Profesa JANABI ataja sababu WATU kuzeeka mapema ''TUNZA afya ikusaidie UZEENI siyo FEDHA''

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 ก.พ. 2024
  • track.pari-tz.com/dc83e7da-03...
    Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Profesa Mohamed Janabi amesema asilimia kubwa ya watu wanatunza fedha ili ziwasaidie uzeeni na kusahau kutunza afya zao.
    Janabi amesisitiza tofauti na kutunza afya hakuna kitu kitakachokuwa na manufaa uzeeni kama afya imetetereka ikiwamo fedha.
    "Nafikiri ungetunza afya ikusaidie uzeeni kwa sababu fedha hizi zitakuja kukusaidia kulipia matibabu ya magonjwa hospitalini. Unafanya kazi miaka, unahangaika mjini miaka yote ili ukipata fedha uanze kuja kulipia betri za moyo nafikiri hiyo sio nzuri," amesema Profesa Janabi.
    Janabi amesema hayo alipofanya mahojiano na vyombo vya habari Jijini Dar es Salaam, huku akisema hajawahi kuwakataza watu wasile chakula, bali wasile ovyo na kula kwa wastani ili kuepuka magonjwa yasiyo ya lazima.
    "Tunashauri kupunguza vyakula vya wanga na vyenye sukari.”
    “Pia tunakataza ulaji wa vyakula vya kusindika, kwa sababu ili vikae muda mrefu kwenye shelfu lazima viwekwe kemikali, chumvi na sukari," amesema Profesa Janabi.
    Ili kufahamu zaidi alichozungumza Profesa Janabi, usikose Jarida la Afya Februari 23, 2024 pia endelea kufuatilia gazeti la Mwananchi na mitandao yake ya kijamii.

ความคิดเห็น • 217

  • @Mwananchidigital
    @Mwananchidigital  4 หลายเดือนก่อน +5

    Cheza sasa kupiti shorturl.at/jqzU6 na ushinde

    • @restitutamallya-pk5dr
      @restitutamallya-pk5dr 4 หลายเดือนก่อน

      Hongera Dr Kwa somo zuri.... keep it up.... achana na hao wanatoa kweli.

  • @user-ls2uj3fl1o
    @user-ls2uj3fl1o 3 หลายเดือนก่อน +15

    Binadamu bwana baba wawatu katuelimisha kama hujamuelewa acha endelea kuishi maisha yako hakulazimishi lakini siyo kumvunjia heshima siku ukuendea pale afya imegoma ndipo utajuwa umuhimu wake tujaribu kuwa na heshima jamani

    • @NdeshaPaul-uz9bw
      @NdeshaPaul-uz9bw 10 วันที่ผ่านมา

      Sawa sana daktari ila ukumbuke Kuna kukosasa na inakula chochote unachoata. Hali za maisha kwa Sasa hata kutunza afya ni vigumu labda isile

    • @rosemarysulle9288
      @rosemarysulle9288 6 วันที่ผ่านมา +1

      Huyu dr mi namkuli mno na namfuatilia sana,tatizo la watz wanapenda mno kula sijui kwnn

  • @SalumYasinichambo-fk7lx
    @SalumYasinichambo-fk7lx 10 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu akupe umri mrefu DK wetu, Na Allah ampe moyo wa huruma zaidi mama yetu mpenzi mh .rais samia she luhu Hassan kukupa kazi bora zaidi

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 4 หลายเดือนก่อน +12

    mashaAllah this is the best education that we need to understand the most.

  • @stafordchamgeni8430
    @stafordchamgeni8430 4 หลายเดือนก่อน +9

    Watanzania tusiwe wabishi faida za kuwa na maprofesa ni hizo tujivunie kuwa na wasomi wetu wenye mioyo ya kutuelim8sha. Na mambo ya ubishi juu ya maisha yetu siyo tija kabisa.

  • @patrickKitambo
    @patrickKitambo 4 หลายเดือนก่อน +8

    Baada ya kusikiliza hii maisha yangu yamepata mwanga mpya sana.. Ubarikiwe sana daktari kwa haya maarifa mimi ninafanyia kazi, kiukwel afya ndio mtaji wa kwanza ukichezea afya leo utaaabika sana kesho utatumia gharama kubwa sana

  • @jasminomary8754
    @jasminomary8754 4 หลายเดือนก่อน +11

    Pr janabi yaani elimu yako mimi naifutilia sana na inanisaidia sana mungu akubaliki akulinde uzidi kutupa elimu

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 4 หลายเดือนก่อน +10

    Mangu aku bariki sana sana kwa elimu na maelekezo yako afya yangu ni bora kabisa yani nime pona kabisa Dr

  • @frankkulwa3981
    @frankkulwa3981 4 หลายเดือนก่อน +10

    Safi sana Professor, unaelimisha sana.

  • @Nyanda_Jr
    @Nyanda_Jr 4 หลายเดือนก่อน +12

    Clouds mmemsikia Daktari acheni mambo yenu ya kufanya dhihaka mnapotosha jamii

  • @user-yf6kn9cr6z
    @user-yf6kn9cr6z 4 หลายเดือนก่อน +4

    Asante dr.janabi kwa elimu nzuri mimi nimekuelewa sana mungu akubariki.

  • @tumainielmaruwa3148
    @tumainielmaruwa3148 4 หลายเดือนก่อน +10

    Mungu akulinde Prof Janabi. Wewe unaupendo wa kweli kwa wa Tz

  • @desderipatrick8392
    @desderipatrick8392 4 หลายเดือนก่อน +5

    Mwenyezi Mungu akubariki sana Prof kwa elimu unayotoa ingawa wengine wanachukulia kama mzaha.

  • @gloriachristian1470
    @gloriachristian1470 4 หลายเดือนก่อน +6

    Apewe maua yake Le professor mm namkubali sana

  • @EmmanuelNyinyigwa
    @EmmanuelNyinyigwa 4 หลายเดือนก่อน +13

    Ukiwa bado huna panapo kuwasha Unaweza jua huyu mtaalam ana chekesha usiombe yakukute ya sikie kwa jilani yako. Fata maelekezo

    • @ramadhanimtetu3656
      @ramadhanimtetu3656 4 หลายเดือนก่อน +1

      Daah kaka Emmanuel umesema kweli

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 4 หลายเดือนก่อน +8

    Janabi yupo sawa mlo mmoja kwa siku ni kitu kinacho fuatwa na wengi waliohamka mimi ni mmojawao kwa miaka7 na tangu hapo sijawahi kurudi hospitality nashangaa watu wanamuona kama kituko wataofaidika ni watakaomfuwata na elimu ya LISHE ni Dhahabu 🇹🇿

    • @consolataaloycemgumba3735
      @consolataaloycemgumba3735 3 หลายเดือนก่อน +1

      Tatizo mazoea

    • @OchoaHomeDecor_
      @OchoaHomeDecor_ 2 หลายเดือนก่อน

      Kwenda hospital ni swala la Mungu kakaa
      Shukuru sana Mungu kwa kutokufika huko
      Kunawatu hata mlo mmoja kuupata ni kipengele lakini wanaumwa kila siku...
      Wanashindia matembele yasiyo na mafuta matunda na vyakula kama hivyo lakin wanaumwa kila siku

  • @dalilahmubago5131
    @dalilahmubago5131 3 หลายเดือนก่อน +2

    Barikiwa Dr. kwa kutuelimisha

  • @fridamwakyambiki3255
    @fridamwakyambiki3255 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu akubariki. Dr

  • @alexwilla4260
    @alexwilla4260 4 หลายเดือนก่อน +3

    Hongera sana Prof Tbs wamerelax sana hata hawajiangaishi na maisha ya watanzania wapo kimya tunakula na kunywa ving TBs wapo kimya dawa nazo zinapitishwa kinyemela'mafuta ya kula nayo hayapimwi ma tbs kazi kwelikweli

  • @twahaayubu8686
    @twahaayubu8686 4 หลายเดือนก่อน +9

    Hizo Mada Zako ni Nzuri Nakuomba Tunga Kitabu ch Kiswahili itakuwa Umeacha Urithi Mzuri Kizazi na Kizazi Mwenyezi MUNGU akubaariki

    • @gloriachristian1470
      @gloriachristian1470 4 หลายเดือนก่อน +1

      Watanzania wengi hatusomi vitabu acha atuambie kwa mdomo tunamuelewa kuliko kuandkiwa kitabu acha mambo ya kiAmani

    • @user-un5bo6ks1q
      @user-un5bo6ks1q 4 หลายเดือนก่อน

      Comment makini kuliko zote 🤝

    • @tunkuh661
      @tunkuh661 3 หลายเดือนก่อน +1

      Yeap kwa faida ya vizazi vijavyo itapendeza hizo nondo ziwekwe kwenye docomentary

  • @euniestherwilliam1513
    @euniestherwilliam1513 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki sana Prof. Janabi. Nimebadili mfumo wangu wa maisha. No soda, no wali, no ugali. No ngano, no Juice.
    Nimeona mabadiliko makubwa ktk maisha yangu
    Mungu ATUSAIDIE.

  • @juliethmallya6821
    @juliethmallya6821 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nilijifunza zaidi kwenye vyakula vya wangaa, kekiii kweli cjui tena, asante Baba Mungu akulinde.

  • @odettevianney3026
    @odettevianney3026 4 หลายเดือนก่อน +3

    Prof nimefuatisha mawaidha yako yamenisaidia sana mfano intermittent fasting, kupunguza sukari yaani hata kuzeeka kumepungua! Nakupa maua yako Prof. Ubarikiwe sana

  • @stevenmwenda3005
    @stevenmwenda3005 4 หลายเดือนก่อน +4

    Kweli dokta anatoa elimu nzuri sana sana japo kuna watu wanakejeli elimu anayotoa yaani tunafanya utani kwenye kila kitu inasikitisha utani wa dini mpaka kwenye afya

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli 100% tutunze afya yetu itakuja kutusaidia Uzeeni. 👍asante Doctor.

  • @mkanotimmass4691
    @mkanotimmass4691 4 หลายเดือนก่อน +4

    Very true Dr Janab.Mwenyezi Mungu azidi kukupa maisha marefu, tunajifunza mengi kutoka katika mada zako.

  • @reginas1832
    @reginas1832 4 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana Dr. Janabi kwa hii elimu. Mungu akubariki

  • @hanspop6961
    @hanspop6961 4 หลายเดือนก่อน +2

    Asante Prof kwa Darasa

  • @selinalawala2270
    @selinalawala2270 4 หลายเดือนก่อน +3

    Dr asante Kwa SoMo hili, umesaidia watanzania wengi mno wanaochukua hatua na kubadilika mwenendo wa ulaji kiafya.

  • @EkelyNkanda
    @EkelyNkanda 11 วันที่ผ่านมา

    Elimu nzuri sana

  • @loisndossi9877
    @loisndossi9877 4 หลายเดือนก่อน +5

    Prof.,thank you Sir .My God bless you man of God.

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 4 หลายเดือนก่อน +20

    Sikuhizi Kila niki taka kula chipsi au kunywa soda, natokewa na sura ya huyu jamaa😢😢😢

    • @crispakyando8854
      @crispakyando8854 4 หลายเดือนก่อน +1

      Mungu tusaidie tu

    • @ramadhanimtetu3656
      @ramadhanimtetu3656 4 หลายเดือนก่อน +1

      AISEE tunafakamia tu

    • @BonnyMwajombe-iu7hb
      @BonnyMwajombe-iu7hb 4 หลายเดือนก่อน +1

      Aisee kama ulikuwepo hata mimi hivohivo, afu nikimwona mtu anakunya soda namhurumia sana na nikiona mtu anakula chumvi ile ya pemben mwa sahani ya chips au nyama had nashtuka kama vile mtu kaniwekea barafu ktk uti wa mgongo😂😂

    • @user-ol7de5fo7j
      @user-ol7de5fo7j 4 หลายเดือนก่อน +2

      Hahahaha 😂nimecheka kwa sauti

    • @user-ol7de5fo7j
      @user-ol7de5fo7j 4 หลายเดือนก่อน +1

      Dr swali langu ni kwamba je tatizo la presha huwa linapona?

  • @dork8749
    @dork8749 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ubarikiwe Prof.

  • @user-fk8qv4rf5c
    @user-fk8qv4rf5c 4 หลายเดือนก่อน +1

    Asante Prof kwa ushauli ni nzuri sana na endelea mimi nafuata nadha i na wengi

  • @OswardWilson-gx2hy
    @OswardWilson-gx2hy 4 หลายเดือนก่อน

    Asante Dr

  • @marymremi1051
    @marymremi1051 4 หลายเดือนก่อน +1

    Asante ubarikiwe abarikiwe aliekusomesha

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 4 หลายเดือนก่อน +1

    Asante dr. Kwa ushauri. Mimi nipo tayari kubadilisha lifestyle.

  • @desderipatrick8392
    @desderipatrick8392 3 หลายเดือนก่อน +1

    Afya ni mtaji kwa maisha bora ya sasa na baadae, tukishupaza shingo lazima tutamkumbuka Prof. Janabi tukiwa kitandani.

  • @Kanyawela
    @Kanyawela 4 หลายเดือนก่อน +1

    Asanten sana je Kahawa tunywe kiasi gani

  • @EliaoleshengEa-pv8fu
    @EliaoleshengEa-pv8fu 12 วันที่ผ่านมา

    Umenisaidia sana

  • @leonardmaganga9921
    @leonardmaganga9921 4 หลายเดือนก่อน +5

    Zingatia maelezo yake kwa faida yako. Kejeli hazisaidii.

  • @user-kg9jt3ry5z
    @user-kg9jt3ry5z 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ahsante sana kwa elimu d.r upo sahihi kabisa ,endelea kuelimisha Jamii ya Watanzania

  • @susanpetershio3196
    @susanpetershio3196 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki Prof. Usichoke kutushauri

  • @nangatv9218
    @nangatv9218 2 หลายเดือนก่อน

    Mukali sana

  • @mkilimamoses2311
    @mkilimamoses2311 2 หลายเดือนก่อน

    Wananikera sana baadhi ya waandishi wa habari.Badala ya kuongeza msisitizo wataalam wavyo tufundusha wao wanatoa dhihaka.Niliwasikiliza sana hawa clouds,haukua ujinga waliokuwa wakiufanya bali ni upumbavu.Mpo kwaajili ya kutuelimisha na kutuburudisha,ila linapokuja swala la afya zetu hiyo ni elimu tusifanye mzaha.Tusipotunza afya zetu ujanani afya itachezea pesa zetu uzeeni.Bora umewapa kubwa profesa Janabi.Ninakufuatilia sana,Mungu akupe maisha marefu.

  • @reginajoel3785
    @reginajoel3785 4 หลายเดือนก่อน +1

    asante kwa masomo,,

  • @emmiemmi3861
    @emmiemmi3861 2 หลายเดือนก่อน

    Asante

  • @dinachitungo8795
    @dinachitungo8795 3 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe sana

  • @OswardWilson-gx2hy
    @OswardWilson-gx2hy 4 หลายเดือนก่อน

    Dr asantee

  • @emmanueljoshua903
    @emmanueljoshua903 4 หลายเดือนก่อน

    Golden Star...

  • @freddykulwa8190
    @freddykulwa8190 11 วันที่ผ่านมา

    Mungu wangu uwe nasi siku zote amina tanzania 🇹🇿

  • @machongomika1206
    @machongomika1206 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ubalikiwe sana

  • @annalyimo4143
    @annalyimo4143 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu azidi kukutunza

  • @niahmosha4146
    @niahmosha4146 4 หลายเดือนก่อน

    Yaani Ur very good hakika unatuelimisja saan

  • @priscajoseph261
    @priscajoseph261 4 หลายเดือนก่อน +2

    Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maalifa ona watu wanavyo dhihaki wakati ni elimu nzuri kabisa.

  • @teddyhenry2579
    @teddyhenry2579 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ubarikiwe sana dr kweli kula ovyo kunazeesha unakula masukari mengi mawanga mwisho unakuwa manyama uzembe

    • @user-zl3le1wz2u
      @user-zl3le1wz2u 4 หลายเดือนก่อน

      Kwa nini kitengo cha lishe kimefungwa.

  • @mbenamdudu7856
    @mbenamdudu7856 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee Yuko sawa ana nyoosha huu kwele japo Kila kifo kina Sababu

  • @jamesukombozi5216
    @jamesukombozi5216 4 หลายเดือนก่อน +4

    Kwenye kusoma nakuunga mkono profesa, watanzania wengi hatuna uzalendo wa kusoma

  • @mwanaimamsangi971
    @mwanaimamsangi971 3 หลายเดือนก่อน

    Doctor Mungu akuweke nimeacha soda nashukuru Mungu

  • @mpegesaaswile6581
    @mpegesaaswile6581 2 หลายเดือนก่อน

    Ahsante sana kwa elimu,siku hizi watu wakiambiwa watembee na mtu mwenye UKIMWI wapewe 5000000[5M] wanakubali.baadaye mambo yakiaza kubadilika wanaanza kujuta.

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 4 หลายเดือนก่อน

    binafsi mzee amebadisha maisha yangu namuelew sana mzee ana nia njema na anatoa sadaka kubwa kwenye jamii

  • @bakarimusa6297
    @bakarimusa6297 2 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah mungu atakulipa

  • @gastonkaduma2503
    @gastonkaduma2503 3 หลายเดือนก่อน

    Exactly

  • @jamesgeofrey8692
    @jamesgeofrey8692 4 หลายเดือนก่อน +2

    Heavy Talk

  • @MubinaRoshan
    @MubinaRoshan 4 หลายเดือนก่อน +5

    Jamani dokta yuko sahihi sasa mnapoleta matan sio sawa

    • @rosemarysulle9288
      @rosemarysulle9288 4 หลายเดือนก่อน

      Wanongo jmn punguzeni mizaha walah😂😂😂😂

  • @mamlomamlo9064
    @mamlomamlo9064 4 หลายเดือนก่อน +2

    Allah atulinde na maradhi dr MashaAllah antoa elimu vizuri ,ningefurahi zaidi angelinganisha elimu yake na kitabu kitakatifu cha quran

  • @margaretkapolesya3979
    @margaretkapolesya3979 4 หลายเดือนก่อน +2

    NASHUKURU SANA KWA ELIMU UNAYOTUPATIA DR. JANABI. HIDUMA HII NI UONYAJI KAMILI. MWENYE MASIKIO NA ASIKIE

  • @daisyahmed1998
    @daisyahmed1998 4 หลายเดือนก่อน

    🙏🙏🙏

  • @freddykulwa8190
    @freddykulwa8190 11 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @ChristerShao
    @ChristerShao 4 หลายเดือนก่อน +2

    Prof,husichoke kutoa elimu,wapo wanaokuelewa,watanzania wanatabia ya kuchukulia mambo mzaha.

  • @abubakarikisuju80
    @abubakarikisuju80 4 หลายเดือนก่อน +1

    Yaani watz mna dharau sana"mnapewa elim kwa faida yenu"unamponda kisa mlevi na unavuta sigara

  • @EliaoleshengEa-pv8fu
    @EliaoleshengEa-pv8fu 3 หลายเดือนก่อน

    Nimekuelewa

  • @magdalenasirikwa517
    @magdalenasirikwa517 3 หลายเดือนก่อน

    Dr boazalikuwa sahihi

  • @user-ug1rt2ki8d
    @user-ug1rt2ki8d 3 หลายเดือนก่อน +1

    Maradhi utatunusuru wanaadamu huwaezi bro .

  • @elirehemaringo188
    @elirehemaringo188 หลายเดือนก่อน

    Dah watu wanakejeli kwa kuwa hawajakutwa na tatizo ila siku ukibanwa ndo utamkumbuka kwa kejeli

  • @stephenjonas4866
    @stephenjonas4866 3 หลายเดือนก่อน

    Prof kama prof

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 4 หลายเดือนก่อน +1

    Upo Sawa anaongea na watu wasiojitambua na upuuzi mwingi umewajaa wasio jua lolote ndio wanaongea mitandaoni watu walioishi vijijini waliishi salaama Sana hata maji kunywa maji tofauti ni hatari Kwa afya maji Yana madini tofauti kulingana na mahali yalipo hilo watu hawaelewi wanatwanga Tu blabla tu.

  • @kibbysaidi7813
    @kibbysaidi7813 4 หลายเดือนก่อน +3

    Allow me to give you my humble advice my dear professor. Avoid political issues. Please stay a scientist as is your profession

    • @priscajoseph261
      @priscajoseph261 4 หลายเดือนก่อน

      Mmh am not seeing where has spoken political issues we here scientific speech.

    • @kibbysaidi7813
      @kibbysaidi7813 4 หลายเดือนก่อน

      @@priscajoseph261 Then you haven't followed his clips properly. A man with his very high qualifications suddenly becomes a man of press conferences then you know something is adrift...he is exposing himself for a political appointment...mark my words

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 3 หลายเดือนก่อน

    Nimecheka utafikiri mazuri..eti bia kama haiwezi kupanua moyo itawezaje kupanu moyo.

  • @omarinyahegs4539
    @omarinyahegs4539 4 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu Dr mie ananichosha yeye mwenyewe anazeeka kwa kasi

  • @kheriakida3309
    @kheriakida3309 3 หลายเดือนก่อน

    Professor anafanya jambo kubwa sana ,Ila kizazi cha ovyo hakielewi, Elimu ya afya ni bora kuliko tiba,na ndio inayotakiwa sio kuongeza kujenga hospital na kuongeza madaktari

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156 4 หลายเดือนก่อน +2

    PRO WANAKEJELI NAOMBA WANITAFUTE MIE NILIEKUTANA NA WEWE NA DR KISENGE NA DR NYAWAWA HAPO JKC NIWAONYESHE USHAHIDI WA MATESI YA KULAKULA!

  • @martinisadru9899
    @martinisadru9899 4 หลายเดือนก่อน

    Hawa, na serikali yao wamewatengenezea watanzania mawazo ya uchungu, kwa ufisadi, yanayopelekea watu kuwa na magonjwa sugu,,,, tumeibiwa sana, hadi watu kukata tamaa, kisha kulewa pombe, kuvuta bangi, watu kukosa pesa hadi kushindia soda na andazi. Nyie mungu anawaona! Amini nawaambia

  • @Jafreez
    @Jafreez 4 หลายเดือนก่อน +1

    Watu wabishi kweli, eti kama imeshindwa kutanuwa chupa itawezaje kutanuwa moyo😂😅

  • @rogatemsangi6418
    @rogatemsangi6418 4 หลายเดือนก่อน +1

    Tatizo Hela tu utazeekaje mapema !?

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 4 หลายเดือนก่อน +3

    Ila hata huyu Doctor anaonekana ana kisukari au kuna ugonjwa unamsumbua

  • @maase2023
    @maase2023 3 หลายเดือนก่อน

    Kuzeeka sababu ya shida tu nchi za kiswahili hizi

  • @user-rz3vi3tm5d
    @user-rz3vi3tm5d 4 หลายเดือนก่อน

    Doctor naomba kuuliza kula mchele mbichi kunasababiasha unene wa mwili

  • @beatricehenry6776
    @beatricehenry6776 4 หลายเดือนก่อน

    Ila ilo koti sielewi .roho yangu imeinama

  • @ChristerShao
    @ChristerShao 4 หลายเดือนก่อน

    Kweli hatusomi tunabugia tu.

  • @elibarikkiakyoo
    @elibarikkiakyoo 4 หลายเดือนก่อน

    Waandishi wa kibongo Wana jua kushabikia utapeli tuu, oneni umhm wa kuelimisha jamii yenu

  • @makelemohuya2723
    @makelemohuya2723 4 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu doctor mhhh😢😢😢😢😢

  • @johnsinyinza7450
    @johnsinyinza7450 4 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu ñdiye alikweñda urus8

  • @amanididas7660
    @amanididas7660 3 หลายเดือนก่อน

    kuonekana mkubwa zaid ya umri wako muda mwingine ni maumbile ya mtu fullstop

  • @mfalisayo
    @mfalisayo 4 หลายเดือนก่อน +1

    Prof,Kwa wasio na smartphone wanapataje elimu hii?

    • @jumamaganga5064
      @jumamaganga5064 4 หลายเดือนก่อน

      Nadhani ww ndio utakua smart yao

    • @janethalley4046
      @janethalley4046 2 หลายเดือนก่อน

      @@jumamaganga5064😂😂😂😂

  • @florachogo243
    @florachogo243 4 หลายเดือนก่อน +6

    Watanzania wengi tuna dharau ,prof,anaeleza watu wanakejeli

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 4 หลายเดือนก่อน +2

      Ni nchi iloojaa wajinga wengi mnoo na hizi midia zilizojawa na machawa na watu wapuuzi hao ndio wanaleta post za dhihaka ingawa uzuri kila mtu atayaamini hayo siku yakimkuta visukari na maradhi ya figo yanaongezeka mnoo na hamna anaestuka zaidi tunaleta utani kwenye ushauri wa kitaalamu

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 4 หลายเดือนก่อน

      Waacheni tu wakejeli, watakutatana nae wodini wakiwa uchi

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 4 หลายเดือนก่อน

      @@judyngowi391 yani vyombo vya habari Maneno ya Huyu mtaalamu ndio wamegeuza content za kudhihaki

    • @syliviakente9460
      @syliviakente9460 4 หลายเดือนก่อน

      Waache wawe wateja wake wa baadae hatusikii mtu ana pressure lakini haachi pombe

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 4 หลายเดือนก่อน +2

    Yeye mwenyewe amezeeka

    • @user-eg2wk4xx3h
      @user-eg2wk4xx3h 4 หลายเดือนก่อน +1

      Nardhis Mhagama.Wewe umekuja mkweli mbona Hana Nuru sio lazima uwe mnene ila kazeeka

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 4 หลายเดือนก่อน

      Amezeeka lakini haumwi, tatizo mna akili ngumu kweli

    • @misembe
      @misembe 4 หลายเดือนก่อน

      Janabi alika sawa na baba yangu 70 unafikili ni mtoto

    • @stephanomoses7694
      @stephanomoses7694 4 หลายเดือนก่อน

      Amezeeka na AFYA NJEMA . unamuonaje yupo comfortable

    • @dativajoachimwai1194
      @dativajoachimwai1194 4 หลายเดือนก่อน

      hajasema tukiwa na hizo discipline hatuta zeeka. amesema hatuta zeeka kwa kasi . uzee usioendana na umri.

  • @user-mx2tx5eg9x
    @user-mx2tx5eg9x 4 หลายเดือนก่อน +4

    Tusubiri wewe utaishi miaka mingapi😂😂😂

  • @mazikumathew8873
    @mazikumathew8873 4 หลายเดือนก่อน +1

    Sawa umetoa elimu nzuri Ila Mimi binafisi sikuamini Wala kukukubali maana uli,,,,,,,

  • @abubakarikisuju80
    @abubakarikisuju80 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kuanzia sasa ninapoangalia hii taarifa'kuanzia leo soda baybay

    • @joshuamgoba6705
      @joshuamgoba6705 4 หลายเดือนก่อน

      Hahahaha,peps

    • @amanididas7660
      @amanididas7660 3 หลายเดือนก่อน

      hunywi pepsi kisa ushaur tu acha hzo ww