Magoli: Yanga walivyopindua matokeo na kuipiga Mwadui 3-2 kwa Mkapa - VPL 20/06/2021
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 19 มิ.ย. 2021
- YANGA 3-2 MWADUI: Yanga SC wamezitumia dakika nne za nyongeza kupata magoli mawili muhimu yaliyowapa ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Mwadui FC katika mchezo wa ligi kuu uliopigwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Magoli ya Yanga yamefungwa na Bakari Mwamnyeto, Yacouba Songne na Wazir Junior wakati magoli yote mawili ya Mwadui yakifungwa na Aniceth Revocatus.
Katika hatua nyingine, Fiston Abdoulrazack wa Yanga amekosa penati kwenye mchezo huu, iliyopanguliwa na golikipa Mussa Mbisa.
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz - กีฬา
Yanga naikubali miaka mia... mungu ibariki yanga mungu ibariki yanga amina
Amina
Amen
Amina
Mtangazaji yanga wamejua kukukausha sauti leo.... hii ndo timu ya wananchi buana 💚💛
Safi sana wananchi najua kuna watu wanaumizwa na aya matokeo vumilieni hii ndo yanga ndugu zangu team ya wananchi💪💪
Naona watu wanamfurahiya mfungaj bila kuona juhud za TK master, tazama magori yote mawili ya mwisho yametoka miguuni mwake. Mm man of the match ni TK
Daima mbele nyuma mwiko i love you young Africans
Yanga naikubali sanaa💚
Hii ndio inaitwa Fighting spirit, hakuna kukubaki mpka mwisho, daima mbele nyuma mwiko
Huku ndio kupndua meza kibabe, YANGA FOR LIFE 💚💛💚💛💚💛💚💛🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪💪💪💪💪💪💛💛💛💛💚💚💚💚💚
Haha matokeo hayo na timu inayshuka daraja mmeponea chupu chupu
@@Edward_Simon6 unateseka ukiwa wapi?!!😂😂😂😂😂halaf ww ulimfunga ngapi?!!!ENDELEA KUTESEKA MTANI
@@Edward_Simon6 kwani timu ikiwa inashuka daraja huwa haichezi mpira?
Yanga oyeee raha sana ukiwa mwananchi
Tuliipenda wenyewe ilove yangaaaaaaa
Kipa alisi Mama nyuma ya mstari Makosa sana ingetakiwa kwenye mstari Rafa hakuona makosa hayo
@@fadhilimartin9466 sure
This is yanga what we need!! 💪💪💪
tulie ludia kuangalia ili gem tujuane apa
Yaani kama ningekuwepo mimi uwanja lile goli la waziri nisinge endelea kusimama ningekaa kwenye kiti changu kisha nika piga booongeeee moja la selfie kisha naenda kuombea mkopo benk bila dhamana big up 👏 chama langu pamoja sana 🇦🇪🇹🇿
Hongera Yanga nikiwa Kenya 🇰🇪
Yang mbelee🔥🔥💯💯💯
Poleni na uchovu viongozi na wachezaji na mashabiki wenzangu na yanga. Naomba neno niseme nawaomba wachezaji wetu msiudharau mpira ukiwa kwa Adui msimuongezee hatua mumzibe kwa kumpunguzia hatua. Nasisi mashabiki tuwe wapole kwa wachezaji wetu kipindi wanapokuwa uwanjani hata kama wamekosea wakimaliza tuwaelekeze viongozi. Kuna kupanik ukishtuliwa ndio tunapoteana. Mungu isaidie yanga yetu.
What a come back!, Viva Yanga.
Asante Yanga 💚💛💚💛💚💛
Aniceth Revocutus ni Moto Sana, Hongera yanga.
I love you yangaaaaaa
Always green and yellow
Safu yetu ya nyuma hamna kitu kabisa tunaruhusu sana magoli hasa kwa michezo miwili hii ya mwisho (wa Ruvu Shooting na Mwadui) uongozi wa timu unatakiwa kulifanyia kazi tatizo hili.
#DaimaMbeleNyumaMwiko💚💛
🇦🇪 Dar Young Africans till die
Dah, kaseke hajaaman Kama ameshinda, hongera Sana wananchi wenzangu
Tk masta speed zake zinasaidiaa
Tk master 🙌🙌🙌
Kaseke Fundiii🙌🏾🙌🏾
umeona kama mm aisee
@@paullucas840 Jamaa Toka aje Kaze kawa mtulivu sanaa Namkubali kinoma
MAREFA WA TANZANIA WAPUMBAFU 'THAT WAS A DIRECT REDCARD ON FAI TOTO LAST MAN STANDING RULE
soka la bongo bado sanaa maana kama na wewe umeliona hilo duh hata mimi nililiona halafu na refa ameangalia tu duh
Nakubaliana na wew Stacia nduta,
Sio hawajui yanga inahujumiwa saana na tff nyie acheni tuuu jaman haki hakuna mpira wa bongo jaman caf mko waaaaaaapiiiiiiiiiiii
Ilove yangaaaaa
Achainiuweeee nimeipenda mwenyeweeee I love Yanga
Team ya wananchi daima mbele nyuma mwiko 👏
Highlight inachelewa jaman wengine hatuna tv
Yanga wangefungwa kitambo ungeona mbwa sana hawa azam
😀😀😀🙌🙌🙌🙌
Hiyo penalty ilitakiwa irejewe kupigwa bcz goalkeeper hakuwa sehemu sahihi kabla penalty haijapigwa, sema waamuzi wetu ni shida
Iliniumaaa sana jana mpaka dk za lala salamaaaa celew ila mpira dk 90 DAIMA MBELE NYUMA MWIKO
Raha sana
Ukubwa wa yanga ndyo huu sasa😂
Hivi mnajua kwa nini mwadui wamelia baada ya kupoteza? Shinyanga walikula 5 hawakulia ,FA wakala 2 hawakulia, kwa nini walie jana na huku wameshashuka daraja? Jibu ni kwamba kuna mkwanjwa kama hawakupewa basi waliahidiwa na vigogo wawili kwenye ligi😂😂😂😂
Asante
Kama nafahamu sasa🤣
Watu wameisha shuka daraja na hawaendi popote lakini pesa mwanaharamu sana. Wangekuwa wanacheza hivi kwa kila timu wanayo kutana nayo nafikiri katika msimamo wa ligi Wangekuwa 5. Naona mkwanja wa mo ndio umewafanya wacheze kwenye kiwango. Wamekwama ila wapewe hata ya maji
Mh ila huyu kisinda huyu mmmmh
Asante tk master
Of side gan
PIA WAKATI WA KUPIGA PENALTI GOAL KEEPER ALIPASWA KUSIMAMA KWA LAINI SI KWA NETI
dada mpira wa bonfo huo
Hilo lilikuwa kosa lakini waamuzi wetu hawako makini
@@eliastephen2776 hapana kipa yupo sahihi unaruhusiwa kuingia ndani yaneti na kuuwahi mpira usingie ndani ingawaje ukipata wapigaji penalti wazuri kila siku unatakuwa unafungwa Feston alikosa umakini2
Wanao sema tumebebw waende fifa
Nice performance yanga forever
Come back ya kibabe daima mbele✊
Love yanga
naona kuna watu tumewakeeeeeeeeeeeeeerrrrrrrrrraaaaaaaa
ma ex wetu wanapata tabu sana tusubirieni tarehe 3 kwa mkapa
Yanga ni motooo
The first goal love from kenya
Yangaaaaaaa oyeeeeeeeee
Polee mpenja kwakukaushwa saut na wananchi 😀😀
What a comeback
Yangaa hoyee
goo gooo yanga😘😍😍😍
Ha ha ha uyo wa blichi simwogopi, baraka unafurahisha sana
Tk mast ni moto
mimi shabiki wa yanga ila ilo goli la mwadui nimejikuta nashangilia
I love you yanga
Waaaaaaaaaaaoooooooo hongela kwa yanga
Fiston aondoke
Yangaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Big up kwa tk
Hahahah wangapi tumesikia passy yakuombea mkoko bank yeyote ila yanga timu kubwa bwana
Tangu lini 😆😆😆😆
Mwadui mkome kuchezea ndevu za baba zenu pumbavu nyie hamna adabu kabisa
Yanga okoa nafs zetu tumechoka
NAFSI ZENU OKOENI WENYEWE. KASALI UMUABUDU MUNGU YAWEH.
Usiuparamie mchongoma mdogo wang
@@hamisimfaumenamwewe193 usiuparamie mchongoma mdogo wangu
Ilove u yanga
Sana sana
Walio rudia kuangalia haya magoli kama mm tujuane kwa like
Nawapenda sana yanga nihatari sana
Love yang
Yanga achaneni na huyo fiston na sarpong hawana kitu, na mzawa wazir jr apewe mechi nyingi ni goal getter mzuri tunamjua tatizo hapewi nafasi...
Irudiwe nyau fc hawajaoma
We junior wee-wee!
Congratulations yanga
Dah. Mechi utafikiri ni fainali. Naomba irudiweeeeee😂😂😂😂
This is yanga
💚💛💚💛by iniesta
Yanga mtatuuwa jaman
Mwadui wana sifa sana kwahiyo walikua wanataka washinde ili iweje wakati washashuka daraja sifa tuu
Atari 🔥🙌 🔥🔥🔥🔥
Salima mbali na match m nmekupenda
Ker
Halaaa Yanga
Yanga ni moto jamani
Huyo Fiston aondoke tuu na mwenzie Sapong....huyu Waziri kama hapati nafasi tumtoe kwa mkopo aende KMC muna vijana wenzake pale atafanya vizur kuliko kumweka benchi..hii ni mechi ya pili anaingizwa na kufanya makubwa..
Goli la kwanz yye nd kasabsh foul ...kukosa penat n ajli tu
Nakupend yanga
Kisinda hatakama afungi lakini kuna kitu unakiona
Sanaa namupenda bule💚💚💚
Wananchi Hadi raha
Yanga Daima
💚💛
Of said
Tunaiomba hii team tarehe 3 jamani, tunaomba sana
Tunakuja tumeshajipanga
🔥🔥🔥🔥🔥
Yaan Raha sana
Kaz ilikua kaz Ila ndyo ivyo mpira umetisha.Wananchi 3 Wachimba madini 2.
Masiingie tu na matokeo yako uwanjani hiyo tarehe 3....itawagharimu.
Tunaposema Yanga SC ni timu ya wananchi hii ndio maana yake! Wengine wanatakiwa kuwa na ADABU!
Azam tv tuekeeni highlights basi
azam two liv
Pasi ya kuombea mkopo bank🤣🤣🤣
Mamae
Tutauwa m2 tomorrow kwamkapa 😜🏃
Najifunza kitu hapa hata kwenye maisha kutanguria si kufika
Hatali
Tanga daima
Sitosahau kwenye maisha yangu