#*Afya Podcast# Fahamu Tabia Mbaya 10 zinazoweka Figo zako HATARINI..

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
  • #*Afya Podcast#*
    Fuatana na Prof. Mohamed Janabi ili kufahamu Tabia Mbaya 10 zinazoweka Figo zako HATARINI..

ความคิดเห็น • 206

  • @legera63
    @legera63 5 หลายเดือนก่อน +21

    Mungu wangu linda afya yangu sayansi ni bora ila wewe ni bora zaid✊

  • @phantyrhymes9536
    @phantyrhymes9536 5 หลายเดือนก่อน +6

    Simple and best explanations. Congrats Prof. Mohamed Janabi.Anajua kuelimisha sana.

  • @molionlinetv
    @molionlinetv 5 หลายเดือนก่อน +15

    Asante sana Dr . Imeeleweka mungu akupe maisha malefu huna baya na mtu Dr janabi

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 5 หลายเดือนก่อน +14

    Mzee amenyooka,...ila maisha yanahitaji nidhamu kubwa

    • @hezronmlwale7416
      @hezronmlwale7416 5 หลายเดือนก่อน +2

      Hakıka mzee amenyooka mpaka... Nıdhamu kubwa katıka maısha haya nı muhımu sana. 🙏🙏

    • @OnejobKope
      @OnejobKope 5 หลายเดือนก่อน

      Asante sana doctor ubarikiwe

    • @officialyohanamalisa1873
      @officialyohanamalisa1873 5 หลายเดือนก่อน

      Saana nidhanu ndio kila kitu. Ukikuta mtu anafukia nyama choka kilo moja na bia, akidhani huna hela ya kula , ila siku atakua anafanya dialisis atalia kama nyau 😊

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 5 หลายเดือนก่อน

      @@officialyohanamalisa1873 maisha yana mwisho, usimdharau na kumnyanyapaa anayekula kilo nyama choma. Duniani tunapita.

  • @domisonrichman6499
    @domisonrichman6499 5 หลายเดือนก่อน +38

    Habari hii tv sikujua kama ipo hongera prof Jababi elimu nzuri umetoa..Ila mm ni kijana umri wangu 32yrs nina tatizo ambalo hospitali wameshidwa kujua tiba yake wala chanzo naomba mwenye namba ya simu ya Prof Jababi anisasidie guys nateseka sana almost miaka 8 sàsa ....Msada wakuu

    • @dullaone454
      @dullaone454 5 หลายเดือนก่อน +1

      Jitahidi uende jkci. Pale muhimbili kitengo cha moyo. Utampata.

    • @jamesswai1683
      @jamesswai1683 5 หลายเดือนก่อน +1

      Nenda Muhimbili ndio suluhisho..

    • @barnabasmboya7688
      @barnabasmboya7688 5 หลายเดือนก่อน +14

      Yesu Kristo anaweza kukuponya. Mpe Yesu nafasi. Kwa msaada zaidi unaweza kunifuata nitakushauri na tutaomba na utapona

    • @SalamaSwedy
      @SalamaSwedy 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@barnabasmboya7688 😂😂😂 Wacha utapeli

    • @husseinhamis1428
      @husseinhamis1428 5 หลายเดือนก่อน

      we kichwa yako mbovu ​@@barnabasmboya7688

  • @ukweli255
    @ukweli255 5 หลายเดือนก่อน +6

    Naamimi kuna Media Kubwa kama Clouds Media au Wasafi Tv wataingia mkataba na hii Channel ili haya Maudhui yawe yanawafikia wengi ambao kuifia TH-cam ni ngumu!

    • @ce-08
      @ce-08 3 หลายเดือนก่อน

      Alishaenda wahi kwenda clouds sema ....

  • @Abdalla.Said_01
    @Abdalla.Said_01 5 หลายเดือนก่อน +8

    Unatoa elimu nzuri sana Prof. Mohamed

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 5 หลายเดือนก่อน +6

    Prof apewe muhimbili kwa miaka 100 ameibadilisha san Hospital ya Taifa

  • @taturamadhan5940
    @taturamadhan5940 5 หลายเดือนก่อน +22

    Allh akulipe si rahisi kwa mtu mwenye cheo kama chako kuandaa vipindi na kutuelewesha hii ni kwa sababu unaona hatari iliyopo na unataka tujikinga. Ahsante sanna

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 5 หลายเดือนก่อน +3

      Sana huyu baba anaiimani. anahuruma na binaadam wenzie

    • @emmiemmi3861
      @emmiemmi3861 4 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa

  • @mahadhikawia3610
    @mahadhikawia3610 หลายเดือนก่อน +1

    شكرا دكتور،جزاك الله في هذه تذكرة

  • @linnetmbotto7212
    @linnetmbotto7212 5 หลายเดือนก่อน +4

    Umesahau utumiaji wa vipodozi vyenye kemikali kali

  • @aloycerichard5684
    @aloycerichard5684 2 หลายเดือนก่อน

    Lakin pia ifahamike kunawengi wawo wanafanya Kaz kama Kaz na wengine wanafanya Kaz kama wito docta Mohamed ww unawito

  • @alwysalehmohamedalammary3507
    @alwysalehmohamedalammary3507 5 หลายเดือนก่อน +3

    Shukran doctor Allah akulipe kwa unachokitoa kwa jamii

  • @sixytntongambele3038
    @sixytntongambele3038 5 หลายเดือนก่อน +3

    We jamaaa unaafya ya aqiri iliyo strong sana
    Me binafsi sijutii kukufaham kwakweli

  • @WardaArto
    @WardaArto 4 หลายเดือนก่อน +2

    Doctor tunaomba mjibu coment zetu

  • @gloryurassa9873
    @gloryurassa9873 5 หลายเดือนก่อน +3

    Asante sana kwa Elimu ya afya Dr. Janabi. Mungu akuzindishie wingi wa siku

  • @greysonmbembelakarateka5842
    @greysonmbembelakarateka5842 5 หลายเดือนก่อน +2

    Ahsante, Mungu akupe maisha marefu uzidi kutuelimisha

  • @martinjohn7854
    @martinjohn7854 5 หลายเดือนก่อน +2

    NASHUKURU SANA DOKTA.
    NAOMBA KILA. KADA YA DAKTARI BINGWA TAIFA, ITOE MADA YAO HUKU, ILI TUJIEPUSHE NA HATARI HIZI.

  • @AbuuMuhsin
    @AbuuMuhsin 5 หลายเดือนก่อน +4

    Tuko pamoja Dr. Nakufuatilia kila siku na kila somo lako.

  • @jeremiahbhulituma855
    @jeremiahbhulituma855 2 หลายเดือนก่อน

    Prof. Habari za kazi. Mimi ni mfuatiliaji mzuri Wa mafundisho yako. Kila kipindi unachorusha najifunza zaidi.
    Wewe kwanza umbo lako liko sahihi. Hapo ulipo una umri wa miaka mingapi. Na uzito wa kilo ngapi. Maana nakuona uko very super active!!! Natanguliza shukrani kwa majibu ya maombi hayo

  • @goodlucknjau77
    @goodlucknjau77 5 หลายเดือนก่อน +1

    Shikamoo pro kwenye pombe ongeza ata mbili mkubwa 😂😂😂

    • @EliaMugini
      @EliaMugini 4 หลายเดือนก่อน

      Heeeeee

  • @AbasiHassan-w4s
    @AbasiHassan-w4s 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nimekuelewa doctor.mungu akuzidishie kutupa elimu napia .akuingize peponi amin

  • @joshuakimambo2765
    @joshuakimambo2765 5 หลายเดือนก่อน +1

    Elimu nzuri sana. Elimu ya kujitambua bado inahitajika sana. Magonjwa mengi yangeweza kuepukika kwa kubadilisha tu mfumo wa maisha

  • @EvanceShirima
    @EvanceShirima 5 หลายเดือนก่อน +1

    Dr mo janabi unipa somo nimetoka na kitu kimojahapo,msaliimie bingwa mwenzio hapo dialysis mgumi na ness mnyenyekevu asie na mawaa HAJIRA ###

  • @adamuadamumussa7289
    @adamuadamumussa7289 หลายเดือนก่อน

    ❤❤MUNGU kakuketa duniani pia kakupa uhai na elimu ya juu ili utuokoe na maradhi na unatupa njia sahihi ya kuishi, chukua maua yako baba🎉🎉🎉wewe ni mtu muhim sana katika dunia hii,, tunapata faida na elimu unayotupa bure kabisa ingali wewe ulitumia pesa nyingi kuipata nasema ASANTE NA MUNGU AKUBARIKI🤲🤲

  • @MrDaoud-il9nt
    @MrDaoud-il9nt 4 หลายเดือนก่อน +1

    Shukrani doctor Allah akulipe

  • @deogratiasntalindi4200
    @deogratiasntalindi4200 4 หลายเดือนก่อน +1

    MUHIMBILI#Afya bodcast# naomba mnisaidie mawasiliano ya Prof.Janabi nina maswali mengi sana

  • @bonifaceferdinand566
    @bonifaceferdinand566 5 หลายเดือนก่อน +4

    Somo zuri Dr,ila hujatuambia nini tule ili Figo zetu ziweze kuwa salama

    • @johnmwasilu7087
      @johnmwasilu7087 5 หลายเดือนก่อน +1

      Hayo aliyokwambia fanya kinyume chake ndiyo jibu. Pia yale asiyoyataja ndiyo hayana madhara makubwa unaweza kula

    • @sitisalum9573
      @sitisalum9573 5 หลายเดือนก่อน

      Mwenyezi mungu akubariki sana prof,

    • @isacklaizer6776
      @isacklaizer6776 5 หลายเดือนก่อน

      Kunywa maji ya kutosha, punguza chumvi, punguza sukari, Punguza matumizi yaliyopitiliza ya dawa za maumivu (NSAID), Kuacha Unywaji wa pombe uliopitiliza...n.k.,

    • @MinskBelarus-il2tl
      @MinskBelarus-il2tl 5 หลายเดือนก่อน

      Boniface, mbona ameweka Wazi? MAJI KAMA CHAKULA BORA

    • @shukranjulius9526
      @shukranjulius9526 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂​@@MinskBelarus-il2tl

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 5 หลายเดือนก่อน +2

    Maashaallah Allah akulipe heri Dr. JANABI

  • @asnathmugassa136
    @asnathmugassa136 5 หลายเดือนก่อน +1

    Aksnate sana professor Janaby kwa elimu nzuri sana

  • @paskalkinyunyu9045
    @paskalkinyunyu9045 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akutie nguvu utupe elim naelimika sana sana asante

  • @mbondehemed2841
    @mbondehemed2841 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nimekupata janabi mungu aliki kwasomo rako

  • @mohammedabdullah5895
    @mohammedabdullah5895 2 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤

  • @AmaniSylvain
    @AmaniSylvain 2 หลายเดือนก่อน

    Asante

  • @josiahkulwa34
    @josiahkulwa34 5 หลายเดือนก่อน +1

    Shukran kwa mafunzo yenye kutujenga kiafya

  • @adamuadamumussa7289
    @adamuadamumussa7289 หลายเดือนก่อน

    ❤❤

  • @richytarimo4656
    @richytarimo4656 5 หลายเดือนก่อน +1

    mmesikia ,,, bia 2 kwa siku,,, Sasa unakunywa krate sijui unamkomoa nan

    • @salmamlokela1987
      @salmamlokela1987 5 หลายเดือนก่อน

      Anazikomoa figo😂😂 alafu ukiwaambia wala hawasikii

  • @ManyamaOG
    @ManyamaOG 4 หลายเดือนก่อน

    Assalam alaikum, dr janabi naomba utuelezee maradhi gesi na namna ya kujikinga . Insha Allah

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana3353 5 หลายเดือนก่อน +1

    Tunashkur kwkuwa tunapata Elim ya mapema.

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hakika MUNGU akubariki Sana wewe kweli ni msomi

  • @SahimSalim-l5f
    @SahimSalim-l5f 5 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu jamaa anajua kutupa madini na anajua kuchambua

  • @victorntaganyamba7313
    @victorntaganyamba7313 5 หลายเดือนก่อน +1

    Asante kwa somo zuri

  • @aloycerichard5684
    @aloycerichard5684 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki sana nimeelewa ulaji holela ni hatar kubwa

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 5 หลายเดือนก่อน +1

    Asanteee pfrs Jana bi❤❤❤❤ kwa somo

  • @joycemboya5728
    @joycemboya5728 4 หลายเดือนก่อน

    Tunaomba Dr mfanyie utafiti Sawa zetu za asili tulizotimia huko nyuma na zikatusaidia

  • @josephmsacky2248
    @josephmsacky2248 5 หลายเดือนก่อน +1

    6:09 Hii nzuri sana, ongera sana dr

  • @samwellaurence7035
    @samwellaurence7035 2 หลายเดือนก่อน

    Somo zuri sana,, Ahsante Dr.

  • @tatankakoroba48
    @tatankakoroba48 5 หลายเดือนก่อน

    Our body when having too much acid ....can be reduced by eating alkaline foods ...ie all vegy and fruits

  • @rodsconehenry4249
    @rodsconehenry4249 5 หลายเดือนก่อน +2

    MAMBO YA AFYA HAYA,MWISHOWE MTATUAMBIA HADI KULALA NA FENI KUNASABABISHA FIGO KUFELI,,SASA USINGIZI ASKARI HAWALALAGI KABISA KUMBE NI HATARI

    • @ambroceharouna1612
      @ambroceharouna1612 5 หลายเดือนก่อน +2

      Wewe utabisha mpka kifo chako

    • @abdallahmmary8591
      @abdallahmmary8591 5 หลายเดือนก่อน +1

      Mzaha kwenye ukweli ni mzaha uliouzoea kwenye maisha yaki jitafakari ndg

    • @rodsconehenry4249
      @rodsconehenry4249 5 หลายเดือนก่อน

      @@abdallahmmary8591 angalia Figo zako sio zangu

    • @abasilihundu200
      @abasilihundu200 5 หลายเดือนก่อน

      Nani kakwambia askari halalagi kabisa, acha kukariri. Kwamba mda wote anakuwa kazini

    • @rodsconehenry4249
      @rodsconehenry4249 5 หลายเดือนก่อน

      @@abasilihundu200 kwani Dr kasema tulale mda wote?au kukosa mda mwingi wa kulala?we unaelewa bs

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana DR🎉🎉

  • @DativaMbowe
    @DativaMbowe 4 หลายเดือนก่อน

    Sasa mimi ninae kunywa wine zaid ya moja mungu nisaidie nimeogopa

  • @BonnyMwajombe-iu7hb
    @BonnyMwajombe-iu7hb 5 หลายเดือนก่อน

    Janabi chawi siku hizi kila nikita kununua soda naiona picha ya janabi , chap naghair

  • @martinisadru9899
    @martinisadru9899 5 หลายเดือนก่อน +6

    Kila kitu kua na kiasi, kama bibilia ilivo tuongoza.

    • @DBrownstain
      @DBrownstain 5 หลายเดือนก่อน +1

      Nimependa tu profile yako.... huna baya "YISRAEL CHAI "🎉

    • @martinsawan2923
      @martinsawan2923 5 หลายเดือนก่อน

      Dr nakuelewa sana masomo yako Asante

    • @MahadMfiyome
      @MahadMfiyome 5 หลายเดือนก่อน

      Toka hapo na bendera lako hilo

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 5 หลายเดือนก่อน

      @@MahadMfiyome ulitaka niweke mkundu wako hapo! kila mtu auone. Kundu yako we.

  • @samsonshedrack5677
    @samsonshedrack5677 5 หลายเดือนก่อน +1

    Doctor asante kwa somo zuri,

  • @johngibson3089
    @johngibson3089 5 หลายเดือนก่อน

    Asante sana Dr Janabi kwa kutuelimisha. Je, juice ya miwa ni salama kwa figo?

  • @benjaminjackson8567
    @benjaminjackson8567 4 หลายเดือนก่อน

    Thank you so much for your consideration 🙏🏿🙏🏿

  • @AbihudiMbekomize-uy7kp
    @AbihudiMbekomize-uy7kp 5 หลายเดือนก่อน

    Asante sana doctor lakini pia nina maswali jenaweza kuuliza

  • @tatankakoroba48
    @tatankakoroba48 5 หลายเดือนก่อน

    Prof Janabi..huwa nafuatilia sana session zako...

  • @MohamedMursal-nb6nm
    @MohamedMursal-nb6nm 5 หลายเดือนก่อน +1

    Thanks Dr

  • @abdoulzainoubongoth2556
    @abdoulzainoubongoth2556 3 หลายเดือนก่อน

    Dr janabi Mungu akupe maisha marefu

  • @richytarimo4656
    @richytarimo4656 5 หลายเดือนก่อน

    kitu nachojifunza kila kitu unashauriwa kutumia kwa kiasi,,

  • @sharifhamad-x4n
    @sharifhamad-x4n 5 หลายเดือนก่อน

    kwani mtu akiwa mwembamba anakua hana afya nzuri

  • @ernestjophreymalaba3374
    @ernestjophreymalaba3374 4 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe sana My Role Model

  • @abrahamsingano5372
    @abrahamsingano5372 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana Dr. Mungu akuzidishie umri

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 5 หลายเดือนก่อน +2

    Hapa kwenye ulaji wa pombe kupitiliza ningependeza useme watu wasitumie pombe kwasabab hata hio glass moja inaleta athar ndan ya mwili

  • @williumgeofrey9587
    @williumgeofrey9587 5 หลายเดือนก่อน

    Nitanzingatia yote ila kwenye nyama hapana

  • @salutarysebastian2882
    @salutarysebastian2882 3 หลายเดือนก่อน

    Asante sana kwa elimu

  • @francisosodo8001
    @francisosodo8001 5 หลายเดือนก่อน

    Asante Prof. Kwa Elimu

  • @ernestshekalaghe1945
    @ernestshekalaghe1945 4 หลายเดือนก่อน

    uko vizuri sana Prof . Janabi

  • @mariamkibindo1741
    @mariamkibindo1741 4 หลายเดือนก่อน

    Shukran sana professor MJ

  • @JumaMakenga-t2o
    @JumaMakenga-t2o 5 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana prof🎉

  • @kobylwaho3191
    @kobylwaho3191 5 หลายเดือนก่อน

    safi sana dr nashukur Kuifahamu hii chanel inayofundisha mambo muhimu ktk maish yetu

  • @TowardJesusTv777
    @TowardJesusTv777 5 หลายเดือนก่อน

    Asante Prof. Barikiwa sana....nakufata toka DRC

  • @HusseinJumaa-my6dc
    @HusseinJumaa-my6dc 5 หลายเดือนก่อน

    Nashukuru kuwafahamu nitaendelea kuwa fuatilia

  • @MsangoDiesel
    @MsangoDiesel 5 หลายเดือนก่อน +1

    Naomba ushauli zamani nilikuwa natumia maji mengi ila Sasa siwezi na hali ya hewa ikibadilika ya badili ndio nakuwa mvivu kutumia naomba ushauli nitumie Nini ili niludi kama zamani.

    • @AbdullahOmar-be4wy
      @AbdullahOmar-be4wy 5 หลายเดือนก่อน +1

      Km mvua mwili inakuwa hauhitaji maji mengi

    • @franklinisaya4796
      @franklinisaya4796 5 หลายเดือนก่อน

      Njia ni kunywa maji tena

  • @James-hb2gv
    @James-hb2gv 5 หลายเดือนก่อน

    Asante sana kiongozi Mungu akubaliki

  • @LukmanAbdullah-n5v
    @LukmanAbdullah-n5v 5 หลายเดือนก่อน

    Shukran prof janabi hakika kinga ni bora kuliko tiba

  • @sharifhamad-x4n
    @sharifhamad-x4n 5 หลายเดือนก่อน

    km kuruani sio bibilia

  • @Bioone06
    @Bioone06 3 หลายเดือนก่อน

    Kulinda afya yako

  • @elewatz804k4
    @elewatz804k4 5 หลายเดือนก่อน

    Asante kwa elimu

  • @EricNiyonzima-i8u
    @EricNiyonzima-i8u 5 หลายเดือนก่อน

    Ningependa aweke nambayake jamani

  • @MosesMsuya-yq9ru
    @MosesMsuya-yq9ru 4 หลายเดือนก่อน

    Imeeleweka doctor

  • @eliamtani2840
    @eliamtani2840 5 หลายเดือนก่อน +1

    Thank You Prof.

  • @bongosativa
    @bongosativa 5 หลายเดือนก่อน

    Hapo kwenye nyama Dr. Unetupiga na kitu kizito kuna Carnivore diet trend hivi sasa na watu wengi wanapona magonjwa sugu kama cancer na kisukari just kwa kula grass feed meat na tafiti zipo ila zinafichwa. Please watu nendeni kafanyeni research kuhusu Carnivore diet. Wahadzabe Arusha ni case study tosha kuhusu umuhimu wa nyama.

    • @mrmc55
      @mrmc55 5 หลายเดือนก่อน +1

      Tupe reference zako make unambishia Dkta. Em tuambie ww unaelewa nn??😂

    • @RobertNestory-cn9ml
      @RobertNestory-cn9ml 4 หลายเดือนก่อน

      Naomba uelewe hivii unapotumia nyama nyama yyt huwa na cell ambapo hizi cell huwa na DNA ambapo DNA inacomponent mbili PURINES AND PYRAMIDINES ambapo purine huvunjwa na xanxine oxidase enzyme kutengeneza (xanxine) pia hizi xanxine huvunjwa na xanxine oxidase kutoa uric acid the final product ni allantoise ambayo huzarishwa kwa ndege sasa ukila nyama kuzid kiasi ambazo ni nyekundu..unasababisha kuwa na super saturation of uric acid in blood ambapo hizi metabolates huchujwa na figo in case ya a dult ambapo wapo aged as age increase glomerular filtration rate decrease by 1% per year so husababisha formation ya kidney stones ambapo hizi huharibu figo kwa kidney injuring also zinasabisha urine manipulation to acidic..

  • @amaniupendo1078
    @amaniupendo1078 5 หลายเดือนก่อน

    Asante sana kabisa from 🇨🇩

  • @baluhyajr.913
    @baluhyajr.913 5 หลายเดือนก่อน

    Asante sana Prof. Janabi kwa elimu ya afya kwa umma.

  • @FrankDeo-xu7zw
    @FrankDeo-xu7zw 5 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe kiongoz

  • @adamkalokaza6813
    @adamkalokaza6813 5 หลายเดือนก่อน

    hongera profesa janabi nakufuatilia

  • @severinmmassy7627
    @severinmmassy7627 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera Sana prf. Hiv kukojoa mara kwa mara unawezakukuweka hatarini pia

    • @RehemaJustine-co2kp
      @RehemaJustine-co2kp 19 วันที่ผ่านมา

      Nijuavyo Mimi no kwamba! Ukiwa unakojoa Mara kwa mara,huku unakunywa maji ya kiasi Mara kwa Mara hiyo sio mbaya! Maana umetoa simu mwilini kwa kukojoa,lkn hujauacha mwili bila maji badala yake unakunywa tena maji. Na ukiutizama mkojo unaotoka no mweupe,yaani haina rangi km ya kahawia sijui km soda hivi! Hiyo iko sawa

  • @Kisase
    @Kisase 5 หลายเดือนก่อน

    Asant sana doctor mungu akulinde

  • @hashkhantantrasiraji118
    @hashkhantantrasiraji118 5 หลายเดือนก่อน

    Shukrani 🙏🙏🙏

  • @jumannemalale2943
    @jumannemalale2943 5 หลายเดือนก่อน

    Najua hii itanifanya niwe maarufu sana 😢😢😂

  • @MosesMsuya-yq9ru
    @MosesMsuya-yq9ru 4 หลายเดือนก่อน

    6:27

  • @adellahchipanyanga5107
    @adellahchipanyanga5107 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki somo zuri xana hili

  • @maryammo-gd3me
    @maryammo-gd3me 5 หลายเดือนก่อน

    Asante sana kwa elimu nzur

  • @victoreleonardmdee9158
    @victoreleonardmdee9158 5 หลายเดือนก่อน

    Ahsante Kupata Elimu hii

  • @lucasisundwa2125
    @lucasisundwa2125 4 หลายเดือนก่อน

    Thanks for class

  • @winnesakara6957
    @winnesakara6957 5 หลายเดือนก่อน

    Asante doctor

  • @joctanmotoka2637
    @joctanmotoka2637 5 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe sana prof

  • @eujeniosamwel5323
    @eujeniosamwel5323 4 หลายเดือนก่อน

    👏👏