😂😂😂😂😂 Msukuma yuko sahihi saana kwa Wakulima na wafanya mazoezi chakula hakikai, ushawahi muona mchezaji wa Mpira Ana kitambi , ila wakiacha mazoezi waendelee na diet
@@simasima8084 hasa hizi matirial ya vinywaji vikali ni hatari sana waliambiwa tuipitishe gongo bungeni ili ipikwe kiasili zaidi nadhani tungekunwa vitu original sana tusingeugua mafigo na maini tungekula vitu vya asili kabisa
Da! Kweli "Bunge" halina mipaka. Hata Professor Janabi mwamsasambua? Hapana!! No! No! No. Nitafurahi Sana nikisikia mumemuomba radhi. Yaani "Wabunge" mnahitaji Sana elimu ya Dr Janabi maana mnashinda mmekaa na %kubwa mna vitamin vya kutisha. Ingekua Bora Sana Kama mngemkaribisha akawapiga darasa siku moja
Hili jinga linatumia kipaza sauti vibaya kutukana wenye taaluma zao!haifikii hata nukta alichokisomea profesa janabi!amuombe radhi hadhi ya janabi haifii hata kwa ukucha!Toka apewe udaktari wa funza chooni basi amekua namadharau sana bungeni Lenyewe halikwenda shule sasa linataka na wengine waonekane wajinga kama yeye! Nashangaa sana kila likiongea nikuwashusha wengine utadhani yeye kafanya la maana huko jimboni kwake madudu matupu!limekuwa natabia likifika bungeni kukosoa wengine
Wabunge zungumzie bima ya afya kupitia mashuleni.Vigezo vilivyowekwa havitekelezeki.Wanafunzi wengi wana bima kupitia wazazi wao ambao ni waajiriwa.Idadi iliyowekwa haitekelezeki
Mbunge Msukuma kaongea point ambazo ingefaa zichukuliwe kama zilivyo kwenye utekelezaji!!!! Hapo Kuna wasomi uchwara wanajua hayo ila sjuwi nani aliyewaloga😢😢
@@mustaphahassan589 ukitaka kuuua mti kata mizizi sio kukata majan na kuacha mzizi..... Mf.ukipunguza wanga halaf ukala Nyama ya Kuku aliyekuzwa mwezi au wiki kipi bora
wao ndo wanaogoza research kubwa kuubwa zpte duniani research ni investment do we invest au porojo? hakuna research za kukalili lazima uingie field na uinvest wenzetu wana invest
Safi sana Dr. Mm ni mwanafunzi wa SUA umenena vyema .... Wanaotufundisha wengi hawapractice n hawafahamu vizuri kinachoendelea mjini well..... Research is everything in a developing country well said....
Nchi ya masifu,hapo wanamsifia msukuma.Hivi kuna mtu anapinga somo la Prof Janabi hivi leo nimeamini watanzania tuna matatizo,tena makubwa tu.Janabi anajaribu kuongelea watu wa mjini,ndiyo wahanga wa lishe.Badala ya kumuunga mkono na kumpomgeza,wanamsifia.Kweli Pesa na vyeo (madaraka) na bangi havina tofauti eti mbunge huyo ! Hovyo.
Msukuma amechagukiwa kuwaponya watu muhimu naluobobea ktk taaluma zao! amejiwekea utaratibu wadharau humo bungeni! Nahakuna wakumnyoosha akashika adabu huyu, wana shabikia ujinga wake! Wanasahau nafasi walizonazo professor ktk kazi zao, huyu msukuma wapinawapi kwa profesa janabi?mijitu inaingia bungeni kupiga kelele kama vyura mitaroni hovyo kabisa
Msukuma hajuwi kumbe hii nchi inaongozwa Kwa wahisani,mmoja tu aliekataa huu upuuzi wa kufanyiwa majaribio,laeo hii hayupo tumebaki kama mbayu mbayu,janabi anatufundisha vizuri,ukitaka kuchagua tunza hela uje uzitumie kwenye matibabu au tunza Afya uje utumie afya yako vizuri...chagua we mwenyewe.
Hakuna kizuri mpaka mwisho wala kibaya mpaka mwisho. Mwerevu ni yule anayetambuwa uzuri kwenye kibaya pia kutambuwa ubaya kwenye kizuri. Akili ya kuambiwa, changanya na ya kwako.
Wale wanachuo wanaokunywa kwenye bar za maprofesa hata kama kichwani ni hewa watapitishwa kwenye mitihani Profesa hatadhubutu kumfukuza maana ni rafiki yake na keshamlia hela zake. Hata akienda Darasani mlevi hataonywa maana alinywea kwenye bar yake. HIZO BAR MACHUONI ZIONDOLEWE.
ndo wabunge wetu hao... anakuja bila tafiti chanjo hiizi hua zinakuja kutokana na idadi ya ugonjwa kwenye records za hospitali zilivyo haziiibuki kuhusu bajeti punguzeni matumizi ya serikali uanzishe maaabara na nyie mlioko bungeni mnawashambulia wataaalamu.
Mbona professor janabi anasaidia watu wengi sana, kupitia mitandao,, naomba mwacheni mzee wetu afanye kazi kuelimisha, na kuboresha afya za watanzania. Msimtengenezee kinyongo,,, serikali inapaswa kuwapa kipaumbele watu kama professor janabi. Na sio kwenda tofauti nao.
Tatizo letu huwa tunapenda kuleta negativity kwenye ukweli,ni kwa vile tumetofautiana miili yetu mwingine hata ale vipi hanenepi ,mbunge hapo aametoa mfano wa mtu anayefanya kazi ngumu what about Mimi ninaeshinda ofisini??Mimi Niko pamoja na professor Janabi katika hili kwa mustakbari wa afya yangu,sina muda/nafasi ya kufanya mazoezi basi acha nifuate kanuni za ulaji bora
Darasa lasabu ndio linautashi kuliko digirii digirii kwenyefamiliazao wanavaa vichupi sebuleni nawatotowao halafu lasaba watoto niwatoto baba ni baba mama ni mama familia ya darasalasaba inajisitiri hakuna kubusiana baba na binti wala baba na kijana , njoohuku kwa wasomi baba ana must binti ye bilatatizo , naunga mkono darasa lasaba nangumbaluo hiz digirii hazina utashi
Mhe. Msukuma mimi sijapenda jinsi ulivyomzungumzia prof. Janabi... Nadhani janabi Yuko Sawa maana yeye anazungumzia watu wenye matatizo ya chakula. Tusichanganye siasa na vitu ambavyo ni kweli mimi niko na janabi baada ya kumuelewa na si kuangalia clip fupi za dakika 2 Bila kuelewa nini hasa anamaanisha.
Unaweza kuishi bila ugali na wali na ukafanya kazi zako ngumu vizuri tu.. ni mazoea Jifunzeni kuhusu Clean Keto.. kwani wamasai waliishije na hawakula sana wanga ? Mbona walikuwa wanakimbizana na wanyama maporini
Awa ndo wabunge ambao tumewachagua kutetea hoja zetu sisi wananchi ifike mahali ata wabunge tuwe na standard at least awe na ata degree tu itatosha sana Kwa kweli yani najisikia vibaya sana wanapewa Hela nyingi halafu pointless
kiukweli swala la chanjo serekali iwe makini chanjo zimekuwa nyingi na hazieleweki na walim ukiwauliza na wao pia majibu yao hayaeleweki kwa hiyo watoto wetu ndio wamekuwa wakufanyiwa majaribio ya chanjo?
Sasa huyo professiona huo mwili wa kulingana na kalamu ya biki wote tukiwa hivyo kwa kwa maana ya ushauri wake tutakuwa na taifa gani hilo ukilinganisha taifa harina ajira ajira zetu zinategemea nguvu?
Zinakazi tofauti, na ukweli tangia enzi tanzania hatuzalishi chanjo zote tunategemea nje. Kuchanja ni muhimu kusema watoto wanavunja ungo au kubalehe mapema ni mtindo wa maisha na siyo chanjo
kwani wewe unashindwa kujiongeza kwamba janabi anamaanisha nn kwenye mtindo wamaisha tangiapo nmelenga wanaokaa ofcn na anaefanya kaz nyepes ili acjae kitambi
Kwa hili msukuma yuko sahihi kwa maneno ya ajabu ajabu ya huyu Prof. Janabi mf. wakati wa uhaba wa sukari anasema eti hii iwe ni fursa kwa wananchi kuacha kutumia sukari hii ni siasa maybe anataka kuwa mwanasiasa huyu Daktari ni aibu kwake!!
Huyu msukuma ni taahira, hovyo kabisa!linashindwa kutumia ufahamu wa kuzaliwa hata kama halijaenda shule,akili tu zakuzaliwa halina, sijui lilipata ubunge hili? kupiga kelele tuu kuharibu spika
Wanasubiri hadi daktari aseme nakuamdikia dawa utazitumia kila siku na chakula hiki na hiki na hiki usile tena ndio wataelewa nini Professor alikuwa anamaanisha,hebu tuone yeye mwenyewe alivyo na siha njema
Mzee unasema kweli,nani kasema msukuma siyo msomi.Mimi naona msukuma anasema ukweli wote ambao sasahivi Tz tumekuwa kama pango la kuletewa chanjo za kila aina.Kama nchi tusipoangali tunaweza kumalizwa na hawa wenzetu kutoka magharib,kwani kumekuwa na magonjwa ya kila aina,mengine hayana majina kumbe ni kwa sababu ya vyakula na chanjo zisizo thibitishwa na wataalamu wetu.
Mimi janabi kanisaidia from 120 kgs to 95kg sina chakumlipa ila mungu atamlipa, kama kitu hakina umuhimu kwako ni bora kunyamaza sababu sio kila kitu ni cha kila mtu pleasee tuachien janabi wetu
@@kellyngogo3319 sasa aloambiwa walikua wanaambiwa wao wa vijijini nan? Kwanza mtu wa kijijin hata janabi hamjui mpigie ndugu yako wa kijijin muulize unamjua prof janabi? Au unaongelea kijiji gan?
Wewe msukuma onesha miradi uliwahi kuifanya ktk vijiji vyako unavyo viwakilishi tuone unayoyafanya kwa wananchi wako huko nzera nkome zaidi ya kuiba tuu, unakoroma tuu bungeni kama chura, barabara tuu imekushinda, mtu akifanya maendeleo wewe unapinga unamfanyia figisu akamatwe ili uweke wewe biashara!umevamia ardhi ya watu huko Nkome hata aibu huna
@@agnesjohn9382 nikesi ya nyani kumpelekea ngedere nini kitafanyika?amejificha ktk kivuli na joho la uongozi!anatumia chama cha CCM na cheo chake kwa njia za kupora!amepandikiza vibaraka wake kama vigezo vya kukalia kimabavu ardhi ya watu! kila akiitwa ktk vikao hatokei amengangania hatoki
@@agnesjohn9382 ndio lalamiko liko kwa mkurugenzi,hata waziri wa ardhi anajua! lkn kesi ya nyani kumpelekea ngedere jibu unalo!msukuma anatumia chama C C M nacheo chake vibaya kudhulumu watu,ana watumia vibaya uongozi serikali ya kijiji na diwani kudhulumu ardhi ya mtu na kukalia kimabavu kwa lengo la kupora!kwa maslahi yake binafsi"hata hao viongozi wa kijiji hawafaidiki nae kwa chochote zaidi yakuwa chafua tu kwa wananchi, wanachi hawana imani na uongozi wake mimi mmoja wao!amekua akijimulikisha kwa manufaa yake binafsi kupitia migongo ya watendaji wa ngazi ya kijiji
Bunge ni mara chache sana kusimamia vitu vyenye maslahi muhimu kwa nchi ila vyenye shinikizo la kutoka nje hapo kwa mzungu bado hatujachomoka chanjo hizo ndo vifo vya ghafla haviji kuisha. Msukuma Mungu akusaidie umeongea unaloweza kuongea kwa kifupi umenawa. Tanzania nani wa kuisemea nani wa kuiokoa na mikono ya mabeberu 😭😭
😂😂😂😂😂 Msukuma yuko sahihi saana kwa Wakulima na wafanya mazoezi chakula hakikai, ushawahi muona mchezaji wa Mpira Ana kitambi , ila wakiacha mazoezi waendelee na diet
Janabi hataki mazoezi unayoyasema wewe
@@RamadhaniJitelanikwa hiyo anataka nini
Anataka kuolewa@@agnesjohn9382
Sema kiongoz wetu tuko pamoja,
Hii tanzania tunaweza letewa sumu na tusijue tukala na TBS ndo imepitisha tule
Kabisaaa
Sbb yy ni pr..
@@simasima8084 hasa hizi matirial ya vinywaji vikali ni hatari sana waliambiwa tuipitishe gongo bungeni ili ipikwe kiasili zaidi nadhani tungekunwa vitu original sana tusingeugua mafigo na maini tungekula vitu vya asili kabisa
@@misangasaidih8764 Gongo haram sumu zinazotoka nje halali na TBS wanapitisha wanakwambia hii imepimwa hii nchi tunauwana wenyewe kwa wenyewe
sio tanzania ni Tanzania
Kweli msukuma kuna baadhi ya mambo hayahitaji ufike hata chuo.sijui kwanini hatuwezi kutumia akili.Watoa maamuzi mtusaidie.
Tanzania yangu. Profesa watamuelewa wenye ufahamu mkubwa. Ila kwa upande wangu nampongeza Prof Janabi kwa elimu kubwa aliyotupa.
Ndugu we wa mjini jembe hulijui Wala sio mjenzi mfuate
😊
Da! Kweli "Bunge" halina mipaka. Hata Professor Janabi mwamsasambua? Hapana!! No! No! No. Nitafurahi Sana nikisikia mumemuomba radhi. Yaani "Wabunge" mnahitaji Sana elimu ya Dr Janabi maana mnashinda mmekaa na %kubwa mna vitamin vya kutisha. Ingekua Bora Sana Kama mngemkaribisha akawapiga darasa siku moja
Hili jinga linatumia kipaza sauti vibaya kutukana wenye taaluma zao!haifikii hata nukta alichokisomea profesa janabi!amuombe radhi hadhi ya janabi haifii hata kwa ukucha!Toka apewe udaktari wa funza chooni basi amekua namadharau sana bungeni Lenyewe halikwenda shule sasa linataka na wengine waonekane wajinga kama yeye! Nashangaa sana kila likiongea nikuwashusha wengine utadhani yeye kafanya la maana huko jimboni kwake madudu matupu!limekuwa natabia likifika bungeni kukosoa wengine
Hahahha akakufundishe nyumbani kwako sie tunajua
Ukiwa na kichwa kigumu huwezi elewa kamwe alichosema msukuma
Nikweli ukosahihi.
Wabunge zungumzie bima ya afya kupitia mashuleni.Vigezo vilivyowekwa havitekelezeki.Wanafunzi wengi wana bima kupitia wazazi wao ambao ni waajiriwa.Idadi iliyowekwa haitekelezeki
Hongera sana Mh Msukuma,msema kweli Mpenzi wa Mungu,big Mb
Mbunge Msukuma kaongea point ambazo ingefaa zichukuliwe kama zilivyo kwenye utekelezaji!!!!
Hapo Kuna wasomi uchwara wanajua hayo ila sjuwi nani aliyewaloga😢😢
Huyu mtu ni darasa la Saba lakini anapointi zilozo sheheni nondo za kutosha
Mkiumwa mfateni msukuma awatibu
@@mustaphahassan589 ukitaka kuuua mti kata mizizi sio kukata majan na kuacha mzizi.....
Mf.ukipunguza wanga halaf ukala Nyama ya Kuku aliyekuzwa mwezi au wiki kipi bora
Jamaa Yuko vizuri sana
This guy is very much on point. We need to be self-reliant. We can't just sit and wait for westerners to bring us their misleading research.
wao ndo wanaogoza research kubwa kuubwa zpte duniani research ni investment do we invest au porojo? hakuna research za kukalili lazima uingie field na uinvest wenzetu wana invest
Well said
@@ChoroTesla Rukia kusoma comment yangu. I didn't say we have invested in research, I said we need to.
@@SimbaM2kufu i got you sasa msukuma anataka vitu vijiiibue ajue wenzetu wanashinda maaabara sie tunashinda tiktok na instagram mama anaupiga mwingi
😂😂 we jamaa
Akuna Cha pointi uchaguzi umekaribia
Safi sana Dr. Mm ni mwanafunzi wa SUA umenena vyema .... Wanaotufundisha wengi hawapractice n hawafahamu vizuri kinachoendelea mjini well..... Research is everything in a developing country well said....
Dhana tulijengewa waafrika ni kila cha mzungu ni bora
Kabisa upo sahihi na hicho ndio kinachotumaliza
wao ndo wanaongoza kwa tafiti kubwa duniani huwez wapinga km jnapinga uje na facts
Nimekuelewa maana Hata ushoga na usagaji wameufanyia utafiti na kugundua kua hauna madhara @@ChoroTesla
@@ChoroTesla kama wao wanaongoza kwa tafiti duniani kwanini na sisi tusijifunze kuwa watafiti? Tunasubiri tu wao wafanye utafiti sisi ni kupokea tu
@@NeemaSamson-ti8pc ume invest?
Nchi ya masifu,hapo wanamsifia msukuma.Hivi kuna mtu anapinga somo la Prof Janabi hivi leo nimeamini watanzania tuna matatizo,tena makubwa tu.Janabi anajaribu kuongelea watu wa mjini,ndiyo wahanga wa lishe.Badala ya kumuunga mkono na kumpomgeza,wanamsifia.Kweli Pesa na vyeo (madaraka) na bangi havina tofauti eti mbunge huyo ! Hovyo.
Msukuma amechagukiwa kuwaponya watu muhimu naluobobea ktk taaluma zao! amejiwekea utaratibu wadharau humo bungeni! Nahakuna wakumnyoosha akashika adabu huyu, wana shabikia ujinga wake! Wanasahau nafasi walizonazo professor ktk kazi zao, huyu msukuma wapinawapi kwa profesa janabi?mijitu inaingia bungeni kupiga kelele kama vyura mitaroni hovyo kabisa
Msukuma Leo UMEONGEA KWELI kuhusu MAPROFESSA Wetu Wao kuuza pombe
Msukuma hajuwi kumbe hii nchi inaongozwa Kwa wahisani,mmoja tu aliekataa huu upuuzi wa kufanyiwa majaribio,laeo hii hayupo tumebaki kama mbayu mbayu,janabi anatufundisha vizuri,ukitaka kuchagua tunza hela uje uzitumie kwenye matibabu au tunza Afya uje utumie afya yako vizuri...chagua we mwenyewe.
Hakuna kizuri mpaka mwisho wala kibaya mpaka mwisho. Mwerevu ni yule anayetambuwa uzuri kwenye kibaya pia kutambuwa ubaya kwenye kizuri. Akili ya kuambiwa, changanya na ya kwako.
Ni kweli hatiwezi kula kijiko kimoja ugali kutwa mara 3 janabi tusamee😂
Wale wanachuo wanaokunywa kwenye bar za maprofesa hata kama kichwani ni hewa watapitishwa kwenye mitihani Profesa hatadhubutu kumfukuza maana ni rafiki yake na keshamlia hela zake. Hata akienda Darasani mlevi hataonywa maana alinywea kwenye bar yake. HIZO BAR MACHUONI ZIONDOLEWE.
Unajua siasa na TAALUMA havikai PAMOJA kwa UHURU,,,,Fainali baadaye
Dr.Janabi tunamshukuru ametuelimisha vizuri tu kwa wanaojali afya zao wameelimika! Kwa wanaojali kujaza matumbo yao tu watakuunga mkono Mzee!
Pale mwerevu mjinga anapopambana kuonesha ujinga wake hadharani
Wajinga hua hawaelewi wenye akili.
👏👏👏
Professor Janabi kaeleza vizuri, shule yake ni kwa wale wasiofanya mazoezi au wasiokuwa na kazi nzito wasile hovyo.
ndo wabunge wetu hao... anakuja bila tafiti chanjo hiizi hua zinakuja kutokana na idadi ya ugonjwa kwenye records za hospitali zilivyo haziiibuki kuhusu bajeti punguzeni matumizi ya serikali uanzishe maaabara na nyie mlioko bungeni mnawashambulia wataaalamu.
Dr Janabi anazungumza tafiti yupo makini sana
Dokta yupo vizuri alichosema. 🎉🎉🎉
Huyu jamaa leo ndo kaongea pumba tu pengine anaangaliaga meme kuhusu Janabi na hajawahi kumsikiliza😂
Kwa Mbunge huyo kila asichokipenda YEYE ni Suomi fake lakini ni mjinga wa bangi believe it.
😂😂aisehh sio lazima usome sana kikubwa nikujiuliza kabla ya kusema kitu jamaa anajua sana huyu
Dr janabi amefafanuw vzr watu wanofany kaz ngumu wale vp watu wa ofisin wale vp yani zikilizen vzr ufafanuzi wa daktari ,
Msukuma una akili sna wew na unastahili kua Doctor
Hujui kama alipewa medali ya doctor wa funza chooni?
Wanauza bar ndio uwezaji wamaprofessa
Hajawalazimisha mfate ushaur wake so endeleen kula mnavyotaka mtavuna mnachokipanda mwacheni professor afànye kaz yake wengine piten iv
Mbona professor janabi anasaidia watu wengi sana, kupitia mitandao,, naomba mwacheni mzee wetu afanye kazi kuelimisha, na kuboresha afya za watanzania. Msimtengenezee kinyongo,,, serikali inapaswa kuwapa kipaumbele watu kama professor janabi. Na sio kwenda tofauti nao.
Hujamwelewa mbunge msukuma je wewe unakula kijiko kimoja kama mlo wako wa siku?
@@samsonhamery3809 kwani dr alisema watu wale kijiko kimoja.
Ukiwa hujaelewa ni vema ukanyamaza au ukaomba kueleweshwa.
Tatizo letu huwa tunapenda kuleta negativity kwenye ukweli,ni kwa vile tumetofautiana miili yetu mwingine hata ale vipi hanenepi ,mbunge hapo aametoa mfano wa mtu anayefanya kazi ngumu what about Mimi ninaeshinda ofisini??Mimi Niko pamoja na professor Janabi katika hili kwa mustakbari wa afya yangu,sina muda/nafasi ya kufanya mazoezi basi acha nifuate kanuni za ulaji bora
Ila ni kweli ukipungua wakati wa ujana, utateseka uzeeni. Mtu akifika miaka 50 anapungua muscle na mwili unalegea. Unabaki mifupa.
KATIBA MPYA NI SASA. Kuingia bungeni lazima uwe na degree atleat ya sheria. Acheni kudhalilisha wasomi
Darasa lasabu ndio linautashi kuliko digirii digirii kwenyefamiliazao wanavaa vichupi sebuleni nawatotowao halafu lasaba watoto niwatoto baba ni baba mama ni mama familia ya darasalasaba inajisitiri hakuna kubusiana baba na binti wala baba na kijana , njoohuku kwa wasomi baba ana must binti ye bilatatizo , naunga mkono darasa lasaba nangumbaluo hiz digirii hazina utashi
na kweli naona hata kuandika kuna kushinda rudi tena shule
Msukuma da!! eti sipingani nae dada angu kwakuwa yeye ni mteja wa hvyo vitu
Hilo la profesa Janabi kiukweli msukuma hapo kajichanganya
Mhe. Msukuma mimi sijapenda jinsi ulivyomzungumzia prof. Janabi... Nadhani janabi Yuko Sawa maana yeye anazungumzia watu wenye matatizo ya chakula. Tusichanganye siasa na vitu ambavyo ni kweli mimi niko na janabi baada ya kumuelewa na si kuangalia clip fupi za dakika 2 Bila kuelewa nini hasa anamaanisha.
chanjo kweli zimezidi😂😂😂Msukuma bwana😂😂
Unaweza kuishi bila ugali na wali na ukafanya kazi zako ngumu vizuri tu.. ni mazoea
Jifunzeni kuhusu Clean Keto.. kwani wamasai waliishije na hawakula sana wanga ? Mbona walikuwa wanakimbizana na wanyama maporini
COMEDY TUPU
Janabi yuko sahihi
Niache kumsikiliza Prof Janabi nimsikilize LY ? Kweli watanzania hatuna akili
Mbona Profesa huwa anasema kabisa kula kulingana na kazi unazofanya. Tatizo tunachukua vi- clip tunashindwa kusikiliza kitu chote
LISSU NA NDUGAI WAUNGANA WACHAFUA HALI YA HEWA!!!!
th-cam.com/video/gqsYK_z0Ppg/w-d-xo.html
Hili la kadi za krinik Ziangali we na ulinzi uwekwe Tena watakukulu kama kulikuwa na hela za moto basi na kadi za moto ziwekwe
Kwan kua mbunge unatakaiwa uwe na nn maana naona nikikaa na mm mtambo unawaka😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Ajawai kukosea msukuma baraa sana
uyu mbunge alotoa taarifa katuzingua. amemkatisha professor wetu mada yake. kijinga sana iko kidada. alaf kimepewa nafasi kimeongea ujinga tu
Wewe ni magufuri kabisa yaani natamani upewe uraisi utunyooshe jmnn mmmh nakupenda bure msukuma
Janabi anaongea ukweli Kama unafanya Kaz nzito waeza kula izo ugali kwa utaratibu sahihi pumia mwenyewe
Ka mwaka 2025 kamekaribia tunachomeka kujiimarisha
Msukuma ameongea point, japo hoja zake zinakosa mashiko kwa sababu wanaopaswa kuwajibika wamekaa kimya.
Swala la ushoga ni kweli aisee msukuma umesema kweli tunawatukuza wazungu yatatupata yaan twafaaa
Huyo janabi mhimbili anapandisha bei za vipimo na operation
Kweli msukuma chanzo zimezidi Sana.
Hv tunachukulia serious au ndio imepita hvyoo wizara husika tuangalie jaman vitu vya msingi hv sio utani wala siasa za kufurahishana tuchukue hatua
Awa ndo wabunge ambao tumewachagua kutetea hoja zetu sisi wananchi ifike mahali ata wabunge tuwe na standard at least awe na ata degree tu itatosha sana Kwa kweli yani najisikia vibaya sana wanapewa Hela nyingi halafu pointless
Kwahiyo mheshimiwa msukuma unataka vijana wasitahiriwe😂
kiukweli swala la chanjo serekali iwe makini chanjo zimekuwa nyingi na hazieleweki na walim ukiwauliza na wao pia majibu yao hayaeleweki kwa hiyo watoto wetu ndio wamekuwa wakufanyiwa majaribio ya chanjo?
NDIO CHANGAMOTO ZETU WABONGO HATUHESHIMU TAALUMA USHAURI WA JANABI NI MZURI KWA SISI WANENE
Sasa huyo professiona huo mwili wa kulingana na kalamu ya biki wote tukiwa hivyo kwa kwa maana ya ushauri wake tutakuwa na taifa gani hilo ukilinganisha taifa harina ajira ajira zetu zinategemea nguvu?
Uprofesa huo. Ni kama udokta wa heshima hatu muelewi
Nilichogundua Watanzania wengi tunachagua wabunge ilimradi.mliyopo kwenye jimbo la msukuma muandikieni notsi za lishe kwenye kimem chake cha bungeni.
Ubaya wa kutokuwa na wasaidizi wa kushauri na kuchambua issues kwa ajili ya uwasilishaji!
We nawe toka ulichogea ata akieleweki Msukuma anasema ukweli hili Taifa tunakula sumu nyingi sana tukidai tunaletewa protein kumbe sumu
Sasa hapo hujaona alichoongea kina tija? Kwani kipi cha uongo?
Wewe unamatatizo inamana umeona kuwa Msukuma kaogea utumbo
Janabi ni mtu ganii Kwa mjomba Sasa nimemjua Mungu akupe maisha maref Janabi tundu la sindano
Unasema ukweli domana uku uzunguni watu wananenepa bila mpango sababu ya kuku zasiku tatu wiki moja
😂😂😂😂😂😂😂
Msukuma nakukubalikwahabari utafit ,ukosawa kabisa wambie kwel
Chanjo za watoto wadogo 10 zote za nn?
Zinakazi tofauti, na ukweli tangia enzi tanzania hatuzalishi chanjo zote tunategemea nje. Kuchanja ni muhimu kusema watoto wanavunja ungo au kubalehe mapema ni mtindo wa maisha na siyo chanjo
Msukuma unaakili sana kuliko hata hiyo mijamaa inayojiita wasomi uchwalwa
Wivu tu eti wasomi uchara,kwani yeye ndio alikwambia uishie darasa la sita???😂
Hili la utafiti na chanjo za holela nakuunga mkono, miaka michache ijayo kutakuwa na jamii ya ajabu sana hapa nchini. 🤔🤔
By the way madhara yanawapata ninyi na mnakufa ninyi wala hafi Jànàbi
kwani wewe unashindwa kujiongeza kwamba janabi anamaanisha nn kwenye mtindo wamaisha tangiapo nmelenga wanaokaa ofcn na anaefanya kaz nyepes ili acjae kitambi
😅😂😂😂😂
Kanda ya kaskazini kunavichwa vyenye zahabu tupu
KADI ZA WAJAWAZITO MTENGENEZAJI KUNA VITU HAKUWEKA HASA MAMA BAADA YA KUJIFU GUA
Kwa hili msukuma yuko sahihi kwa maneno ya ajabu ajabu ya huyu Prof. Janabi mf. wakati wa uhaba wa sukari anasema eti hii iwe ni fursa kwa wananchi kuacha kutumia sukari hii ni siasa maybe anataka kuwa mwanasiasa huyu Daktari ni aibu kwake!!
Professor yuko sahihi.Tulitegemea wabunge muwe na ufahamu mkubwa.Janabi hajakataza kula.Anakataza kula ovyo.Wagonjwa wengi wanakuja hospitalu abawaona
Huyu msukuma ni taahira, hovyo kabisa!linashindwa kutumia ufahamu wa kuzaliwa hata kama halijaenda shule,akili tu zakuzaliwa halina, sijui lilipata ubunge hili? kupiga kelele tuu kuharibu spika
@@aairraahseif5648utakuwa na hasira na wasukuma wewe pole
Wanasubiri hadi daktari aseme nakuamdikia dawa utazitumia kila siku na chakula hiki na hiki na hiki usile tena ndio wataelewa nini Professor alikuwa anamaanisha,hebu tuone yeye mwenyewe alivyo na siha njema
@@fatmaallyabdul1732 mashaallah hakika umenena 🙌
@@agnesjohn9382 Sio hasira na wasukuma!mimi mwenyewe msukuma! Ninahasira na msukuma sindo ajiita hivyo
Janabi ni msukuma ambaye hafai kabisa kwa nini alimuua jpm kwa billions of money na nakuambia utakufa kama mbwa kwa dhambi hiyyo
Akili za Janabi changanya na zako
Huna lolote ulisaport Waarabu kuchukua bandari ukaweka hela mfukoni
Mzee unasema kweli,nani kasema msukuma siyo msomi.Mimi naona msukuma anasema ukweli wote ambao sasahivi Tz tumekuwa kama pango la kuletewa chanjo za kila aina.Kama nchi tusipoangali tunaweza kumalizwa na hawa wenzetu kutoka magharib,kwani kumekuwa na magonjwa ya kila aina,mengine hayana majina kumbe ni kwa sababu ya vyakula na chanjo zisizo thibitishwa na wataalamu wetu.
Turudi kwenye asili yetu kama Afrika
Mimi janabi kanisaidia from 120 kgs to 95kg sina chakumlipa ila mungu atamlipa, kama kitu hakina umuhimu kwako ni bora kunyamaza sababu sio kila kitu ni cha kila mtu pleasee tuachien janabi wetu
Naomba kuuliza amekupa ushauri kitu gani?
Janabi wako tena 😂😂
Amesema wao wa vijijini.wewe wa mjini unakula mno na hupo busy hushiki jembe huna kazi nzito. Uwe unamsikiliza mtu anaongea nini
@@kellyngogo3319 sasa aloambiwa walikua wanaambiwa wao wa vijijini nan? Kwanza mtu wa kijijin hata janabi hamjui mpigie ndugu yako wa kijijin muulize unamjua prof janabi? Au unaongelea kijiji gan?
Tena izo pombe mngezipiga marufuku
Au bass msukuma njoo nikupe ng'ombe make unanigusaga kwakwel
Msukuma pinned it 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🙏
Wewe msukuma onesha miradi uliwahi kuifanya ktk vijiji vyako unavyo viwakilishi tuone unayoyafanya kwa wananchi wako huko nzera nkome zaidi ya kuiba tuu, unakoroma tuu bungeni kama chura, barabara tuu imekushinda, mtu akifanya maendeleo wewe unapinga unamfanyia figisu akamatwe ili uweke wewe biashara!umevamia ardhi ya watu huko Nkome hata aibu huna
Uliwahi kumshitaki au kutoa malalamiko yako sehemu yeyote
@@agnesjohn9382 nikesi ya nyani kumpelekea ngedere nini kitafanyika?amejificha ktk kivuli na joho la uongozi!anatumia chama cha CCM na cheo chake kwa njia za kupora!amepandikiza vibaraka wake kama vigezo vya kukalia kimabavu ardhi ya watu! kila akiitwa ktk vikao hatokei amengangania hatoki
@@agnesjohn9382 ndio lalamiko liko kwa mkurugenzi,hata waziri wa ardhi anajua! lkn kesi ya nyani kumpelekea ngedere jibu unalo!msukuma anatumia chama C C M nacheo chake vibaya kudhulumu watu,ana watumia vibaya uongozi serikali ya kijiji na diwani kudhulumu ardhi ya mtu na kukalia kimabavu kwa lengo la kupora!kwa maslahi yake binafsi"hata hao viongozi wa kijiji hawafaidiki nae kwa chochote zaidi yakuwa chafua tu kwa wananchi, wanachi hawana imani na uongozi wake mimi mmoja wao!amekua akijimulikisha kwa manufaa yake binafsi kupitia migongo ya watendaji wa ngazi ya kijiji
another proof of importance of going to school before you become a leader😂😂😂
chanjo kweli zimezidi😂😂😂
Kaka unaongea vitu vya maana sana vinafanyiwa kazi
ILA WASUKUMA WABISHI KWENYE SWALA LA KULA
Ee yesu yasn msukuma umeongea mnoo mpaka nimelia uwiii😢😢safi.mnoo sijui itafatiliwa jamani
Dh
Msukuma wewe ni jembe nakuombea mungu akubariki Sana
Dr msukuma ww ni magufuli uliyebakia wachane bhana
Msukuma. Kwakwer. 😮😮😮😮
Kwenye swala la pombe yuko sawa
Kwenye swala la pombe yuko sawa
Yemwenyewe afya mgogoro,Janabi musanii tu,haya tutii kulingana na ushauri wako,sasa tutaishi milele? Aaaaa kaka acha profession yako kua siasa,wamekupa cheo hicho kisiasa unatuchanganya
Hahaa awaeleze wanao kula tambi
Safi sana bila hivi tutaisha
Huyu msukuma tumpe uraisi 2025
Uraisi wa machizi
chanjo kweli zimezidi
Bunge ni mara chache sana kusimamia vitu vyenye maslahi muhimu kwa nchi ila vyenye shinikizo la kutoka nje hapo kwa mzungu bado hatujachomoka chanjo hizo ndo vifo vya ghafla haviji kuisha. Msukuma Mungu akusaidie umeongea unaloweza kuongea kwa kifupi umenawa. Tanzania nani wa kuisemea nani wa kuiokoa na mikono ya mabeberu 😭😭
Wewe mwenyewe msukuma unasaratani ya ubongo, unajua kukosoa wengine yako huko vijijini yanakushinda,nguvu za mdomoni tu