Fuatana na Prof. Mohamed Janabi ili kufahamu NJIA SITA ZA KUPUNGUZA UPANDAJI WA SUKARI KWENYE DAMU#*

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 64

  • @anithasemwano8276
    @anithasemwano8276 6 หลายเดือนก่อน +12

    Watu wengine wanabeza ,Dr.kiukweli unafanya kazi ya kiimani Mungu akupe umri mrefu tuendelee kunufaika na elimu yako.

  • @MrDaoud-il9nt
    @MrDaoud-il9nt 4 หลายเดือนก่อน +4

    Dr. Tunakuelewa ila hali ya maisha ndio inatupeleka huko

  • @bernardmarcelline7623
    @bernardmarcelline7623 6 หลายเดือนก่อน +18

    Itapendeza akitumia mifano zaidi ya vyakula tunavyokula waswahili wa kawaida huku mtaani na kwa majina tunayotumia huku mtaani. Vitu kama chips kuku, ndizi maharage, kande, chai kwa magimbi au mihogo nk. Hii itatusaidia zaidi. Sisi wengine kuku, nyama na samaki kwetu ni kitoweo tu kilichopatikana siku hiyo mara nyingi sisi ni mchicha, kisamvu, majani ya maboga, mlenda, matembele ndio mboga zetu.

    • @khaledeponera6070
      @khaledeponera6070 5 หลายเดือนก่อน

      Usituongelee watanzania wote....huyo ni wewe na umasikini wako

  • @allykinyaga6060
    @allykinyaga6060 6 หลายเดือนก่อน +8

    Ahsante Muhumbili TV, Ahsante prof kwa Elimu hubwa hii uliyopatia bure

    • @birthmarkclicks2607
      @birthmarkclicks2607 6 หลายเดือนก่อน +1

      Tunashukuru sana

    • @madiziarts
      @madiziarts 5 หลายเดือนก่อน

      Elim bure nawakat tunalipia bando

  • @MabelKaaya-hl2je
    @MabelKaaya-hl2je 6 หลายเดือนก่อน +4

    Asante sana kwa maarifa haya muhimu Doctor Janabi. Mungu Akutunze.

  • @abdallahibrahim280
    @abdallahibrahim280 22 วันที่ผ่านมา

    Ninachojifunza hapa ni kwamba aisee wafrica wenye hela tunaowasifia milo yao ndio wapo hatarini zaidi, tunaokula mchicha, dagaa, tembele kwa dona na kuviamkia viporo kumbe tupo salama, alhamdulillah ❤

  • @JoyceW.Kimaro
    @JoyceW.Kimaro 6 หลายเดือนก่อน +3

    Wakae sehemu ambao haina makelele mbona mie namsikia vizuri sana Mungu ambariki sana huyu Dokta jamani

  • @jacobnduya798
    @jacobnduya798 6 หลายเดือนก่อน +5

    Nimegundua darasa zuri sana tena la bure. Asante sana professor nimependa sana mafundisho yako. 🙏 God bless you and keep you safe.
    Mwisho naomba niulize swali, je nikila wanga asubuhi na jioni na kufanya mazoezi ya kukimbia mara tatu kwa wiki je bado niko hatarini kupata kisukari?

    • @leahogutu9818
      @leahogutu9818 3 หลายเดือนก่อน

      Dr Janabi Mungu akutunze wewe ni tunu kw wa Tanzania nimekuelewa sanaaa

  • @tumainielmaruwa3148
    @tumainielmaruwa3148 6 หลายเดือนก่อน +4

    Prof Janabi Mungu akupe umri refused sana. Wewe ni Lulu kwa watanzania

  • @nazirsulaiman8352
    @nazirsulaiman8352 6 หลายเดือนก่อน +3

    Asante sana doctor,
    Umefafanua vizuri,
    Mwenyezi Mungu akubariki,
    Tunanufaika na elimu Yako big up.

  • @sindabahabwoyaanacret660
    @sindabahabwoyaanacret660 6 หลายเดือนก่อน +21

    Wanao lalamika sauti ipo chini nipende tuu kusema madaktar huwa hawapayuki

  • @faridali4313
    @faridali4313 5 หลายเดือนก่อน +1

    Tunashukuru sana kwa Elimu ya afya unayotupa... Ila sauti ni ndogo haisikiki vizuri.

  • @ConsalvaMumbara
    @ConsalvaMumbara 6 หลายเดือนก่อน +1

    Asante doctor mimi nimejitahidi nimepungua lakini nasumbuliwa gas,pengine cjafahamu vzur jinsi ya kupangilia

  • @GetrudeMngulwi
    @GetrudeMngulwi 5 หลายเดือนก่อน

    Asante. Mungu aendelee kukutumia kwa vipindi hivyo.

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah, shukrani sana Doctor

  • @mohamedhajj9881
    @mohamedhajj9881 6 หลายเดือนก่อน +9

    Dadeki kumbe kiporo kina lika kitaalam

  • @johnmsokulu7726
    @johnmsokulu7726 6 หลายเดือนก่อน +1

    Namuomba ajitahid kutumia kiswahili pale inapowezekana mfno hvyo vyakula wengi utawaacha hawataelewa better atumie kiswahili, asante

  • @octaviantito
    @octaviantito 6 หลายเดือนก่อน +3

    Kuweza kujizuia kula vyakula vya sukari na wanga usiku itakusaidia sana kupunguza ongezeko la sukari kwenye damu.

    • @thehunter5920
      @thehunter5920 4 หลายเดือนก่อน

      Na uzito je?

  • @niriacatering172
    @niriacatering172 5 หลายเดือนก่อน

    Shukrani sana Dr

  • @christinekirigini5963
    @christinekirigini5963 4 หลายเดือนก่อน +1

    Dr nimekuwa mfuasi wako na naamini nitapungua na kumaintain baada ya hapo

  • @charlesmoshi1983
    @charlesmoshi1983 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kumbe vipolo fresh sana eeh havina shida kama tulivyokua tunadhan

  • @ashrafurwegoshora4227
    @ashrafurwegoshora4227 6 หลายเดือนก่อน +2

    Inasikika vizuri sana

  • @leahogutu9818
    @leahogutu9818 3 หลายเดือนก่อน

    Nimesikia Dr unazungumzia viazi naomba kujua ni viazo Ulaya au viazi vitamu tafathali tujuze Asante

    • @joycekambuga6286
      @joycekambuga6286 หลายเดือนก่อน

      Viazi vitamu

    • @HasnaMwanza
      @HasnaMwanza 24 วันที่ผ่านมา

      Tena ni viaz lishe​@@joycekambuga6286

  • @jacklinelyimo7407
    @jacklinelyimo7407 5 หลายเดือนก่อน

    Asante

  • @RevocatusSebastian-c8o
    @RevocatusSebastian-c8o หลายเดือนก่อน +1

    Dokta vip kwa anaekula matunda usiku kisha akanywa maji nakulala je, anahatari kupata kisukari maanna matunda yanasukari pia

  • @ConsalvaMumbara
    @ConsalvaMumbara 6 หลายเดือนก่อน +1

    Doctor je hyo vineger kwa wenye vidonda vya tumbo?

  • @AminiMsellem-gk3yy
    @AminiMsellem-gk3yy 6 หลายเดือนก่อน +3

    PIGA KELELE KWA WAPENDA VIPOROOOO😂😂😂

  • @vanywilson4142
    @vanywilson4142 6 หลายเดือนก่อน

    Dr jenabi umetusaidia sana masomo yako ni mazuri sana kwa jamii

  • @neliusgosbertbaguma8693
    @neliusgosbertbaguma8693 6 หลายเดือนก่อน +1

    Viazi vitamu vipi havina sukari?

  • @LizyKinabo
    @LizyKinabo หลายเดือนก่อน

    😂😂ma dr hawapayuki kweli

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 6 หลายเดือนก่อน

    Isingekuwa sauti kuwa chini leo tena nisingekula ila now sijakusikia acha nijivinjali.

  • @abdallahbahadadi7172
    @abdallahbahadadi7172 5 หลายเดือนก่อน

    Prof. Kuna kitu hatari kuliko blood sugar nacho ni INSULIN resistance. Hapa kwetu kuna baadhi ya madaktari hawajawahi kusikia vipimo vya insulin test au HOMA IR.

    • @dorothymbise3427
      @dorothymbise3427 4 หลายเดือนก่อน

      Hiii unatest wapi.

    • @abdallahbahadadi7172
      @abdallahbahadadi7172 4 หลายเดือนก่อน

      Insulin test nimepima TMJ Mikocheni. Hospital nyingine hata kusikia kipimo hicho hawajakisikia.
      Kujiandaa:Asubuhi hauli kitu. Vipimo ni viwili 1 Fasting Insulin (shs 70000) 2 Fasting Glucose ( 5000).Ili kupata HOMA IR kuna ukokotozi. Zipo online

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 6 หลายเดือนก่อน

    Yaani hapa Dr tuambie tule chakula gani sisi watu wa Hali ya chini maana tumezoea mchana ugali jioni mahalagwe?na vitu vingine Bei yake hipo juu

  • @Selemlaki132
    @Selemlaki132 6 หลายเดือนก่อน +2

    Sauti Iko chini sana

    • @mohamedimbinga7422
      @mohamedimbinga7422 6 หลายเดือนก่อน

      Unaweza ukawa na shida ya kusikia

    • @AminiMsellem-gk3yy
      @AminiMsellem-gk3yy 6 หลายเดือนก่อน

      Madaktari hawapayuki😂😂😂

  • @Saumu.K.karisa
    @Saumu.K.karisa 5 หลายเดือนก่อน

    Mimi.huwa.napenda.sana.kula.malemau.na.maganda.yake.je.kunamadara

  • @ManswetKimario
    @ManswetKimario 6 หลายเดือนก่อน

    Sauti ndogo ?

  • @jamesimanwel5089
    @jamesimanwel5089 6 หลายเดือนก่อน +1

    Sauti iko chini sana

    • @AminiMsellem-gk3yy
      @AminiMsellem-gk3yy 6 หลายเดือนก่อน +1

      Madaktari hawapayuki 😂😂😂

  • @nicksonngogo7904
    @nicksonngogo7904 5 หลายเดือนก่อน

    🎉🎉🎉

  • @MaryamSeif-x5z
    @MaryamSeif-x5z 2 หลายเดือนก่อน

    Viyazi vitamu haviongezi unene

  • @holyboy_midwife7596
    @holyboy_midwife7596 4 หลายเดือนก่อน +1

    Zote n carbohydrates

  • @mahmoudmtanga8448
    @mahmoudmtanga8448 4 หลายเดือนก่อน

    mdundo mkubwa sauti ndogo

  • @buberwaaligaesha1779
    @buberwaaligaesha1779 6 หลายเดือนก่อน

    Ongeza sauti ya simu yako inasikika vizuri

  • @OswardWilson-gx2hy
    @OswardWilson-gx2hy 6 หลายเดือนก่อน

    Asante