🔴LIVE: ALLY KAMWE ANAZUNGUMZA MUDA HUU AIRPORT/SAA SITA USIKU BALEKE ANATAMBULISHWA?/NCHI INA RAHA!

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ค. 2024
  • Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu ya Yanga Ally Kamwe Leo July 7,2024 amezungumza na Vyombo vya habari,punde tu alipotua kwenye uwanja wa kimataifa wa Julius Nyerere International Airport akitokea Mbeya
    Aidha amefunguka kuhusu usajili unaoendelea huku akigusia kuhusiana na usajili wa Prince Dube.
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 61

  • @athumansaidi7663
    @athumansaidi7663 8 วันที่ผ่านมา +50

    Anae mkubali semaji ally kamwe gonga like👇

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 8 วันที่ผ่านมา +25

    Ila kamwe nakuelewa kwa kubiri. Nakumbuka zile mechi ulizowatabiria makolo watapoteza na kweli zote hawakutoboa.

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 8 วันที่ผ่านมา +11

    Yanga mpoooooo!!🎉🎉🎉

  • @mariajames5558
    @mariajames5558 8 วันที่ผ่านมา +11

    Yanga hiisio powa😊

  • @Izzoh2021
    @Izzoh2021 8 วันที่ผ่านมา +4

    Bg up kwa team nzima ya uwendeshaji wa mpango wakusajili wanachama kwa idadi hiyo 806,msiishie mbeya tu hiyo amasa iyendelee mkoa hadi mkoa

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 8 วันที่ผ่านมา +4

    Mwamba Akiwa Nanguruma Kweny Mpenja Tv Semaji La Mabingwa💚🇹🇿

  • @NdevuKamdini
    @NdevuKamdini 8 วันที่ผ่านมา +8

    Semaji kama semaji🎉🎉🎉

  • @devothaignatius5256
    @devothaignatius5256 8 วันที่ผ่านมา +3

    Kazi nzuri semaji

  • @Heniryahaz
    @Heniryahaz 8 วันที่ผ่านมา +1

    💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚 yangaaaaaaaaaa mwaaaaaaaa

  • @charlesmoshi9987
    @charlesmoshi9987 8 วันที่ผ่านมา +6

    Vip ubora wa baleke pale yanga..?

  • @JumaRachide-kn2vx
    @JumaRachide-kn2vx 8 วันที่ผ่านมา +4

    Nakubar

  • @DondoPilla
    @DondoPilla 8 วันที่ผ่านมา +3

    Iko poa saaaaana

  • @abdulplatinumz2299
    @abdulplatinumz2299 8 วันที่ผ่านมา +7

    Ali yule mbuz hata mm nilimuona anashangaa

  • @moiseszacariasmoisesmoises
    @moiseszacariasmoisesmoises 8 วันที่ผ่านมา +5

    yanga inazidi kupanda samani

  • @AmaniMadata
    @AmaniMadata 8 วันที่ผ่านมา +2

    Hahahaha eti mpaka wanyama wanashituka

  • @DenisSanga-bj5ud
    @DenisSanga-bj5ud 8 วันที่ผ่านมา +8

    Wanambeya walituheshimisha sana Yanga hatuna jambo dogo

  • @PastorMipango-y2n
    @PastorMipango-y2n 8 วันที่ผ่านมา +3

    Huna baya mwamba

  • @kiboshokiboshomungumkubwa7789
    @kiboshokiboshomungumkubwa7789 8 วันที่ผ่านมา +4

    Ally wacha maneno tutembelee mikoa yote tuko wengi mno

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 8 วันที่ผ่านมา +4

    Mwamba huyu hapa 🎉🎉🎉

  • @chunkurikachondo5820
    @chunkurikachondo5820 8 วันที่ผ่านมา +2

    Big up....

  • @josephsamwel2845
    @josephsamwel2845 8 วันที่ผ่านมา +2

    @ kama kweli ni mwamba usiweke kifup@ jina ili tukutukane vizur

  • @mhinajerome5964
    @mhinajerome5964 8 วันที่ผ่านมา +2

    Prince clatous ki pacamwe saasita usiku inaongezeka baleke

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 8 วันที่ผ่านมา +5

    Eti prince clatos ki pakamwe😂😂

  • @KarokiaNdirango-lj3wf
    @KarokiaNdirango-lj3wf 8 วันที่ผ่านมา

    Nakubali sanaaaa 🎉🎉🎉

  • @vedaigobe
    @vedaigobe 8 วันที่ผ่านมา +1

    Ha2lali

  • @FrankFrankThobias
    @FrankFrankThobias 8 วันที่ผ่านมา

    Sana semaji

  • @robinisack8092
    @robinisack8092 8 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂Mwindaji na mbwa sabini c hata mnyama anaewindwa Atakimbia kwa kelele😂😂😂

  • @SaidMwampashi
    @SaidMwampashi 8 วันที่ผ่านมา

    Good

  • @JackoboEliasi
    @JackoboEliasi 6 วันที่ผ่านมา

    Tupe raha

  • @user-gn8mq8bw4n
    @user-gn8mq8bw4n 8 วันที่ผ่านมา +2

    😊😅😅😅😅🎉🎉🎉nakubal

  • @josephsamwel2845
    @josephsamwel2845 8 วันที่ผ่านมา +1

    Shaffi kufa tu hayakuhusu

  • @barackmoses7003
    @barackmoses7003 7 วันที่ผ่านมา

    Hiki kinjiti ipo siku atalia na kusaga meno

  • @rajabumsuya-hg8jd
    @rajabumsuya-hg8jd 8 วันที่ผ่านมา +2

    😂😂😂😂😂panya road

  • @upgo6112
    @upgo6112 8 วันที่ผ่านมา +1

    Panya 😂😂😂😂

  • @Papycon22_
    @Papycon22_ 8 วันที่ผ่านมา +2

    VPN onana ni mali 😂

  • @azadimwakabonga7026
    @azadimwakabonga7026 8 วันที่ผ่านมา +1

    🤣🤣🤣🤣🤣DAH VIONGOZI wao matapeli

    • @KS-iw7qv
      @KS-iw7qv 8 วันที่ผ่านมา +1

      Kama Mo Dwj 😂😂

  • @bulunjumjuli9572
    @bulunjumjuli9572 8 วันที่ผ่านมา +1

    Kwani wewe unapenda kushika mifupa au

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p 6 วันที่ผ่านมา

    Xavi mtupu

  • @shaffimsaidy699
    @shaffimsaidy699 8 วันที่ผ่านมา +1

    Angeshikwa mamaako

  • @jacksonenock5231
    @jacksonenock5231 8 วันที่ผ่านมา

    Hahahaaaa😂🤣🤣🤣🤣🤣

  • @MzeewaYanga-hm8jq
    @MzeewaYanga-hm8jq 8 วันที่ผ่านมา +3

    Ngj ni2lie semaji linaongea

  • @christophersimwimba
    @christophersimwimba 8 วันที่ผ่านมา +1

    Kaka wewe ni fundi sana aisee

  • @mosah2851
    @mosah2851 8 วันที่ผ่านมา

    Ex akikutana na hogo badala ya kibamia unafikiri itakuwaje?

  • @Mumlion2624
    @Mumlion2624 8 วันที่ผ่านมา +1

    Haya sajilin ma x zetu

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 8 วันที่ผ่านมา

      Yaani mpaka useme

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l 8 วันที่ผ่านมา +1

    MNYAMA KUTOKA NYIKA YA KARIAKOO ,SIMBA

    • @allydaud612
      @allydaud612 8 วันที่ผ่านมา

      Mnyama anakujaje kwenye shughuli yetu subiri yako ndo u comment

    • @user-wk2bg8zf3l
      @user-wk2bg8zf3l 8 วันที่ผ่านมา

      @@allydaud612 tulia wewe utopolo fc

  • @jankenkasambala7687
    @jankenkasambala7687 8 วันที่ผ่านมา +1

    Kigoma wanatamani kuliona Kombe

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 8 วันที่ผ่านมา +1

    Alilykamwe anamsikiliza nani

  • @biggievandar254
    @biggievandar254 8 วันที่ผ่านมา +1

    Hahahaha vpn Ali wewe

  • @user-pj4mx2ro4h
    @user-pj4mx2ro4h 8 วันที่ผ่านมา

    Angekua dem huyu sjui angeshikwa wapi maana kamekondeana hako ka mfupa uliooza🤣🤣🤣🤣

    • @st.jamese.r6941
      @st.jamese.r6941 8 วันที่ผ่านมา +2

      Inabid ww uwe dem wke 😂😂😂

    • @preciousprince9159
      @preciousprince9159 8 วันที่ผ่านมา +2

      Mwaka huu simba asipojipanga vizuri ghalika litamkuta

    • @user-be1ld2bb1b
      @user-be1ld2bb1b 8 วันที่ผ่านมา +1

      Unampenda eeeh

    • @mhinajerome5964
      @mhinajerome5964 8 วันที่ผ่านมา +1

      Kama mamaako

    • @Heniryahaz
      @Heniryahaz 8 วันที่ผ่านมา +1

      Acha makasiliko utakufaaa 💚💚💚😆😆😆👻👻👻👻👻