Vituko vingine vya Mbunge BWEGE bungeni leo, “tutaandamana”
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
- Mbunge wa Kilwa Kusini Selemani Bungara maarufu Mbunge BWEGE amelieleza Bunge kuwa atahamasisha Wabunge wote wa kusini kuandamana endapo Serikali itashindwa kuwalipa pesa zao za korosho wanazodaiwa na wakulima.
Umetishaaaaa sanaaaaaa Mh. Bwegeeeeee🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾 can’t deal yank nairudiaaa kuangalia kila dk jamaniiiiii unaniuaaa Hakiiii yananiiii. Kama hatuna shida Tz tunavyochekaaaa haki yananii
Mbunge apendwae na watz wote🇹🇿👍
noma sana , yaani mpaka raha. bonge la mbunge
Aliyesikia
Mmechukua, mmeweka, waaaaah..!!!
Agonge like
Daah,nakuombea Mungu akuponye mheshimiwa,nakupenda sana
Me ktk wabunge ambao nawaelewa huyu ni the best 😂😂😂
A Parliament where real People's issues are discussed.
Hongera Watanzania kwa kujadili maswala yanayowahusu wananchi wenu.
Sisi hapa Kenya ni ng'o!
bwegee 2, hongera mzee wng. uzee ni dawa bwege.
hii srkl y ccm ni mabavu tu na c democracy.
This guy is a hero... Naona kwa mbaaaaaaaaaaaaali🇰🇪
.... kwa mbali sana...
huyumzeeee anaongea alichotumwa jimboniiiii kunahaja ya wabunge kuigaaa kwahuyuuu mzee bundalaa
Huyu akili zake za kawaida anaakili sana halafu kasoma mambo saikologia
Aaa,bwanaweee,bwegeeeee,jimbo lako wanabahati kukupata,mwenyez mungu akupe nafasi nyingine tena yakuwa mbunge Mala kwa mala uwe unaingia bungeni kila mda,nipate kucheka niongeze siku zakuishi.
Waaah mbunge bwege wewe umetisha sana big up sana
Big up Spika kwa kwenda na move pia big up kwako Bwege kwa kuonyesha njia nimekubali
Instablaster...
Hongera sana huwa naku sikiliza kila wakati
Namkubali sana bungara km unamkubar km mm gongs like
Nimemiss sana mzee bungara
tunashukur wa kwetu hakika atujakosea kukuchagua
Nahuyu ndio mbunge alioingia bila rushwa natman angekua mbunge wngu mtafnya kosa sana bila kumrudisha ten bwege
Hilo jembe labda life, cc tutamrudisha kila mwaka
Huyo namkubali asilimia mia anaushawishi HIYO NDIYO SIFA YA KIONGOZI SIO HASIRA
Bwege yupo kiutan ila anafikisha ujumbe vilivyo
Yani huyuuu bwege namuelewa sana hanaga woga
Serikali ya ccm ni kama patasi haifanyi kazi mpaka igongwe
mbunge bungala uko vizuri sana pambana mpaka damu ya mwisho wewe mbunge uko sawa tetea wananchi wako woga mwiko! Sasa kilwa tumepata mbunge mtetea Wana kusini Kwa maslahi mapana ya wakulima.......jamani wabunge wa kusini unganeni mutetee wakulima ilitupate maendeleo tumeonewa saaana hongela mbunge bungala........👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏 👍👍👍👍👍👍👍
ni kwel kabisaa
would listen tp him all day
He is soo bright
Daaah kichwa sana wallah hy mh bwege😍😍😂😂😂
Uyu dingi Ana Akir Nyingi sanaaa
Sijawahi kuchukukia MANENO ya m,bunge wa kusini MUDA MWENGINE NATAMANI kama huyu ndo angekuwa M,BUNGE WA JIMBOLANGU.
John John daa! huyu nibwege mwenyeakili nyingiiiiiiisana
Yes even me at Kiteto
Bwege hongera sana
"Kwa sababu serkali ya ccm inaonekana kama patasi aifanyi kazi mpakkka igongwe"
😂😂
😂😂😂😂😂😂
Kaka selemani naku kubali sana sana kwa ucheshi wako
Da!! Bungeni kuna burudani, 2020 lazima niingie
😃😃😃😃😃
Kila kheri 2020 ndio hii
@@paulamani3936 vp alifankiwa😂
@@mohammedmhina3973 Hahaaa...we mchokozi eee
Hahahahhaaaaaa yaani huyu mbunge bwege lakini bwege mtetezi wa wanyonge napenda sana kazi zake
Bunge limepoa 2021 tutamis sana ivivi2
Cku zote unapo ongea ww mimi huwaga nakuvulia kofia kando na ujumbe wako unaouwasilisha kwa kuchekesha lakini hutoki kwenye points zako za kuwatetea wanyonge wako waliokuchaguwa.. natamani ungekuwa mbunge wangu wa micheweni pemba.
Watu Kama Hawa ndoo walikuwa wananifanya nafuatilia bunge saiv ctakuwa na huo muda
Japo niko mwanza lakini Bwege nakupendaaaaaaga
Bwege haujamboooooo.. Umetisha saaaana
Huyu mbunge anaongea mambo ya maana sana ila tu wana ............wanachukulia masiala na muheshimiwa ..............anampoteza kwa kumvulugia kuna .....pokea
Kusini pamoja na kumpata Rais mkapa aliwatelekeza. Mpaka leo ndio mikoa maskini zaidi Tanzania. Komaeni otherwise Hali itakuwa ngumu.gesi wameitelekeza saizi ni strigliers gorge
Sikama wabunge wengine vilaza wana lala tuu bwege upo vzr
Nakupenda Sana bwege upo vizuri
Jina la Bwege la nini?anajenga hoja vizuri.
Mashaallah hawa ndio wabunge wanaoitajika
Hakika mwaka huu tutamis Sana vituko vya seleman bungara(bwege)
Hiyo MP ako Sawa Sana.
pewa beer mbili bill kwangu 😂😂😂 big up hon Bwege
Gombea uraisi unayaweza mzee
Mmmh kweli wamechukuwa wameweka waa bwege bhana
Hahahah bwege bhana 😂😂😂😂 eti ajipigae mwenyewe halii 😂😂😂
Huyu Mp watanzania mumulegeshe kazi mana Ni panafricanitse wakikweli. Yasema ukweli kabisa Africa mashariki Ni number wani kutoka tzd ug kenya burundi mpaka Rwanda akuna kama yeye. Uliskia wapi mzee muzima kama yeye
Mh:Bwege uko vizuri
Kwa hakika sikuwa ni mfuatiliaji wa mambo ya kisiasa! ila kwa huyu kiongozi; I love him so much!!! very intelligent!
Kwer kunafaida ya vyama vingi bungeni.nafuu kuwambiya hvo hvo
Nice. Ni hiyo pesa ikitolewa itakuwa na manufaa makubwa kwa wenzetu wa kusini. Mzalendo atasema wapewe. Mnafiki tuuu ndio atakuwa tofauti. Wapewe pesa ya kilimo. Wapewe pesa yao. Waratibu maendeleo yao.
Tena mpaka patasi ambayo ni.... igongwe nyuma ndio ifanye kazi
Daah...😂😂
Sauti yake kama ya Joti, Duh
Kilwa mrudisheni Bwege tena 2020
bonny ngowo tunamrudisha mzee baba maana anatufaa sana😁😁
Hakikaa arudishweee
Hakikaa arudishweee
Mrudisheni huyu mbunge
Yani kusini mmepoteza mtu muhimu sana
Saw baba upo vizur San
Huyu mzeee huwaaa namkubali sn
Nawpata vizuri mubashala
Nice! Tunaanz upyaaaaaa
Unafaa kuwa Rais wa nchi.
This man is very smart
Wana Lindi chonde chonde chaguzj zijazo kama patatendeka haki huyu mpigieni kula za ndio akawatetee kwa nguvu na machungu yote
Wewe bwegee upo vizuri
Tungepata wabunge kama huyu ata 7 Tanzania tungefika mbaliiiiik
Namkubali Sana Bwege
Hahahahahaha nimechekaaaaaaa nakupenda Sana
hakika bwege umesimama vema hiyo patasi igongeni
Dahh uyu mzee balaaaa sanaaaaa
BWEGE tunakupenda sana watanzania. Uko njema sana
Sio tzd peke, mpaka Rwanda kenya Africa mashariki wote twamutambua
Aliyetuhalibia bunge mungu azidi kumlani mpaka kiama na huko aliko malaika ya adhabu aendelee kumpa marungu tu
Yani viongozu wetu wamekuwa vituko wanatuchekesha sanaaaaa tunaanza upyaaaaa
Angekuwa muigizaji ingekuwa noma sn
Pole Sana bwege watakukumbuka Sana
Nkuelewaga sana mzee baba
Bwege nakukubali kaka
Toka kenya Bwege ungekua Kenya kura yangu nakupa mimi hapa
Hata mimi niko huku Canada ila namkaribisha kugombea Calgary.
Kweli huyu baba huwa nampenda sana pamoja na kusema kwakwe kwa kuchekesha ila anaongea kwa hisia kali..😂😂😂😂😂
Naona mh salome kakaaaa hana maneno mengi leo nimsikivu tuuu
Man dharaba nafsi la yabuke.... Ajipigae mwenywe halii
Ina maaana gan?
Valangati lilelile linaanza tena kusini
hongera sana mh
😂😂😂sio stakabadhi ghalani ni malipo halali 👐👐👐 bwege bwana.
Serikali haifanyi kazi mpaka igongwe hahahahahahahaha
hngera xna muheshimiwa bwege uko vizuri xana
Ndugu zangu wa kusini tumrudishe Bwege tena
nakubali
HahahahahaAhaaaaa baba mung aendele kukupa afya njemaa
Hahahaha we bwegee wasalimie kivinjeeeeee
Hah hah haha Mzee Babu umetisha sanaaaaa
Basi muheshiwa utazimariza mbavu za wabunge
#BWEGE kanywa #MOFAYA nyingi Leo...
Msg sent na vichekesho safi xna
mze mungu akuweke by ngwame
Ramazani Mulongeca 😂😂😂😂😂😂😂😂
Ramsey hahaha umetishaa mbaya
Hakika wewe mbunge bwege nimekuelewa sana yaani upo kimatani lkn ujumbe unawafikia.
tunaanza upyaaaaaaaa
😂😂😂😂😂
Duuh!!! Kweli huyu bwege kwl.
Mbunge uyoo ni rahaa adi baradizo naiona
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 cant deal na hili bungeee jotii ajee kuchukua koziii kwako aiseeee
Lydia Thadeous ssssaeuulwuua
ardhi ,watu,siasa safi na uongozi bora
Yani huwa napenda kuangalia bunge sababu ya huyu bwegeeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Bwege Dah Mimi nadhani hata haowabunge wa ccm walio jazana huko Bungeni Mwaka huu sijui watajifunza kwa nani Bila ya upinzani Hakuna kitu maisha yanahitaji changamoto
Bwege Kaka pole sana kwa kilichotokea lakini Mungu yupo
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mh bwegee kaah nimecheka.. upyaaaaaaaaa hiyo haina kulala
huyu mbunge yupo good sanaaaaaa hakika hawa ndo watu wenye uchungu na majimbo yao