Asante sana kwa SoMo zuri,Mimi nataka kupungua uzito kwa upande wa mazoezi kwangu itanishinda miguu hata nikitembea umbali mrefu inaniuma sana kukimbia kwangu itakuwa shida
Nirahisi mimi kupata plotin ya nyama,maharage na maziwa,ila nikila hivyo kwa siku nzima siku inayofuata nakosa nguvu nachofanya nachanganya viaz mviringo kidogo au ndiz mbichi kwenye supu yangu,vip nakosea? Navyo vina hiyo carorse? Naomba maelekezo tafadhar
@@stelllakapaya9517 jitaidi sana kula mboga mboga na matunda ili upungue kwa haraka kisha baadae ndio uanze kula kidogo kidogo vitu vya wanga sio uachekabisa mana navyo vinauitaji mwilini
Mbona huzungumzia kuhusu pombe, ninachojua pombe Pia inanenepesha kama bia, vipi kuhusu pombe kali? Kwa maana nasikiaga watu wanasemaga nakunywa pombe kali napunguza mafuta, je ni kweli inapunguza mafuta mwilini?
Asante saañ kutu shugulikia mbarikiwe nyote nawapenda sana nyote🥰🤲🏽🙏🏽
Napenda kutumia muda huu kukushukuru sana ndugu kwa elimu hiyo ya kuusu kupungua uzito Asante sana Ndugu Mungu akubariki sana
Soma hii page wadadamedia.blogspot.com/2024/03/kupunguza-uzito.html
Asante sana kwaelimu nzuri ubarikiwe sana baba
Asante sana kwa SoMo zuri,Mimi nataka kupungua uzito kwa upande wa mazoezi kwangu itanishinda miguu hata nikitembea umbali mrefu inaniuma sana kukimbia kwangu itakuwa shida
Hongera sana kwa somo zuri sana, endelea kutuelimisha kwa kiswahili. Tumekukubali sana
Hongera sana imeisaidia sana
Asante kwa somo nzuri
Nimekuelewa sana
Thanks
I would like to hear more from you
Wow nimejifunza sana,kumbe nilikuwa nakosea 😂
Asanteee kwa darasa mungu akubariki 🙏🙏
Mashaa Allah kumbe una kiswahili kizuri ivi sijawai kuskia ukiongea kiswaha first time
@Aries Alvin OK.. Thanks
@Aries Alvin OK.. Amazing
Barikiwa sana
Nimeelewa nashukuru sana
ubarikiwe sana sana darasa zuri mno
Nimekuelewa sana
Asante sana my brother
Nimekulewa vizuri asante
Duh kumbe nashukulu Sana waelekeza vizuri
Kwenye kula mara kwa mara c sawa kabisa kwaher😊
Asante sana🙏
The English version of the same content th-cam.com/video/eCWk8lkuuVo/w-d-xo.html
Asante saba
Ukweli
Asante sana
Asante sana my brother nitajitahidi sana 🙏🏽🙏🏽
Asante sana kwa somo zuri
As alaykum mm nataka kupungua namazoez siyawez kwa sababu nnapumu kali sana jee unanisaidiaje
Asant sanaaaaaa
Naomba namba zako kunamsaada nilikuwa nataka kukuomba nimeteseka kaka yangu
Asante sana. Nimekuelewa
Nimekuelewa vizuri, naomba namba yako ya WhatsAp, Kwa mawasiliano zaidi
Mnakuwa na maelezo mengi mn
Ahaa ndy maana
Duh Yani nilikuwa nakosea mnoo
Asante
Naomba namba doctar
Ninakupataje naomba namba
Yani kaka angu umeongea kweli kabisa
Nimekupenda unafundisha vizuri chakwanza mie kuancha ni soda jaman maana tumbo hatari
❤ubalikiwesana docta naomba namba yako nimeteseka kwamda mlef Sana nashinda na njaa mpaka nimepata vidonda tumbo
Chanzo cha kunenepa kwangu ni family planning nlipoanza kuitumia nlinenepa ndani y mwaka mmoja baadae nlitoa last yr march na bado sijapungua
hi you look like frederick bundala sns news
Nina swali Dtr kwa nini kuna watu hata wakila chakula cha wanga na mafuta bila kazi ngumu au zoezi hawanenepi
Km mm nafanya kazi omani sina muda wa kufanya mazoezi nifanye nn
🙏
Nlikuwa nakula tu bila kuwa na elimu ya kutosha...asate kwa elimu nzuri, nmeelewa.
Natumia njia ya uzazi wa mpango yani sindano nilivyo aza kutumia nimenenepa sana je ata kama nikifanya mazoezi nitapunguwa kweli
Asante namba namba yakoo
❤❤❤❤❤❤❤
🙏🙏🙏🙏
Umenipa SoMo sana Asante
mm miaka yangu45 nnauzito wa kilo72 naomba unisaidie nipunguze
Nyama kavu iliyo kaushwa kwa jua pia inakua bado inamadhala sawa na Nyama Fresh 7
ww
Hiyo kula hata debe zima
Na vitambi vya urithi😢😢
😅😅😅😅
@@MerryFredrick 😂
Ninakupata hapo pakushinda njaa nikama umeniona🇰🇪🇰🇪
Nirahisi mimi kupata plotin ya nyama,maharage na maziwa,ila nikila hivyo kwa siku nzima siku inayofuata nakosa nguvu nachofanya nachanganya viaz mviringo kidogo au ndiz mbichi kwenye supu yangu,vip nakosea? Navyo vina hiyo carorse? Naomba maelekezo tafadhar
Ingejifunza uhusiano wa homoni ya insulin na kula mara kwa mara,ushauri wako ni hatari kuliko hata magonjwa yenyewe,kwani unapotosha watu
Me sina kitambi wa sijanenepa ni mwili wa kawaida tu ila nakilo 73 sasa. Sijajua tatizo nini kaka nisadie
Mifupa yako ni mizito kipenz
nakufuatilia sana EBM, Hongera kwa kutuelimisha.
Asante sana Kaka niunge kwa group lako
Yaani Kaka mimi nateseka uzito wangu mkubwa sana 89
@@stelllakapaya9517 uyu mm😂
@@stelllakapaya9517 jitaidi sana kula mboga mboga na matunda ili upungue kwa haraka kisha baadae ndio uanze kula kidogo kidogo vitu vya wanga sio uachekabisa mana navyo vinauitaji mwilini
Nisaidie nina ganzi ya miguu na viwiko vya mikono..nina uzito wa kg 108
Naomba nambaa ya cm
Sasa tule nn
HIV ndiz mbich kuzichemxha na kufanya kifungua kinywa nazo Zina wanga sana?
Ndio
Naomba uniambie faida ya asali na mdarasini
I wish I could get ur number ur great advisor
ASante kwa ushauri samahan unaweza kutaja no yko ya wasp
Mbona huzungumzia kuhusu pombe, ninachojua pombe Pia inanenepesha kama bia, vipi kuhusu pombe kali? Kwa maana nasikiaga watu wanasemaga nakunywa pombe kali napunguza mafuta, je ni kweli inapunguza mafuta mwilini?
Sasa hizo sabbu mimi sizijui ndo nambiye wewe hiki usile hiki wacha ndo tuelewe
Please kuwa una ongea swahili
Na nimenenepa km miaka sita sasa
Mbona hapo bado unapoongea umempa sana
Kwenye maji hapo umenitachi
Ninakula namaji nnakunywa vizuri lakini Choo ningumu siku mbili bila Choo nifanye nini?
Inabidi upate na matunda pia hasa kama mapapai, maembe ya kuiva, machungwa nk...nadhani yatasaidia
Kunywa maji ya uvuguvugu glasi mbili asubuhi na mapema unapoamka kabla hujapiga mswaki.
Naomba namba Yako ya Whatsapp