Itapendeza akitumia mifano zaidi ya vyakula tunavyokula waswahili wa kawaida huku mtaani na kwa majina tunayotumia huku mtaani. Vitu kama chips kuku, ndizi maharage, kande, chai kwa magimbi au mihogo nk. Hii itatusaidia zaidi. Sisi wengine kuku, nyama na samaki kwetu ni kitoweo tu kilichopatikana siku hiyo mara nyingi sisi ni mchicha, kisamvu, majani ya maboga, mlenda, matembele ndio mboga zetu.
Ninachojifunza hapa ni kwamba aisee wafrica wenye hela tunaowasifia milo yao ndio wapo hatarini zaidi, tunaokula mchicha, dagaa, tembele kwa dona na kuviamkia viporo kumbe tupo salama, alhamdulillah ❤
Nimegundua darasa zuri sana tena la bure. Asante sana professor nimependa sana mafundisho yako. 🙏 God bless you and keep you safe. Mwisho naomba niulize swali, je nikila wanga asubuhi na jioni na kufanya mazoezi ya kukimbia mara tatu kwa wiki je bado niko hatarini kupata kisukari?
Prof. Kuna kitu hatari kuliko blood sugar nacho ni INSULIN resistance. Hapa kwetu kuna baadhi ya madaktari hawajawahi kusikia vipimo vya insulin test au HOMA IR.
Insulin test nimepima TMJ Mikocheni. Hospital nyingine hata kusikia kipimo hicho hawajakisikia. Kujiandaa:Asubuhi hauli kitu. Vipimo ni viwili 1 Fasting Insulin (shs 70000) 2 Fasting Glucose ( 5000).Ili kupata HOMA IR kuna ukokotozi. Zipo online
Watu wengine wanabeza ,Dr.kiukweli unafanya kazi ya kiimani Mungu akupe umri mrefu tuendelee kunufaika na elimu yako.
Dr. Tunakuelewa ila hali ya maisha ndio inatupeleka huko
Itapendeza akitumia mifano zaidi ya vyakula tunavyokula waswahili wa kawaida huku mtaani na kwa majina tunayotumia huku mtaani. Vitu kama chips kuku, ndizi maharage, kande, chai kwa magimbi au mihogo nk. Hii itatusaidia zaidi. Sisi wengine kuku, nyama na samaki kwetu ni kitoweo tu kilichopatikana siku hiyo mara nyingi sisi ni mchicha, kisamvu, majani ya maboga, mlenda, matembele ndio mboga zetu.
Usituongelee watanzania wote....huyo ni wewe na umasikini wako
Ahsante Muhumbili TV, Ahsante prof kwa Elimu hubwa hii uliyopatia bure
Tunashukuru sana
Elim bure nawakat tunalipia bando
Asante sana kwa maarifa haya muhimu Doctor Janabi. Mungu Akutunze.
Ninachojifunza hapa ni kwamba aisee wafrica wenye hela tunaowasifia milo yao ndio wapo hatarini zaidi, tunaokula mchicha, dagaa, tembele kwa dona na kuviamkia viporo kumbe tupo salama, alhamdulillah ❤
Wakae sehemu ambao haina makelele mbona mie namsikia vizuri sana Mungu ambariki sana huyu Dokta jamani
Nimegundua darasa zuri sana tena la bure. Asante sana professor nimependa sana mafundisho yako. 🙏 God bless you and keep you safe.
Mwisho naomba niulize swali, je nikila wanga asubuhi na jioni na kufanya mazoezi ya kukimbia mara tatu kwa wiki je bado niko hatarini kupata kisukari?
Dr Janabi Mungu akutunze wewe ni tunu kw wa Tanzania nimekuelewa sanaaa
Prof Janabi Mungu akupe umri refused sana. Wewe ni Lulu kwa watanzania
Asante sana doctor,
Umefafanua vizuri,
Mwenyezi Mungu akubariki,
Tunanufaika na elimu Yako big up.
Wanao lalamika sauti ipo chini nipende tuu kusema madaktar huwa hawapayuki
😂😂😂
😂😂
😅😅😅
Wale wanopayuk ni vichaa
Kabsaa hawapayuki
Tunashukuru sana kwa Elimu ya afya unayotupa... Ila sauti ni ndogo haisikiki vizuri.
Asante doctor mimi nimejitahidi nimepungua lakini nasumbuliwa gas,pengine cjafahamu vzur jinsi ya kupangilia
Asante. Mungu aendelee kukutumia kwa vipindi hivyo.
Mashaallah, shukrani sana Doctor
Dadeki kumbe kiporo kina lika kitaalam
Namuomba ajitahid kutumia kiswahili pale inapowezekana mfno hvyo vyakula wengi utawaacha hawataelewa better atumie kiswahili, asante
Better nayo ni kiswahili?😅😅
Kuweza kujizuia kula vyakula vya sukari na wanga usiku itakusaidia sana kupunguza ongezeko la sukari kwenye damu.
Na uzito je?
Shukrani sana Dr
Dr nimekuwa mfuasi wako na naamini nitapungua na kumaintain baada ya hapo
Kumbe vipolo fresh sana eeh havina shida kama tulivyokua tunadhan
Inasikika vizuri sana
Nimesikia Dr unazungumzia viazi naomba kujua ni viazo Ulaya au viazi vitamu tafathali tujuze Asante
Viazi vitamu
Tena ni viaz lishe@@joycekambuga6286
Asante
Dokta vip kwa anaekula matunda usiku kisha akanywa maji nakulala je, anahatari kupata kisukari maanna matunda yanasukari pia
Doctor je hyo vineger kwa wenye vidonda vya tumbo?
PIGA KELELE KWA WAPENDA VIPOROOOO😂😂😂
Dr jenabi umetusaidia sana masomo yako ni mazuri sana kwa jamii
Viazi vitamu vipi havina sukari?
😂😂ma dr hawapayuki kweli
Isingekuwa sauti kuwa chini leo tena nisingekula ila now sijakusikia acha nijivinjali.
Prof. Kuna kitu hatari kuliko blood sugar nacho ni INSULIN resistance. Hapa kwetu kuna baadhi ya madaktari hawajawahi kusikia vipimo vya insulin test au HOMA IR.
Hiii unatest wapi.
Insulin test nimepima TMJ Mikocheni. Hospital nyingine hata kusikia kipimo hicho hawajakisikia.
Kujiandaa:Asubuhi hauli kitu. Vipimo ni viwili 1 Fasting Insulin (shs 70000) 2 Fasting Glucose ( 5000).Ili kupata HOMA IR kuna ukokotozi. Zipo online
Yaani hapa Dr tuambie tule chakula gani sisi watu wa Hali ya chini maana tumezoea mchana ugali jioni mahalagwe?na vitu vingine Bei yake hipo juu
Sauti Iko chini sana
Unaweza ukawa na shida ya kusikia
Madaktari hawapayuki😂😂😂
Mimi.huwa.napenda.sana.kula.malemau.na.maganda.yake.je.kunamadara
Sauti ndogo ?
Sauti iko chini sana
Madaktari hawapayuki 😂😂😂
🎉🎉🎉
Viyazi vitamu haviongezi unene
Zote n carbohydrates
mdundo mkubwa sauti ndogo
Ongeza sauti ya simu yako inasikika vizuri
Asante