Magoli sita | Yanga 3-3 Kagera Sugar | VPL 17/02/2021
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ก.พ. 2021
- Yanga na Kagera Sugar wamevutana shati katika ‘piga nikupige’ iliyozaa sare ya mabao 3-3 kwenye mchezo mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliopigwa leo Uwanja wa Banjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Magoli ya Yanga yamefungwa na Tuisila Kisinda, Deus Kaseke na Mukoko Tonombe wakati magoli ya Kagera yakifungwa na Peter Mwalyanzi, Hassan Mwaterema na Yusuph Mhilu.
Haya hapa magoli yote.
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz - กีฬา
Kagera uweka eshima kwa yang kagera 👍👍 utopolo bado mkonyuma sana👀
Nimempenda goli keeper wa kagera amemfanana maestro bwalya mchezaji wa simba♥️♥️
Kama wewe ni shabiki wa kagera gonga like hapa
Mashabik maandazi tupa kule sijifariji ila Yanga tunapo taka kwenda tutafika tuu hata Kama hawataki ulipo nipo love you Yangaa❤️❤️🤩🤩
Nimependa uzalendo wako, ila hyo lazima mmmh. Pawe na mipango mikakati ya soka la kisasa na muda pia wa uvumilivu
@@swedially9118 Kila mtu na Imani yake anavyo Amini na ndio maana tuna dini lukuki. Mimi Kama Mimi najua tutafika tuu🤩🤩
Bravo kageraaaaaaa
mukoko bonge la goli...!superb...
Yajayo yanasikitisha
...ahaahahahs
Kwa kweli
Utopol
Kuishabikia UTOPORO fc 🐸🐸🐸
Ni tatizo kubwa sanaaa 😂😂😂
Sare ya tatu mfululizo mtakufa na presha mashabiki wa UTOPORO 🐸 Fc
Bora sare kuliko kufungwa
@@mohamedkigwehe3561 😂😂kumbe ndo zenu
Utakufa ww Mpumbavu
@@mohamedkigwehe3561 Hata mm naona Bora sare tatu mfululizo 😂 Baada ya kupata points 9 unapata points 3 🤣🤣🤣
@@drswalehomarry456 😂😂😂 Et Bora sare
Tumefungwa magoli rahisi mno,Yanga tubadilike
Bonge la magori mmefungwa, mnategemea penalty hakuna kitu Yanga
Yanga mnabahati sana Leo mngepigwa shukuruni refa kawabeba
Kuishabikia UTOPORO fc 🐸🐸🐸
Ni tatizo kubwa sanaaa 😂😂😂
Sare tatu mfulilizo unaweza kufa kwa presha UTOPORO fc 🐸🐸
@@mohamedslh5478 🤣🤣🤣🤣
@@mohamedslh5478 Mtibwa sugar wataenda kuwasokomeza huo mwko ndani zaidii 😂😂😂
Hawa kager beki hamn kitu wanajitahd kufung magol Mazur ila haydum
Ligi ya tanzania ni bora kwa sasa Na ni ngumu sana sasa manyau nyau fc wekeni akiba ya maneno ila yanga hawana difence.
Yes
Pambana
hajui hii ni lala salama
Ukoko tonombe kawasave next time mtafia uwanjan kwamapressure😂😂😂😂🎙🎸📣
Sure 🤣🤣🤣
Ukoko?😂😂😂😂😂😂😂
Wew unajua nn yakonep
😂😂🙌🏾
@@mutalemwagabrie9791 😂😂😂😂😂
Hongereni kg
Ligi ya tanzania ni ngumu sana timu zipo vizuri makocha pia ni wazuri huu ni ukweli yanga tulione hilo
Hata malefa nao niwazuri au!
Yanga oooyeee
Bravo kager half kwann hamkushind jamn ila Safi tuu
Bado yanga wanayo nafsi tu mungu atasaidia
Cosy......kweli YANGA mna NAFSI na sio NAFASI
Noma sana utopolo kaz mnayo
Mukoko tonombe teacher big up
Huyu teacher kama yesu akirudi sahv aende tu mbinguni moja kwa moja nimeona pengo lake kubwa kipindi cha kwanza
Yanga oyee
Yanga oyeee
Hongera sana Kagera
Aaaaaaa
Izo hujuma mnazisema ni zipi? Mmepata penati mmepewa. Mmefunga gori limekataliwa? Hamna forward hapo. Wanarukaruka tu. Kaa ndama
Kagera kwa hili gemu mmejifahid sana
Kagera juuu yanga Sasa chn zaid
Mna bahati sana pia leo mnalala naviatu wazee wa drop.
Yanga bingwa msimu huuu
Zile speed za Tuisila zimeishia wapi
Ndaga fijo Kagera Sugar
Mechi ya kwanza waliwahujumu wakashindwa kupata matokeo tunawajua uwezo wao mdoqo ila kelele nyingi
Bao la kwanza ni playstation au ?
Mhilu ni yanga pure viongozi mrudisheni mhilu wetu
Kwa mpira huu ,Tanzabia tutazidi kuwa na mpira mbovu na matokei ya kubebwa ya mezani, UKWELI YANGA INAHUJUMIWA
Nyie sindo wananchi anawahujumu nani tena ?? Tuondolee shombo uko huna point unaongea utopolo kama tim yako nyie mnatuambia Ni wananchi tim yenu inamashabiki wengi sasa kwenye hao mashabiki wengi mlonao marefa hakuna ndani yake ?? Utopolo malalamiko fc huna hoja
Haaahaaahaaa
Unadhan kagera walikua wamefungw miguu isipige mpir hoo mnahujumiwa yaan kager wamechez mpira mzr hat kipind cha kwanz wamewazid kil kty fara ww kulalamikia maref mda wte
Mnacheza kama mnaharisha awahujum nan
Mwisho wa siku 3 kwa 3
Atare
Mambo vipi yanga anaendelea kuchacha
Naona vidimbwi fc wanafungwa magoli ya kideoni,
Hizi timu zingekua zinajituma hivi hata zikicheza na Simba ingekua safi sana na ligi ingekua bora sana
Ligi Kuu Bara umeanza kuifuatilia lini??? Hata Ruvu, Mtibwa, Prisons hata na hao Yanga nao wanajituma hivi hivi wakicheza na Simba, ndo maana Kagera alitoboa tundu mbele ya Magufuli na kuharibu rekodi ya kutofungwa kwenye ligi.....
Yanga mnafer
Kwa hali utopolojia ubingwa msahau
Kabisa
Kagera
UTOPOLO mikosi imeshaanza ...timu inadaiwa ..tena madeni sugu.. UTOPOLO OYEEE .. PIGA KELELE KWA KAGERA SUGAR ... SASA HIVI NI MWENDO WA KUPIGWA NAO ... MPAKA MTASEMA WENYEWE SHUBAMIT
Ondoa korodan zako hapa
Naliona pengo la juma mwambusi.poleni watani
Magoli ya Sukari unaweza ombea mkopo
Unajua kutangaza mpira vizuri sana kuliko nataka uwe inatangaza simba nayanga
Goal la pili la yanga lilikua out side
💋💋💋💋💋💋💋
wewe kaze unaanza kuteletee ujinga unawaacha wachezaji wazur kwa bench unaanza na wachezaji ambao hawana qurity
Huyu jamaa kazi imemshinda,kweli Mauya ni wakuanza na kumweka Mukoko bench?kama vipi atuachie timu yetu faraaa huyu.
Kwann msajili wachezaj msio waamin??? Ko hao n wachezaji wa tim gn???
Hamna jipya hapo msubiri Mtibwa Mtaelewa Wakatamiwa msim huu
Kocha wa yanga mjinga beki mbovu hasa nondo refa fara umenunuliwa wew
Metacha bora faruk kwa saiv
Beki au uchochoro???
aisee kagera hii game wangekuwa makini wangeimaliza mapeema ila siyo mbaya
Bishop Kakobe
Utopolo
Da yanga kazen but
Safari imeaza ya kushuka
Azam na mbeyast
Yanga walikua watumwa wa kutafuta kurudisha matokeo
Yanga yetu munaipania mtaiweza
Sura zimekuwa ndogooo kama mbuzi wa hitima
*Yanga ni mabingwa kihistoria naitabakia hivo tu kihistoria ila kuchukuwa kombe kwa miaka hii la ligi labda simba ifukuzwe tanzania iende icheze Laliga ya uhispania*
Komboooo; HISTORIA zinawekwa mpya. Je nani alikuwa anaandika hiyo HISTORIA ya YANGA?
😂😂
🤣🤣🤣🤣
Mabingwa ganii
Haaaaa mefrah sanaa
Wamezoeakubebwa
Kipa senge
Azam nao fala kwel inamaa iyo penart awajaiona au
Kagera magori yao mazuri
*Habar zenu ndugu zangu naomba nikukarbishen katika masomo yetu yanayohusu tiba za maradhi mbali mbali kila Alhamisi saa2usiku karbuun mjifunze ingia TH-cam andika sir Binladen 786*
Takataka utopolo zinahangaika uwanjani Kama Rambo zinapepea na upepo 🤣🤣🤣
NYINYI SIMBA MNA USENGE KAMA MAMA YENU MANARA MBONA HAMSEMI KAMA TUMEDHULUMIWA PERNANT
@@shumbanajuma6719 wazeee wakulilia penart
@@shumbanajuma6719 Mshamba mkubwa, unataka upewe penat😂😂 . Pambana na hali yako 😀🐸🐸😀
We kyusa gan mxenge ko zile zlikuw xo penat una baht kyusa mwenzang ngkupa tuc la mwaka
Shida inaendelea
Shida imeanzaaaa hahaha
Refa kuna penati kainyima ganga ni ya waziii kabisaa
Kaitaba ilikuwaje
Dah jamani hii timu itatuuwa
Na ukifa kwaajili ya kushabikia mpira, motoni moja kwa moja.
NEW GREEN LAND AGRI GROUP Ltd.
Tupigie kwa huduma zifuatazo:
- ufungaji wa mifumo ya umwagiliaji wa matone ( installation of drip irrigation system)
- ujenzi wa mabanda ya mifugo (construction of animal housing)
- ujenzi wa vitalu nyumba ( Construction of green houses)
MAWASILIANO: 0718516741 (Agricultural engineer)
0754915256
0687097809
Yanga wamebebwa
goli la mukoko ndio goli bora
Beki line znakaba kwa macho
Mukoko Tonombe
Kagolikpa kajinga kana shindwa kutulia golin
Hii yanga utopolo
Yanga pumz imekata
Kwa hali ninayoina sasa kwa yanga ubingwa niwa Simba.
Uyu kipa wa kagera bwege kweli goli la 3 anafungwa pale pale kati hata ukisikia kuna magoli ya kiufundi makipa usiwalaumu ndio lile kipa shati ilo
Watu wangu 🐸🐸🐸 piga keleleeeeee weueeeeeeeeeeeeeeeeeee
Aliyeninyima ushindi na kunipa sare amenipunguzia yalaiti.....
YANGA yangu kamwe sibadili na tanzanaiti.....!!!!!!
Benad
Huyu refari kama atachezesha tena siangalii mechi 😠
Wala ndugu yangu usiumie na refaa,ni kweli refa kazingua ila na kocha wetu kazingua zaidi,Mauya ni wakuanza na kumweka Mukoko bench?kama vipi Kaze atuachie tumu yetu bana,hii mechi tungeimaliza mapema wala sasahiv tusingekuwa tunatupa lawama kwa refa,marefa wa Bongo wanajulikana na ndio maana kwenye mechi zakimataifa huwaoni,na hawatakaa waitwe hata siku moja.
Coach ndiye aliyesababisha matokeo haya kipindi cha kwanza katikati palipwaya kwa kumkosa Mukoko na Nionzima hali iliyopelekea mipira isikae mbele kwa Muda mrefu lkn kipindi cha pili Coach aliona mapungufu akarekebisha na mashambulizi yakawa mazuri hivyo Coach asituchanganye akili tunataka ushindi na siosare sisi siowanafunzi wa kuvaa sare. Coach jirekebishe sare zikiendelea utang'oka tunataka kushinda.
...hamna lolote
😀😀😀😀😂😂😂😂😂
Ivi na cocha hua anacheza
Hamna cha mukoko wala nio wote wale wale tu
Mtashona sare sana
Hii ndo ilikuwa yanga ya kaze ya masare mengi 🤔
Teva anawabeba kagera sugar
Eti wa kimataifa.🤣🤣🤣
Bao la tatu kumbe lilivyochomolewa lilitoka na mboji....🤣🤣
Simba sv vita
P
Mtani kakaliwa kooni
Nyambafuu
Hawa kagera noooma kweli kweli
Nakubar
Da yn nyie
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🐸
Timu Haina muunganiko was ushindi wanabutua bila mpangilio