ANGALIA MAAJABU YA UJENZI WA BARABARA YA MASINGINI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 25 ก.พ. 2024
- WAKALA WA BARABARA ZANZIBAR - TUPO KAZINI
Watendaji wa Wakala wa Barabara Zanzibar wamendelea na zoezi la kuweka alama zinazoonyesha mwisho wa eneo la hifadhi ya Barabara kwa lengo la kuielimisha na kuifahamisha Jamii juu ya umuhimu wa eneo la hifadhi pamoja na matumizi yake ili kukidhi mahitaji ya sasa na baadae kwa barabara hizo. Soez hilo limefanyika katika Barabara ya Binguni, Wilaya ya Kati- Mkoa wa Kusini Unguja
“ Lengo letu ni Kuhakikisha tuna Barabara zenye kukidhi mahitaji muhimu na Viwango Bora, Zanzibar “
Tarehe :: 21 Feb. 2024
Imetolewa na: Ndg: Mulhat Hassan Ali
Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Msemaji Mkuu wa Wakala wa Barbara - Zanzibar
#sisitunatekeleza #NeemaZaAwamuYaNane #zanzibarmpya #ccmzanzibar #ccmtanzania #dr.hmwinyi #fyp #Vitendovinasauti #viral #fypviral #CCMImara #ikulu_habari #Vitendovinasauti #KaziIendelee #ChamaImara #CCMImetimia #ChamaKipoKazini #CCMHatutetereki #Chamakwanza #ChamakinaWatu #CCTupoImaraSana
@ikulu_habari @sisitunatekeleza @NeemaZaAwamuYaNane @zanzibarmpya @ccmzanzibar @ccmtanzania @dr.hmwinyi @fyp @Vitendovinasauti @viral @fypviral @CCMImara @ikulu_habari @Vitendovinasauti @KaziIendelee @ChamaImara @CCMImetimia @ChamaKipoKazini @CCMHatutetereki @Chamakwanza @ChamakinaWatu @CCTupoImaraSana - บันเทิง
safi sana
Kazi Iendelee
Hongera kwa Rais Mwinyi
Hakika haya ndio Maendeleo tunayoyataka Zanzibar
imeanza lini?
imeanza lini mbona mm nlikuepo juzi tu?
Kwi kwi kwi! Kwa jina naitwa "Mheshimiwa Mihayo' Hawa watu wajiona wa maana sana hata hawawezi kujitaja bia ya kutaka aheshimiwe. Nadhani keshamwambia mama yake kuanzia leo niite 'Mheshimiwa'!!!
Tumpe maua yake Dk. Mwinyi anaitekeleza Ilani kwa Vitendo Zaidi
mbona haijamalima mmekimbia mambo mengine bhana 😂😂😂
wafanye waimalize wasije iwach kati ,mana mara hawazimalizi
anajikaza ila maisha magumu
Watu walipwe haki zao ikiwa barabara imepita au itapita kwenye ardhi zao wanazomiliki.
Fuoni kitongani hakuna utalii kwa hiyo barabara haina umuhimu
Vizuri ivo ndo inavotakikana Kodi zawananchi zitumike hivo na misaada ya wahisani yalete tija na maendeleo Asante 3:30 3:33 😂😂
Tunashkuru jitihada za mh ktk kutekeleza majukumu yake na hii ndio kazi ya kiongozi imara na asieyumbishwa
mapembe tunatak kima nyie
huyu mzee naona anataka sifa saiv