RAIS SAMIA ATASHINDWA UCHAGUZI 2025/ WANAMDANGANYA/ SIRUDISHI KADI YA CHADEMA/ WANANCHI WANA KERO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ส.ค. 2024
- Kwa story zaidi za maisha, burudani, vipindi na za kila siku tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii :
►JOIN OUR WhatsApp Group chat.whatsapp....
►SUBSCRIBE / @stbongotv
►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
RATIBA ZA VIPINDI VYETU
THE BANTU JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 10 JIONI
SPOTLIGHT JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 12 JIONI
TWENDE JIKONI KILA IJUMAA KUANZIA SAA 1:30 JIONI
FASHIONISTA KILA JUMAPILI SAA 1 USIKU
MR RIGHT SHOW KILA JUMAMOSI SAA 4 USIKU
KIU SERIES JUMATATU HADI IJUMAA SAA2:30 USIKU
THE SPIRIT NA IBADA LIVE KILA JUMAPILI KUANZIA SAA 4 ASUBUHI
MOVIE NIGHT NI KUANZIA JUMATANO MPAKA IJUMAA KUANZIA SAA NNE USIKU NA MARUDIO MCHANA KILA SIKU #tanzania #siasa #DktSlaa #chadema #ccm #samiasuluhu #RaisSamia #magufuli #actwazalendo - บันเทิง
Mhe. DR Silaa uko vizuri nimekuelewa sana.Hata ulivyosema kadi ya. Ccm hujui iko wap nimekukubal sana.wew ni mzee kijana.
Slaa alifanya kazi kubwa sana karatu na tunampenda sana mpka kesho na anachokisema ni sahihi hana unafki
Sio kweli, huyo kinacho mponza ni udini tu, na huyu ni mtu hatari sana hatufayi hata kidogo,
WASAFI
Ningependa doctor uwe rais wangu
😳
Utasubiri sana kwa mpumbavu huyo eti awe rais never.
Huyo jua la jioni tena.
Asante mzee naomba muendele na siasa
Dr slaa Peter ni mfano wa wanasiasa wazuri Sana ktk taifa hili
Dah, mzee anaongea points kweli kweli. Mama wanampamba tuu ili wajilambie asali 😂😂😂😂
🤣🤣
Doctor wewe ni genius wa siasa
Naomba Mungu afutilie mbali hii serikali iliyojaa wezi.
Duh safi sana Doctor Slaa ushauri muhimu sana! Kustaafu 60 old year Doctor Slaa 74 Old year = 14 sio unamiaka 24...
Amefanya error kihisabati. Lakini yuko very smart.
Doctor very wise man 👨
Hatuna Raisi tumepigwa
TIMU ZANZIBAR MUNAMSEMA SAMIA SANA KISA MZANZIBAR ILA IKIFIKA 2025 MSIJE MKALIAA TU MACHOZII DAMU
Kweli kabisa
Napataje hicho kitabu
Noted with thanks, dk Slaah!👍
Samia tunamchinja haturdii kuongozwa na wanawake tena never mwanamke hafai kuwa kiongoz wa taifa
Person Peter
NI VIZURI KUTOA MATAMSHI YAKO UKIJUA RAIS SAMIA ANA FAMILIA NI USHUNGU MWINGI SANA WANAWE WAKISIKIA ETI WEWE NI MCHINJAJI . BIBLIA YATUFUNZA LOLOTE ULIFANYALO OMBA MWENYENZI MUNGU AKIKUJALIE NA UNJUE KUNA WATU WENGI TUNAMPENDA RAIS SAMIA NA TUNAJUA WANAWAKE NI WENGI .
Umeongeza ukweli mtupu
Mpenda haki
Samia watampisha ila kiuhalisia hatu saidii chochote
Ni kweli Samia atashindwa anadutenganisha watanzania kwa misingi ya chuki na fitna kwa wasanii haswa WCB.....Samia must fall#❤❤❤❤❤❤
Sasa WCB na samia wapi na wapi
Acha ujinga wa WCB ha sijui ndio nini Kwa Tanzania. Mtu analima viazi makambako anapata Mbolea kwa bei nafuu na anavuna vya kutosha wewe unamwambia mambo ya WCB wakati hata hajui ni nini.
DR.Slaa rasmi rudi Chadema gombea Urais, una nguvu za kipekee na kuongoza nchi.
Dr Slaa shupavu sana
Huyo Mzee ni Chadema
Nabariki uchambuzi mzuri wa Dr. Slaa juu ya Siasa ya Taifa letu.
Watanzania hatutataka vyamavyama wala mipirapira inaonekana watu wameviweka mbele kuliko Mungu
Kiukweri Mzee wangu mm nakupenda sana tena sana
KAZI YA MUNGU ILIMSHINDA NA KUFUATA KAZI YA SHETANI.
@@Abdallah-hr3hd kwa Hilo mm sihusiki atajuana na Mungu wake
Zanzibar yote samia anakura zake kma rais wa muungano ni yeye tu samia kusema anataka au hatakiii
Kwakweli wananchi walalamikaji laisi mlalamikaji
Nyie vijana wa 2000 mnae msema silaa vibaya hamjui siasa anacho kisema mzee kasha jua ukweli
Rafiki wa jiwe,mama angemwachia ubalozi asingeongea,njaa tu.
Ni kweli atashindwa, Bora aache kugombea maana ataaibika.
HAJAWAHI KUKOZEA WHEN IT COMES TO ISSUES OF POLYTICAL ANALYSIS
Ee Mungu Mfalme wa Ulimwengu, tunaomba Rais wa Tanzania anayetuongoza kwa uongozi unaotoka kwako.
Kwani ccm gani aliwahi kushinda uchaguzi c wizi tu wa uchaguzi.
Huyu ndo mwanasiasa niliyemkubali
Kabisa
Ashinde au ashindwe yote sawa lkn bado atabaki ktk kumbukumbu ya kuwa amefanya mambo makubwa sana ❤
Acha uchawa we punguani
@@talents7934 be blessed ma men, accepted if matters u anything, FLABBERGASTED
Nchi ni kubwa xana kuliko Mama
Hayo mabilion yaliyo ibiwa sindio hayohayo yata mpitisha urahisi na watanzania na wanawake eti tunapewa mkopo kumbe hizohizo no Mari za watanzania lichafueni Sana taifa Ila upo mbadala wa jpm zitakuja ziwatokee puan
Acha potojo na uzushi mheshimiwa samia atashinda bila wasiwasi .
Dah! kwer saiv pesa imekuw ngum hata kwa tochi ni mbinde🤔🤔
Huo Mkono Wa Kushoto Wa Dk Slaa Umepooza Ama
Dk angefungua shule ya kufundisha vijana watanzania siasa....
Kweli kabisa huyo mzee ana madini adimu ya siasa safi
Yuko vizuri Sana Ni jasri Sana w,slaa Ni magufuli kabisaa
Huyu mzee 2025 agombee kura yangu anapata
Kikubwa uhai
Chadema chawa wa samia
ACT mageuzi!!
Unajidanganya rais Samia atashinda usipoteze watu uchaguzi bado
Kama uchaguzi utakuwa kama zamani atapita
Kama uvhaguzi utakuwa wa hakisitegemei
Mzee kwanza pole naona mkono wa kushoto una shida ya stroke lakini Kama ulivyosema move on and rest
Siku nyingine kijana ujipange kufanya interview na Dr.
Kwan ccm iliwahi kushinda lin Kwa haki zaid yakupora uchaguzi na kujipa ushind wa uwongo wapate kula asali pekeyao tu..
Kuna maeneo Mzee unahoja kimsingi. Hasa ulipozungumzua political maturity lakini Kuna wakati haeleweki kiasi kwamba ninaona unafiki mkubwa na kuona kuwa ni msaka tonge tuu kama wasakatonge wengine.
Mzee yupo vema sana
Kuacha active party politics sawa je wananchi wakikutaka uhudumie kisiasa?
Ni mtu mwenye akili sana Anafanya analysis vizuri mno ,,very objective ,, masomo aliyosoma yamemsaidia sana
Nyuma ya pazia itufie
Siasa za kimalaya malaya😂
Anayasema hayo kwa sababu ya njaa tu hakuna lolote
Wananchi ndio watotowa maamuzi yao
Udini ndio tatizo angekuwa muungwana asengeondoka chadema kinachomliza zaidi kwa nini Mama Samia karuhusu vyama Vingi kufanya mikutano yao na kujaribu kuondoa malumbano.Mama Kampiga na chini
Mama hana uwezo wa uongozi kabisa, labda awe kiongozi wa mkoa wa Zanzibar
Kuna umri flani ukifika mtu anatakiwa kuwa karibu sana na MUNGU Kwaajili ya kuiandaa safari ya maisha bora baada ya haya ya duniani, kwa mfano mafundisho ya yesu ame fundisha ya kuwa MUNGU ni mmoja, na hakuna mwingine , na amesema MUNGU wake ndio MUNGU wetu, na yeye ni MTUME wa MUNGU tuu, na haja wahi kufindisha utatu, je ana yaamini hayo ili apate uzima wa milele?
Kaugeugeu ndo shida mungu ni mwema
Kumbe bado unakumbuka utaratibu
Watu wa akili hawapatago nafasi za kuongoza nchi
Ni kweli
Mnapoteza mda wenu tu upige kura usipige utaongozwa na yule usiemchagua anijichagua mwenyewe na watu wake
Slaa unataka cheo lkn hupewi mfamaji tapa tapa tu
Chadema wabebe makapi tena!!??
Wala samia tusimchangue tena
Tumia akr
Masikini Mzee ameshapoteza uelekeo, sasa anawayawaya,,,,,!!!!
Wacha kusema hivyo MMungu ndio anajuwa kila kitu wewe hujui mwache baba wa watu atueleimishe
Hakutumika bali alitumikia vyama!
Wanawake wanaweza uongo
Tena wanaume siku hizi ndo waongo usipime
@@beatricekatunzi903 Hautanielewa mpk uwe mkubwa
Hakika wewe ni nguli wa siasa
Ajapata kurambishwa hasari
Hufai kuwa raisi keasababu wewenikinyonga
Ulipewa ubalozi na ccm ww ni ccm
Mama Samia atashinda kwa kishindo (over 70%) Mzee apumzike naona umri umeathiri ubongo wake kwa kiasi kikubwa
Mwandishi wa habari your immature bado hujajipanga vema kuzungumza na mwanasiasa mkongwe Kama huyo,sio level yako.
Nenda wewe
Slaa ni mjinga tu hana jipya ndumilakuwili huyo.
CDM yenyewe wanalamba asali kwa kwenda mbele.
Huyo sio mtu wa kuhojiwa hana msimamo.
Kwani Tanzania tunapiga kura au wanawekwa kwa taarifa yako Rais Samiha atkuwepo mpaka 2030
Mama atashinda 89%
😳
Mama yuko vizuri atashinda kama upepo wa kisulisuli
Mama hatumtaki
iv 74 kutoa 60 n 24?
Huyu mwanasiasa mwanasiasa siku zote mjanjamjanja Sana na masrahi mbele
Mama yetu mkuu wa nchi yetu. Chukua maamuzi wawajibishe hao waliokula hizo pesa wanakuharibia wananchi wanakosa Imani kuona madudu yanafanyika unashindwa kuwachukulia hatua. Kamata zuia account zao. Waondoe kazin wafitis Mari zao. Wanakuharibia hao!! Kuwa km JPM. MAAMUZI MAGUMU
Anaogopa kufa kufanya nikuweka maisha yako hatarini kwakifo mwamba hakukiogopa kifu nandmn kaenda zake afe kwaajili ya tz kwamtto wakike Tena shombe shombe wa kwafalao aache kula Bata mwamba aliokwenda hanaga mfano
Upuuzi mtupu
Wacha hiyo. Ashindwe na Nani?!
Padre Slaa, unapiga Ramli? kwanza unafiki wa kuzaliwa
Unafiki ni sehemu ya Maisha, Haukwepeki.
Dk unaupeo mpana sana
usiri wamelambiswa asali serekali haiko makini inaibiwa kila kona ila chadema ndio wako hoi kabisa mana ndio wana wasafisha😅😅😅
Mamayao anaongea tu wewe acha tuone mwishowe
MAMA SAMIAH ATASHINDA TENA KWA KISHINDO, HATA BILA USHAURI WAKO MZEE! ONGEA MACHACHE!
Wata mpitisha ila wanainchi hawa mtaki maisha magumu hana kauli yupo Kama tv tu remote control ipo kwingine
Kenge wewe utampitisha na familia yako , hatutaki rais mwanamke sasa hivi
Ndumi la kuwili huyu😂
Yuko juuu såna weee ni mtu usiyemjua huyo kichwa
Slaa kaa ulee wajukuu. Hakuna utakachongea ukaeleweka. Samia atashinda tena 70%
Akipewa mkati anakaa ccm fasta
ulisema si ccm , wala chadema , lakini internally you are very mucb Biased to chadema
Yangu macho ninakaa pale 2025 ila Bora ifikie 2
Yangu macho ninakaa pale 2025 ila Bora ifikie 2
Sio karatu tu ni nchi nzimz acha wampake mafuta kwa chupa ya mgongo
2025 mabadiliko ni lazima
Maridhiano lazima yawekwe public.
Kwa kuwa it has something to do with wananchi.
Hapo mh Mbowe amekosea.
Inabidi aongee na umma.
Dr ongoza jahazi la chadema tupate katiba mpya wananchi tunakuhitaji bado
Mbivu na mbichi zitajulikana 2025
Point sana umeongea
@@kimangu1 Katiba ya Chadema ? Katiba ni mkataba mpya Wazanzibar tumechoka na Muungano uliopo unatuaminisha je kusaini mkataba mpya. Ni vigumu sana kupata Katiba mpya Tanzania.
Huwa wanao msifia niwale wana piga kisha eti anaipiga mwigi
Babu hana sera mbona alikihama chadema hana sera,,
wenye chadema tuliwaona wakati wa magufuli walipokuwa na watikati mgumu