kaka nimekuelewa nimekupemda nakuombea mungu akupe zaidi mimi sina kitu nimejifunza kitu naamini Iko siku na mimi ntapa hata kidogo ni mefurah huna majidai kama wengine mungu akupe maisha marefu
DC Hongera kaka nmejifunza jambo kwa mwijaku, ukiwatendea wema wazazi wawil na kuishi vizuri na watu mafanikio utayapata kimaajabu na watu wasiamoni machoni mwao, huyu jamaa pamoja na vituko vyake tunavyomuona lkn Ana moyo safi sana kwa wazaz na ndugu hata marafiki huo ni ukwel haupingik
Mastermind love you mwijaku kuna wanaokuzarau ila wewe kiboko na usomi wako wote ukauacha ukawa chawa matunda tunayaona wewe wakuigwa kwa maana ni fano mzuri❤
MashAllah tabarakah Allah, mwijaku Mungu akuzidishie na pia akulinde na macho ya hasad,, inshalla sisi sote pia Allah atuwezeshe mwaka huu tuweze pia timiza ndoto zetu maishani., amiin ya Rabb 🤲🤲....one love mwijaku all the way frm Kenya.
Ila Mwijaku😅 Kwamba uandike mswada serekalini iwekwe kwenye mtaala wanafunzi waje kufanya tour😅 huishi vituko DC. Hongera sana, we love u❤ wish u all the best brother
Nilikuwa nadhani uongo hiyo 1B ila inaweza kuwa mana nimemsikilza kwa makini bei zake za vitu nikahisi anadanganya alivokuja kwenye dirisha ni kweli kabisa walojenga watasema dirisha moja la aluminium ni laki 4 ila la pvc ni laki 6 sasa madirisha kumi ni sh ngapi. Swimming pool ni kweli kabisa 36m bado yale mataa mataa ni gharama kwa kweli. Hongera sana Mwijaku
Hii nchi watu watakufa masikini sana, sometimes tuingie mitandaoni kuelimishana tufanye nini ili kukua kiuchumi, sasa kijana anaingia hapa anaona tu matokeo ya vitu kama hivi na kijana haambiwi mtu huyu amefanya nini ili kuleta matokeo kama haya, akifatilia huyo anaye jisema ndiyo mwenye nyumba anafanya kazi gani, anakuta anaambiwa huyo ni chawa, hivi tunatengeneza nini hapa nchini? Na watu wanakuja hapa wanasema Congratulations... Sifa zenyewe anazo ziongelea ni kama pia unaona wazi Wala hii nyumba yamkini siyo yake
Mwijaku ni msomi, master degree ya mzumbe (sijui fani gani).. ameamua kujichanganya maisha ya mitaani (uchawa) badala ya kuzunguka na bahasha maofisini kutafuta kazi.. nafikiri kuna kitu cha kujifunza
Mwijaku msomi. Ila mafanikio yake yametokana na maisha ya kujitegemea mwenyewe kwa kazi za kutumia busara tu. Naamini utajiri ya binadamu nikarama zake mwenyewe si elimu ingawa nayo ni muhimu. 👍🏼
MashAllah,hongera sana mwijaku walio kuona kichaa umewafunga midomo kweli
Congratulations DC.. MashaAllah 😍 😘 Proud of you Mwijaku 👍🏽👍🏽👍🏽👌🏽🌹🌹🌹
Bahati nzuri mwenyezi mungu wote viumbe wake katuumba na akili, ila kazi ipo kwenye kuzitumia hizo akili zenyewe😎😎😎😎
Huyu jamaa unaweza kumuona chizi,ila jamaa ni mastermind 🎉hongera sana
umeona
Msomi muingizaji huo.Akiwa na watu wenye akili anaongea point.Akiongea watu wanaotaka udaku anawapa udaku.
Jifunzeni kwa mwijaku machawa much respect from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Tuko na cassypool😅
😁😁😁😁kumekucha Muha kama Muha
Hongera Sana ikawe nyumba itakayo kupa amani na upendo kwa familia yako siku zote🙏🔥❤️
Hongera sanaaaa
kaka nimekuelewa nimekupemda nakuombea mungu akupe zaidi mimi sina kitu nimejifunza kitu naamini Iko siku na mimi ntapa hata kidogo ni mefurah huna majidai kama wengine mungu akupe maisha marefu
DC Hongera kaka nmejifunza jambo kwa mwijaku, ukiwatendea wema wazazi wawil na kuishi vizuri na watu mafanikio utayapata kimaajabu na watu wasiamoni machoni mwao, huyu jamaa pamoja na vituko vyake tunavyomuona lkn Ana moyo safi sana kwa wazaz na ndugu hata marafiki huo ni ukwel haupingik
Dah mwijaku hakiry nyingi sanaa broo hongera sanaaa maisha ndiyo hayooo❤❤❤
Nimependa hii nyumba much-loved from Kenya 🇰🇪
Tatizo wasanii wa. Tz. Wamezoea kushea wanawake. Au wanaume mmoja sio kumchagua mmoja na kupanga maisha
Mastermind love you mwijaku kuna wanaokuzarau ila wewe kiboko na usomi wako wote ukauacha ukawa chawa matunda tunayaona wewe wakuigwa kwa maana ni fano mzuri❤
Mungu azidi kubariki kazi ya mikono yako,iwe ya haki si kuangamiza wengine
Mwijaku umenichekesha sana 😂😂😂😂😂 upo vizuri hongeraaaa
Maa shaa Allah... Allah akulinde na kijicho na husda... Allah baarik
MashAllah tabarakah Allah, mwijaku Mungu akuzidishie na pia akulinde na macho ya hasad,, inshalla sisi sote pia Allah atuwezeshe mwaka huu tuweze pia timiza ndoto zetu maishani., amiin ya Rabb 🤲🤲....one love mwijaku all the way frm Kenya.
Ameen
Ameen
Hongera nyumba ipo vzur mzee
Ila Mwijaku😅
Kwamba uandike mswada serekalini iwekwe kwenye mtaala wanafunzi waje kufanya tour😅 huishi vituko DC. Hongera sana, we love u❤ wish u all the best brother
Safiiii Sana Mwijakuu Hongera Sana...Safiii Sio kujitaidi ila umeweza
Nyumba nzuri sana asee jamaa amejua kujenga
Majani yameota ndani ya siku mbili ila mwijaku🙌🤣🤣but mashallah umepambana sana
Mwijaku nakukubali sanaaa maa shaa allah mungu akupandishe daraja ya juu maa shaa allah.
Maskini ❤️🩹 hizo taa za inje mlinzi na muonea huruma hizo lazima ziibiwe
Hayakuhusu😂
Mwijaku niko arusha ongera sana. Mwanamme ni nyumba.
Exactly
Daa mwijaku umeweza baba❤❤
MashaAllah hongera kwa nyumba nzuri.
Umeweza Mwijaku🔥🔥🔥🔥🔥🔥
ALLAH akujaalie na AKHERA upate makaazi MAZURI ZAIDI YA HAYO.
AMMYNA
Braza umefanya jambo zur sanaa tema kubwa si rahis kwa wanaojua maswala ya ujenz watakuelewa,,,lkn baadhi ya vitu hapo sifur zimeongezeka😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nilikuwa nadhani uongo hiyo 1B ila inaweza kuwa mana nimemsikilza kwa makini bei zake za vitu nikahisi anadanganya alivokuja kwenye dirisha ni kweli kabisa walojenga watasema dirisha moja la aluminium ni laki 4 ila la pvc ni laki 6 sasa madirisha kumi ni sh ngapi. Swimming pool ni kweli kabisa 36m bado yale mataa mataa ni gharama kwa kweli. Hongera sana Mwijaku
MashaAllah , mungu ni mwema sana
😅gwp
ongera saaana DC mwijaku djuma shaban from cape Town south Africa ❤❤❤
Masha Allah thabaraka Allahu yaarhmaan 🙏 mabruuk Mr mwinjaku ume ni funza kaka lnsha Allah mwakani nafungua yangu jampo kua nizetu zakiswahili hongera kaka 🙏
Hongera kw kipata kibanda matata sana Allah akulinde
MashaAllah mwijaku Allah akujaliy akup na bingine zaidi ya ibo Allah akutanguliy
Mashallah! Tajiri umepoooa! Umepoooa!👐
Hongera mwaijaku Niko Zambia nakufwatilia
Hongera sn, Mshukuru Mungu Ila usiponde/ kufananisha na nyumba za wengine
Ma Shaa Allah Tabarakallah nimpenda binti yako amejistr🥰🤲
Anaye jenga nyumba lazima apewe eshima yake
Sana ndugu yangu
Kbs mwenzangu
Kabisa sio kila mtu anaakili hii ya kujenga
Maaashaallah jiran yetu , welcome kisota umetuheshimisha DC, nlijua umejenga kibada kule kwa wazaramo akina joti
Mara kitasa 18M mara 8.5M yaan ukiwa muongo uwe na kumbukumbuku😀😀😀
Viko tafauti vitasa
@@user-vx8op6vn1q Tatizo watu wamekalia kutafuta makosa, achana na hiyo husda haitakufikisha popote. Mwenzio akifanikiwa iwe chachu kwako
Awe anasikiliza vizuri😅
Muungo nini Sasa siyo nyumba yake au hawezi kkupa ukweli wakila jambo
Cha kwako sh.ngapi?
Maashaalah Maashaalah Maashaalah kaka mungu azidi kukubarki sana inshaalah
Hongera ujitaidi uchawa unalipa niaze hii kazi msimseme hameweza hana shida kuomba kodi
Hii nchi watu watakufa masikini sana, sometimes tuingie mitandaoni kuelimishana tufanye nini ili kukua kiuchumi, sasa kijana anaingia hapa anaona tu matokeo ya vitu kama hivi na kijana haambiwi mtu huyu amefanya nini ili kuleta matokeo kama haya, akifatilia huyo anaye jisema ndiyo mwenye nyumba anafanya kazi gani, anakuta anaambiwa huyo ni chawa, hivi tunatengeneza nini hapa nchini? Na watu wanakuja hapa wanasema Congratulations... Sifa zenyewe anazo ziongelea ni kama pia unaona wazi Wala hii nyumba yamkini siyo yake
Nyumba siyo yake kivipi.. Una evidence..
Umezoea spoon feeding
Unataka uelekezwe Kila kitu toka elimu ya darasani hdi ya maisha
Haya kaa kuna mtu atakuja kuku elekeza sawa
Ww kaka mwijaku ww hongera sana nakuombea uweke furniture nzuri nyumba ionekane nzuri zaidi congratulation
Hongera sana uzidi kupiga hatua zaidi najua wenye roho mbaya hawakosi la kusema maana wivu umewajaa
Masha'allah..nimeipenda nyumb nzuri☑️
Hongera boss nyumba ni nzuri umejitahidi
Mwijaku ni msomi, master degree ya mzumbe (sijui fani gani).. ameamua kujichanganya maisha ya mitaani (uchawa) badala ya kuzunguka na bahasha maofisini kutafuta kazi.. nafikiri kuna kitu cha kujifunza
We jidanganye kuwa hajataka kuzunguka na bahasha
Mbona kaajiriwa Kaka clouds 😅😅😅😅😅😅
Kazi zenyewe za kujuana utazunguka na bahasa ya kaki mji mzima bila mafanikio,jiongeze
Sasa lakini angefanya huko office angetoboa lini acha ushamba bwana
Mwijaku msomi. Ila mafanikio yake yametokana na maisha ya kujitegemea mwenyewe kwa kazi za kutumia busara tu. Naamini utajiri ya binadamu nikarama zake mwenyewe si elimu ingawa nayo ni muhimu.
👍🏼
Mwijaku anahakil Sana hongera 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hii nyumba ni nzuri aisee kama ni ya kwako kweli nakupigia saluti mwijaku umetisha
Ongera mwijaku na mm atanipa na mume wangu tutajenga kama hiyi❤❤❤
Kweli eeeh
Inshaallah
Hongera sana Mwijaku ni hatua kubwa sana umepiga nyumba yenu kwa maana na mkeo ni nzuri sana hongereni sana
Kwel uyu mwehu njoo bukoba uku uwone utumbo wote unaotukanishia watu😏😆🤣 Sema hongera Sana ndo uwezo wako ulipo ishia maashaallah
Hongera sana mwijaku ila mpaka umention watu anyways mnajuana
Maashallah brother umejipanga tuombee na sisi dua
Hongera sana sana upewe maua yako kwakweli
Hongera nyumba Yako ni mzuri Sanaa Mwijaku
Hongera Sana,mm naomba Kazi ya kukuwekea electric fence.kwa bei nzuri,nipo Zanzibar.
MashaAllah ❤❤❤
Aka bachuchu Mombasa 001
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Chumba Cha kusalia kikowapi ???
Masha_Allah Masha_Allah
Nyumba ni nzuri inabid uwanunue na majilan ili uwe na neibhourhood nzuri
Hongera sana Mwijaku
Jamaa muongo izo koki omani rial 7 masinki 25 adi 20 unachukua camera laki tuu na nusu😂😂😂
Hongera mwijaku
Hongela sana jaman ❤
(19) اعْلَمُوا أَنَّمَا الْحَيَاةُ الدُّنْيَا لَعِبٌ وَلَهْوٌ وَزِينَةٌ وَتَفَاخُرٌ بَيْنَكُمْ وَتَكَاثُرٌ فِي الْأَمْوَالِ وَالْأَوْلَادِ ۖ كَمَثَلِ غَيْثٍ أَعْجَبَ الْكُفَّارَ نَبَاتُهُ ثُمَّ يَهِيجُ فَتَرَاهُ مُصْفَرًّا ثُمَّ يَكُونُ حُطَامًا ۖ وَفِي الْآخِرَةِ عَذَابٌ شَدِيدٌ وَمَغْفِرَةٌ مِّنَ اللَّهِ وَرِضْوَانٌ ۚ وَمَا الْحَيَاةُ الدُّنْيَا إِلَّا مَتَاعُ الْغُرُورِ (20)
Manshaallah hongera sana mwijaku 🎉🎉
Hongera sana bro mungu azidi kukupigania itakuwa funzo kwa wengine
Nimekubali brooo,,kigoma sifa lkn kutafuta na kufanya vya maana ni sifa zetu
Hongera Dc
Vizuri sana ndugu yangu 🎉🎉🎉🎉
Sanitary za kawaida Sana.😂😂😂😂😂😂 Nimecheka kwenye mixers toilets na hand washing basins.
Hongera brother mwijaku ❤
Mwenye nyumba tunamjua na ndoo kaita watu kuomba dua nyumba yake mpya MashaaAllah
Mara hii imekua ya mwijaku
Nani?
Jamaa muongo hatari kapata wapi bilioni na kujenga kwa mshahara gani au biashara gani hebu nijuzeni🤔🤔🤔🤔
Nijuze basi nani
Hongera babu
Hongela kaka ❤❤❤
Hongera sana mr. and mrs. Mwijaku
Yaaaan mwijaku wewe wakutuangaisha hivi leo mitandaon mara Instagram,fb, TH-cam tunyoosha baba
Yani katueleleza kweli leo😂😂
Aiiseeee...!!! Hongera sana
Mama levo nae avunje record km anaweza😂😂😂😂
Umeupiga mwingi bro,Alw akulinde zaidi nasi tunajifunza kitu
Kazi kwelikweli ila hongera bwana😁😁
Umeweza mwijakuol❤❤❤❤❤
Actions speaks more than words congratulations brother
Ongera saaaan 😊
Hongera sana mwijaku!!!!umejitahidi saaaana
Hongera umeuanza mwaka vizur
Iwe kweli basi ya kwake manake alitudanganya hozu nyumba akaionyesha kumbe ya jamaa mwingine.ninawasiwasi na huomjengo
Mungu nakulilia namimi uje unikumbuke ktk maisha haya ya dunia mpaka huko kwako😢😢😢😢😢
Usijali atakukumbuka tu
Kazi nzuri Sana hongera
Manshaa Allah ❤
Hongera sana muha
Big up brother
Mashaallah
Hongera Sanaa ushaurii ongea na majirani waliopo karibu na wewe uwahamishe Nyumba iwe na eneo kubwaa
Saleh kapatikana leo umbea woote umemuisha🤣🤣🤣🤣🤣
Kitasa kinanunua nyumba za watu...😂😂😂😂😂
Wabongo tunavyopenda mafanikio ya haraka naona mwaka huu watu wengi watakuwa machawa 😅😅😅😅
Haaaaas
😂😂😂😂😂
Wa kumfanyia uchawa wenyewe Sasa,na je kuyaweza haya ya mwijaku
😅😅😅😅😅
Huyo mnafki sana
Mashallah DC @ MK 🇬🇧