FAIDA ZA KUFUNGA KULA MLO MMOJA AU MIWILI SEHE YA 3 na Prof Mohamed Janabi INSULIN RESISTANCE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 ส.ค. 2024
  • VIDEO HII INAMILIKIWA NA MUHIMBILI TV

ความคิดเห็น • 126

  • @OliverOden-eb6ko
    @OliverOden-eb6ko 5 หลายเดือนก่อน +33

    Nimefanya fasting diet kwa mda wa 2 month nilikuwa na kilo 93 now nina 77Kg. JANABI🙌🏾❤️ God bless you

    • @numbibonzo4238
      @numbibonzo4238 5 หลายเดือนก่อน

      Bila mazoezi?

    • @OliverOden-eb6ko
      @OliverOden-eb6ko 5 หลายเดือนก่อน

      @@numbibonzo4238 sifanyi zoezi serious yan naruka kamba mara chache saana

    • @sophierkhatib1862
      @sophierkhatib1862 5 หลายเดือนก่อน +1

      Umefanya diet gani ndug yangu maana na mm nipo na izo kilo

    • @Ndu-wa.uroony2
      @Ndu-wa.uroony2 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@sophierkhatib1862Acha kula vyakula visivyo na lishe pia usiendekeze shughuli za kukufanya ukae tu.tembea,fanya kazi ya kushughulisha mwili

    • @ZulfaMazani-lb9oe
      @ZulfaMazani-lb9oe 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@sophierkhatib1862 Ukiweza unacha kula Milo miwili kwa siku , mfano unakula mara moja tu mchana ,,,,ukishindwa iyo unacha kula usiku

  • @sihabaaly287
    @sihabaaly287 7 หลายเดือนก่อน +9

    MashaAllah yaan nakufatilia nakuelewa nakupenda mpaka naumwa yaani nimekua mfungaji sitaki kuelewa habari ya kuonanjaa ✌👍

  • @jacobnduya798
    @jacobnduya798 5 หลายเดือนก่อน +5

    Asante Dr kwa lecture nzuri kabisa! kwakweli nimeenjoy sana kipindi hiki nilitamani iendelee masaa hata matano. This is realy educated man

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 5 หลายเดือนก่อน +11

    Thanks Prof ushauri wako nna ufuwata toka mwaka jana nikiwa na kilo 98 naku vimba miguu ganzi mkono wa kulia ku stuka sana usiku ni ak
    amka na uchovu mkubwa asubuhi saivi nna kilo 66 niko vizuri saaaaaana God bless you Prof

    • @amanimakame6902
      @amanimakame6902 5 หลายเดือนก่อน

      Elimu nzuri kabasa .safi sana

    • @nyakatongongo4292
      @nyakatongongo4292 2 หลายเดือนก่อน

      🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦nashukuru sana

  • @emilianadismasmbulwa5233
    @emilianadismasmbulwa5233 5 หลายเดือนก่อน +3

    Asante Prof. Janabi
    Tunayafanyia kazi uliyofundisha

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 8 หลายเดือนก่อน +4

    Respect. We are lucky to have you Dr Janabi.Remain blessed day

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 5 หลายเดือนก่อน +5

    Mungu akutunze Dr ss tunakuelewa❤

  • @zaynaothman6505
    @zaynaothman6505 5 หลายเดือนก่อน +2

    Asante Dr, Mungu ni mwema kwa upande wa waislam tunafunga mwezi mzima ili tu tupunguze sumu ,Alhamdulillah.

    • @sarahgaula2220
      @sarahgaula2220 5 หลายเดือนก่อน +1

      Waislam wakifuturu wanakula Sana bado dakui
      .
      ..
      .

  • @JackieMijinga-cs5tc
    @JackieMijinga-cs5tc 7 หลายเดือนก่อน +8

    Ubarikiwe sana Prof Janabi kwa kuvunja ukimia na kuamua kuiokoa Jamie, mwenye malicious na Asikie.

    • @agathamathew8185
      @agathamathew8185 5 หลายเดือนก่อน

      Doctor ukila chakula Cha mchana tu nakuacha Cha jion Ni vibaya? Na unatakiwa kula saa ngapi Ni mda sahihi?

    • @eestermos9933
      @eestermos9933 5 หลายเดือนก่อน

      Dah hongera na m naitaka hiyo

  • @MussaHassan-me2cc
    @MussaHassan-me2cc 3 หลายเดือนก่อน +1

    Asante profesa hongera sana kwa elimu nzuri

  • @JackieMijinga-cs5tc
    @JackieMijinga-cs5tc 7 หลายเดือนก่อน +7

    Mwenye masikio na Asikie

  • @pushyd1
    @pushyd1 5 หลายเดือนก่อน +4

    Hii kitu ni nzuri mno,halafu nilichogundua mwili unazoea kabisa,mimi na kama almost week sasa,naamka asubuhi sisikii tena njaa mpaka ufike ule muda niliojipangia kula mlo wa kwanza saa sita mchana

  • @KudraJuma-rf3km
    @KudraJuma-rf3km หลายเดือนก่อน

    Asante, mwenyezi mungu akulinde uzidi kutoa elimu

  • @vayaulashedrack5994
    @vayaulashedrack5994 8 หลายเดือนก่อน +2

    Ubarikiwe sanaa doctor nimepata jambo jipya hapo.

  • @nigananurunjema
    @nigananurunjema 5 หลายเดือนก่อน +1

    Thanks for education Dr Janabi.

  • @christinekirigini5963
    @christinekirigini5963 2 หลายเดือนก่อน

    Barikiwa sana Dr unatuokoa wenye shida hii kwa kweli

  • @MbarakaTamimu
    @MbarakaTamimu 5 หลายเดือนก่อน +4

    ....ahsante dr ALLAH AKULIPE YALIYOMEMA

  • @emmanuelmunanka6137
    @emmanuelmunanka6137 7 หลายเดือนก่อน

    This is among the best content ever, Prof kamaliza kila kitu.

  • @BonnyMwajombe-iu7hb
    @BonnyMwajombe-iu7hb 5 หลายเดือนก่อน +10

    Huyu mzee janab mchawi hatari ,zamani nilikuwa napenda sana kula kula na kunywa mi soda siku hizi kila nikitaka kununua soda inasukea sura ya janabi naghair nachakula hivohivo anatokea hadi nakula usiku tu kwa kujificha😅

  • @dominiquemushy895
    @dominiquemushy895 5 หลายเดือนก่อน +1

    Asante Sana Doctor

  • @yusuphmdoe5451
    @yusuphmdoe5451 8 หลายเดือนก่อน

    Asante kiongozi kwa elimu hii umenipeleka dalaja jingine asante

  • @mlangiralameck9158
    @mlangiralameck9158 5 หลายเดือนก่อน

    Asantee sana Prof Dr. Janabi kwa SoMo zuri, I real enjoyed. God bless u always.

  • @purity134
    @purity134 8 หลายเดือนก่อน +1

    Thanks doctor Janab

  • @BaigonMacha
    @BaigonMacha 5 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu azidi kukubariki na kukupatia afya njema uzidi kutuelimisha

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 7 หลายเดือนก่อน +2

    SHULE HII DUUH
    AHSANTE SANA DR JANABI

  • @DativaMbowe
    @DativaMbowe 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akutunze doctor kuanzia leo napunguza wine 🍷🍷

  • @hadijajuma3773
    @hadijajuma3773 5 หลายเดือนก่อน

    Ahsantee Dr.Nikimaliza mfungo nitazingatia huu hii kanuni.sipendi kuwa na kilo nyingi.Pia InshaaAllah itanisaidia kuepuka baadhi ya maradhi.

  • @patrinraura1397
    @patrinraura1397 5 หลายเดือนก่อน

    Dr.Tunashukuru sana Utafiti wako ni halisi kabisa kwenye ulaji wa vyakula vya asili Mababu zetu waliishi miaka mingi sana tofauti na sasa TUNAMSHUKURU MUNGU KWA KUTUMIA ELIMU YAKO KWA MANUFAA YA JAMII "UBARIKIWE"

  • @user-bj2xs3tc7h
    @user-bj2xs3tc7h 5 หลายเดือนก่อน +1

    MM akubariki leeo na kila siku kwa lecture safi

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 5 หลายเดือนก่อน

    Thank you doctor blessed 😊

  • @GrceLaurentkaboigora
    @GrceLaurentkaboigora 7 วันที่ผ่านมา

    Asante

  • @erickymecky9639
    @erickymecky9639 5 หลายเดือนก่อน +4

    Huyu mzee abarikiwe sana nmemfatilia vzur nmemuelewa sana nmeacha bia mwezi wa pili huu

    • @nusalim3389
      @nusalim3389 5 หลายเดือนก่อน

      Kaweza kumuachisha Pierre liquid itakuwa kuwa wewe😂 mana Pierre ana ugonjwa wa moyo kwsbb ya ulevi

  • @user-rf3zz1lb6l
    @user-rf3zz1lb6l 8 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana doctor be blessed

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 8 หลายเดือนก่อน

    Asantee dctr Janab.❤❤❤❤

  • @user-oe1vw1hk8x
    @user-oe1vw1hk8x 5 หลายเดือนก่อน

    Thank u professor

  • @prosperidinya5864
    @prosperidinya5864 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki sana

  • @wilsonnzowa3620
    @wilsonnzowa3620 5 หลายเดือนก่อน +2

    Serikali ingefanya mkakati wa kuboresha afya ya wananchi kwa kupeleka madaktari kama Hawa Kila wilaya kutoa elimu, kuwakumbusha watu kula chakula cha asili na kukitunza

  • @UserUser-gq1ir
    @UserUser-gq1ir 8 หลายเดือนก่อน

    Asante doctor kwa kutelimisha

  • @hodaviahnkoswe5069
    @hodaviahnkoswe5069 5 หลายเดือนก่อน

    Thank you doctor

  • @willynyambok1568
    @willynyambok1568 8 หลายเดือนก่อน +1

    Asante daktari kwa somo ila dunia haina zaidi ya miaka elfu sita. hata shetani mwenyewe Hana miaka zaidi elfu 3 na ndiye mwenye janzo cha magonjwa.

  • @rodahadhiambo3637
    @rodahadhiambo3637 8 หลายเดือนก่อน

    Thanks Doc

  • @jacklinemassawe1306
    @jacklinemassawe1306 5 หลายเดือนก่อน +1

    Yuko vizuri

  • @AizackKalenge-ro5rc
    @AizackKalenge-ro5rc 5 หลายเดือนก่อน +2

    Prof Janabi,Na kupongeza San a Kwa Elimu,Utapunguza hasara nyingi

  • @user-hq8wn9tz2l
    @user-hq8wn9tz2l 8 หลายเดือนก่อน +1

    Amina

  • @MaryBrayn
    @MaryBrayn 6 หลายเดือนก่อน

    Asante sana

  • @godwinezra876
    @godwinezra876 5 หลายเดือนก่อน

    Safi sana kwa kutupa elimu.

  • @user-dq3op3gs2d
    @user-dq3op3gs2d 5 หลายเดือนก่อน

    Janabi ahsante sana

  • @abubakarsuleman1983
    @abubakarsuleman1983 5 หลายเดือนก่อน

    Shukran

  • @kassimhassan8426
    @kassimhassan8426 3 หลายเดือนก่อน

    Good

  • @waterforlife9356
    @waterforlife9356 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah Allah akulinde mm nilikua na 102kg kwa sasa niko 95kg naendelea llnshallwah niwe 85kg Allwah batik

    • @upendombise8113
      @upendombise8113 หลายเดือนก่อน

      Jamni Mimi nimepima juzi Nina 107 uuuuuwiiiiiiii

  • @victoriaandrew8013
    @victoriaandrew8013 5 หลายเดือนก่อน

    Dr Asante kwa somo. Mm sili mchana mara kwa mara nilikuwa na kg 86 sasa nina 81 zinapungua taratibu

    • @eestermos9933
      @eestermos9933 5 หลายเดือนก่อน

      Hizi ndo kilo zangu jmn siztaki kabisa😂

  • @jessevlogswahili
    @jessevlogswahili 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mimi.nakula asubuhi tu mpaka jioni asubuhi nakula matunda na conflex na plain yoghurt hapo ndo mpaka jioni na ninakula kidogo sana jioni halafu nafanya na mazoezi nilikuwa na tumbo kubwa saivi naanza kuwa modal na uzito umepungua

    • @rerisamba
      @rerisamba 5 หลายเดือนก่อน

      Wow❤❤❤

  • @user-hf4yn1qm7y
    @user-hf4yn1qm7y 5 หลายเดือนก่อน

    Janab friend of Jpm

  • @user-ls2uj3fl1o
    @user-ls2uj3fl1o 4 หลายเดือนก่อน +1

    Asalam alaykum Dr samahani mimi ni mhanga wa uzito mkubwa na kitambi naomba Kuja kuonana na wewe kwa ushauli nateseka na uzito mkubwa naomba msaada wako dr

  • @MohamedMohamed-md3jd
    @MohamedMohamed-md3jd 7 หลายเดือนก่อน

    MashaAllah good advice naomba maana ya arosto Dr?

  • @awamkhalid5361
    @awamkhalid5361 5 หลายเดือนก่อน

    Nimekuelewa processed siyo nzur

  • @davidsimbeye1548
    @davidsimbeye1548 หลายเดือนก่อน

    Ikiwezekana ungetuwekea namba ya simu ili tupate msaada zaidi au weka jukwaa ambalo tunaweza kuuliza maswali na tukajibiwa

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 8 หลายเดือนก่อน +1

    👊✌️👍.

  • @ChristinaTongori
    @ChristinaTongori หลายเดือนก่อน

    Kwa wagonjwa wa vidonda vya tumbo tunaomba msaada wa eliminate.

  • @user-hc5dd8sj6s
    @user-hc5dd8sj6s 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mze wangu apo tuelimishe nn tufanye now na sio unatuludisha miaka io itakua sio kwer kwaio ilikutusaidia tufundishe maisha yte aya

    • @MatildeBjelland
      @MatildeBjelland 5 หลายเดือนก่อน +2

      Jifunze Kwanza kuandik ndo ukosoe

    • @ummumohd18
      @ummumohd18 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@MatildeBjellandhahaha kwa kwel maana ata hajaskiza na kuelewa alichokiongelea docta.

  • @MwanaishaKomboHaji-hg8xp
    @MwanaishaKomboHaji-hg8xp หลายเดือนก่อน

    Baishara zitakufa

  • @wiliampaulo5556
    @wiliampaulo5556 5 หลายเดือนก่อน

    Ha miaka milioni 2watoremba ngosha

  • @jacobemanueljoseph663
    @jacobemanueljoseph663 8 หลายเดือนก่อน +2

    Somo zuri ila habari za miaka milioni mbili sio kweli. Dunia Haina hata miaka 10,000. Haya mambo ya million ya miaka ni nadharia za uibukaji za kina Charles Darwin.

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  8 หลายเดือนก่อน +8

      Hapo chukua kinachokufaa tu maana kwenye imani tuna tofautiana !!

    • @jacobemanueljoseph663
      @jacobemanueljoseph663 8 หลายเดือนก่อน

      @@MahubiriPrMmbaga ni kweli ndo mana nimeikataa hiyo mika milioni. Ila ni muhimu kwa wataalam wa kanisa la Mungu kujikita pia kufundisha mambo kama haya na mengine, italeta radha tofauti na msimamo wa tofauti. Mfano ninafanya kazi katika nchi ya kiislamu na shughulika na hali ya hewa, kwa msaada wa Mungu nilifanikiwa kutengeneza ratiba zetu za kazi pamoja nao kuanza Jumapili. Walipo uliza nilimwambia Jpili ni siku ya kwanza ya Juma. Walijaribu kuleta upinzani lakn kwa miaka miwili sasa ratiba inaendelea kuanzia Jumapili. Maana yake Nini? Wataalam wa kanisa la Mungu wakipata nafasi kufundisha mambo kama haya wanaweza fundisha na kweli nyingine za muhimu kama uumbaji n.k.

    • @SamuelamirKihwelo
      @SamuelamirKihwelo 8 หลายเดือนก่อน +1

      Kwel ,kwa mjibu wa bibilia mpaka sasa tupo kwenye miaka 7000 na kias mpaka sasa

    • @jiwekichwa2857
      @jiwekichwa2857 8 หลายเดือนก่อน

      Dr Janabi anamaanisha mabadiliko ya binamu from Zinjanthropus to now.

    • @jiwekichwa2857
      @jiwekichwa2857 8 หลายเดือนก่อน +1

      Binadamu not binamu😂😂

  • @Violeth-z1k
    @Violeth-z1k 13 วันที่ผ่านมา

    Doctor, Nina tatizo la kutoka na majasho makwapan kwa wing san kama maji hii nayo husababashwa na nn? plz inanikera sana hii hali nifanyaje.

  • @user-di6jz9bm4v
    @user-di6jz9bm4v 3 หลายเดือนก่อน

    Ila pia doctor dawa za hospital zinaongeza mwili ee sababu mm nilipata ajar nikalazwa hospital mda mrefu ajabu nimetoka mnene ili hali ata kula ilikua shida

  • @GloryMzava-sy4bk
    @GloryMzava-sy4bk 4 หลายเดือนก่อน

    Mimi nina kisukari ninatumia sindano za insulini ila uzito wangu n ni mkunwa sana

  • @kibambiibrahim5714
    @kibambiibrahim5714 7 หลายเดือนก่อน +3

    Nini Dalili ya insulin kuwa kubwa mwilini

  • @NeiHerman
    @NeiHerman หลายเดือนก่อน

    Tunaonyonyeshq tufanyaje

  • @zakayoyohana1736
    @zakayoyohana1736 6 หลายเดือนก่อน +1

    kwamjibu wa maandiko matakatifu waliokua wanafunga hawakuwa namaana hio ila kwasababu upo kimwili wafundishe walio Katika mwili ila kaa ukijua hakuna duunia yenye miaka milion mbili

    • @jabiriramadhani3692
      @jabiriramadhani3692 5 หลายเดือนก่อน

      Kosoa kwa ushahidi Ina miaka mingapi

  • @user-io1dm2kc3e
    @user-io1dm2kc3e 5 หลายเดือนก่อน

    Shida mnatuambia tusile wanga na sukari lakini hamtuambii mbadala wake tule chakula gani yaani kama vipi maana wengine ukituambia tu protein hatunui ndio vyakula gani

    • @ZulfaMazani-lb9oe
      @ZulfaMazani-lb9oe 5 หลายเดือนก่อน

      Ykimsikiliza vizur utaelewa alicho maanisha ajakataza kula wanga moja kwa moja ...rudia kusikiliza tena my dia utaelewa

    • @janethkawishe9368
      @janethkawishe9368 5 หลายเดือนก่อน

      Unaruhusiwa kula chochote dear ila Kwa kiasi na usile Kila saa kama umeamua Milo miwili Kwa siku ufanye hivyo ...

  • @user-pw2dv9fr6r
    @user-pw2dv9fr6r 5 หลายเดือนก่อน

    Lakin dr.mi nauliza hii intermediate fast unaweza kuwa unakunywa maji bila tatizo yaani maji ni shida

  • @dunstangeorge3263
    @dunstangeorge3263 5 หลายเดือนก่อน

    Tunaambiwa Yesu aliishi miaka elfu 2 ilopita, miaka inazidi bado elfua 2 haibadiliki😅 sasa miaka milioni ni habari za urongo tuu

  • @user-mk7qi6ti3s
    @user-mk7qi6ti3s 5 หลายเดือนก่อน

    Doctor nmekuelewa .vp kw yule ambae mazingra aliopo mchele kipaombele .ila kw saa24 x1 nini Adhar yke......?

  • @user-rw6dp3yt5h
    @user-rw6dp3yt5h 5 หลายเดือนก่อน

    Usipokula kwa mda mlefu SI utapata vidonda vya tumbo

  • @user-ek6td4kt4t
    @user-ek6td4kt4t 4 หลายเดือนก่อน

    Sorry professor. Hiyo kula mara moja kwa siku kwa wenye vidonda vya tumbo tunafanyaje? Naomba ufanye kipindi utusaidie maana wengi tuna hilo tatizo ukiwaza kula mara moja unavyopata hivyo vichomi ni hatari.

  • @user-us6io8qt8p
    @user-us6io8qt8p 5 หลายเดือนก่อน

    Nikinywa chai saa sita sitaugua vidonda vya tumbo?

    • @gloriadaniel3827
      @gloriadaniel3827 5 หลายเดือนก่อน +1

      Hutakiwi hata kunywa chai. Kula mayai na matunda. Na jioni Kula supu ya Nyama au samaki, mboga za majani na matunda. Achana na wali, ugali vyakula vya ngano. Kula ndizi mbichi INA resistance stach.

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u 7 หลายเดือนก่อน

    Dkt kwanini binadamu anakufa kwanini Kuna kufa kama sisi tumeumbwa na Mungu?

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary8591 7 หลายเดือนก่อน +1

    Upo vizur Kwa elimu hiyo Bali sayans imewaponza Miaka hy unayosema unataka kutupeleka .
    Kwenye Zamadamu. .
    Adamu na Hawa ndio mwanzo wetu hayo mengine niyahao wayahudi.