YANGA SC 2-2 BIASHARA UNITED: MAGOLI NA MIKWAJU YA PENATI (5-4): (ASFC - 31/01/2019
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 ม.ค. 2019
- Vijana wa Jangwani, Yanga SC leo wamefanikiwa kutinga hatua ya 16 bora ya michuano ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports (ASFC) baada ya kuitupa nje Biashara United kwa mikwaju ya penati 5-4 kufuatia sare ya mabao 2-2 katika muda wa kawaida wa dakika 90.
Mchezo huo wa raundi ya nne ya michuano hiyo umepigwa kwenye Dimba la Taifa Jijini Dar es Salaam na kushuhudia wenye Yanga wakifanya kazi ya kusawazisha kila wanapofungwa.
Biashara United walianza kwa bao la penati lililofungwa na Wazir Jr. dakika ya 3 kabla ya Yanga kusawazisha kupitia kwa Amissi Tambwe akifunga kwa penati pia dakika ya 9.
Biashara United wakaongeza bao kupitia kwa Innocent Edwin dakika ya 40, lakini Yanga wakaongeza kasi ya mashambulizi na kufanikiwa kuchomoa bao hilo dakika ya 74 kupitia kwa Heritier Makambo na kufanya mchezo umalizike kwa sare y mabao 2-2.
Ilipofuata mikwaju ya penati, Yanga walifunga penati zote tano kupitia kwa Heritier Makambo, Paul Godfrey, Ibrahim Ajibu, Thabani Kamusoko na Matheo Anthony, huku Biashara United wakikosa penati moja iliyopigwa na Tariq Seif. - กีฬา
Yanga yangu mie popote niendako naipenda tu (254)
pg
J0
Kama unaipenda yanga gonga like
Nafurahia kushabikia Yanga
Ronado
Ibrahim aka mwambia tetema tetema imo......like kma zote wadau wa yang Africa
Hangatisaetuiolataytyiuop
Nani kakwambia yanga hawaendi Round ya Five
Mungu ni mwema kwetu wana yanga
Hizi ndo jezi za yanga zinazpendeza kuliko zote black and yellow
Ni kweli. Jezi zimetulia sana
asanteni yanga yangu daima naipenda big up sana
Hata mim naipanda kwel kweli
Eza Pesambili pamoja
Vp inbox namba
🤣🤣🤣🤣
@@jojo_linkissabiny5238 nko serious
Anae mpenda mtangazaj. Like kma zote hapa..
Huyu mtangazaji ban
Tetema com
Rayvann
Kukerwa jakuna paswerd hahahaaaa
.
..
Nice watani zangu kam zoteeeeeeeeee
Stanslaus Michael SHABIKIA WA ukweli
Mtangazaji nakupenda sana mungu akupe afya njema
beki zetu mtihani lkn hongera Tim la wananchi
Hiii ndiiiooo yaaangaaaa.
daima nyuma mwiko
kuikata yanga nisawasawa na kuikata jinsia yko yanga hii mutaipenda
Kabisa kaka Yanga daima mbeele
Yangaaaaaa...,,,!
Ngassa namwelewa sana
...daaah hy ndo yng
michezo simba misri
Yanga daima
Kabwil siyo kipa gog like tulio kutana 2021
Yanga nyumbani usiteseke wala kuhofu kuishabikaa timu ya wananchi
beka boy goooood
beka boy wala hujakoxea
Yanga!
Bado hamjaziba pengo la kipa.
Boresheni nafasi hiyo muhimu.
Mkicheza na timu yenye washambuliaji wenye uchu wa kufunga mtabugia magoli mengi sana.
Mchezo ulikuwa mzuri ufanyaji wa makosa kwa kila Timu ndiyo uliopelekea magoli kupatikana.
Daima mbeleee
Mwalimu wa makipa Yanga naye inabidi apewe maufundi zaidi ili aboreshe idara ya golikipa
Magoli
Daah Matheo Anthony Kwanini Umerudi Zanzibar Ungekomaa Dar Usingekosa timu yakuchezea Kiwango Bado Unacho
hongera
yanga mabingwa
Mwana Talent p
@@edmundmapunda1093 ok
Yanga ndo mwanaume
@@iddymwele2289 saw
Mwana Talent mambo
Respect Yanga
Naipnd Yanga Sick Zote 😂😂❤
Hyo ndo Yanga bhanaaa eeeh,,, 😂😂😂🙌🙌🙌😘😘😘 Kwann ukereke? nan anakerwa?? nauliza..,, bahat mbaya sana kukerwa hakuna Password 😂😂😂😂
Kama we uliona uchawi Jana , gonga like hapa
Yanga baba lao
biashara imedoda walipoteza muda kwakujua yanga niwabovu kwa penalt imewacost
kunawanao teseka hapa ngapiiiiiii uko
Zahera in beno out tumeshinda mech kibao bila uyo nyau
Super
Hiii ndio yanga kama unabisha fanya kama unajikuna uone moto!!++
good good vijana
Dante hajui talkring ....ninja ndo anaziweza hizoo
Yanga hii kuchukua kombe labda kikombe cha kahawa
Watachukua wazee wa hamsa na vumbi la kongo
Yanakuhusu nn! SBR ya alha yal
Ligi kuu simba amewai kumfunga yanga
hongeren wana yanga wooote! hakika tupo ktk kipindi kigumu ila tunasonga kibishi2 daima mbele nyuma mwiko!
Mtangazaji unaweza baba saf sana
Timu kubwa inafanya jambo kubwa... Yanga Nouma
Hongera chama langu
Naipenda yang
Ahsante Azam kwa apdates
Yanga ninomaaaaa
Co mbaya biashara imenunuliwa yote na mateo
Yaani malipota wanamanjonjo mazuri sana.
Aka ka jersey kazuri Sana ndio mana waliiga kakawa tena 2020
hatua gan
Nani kaviona viatu vya yanga vinafanana fanana
Gud bum
DUUUH , ivi mna elewa kweli aya mambo au maana mimi sielewi #TEAMYANGA
#YANGA.......!!!!
#BAHATI kukerwa hakuna PAswed
#TETEMA....!!!😀😀😀😀😀
Yanga ni wabovu tu
Kwahyo
Daima mbele nyuma mwiko
Ni kwer dada my yanga mwendo kesii
Thanks for your proper encouragement
P1
Kweli
diana Renard nikweli kwetu sisi mwiko nyuma
Sumba day
Kabwil acha uroho wa kutokea hovyo kweny penalt kaa kat kat..... Tumeshinda ila umeni boa .
swabri nyawale ' ناب
KFC
Haya yameshapita
Hivi kuna aliyeona kuwa Ajib anafanana na marehemu Lucky Dube..?
Joseph Gomalo 😁
mhh noma sana
Mbona golikipa Wa yanga aliwekewa irizi kwenye bukta,u uchaw had lini
Uliona wap? Au alikuonesha
Mmmmh utawajua tu wenye iman na hiriz !! Umeonaje?
Mbona goal la biashara amjainesha
Yanga vs ruvu shooting
kwann ukerekwe?,nani kakerwa? Bahat mby sana kukerwa hakuna paswd.
Bbmmm
walivokuwa wanashangilia Kama ndio washindi baadae wakaanza kulia
hiyo ndio yanga hatuchez na watt wadg sis
Asante yanga
NAZI HATA INGEKOMAAJE HAIWEZI VITA NA JIWE
SIJUI KWA NINI HAWATAKI KUJUA!!
Anakuambia kwa nn ukerekwe
Papaa 🍁
Mm huyu jamaa Inosent Edwin nilikuwa namkubali sana
Yanga Haina kipa hpa
NIMEFURAHIA USHINDI ILA KWA BEKI HIZI HATUFIKI MBALI... NYUMA HOVYO KABISA TUMEPIGWA BONGE LA GOLI KUMAMAKE
Good chama langu lkn goli la pili ni goal zur tulilofungwa maana jamaa katumia uwezo wa kuchambua
Msabaha Malonda kiukwl ni raha kuona wachezaji wa kiTZ nao wana uwezo na kuuonesha kwa nmn hii!
Daah Ni kwl kabisa bhana @@mnzavachris5423
Kumbe na ww umeona eeeh ndo napendaga mashabiki kama ww sio kama zama zile za kwako 😂😂
Afelist Michael zama zile za kwangu wamefny nn 😆
Naongea na Msabaha sio wewe
Inapendeza
Kwa kweli hakuna haja ya kuwa na timu 20 huu ni upuuzi timu wachezaji wote wanajiangushaangusha wakifanikiwa kufunga goli wote wanalinda ujanja2 tu. Hivi hawa viongozi wetu wa Tff wanaelewa hilo? Hakuna mpira ni ujanja2
Twende sasa Chaka langu
How to model asimple abacus
Ila yanga kipa ndo hatuna....
Timu ya wananchi
Nani ana kerekwa.......? Na kwann ukerekwe..... ? Bahat mbaya kukerwa hakuna password. Hahahahahaaaaaa.Wapinzani hoi.
Danlodwod
Kocha kama anataka uchindi kwa michezo iliyobakia asidharau michezo wowote
RiFki AsRiFki cm 34
Wananchi wazalendo tulikaakimya
Soma iyoooooo !
Kabwili anawenge sana
Mdogo mdogo
xafi xana bishara mmejitaidi xana
Senzo
Hirinz imefanya kazi
Ipi tena
Hamkos lakusema
Gamsujr Gamsujr siku zote mchawii
Gamsujr Gamsujr kwakweli imefanya kazi
Gamsujr Gamsujr siku zote hukimjua mchawi basi unawanga nae mashabiki wa simba mmezoea huchawi ndio maana mnateseka
Mm Nasubr Jum Moss Mikia Na Warabu Lazim Haw Kenge haw Mikia@ Wafe 7
Safi
Mambo Yang's baba
fei toto mech iyo hayumo
Yanga naona kuna improvement kwenye penati
Ni wakati wa sospeter kuanzia kucheza manara mechi zote tatu alizocheza amefanya makosa yaliyosababisha magori huyu chikupe pia naomba makambo sio yule tuliomzoea wachezaji ni wazito
kwani kuna mtu anakerwa naona wanateseka
Yaya
Makambo arudi jangwani
nataka kile kipande kabwili akipewa irizi
Edwin alifany kaz kubwa
Uyu kabwili n mbovvu saaaaana. Bola kindok ila beno aondoke. Tu kwnn wanamchelewesha kulinga kwa mamake uko yanga co wazaz wke ata ulaya akuna mchezaj mkubwa dunian kuliko klabu atambue ilo
Nani anakelwa