Ni Tundu Lissu na Joseph Mbilinyi tena Bungeni leo May 5 2017
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 พ.ค. 2017
- May 5, 2017 mkutano wa saba wa bunge umeendelea ambapo Wabunge walikuwa wakijadili na kuchangia mapendekezo ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Habari, utamaduni, sanaa na michezo kwa mwaka wa fedha 2017/2018.
AyoTV imenasa hizi za Mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi 'Sugu' na Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu.
Tundu Lissu ni kiboko. Speech yako imetuliza bunge lote. Wabunge wa CCM wametulia kimya wakinyonya madini ya mbunge mwelimishaji kuliko wote. Asante TL, Wewe ni hazina ya taifa hili
Nice speech Mr. Lisu , hakika mchango wako bungeni hautasahaurika milele na Mungu akupe maisha marefu
Wanaoangalia comments kwanza gonga like
Lazima nitamzaa lissu katika Jina LA YESU.AMINA
Hakika lisu ni kichwa cha wa Tanzania Mungu akup maisha km yote
Hapa Lisu alijitabiri na kumbe michango yake yote bungeni ni utabiri hapo badae fuatilia kwa makini gonga like ukipata ukweli.☝👏👏💓💓
Safi sana kwa hoja nzuri, Tuisimamishe nchi kiukweli ukweli na sio kwa poroja bhana
Mtashughulikiwa ninyi na hakuna atakayewapigia kerere kwasababu wengine wote tutakuwa tumenyamanzishwa .like kama umemuelewa.
Sichoki kumsikiliza Mh. Lissu🙏
Lissu Mungu akupe maisha marefu,tunajifunza mengi
L
Ameen
I miss sana mh lisu
Amen
Unajifunza sheria au kibur? Nyote rudin mkafundishwe dini ugonjw weni uko hpo
Nakuelewa sana baba yangu Lissu Mungu akubariki kutetea taifa hili.
Lisu alikuwa amejitabiriwa yatakayo mpata,Mungu mrudishie afya aweze kupona kwa haraka,amen
y
Mh mwenyekiti Zungu namkubali Sana he is unbiased ukimlinganisha na Spika wa bunge 2015-2017
Ww lisu umeteuliwa na mungu...
Nyie mmemdharau nyerere sembuse ss kudharau mwenge... 😂😂😂😂😂😁
Mungu akubariki Mh: Tundu Lisu.
Lisu nizaidi ya wabunge wote wa ccm anaafaa kua Rais TZ
Wew ni mtabili mzuri sana
Ww jamaa mtabiri mkuu sana
Ni yeye
Hafai hata kidogo
jamani lisu ana uelewa mkubwa sana Wa sheria sasa wabunge wasipokuwa makini wanafikiri kutunga sheria mbaya ni kuwatungia wapinzani wakumbuke wana watoto wao na hawajui kesho watakuwa Chama gani wakumbuke wangetegemea lowasa angehamia huku
Safi Lissu kibokoo msema kweli, from Kenya thanks Ayo TV
Hivi Mwenge ni nini dadangu? sisi kenya sijaisikia
😂 😂 😂, am dead, all the way from Kenya but i like Tanzanians leaders very brave.
Back again...Ni yeye 2020 ,,Mr Lisu
Aliyoyatabiri yanatokea tunajionea Lissu Mungu akulinde
Leo tena claud imepata chamoto
They ll be real missed !!! ,lets wait
Maneno ya Lissu yanaishi. Sasa tunaongea Lugha moja
Mchango huu Wa mh,Tundu lisu bungeni , utadumu mpk kizazi cha TATU kwa wale wanaoelewa maana ya UTAWALA WA SHERIA.
sugu yuko sawa
Mbulula ni wengi hawawezi kuuelewa wengine wataelewa lakini wataupinga kwasababu za kiitikadi.
Huyu jamaa ni genuis sana
Lisuuu
Namkubali sana
omg Mh Lissu preach sir ..magufuli thinks his above all laws...
lisu fanya maendeleo nakupongeza sana
18/3/2021 Nasikiliza mkali Wahoja Nikiwa gomsi yani Gongo lamboto Shelia zote Anazo Kichwani
It is 2022 today and the speech is so relevant!
We are together ,,lisse he was really ccm without other parts ,,our government is nothing
wako sawa kabisa wana harakati wetu.
these guys speak very defined points halafu wanapuuzwa, why?
Hamismhenwa,wajifia,yan Asante kw kinyaturu, Uhuru wa Habari ndio haki ya Tanganyika, hatujielewi Tatizo shule,bila katiba hutaona haki,
Mungu walinde lissu na wengine wote wenye uchungu sana na nchi hii
mj
kwel kabixa sugu na lisu mnasema ukwel
mungu tupe watu wenye uhodari wakunena ukweli
son thadei duu balaaa mtupu mafisiem
Licu umetuxahaw watanzaniya tunakusubiri
hata mm sioni umuhimu wa mwenge wanavizia miradi.
Kwa vile hujui umuhimu mwa mwenge nenda makumbusho mwenge unamhm mkubwa kwan ni ishara ya amani
Wangapi tunaipenda hoja hii tujuane
Huyu ni mbunge machachali sana. Tanzania imepoteza mchachuaji mzuri sana wa mijadala mbungen.
Wabunge wa upinzani wananipa aman sana,they always talk about facts and reality.
Pmj sn kmnda
Mungu Akubariki sana
Ww ni jasiri wa taifa lako lisu saluti sana popote ulipo kaka
Mungu ni mwema atokuacha kama ulivyo!
Lisu simba waambie kabisa asiogope kabisa
Ai mis yu, nakukumbuka iyeee iyeee
We missed you Lisu
Tuwe wakweli lisu anafaa kuwa si tu mwanasheria Wa kimataifa Bali hata kuwa Rais 2020!
ww utabili wako unatinia
Nan furaha sana kuona watu wakijenga nchi
wise words from Lissu.
Angefaa sana kuwa mwanasheria mkuu wa serikali...angetusaidia
Duuuu eee mungu wetu. Jina lako lihimidiwe milele
Mwamba sana huyuu....💪💪💪
Ulitabiri mzee!! Pole kwa ukatili walokutendea kwa kusema ukweli!!!
Mungu akulinde Mh lissu,,,,2020 unastahili kbsa
strong message and ccm needs enough time to discuss those words.
Tundu your too good they don't disserve you
pesa nyingi zinatumiwa kwenye mwenge wakati huduma muhimu amna kabisa Tanzania km hospitali azina dawa hakuna vipimo zaidi ya vipimo vya malaria na ukimwi saivi at parasetamol hakuna ,huo mwenge ni wanini? Na raia wakiwa na afya duni au njaa nani ataukimbiza jamani au kuupokea? tuangalieni jamani kuna vitu avina umuhimu km afya kwa binadamu.
Jamila Ismail Hakuna serikali ni ujinga tu hospitalit ya Serikali kila kitu lazima ununue mwisho wao 2020 tunawang'oa mabwege hawa.
nimecheka mpaka machozi sikwa maneno ayo ya sugu dah
Never disappoint
Nimependa neno “ mkinyamaza kimya ninyi mlio wengi “ from Lissu 💪💪
Duu strong message an
Tunamiss sana hili bunge... Sugu🔥🔥🔥
Hiyo ndio point, gonga like apa kisha subscribe
Congrant mh. Lissu unafaa kuwa kiongozi wa juu zaidi
yap,yap,yap! hongereni sana wapinzani Kwa kuwatetea wanyonge,mungu awe nanyi kwa kila jambo.
Nakubali sn lisu
Hawa ndio viongozi wasema kweli nchi yetu ukisema kweli unapingwa nakuuwawa
Best mp ever in Tz
Please post majibu ya waziri
Nakuombea uzima na afya mtu wangu#millardayo
ivi ule wimbo wataisoma number umeishia WAP maana tunaisoma number wote
😁😁😁😂😂😂😂
2021 twende pamoja
Hikikichwa ni hatari xana good xana
Simon Mjoshuamaiko82133
Taarifa ya.habari d wv
Hakika ww ni almasi ing'aayo gizani Mungu awe nawe
Ndio maana risasi zote zile ulibaki hai kamanda wewe hakika ni aseti ya hii nchi na dunia kwa ujumla
Still living lissu
Mungu azidi kukulinda mh lisu
Lissu alikuwa Nabii Kwenye Jambo Hili Leo Hii Akina Nape Hata Press Hapana Uwezo Wa Kuzifanya popote Ushahidi ni Namba membe alivyonyimwa Ukumbi
Kwali mimi ni mejivunza mengi kupitia tundulisu
LISSU 4 PREZZO
2020 chadema tunaomba lisu
lisu angegombea urais tuipeleke nchi mbele
Deal done ✅
Rip bunge la tz. Tutamiss upinzani sana
Missing you All. You will be staying in heart forever
Ndo hivyo wamejichanganya
Semani Mkuu Tupate Maarifa
Uzuri wa sugu hajawahi niangusha
Utarudilin
Juma Michael
Dah
Jamaa yuko makini Lissu anafaa kutuongoza
Asante lusu zam yetu leo zam yao k esho.
Ayubu ponsiano mtung'e
Viumbee wagumu lakini lisuu now one like you hata mungu wanampuuza Kama ni fakiti lisuu sio wa sayarii Hiii ni shida we we🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉
Lisu hakustahili kua kiumbe wa sayari hii alitakiwa kwenye sayari ya juu zaidi ,i respect you lisu i will never feel ashemed to call you educated one becouse you know and you mean what you are saying
Mwamba mpambanaji.....Allah akusimamie Lissu
lisu yuko sawa
2020 gonga like
Nice
Lisu anasimamia hoja muhimu good
Lisu ni nabii kweli
mia mia lissu
Mheshimiwa unatufaa sana mbeya
Bajet ya marekan
Lissu ulifunzwa sheria na nan?
Ni yeye 2020 ,,Mr Lisu
Tundulisu wachadema ni wabunge wote wa ccm Akiwemo na Rais
nakupenda sana lisu na lema balaaaaaa
Ninaempenda ni lisu peke yake
sugu jiandae lisu aaa kwel ili ndy bunge la bongo
lissu ni kwere nakukubali sana