#RAMANI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2024
  • #ujenzi #ramanizanyumba #ujenzinafuu

ความคิดเห็น • 105

  • @ramadhanmboga6047
    @ramadhanmboga6047 9 หลายเดือนก่อน +6

    Bro nakufatilia kutoka kenya. Nna malengo ya kujenga nyumba ya kupanga. Napenda ramani zako

  • @aminaabood2898
    @aminaabood2898 7 หลายเดือนก่อน +4

    Tuonyeshe ndan bro kaz zur nitakutafuta

  • @361NEWS
    @361NEWS 9 หลายเดือนก่อน +3

    uko vzr sana kaka bei zako zimekaa vzr sanaaaaaaa!!!!!!!!!!

  • @odettevianney3026
    @odettevianney3026 6 หลายเดือนก่อน

    Motivational speaker mzuri! Keep it up! Shida kuanza mengine utajipanga kama hiyo ni kweli au la

  • @emmanuelmwangosi9400
    @emmanuelmwangosi9400 7 หลายเดือนก่อน

    You are the best analyst. Good job

  • @trillhappybeautypoint9874
    @trillhappybeautypoint9874 ปีที่แล้ว +2

    Aiseee ramani unauzaje ndugu nikupe kazi

  • @MariamMpili-j6n
    @MariamMpili-j6n 13 วันที่ผ่านมา

    Mie nataka kujenga room 3 kwa raman hii inaweza ikawa bei gani

  • @luciamsani
    @luciamsani 11 หลายเดือนก่อน +1

    Ahsante sana naanza kujichanga adoado

  • @zanzibarnikwetu1998
    @zanzibarnikwetu1998 4 หลายเดือนก่อน

    WOW!!!! Keep it up brother!

  • @mafioso1_.
    @mafioso1_. 6 หลายเดือนก่อน

    Aisee una kipaji kikubwa sana
    ✊🏿✊🏿 Maelezoo yame nyooka

  • @halimasanga3830
    @halimasanga3830 ปีที่แล้ว

    Aiseee ansate sanaa kwa kutufungua. Ubarikiwe sanaaa

  • @stansiauisso5441
    @stansiauisso5441 ปีที่แล้ว

    Barikiwa zaidi hio bei ya bati sijaelewa aina gani ya bati

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

    Hongera Raman nzur

  • @SurprisedAtom-hg2wc
    @SurprisedAtom-hg2wc หลายเดือนก่อน

    Pole nakazi natamani nione ndani kama inawezekana

  • @ceciliamaneti5283
    @ceciliamaneti5283 3 หลายเดือนก่อน

    Tufanye kazi kaka

  • @yusrababuu
    @yusrababuu ปีที่แล้ว +2

    Aisee ubarikiwe sana sana😊

  • @Jackilinedanielikilika
    @Jackilinedanielikilika 7 หลายเดือนก่อน

    Asantee kk

  • @ondiekooko6615
    @ondiekooko6615 7 หลายเดือนก่อน +2

    Pokea simu

  • @jamiinaafyanjema2966
    @jamiinaafyanjema2966 ปีที่แล้ว

    Daah! umeniamsha aisee nashukulu sana🙏

  • @user-gh3lj5bh3h
    @user-gh3lj5bh3h 8 หลายเดือนก่อน

    Kaka uko sawa sana

  • @user-hm1oe4zg7t
    @user-hm1oe4zg7t หลายเดือนก่อน

    Nimependa ramani zako,hasa ile ya vyumba vitatu,napataje ramani

  • @peterpaschal4522
    @peterpaschal4522 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mbn garama kidogo sana

    • @zamdamasondole8272
      @zamdamasondole8272 7 หลายเดือนก่อน

      Yaani ndio nashangaa hapa !!

    • @zamdamasondole8272
      @zamdamasondole8272 7 หลายเดือนก่อน

      Ina maana mpk Finishing??

    • @peterpaschal4522
      @peterpaschal4522 7 หลายเดือนก่อน

      Hapa tunaletwa ase sijui lakni labda tumeibiwa na fundi

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme ปีที่แล้ว +1

    Salute 🫡 unatufungua vichwa

  • @user-fq7me9sf2q
    @user-fq7me9sf2q 10 หลายเดือนก่อน

    We jamaa unajua sana

  • @user-jr9iq2ig3z
    @user-jr9iq2ig3z 7 หลายเดือนก่อน

    Nafuu kweli kaka amani

  • @sikudhanimoshi6967
    @sikudhanimoshi6967 7 หลายเดือนก่อน

    Mzuri

  • @ManukatoBand-ep3cu
    @ManukatoBand-ep3cu 4 หลายเดือนก่อน

    Asante

  • @user-dl1gy9pe1g
    @user-dl1gy9pe1g 10 หลายเดือนก่อน

    Asante nitakutafuta

  • @masalasona3735
    @masalasona3735 ปีที่แล้ว

    Thanks

  • @fahadally4444
    @fahadally4444 ปีที่แล้ว +4

    Mungu akulipe kwa mchango wako hakika nitakutafuta

  • @filafinancebss2925
    @filafinancebss2925 10 หลายเดือนก่อน

    🔥🔥🔥🔥

  • @mariethaadelinminja6429
    @mariethaadelinminja6429 5 วันที่ผ่านมา

    Iko wapi

  • @user-ci2fc9xw2g
    @user-ci2fc9xw2g 10 หลายเดือนก่อน

    💯💯💯

  • @ezekielmabwai482
    @ezekielmabwai482 7 หลายเดือนก่อน +2

    Mwongo, Hapo bila be milioni 60 NI ndoto.

    • @zamdamasondole8272
      @zamdamasondole8272 7 หลายเดือนก่อน

      Unajua haya mahesabu unaweza ukagombana na watu walikusimamiaa ujenzi..Nimechukuwa hesabu zke na za ujenzi wangu ziko tofauti sanaaa!!!

    • @zamdamasondole8272
      @zamdamasondole8272 7 หลายเดือนก่อน

      Sioni hesabu ya mkanda na kinta hapa

    • @issasued957
      @issasued957 7 หลายเดือนก่อน

      Kabsa 😂😂😂

  • @innocentchuwa528
    @innocentchuwa528 ปีที่แล้ว

    💯

  • @aludofaustine
    @aludofaustine 4 หลายเดือนก่อน

    Nyumba hii aina mlango nyuma

  • @SaumaBakari-ld2dy
    @SaumaBakari-ld2dy 3 หลายเดือนก่อน

    Asate kak

  • @petermusa7711
    @petermusa7711 7 หลายเดือนก่อน

    Nu vizuri useme nyumba hii inahitaji kiwanja cha ukubwa gani

    • @raphaelgodfrey3284
      @raphaelgodfrey3284 7 หลายเดือนก่อน

      Ameshakuambia ukubwa wa nyumba, ukubwa wa kiwanja unajiongeza mwenyewe.

    • @imamuhamisi4421
      @imamuhamisi4421 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@raphaelgodfrey3284ukubw wanyumber square meter 30😂? Sijaaelew apo

  • @user-mw3kg9hj4f
    @user-mw3kg9hj4f 11 หลายเดือนก่อน

    Jamani.nitakutafuta

  • @user-ei2ud7gh5h
    @user-ei2ud7gh5h ปีที่แล้ว

    Squal meter mie sijui ama ni sawa na kuhesabu miguuu

  • @KusirieJonathan-ln5hk
    @KusirieJonathan-ln5hk 3 หลายเดือนก่อน

    Nyumba ni nzuri,ila usituonyeshe nje TU,tunataka tuone na ndani

  • @user-hv7qt4mt5h
    @user-hv7qt4mt5h 4 หลายเดือนก่อน

    Hi bro nakufatilia san nikiwa oman one day nitakucheki

  • @zamdamasondole8272
    @zamdamasondole8272 7 หลายเดือนก่อน

    Sijasikia hesabu ya kuweka Linta .

  • @user-bx9ow6xz2p
    @user-bx9ow6xz2p 7 หลายเดือนก่อน

    Yani kaka nimependa Romania ya nyumba

  • @user-jj3ge4dt8l
    @user-jj3ge4dt8l 11 หลายเดือนก่อน

    Yan kepten uko sw kabisa

  • @estherdavidjohn-py7hh
    @estherdavidjohn-py7hh 7 หลายเดือนก่อน

    hamjasema wiring ya umeme na maji

  • @user-ph6ye6hr4n
    @user-ph6ye6hr4n หลายเดือนก่อน

    Tyr nnazo nitakupataje

  • @geofreyrwela594
    @geofreyrwela594 ปีที่แล้ว +1

    Unapatikana Dar Sehemu Gani?

  • @hurumajosephat6333
    @hurumajosephat6333 9 หลายเดือนก่อน

    Sio rahis kihivo

    • @basilisamsaka8469
      @basilisamsaka8469 7 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa sio rahis ki hivyo

    • @ginimbifamily3995
      @ginimbifamily3995 7 หลายเดือนก่อน

      Uyu fundi anadanganya watu sana ...atakuj kufungwa akipewa kaz 😂😂😂😂

  • @chrissjapheth2803
    @chrissjapheth2803 ปีที่แล้ว +1

    Watu wa Dar mkishindwa kujenga, Aiseh mikoani huku sio poa Mchanga tu Tipa Mpaka 220,000

    • @sanukamedia9084
      @sanukamedia9084  ปีที่แล้ว

      Duu🤔

    • @chrissjapheth2803
      @chrissjapheth2803 ปีที่แล้ว

      Tena hapo uwe makini, unaweza uziwa mchanga una magadi

    • @chrissjapheth2803
      @chrissjapheth2803 ปีที่แล้ว

      Kokoto kuna za mkono na za crusher zote bei tofauti, kokoto inaanzia 150,000 usafiri inategemea umbali ila inafika hadi 200,000 kwa kokoto za mkono ila zile za crusher ndo bei mbaya kabisa

    • @chrissjapheth2803
      @chrissjapheth2803 ปีที่แล้ว +1

      Tofali na hii bei mpya ya cement inch 5 ni 1400 usafiri ndani ya km 6 ukitoka nje ya hapo jua unalipia usafiri yani Dar mjenge mapema aiseh🔥

    • @preciousjikoni
      @preciousjikoni ปีที่แล้ว +2

      shida sio kijenga shida viwanja sasa😅

  • @josephmsabila9017
    @josephmsabila9017 6 หลายเดือนก่อน

    Kwa bei uliyoitaja siyo sahihi kabisa. Nyumbai hiyo bila millioni 90, hutoboi. Hizo ulizozitaja ni kujenga boma tu.

  • @petermusa7711
    @petermusa7711 7 หลายเดือนก่อน

    Huku dodoma naona fundi analipisha kwa tofari,,tofari moja ni 300

  • @ceciliamaneti5283
    @ceciliamaneti5283 3 หลายเดือนก่อน

    Naitaji tuwasiliane Naitaji unijengee kama hii, nakupataje?

  • @asyavuai
    @asyavuai ปีที่แล้ว

    ASSALAAM ALEKUM, BABA MWANANGUNAPENDA KUJUA UKUBWA WA VYUMBA NI FUTI NGAPI,? MAANA MIMI NAPENDA VYUMBA VIWE VIKUBWA KEA AJILI YA FANTURE

  • @Jerie-q1c
    @Jerie-q1c 7 หลายเดือนก่อน

    Labda kama unazungumzia nyumba ingine.
    Sio hio unayoionyesha

  • @zechariahnganga3520
    @zechariahnganga3520 3 หลายเดือนก่อน

    Piping ya umeme na plumbing je?

  • @vailetheanyambilile9749
    @vailetheanyambilile9749 8 หลายเดือนก่อน

    Brother niko oman na nina kiwanja dara haki nachukua namba zako

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว +1

    Ndio tunasemaga hivyo Jenga nyumba ya uwezo wako

  • @iddyjuma-iw5yy
    @iddyjuma-iw5yy 4 หลายเดือนก่อน

    Habari kk nimekuelewa San namba namba yako

  • @joshuamweta5550
    @joshuamweta5550 6 หลายเดือนก่อน

    80*22000=1760000

  • @asyavuai
    @asyavuai ปีที่แล้ว

    HIVYO VYUMBA VINA UKUBWA GANI

  • @Jerie-q1c
    @Jerie-q1c 7 หลายเดือนก่อน +1

    Sqm 30? Mjumba wote huo??

    • @imamuhamisi4421
      @imamuhamisi4421 5 หลายเดือนก่อน

      Apo itakua kakosea hakuna nyumba ya vyumb ten vinne iwe na square meter 30, labd ivo vyumb ukubwa wake tu kam vyoo

  • @geofreyrwela594
    @geofreyrwela594 ปีที่แล้ว

    Ina square metre 30?

    • @Kalssambabo-gv6uh
      @Kalssambabo-gv6uh 11 หลายเดือนก่อน

      20 kwa 20 square mietre sawa na 400 hii itakua 600

    • @dork8749
      @dork8749 6 หลายเดือนก่อน

      Sq 600 ni nyingi sana labda sqm400​ ukubwa huo @@Kalssambabo-gv6uh

  • @melch3097
    @melch3097 7 หลายเดือนก่อน

    Tatizo lako hujibu simu

  • @st.alvincollege6184
    @st.alvincollege6184 ปีที่แล้ว

    unavyosema ina sqm30 maana yake nn? 30*30 au??

    • @anthonyilalio988
      @anthonyilalio988 10 หลายเดือนก่อน

      Nauhakika kakosea hapa, jibu plz kama bado unaiona hii

    • @agnessima5032
      @agnessima5032 10 หลายเดือนก่อน

      Nadhani.

    • @barakatingisa505
      @barakatingisa505 7 หลายเดือนก่อน

      Hapo bila shaka kamaanisha 30mX30m

    • @issasued957
      @issasued957 7 หลายเดือนก่อน

      5m×6m~ 30sqm

    • @issasued957
      @issasued957 7 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@barakatingisa505 hyo ni 900sqm. Bonge la kiwanja hcho

  • @eunicegerminus193
    @eunicegerminus193 7 หลายเดือนก่อน

    Unafanya masihala nn ww hiyo nyumba bila ml.70 hutoboi na kwa tofari 2000 uwongo labda imejengwa bila msingi

    • @annakbunga8377
      @annakbunga8377 7 หลายเดือนก่อน

      Umeona eee mm mbn kama sijaelewa

    • @arlonmwaka8077
      @arlonmwaka8077 5 หลายเดือนก่อน

      Mnakariri eeeh 😂😅