la viwanja jibu ni hapana mfano kufatilia tuu hatimiliki inaweza kukuchukua hata miaka 10

  • @MpokiHezron
    @MpokiHezron 9 หลายเดือนก่อน

    Njoo Na Morogoro tuna Hati zetu zimefutwa na hatuelewi lini tunarudishiwa

  • @wilbatnyato4679
    @wilbatnyato4679 9 หลายเดือนก่อน

    Sasa si awapeleke Takukuru hao watoa rushwa?

  • @patrickmipawa1552
    @patrickmipawa1552 9 หลายเดือนก่อน

    Mh.Waziri shughulikia pia na miradi ya viwanja vya PSSSF hasa mikoa ya Shinyanga na Tabora, wananchi tulionunua tumemaliza malipo yote lakini kupewa hati zetu imeshindikana kabisa, kila kukicha chenga tu, majibu hayaeleweki na pia wanadai wizara yako ndio inakwamisha.

  • @alfredmbwilo7354
    @alfredmbwilo7354 9 หลายเดือนก่อน

    Kimara waziri kituo cha mafuta

  • @justinmtuku2632
    @justinmtuku2632 9 หลายเดือนก่อน

    Nakuomba utoe namba mkuu tukupigiye tukuambiye kaka

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 9 หลายเดือนก่อน

    Watu wengine wesha piga pesa hapo mpka kupewa kibali fanya operation nchi nzima wapigaji wengi tu Tzd

  • @MathewDamson-bo1kk
    @MathewDamson-bo1kk 3 หลายเดือนก่อน

    Kati kati ya mtaa wa congo kuna jengo linajengwa... pesa imeushinda mtaa wa congo

  • @ZainabuBakari-g8e
    @ZainabuBakari-g8e 9 หลายเดือนก่อน

    Watu Wametumia Pesa Zao..Afu Mnaleta Ubabe...Wabomowe Subilini...Makombola...Amisi Kigwangara Yupo Wapi

  • @WilbertMalula-vv7ml
    @WilbertMalula-vv7ml 9 หลายเดือนก่อน

    UMEONA UJILIPUE MAANA MAMA ANGEWATUMBUA PESA BWANA

  • @clementgabriel1708
    @clementgabriel1708 9 หลายเดือนก่อน

    WAZIR KAMA HAITAKIWI BASI NI JANGA LA TAIFA ZUNGUKA NCHI NZIMA UJIONEE MWESHIMIWA NA USHUGHULIKIE NA WANAOWAPATIA VIBALO MAKE SIZANI KAMA WANAJENGA BILA VIBALI

  • @alfredmbwilo7354
    @alfredmbwilo7354 9 หลายเดือนก่อน

    Kimara Kaka kituo kipo barabarani kabisa unasemaje hapo waziri

  • @SalumuMnzava-s4y
    @SalumuMnzava-s4y 6 หลายเดือนก่อน

    Ukowap mheshimiwa waziri

  • @aganolamotoeliya2027
    @aganolamotoeliya2027 9 หลายเดือนก่อน

    Ngoja nione kama utapambana nao maana hivyo vituo vya mafuta ni vya vigogo huko huko serekalini utanyazishwa mda wowote.

  • @MzeeMkoloni
    @MzeeMkoloni 3 หลายเดือนก่อน

    MUNGU AKUBARIKI KIONGOZI BORA

  • @SimeonCharles-j5x
    @SimeonCharles-j5x 9 หลายเดือนก่อน

    Kuna tibaijuka hapo lazim rushwa uiteme

  • @peterbuberwa
    @peterbuberwa 9 หลายเดือนก่อน

    Ivyo vituo vya mafuta sikuhizi vinaotesha tu kama uyoga Kila seem sasa ivi kunajengwa vituo vya mafuta tu

  • @ndiditheodore8272
    @ndiditheodore8272 9 หลายเดือนก่อน

    300m ni ndogo Sanaaa Ingekuwa ya DP????

  • @seifsaidseifsaid1210
    @seifsaidseifsaid1210 9 หลายเดือนก่อน

    Serikali mnakuwa wapi mpk vituo vinajengwa zaidi ya 200 kwny makazi ya watu. Km sio usanii ni nini. Mnatuletea hadithi ya habunuasi! Wenye akili zao hawadanganyiki.

  • @kyztzgroupltd9370
    @kyztzgroupltd9370 9 หลายเดือนก่อน

    Sasa za bongo

  • @mzeebabumzee
    @mzeebabumzee 9 หลายเดือนก่อน

    nasisi uku wanyonge siyo aotu wastafu

  • @JaziraMustafa-g9p
    @JaziraMustafa-g9p 7 หลายเดือนก่อน

    FIDA HUSSRIN NI JAMBAZI WA KUWADHULUMU WANYONGE MALI ZAO MAJUMBA NA VIWANJA VYAO

  • @SinnaAkilimali
    @SinnaAkilimali 9 หลายเดือนก่อน

    Njoo kasuru kuna mtu amepewa kibari cha kujenga karibu sana na mnara wattcr kasuru ukichelewa tuu utakuta ashaa jenga usipuuzie njoo uone au tuma vijana waje kuona

  • @SalumuMnzava-s4y
    @SalumuMnzava-s4y 6 หลายเดือนก่อน

    Ukowap shekhe

  • @madalanasri2226
    @madalanasri2226 9 หลายเดือนก่อน

    Huyu akili kubwa kama makufuli

  • @petermhagama9952
    @petermhagama9952 9 หลายเดือนก่อน +1

    NJOO NJOMBE MJINI HAPA JEMBE WAMEJENGA KAMA UYOGA NA MADUKA NDANI.

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 9 หลายเดือนก่อน

    Mh sio she'll tu na shule vipi

  • @samtelah7578
    @samtelah7578 9 หลายเดือนก่อน

    Nltaka kusema kitu bas tu ngoja ninyamaze

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 9 หลายเดือนก่อน

    Kibomolewe hakieti raha ni uchafu

  • @sundaymjeda6468
    @sundaymjeda6468 6 หลายเดือนก่อน

    😅😮😅😮

  • @ramadhanikassimu
    @ramadhanikassimu 9 หลายเดือนก่อน

    Bro achanae uyo

  • @seifsaidseifsaid1210
    @seifsaidseifsaid1210 9 หลายเดือนก่อน +1

    Siasa ni mchezo mchafu sana. Wajinga ndio walio. Watanzania bdo kabisa hatujitambui. Wepesi wa kuamini!

  • @tumainiellyimo4657
    @tumainiellyimo4657 7 หลายเดือนก่อน

    Baba waziri ruka nao hao,hapo walahi tatizo lipo.Gorofa nne inajengwa kibanda.Mkuu fanya jukumu lako mh!kama vp bomoa kabisa

  • @ClalenceMtewele-ke1hq
    @ClalenceMtewele-ke1hq 9 หลายเดือนก่อน

    Aaaa makete na wanging'ombe

  • @komuhsengo9796
    @komuhsengo9796 9 หลายเดือนก่อน

    Kwa mini hukumripoti takukuru, hapo tungeweza amini maana mtoa rushwa ni mkosaji kuliko hata aliyekusudia maana hukumuomba, chukuwa uko sahihi lkn lazima takukuru wahusishwe❤

    • @FurahaMwajeka
      @FurahaMwajeka 6 หลายเดือนก่อน +1

      Aaa takukuru Kuna nn hamna kitu baana wewe Bora mara mia kwa kuwa walimtumia rafiki yake hata angemripoti mtu awezaye kuotoa milioni 300 takukuru watamfanya nn watamzunguka waziri wataenda kwa mtoa rushwa kuvujisha Siri kwa 2milion hata 1milion asiitoe ni mtego hivi ndugu yangu unanielewa

  • @ramadhanikassimu
    @ramadhanikassimu 9 หลายเดือนก่อน

    Aokinatibajuka wambi wenge makamani

  • @hamadsheni8997
    @hamadsheni8997 9 หลายเดือนก่อน

    KASHULIKIE PALE GETI LA STEND YA MABUS YA MSAVU KUNAKITUO HILO ENEO LA SERIKALI.AFROIL AMEPATAJE.HAPO NDO NTAJUA UNACMAMIA HAKI.

    • @alisuleiman9627
      @alisuleiman9627 9 หลายเดือนก่อน

      Hongera waziri kwa kazi mzuri

  • @mascheranozuber3672
    @mascheranozuber3672 9 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂😂