Profesa JANABI ataja sababu WATU kuzeeka mapema ''TUNZA afya ikusaidie UZEENI siyo FEDHA''
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 ก.พ. 2024
- track.pari-tz.com/dc83e7da-03...
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Profesa Mohamed Janabi amesema asilimia kubwa ya watu wanatunza fedha ili ziwasaidie uzeeni na kusahau kutunza afya zao.
Janabi amesisitiza tofauti na kutunza afya hakuna kitu kitakachokuwa na manufaa uzeeni kama afya imetetereka ikiwamo fedha.
"Nafikiri ungetunza afya ikusaidie uzeeni kwa sababu fedha hizi zitakuja kukusaidia kulipia matibabu ya magonjwa hospitalini. Unafanya kazi miaka, unahangaika mjini miaka yote ili ukipata fedha uanze kuja kulipia betri za moyo nafikiri hiyo sio nzuri," amesema Profesa Janabi.
Janabi amesema hayo alipofanya mahojiano na vyombo vya habari Jijini Dar es Salaam, huku akisema hajawahi kuwakataza watu wasile chakula, bali wasile ovyo na kula kwa wastani ili kuepuka magonjwa yasiyo ya lazima.
"Tunashauri kupunguza vyakula vya wanga na vyenye sukari.”
“Pia tunakataza ulaji wa vyakula vya kusindika, kwa sababu ili vikae muda mrefu kwenye shelfu lazima viwekwe kemikali, chumvi na sukari," amesema Profesa Janabi.
Ili kufahamu zaidi alichozungumza Profesa Janabi, usikose Jarida la Afya Februari 23, 2024 pia endelea kufuatilia gazeti la Mwananchi na mitandao yake ya kijamii.
Cheza sasa kupiti shorturl.at/jqzU6 na ushinde
Hongera Dr Kwa somo zuri.... keep it up.... achana na hao wanatoa kweli.
Binadamu bwana baba wawatu katuelimisha kama hujamuelewa acha endelea kuishi maisha yako hakulazimishi lakini siyo kumvunjia heshima siku ukuendea pale afya imegoma ndipo utajuwa umuhimu wake tujaribu kuwa na heshima jamani
Sawa sana daktari ila ukumbuke Kuna kukosasa na inakula chochote unachoata. Hali za maisha kwa Sasa hata kutunza afya ni vigumu labda isile
Huyu dr mi namkuli mno na namfuatilia sana,tatizo la watz wanapenda mno kula sijui kwnn
Mungu akupe umri mrefu DK wetu, Na Allah ampe moyo wa huruma zaidi mama yetu mpenzi mh .rais samia she luhu Hassan kukupa kazi bora zaidi
mashaAllah this is the best education that we need to understand the most.
Watanzania tusiwe wabishi faida za kuwa na maprofesa ni hizo tujivunie kuwa na wasomi wetu wenye mioyo ya kutuelim8sha. Na mambo ya ubishi juu ya maisha yetu siyo tija kabisa.
Baada ya kusikiliza hii maisha yangu yamepata mwanga mpya sana.. Ubarikiwe sana daktari kwa haya maarifa mimi ninafanyia kazi, kiukwel afya ndio mtaji wa kwanza ukichezea afya leo utaaabika sana kesho utatumia gharama kubwa sana
Pr janabi yaani elimu yako mimi naifutilia sana na inanisaidia sana mungu akubaliki akulinde uzidi kutupa elimu
Mangu aku bariki sana sana kwa elimu na maelekezo yako afya yangu ni bora kabisa yani nime pona kabisa Dr
Safi sana Professor, unaelimisha sana.
Clouds mmemsikia Daktari acheni mambo yenu ya kufanya dhihaka mnapotosha jamii
Asante dr.janabi kwa elimu nzuri mimi nimekuelewa sana mungu akubariki.
Mungu akulinde Prof Janabi. Wewe unaupendo wa kweli kwa wa Tz
Mwenyezi Mungu akubariki sana Prof kwa elimu unayotoa ingawa wengine wanachukulia kama mzaha.
Apewe maua yake Le professor mm namkubali sana
Ukiwa bado huna panapo kuwasha Unaweza jua huyu mtaalam ana chekesha usiombe yakukute ya sikie kwa jilani yako. Fata maelekezo
Daah kaka Emmanuel umesema kweli
Janabi yupo sawa mlo mmoja kwa siku ni kitu kinacho fuatwa na wengi waliohamka mimi ni mmojawao kwa miaka7 na tangu hapo sijawahi kurudi hospitality nashangaa watu wanamuona kama kituko wataofaidika ni watakaomfuwata na elimu ya LISHE ni Dhahabu 🇹🇿
Tatizo mazoea
Kwenda hospital ni swala la Mungu kakaa
Shukuru sana Mungu kwa kutokufika huko
Kunawatu hata mlo mmoja kuupata ni kipengele lakini wanaumwa kila siku...
Wanashindia matembele yasiyo na mafuta matunda na vyakula kama hivyo lakin wanaumwa kila siku
Barikiwa Dr. kwa kutuelimisha
Mungu akubariki. Dr
Hongera sana Prof Tbs wamerelax sana hata hawajiangaishi na maisha ya watanzania wapo kimya tunakula na kunywa ving TBs wapo kimya dawa nazo zinapitishwa kinyemela'mafuta ya kula nayo hayapimwi ma tbs kazi kwelikweli
Hizo Mada Zako ni Nzuri Nakuomba Tunga Kitabu ch Kiswahili itakuwa Umeacha Urithi Mzuri Kizazi na Kizazi Mwenyezi MUNGU akubaariki
Watanzania wengi hatusomi vitabu acha atuambie kwa mdomo tunamuelewa kuliko kuandkiwa kitabu acha mambo ya kiAmani
Comment makini kuliko zote 🤝
Yeap kwa faida ya vizazi vijavyo itapendeza hizo nondo ziwekwe kwenye docomentary
Mungu akubariki sana Prof. Janabi. Nimebadili mfumo wangu wa maisha. No soda, no wali, no ugali. No ngano, no Juice.
Nimeona mabadiliko makubwa ktk maisha yangu
Mungu ATUSAIDIE.
Nilijifunza zaidi kwenye vyakula vya wangaa, kekiii kweli cjui tena, asante Baba Mungu akulinde.
Prof nimefuatisha mawaidha yako yamenisaidia sana mfano intermittent fasting, kupunguza sukari yaani hata kuzeeka kumepungua! Nakupa maua yako Prof. Ubarikiwe sana
Kweli dokta anatoa elimu nzuri sana sana japo kuna watu wanakejeli elimu anayotoa yaani tunafanya utani kwenye kila kitu inasikitisha utani wa dini mpaka kwenye afya
Kweli 100% tutunze afya yetu itakuja kutusaidia Uzeeni. 👍asante Doctor.
Very true Dr Janab.Mwenyezi Mungu azidi kukupa maisha marefu, tunajifunza mengi kutoka katika mada zako.
Asante sana Dr. Janabi kwa hii elimu. Mungu akubariki
Asante Prof kwa Darasa
Dr asante Kwa SoMo hili, umesaidia watanzania wengi mno wanaochukua hatua na kubadilika mwenendo wa ulaji kiafya.
Elimu nzuri sana
Prof.,thank you Sir .My God bless you man of God.
Sikuhizi Kila niki taka kula chipsi au kunywa soda, natokewa na sura ya huyu jamaa😢😢😢
Mungu tusaidie tu
AISEE tunafakamia tu
Aisee kama ulikuwepo hata mimi hivohivo, afu nikimwona mtu anakunya soda namhurumia sana na nikiona mtu anakula chumvi ile ya pemben mwa sahani ya chips au nyama had nashtuka kama vile mtu kaniwekea barafu ktk uti wa mgongo😂😂
Hahahaha 😂nimecheka kwa sauti
Dr swali langu ni kwamba je tatizo la presha huwa linapona?
Ubarikiwe Prof.
Asante Prof kwa ushauli ni nzuri sana na endelea mimi nafuata nadha i na wengi
Asante Dr
Asante ubarikiwe abarikiwe aliekusomesha
Asante dr. Kwa ushauri. Mimi nipo tayari kubadilisha lifestyle.
Afya ni mtaji kwa maisha bora ya sasa na baadae, tukishupaza shingo lazima tutamkumbuka Prof. Janabi tukiwa kitandani.
Asanten sana je Kahawa tunywe kiasi gani
Umenisaidia sana
Zingatia maelezo yake kwa faida yako. Kejeli hazisaidii.
Ahsante sana kwa elimu d.r upo sahihi kabisa ,endelea kuelimisha Jamii ya Watanzania
Mungu akubariki Prof. Usichoke kutushauri
Mukali sana
Wananikera sana baadhi ya waandishi wa habari.Badala ya kuongeza msisitizo wataalam wavyo tufundusha wao wanatoa dhihaka.Niliwasikiliza sana hawa clouds,haukua ujinga waliokuwa wakiufanya bali ni upumbavu.Mpo kwaajili ya kutuelimisha na kutuburudisha,ila linapokuja swala la afya zetu hiyo ni elimu tusifanye mzaha.Tusipotunza afya zetu ujanani afya itachezea pesa zetu uzeeni.Bora umewapa kubwa profesa Janabi.Ninakufuatilia sana,Mungu akupe maisha marefu.
asante kwa masomo,,
Asante
Ubarikiwe sana
Dr asantee
Golden Star...
Mungu wangu uwe nasi siku zote amina tanzania 🇹🇿
Ubalikiwe sana
Mungu azidi kukutunza
Yaani Ur very good hakika unatuelimisja saan
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maalifa ona watu wanavyo dhihaki wakati ni elimu nzuri kabisa.
Ubarikiwe sana dr kweli kula ovyo kunazeesha unakula masukari mengi mawanga mwisho unakuwa manyama uzembe
Kwa nini kitengo cha lishe kimefungwa.
Mzee Yuko sawa ana nyoosha huu kwele japo Kila kifo kina Sababu
Kwenye kusoma nakuunga mkono profesa, watanzania wengi hatuna uzalendo wa kusoma
Doctor Mungu akuweke nimeacha soda nashukuru Mungu
Ahsante sana kwa elimu,siku hizi watu wakiambiwa watembee na mtu mwenye UKIMWI wapewe 5000000[5M] wanakubali.baadaye mambo yakiaza kubadilika wanaanza kujuta.
binafsi mzee amebadisha maisha yangu namuelew sana mzee ana nia njema na anatoa sadaka kubwa kwenye jamii
Mashaallah mungu atakulipa
Exactly
Heavy Talk
Jamani dokta yuko sahihi sasa mnapoleta matan sio sawa
Wanongo jmn punguzeni mizaha walah😂😂😂😂
Allah atulinde na maradhi dr MashaAllah antoa elimu vizuri ,ningefurahi zaidi angelinganisha elimu yake na kitabu kitakatifu cha quran
NASHUKURU SANA KWA ELIMU UNAYOTUPATIA DR. JANABI. HIDUMA HII NI UONYAJI KAMILI. MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
🙏🙏🙏
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Prof,husichoke kutoa elimu,wapo wanaokuelewa,watanzania wanatabia ya kuchukulia mambo mzaha.
Yaani watz mna dharau sana"mnapewa elim kwa faida yenu"unamponda kisa mlevi na unavuta sigara
Nimekuelewa
Dr boazalikuwa sahihi
Maradhi utatunusuru wanaadamu huwaezi bro .
Dah watu wanakejeli kwa kuwa hawajakutwa na tatizo ila siku ukibanwa ndo utamkumbuka kwa kejeli
Prof kama prof
Upo Sawa anaongea na watu wasiojitambua na upuuzi mwingi umewajaa wasio jua lolote ndio wanaongea mitandaoni watu walioishi vijijini waliishi salaama Sana hata maji kunywa maji tofauti ni hatari Kwa afya maji Yana madini tofauti kulingana na mahali yalipo hilo watu hawaelewi wanatwanga Tu blabla tu.
Allow me to give you my humble advice my dear professor. Avoid political issues. Please stay a scientist as is your profession
Mmh am not seeing where has spoken political issues we here scientific speech.
@@priscajoseph261 Then you haven't followed his clips properly. A man with his very high qualifications suddenly becomes a man of press conferences then you know something is adrift...he is exposing himself for a political appointment...mark my words
Nimecheka utafikiri mazuri..eti bia kama haiwezi kupanua moyo itawezaje kupanu moyo.
Huyu Dr mie ananichosha yeye mwenyewe anazeeka kwa kasi
hehehehhe kweli
Professor anafanya jambo kubwa sana ,Ila kizazi cha ovyo hakielewi, Elimu ya afya ni bora kuliko tiba,na ndio inayotakiwa sio kuongeza kujenga hospital na kuongeza madaktari
PRO WANAKEJELI NAOMBA WANITAFUTE MIE NILIEKUTANA NA WEWE NA DR KISENGE NA DR NYAWAWA HAPO JKC NIWAONYESHE USHAHIDI WA MATESI YA KULAKULA!
Hawa, na serikali yao wamewatengenezea watanzania mawazo ya uchungu, kwa ufisadi, yanayopelekea watu kuwa na magonjwa sugu,,,, tumeibiwa sana, hadi watu kukata tamaa, kisha kulewa pombe, kuvuta bangi, watu kukosa pesa hadi kushindia soda na andazi. Nyie mungu anawaona! Amini nawaambia
Kumbe anavuta sigara,jmn
Watu wabishi kweli, eti kama imeshindwa kutanuwa chupa itawezaje kutanuwa moyo😂😅
Tatizo Hela tu utazeekaje mapema !?
Ila hata huyu Doctor anaonekana ana kisukari au kuna ugonjwa unamsumbua
Kuzeeka sababu ya shida tu nchi za kiswahili hizi
Doctor naomba kuuliza kula mchele mbichi kunasababiasha unene wa mwili
Ila ilo koti sielewi .roho yangu imeinama
Kweli hatusomi tunabugia tu.
Waandishi wa kibongo Wana jua kushabikia utapeli tuu, oneni umhm wa kuelimisha jamii yenu
Huyu doctor mhhh😢😢😢😢😢
Huyu ñdiye alikweñda urus8
kuonekana mkubwa zaid ya umri wako muda mwingine ni maumbile ya mtu fullstop
Prof,Kwa wasio na smartphone wanapataje elimu hii?
Nadhani ww ndio utakua smart yao
@@jumamaganga5064😂😂😂😂
Watanzania wengi tuna dharau ,prof,anaeleza watu wanakejeli
Ni nchi iloojaa wajinga wengi mnoo na hizi midia zilizojawa na machawa na watu wapuuzi hao ndio wanaleta post za dhihaka ingawa uzuri kila mtu atayaamini hayo siku yakimkuta visukari na maradhi ya figo yanaongezeka mnoo na hamna anaestuka zaidi tunaleta utani kwenye ushauri wa kitaalamu
Waacheni tu wakejeli, watakutatana nae wodini wakiwa uchi
@@judyngowi391 yani vyombo vya habari Maneno ya Huyu mtaalamu ndio wamegeuza content za kudhihaki
Waache wawe wateja wake wa baadae hatusikii mtu ana pressure lakini haachi pombe
Yeye mwenyewe amezeeka
Nardhis Mhagama.Wewe umekuja mkweli mbona Hana Nuru sio lazima uwe mnene ila kazeeka
Amezeeka lakini haumwi, tatizo mna akili ngumu kweli
Janabi alika sawa na baba yangu 70 unafikili ni mtoto
Amezeeka na AFYA NJEMA . unamuonaje yupo comfortable
hajasema tukiwa na hizo discipline hatuta zeeka. amesema hatuta zeeka kwa kasi . uzee usioendana na umri.
Tusubiri wewe utaishi miaka mingapi😂😂😂
Sawa umetoa elimu nzuri Ila Mimi binafisi sikuamini Wala kukukubali maana uli,,,,,,,
Kuanzia sasa ninapoangalia hii taarifa'kuanzia leo soda baybay
Hahahaha,peps
hunywi pepsi kisa ushaur tu acha hzo ww