Magoli na penati | Yanga 3-3 Coastal Union (Pen: 4-1) | Fainali ASFC 02/07/2022
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ก.ค. 2022
- Yanga SC wamebeba Kombe la Shirikisho la Azam Sports #ASFC kwa kuitandika Coastal Union penati 4-1 kufuatia sare ya mabao 3-3 katika dakika 120.
Magoli ya Yanga kwenye mchezo huo yamefungwa na Feisal Salum dakika ya 57, Heritier Makambo dakika 82 na Denis Nkane dakika ya 113 huku magoli yote ya Coastal Union yakifungwa na Abdul Suleiman Sopu ambaye amefunga #Hattrick dakika ya 11, 88 na 98.
Katika mikwaju ya penati, Yanga wamefunga penati zote nne walizopiga kupitia kwa Yanick Bangala, Heritier Makambo, Dickson Job na Khalid Aucho huku Coastal wakipoteza penati mbili na kufunga moja kupitia kwa Victor Akpan.
Fainali hii imepigwa kwenye Dimba la Sheikh Amri Abeid, Arusha......
Kutazama full highlights... ingia hapa • Yanga 3-3 Coastal Unio... - กีฬา
tunao angalia 2023 tujuane kwa like apo
Tupo pamoja
Tamu sana hii mechi
April2023
tupo
Siji kusahau kwa kweliii
2024/6/ tunao rudia tujuane
Aijawai tokea final kama hii wale tunaocheki June 2024 gonga hapo❤️
Naomba like 👍 tunaoangalia 2023😀😀
tupo😂
Hadi 2024 bdo naangalia 😅😅
Weeh
Mi hadi leo tarehe 12 mwez wa kwanza nipo naiangalia hiiii mechi maana ilikuwa ni ngumu mnoooo wananchi au siooo 🪴🪴🌲🌲🌳🌳🌺🌺🥀🥀🌹🌹🏵🏵💮💮🌸🌸💐💐🌷🌷⚘️⚘️🌿🌿🌾🌾🌵🌵🌴🌴🌻🌻🍃🍃🍂🍂🍁🍁🍀
Finally Bora ya miaka yote🔥Bila shaka Iyi mechi ilikuwa na presha kubwa kwa wachezaji mpaka kwa mashabiki🤦🏿♂Nani kaangalia tena 2023??
Mim nimerudia
Yaani kwenye maisha usikubali kukata tamaa. YANGA TUNGEKATA TAMAA KOMBE LINGEENDA KWA WAGOSI. THANKS LORD 🙌
Kweli kbs
Wangapi wanacheki tena hapa 7/6/2024.YANGA ni KUBWA sana hainyamazishwiii,muulize feitoto kilichomkuta kule Zanzibar 💚🔰💪💪💪😅😅😅😅😅😅😅
This match 3-3 will surely go down as one of the greatest football show in Tanzania. It was a beautiful match
Sitamsahau makambo, Feisal na Nkane kwenye hii mechi walah sitawasahau 🙌💛💚💛💚
DAR YOUNG AFRICAN IS UNSTOPPABLE!💚💚💚💪🏻🏆🏆
Ahsante sana coach Nabi kwa kuwahi kumuingiza Makambo!
HAKIKA TUNAIMANI NA TEAM YETU TUNAIMANI NA GSM🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆👍🏅🥉😋🥈
Younger for life Burundi❤️❤️❤️ 🇧🇮 🇧🇮 🇧🇮 🇧🇮 🇧🇮 🇧🇮 🇧🇮
mechi imekuwa na hadhi ya fainali..
Asante Denis Nkane ⚽ kwa kuokoa jahazi..
🟩🟨🏆🏆
Hii mechi imenitesa Sana Leo sio Siri mwili wote ulikufa ganzi dah Asanten wachezaji wetu mmepambania Tim mashaallah moyo wangu umepoa sasa
Nilikosa Raha kabisaa
Pole sana tumepona
Wee acha tuu
Naomba like tunaoipenda yanga kutoka moyoni
Jmn nyie yanga tamu bhn asnt sn tajiri GSM, wachezaji na benchi nzm la ufundi hakika we're untouchable n unbeatable period. I love u yanga mwaaah
I love you Yanga mmwaaa 💚💛🖤✅ leo tarehe 13-06-2023 ubingwa wa jana umenifanya nikumbuke na ilivyokuwa msimu ulio pita hakaki tunasitaili, jana Sopu alifichwa na wakati timu ilikwa kwenye uchovu usio elezeka much love Yanga yangu.
Iyo na hii ya Azam 2024 sio poa
Nashukuru sana denis nkane kwa kusawazisha💛💛💚💚💚 yanga
Thanks Lord. Thanks GSM. Thanks YANGA.
Hii mechi sitaisahau daaah yanga ♥️♥️
Yaani niliharisha duuh
@@lidyachuma2745 😳😳😳😳😳😳😳
Je tunaoangalia 2024
Tupo
Daah alhamdulillah Mungu Mkubwaaaa Makoloo Kimyaaaa😂💚💛👊🇹🇿
Makolo hawakosi cha kuongea utasikia story kwa soap. Nb: Kolo ni kolo tu
@@afrouhair694 Hahahhaha Manake Kwanza Nchekeeee Kama Walivyoshikilia Kiatu Cha George Mpolee😂😂😂😂👊
Ah. !..huyu mtoto SURE BOY ni NOMA sana.....kama hayupo vile, kumbe ndo NUKSI namba Moja..!
Kweli kabisa ni nuksi kwel kwel hafai ukimuona kama bwege
Haonekani uwanjani lakini ndiye Mastermind wa Yanga kwa sasa
Yaan hii mechi ilikuwa ngumu kama ile ya mtoano dhidi ya yanga na geita gold
All in all thanks Allah
#wearechampions
💚💚💛💚💛💛💛💚
Sasa nitakunywa na kula na kutembea kifua mbele💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💚💚💚💚
Hahahaha hawaamin
@@helenakay2839 Yaan Leo pozi nusu liniishie Asante Mungu.
Sichoki kuangalia,hii siku mmh au bas
Huwa sichoki kuangalia hii mechi proudly young African lady💚💚💚💚💚
Congration my team yanga.daima mbele nyuma mwiko.wahenga walisema❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Fainal ya jasho na damu timu zote zimepambana hongera yanga yangu💚💚🙏🇹🇿🏆
Mm nimwana nchiiiiiii ilove Yanga 💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛💛🏆🏆
Hii mechi imenipa presha wallah ctakuja kuisahau🤣💚💛💚💛
😀😀😀😀 pole sana Mimi mwenyew kidogo niugue kweli
Aki me nilikua naenda kufa mama ang Tena😅😅😅💚💛💚💛
Acha tu Et imenipa presha nkahis nakojoa.acha tu. 💚💛💚💛💚💛💚💛💚💚
yani nilikua kariakoo nimeona dunia imeniangukia😂😂😂😂
@@sanipharamadhani50 mashabiki wa simba wametukera sana ila mungu ni mwema wameaibika
Kweli Mungu ni mwema Asante Mungu
Alifurahi mkuu wa mkoa wa Tanga Ila mwisho wake hakuamini Kama amekosa kombe
Kutangulia sio kufika.yanga bingwa
Fainali ambayo imekua bora sana upande wangu, am proud of being part of DAR YOUNG AFRICAN
Magoli yote sita kabla ya mikwaju yalikuwa mazuri sana. In fact magoli ya Sopu yalikuwa ni mazuri na magumu sana kwa golikipa yeyote kuzuia.
Naiangalia tena Hii mechi leo tr 26/9/2022 daaah sitasahau Hongera chama langu yanga♥️💛💚
Yangaaaaaa🔥🔥🔥🔥
Moja kati ya mechi yangu bora sana kwa Chama langu YANGA .hii siku sitoisahau kamwe.
Hii ilikua mechi ngum mno na yenye ladha yake
Yaanii naiotaga inakuaga ndoto mbaya mnoo😂 watoto wanga Hawa😂😂😂😂
Yaan yanga wamenifanya nipende mpira ghafla namna hii duh haya siyo Mapenzi ni mahaba😍 Fei toto,mayele, sure boy wananikosha 😘 ila bila kumsahau MANARA huyu baba ana kitu Cha pekee alichojaaliwa na mwenyezi MUNGU MUNGU amlinde na wenye roho mbaya na chuki zao binafsi na wenye husda wapigwe upofu mabaya yawarudi wao wenyewe MANARA aiseh nampenda ye Ndo amenihamasisha niupende mpira MUNGU amlinde kwakwel 😍,I love you YANGA 💚💛😍,mjipange zaidi msimu ujao maana wapinzani wenu wanahasira hadi wanashindwa kujizuia na wanajipanga kwa hali na mali msimu ujao na nyie msilewe na ushindi Wa msimu huu mzidi kujipanga zaidi 😍💚💛🙏
Mh🤪🖤
@@ismailissa4935 🤷 🖤?
@@msasenathpotiphar1732 umeandika vizuuur😊
@@ismailissa4935 ahsantee si unajua upendo haujifichi ni mahabaaa🤣😍,ila wasje wakanivurugia haba hili msimu ujao nitarudi nilikotoka 😜🙏
@@msasenathpotiphar1732 🤣🤣🤣🤲 Mungu atasaidia
Leo tna naaangaliaaaa
😂😂Aliemuona dada ameshika nguo nyekundu akitingwa na mashabiki wa Yanga ameonyesha kukerekwa na ushangiliaji wa Yanga like yako😂😂
Sio kwamba alikuwa hapendi,alikuwa anamwagiwa matone ya maji na mashabiki angalia vzr,huwajui vzr wadada😄😄 asingekaa hapo kama angeona kero
Makambovic 🔥💪
Unforgetable match💚🙏🏿💛🤝
Asee hiyo bingwa ilivyotamkwa kama x3 ilikuwa very bold hadi raha,yani ulivutia kuliko hata kuvutia kwenyewe, nimjue mtangazaji tafadhali.. hii moment ilikuwa special sana💚💚💚💚💚💚
2024
Yanga bingwa hukuuuuuuuu #CHAMPIONSSSSSS
Ila hii mechi ilikua bora sana, both teams zimeonesha mpira mzuri
Naangalia tena leo trh 7/10/2023 ilikuwa bonge la mechi hili, nilishika rozari nakusali muda wote hadi gemu ilipoisha salama, nikamshukuru Mungu
Mimi leo 😂 hii tamu kinoma 😂
Hongera sana yanga kwa kuwapa raha wana jangwani
Nilitaka Kulia makorokoro walitupania 🤣🤣🤣💚💚🇹🇿🇹🇿
Sijui kwanini sichoki kuangalia hii mechi💚💛💚💛
Kwa sababu Matokeo yalikuwa +
Kusema ukweli mechii iih nilisimama tu sikukaa mpaka tulivyochukua kombe ndo nilikaa
Me niliharisha balaa
Hahahahaha mm niliumwa
24 naangalia Tena hii mech cjui kwa Nini
Nmelud 2024
The best final ever.....
Nitoke yanga 💛💚 niende wapi mimi raha ninazopata humu hazielezeki
Yanga on top 💣💣
Sema Yanga Bingwaaaaaaa Mamae 💪💪💪💪💪💪💪💛💛💛💛💛💚💚💚💚🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆
Na ya geita gold acha kabisa ilikuwa 🔥
Ya geita ndo ilikuwa presha
Thanks so much YANGA sjui nakombe ili wataliitaji watani masna lile walisema blenda ila sis tunajua Nanyi mliltaka
Love u YANGA♥♥♥♥
Mi nairudia had leo 2024 apr
Mechi ilikuaa ya moto sana hii🙌🏾🙌🏾team zote zimecheza kwa kiwango cha hali ya juu
Mungu hamuachi mja wake
Hongera Yanga kwa kutupigania Mashabiki wenu ❤️❤️❤️ 🔰🔰🔰🔰
He ndio maana ya never say never, hongera young Africans
❤️❤️🥰. Nakupenda yanga🙏
Kumbe nahapa walitunyamazisha kilichowakuta hawakuamini😂😅
Congs my team yanga,I love you from 🇺🇬 Uganda
Thanks for AUCHO. THE ONLY DOCTOR OF FOOTBALL IN TANZANIA 🤣👏🙌
@@happyvalence5352 thanks for loving him always
Yasini! You are most welcome brother
Namshukuru Mungu kwa kweli
Haikuwa rahisi
Sopuui jaman khaaa.lkn alhamdulilah ikarud natumechukua et💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛
Aliemuona Askari anashangilia kiaina goli la Makambo la kuongeza 2-1 kwa mbaali nyuma ya goli like yako😂😂
The best sport TV online #azam❤️❤️❤️
tuna mzanzibar mmoja tu yanga #NI YEYE Feitoto💚💚💚
Yanga mrudisheni Ntibazonkiza walielewana sana na Mayele!
Nakuunga sana mkono, hii mechi isingefika hata extra time
Wanatamani kufanya hivyo ila shida jamaa anataka mpunga mrefu saaaana
Imebidi niangalie tena hiI mechi. Ikiisha naangalia ile ya yanga na dodoma Jimi chamazi❤🎉🎉
mnaolaumu mwamnyeto mnakosea....angalia ligi ilivyoaanaza mpk sasa ameonekana kubadilika cy mwamnyeto yule wa msimu uliopita Yuko kwenye kiwango Bora ni bahati mby tu cku hiyo gemy ilimkataa💚💛
Mechi ilikuwa tamu sana hii
Mechi Bora kwangu ndo hii hapa👆👆👆🙏
Makambo apewe muda zaidi
Nawakubali sana wacheza Tanzania munaweza sana MUNGU AWABARIKI
Fainali zipo na zilikuwepo na Hiii mmh ilikuwa fainali kwl kwl
Ooh ma God, 😭😭I feel like crying for joy😭😭😭😭😭
Waandish wengi wa Azam ni makolo Sana tangazeni kabumbu haki sawa kote
Why wasishangilie magoli ya cost kama ya yanga ni ubaguzi tu
Upo sahihi watangazaji wa leo wote ni KOLO
Kbsa nimeona hata Mimi
Big team always do big things
Yanga bingwa
Ambao hawajafurahia ushindi huu wambien wajinyonge na uzi wa buibui ila tu yanga ndo habar ya mjini🙌💚💛
Kipa wa coast sio mzuri kivile na pia wachezaji wa cost kwenye penalty sio
Yanga on fire
Tunao iludia tena hii mechi tarehe 30/ 12 / 2022 tujuane apa
Nipo
This was a memorable final that will never happen again
Yanga ❤️
Diarra 💚💛💚💛
will never forget
Yanga tamu
tunao angalia hii mechi taree28 wa kwanza 2024
15/01/2023 Niko live na hili dubwana fantastic match nathani Argentina na France waliangalia hii mechi kablaa. So hot
I love you Yanga
Ila ngoda anajua❤❤
WHAT A MATCH 😃
yanga kweli tam
Yanga tam kwa penati penati Haina ufundi,subur kimataifa ndio mtajua Yanga tamu au chungu.
@@salimabakari8617 🤣🤣🤣🤣Tusubur rud shule we kolo
Hiii siku nililal bila kuoga kwa furaha wallah ten😁
😮😢
Hapo makolo kimyaaaaa