KINAKI THE MR :UHURU WA KWELI HAPA DUNIANI HUWEZI UPATA KTK NCHI YOYOTE KWASABABU SISI SOTE NI WANAADAMU TUNAMAKOSA KIBAO HIVYO UHURU WA KWELI UKO KWA M/MUNGU PEKEE WW WALA USIPATE TAABU WA KUULIZA HILO !
Poleni sana ndugu zangu huko Bukoba kwa kupatwa na athari kubwa sana lakini kikubwa yatupasa kuwa na shahuku ya kumtafuta Mungu muda wote kwani hii yote ni dalili yakuja kwa kristo akitupa dalili zake.
hivi Wabunge mbona mnaleta mzaa Sana mnakua kama Watoto Wadogo muwe nanidham bungeni pia Inaonekana Wapinzani hata adabu hamuna kwatabia munayo ionyesha hapo nidhahili ninyi niwapenda vulugu hamuna Sifa yakua viongozi
yaan watu wengine cjui upo vp?!!! ustaarabu mmeuona kwa halima mdee tu?!! yule aliomwiita Halima mwanaume yeye ni mstaarabu?!!! watu km nyie mkipelekwa bungeni ndo 0%0.....
Sasa kwan huon aliambiwa nin kwanza? Hv mbunge kuropoka na kumuita halima mwanaume kwel sahihi? Eti anaambiwa ule mwanaume akae!!!!! Huu c udhalilishaji? Na aliyesema mwanaume babako ni mbnge mwngne ,yeye alisema tuuu na ww mwanamke cmama
Humu bungeni wengine washazeeķa sana ndio mana hawalewi hata hoja za wengine ila wamekaa tu na kukariri kuwa wapo katika upinzani na huu ndio upuuzi amabao nyerere hakupenda
ETI WA TANZANIA WANNA WASIKILIZA!! KWELI BUNGE NIDHAIFU PAMOJA NA KITI CHAKE! KWA WOGA WENU MNATUFUNGIA WATANZANIA TUSIONE WA BUNGE WETU NA HUKU MNASEMA NYINYI NI VIONGOZI WA WANYONGE NA HUKU MNA NYONGA WANYONGE!! IKO SIKU NAYO YAJA AMBAYO MUNGU ATALIPAZA KISASI JUU YENU NANYI MTANYONGWA TUU!!
huo sio ujanja sisi kutokuwa na kanuni. majinga majinga tu. mnatutia umaskini sisi kimya, tunakufa mahospitali sisi kimya. katiba haibadiliswi sisi kimya. nchi tamu hii jamani
kuna njia nyingi za kupata habari sio ndani ya nchi tuu bali dunia nzima na wala hizo habari huzipati moja kwa moja ...acheni uboza fanyeni vuti muhimu vyenye manufaa na vya kujivunia ndani ya nchi zetu za Africa
Wananchi turio na hekima hatutaki bunge rionyeshwe kwa sababu fujo za wabunge wasionitambua kama kina zitto. Lema mbowe bulaya fujo wanazozifanya bungeni ni haibu kubwa tunahomba bunge risionyeshwe
bora hata wasioneshe kabsa maswala ya bunge kuliko kuangalia mijitu mikubwa ikibishana, ni aibu. ivi hawa wabunge wanaleaje watoto wao kama wao hawana ndhan!
Chochote kinacholeta vurugu au kinacholeta kutokuelewana ni hatariiiii!!!! Wengi wanaenda bungeni kuupeleka ushabiki wa vyama vyao. Na sio matatizo ya wananchi, mahala pa bunge sio mahali pa ushabiki, uchama, ukanda, na sio mahala pa kwenda kujipatia umaarufu kwa kuongeaongea hovyo kama walevi. Mahala pa bunge ni mahala pa kwenda kuongelea maswala yanayohusu wananchi wa mahali ulipotokea (jimboni kwako) Yaani mnashangaza kwelikweli mnakwenga kupoteza muda kuongelea TBC kwanini hairushi au haionyeshi yanayoendelea bungeni live! Mnadhani kila mtanzania ana tv hata kama wote wanazo tukaamua kukaa na kuwaangalieni ninyi muda wote hiyo hasara tutakayopata kwa masaa hayo ambayo hatujashughulika kwa kuwaangaliani ninyi je, mutaifidia na nini? Lingine ni hili munadhani mpaka sasa mmesababisha hasara kiasi gani? Kwa kuvutanavutana kwa huo ujinga mnaopeleka bungeni. Ushabiki mtupu!!!!!
Cku zote uwa nasema na ntaendelea kusema ukweli kuwa hakuna wabunge wenye akili na uwezo mkubwa kihoja kama wabunge wa upinzani hilo lazima niseme ukwel juu ya hilo
tunataka bunge lioneshwe moja kwa moja, ili wananch waone na kusikia kod zao zinavyo tumika na sio muoneshe muda wa usiku kwan nao huo ni muda wa kupumzika wengi hawata jua wawakilish wao wanawatetea au wanatetea masilai yao pia watz weng hawana luninga hivyo ni vigum kwenda usiku kwa jiran kuona yanayo jiri Bingen.
tunataka bunge lioneshwe moja kwa moja, ili wananch waone na kusikia kod zao zinavyo tumika na sio muoneshe muda wa usiku kwan nao huo ni muda wa kupumzika wengi hawata jua wawakilish wao wanawatetea au wanatetea masilai yao pia watz weng hawana luninga hivyo ni vigum kwenda usiku kwa jiran kuona yanayo jiri Bingen.
weng wanapereka kes hta polis wanarudishwa ngaz y chn vitongoji wanaona tukio lakin wanaamuru cvo,hata barua hawatoi mpakawazee wke bila wazee auwawe au pesa mambo hayasomeki
WALIYO SABABISHA BUNGE LIWE KAMA SHULE YA MSINGI NIWAO CCM,KWA KUWATUKANA NA NA KUBEZA WABUNGE WA CHADEMA.KILE UPANDACHO NDICHO UTAKACHO VUNA BIG UP WAPIINZANI!!!
Zitto wewe ni mbunge wa Tanzania nzima, tunakuombea kwa Allah piga kazi ,all the best!
Wema
Ma
gufuli Tz
😂
😮xv😢😢
Vp tena mwenye kiti anafosi zito big up sana
Zito ni zaidi ya wa bunge 1000 wa ccm
Chama changu ccm muwe mnawasikiliza wapinzani hao nao ni ndgu zetu na wanahaki..ccm naipenda ina inaenda pabaya
kama una mskia mdee gonga like
Nc
mdee.ameolewa.au.vipi
yaan cjajua Uhuru wa kweli utapatikana lini ktk nyanja zoote za maishaaa!!
tunaishi kama giningi
Uhuru wako fanya kazi kwa bidii ule usomeshe watoto
ww sali muombee ALLAH acha uzembe
KINAKI THE MR :UHURU WA KWELI HAPA DUNIANI HUWEZI UPATA KTK NCHI YOYOTE KWASABABU SISI SOTE NI WANAADAMU TUNAMAKOSA KIBAO HIVYO UHURU WA KWELI UKO KWA M/MUNGU PEKEE WW WALA USIPATE TAABU WA KUULIZA HILO !
bungeni km watoto😂😂😂 et mwanaime babaako kwambari nasikia sauti ya halima mdee
tunataka bunge lioneshwe moja kwa moja, ili wananch waone na kusikia kod zao zinavyo tumika
unaangariagaa bungee au unaftaa mkumbo bab na season utamuachia nan
Mbunge alie jibu mwaume babako achukuliwe hatua
Mrosho Juma 😂😂🤣🤣🤣
Mrosho Juma yupo sahihi kwan baba ako sio mwanaume
Kwel bwana
Ccm tumeishiwa hoja wapinzani wapo juu! Cjui nihame hii ccm?
Siku zote mti wa matunda ndio unapigwa mawe zito wananchi wako tunakuombea vzr ili uwachane wapinzani.
mungu wabariki upinzani
Hili ni bunge la wahuni wote hawajui kuongea siasa wanafanya ubabe tupu bado wabivu kwenye siasa hawo
Tumemis bunge kama hili lililokuwa bunge la wananchi,siyo bunge la wezi ccm kama leo
Halima Mdee Nakupenda Sana .
Mbona mwenyekiti unatabia za kagame jamani ukifanya hivyo tutafika kweli
Cchenge bhana!! Kengeee!! Mwizi cheki macho
CCM waoga sana
Poleni sana ndugu zangu huko Bukoba kwa kupatwa na athari kubwa sana lakini kikubwa yatupasa kuwa na shahuku ya kumtafuta Mungu muda wote kwani hii yote ni dalili yakuja kwa kristo akitupa dalili zake.
mashauzi taalabu
Zitto nakukubali sn nyendo zako i real apriciate
Msukuma bwana eti we mwanaume kaaa kumbe mwaume mwenyewe ni halima mdee😁😁😀
hivi Wabunge mbona mnaleta mzaa Sana mnakua kama Watoto Wadogo muwe nanidham bungeni pia Inaonekana Wapinzani hata adabu hamuna kwatabia munayo ionyesha hapo nidhahili ninyi niwapenda vulugu hamuna Sifa yakua viongozi
acha kuzingua ww Kwan spika ni MUNGU au binadam?????
Zito yupo sahihi kabisa
yaan watu wengine cjui upo vp?!!! ustaarabu mmeuona kwa halima mdee tu?!! yule aliomwiita Halima mwanaume yeye ni mstaarabu?!!! watu km nyie mkipelekwa bungeni ndo 0%0.....
Kuwa mpinzani lazima uwe mbabe nchi hii. La sivyo tutaburuzwa sana.
wabunge wanyonge ndio wanaotutetea sisi wananchi
Saidi Milanzi jim
Jamii forums muwe mnaweka date of publishing kwenye description/caption jamani. Video inakuwa inaelea tu
Upo sahii brow
Daaaa bunge letu bwana kama midoli
mdee unanifurahisha sana. natamani nikutane nikuone nikuhag. kwa pongezi Asante
Zitto ucje ukayumbishwa na MTU mcmamo wako baba
Umemuona Nape wa habari na michezo 😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣 alivokua anamuangalia zitto. Maskini hakuwaza kuwa atatimuliwa🤣🤣🤣🤣🤣
yani zitto namkubali akitoa hoja yupo makini na anacho ongea hongera sana baba natamani uje kuwa rais siku zijazo na unaweza kuwa ukitaka
Hahahah duuh tutalimiss hili bunge jamani
Kabisa zito uko sawa tibis tunataka irudi
Ccm ipunguze wabunge bungeni wapo wengi lakini msaada zilo wapinzani ndio wengi wanachochea chachu za maendeleo kwa kukosoa serikali
Mh Zito ni chachu ndan ya Bunge!. Uwepo wake ni wa thamani kubwa sanaaaa
Mwanaume babako 😁
Soma wewe 😂 #6K
zito ni mbuge mwenye akili
Hizi njaa ndo zimepelekea Chenge elimu yake kutokuwa na thamani tz
CHENGE LENYEWE JIZI PUMBAVU ZAKE.....
zito ni hazina ya taifa safi sana mkulu
tuache uchama huusiwakati wake nimda wa kufanya mliyotumwa
Jogoo Mzoefu
halima ndonn sasa wananchi wako wakawe hatujakutuma kujibisha mbovu wakatae siyomwanaume baba ako aaaaah cyobhana
Sasa kwan huon aliambiwa nin kwanza? Hv mbunge kuropoka na kumuita halima mwanaume kwel sahihi? Eti anaambiwa ule mwanaume akae!!!!! Huu c udhalilishaji? Na aliyesema mwanaume babako ni mbnge mwngne ,yeye alisema tuuu na ww mwanamke cmama
Erick Robinson i
ivi alianza kulopa ni alima au mbunge wa ccm achen unafki nyie
Mzeee kadata huyu zitto ni jiwe ni hatar zaid ya moto
Huyo halima mdee angejua sauti lake lilivyokua baya yupo kama mtt mdogo ana kiherehere sana
Mwenyekiti anapingana na kanuni zake mwenyewe
upo sawa zito
Hahaha hakuna watetezi kwa...watanzania..Bali kupiga karere bila action.. Kidogo zitto..ila sheria za.
Bunge.. Hazifuatwi au...kwavile...niwanasiasa..kila.kitu...siasa..wabunge mnaboa..sana.
Ukweli usimame kwa maslahi ya wananchi tuache utumwa mamboleo..bado tutawaliwe kwa maslahi ya watu wa wachache..
MDEE UNAROPOKA HADI KERO
UNAOWAONGOZA NA KUWAWAKILISHA WANAKUCHUKULIAJE?
THINK BEFORE DOING
Bora Mlitoa Bunge Live Coz Wabunge Mnazingua Matusi, Kejeli,dharau, Wananchi Huku tunatabika Htr
Hutubaya tundu lissu tuna rais wa ajabu
Humu bungeni wengine washazeeķa sana ndio mana hawalewi hata hoja za wengine ila wamekaa tu na kukariri kuwa wapo katika upinzani na huu ndio upuuzi amabao nyerere hakupenda
ETI WA TANZANIA WANNA WASIKILIZA!! KWELI BUNGE NIDHAIFU PAMOJA NA KITI CHAKE! KWA WOGA WENU MNATUFUNGIA WATANZANIA TUSIONE WA BUNGE WETU NA HUKU MNASEMA NYINYI NI VIONGOZI WA WANYONGE NA HUKU MNA NYONGA WANYONGE!! IKO SIKU NAYO YAJA AMBAYO MUNGU ATALIPAZA KISASI JUU YENU NANYI MTANYONGWA TUU!!
huo sio ujanja sisi kutokuwa na kanuni. majinga majinga tu. mnatutia umaskini sisi kimya, tunakufa mahospitali sisi kimya. katiba haibadiliswi sisi kimya. nchi tamu hii jamani
Hatutaki lionyeshwe coz wabunge hawana ustaarabu kwahiyo watadhalilisha bunge
kuna njia nyingi za kupata habari sio ndani ya nchi tuu bali dunia nzima na wala hizo habari huzipati moja kwa moja ...acheni uboza fanyeni vuti muhimu vyenye manufaa na vya kujivunia ndani ya nchi zetu za Africa
mawazr msifuate maneno ya wapinzan, hao shida yao posho na kutoa maneno ya kukatsha tammaa, hata hvo hawana umuhimu wowote ktk maendeleo ya nchi
Yani hawana tofauti na watoto wa chekechea
Mwenyekiti alichemka Zito (Mmezima duu!)uu
Zito mmmmmm
pamoja sana itv
Mendazake aliogopa hoja ya upinzani alikua ajui siasa ndio maana wakapitishwa chechemeee watupu ndio maana bunge sasa lipo live
NO NO I HAVE A FEELING I THINK KUSEMA BUNGE TUKUFU IS NOT RIGHT IITWE TU BUNGE LAKO /BUNGE LETU AND NOT GLORIFYING IT WHILE.THAT IS MINE
hapa tumeletewa filamu nyingine ili tusijadili maneno ya spika kwa nn aielewi serikali kuhusu bandari so tuataanza kujadili ya t b c nchi inamambo hii
Mambo ya bunge yakiwekwa wazi ccm itapoteA kabsaaaa..,.
Maana Hakuna wanyalo. Watetez gani hawa. Serkal ifanyapo makosa semeni. Kwan shida nn
Kwann unataka tunings wakati bungeni pamekuwa lama darasa la cheekechea?
Still watching this up 2100
fisadichenge turia mbungew\ukweli zitoaongeee
Wananchi turio na hekima hatutaki bunge rionyeshwe kwa sababu fujo za wabunge wasionitambua kama kina zitto. Lema mbowe bulaya fujo wanazozifanya bungeni ni haibu kubwa tunahomba bunge risionyeshwe
rud shule uje uandike vzr kwanza
Zito yuko vzr san
bora hata wasioneshe kabsa maswala ya bunge kuliko kuangalia mijitu mikubwa ikibishana, ni aibu. ivi hawa wabunge wanaleaje watoto wao kama wao hawana ndhan!
Chochote kinacholeta vurugu au kinacholeta kutokuelewana ni hatariiiii!!!!
Wengi wanaenda bungeni kuupeleka ushabiki wa vyama vyao. Na sio matatizo ya wananchi, mahala pa bunge sio mahali pa ushabiki, uchama, ukanda, na sio mahala pa kwenda kujipatia umaarufu kwa kuongeaongea hovyo kama walevi. Mahala pa bunge ni mahala pa kwenda kuongelea maswala yanayohusu wananchi wa mahali ulipotokea (jimboni kwako)
Yaani mnashangaza kwelikweli mnakwenga kupoteza muda kuongelea TBC kwanini hairushi au haionyeshi yanayoendelea bungeni live!
Mnadhani kila mtanzania ana tv hata kama wote wanazo tukaamua kukaa na kuwaangalieni ninyi muda wote hiyo hasara tutakayopata kwa masaa hayo ambayo hatujashughulika kwa kuwaangaliani ninyi je, mutaifidia na nini? Lingine ni hili munadhani mpaka sasa mmesababisha hasara kiasi gani? Kwa kuvutanavutana kwa huo ujinga mnaopeleka bungeni.
Ushabiki mtupu!!!!!
Hilindio bunge jamani Mungu tusaidie
Nimeiss sana bunge
Safi kaka
Halima mdee ni jembe mii namkubali, aropoki bali anatetea wananchi wake
CCM MME FANYA DHAMBI MBAYA SANA,KWA KUWA DHULUMU WATANZANIA WALIO WAPIGIA KURA,ILI WASIONE BUNGE LIVE,NA WA WAKILISHI WAO BUNGENI WAKISEMA WALIYO TUMWA NA WATANZANIA.
Ezekiel Mwadomba hiyo ndio tanzanià udongo wenye dhambi
Chenge hana mpango wowote anataka kulinda maovu. CCM na Chenge hana mamlaka ya kuzuia taarifa kwa umma anachofanya ni kuendeleza ujinga wake.
halima mdee wewe hakunaga mbunge km we acha wabunge ccm wengi wao Ni ndiyoooooo hoja hawana
Cku zote uwa nasema na ntaendelea kusema ukweli kuwa hakuna wabunge wenye akili na uwezo mkubwa kihoja kama wabunge wa upinzani hilo lazima niseme ukwel juu ya hilo
tunataka bunge lioneshwe moja kwa moja, ili wananch waone na kusikia kod zao zinavyo tumika na sio muoneshe muda wa usiku kwan nao huo ni muda wa kupumzika wengi hawata jua wawakilish wao wanawatetea au wanatetea masilai yao pia watz weng hawana luninga hivyo ni vigum kwenda usiku kwa jiran kuona yanayo jiri Bingen.
soma bana kwann unachagua vya kusoma ?
tunataka bunge lioneshwe moja kwa moja, ili wananch waone na kusikia kod zao zinavyo tumika na sio muoneshe muda wa usiku kwan nao huo ni muda wa kupumzika wengi hawata jua wawakilish wao wanawatetea au wanatetea masilai yao pia watz weng hawana luninga hivyo ni vigum kwenda usiku kwa jiran kuona yanayo jiri Bingen.
Hii laana cjui Nape anaisolve vp
Hapo nappe alipokua anamuangalia Zitto, sijui kama na leo anaweza kumuangalia hivyo
BADO NAONA UMUHIMU WA ZITTO KABWE KUWA NDANI YA BUNGE HILI
nmeipenda iyo tupo samba,mba ndugu
Wapinzani wengine wangekuwa wanaiga anavyofanya Zitto wangekuwa mbali, wao wanafanya siasa za wakati wa ukoloni katika serikali isiyo ya kikoloni.
yasini mwinyi
Zitto bado tunakukubali chapa kazi
yasini mwinyi zito nimweu2 yekaziyake nikupinga2 hana lolote
mdee n msenge tuh hana kauli nzur ht kdg jpo m ukawa
nmekuelewa zitto
We Karim Ngasinda masikio yako yana matege ndo maan husikii
mnatuzinguwaa wabunge mmnakura pesazetu arafu mnatukana acheni ujinga
Khaa hili bunge au genge la wauni hadi matusi bungeni ww mwanaume ww mwanamke mwanamke baba yako magu unaangaria nguvu majibu ya upuuzi
hivi hakuna azabu , hivi wanavyo ongeya utafikiri discipline imepoteya kabisaaaaaaaa!!!
Zitto namkubali sana
Hivi hawa viongozi wa CCM wamesoma wapi? Mbona wanaukwepa ukweli ambao hata mtoto wa chekechea anauona?
MATHAYO MKUMBUCHILE
upi sasa sema ww
Chegeunakadamiza.wapizani
MATHAYO MKUMBUCHILE hats mim nashindwa kujua,hta wenyevi vitongoji hawaamru kedi mpaka hela he,kW maskin hana hela c anakufa tu
weng wanapereka kes hta polis wanarudishwa ngaz y chn vitongoji wanaona tukio lakin wanaamuru cvo,hata barua hawatoi mpakawazee wke bila wazee auwawe au pesa mambo hayasomeki
yi naonozwa na mwizi wa ESCOW mtapata faida gani?
Hili mwenyekit la, cck
Haki hakna kabisa bungeni ccm acheni mambo ya ajabu
Demokrasia imekufa
Watnzania hatuna Uhuru tunadanganywa
TUME WACHANGUA MTUSAIDIE KUMEKUA KAMA SHURENI MIMI SIKU ZIMA ACHENI KUTUZINGUA FANYENI KAZI
WALIYO SABABISHA BUNGE LIWE KAMA SHULE YA MSINGI NIWAO CCM,KWA KUWATUKANA NA NA KUBEZA WABUNGE WA CHADEMA.KILE UPANDACHO NDICHO UTAKACHO VUNA BIG UP WAPIINZANI!!!
sana mkuu
Waheshimiwa wa watanzani
Bunge lilikuwa enzi za baba wa taifa, sio sasa watu wanaongea wanavyojisikia tu.