Highlights| Yanga 4-0 Dodoma Jiji | NBC Premier League - 31/12/2021
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 31 ธ.ค. 2021
- Timu ya wananchi, Yanga SC wametoa kichapo kizito kwa Dodoma Jiji FC katika mchezo wa #NBCPremierLeague uliorindima kwenye dimba la benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Magoli ya Yanga yamefungwa na Fiston Mayele dakika ya 42, Jesus Moloko dakika ya 71, Khalid Aucho dakika ya 81 na goli la kujifunga kutoka kwa Justine Omary Billary dakika ya - กีฬา
Wenye mlihamia yanga ju ya manara kama Mimi nipeni likes ....mi mkenya lakini naipenda yanga.
🤣🤣
😂😂😂mm pia nipo Nairobi
Karibuuuuuu🔰💚🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mamb
Hi
My favourite team YANGA💕
Yanga woye naipenda ata Baba yangu ni yanga❤
Asee sikuangalia mechi. Kumbe wangekula hata kumi daa mpira YANGA waliupigaa hongera sana wanachi. Timu yetu nzur sana
Asante saana azam. Uzuri wa highlights zenu hata kama mtu hakupata nafasi kutazama boli akicheki tuu hii nyanga inakuwa toosha saana. Heko saana Azam kazi nzuri
Mnachelewa sana Highlights
Nani kasikia hii kutoka kwa Mpenja? " Ukisema huyu jamaa sio striker jiulize beki wako alifanyiwa nini na Fiston Mayele...
Kapigwa tobo
Mmeichelewesha sana hii kitu. Wengine hatuna wapenzi, tunaburudikaga na vitu kama hivi tu.
😂😂Pole saana
kanywe Pepsi mwanangu nakuja kulipa 👏
Kweli kabsa
Happy new year Tanzania.. happy new year Barrack mpenja.. happy new year to all fans of yanga .. nawapenda Sana...💕💕💕, Happy new year Azam tv..
Asanteni AZAM TV ,ASANTENI KWA MABADILIKO HAYA YA KUONGEZA DAKIKA ZA HIGHLIGHTS ZA MECHI ZILIZOPITA KUTOKA DAKIKA 18-19 HADI 39 NIMESUBIRI NDANI YA MASAA 24 NIKAHISI NDO BASII , HII NI NBC PREMIER LEAGUE AND THIS IS 2022
YANGA ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥✅🔰🇹🇿
Mechi imechezwa jana highlights imetumwa leo tena baada makolo kupata matokeo pumba sana uliyepewa jukumu hujui kazi yako .
Wanazingua saana
Mwananchiiiiiiiiiiiiiiiiiii Raha saaanaaaaaaaa ✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️😅😅😂😂😂
sema mbona highlights za yanga zinachelewa sana wazeee 🙄😶
Mpenja napenda Sana ukiwa unatangaza mpila♥️♥️♥️♥️from🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Yang raha
Du hongera Sanaa ilikuwa mechi nzuri sana tuuuu Kwa yanga.
Nilikuwa sipendi mpira lkn fei toto ndugu yetu zanz nafurahi sanaa kuazia leo mmi ni yanga
Men of the match ntibazonkiza
Kweli Saido yuko moto
Azam lkn uwa mn chelew san kuposti buludan kama hiii💛💛💛
yanga inaupiga mwingi jaman
Hii Yanga sifa Sasa💪💪💪🟡💛🟡💛💚💛💚💛💚🟡🟡🟡
Yanga tamu jaman 💚
Baraka Mpenjaa you're the best
Baraka Mpenja ur Great! .... Live Long
Yes
Ndo mmejifanya kuiweka sasahv kwasabbu mnataka mpost ya simba na azam sio?
Hiii yanga hapana💛💛💛💛
Baraka Mpenja nakukubaligi xana
ila huyu @baraka mpenja anajua kuipamba kazi yake 🙌
Hii mech nilienjoy sana
Mamb
KIUKWELI MAYELE ANAJITUMA.
Beau match ❤️❤️🇨🇩
Mbona ime Chelewa Sana iii
Inabidi tuzowey tuu naona njo tbia yao
Kbsaa wamezoeaa
Napoza machungu ya club africain hapa tarehe 5.11
2022 Yanga raha sanaaa😂😂😂😂💛💚
I love yanga
I love yanga daima mbele nyumba mwiko
Yanga rahaaaaa
Mm ni yanga Ila pia goalkeeper Wa dodoma jiji amejitahid sana sana vinginevyo anegfungwa hata 7
Kweli kipa yuko vizur
Daaaah yanga noma xna nawakubal xna yanga by prince imma wa temeke❤❤❤❤❤
Ilikuwa my best new year's present ever 🥰 😇
Am deeply in love with you yanga💚🇹🇿
Wap
Wew
Yani hawa Dodoma walitamani kusema lefa maliza mpila hatakama mdabado walichoka sana
Nawakubali xana yangaaa
Hii game huchoki kuangalia yan
Yanga tam sana raha tup
Ok
Casa. Bhna
Naqubal
Kama hujui mayele ni streka uliza beki wako alifanyiwa nini
Asante kwa kuipenda Yanga
Mshery ni kipa mzuri sanaaa
Highlights za yanga muwe natuwekea, hata dakakika 45, coz yanga inaupigan mwigin at the moments.
Mwaka wetu ,kombe letu
best performance
Yanga yamoto sana asee
Yes
Yanga uwezi kuibeza
yanga tam
Jaman yanga ya sahv yamoto
Baraka mpenja very talented
Yanga hoyooooooo
Yanga ni 🔥🔥🔥🔥
NYIEEEEE YANGA HIII KHAAAAA MI SINA NENO
Zam ni mukali 🙏🙏🙏🙏🙏
Mlinda lango wa Dodoma Jiji amekaza sana bila ivo wangepigwa kumi
Kwakwel amejitahid
14/04/2024 tujuane .😂
Yangaaa hiiii hatariii semaa azam anazinguaa mechii za yanga anacheleweshaa highlights daaah cjuii tatizoo nn
💚💚💛💛💛💛💚💛💚
😂😂😂😂 mayele alikuwa fwd kwl lkn alikuwa anakosa nafas nyng yn kwny nafas 10 anafunga 1 au 2 au hmn KABSA😂😂😂lkn freshiiii maan tulikuwa tunatetema
Jez mpy yanga
Mbona atumsifii golikipa jamani wa dodoma jiji
kapunguza idadi ya magoli
Hiiii ndooooo timuuu 😃 ya wananchiii utakonda ukishabikia makolokolo nahis wanajijuaaa
I LOVE YOU YANGA
Nawapenda sana ganga mm daaaaah
Ivi hawa yanga.wana hakiri kweri kumfunga mwezao 4akifunga mwaka
😂😂😂😂😂
Utaona za simba zinavowahi kuwekwa sjui tumekosea nini nyie azam au kma vipi wapen ile account ya ligi kuu ilikuwa ipo active sana kuliko mnavofanya tunalalamika lakini makosa n yaleyake
Burundi
Saido Kawa mtamu sana
Mabingwa tyume come Bsack
Nyimbo za wasabato
Mnachelewa sana
Mwambieni makambo nampenda🥰🥰🥰🤣🤣🤣🤣
Jifunze quran kusom kuandik gusa picha yang hapo kama hautojli
Yanga oyeeeeeee
Highlights ya Yanga ba Polisi mbona hamjatoa au mna chagua game
I love u YANGA
Doctor
Molokooooooo mm nakupendaga jaman
Yanga kwa Nini saido tumemuacha lakini
yan hata mimi naumia sana kuhusu saidoo kwnn tulimuacha
Noma sana
Kuanzia leo Mayele anaitwa Benzema
Maana yake nini plz?
Hiii Young imekua sasa kama inabaka
Mwaisa
Mpaka msemwe dah baraka mpenja ubarikiwe
Saido kaupiga mwingi Sana siku hii
Prjnce jndah
Caw
Jamani yanga tamu
Mko vzur
A-Z
Huyu Nabi.. Mbona anafanya mambo kama Gadiola
Noma sanaaa
Hili Gori la AUCHO ni hatar 🔥🔥
Clear penalty imekataliwa, wangekuwa makolo wangelalamika mpaka kero.....hahah
Hahahahaha Makolo mulibwanji
Yangaaaaaaaaaaaa akeeee
Woooo
Mayele anatualibia watoto mtaan 🤣🤣🤣🤣 na hiyo stahili
Sio poa yanga