Dkt. Issac na Madhara ya Unywaji wa Energy I Fahamu Ufanyaji Kazi wa Figo, Ini na Moyo I Faida Zake

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 มี.ค. 2024

ความคิดเห็น • 138

  • @deonatusdaud4640
    @deonatusdaud4640 3 หลายเดือนก่อน +10

    Doctor unaongea kwa nidhamu ya hali ya juu sana,mungu akutunze Kaka..✍🤲

  • @sjaykigomatz
    @sjaykigomatz 3 หลายเดือนก่อน +6

    Watangazaji mnazingua sana, wacheni doctor aseme

  • @ElizabethNyary
    @ElizabethNyary 3 หลายเดือนก่อน +3

    Watangazaji mnaboa mna mkatishakatisha Dr Maro mkiuliza vitu ambavyo ukimsikiliza vizurii anaviongea. Next mjirekebishe mnyamaze msikikilize mtu mwenye professional yake aongee

  • @user-kw1fv3qs6p
    @user-kw1fv3qs6p 3 หลายเดือนก่อน +11

    Watangazaji wameamharibu hii interview

    • @siyeyetv
      @siyeyetv 3 หลายเดือนก่อน

      hawamuachi akamaliza kusema

  • @jimmymbella997
    @jimmymbella997 3 หลายเดือนก่อน +1

    DR . I MARO HONGERA KAKA UMEDADAVUA VYEMA SANA, JAPO SI WOTE WALIOKUELEWA🤝

  • @bigboyben6932
    @bigboyben6932 3 หลายเดือนก่อน +2

    Very smart kichwani na mwili🙌🏾 shoutout to my brother dr isaac Maro pia power break fast kiujumla

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 3 หลายเดือนก่อน +3

    Doct upo vzr sn hata kwenye kipindi chako cha njia panda mungu akulinde na mabaya

  • @williammlay3600
    @williammlay3600 3 หลายเดือนก่อน +8

    Nadhani wa kusikia amesikia na ambae hatosikia anaweza kuendelea. Lakini kumbuka MCHUMA JANGA HULA NA WAKWAO. Asante.

  • @user-fh1zm4sr7c
    @user-fh1zm4sr7c 3 หลายเดือนก่อน +3

    Watangazaji mko vizuri kwa kuendesha mada hii ila pia mnaharibu !! mnaingilia point za Mtaaramu acheni hivyo 😢😢

  • @theodoryngwembele
    @theodoryngwembele 3 หลายเดือนก่อน +2

    Dr. Maro, Mungu akutunze ili utumike kuwasaidia watu juu ya afya zao.

  • @kuyengathomas876
    @kuyengathomas876 3 หลายเดือนก่อน +1

    Asante Dr isac Maro

  • @MasaweFransi
    @MasaweFransi 3 หลายเดือนก่อน +1

    Dr Izack yupo true na mkubal

  • @RynoFiree
    @RynoFiree 3 หลายเดือนก่อน +2

    Duh watangazaj hamfanyi kipindi kiwe na utulivu mnaingilia mazungumzo sana

  • @marketingmazingira1393
    @marketingmazingira1393 3 หลายเดือนก่อน +3

    Haya matangazaji ni mashenzi sana mnaingilia hata hawezi kuelezea vizuri pumbavu sana

  • @user-my1vi6wv9h
    @user-my1vi6wv9h 3 หลายเดือนก่อน +1

    Namkubali saan brooo mungu akuweke saan hap dunian 🎉🎉🎉

  • @Moris495
    @Moris495 3 หลายเดือนก่อน +7

    Mnaongea sana,Sasa kuna maana gani mnamuuliza maswali halafu mnayajibu wenyewe,kuweni focused

    • @johnmwandu2116
      @johnmwandu2116 3 หลายเดือนก่อน +2

      Yaani wamenikera Sana, wanamkatishakatisha tu kila akitaka kuongea point ya msingi

  • @jostamzxkaole3113
    @jostamzxkaole3113 3 หลายเดือนก่อน +4

    UMZANIAYE KUMBE SIE🤣🤣yaan moyo unakazi ndogosanaaaa ila cha ajabu ukizima ndo nnamie nazima🙆🏾‍♂️ afu figo na ini vinakazi kubwaaa ila vikifeli unakaa adi mwaka👁

  • @djbiggie8043
    @djbiggie8043 3 หลายเดือนก่อน +3

    Watangazaji mnaboa sana, siku nyingine msirudie dr anatoa eleimu why msimpatie nafasi ya kutosha atoe elimu kwa watu?, au kama ninyimnaweza kutoa elimu ya afya mmemleta wa nini

  • @costofamily4861
    @costofamily4861 3 หลายเดือนก่อน +1

    Watangazaji miyeyusho sana , yaan bongo ni ovyo sana

  • @sampaconnector2845
    @sampaconnector2845 3 หลายเดือนก่อน

    Watangazaji punguzeni ujuaji mnapoteza flow ya maelezo ya Dr.

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 3 หลายเดือนก่อน +2

    watangazaji mhaharibu sana ladha ya kipindi.Mngemuacha doctor atupe faida badala kugeuza kipindi cha story na comedy.

  • @swahili24live56
    @swahili24live56 3 หลายเดือนก่อน +1

    haya matangazaji bhana

  • @JoyceMwamafupa-rf7jv
    @JoyceMwamafupa-rf7jv 3 หลายเดือนก่อน +3

    Watangazaj elim ziro

  • @thomasgwanda9238
    @thomasgwanda9238 3 หลายเดือนก่อน

    Watangazaji mu azingua Leo mutulie musikilize Dr

  • @user-xo2xw4in9f
    @user-xo2xw4in9f 3 หลายเดือนก่อน

    Doctor Isaac ❤

  • @angelmwaimu3676
    @angelmwaimu3676 3 หลายเดือนก่อน +1

    Sijui kwanini huwa mnapenda kuingilia point husika za mtaalam mara nyingi huwa ninawasikia hivyo kimsingi huwa mnatuudhi wasikilizaji,

    • @user-xp8ro5qs8i
      @user-xp8ro5qs8i 3 หลายเดือนก่อน

      Wanaongea Kila wakati kama wehu

  • @cleofasgawasike7696
    @cleofasgawasike7696 3 หลายเดือนก่อน +3

    Watangazaji mnazingua

  • @monicaraphaelkufakunoga5828
    @monicaraphaelkufakunoga5828 3 หลายเดือนก่อน

    Dr Maro huwa namuelewa sana naamini angekuwa mwl wangu wa Biology o'level ningepata division one ya 7

  • @jeremiapeter683
    @jeremiapeter683 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi mwenyewe sija penda Hii kitu maana wana Haribu Taaluma za Watu ujuaji mwingi Sana..yaani kujua lugha kidogo wana jiona washa kuwa wasomi Au ma Dr.😒😒😏😏

  • @andrewmmassy5204
    @andrewmmassy5204 3 หลายเดือนก่อน

    Kuna highlife,konyagi na mapombe kibao makali lakini hayo yote hayampati kijana mmoja mdogo mkimya sana anaua taratibu uwezi kumzania ni "Silent killer", shikamoo kaka "Energy drinks." Tunatamani sana kukuacha ila tunashindwa unaladha nzuri na unasisimua misuri na tunafany kazi vizuri.

  • @user-eb7oi2bx6s
    @user-eb7oi2bx6s 3 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu mtangaji wa kiume kiherehere sana mpaka nashindwa kumuerewa vizuri doctar unamkatisha katisha sana😅

  • @user-qj2fz8uq3j
    @user-qj2fz8uq3j 3 หลายเดือนก่อน +1

    Watangazaji wa hovyo

  • @user-wl8ns6hh8l
    @user-wl8ns6hh8l 3 หลายเดือนก่อน +1

    Watanga,aji wachani dr bana aha

  • @user-nn8yj7fe4n
    @user-nn8yj7fe4n 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kajifunzen kwa Salama ,namna ya kufanya vipindi ,andaa swali uliza swali? Mwache mtu aeleze mpaka uone apa umepata jibu ,then twanga tena swali sasaa daah mnapiga stori stori tu yaani

  • @ojjoajali8438
    @ojjoajali8438 3 หลายเดือนก่อน

    Masoud much know kwenye professional isiyo yake mpaka anaharibu

  • @sultansallah8772
    @sultansallah8772 3 หลายเดือนก่อน +3

    Atupe na madhara ya bia

  • @BonnyMwajombe-iu7hb
    @BonnyMwajombe-iu7hb 3 หลายเดือนก่อน +1

    Dr wamechongo unahamasisha watu kunywa pombe , jichanganye siku ukutane na pr. Janabi kama hujachezea mboko za kwenda!

  • @user-zx2pk4mg2k
    @user-zx2pk4mg2k 3 หลายเดือนก่อน +2

    Watangazaji mnazengua

  • @RokasaSamilah-eq1rm
    @RokasaSamilah-eq1rm 3 หลายเดือนก่อน

    Dada fety na dr isaac bigaup kwenu

  • @sangaelly8548
    @sangaelly8548 3 หลายเดือนก่อน

    Nyi watangazaji mnamchanganya Dr maelezo yake mazuri, kama amekuacha si unyamaze basi

  • @eshyndibalema1529
    @eshyndibalema1529 3 หลายเดือนก่อน

    Watangazaji acheni tabia ya kuigilia mazungumzo,hata mkiwa wenyewe kwa wenyewe huwa mnaboa mpe nafasi mhusika aongee

  • @WilsonCharles-lr1ko
    @WilsonCharles-lr1ko 3 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa hapo mtaalamu ni nani? coz watangazaji wanatamani kujihoji wenyewe ili waoneshe utaalamu duuh! hii nchi ngumu sana

  • @josephk90
    @josephk90 3 หลายเดือนก่อน +1

    Watangazaji manina zenu😢😢

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 3 หลายเดือนก่อน +2

    Ujuaji mwingi mnooo mwacheni atoe elimu, mnaongea mnoo sasa mmemwalika dr wa nini bana

  • @user-ys7wj5tl3p
    @user-ys7wj5tl3p 3 หลายเดือนก่อน

    Nyi watangazaji mnakera Sana Kuna maana Gani? Ya kumwalika Mtaraam kama nyie mnabaki kua waongeaji. Mwacheni doctor Achambue.

  • @girikimdaila6026
    @girikimdaila6026 3 หลายเดือนก่อน +3

    Watangazaji wasenge wanaongea Sana kuliko doctor

    • @shayo01
      @shayo01 3 หลายเดือนก่อน

      ha ha ha ha ha daaa

  • @magretangel5242
    @magretangel5242 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hata msemeje Energy hatuachi...

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂

    • @maryammo-gd3me
      @maryammo-gd3me 3 หลายเดือนก่อน +1

      Yakishakufika ndio utajua

  • @amanididas7660
    @amanididas7660 3 หลายเดือนก่อน

    daktari afya anayo maana anang'aaa

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 3 หลายเดือนก่อน

    Kwann kipindi kina watangazsji wengi ikiwa maswala yaongelewsyo ni muhimu dah sielewsgi hizi media siku hiz inakuwa kama genge hiv au kijiwe cha story very serious ishu lakini kunakuwa na kelele ujuaji sana..kipindi kizuri mnoo lakini rekebisheni.lisiwe gengee cos mnajuwa kuandaa lakini muhusika wa kutupa mafunza.mnamfunika kwa uongeaji wenu sana ila safii..

  • @ayobow56
    @ayobow56 2 หลายเดือนก่อน

    Mimi energy Huwa sinywagi Wala soda Wala nini

  • @nicholauslupimo2851
    @nicholauslupimo2851 3 หลายเดือนก่อน

    Acha siasa doctor unazunguka Sana kutoa majibu ya moja Kwa moja kwamba energy inamadhara mengi Sana nahaifai

    • @jimmymbella997
      @jimmymbella997 3 หลายเดือนก่อน +1

      Ndiyo iko hivyo sasa wew unapaswa ujiongeze, kumbuka hizo ni biashara za watu so, akifunguka moja kw moja anaharibu ugari wawatu, daktari yuko sahihi nazani tumeelewa.!!

  • @agnesmbogo3753
    @agnesmbogo3753 3 หลายเดือนก่อน

    Waache kuzitengeneza

  • @RosemaryMtallo
    @RosemaryMtallo 3 หลายเดือนก่อน

    Doctor endelea kutoa elimu sasa wakinyamaza hawa watangazaji doctor si atakuwa kama anaongea mwenyewe??kumbuken sisi tunafuatilia tuu hao ndo wanakuwa kwa niabayetu

  • @nassoromussa4440
    @nassoromussa4440 3 หลายเดือนก่อน

    Bro hawa wamiliki wa Energy, maji ya viwandani, soda zote wanataka kutumaliza ni Bora Dr. uongelee Tu na muwachane ukweli syo Tu energy drink hata hvyo vngne nilivyotaja ni mfano mikoani zamani kulikuwa na maji ya chupa chemchem Leo hii kuna kampuni Fulani ya maji Dar ndo wasambasaji mikoa yote na wameua maji mengne sasa swali la kujiuliza wameweka NN kwenye hayo maji kuna kitu kipo nyuma kifupi Ajenda fulani

  • @glassamo3847
    @glassamo3847 3 หลายเดือนก่อน +1

    Watangazaji n matako nyie , hivi kwann hamuachi mtu aongee amalize, yani mpka mjionehse kila kitu mnajua🚮

  • @user-de2rg9kk7u
    @user-de2rg9kk7u 3 หลายเดือนก่อน

    MUNGU WA AJABU SANA aisee

  • @aboubakarymsati7080
    @aboubakarymsati7080 3 หลายเดือนก่อน

    Mama anatakiwa kumpa kitengo kijana kwenye wizara ya Afya.

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 3 หลายเดือนก่อน

    Watangazaji wanatakiwa kumuhoji mwijaku, baba levo au H baba lakini sio watangazaji wakuhoji watu makini

  • @marcominja8850
    @marcominja8850 3 หลายเดือนก่อน

    Nyie watangazaji gani? Hamna taaluma za kuhoji, kila wakati kumuingilia mtaalam akieleza jambo na kumtoa kwenye reli, na mnafafanua kama vile mnajua kuliko faktari mwenyewe. Ovyo sana.

  • @josephk90
    @josephk90 3 หลายเดือนก่อน +4

    Watangazaji manina zenu mnakera😢😢😢

  • @saimonwantango9569
    @saimonwantango9569 3 หลายเดือนก่อน

    Nauliza jamani hivi hivi vidude mtu akivinywa sana Kuna uwezekano wa kuhalibu hata mbegu za kiume ama,nina jamaa yangu ni mhanga wa energy Sasa kupata mtoto ni xhida mpaka tunahisi energy ndo chanzo

  • @piusdeo9380
    @piusdeo9380 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mada haieleweki hapo makelele kibao

  • @Hassan-bq8bg
    @Hassan-bq8bg 3 หลายเดือนก่อน

    Hawa ndiowanaotakiwa kupewa wizara ya Afya sio wale wanaosomea kuigiza mnawapa wizara yaafya

  • @joshuakinabo6861
    @joshuakinabo6861 3 หลายเดือนก่อน

    Mwacheni afunguke basi msimkatishe katisheeeee 😮😮😮😮😮😮

  • @nassororajabu4463
    @nassororajabu4463 3 หลายเดือนก่อน +1

    Jaribu kunywa energy bila kula uone tumbo linavyo kwangua

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 3 หลายเดือนก่อน

      Kwel kabisa hawa hawaji elewi eneji ukiwa umeshiba ndio nzur kunywa sio ukiwa na njaa

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 3 หลายเดือนก่อน

      Ukiona inakukwanguwa ujuwe una ulcers

  • @godfreypaul251
    @godfreypaul251 3 หลายเดือนก่อน +1

    Watangazaji wapumbavu acheni doctor aongee

  • @kombaisabela2102
    @kombaisabela2102 3 หลายเดือนก่อน

    Watangazaji mnaharibu kipindi mwachieni mwenye taaluma yake

  • @leonardkomba686
    @leonardkomba686 3 หลายเดือนก่อน +1

    maswali yamekuwa mengi watangazaji mnaharibu mnamkatisha katisha mnaharibu content ya kitaaluma

  • @hellenmassawe7284
    @hellenmassawe7284 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mpen dokta nafasi

  • @user-ql5fh3vz3q
    @user-ql5fh3vz3q 3 หลายเดือนก่อน

    Yaani mnamuingilia doktar na masuali ya hovyo basiiii kuweni nyie wasemaji mmeharibuharibu mmemuabia Musa wake Sanaa hovyo kabisa

  • @draxelr-vc9wr
    @draxelr-vc9wr 3 หลายเดือนก่อน

    muendelezooo

  • @deogratiusdonald5123
    @deogratiusdonald5123 3 หลายเดือนก่อน

    Basi zipigwe marufuku hizo energy kwanini ziendelee kuzalishwa na kuuzwa wakati zina madharaa

    • @simonmlelwa4226
      @simonmlelwa4226 3 หลายเดือนก่อน

      Mbona sigara hazijapgwa marufuku

  • @saimonwantango9569
    @saimonwantango9569 3 หลายเดือนก่อน

    Watangazaji mnazingua mpaka docter anaamua tu kuchat

  • @vinniemlinzi173
    @vinniemlinzi173 3 หลายเดือนก่อน

    More nafasi sky aeleze..mnaongea mingi sana na mnaudhi

  • @GP-vh4mz
    @GP-vh4mz 3 หลายเดือนก่อน

    Hamna muendelezo wa hii interview?

  • @eliabgitti9716
    @eliabgitti9716 3 หลายเดือนก่อน

    Aki manasumbua tu Dr Kama maswli mnayajua kwanini mumulize Dr mnaingilia tu mnamkatisha maada Dr, mnaboa.

  • @beatricefrankngalubutu1448
    @beatricefrankngalubutu1448 3 หลายเดือนก่อน

    Hakuna mpangilio wa kuongea

  • @ibinnassor
    @ibinnassor 3 หลายเดือนก่อน

    Katika kitu kilicho nipa madhara makubwa hakuna kama hizo energy

  • @isacksamuel5503
    @isacksamuel5503 3 หลายเดือนก่อน

    main thing ni kunywa kistaarabu

  • @selestinokazumba
    @selestinokazumba 3 หลายเดือนก่อน +4

    Watangazaji mnakera muachen dkt afunguke

  • @othmanbomboma9048
    @othmanbomboma9048 3 หลายเดือนก่อน

    Watangazaji mrudi shule tafadhali.....

  • @athumanimsangi7092
    @athumanimsangi7092 3 หลายเดือนก่อน

    Hawa watangazaji wanaharibu kipindi.Mbwa hawa

  • @beatusmajumbi7125
    @beatusmajumbi7125 3 หลายเดือนก่อน

    Masudi na mwenzako msivuke mipaka

  • @ananiakajembe449
    @ananiakajembe449 2 หลายเดือนก่อน

    Doc blood sio organ ni tissue

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 3 หลายเดือนก่อน

    Mnasumbua jamii kuna maana gan ya kumuita doctor wangu alafu mnatupigia kelele nyie kama mnajua mngeelezea wenyewe tuheshimiane kwenye kazi kila mtu afanye kazi yake😏😏😏

    • @mbingusaba9188
      @mbingusaba9188 3 หลายเดือนก่อน

      Wanajua Kila kitu wabongo

  • @user-jq1ny9lx4e
    @user-jq1ny9lx4e 3 หลายเดือนก่อน

    Kama ukiwa unakula supplemnt ili kushiba badala ya chakula baada ya mwezi lazima ufariki maana tofauti na tumbo kuwa mchakataji mkuu wa chakula ila lazima lifanye kazi ili uishi 😂

  • @joelsamwel2580
    @joelsamwel2580 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mnaongea sana puzi kabisaaaaa

  • @georgepewa9624
    @georgepewa9624 3 หลายเดือนก่อน +1

    Yani mnaongea sana hamumpi doctor nafasi ya kuongea

  • @trustmwimanzi3754
    @trustmwimanzi3754 3 หลายเดือนก่อน +4

    Sasa kama wanajua wamemwita doctor wa nin si wangetuelezea wenyew tu

  • @trustmwimanzi3754
    @trustmwimanzi3754 3 หลายเดือนก่อน +3

    Jamaa wanakera sasa tunamskiza doctor au wao?

  • @happymushi1682
    @happymushi1682 3 หลายเดือนก่อน

    Si mnyamazeeeeeee mmemuita Dr wa nn km nyie ndo vidomo humo ndani..lol

  • @deboramuhoja1777
    @deboramuhoja1777 3 หลายเดือนก่อน +27

    Halafu nyie watangazaji mnaharibu maana mnamkatisha katisha sana Dr. Isack, kuna vingine alipangilia kusema anaviacha!!

    • @angelanaftael7965
      @angelanaftael7965 3 หลายเดือนก่อน +1

      Tatizo mtangazaji sometimes anataka aonelane nae anajua votu vya kitaalam kumbe ni field mbili todauti, mwache mtaalamu ajimwage as long as yuko within the subject

    • @deboramuhoja1777
      @deboramuhoja1777 3 หลายเดือนก่อน

      @@angelanaftael7965 kabisa 💪

    • @johnmwandu2116
      @johnmwandu2116 3 หลายเดือนก่อน

      Wanakera Sana, ukitazama vizuri Kuna muda Dr. alikuwa anakasirika

    • @yamungummungulo633
      @yamungummungulo633 3 หลายเดือนก่อน +1

      Hat anapoongea wanalet utan wao

    • @ahz6907
      @ahz6907 3 หลายเดือนก่อน

      Wana kiherehere sana

  • @pundetv6144
    @pundetv6144 3 หลายเดือนก่อน

    Malizieni hiy

  • @jephonaplatinumz8475
    @jephonaplatinumz8475 3 หลายเดือนก่อน

    Siku zinapoingia tu energy nikasoma wakasema usinywe zaid ya moja kwa masaa 24 nikasema apa siingii kabisa ata hii moja ikawa mwisho siku iyo yan

    • @bahatielias6443
      @bahatielias6443 3 หลายเดือนก่อน

      Hata Mimi nilikoma mala moja

    • @nantaembanusurupia5674
      @nantaembanusurupia5674 3 หลายเดือนก่อน

      Mimi pia, moja tuuu na sikurudia tenaa😢

  • @user-ih2vo8pr6y
    @user-ih2vo8pr6y 3 หลายเดือนก่อน +2

    Clouds hamna kitu apo.ndio maana mnafunikwa na wasaf

  • @magretangel5242
    @magretangel5242 3 หลายเดือนก่อน +3

    Doctor mwenyew ana Google 😂😂😂😂 kama hujaona basi

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂

    • @rubbenmabuga3058
      @rubbenmabuga3058 3 หลายเดือนก่อน

      Anachati, watangazaj wanajiongelesha vtu visvyo vya maana

  • @kondoatown8765
    @kondoatown8765 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ndo maana nakunywaga 4 tu kwa siku aisee !! Staki kbsaa kuzidisha

    • @hellenmassawe7284
      @hellenmassawe7284 3 หลายเดือนก่อน +1

      Yaniii hiii kitu ni mbaya sana

    • @kondoatown8765
      @kondoatown8765 3 หลายเดือนก่อน

      Acha tu

    • @farijalanyoni5685
      @farijalanyoni5685 3 หลายเดือนก่อน

      udhaifu huo, utaenda mapema

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 3 หลายเดือนก่อน +1

      Kwa hiyo unafikiri ni sifa kunywa hizo 4 Kwa siku?

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂dar sawa

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 3 หลายเดือนก่อน

    Hakuna watangazagiii hapo

  • @eliabgitti9716
    @eliabgitti9716 3 หลายเดือนก่อน

    Aki manasumbua tu Dr Kama maswli mnayajua kwanini mumulize Dr mnaingilia tu mnamkatisha maada Dr, mnaboa.