Ruvu Shooting 2-3 Yanga SC | Highlights | VPL 17/06/2021
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 มิ.ย. 2021
- Yanga SC imepata ushindi wa magoli 3-2 dhidi ya Ruvu Shooting katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara (VPL) uliopigwa leo kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Yanga wametangulia kwa magoli mawili ya Feisal Salum (Feitoto) kabla ya Saidi Ntibazankiza kufunga la tatu kwa free-kick wakati Ruvu wakipata magoli yao kupitia kwa Emmanuel Martine na david Richard ollomi.
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz - กีฬา
Alie rudia kuangalia hii mechi tujuane hpa kwa like
😂
Nakupenda yanga💚💛
Yangaaaaa daimaaa
Hao wamama mnaowatanguliza wawe wanavaa kimpira amevaa utafikiri anaenda kwenye vikoba
Thanks for coming 🦁🦁🦁🦁🦁
yanga truely starts😘
Yanga bado sana
Mmmmmh
Asante yangq
Kufungwa kwa golikipa sio ni jambo la kawaida, tatizo ni aina ya magoli aliofungwa, hakunashabiki wa timu anaeweza kuvumilia magoli ya uzembe
Nimeipenda iyo
Goli la pili alofungwa metacha inaonekana hakutaka kuudaka maana badala akunjue mikono yy aliikunja
Saido fundi mtalam wa free kk
Hii mechi Yanga wangeshinda nyingi tu
Daima mbele nyuma mwiko
bao la.10 fei toto unaweza tengezea katiba mpya
Ni sweet, mwa, mwa
Kaseke uko vizuri Sana kwa assist.
Yanga daima mbele
Hiii doo yanga sasa
Nice
Ruvu walitamani sare na sisi bahat mbaya kitambaa akikutosha🤣🤣🤣
🤣🤣🤣
Huyu ndie toto ninae mjua
Ameng'aa kwasababu mmecheza na timu dhaifu, subirimi tar 3 July kenge nyie
@@Aaron-nu7dv hatuingizi timu jidanganye tu
Totoooo
Yang's boumba
Amedive Lakini Hakunyoosha Mikono. Anawalakini.
Lanzimeni kutoka kigoma kabolonga
HAO MASHABIKI WANAOMLAUMU METACHA MNATA ,,LABDA HAWAKUWAHI KUCHEZA MPIRA,,MAKIPA WOTE WAZURI HAYO NDIO MAGOLI WANAYOFUNGWA
sure mnyakyusa kweli mpira unaujua wew hongera bro
Penda sana
@@joyceabery9125 true joyce hao utopolo hawajui mpira kazi kulalamika pasipo na7bu yeyote ile
Metacha vipi
Simba
Hiyo ndiyo tatizo wa yanga mwesho matatizo tu
Duuh metacha leo
Huyu beki wa ruvu kawauza wenzake yuko peke yake anampasia adui wazi
kiukweli yanga uyo kipa hawafai, goli la pili ilo, kipa ambae yuko vizur awezi kushindwa kuitoa!!!!!
Bro kamaunaweza siungeenda
S
Asante yanga
Mpeja jamn " TOTO TOOO AJIGIJIIIIIIIIIIIIIII safi sana
Ila hii mechi fei kanyoosha mbavu za kipa balaa
huyu razak maembe
HIVI KUMBE MKWASA NI YANGA🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣RUVU SHOOTING NI YANGA B MKWASA ANASIBITISHA
Mh
Golie alikuwa amebet
ila tuisila anabutua sannah
Kweli UTOPORO hamkukosewa kuitwa malalamiko fc sasa apo metacha mnampa lawama za nn nyani nyie na ndiomaana ameamua kuwaonyesha dole la kati
Mlicheza mpira mtamu japokuwa kipa alizingua kwa kiasi fulani
Utooooooo
Ndio sisi na tunalipenda jina utopolo
Kuanzia kesho nami naanza kuweka blichi ili nicheze yanga 🤪🤪🤪
Hahaaaaaaaaaaaa
Wewe line one offside hapo iko wapi? Tanzania hawa waamuzi ni bure kabisa. TFF angalieni ni kwanini hatuna waamuzi bora?
Tff wenyewe n tatzo
Exx
Hakuna uzembe hapo, kipa asilaumiwe
Metacha nimkundu sana
😅young Africans
Hivi mashabiki wayanga mnamatatizo gani mkishinda safi mkifungwa nyinyi metacha aondoke metacha kosalaki lipi
Mechi walizo fungwa hakudaka metacha
Mtu mzima dawa
Sasa hapa metacha ana makosa gani aiseee...kweli uto hawana fadhila
Sisi kama uto awe na makosa au asiwe na makosa hatumtaki
Km wew
@@delimachesa4916 basi msimchezeshe
Feitotot
HUYU BEKI WA RUVU SHOOTING TAKUKURU IMCHUNGUZE YUKO PEKE YAKE HALAFU ANAMPASIA MPIRA ADUI.
Asante KWA kulitambua hilo....jamaa kachomesha halafu kidogo razack Naye afunge KWA uzembe wa huyo beki
Wangekosa ushindi ungesikia tu tff tatizo
Kabla fei hajashinda goal la kwanza refa hakuona au kaamua kuwabeba dius kaseke kanawa
Nunua miwani😄😄😄😄😄😄
Huoni vizuri ndg.
toa ndimu uweke macho
Eeebana mpenja wewe unainogesha kabisa
Ndombolo
Feisal alikuwa anacheza ndombolo
Mbona hamjaonyesha dole la metacha
mmmmmh mkwasa kafanya yake hahahahaha
Metacha hilo goli kaa chia makusud kabisa
Real! alikuwa na uwezo wa kusave
Mnaongea hata kucheza Chandimu huwezi
Kwanz kitendo cha kuoneshea mashabik kidole ndo linaonesha waz kuwa kaamua kuuza mechi😢😢
Kadake wewee
Nyie utoporo wanafk mnmuonea metacha mbna luvu wamefnya makosa yaliyosabisha magol achen hzo
Makosa ya metacha ni kutukana mashabiki na sio kosa la kichezaj hata hao ruvu wangekuwa na mashabiki wangelalamika kwa makosa wafanyayo wachezaji wao wakat wanafungwa kama goalkeeper si vyema kukasirika kisa mashabiki wanalalamika huo ni ujinga
Af magoli ya yanga yote ni uzembe wa waz kabisa wa mabeki, hakuna goli la kiwango kutoka yanga! Ni utopolo tu
Gor la kwanza la yanga ni zuri,fei kafunga gor zur sna na ndo mchezaj nnaemuona mbali sna pale yanga km ataamua kucheza mpira lkn km ataridhika km AJIB bac ataishia hapa
Funga la kwako bc la kiwango
Shauri yako.unateseka ukiwa wapi
Kafunge ww ,ambaye unamagori ya viwango,Kisokorokwinyo chako.
Utopoloooo
🤝nomaa sana
Ndo sisi na tunalipenda ilo jina yan kama unasikia chipolopolo vile Yanga daima
Hii team ni shida ipelekwe Muhimbili kwanza maana ikitoa sare shida,ikifungwa shida na haya ikishinda pia shida kaaahh,watani mnanini???
Unaongelea nn uwelewek
Mmewashinda utopolo nyiee utelebwe paka fc mkude mbn hamjampeleka muhimbili
Metacha hana makosa
Makosa anayo na makosa yake ni kubishana na mashabiki na kuwatukana mchezaji lazima ucheze na temper ya mashabiki huwez zuia mashabiki kulalamika cha msingi ni kudeal na makocha wako na viongoz sasa yy anagombana na mashabiki?
@@delimachesa4916 mugombwee tu hamna akili nyie
Huyu metacha kashindwa kazi yanga
Utopolo amjielew kwel
Mtasema san je nyny mkishinda morrison akikatika kiuno je huwaga mnasema nn
Wewe
Goalkeeper anashindwa kunyosha mikono
Hueleweki wewe
Huyo.saidoo.anajifanya.km.yanga.yake.sio.kila.siku.anazinguwa.wachezaj i.wezake.yanfa.timu.huyo.saidoo.hafai.kabisa
Acha kuongea utumbo.. Metacha alikua anajibizana na mashabiki,, Saidoo kaenda kumtuliza sasa unachoongea ujinga nn?? Labda mama ako ndio hafai
@@emirmbarak7564 pumbav we kwan kataj. Mama yako hapo
Jifunze kuandika
Metacha nimkundu sana
😅😅😅😅😅
Utopolo kama utopolo wana nyoropondo O.G Eti na wao wanatafuta ubingwa jaman kuna vituko bongo!
Kaizer
Ndio ss utopolo na tunalipenda kweli ilo jina yan ni kama unasikia chipolopolo vile
@@delimachesa4916 hahahahahahhahahhhahaaaaaaaaa🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸⚽⚽⚽⚽⚽⚽