"TAKUKURU MCHUNGUZENI HUYU" - WAZIRI MKUU KWA HASIRA AANIKA MADUDU YA AFISA ARDHI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
  • "TAKUKURU MCHUNGUZENI HUYU" - WAZIRI MKUU KWA HASIRA AANIKA MADUDU YA AFISA ARDHI
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

ความคิดเห็น • 345

  • @pastorb.alaurent1006
    @pastorb.alaurent1006 ปีที่แล้ว +26

    @ Mungu akubaliki kwa kazi nzur kama umefrahia mamzi ya waziri mkuu like hapo chin

  • @ELEONORARUBANZA
    @ELEONORARUBANZA 3 หลายเดือนก่อน

    Genius Kasim Majaliwa sema daaaaah juu wana kukazia HUJAWAH ONEA MTUU NA HUTO ONEA MTUU Ishii sanaa jembe

  • @tonypaul426
    @tonypaul426 ปีที่แล้ว +35

    NamkubaL huyu mwamba .....MUNGU akulinde FATHER✊✊

  • @absalomnamoyo7176
    @absalomnamoyo7176 ปีที่แล้ว +23

    Safi sana waziri mkuu Mungu akulinde sana

  • @khalidkhalfan1556
    @khalidkhalfan1556 ปีที่แล้ว +50

    Kawaida ya watu wazuli kama awa uwa awadumu wabaya ndio wanadum baba nakuombea dua allah akupe uongozi mkubwa yani mimi nataka uwe Rise. Wa Tanzania

    • @mossyfimbo3577
      @mossyfimbo3577 ปีที่แล้ว +3

      Tuwaombee watu kama hao Mwenyeezimungu Baba awarehemu na azidi kuwatunza

    • @eliasbadyana
      @eliasbadyana ปีที่แล้ว +5

      Huyu baba ni roho ya JPM.Ila manyang'au hawatomwacha Salama maana wanahofia anaweza kujakuwa rais wahii nchi mwisho wasiku akawafirimba.

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 ปีที่แล้ว +1

      Amiin

    • @arafaahmed3567
      @arafaahmed3567 ปีที่แล้ว +2

      Hiyo ndio kazi yao wezi wakubwa has baba njoo Tanga uwone wezi wengi hukuhasa has wa halmashauri wanauza kama vyao

    • @calvinloveambroce842
      @calvinloveambroce842 ปีที่แล้ว +2

      Uje na morogoro jaman kuna shida kubwa ya ardhi

  • @khalidkhalfan1556
    @khalidkhalfan1556 ปีที่แล้ว +28

    Nawewe baba allah kama ndio anakupa nafasi hiii nnaimani hii nchi mafanilio yetu yatakuwa Kama Korea China urusi Japani yani itakuwa nchi ya juu japo nchi za kiafrika lakini itakuwa nchi yenye uwezo mkubwa big up baba Allah akupe moyo uwouwo

    • @thomastarimo
      @thomastarimo ปีที่แล้ว

      Mweshimiwa huyo achunguzwe na takukuru kwanza mengine ya fate

    • @arafaahmed3567
      @arafaahmed3567 ปีที่แล้ว

      Njooni tanga mheshimiwa waziristan mkuu njooooooo

    • @omarihaji9264
      @omarihaji9264 ปีที่แล้ว

      Majaliwa wewe ni muhimu sasa na ktk hii nch

    • @omarihaji9264
      @omarihaji9264 ปีที่แล้ว

      W mkuu kashakua na uhakika uchunguzi wann

  • @rajabushabani6962
    @rajabushabani6962 ปีที่แล้ว +7

    Nakukubari sana sana Mh: Waziri Mkuu Allah akujaarie na moyo huwo howo Amiina!

  • @NicodemusNkiami
    @NicodemusNkiami ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana mh. Waziri mkuu tunahitaji utumishi uliotukuka na kujali wananchi wanyonge. Utabarikiwa zaidi.

  • @cathyrwiza
    @cathyrwiza 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulinde baba mimi iko nafasi nakuombea kwa MUNGU iko siku nitakukumbusha ikiwa mungu atakuwa ameniweka uko cku za mbele

  • @pascalngalawapascalngalawa5714
    @pascalngalawapascalngalawa5714 ปีที่แล้ว +11

    Wazir siku zote uko sawa sana kaka kiukweli umekua hazina yetu kaka mungu Azidi kuku weka

  • @abedomar5183
    @abedomar5183 ปีที่แล้ว +33

    RIP John Magufuli, Majaliwa wewe ndo tegemeo letu katika nchi hii my Allah protect you Insh'Allah

    • @yapukahassan
      @yapukahassan ปีที่แล้ว

      Huyu muongo 2 na nimnafiki

  • @munaahmed8499
    @munaahmed8499 ปีที่แล้ว +8

    Mtoto wa Rais Magufuli ndio huyu masha Allaah kwa watu wenye akili tunaeleea na tunaomba dua aje kuwa Rais wetu

  • @waziriramadhani1186
    @waziriramadhani1186 2 หลายเดือนก่อน

    Asante kiongozi,mungu Akupe umri mrefu,Tunateseka watu wa hali ya chini

  • @kenosman4780
    @kenosman4780 ปีที่แล้ว +16

    Aliekuteua aliona ktu ndan Yako mheshiniw. Ni vile TU katiba lkn ungevaa vizur sana viatu vya hayati mpendwa wetu. Naamin weng wetu tunataman utie Nia

    • @mohamseyf6243
      @mohamseyf6243 ปีที่แล้ว

      Mimi hii njemba nilikua naiona 2025 kama raisi,ila mungu ndo mpangaji wa Kila kitu.

    • @witnessmmari9902
      @witnessmmari9902 ปีที่แล้ว

      katiba hairuhusu, Lazma agombee mama,

  • @ZaidHamasiZaid
    @ZaidHamasiZaid ปีที่แล้ว

    Hongera Waziri Mkuu Majaliwa, ndiye Mkombozi katika Wachache tunawategemea...Uchaguzi ujao hebu Omba nafasi ya Urais tunakihitaji Mzee baba!!!!!

  • @nadirdoody7955
    @nadirdoody7955 6 หลายเดือนก่อน

    Amen amen waziri mkuuu amen mungu akulinde amen

  • @jebellwallace3509
    @jebellwallace3509 ปีที่แล้ว +2

    Safi sana MH.Majaliwa,mungu akubariki sana

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 ปีที่แล้ว +2

    Hongera sn Waziri Mkuu, Magu alikulea kutumikia wananchi. Big up.

  • @esthersissamo1120
    @esthersissamo1120 ปีที่แล้ว +12

    Mungu akulinde mkuu uwe na afya njema Mungu ibariki Tanzania na wananchi wake

  • @yahyahamisi2038
    @yahyahamisi2038 7 หลายเดือนก่อน

    Kaka uko vizuri 🙏🙏 Mwenyezi Mungu akuongezee umri 🙏🙏 msaidie mama yetu 🙏 gurudumu la maendeleo ya taifa letu 🙏🙏

  • @joshuakigola6823
    @joshuakigola6823 ปีที่แล้ว +12

    He deserves to be a president so kwa kuimbiwa mapambio ni kwa kazi yake

  • @HusseinRj
    @HusseinRj ปีที่แล้ว +8

    Allah akujaalie afya imara na Maisha marefu

  • @athumanmfangavu7320
    @athumanmfangavu7320 7 หลายเดือนก่อน

    Hongera mama Samia na watendaji wako kwani mnakazi kubwa Sana yakuletea maendeleo❤

  • @JacksonKisiri-w1n
    @JacksonKisiri-w1n 7 หลายเดือนก่อน

    Mhe/ Waziri Mkuu hongera kwa utatuzi wa mgogoro. Mhe peteni mikoani kujionea uhallisia wa watumishi wa Ardhi. Wanajiita watoto wa wakubwa

  • @mgungachannel9280
    @mgungachannel9280 ปีที่แล้ว +2

    Naomba jamani naitwa Ali Mwamgunga kutoka Kenya. Naomba habar yngu ombi langu limfikie naomba kufika Tanzania au aje kuniona napenda kazi yake pia naipenda Tanzania.

  • @KelvinMtavangu-ow8yo
    @KelvinMtavangu-ow8yo ปีที่แล้ว

    HONGERA SANA Mh. WAZIRI. KUPO VIZURI. KAMA SISI WANYALU. NYEUPE NI NYEUP NA NYEUSI NI NYEUSI. MUNGU AKUONGOZE Mh. WAZIRI MKUU. ASANTE.

  • @adamsondishon
    @adamsondishon ปีที่แล้ว +15

    i wish you to be president 2025 you real deserve

  • @jamalhamisi5559
    @jamalhamisi5559 6 หลายเดือนก่อน

    Alla akulinde muheshimiwa waziri mkuu

  • @omarymwenebatu
    @omarymwenebatu 10 หลายเดือนก่อน

    Mzee MAGU alionambali na alikufaamuvyema unastaili mungu akupe maisha marefu na ninakuombea kwa mungu ili sikumoja ujekuwa raisi.

  • @daud405
    @daud405 ปีที่แล้ว +5

    Majaliwa,Allah akulinde... product of mpendwa wetu Magu. ninaimani anaongoza malaika mbiguni

    • @adolfmathew9698
      @adolfmathew9698 ปีที่แล้ว +2

      Jifunze namna Bora na sahihi ya KUFIKIRI. Then uwe na mipaka ya KUFIKIRI

    • @hajjiomary2383
      @hajjiomary2383 ปีที่แล้ว +1

      Akuna mtu anaweza kuongoza malaika brother soma dini yako vizuri

    • @adolfmathew9698
      @adolfmathew9698 ปีที่แล้ว +1

      @@hajjiomary2383 mpe elimu huyo kavuka mipaka kbs

    • @mudighurayra
      @mudighurayra ปีที่แล้ว

      Labda anakula msoto

    • @adolfmathew9698
      @adolfmathew9698 ปีที่แล้ว

      @@mudighurayra akili imegoma kufanya kazi labda akaishia kuwaza ivyo

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 ปีที่แล้ว

    Allah atulindie kwauwezo wake huyu kiongozi wetu mpendwa. Kipenzi cha wapenda haki wa Tz.. Amyn🤲endeleakutenda haki usifemoyokwa maneno yawatu wabaya Allah atakulipa heri maana cheoni zamana. Kwa Allah zidikutendahaki tunakuombea wazilimkuu. Wetu

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 ปีที่แล้ว

    Mungu akusaidie kaka yangu majaliwa mungu akulinde washuhulikie madhalimu mungu atasima na wewe mungu akulinde ntakuja kukusalimia njumbani kwako ruwangwa napajua usiwaonee aibu mungu tusaidie tanzania

  • @albertbunyinyiga7581
    @albertbunyinyiga7581 ปีที่แล้ว +4

    Big up waziri mkuu kipenzi Cha wa Tanzania

  • @hildapenina815
    @hildapenina815 ปีที่แล้ว +1

    Yan majaliw ungekuwa raisi ww da Tanzania tungekuwa uchumi wa Kat da mungu kwa nn akukuchaguwa kuwa raisi wa nchi hii mungu akupe maisha marefu baba

  • @KishaKisha-ux4ul
    @KishaKisha-ux4ul หลายเดือนก่อน

    Waziri mkuu mungu akulinde sanaaa.

  • @raiszongo4136
    @raiszongo4136 ปีที่แล้ว

    Nakupenda sana majaliwa wewe ni zaidi ya alama kubwa ktk TAIFA letu Mungu akulinde

  • @simas.a1003
    @simas.a1003 ปีที่แล้ว +1

    YANI HILI NDO JEMBE(MAN AT WORK), asante Babangu.

  • @salem9874
    @salem9874 ปีที่แล้ว +8

    Big up Majaliwa

  • @majaliwaharuna4064
    @majaliwaharuna4064 ปีที่แล้ว +3

    Menyezimungu akupe umri mrefu wenye baraka mh waziri mkuu,tunakufuatilia kwa umakini Sana, kiukweli wewe umeonesha kuijali hii nchi na wananchi wake,siku moja utaiongoza nchi hii inshaallah

    • @amosmbangala9079
      @amosmbangala9079 ปีที่แล้ว

      Tunakuomba uje njombe kunamatatizo mazito nakaimu mkuu wa idara ya aridhi anahujumu aridhi kwamasikini nakuwapa matajili kulipa fidia hewa nyingi

    • @patriciamuganda4498
      @patriciamuganda4498 ปีที่แล้ว

      Msimfuatilie tu na nyingi unganeni nae kukemea ufisadi na dhuluma. Jukumu la kudhibiti ufisadi si la Waziri Mkuu tu. Ni la Wananchi wote wa Tanzania. Penye wengine Pana nguvu.

    • @JohnAntony-i7u
      @JohnAntony-i7u ปีที่แล้ว

      Wengine mungu awapumzishe tena inatosha hawana faida kwa mungu hata kwa binadamu pia

  • @KishaKisha-ux4ul
    @KishaKisha-ux4ul หลายเดือนก่อน

    Safi sanaa mh waziri mkuuu. Huyo ana tamaa sanaaaa

  • @jamesmayala5491
    @jamesmayala5491 ปีที่แล้ว +2

    The next big thing

  • @yassinimahawe7785
    @yassinimahawe7785 ปีที่แล้ว

    Hongera sana wazir mkuu soo President

  • @kassimhashi49
    @kassimhashi49 ปีที่แล้ว

    Mola akubariki sana

  • @mohammednassor8167
    @mohammednassor8167 ปีที่แล้ว

    Ahsante sana mh waziri mkuu kwa kusimamia haki mungu atakuvusha aaameen

  • @pasuabozi-df9wy
    @pasuabozi-df9wy ปีที่แล้ว

    Nakuombea kwa mungu uje kuwa ulaisi wa jamuhuli ya muungano wa tanzania tia nia mzeee inshalhaa

  • @DenizaChambala
    @DenizaChambala ปีที่แล้ว

    Waziri wetu njoo nakasulu baba utusaidie tunadhurumiwa njoo njoo na mungu., Akubariki sana

  • @blanikamgaya-hh6ie
    @blanikamgaya-hh6ie ปีที่แล้ว

    Mungu akubaliki majaliwa

  • @mwandisimfukwe326
    @mwandisimfukwe326 ปีที่แล้ว +1

    Ila nawaza tu ungekuwa mr prezidaa da nimemis hali hii🔥

  • @jumaamartin7929
    @jumaamartin7929 ปีที่แล้ว +8

    Nakuombea kwa mungu akupe uhai mrefu afya njema waziri mkuu wetu ili uje kuwa raisi wetu wa baadae.

  • @bilo1106
    @bilo1106 ปีที่แล้ว

    Tanzanian naipenda sana na huwaza wao mwenyezi mungu hawabariki sana..

  • @Athumanibandima-kx4qs
    @Athumanibandima-kx4qs 7 หลายเดือนก่อน

    Waziri mku majaliwa mungu akubariki tenda haki mkuu

  • @oscarkasalile3966
    @oscarkasalile3966 ปีที่แล้ว

    Waziri mkuu nakupenda sana, huyo ni tapeli, ndio wasiotutakia mema wananchi wa taifa hili.

  • @monicachacha455
    @monicachacha455 หลายเดือนก่อน

    hongera sana waziri mkuu

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 ปีที่แล้ว

    Asante waziri mkuu kwa maamuzi yako maduri,Jpm alipokutèua alijua unafaa katika nafasi hiyo! tatizo ni pale ulipoungana na mfumo wa ccm iliyopo madarakani na kumsaliti mpendwa wetu jpm! nakumbuka wewe ndiye uliyesimama na kuwadanganya wananchi kwamba jpm ni mzima na anaendelea na majukumu yake ya ndani kumbe ameshakufa! baada ya siku chache mkatangaza kwamba alikuwa anaumwa na amefariki! hayo yote tunayakumbuka! Mgogoro wa Ngorongoro ulisimama Bungeni na kutangaza hakuna tatizo Ngorongoro wakati kuna vurugu kati ya askari na Wananchi na askari akachomwa mshale na kufa! Hivyo endelea kupambana mkuu ila Mungu ndiye atakaeamua kiongozi ajaye! Maana kuna damu inawalilia pamoja na Wananchi wanaodhurumiwa kila siku ardhi zao na haki zao katika Taifa hili! Na serikali ipo na viongozi mpo mnawaza kujinufaisha wenyewe na vizazi nyenu! Kila kona ya Nchi ni dhuruma kwa Wananchi! Wizara ya ardhi imejaa dhuruma Nchi nzima ndiyo inayoongoza kwa migogoro ya ardhi na dhuruma! chunguza kila mkoa, kila wilaya, kila kata, kila kijiji, mtabaini dhuruma hizo!

  • @cosmasathanas1184
    @cosmasathanas1184 ปีที่แล้ว

    Hongera Sana kwakazizur unayofanya muheshimiwa

  • @alluminiumexperttz.12mview13
    @alluminiumexperttz.12mview13 ปีที่แล้ว

    Nataman wampe dhamana 2025. Yan atapita bila kupingwa huyu mwamba. Watu wa chini hawana kauli kabisa tokea mzee aondoke. We need this man

  • @sabratally7688
    @sabratally7688 ปีที่แล้ว

    Nakuona mbali sana baba mungu akupe neema ya ajabu

  • @hamidahamis4537
    @hamidahamis4537 ปีที่แล้ว

    Hakika Mungu Anamakusudi Kukuleta hapa Duniani waziri wetu Mkuu Mungu akubariki wa zazi wako. Wewe Ni baba wa wanyonge

  • @wismankamendu6264
    @wismankamendu6264 ปีที่แล้ว

    Wazili mkuu yukoo vizuri sana

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 ปีที่แล้ว +1

    BABA majaliwa Mungu akupe umri mrefu

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 ปีที่แล้ว +1

    Waziry 💖💖💖💖👏👏👏huyo tapeli

  • @masikitikomwakyonde1259
    @masikitikomwakyonde1259 ปีที่แล้ว

    Harakati ngumu sana Mzee Wacha he sana tena sana Hunter never tired

  • @MkomboziMaskuzi-o7c
    @MkomboziMaskuzi-o7c ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki sanaa

  • @michaelgilbert1531
    @michaelgilbert1531 ปีที่แล้ว

    Mungu akuongoze waziri wëtu mkuu wa Tanzania

  • @hassanikanjesikiwallekiwal9826
    @hassanikanjesikiwallekiwal9826 ปีที่แล้ว

    Lailah ilalah.muhamadi.rasulilah.mwenyezi.mungu.akulinde.nakukujakia.maisha.marefu.waziri.wetu

  • @kalebiestomihi
    @kalebiestomihi ปีที่แล้ว

    kwa hili.nakupa hongera

  • @GomwoMisago
    @GomwoMisago ปีที่แล้ว

    Hongera sana Waziri Mkuu wewe na Rais Samia kazeeni uzi wamezidi kunyanyasa wananchi Asante sana Mungu awalinde na hao mabeberu

  • @hamisidale2704
    @hamisidale2704 ปีที่แล้ว +16

    Magufuli anaishi ndani ya Majaliwa" siku yako itafika utaturudisha,alipoachia bulldozer, chapa kazi Mkuu

  • @jumakasentsent4464
    @jumakasentsent4464 ปีที่แล้ว

    Mwenyezimungu tupe Majaliwa

  • @magrethmeela154
    @magrethmeela154 ปีที่แล้ว

    Haya niyakweli MH waziri mkuu wapo wengi. Mwingine ni Mwenyekiti Baraza la Ardhi mkoa mza

  • @amanijm746
    @amanijm746 ปีที่แล้ว +4

    Majaliwa tunamuombea MUNGU amtunze. Ila kwa mfumo wa chama cha mbuzi, atapigwa chini mda sio mrefu. Next round harudi.

    • @eliasbadyana
      @eliasbadyana ปีที่แล้ว

      Cyokupgwa chin tu yanaweza yakamkuta yaliyomkuta jpm.maana huyu akiwa rais wanch anaweza kuzuia watu wasilambe asali.

  • @tonypaul426
    @tonypaul426 ปีที่แล้ว +6

    2025 tunakuhitaj FATHER✊✊

    • @salimusalim3610
      @salimusalim3610 ปีที่แล้ว

      Waziri mkuu anaendana nakasi anayotaka rais samia MUNGU awape nguvu ktk uongozi wao na viongozi wengine

  • @tumainikilembe1008
    @tumainikilembe1008 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki waziri mkuu

  • @andersonmutta3807
    @andersonmutta3807 ปีที่แล้ว

    M/MUNGU akupe afya njema Hon. PM Kassim Imani yangu siku Moja utakuja kuwa top leader kwenye hii nchi.

  • @prophetzakayomkemwa5154
    @prophetzakayomkemwa5154 ปีที่แล้ว

    Safi Sana waziri mkuu majaliwa unaweza

  • @zuberyshabaniiddy
    @zuberyshabaniiddy ปีที่แล้ว

    Mungu akulinde

  • @dolomentfrance418
    @dolomentfrance418 ปีที่แล้ว

    Mahufuri katuachia mbegu njema

  • @adamufundikira7878
    @adamufundikira7878 ปีที่แล้ว

    Duh asante Mungu kwa mtu kama majaliwa

  • @lightnessreuben9202
    @lightnessreuben9202 ปีที่แล้ว

    Hongera Sana kiongoz sahihi

  • @KishaKisha-ux4ul
    @KishaKisha-ux4ul หลายเดือนก่อน

    Huyo ana tamaaa sanaaa.

  • @medimajogoo
    @medimajogoo 9 วันที่ผ่านมา

    upo vzr

  • @sadicksanga6034
    @sadicksanga6034 ปีที่แล้ว

    Hongera sana waziri mkuu nataman uzunguke mikoa yote mana hayo maroho ya ubinafsi yapo meng sana njoo hata huku iringaa ujionee

  • @nassibuduma7162
    @nassibuduma7162 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe waziri kwa utumishi

  • @merengosimion5999
    @merengosimion5999 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki mheshimiwa waziri unamoyo wakusaidia wananchi 2025 gombea

  • @RamadhaniShembillu
    @RamadhaniShembillu ปีที่แล้ว

    WADAUEEEE HUYU NDIE ANAETUFAA KUA RAISI WA TANZANIAN 🇹🇿, EWEMUNGU .TWAKUOMBA UTUPE MTUHUYU AWE RAISI WETUUU. SEMENI ANIIIN

  • @rehanijuma1421
    @rehanijuma1421 10 หลายเดือนก่อน

    Hatari sana

  • @enockngande9114
    @enockngande9114 ปีที่แล้ว +2

    Jamani tumia mishahara yenu vizuri tamaa zenu zina waponza kuna watu wanatamani hata hizo nafasi hawazipati

  • @eliudymwanandenje7229
    @eliudymwanandenje7229 ปีที่แล้ว

    Huu ndiyo utendaji wa kazi tunao uhitaji,

  • @jumanamwasa-iw2zn
    @jumanamwasa-iw2zn 11 หลายเดือนก่อน

    Mungu awe na wwe mkuu wetu ww ndo kiongoz

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 ปีที่แล้ว +7

    majaliwa kama majaliwa ungekua karibu ningekupa zawadi ya muindi wa kuchoma na maji baridiiii

    • @yordanyona1234
      @yordanyona1234 ปีที่แล้ว +1

      ili awe Raisi maana wengi wala mahindi wengi wamekuwa maraisi

  • @charleslusekelo4069
    @charleslusekelo4069 ปีที่แล้ว

    Mungu akutunze pm majaliwa

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 7 หลายเดือนก่อน

    Aisee Kuna wa2 wanamatamaaa dah😭😭

  • @KassimJabu
    @KassimJabu 5 หลายเดือนก่อน

    Mbona mko vizuri2

  • @zlatanibra4791
    @zlatanibra4791 ปีที่แล้ว

    mungu amueke waziri wetu

  • @venturejackson6357
    @venturejackson6357 ปีที่แล้ว +1

    Kama mwenyezi mungu ansikia maombi yetu tafadhali 2025 atupatie wewe majaliwa yaan dah 😭😭😭

  • @alisalimo2861
    @alisalimo2861 ปีที่แล้ว

    Chapa kazi mzee wazur mkuu twakusapot

  • @jimmyfrankie8301
    @jimmyfrankie8301 ปีที่แล้ว

    Kasim majaliwa mungu akutunze kwaajili yetu watanzania

    • @johnsonmpelwa2316
      @johnsonmpelwa2316 ปีที่แล้ว

      MUNGU wa Mbingun mjalie huyu mja wako awe na afya njema, huyo ndo rais mtarajawa.

  • @khadejarajab844
    @khadejarajab844 ปีที่แล้ว

    Nakupenda bule fatanyayo zahayat magu

  • @emmanuelmatogolo5869
    @emmanuelmatogolo5869 ปีที่แล้ว +2

    Mh. Waziri Mkuu tuna kuomba sana huu mkoa wa Katavi una madudu mengi sana, na ufisadi mkubwa naomba chunguza kila idara hapa katavi

  • @YusuphMohamedi-g8h
    @YusuphMohamedi-g8h 10 หลายเดือนก่อน

    kaka hao wapo wengi sana wanapendakuchukuwa aridhi zawatu Hass kuna bwana moja anatusumbua sana anaitwa