TAZAMA MWIJAKU AKIONYESHA MJENGO WAKE KIFAHARI ALIYOJENGA KIGAMBONI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ม.ค. 2024
  • Usisahau ku"SUBSCRIBE" TH-cam channel yetu kwa videos nyinginezo
    #zamaraditv #mambonimengi
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 632

  • @Uwamahoro-fefe.15
    @Uwamahoro-fefe.15 4 หลายเดือนก่อน +32

    MashAllah,hongera sana mwijaku walio kuona kichaa umewafunga midomo kweli

  • @sophiekindem9071
    @sophiekindem9071 4 หลายเดือนก่อน +33

    Congratulations DC.. MashaAllah 😍 😘 Proud of you Mwijaku 👍🏽👍🏽👍🏽👌🏽🌹🌹🌹

  • @user-zb2mj5nd5g
    @user-zb2mj5nd5g 4 หลายเดือนก่อน +23

    Bahati nzuri mwenyezi mungu wote viumbe wake katuumba na akili, ila kazi ipo kwenye kuzitumia hizo akili zenyewe😎😎😎😎

  • @hellennehemia9269
    @hellennehemia9269 4 หลายเดือนก่อน +75

    Huyu jamaa unaweza kumuona chizi,ila jamaa ni mastermind 🎉hongera sana

    • @jenjoseph7270
      @jenjoseph7270 4 หลายเดือนก่อน

      umeona

    • @MCNgakungaJunior
      @MCNgakungaJunior 4 หลายเดือนก่อน

      Msomi muingizaji huo.Akiwa na watu wenye akili anaongea point.Akiongea watu wanaotaka udaku anawapa udaku.

  • @mariozulu5743
    @mariozulu5743 4 หลายเดือนก่อน +30

    Jifunzeni kwa mwijaku machawa much respect from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @MBAmir-bl9sd
      @MBAmir-bl9sd 4 หลายเดือนก่อน +1

      Tuko na cassypool😅

  • @happyfaniabatromeo8010
    @happyfaniabatromeo8010 4 หลายเดือนก่อน +17

    😁😁😁😁kumekucha Muha kama Muha
    Hongera Sana ikawe nyumba itakayo kupa amani na upendo kwa familia yako siku zote🙏🔥❤️

  • @user-yu3kg6zl8q
    @user-yu3kg6zl8q หลายเดือนก่อน +1

    kaka nimekuelewa nimekupemda nakuombea mungu akupe zaidi mimi sina kitu nimejifunza kitu naamini Iko siku na mimi ntapa hata kidogo ni mefurah huna majidai kama wengine mungu akupe maisha marefu

  • @user-nz4lx1hr2w
    @user-nz4lx1hr2w 4 หลายเดือนก่อน +7

    DC Hongera kaka nmejifunza jambo kwa mwijaku, ukiwatendea wema wazazi wawil na kuishi vizuri na watu mafanikio utayapata kimaajabu na watu wasiamoni machoni mwao, huyu jamaa pamoja na vituko vyake tunavyomuona lkn Ana moyo safi sana kwa wazaz na ndugu hata marafiki huo ni ukwel haupingik

  • @user-wy2qo6gl9v
    @user-wy2qo6gl9v 4 หลายเดือนก่อน +10

    Dah mwijaku hakiry nyingi sanaa broo hongera sanaaa maisha ndiyo hayooo❤❤❤

  • @medinahsamita3981
    @medinahsamita3981 4 หลายเดือนก่อน +4

    Nimependa hii nyumba much-loved from Kenya 🇰🇪

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 4 หลายเดือนก่อน +13

    Tatizo wasanii wa. Tz. Wamezoea kushea wanawake. Au wanaume mmoja sio kumchagua mmoja na kupanga maisha

  • @user-jb3uq6jg5f
    @user-jb3uq6jg5f 4 หลายเดือนก่อน +6

    Mastermind love you mwijaku kuna wanaokuzarau ila wewe kiboko na usomi wako wote ukauacha ukawa chawa matunda tunayaona wewe wakuigwa kwa maana ni fano mzuri❤

  • @tupokigwemarco7584
    @tupokigwemarco7584 4 หลายเดือนก่อน +5

    Mungu azidi kubariki kazi ya mikono yako,iwe ya haki si kuangamiza wengine

  • @PendoMatemba-ql1ng
    @PendoMatemba-ql1ng 4 หลายเดือนก่อน +9

    Mwijaku umenichekesha sana 😂😂😂😂😂 upo vizuri hongeraaaa

  • @ummahmed3354
    @ummahmed3354 4 หลายเดือนก่อน +3

    Maa shaa Allah... Allah akulinde na kijicho na husda... Allah baarik

  • @saidgawawa8519
    @saidgawawa8519 4 หลายเดือนก่อน +9

    MashAllah tabarakah Allah, mwijaku Mungu akuzidishie na pia akulinde na macho ya hasad,, inshalla sisi sote pia Allah atuwezeshe mwaka huu tuweze pia timiza ndoto zetu maishani., amiin ya Rabb 🤲🤲....one love mwijaku all the way frm Kenya.

    • @hp2623
      @hp2623 4 หลายเดือนก่อน +1

      Ameen

    • @nasra95kings43
      @nasra95kings43 4 หลายเดือนก่อน +1

      Ameen

  • @josephkiwale374
    @josephkiwale374 4 หลายเดือนก่อน +16

    Hongera nyumba ipo vzur mzee

  • @sky-wz5zi
    @sky-wz5zi 4 หลายเดือนก่อน +3

    Ila Mwijaku😅
    Kwamba uandike mswada serekalini iwekwe kwenye mtaala wanafunzi waje kufanya tour😅 huishi vituko DC. Hongera sana, we love u❤ wish u all the best brother

  • @matungwajermanus7961
    @matungwajermanus7961 4 หลายเดือนก่อน +8

    Safiiii Sana Mwijakuu Hongera Sana...Safiii Sio kujitaidi ila umeweza

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 4 หลายเดือนก่อน +5

    Nyumba nzuri sana asee jamaa amejua kujenga

  • @user-ew3wc2wt2e
    @user-ew3wc2wt2e 4 หลายเดือนก่อน +4

    Majani yameota ndani ya siku mbili ila mwijaku🙌🤣🤣but mashallah umepambana sana

  • @murekateteaza9524
    @murekateteaza9524 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mwijaku nakukubali sanaaa maa shaa allah mungu akupandishe daraja ya juu maa shaa allah.

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 4 หลายเดือนก่อน +12

    Maskini ❤️‍🩹 hizo taa za inje mlinzi na muonea huruma hizo lazima ziibiwe

    • @ahz6907
      @ahz6907 4 หลายเดือนก่อน

      Hayakuhusu😂

  • @dismasshayo2195
    @dismasshayo2195 4 หลายเดือนก่อน +29

    Mwijaku niko arusha ongera sana. Mwanamme ni nyumba.

  • @user-lw7wd8nz9g
    @user-lw7wd8nz9g 4 หลายเดือนก่อน +6

    Daa mwijaku umeweza baba❤❤

  • @issashebe11
    @issashebe11 4 หลายเดือนก่อน +4

    MashaAllah hongera kwa nyumba nzuri.

  • @ahuriladaniel9849
    @ahuriladaniel9849 4 หลายเดือนก่อน +6

    Umeweza Mwijaku🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @HalimaSalym-jl2ui
    @HalimaSalym-jl2ui 4 หลายเดือนก่อน +1

    ALLAH akujaalie na AKHERA upate makaazi MAZURI ZAIDI YA HAYO.
    AMMYNA

  • @frankmlalila1705
    @frankmlalila1705 4 หลายเดือนก่อน +1

    Braza umefanya jambo zur sanaa tema kubwa si rahis kwa wanaojua maswala ya ujenz watakuelewa,,,lkn baadhi ya vitu hapo sifur zimeongezeka😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @salomemunishi1695
    @salomemunishi1695 5 วันที่ผ่านมา

    Nilikuwa nadhani uongo hiyo 1B ila inaweza kuwa mana nimemsikilza kwa makini bei zake za vitu nikahisi anadanganya alivokuja kwenye dirisha ni kweli kabisa walojenga watasema dirisha moja la aluminium ni laki 4 ila la pvc ni laki 6 sasa madirisha kumi ni sh ngapi. Swimming pool ni kweli kabisa 36m bado yale mataa mataa ni gharama kwa kweli. Hongera sana Mwijaku

  • @jahsjjsj583
    @jahsjjsj583 4 หลายเดือนก่อน +16

    MashaAllah , mungu ni mwema sana

  • @user-px8mx1ce4o
    @user-px8mx1ce4o 4 หลายเดือนก่อน

    ongera saaana DC mwijaku djuma shaban from cape Town south Africa ❤❤❤

  • @bakariathmanathman2187
    @bakariathmanathman2187 4 หลายเดือนก่อน

    Masha Allah thabaraka Allahu yaarhmaan 🙏 mabruuk Mr mwinjaku ume ni funza kaka lnsha Allah mwakani nafungua yangu jampo kua nizetu zakiswahili hongera kaka 🙏

  • @amemasudi5735
    @amemasudi5735 4 หลายเดือนก่อน +6

    Hongera kw kipata kibanda matata sana Allah akulinde

  • @zainabumosi23
    @zainabumosi23 4 หลายเดือนก่อน +1

    MashaAllah mwijaku Allah akujaliy akup na bingine zaidi ya ibo Allah akutanguliy

  • @luckyluchano1
    @luckyluchano1 4 หลายเดือนก่อน +4

    Mashallah! Tajiri umepoooa! Umepoooa!👐

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe9976 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera mwaijaku Niko Zambia nakufwatilia

  • @rehemageofrey1246
    @rehemageofrey1246 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sn, Mshukuru Mungu Ila usiponde/ kufananisha na nyumba za wengine

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ma Shaa Allah Tabarakallah nimpenda binti yako amejistr🥰🤲

  • @user-pd2fk6kt5i
    @user-pd2fk6kt5i 4 หลายเดือนก่อน +25

    Anaye jenga nyumba lazima apewe eshima yake

    • @user-gz8fb4tg1o
      @user-gz8fb4tg1o 4 หลายเดือนก่อน

      Sana ndugu yangu

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 4 หลายเดือนก่อน

      Kbs mwenzangu

    • @sylviaforest3001
      @sylviaforest3001 4 หลายเดือนก่อน

      Kabisa sio kila mtu anaakili hii ya kujenga

  • @user-nz4lx1hr2w
    @user-nz4lx1hr2w 4 หลายเดือนก่อน

    Maaashaallah jiran yetu , welcome kisota umetuheshimisha DC, nlijua umejenga kibada kule kwa wazaramo akina joti

  • @samtelah7578
    @samtelah7578 4 หลายเดือนก่อน +19

    Mara kitasa 18M mara 8.5M yaan ukiwa muongo uwe na kumbukumbuku😀😀😀

    • @user-vx8op6vn1q
      @user-vx8op6vn1q 4 หลายเดือนก่อน +1

      Viko tafauti vitasa

    • @igihamanuel1
      @igihamanuel1 4 หลายเดือนก่อน

      @@user-vx8op6vn1q Tatizo watu wamekalia kutafuta makosa, achana na hiyo husda haitakufikisha popote. Mwenzio akifanikiwa iwe chachu kwako

    • @mercyhumbe8857
      @mercyhumbe8857 4 หลายเดือนก่อน +1

      Awe anasikiliza vizuri😅

    • @hasanichengula68
      @hasanichengula68 4 หลายเดือนก่อน

      Muungo nini Sasa siyo nyumba yake au hawezi kkupa ukweli wakila jambo

    • @user-bl7qn2ty5u
      @user-bl7qn2ty5u 4 หลายเดือนก่อน

      Cha kwako sh.ngapi?

  • @PiliKhamis-mb6ty
    @PiliKhamis-mb6ty 4 หลายเดือนก่อน +2

    Maashaalah Maashaalah Maashaalah kaka mungu azidi kukubarki sana inshaalah

  • @DpN-rk8xz
    @DpN-rk8xz 4 หลายเดือนก่อน +4

    Hongera ujitaidi uchawa unalipa niaze hii kazi msimseme hameweza hana shida kuomba kodi

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu2083 4 หลายเดือนก่อน +4

    Hii nchi watu watakufa masikini sana, sometimes tuingie mitandaoni kuelimishana tufanye nini ili kukua kiuchumi, sasa kijana anaingia hapa anaona tu matokeo ya vitu kama hivi na kijana haambiwi mtu huyu amefanya nini ili kuleta matokeo kama haya, akifatilia huyo anaye jisema ndiyo mwenye nyumba anafanya kazi gani, anakuta anaambiwa huyo ni chawa, hivi tunatengeneza nini hapa nchini? Na watu wanakuja hapa wanasema Congratulations... Sifa zenyewe anazo ziongelea ni kama pia unaona wazi Wala hii nyumba yamkini siyo yake

    • @kenyatodaynews423
      @kenyatodaynews423 3 หลายเดือนก่อน

      Nyumba siyo yake kivipi.. Una evidence..

    • @fredducaunt
      @fredducaunt หลายเดือนก่อน

      Umezoea spoon feeding
      Unataka uelekezwe Kila kitu toka elimu ya darasani hdi ya maisha
      Haya kaa kuna mtu atakuja kuku elekeza sawa

  • @user-wm9or1nw8s
    @user-wm9or1nw8s 4 หลายเดือนก่อน

    Ww kaka mwijaku ww hongera sana nakuombea uweke furniture nzuri nyumba ionekane nzuri zaidi congratulation

  • @helminahpeter4886
    @helminahpeter4886 4 หลายเดือนก่อน +3

    Hongera sana uzidi kupiga hatua zaidi najua wenye roho mbaya hawakosi la kusema maana wivu umewajaa

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 4 หลายเดือนก่อน

    Masha'allah..nimeipenda nyumb nzuri☑️

  • @godfreymwamaso2424
    @godfreymwamaso2424 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera boss nyumba ni nzuri umejitahidi

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 4 หลายเดือนก่อน +153

    Mwijaku ni msomi, master degree ya mzumbe (sijui fani gani).. ameamua kujichanganya maisha ya mitaani (uchawa) badala ya kuzunguka na bahasha maofisini kutafuta kazi.. nafikiri kuna kitu cha kujifunza

    • @modernfarming5938
      @modernfarming5938 4 หลายเดือนก่อน +9

      We jidanganye kuwa hajataka kuzunguka na bahasha

    • @omaryomary4356
      @omaryomary4356 4 หลายเดือนก่อน +9

      Mbona kaajiriwa Kaka clouds 😅😅😅😅😅😅

    • @frankngoloka5416
      @frankngoloka5416 4 หลายเดือนก่อน +13

      Kazi zenyewe za kujuana utazunguka na bahasa ya kaki mji mzima bila mafanikio,jiongeze

    • @zubedamrutu3156
      @zubedamrutu3156 4 หลายเดือนก่อน +8

      Sasa lakini angefanya huko office angetoboa lini acha ushamba bwana

    • @eppiemodest
      @eppiemodest 4 หลายเดือนก่อน +16

      Mwijaku msomi. Ila mafanikio yake yametokana na maisha ya kujitegemea mwenyewe kwa kazi za kutumia busara tu. Naamini utajiri ya binadamu nikarama zake mwenyewe si elimu ingawa nayo ni muhimu.
      👍🏼

  • @user-zy4dd6qv3p
    @user-zy4dd6qv3p 4 หลายเดือนก่อน +5

    Mwijaku anahakil Sana hongera 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @rodethazard6598
    @rodethazard6598 4 หลายเดือนก่อน

    Hii nyumba ni nzuri aisee kama ni ya kwako kweli nakupigia saluti mwijaku umetisha

  • @mamy8220
    @mamy8220 4 หลายเดือนก่อน +8

    Ongera mwijaku na mm atanipa na mume wangu tutajenga kama hiyi❤❤❤

  • @georgemkassu8301
    @georgemkassu8301 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana Mwijaku ni hatua kubwa sana umepiga nyumba yenu kwa maana na mkeo ni nzuri sana hongereni sana

  • @ayubuidd6664
    @ayubuidd6664 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kwel uyu mwehu njoo bukoba uku uwone utumbo wote unaotukanishia watu😏😆🤣 Sema hongera Sana ndo uwezo wako ulipo ishia maashaallah

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 4 หลายเดือนก่อน +5

    Hongera sana mwijaku ila mpaka umention watu anyways mnajuana

  • @SalmaChamy-tg4bo
    @SalmaChamy-tg4bo 4 หลายเดือนก่อน +5

    Maashallah brother umejipanga tuombee na sisi dua

  • @hellenngwilla550
    @hellenngwilla550 4 หลายเดือนก่อน +3

    Hongera sana sana upewe maua yako kwakweli

  • @user-vb5qj8zo9w
    @user-vb5qj8zo9w 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera nyumba Yako ni mzuri Sanaa Mwijaku

  • @user-vv8jg2dy6c
    @user-vv8jg2dy6c 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera Sana,mm naomba Kazi ya kukuwekea electric fence.kwa bei nzuri,nipo Zanzibar.

  • @khamisshee803
    @khamisshee803 4 หลายเดือนก่อน +2

    MashaAllah ❤❤❤
    Aka bachuchu Mombasa 001
    🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @hamudseif4406
      @hamudseif4406 4 หลายเดือนก่อน

      Chumba Cha kusalia kikowapi ???

  • @shamimulazaro9518
    @shamimulazaro9518 4 หลายเดือนก่อน +6

    Masha_Allah Masha_Allah

  • @hurumajosephat6333
    @hurumajosephat6333 4 หลายเดือนก่อน +2

    Nyumba ni nzuri inabid uwanunue na majilan ili uwe na neibhourhood nzuri

  • @taseleli9181
    @taseleli9181 4 หลายเดือนก่อน +4

    Hongera sana Mwijaku

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 4 หลายเดือนก่อน +3

    Jamaa muongo izo koki omani rial 7 masinki 25 adi 20 unachukua camera laki tuu na nusu😂😂😂

  • @glorianikiza3940
    @glorianikiza3940 4 หลายเดือนก่อน +3

    Hongera mwijaku

  • @user-fo2ip9xv6n
    @user-fo2ip9xv6n 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hongela sana jaman ❤

  • @abuqusay8912
    @abuqusay8912 4 หลายเดือนก่อน

    (19) اعْلَمُوا أَنَّمَا الْحَيَاةُ الدُّنْيَا لَعِبٌ وَلَهْوٌ وَزِينَةٌ وَتَفَاخُرٌ بَيْنَكُمْ وَتَكَاثُرٌ فِي الْأَمْوَالِ وَالْأَوْلَادِ ۖ كَمَثَلِ غَيْثٍ أَعْجَبَ الْكُفَّارَ نَبَاتُهُ ثُمَّ يَهِيجُ فَتَرَاهُ مُصْفَرًّا ثُمَّ يَكُونُ حُطَامًا ۖ وَفِي الْآخِرَةِ عَذَابٌ شَدِيدٌ وَمَغْفِرَةٌ مِّنَ اللَّهِ وَرِضْوَانٌ ۚ وَمَا الْحَيَاةُ الدُّنْيَا إِلَّا مَتَاعُ الْغُرُورِ (20)

  • @AminaHassan-jr2cp
    @AminaHassan-jr2cp 4 หลายเดือนก่อน

    Manshaallah hongera sana mwijaku 🎉🎉

  • @user-wz6kj6ei4e
    @user-wz6kj6ei4e 3 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana bro mungu azidi kukupigania itakuwa funzo kwa wengine

  • @user-od4jv1dj8e
    @user-od4jv1dj8e 3 หลายเดือนก่อน

    Nimekubali brooo,,kigoma sifa lkn kutafuta na kufanya vya maana ni sifa zetu

  • @adamnzobakenga7652
    @adamnzobakenga7652 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera Dc

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 4 หลายเดือนก่อน +1

    Vizuri sana ndugu yangu 🎉🎉🎉🎉

  • @ismailchibonda5005
    @ismailchibonda5005 3 หลายเดือนก่อน

    Sanitary za kawaida Sana.😂😂😂😂😂😂 Nimecheka kwenye mixers toilets na hand washing basins.

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera brother mwijaku ❤

  • @kijitamfyomi5598
    @kijitamfyomi5598 4 หลายเดือนก่อน

    Mwenye nyumba tunamjua na ndoo kaita watu kuomba dua nyumba yake mpya MashaaAllah
    Mara hii imekua ya mwijaku

    • @sarahgaula2220
      @sarahgaula2220 4 หลายเดือนก่อน

      Nani?

    • @SafiyaJ-yw2vt
      @SafiyaJ-yw2vt 4 หลายเดือนก่อน

      Jamaa muongo hatari kapata wapi bilioni na kujenga kwa mshahara gani au biashara gani hebu nijuzeni🤔🤔🤔🤔

    • @SafiyaJ-yw2vt
      @SafiyaJ-yw2vt 4 หลายเดือนก่อน

      Nijuze basi nani

  • @danielphilipo9088
    @danielphilipo9088 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera babu

  • @latifakhalfani
    @latifakhalfani 4 หลายเดือนก่อน

    Hongela kaka ❤❤❤

  • @aishaddddhh6272
    @aishaddddhh6272 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana mr. and mrs. Mwijaku

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 4 หลายเดือนก่อน +10

    Yaaaan mwijaku wewe wakutuangaisha hivi leo mitandaon mara Instagram,fb, TH-cam tunyoosha baba

    • @maryumamapunda8910
      @maryumamapunda8910 4 หลายเดือนก่อน +1

      Yani katueleleza kweli leo😂😂

  • @donardmsomi8451
    @donardmsomi8451 4 หลายเดือนก่อน

    Aiiseeee...!!! Hongera sana

  • @witnessinary7807
    @witnessinary7807 4 หลายเดือนก่อน

    Mama levo nae avunje record km anaweza😂😂😂😂

  • @lenatussimon2323
    @lenatussimon2323 26 วันที่ผ่านมา

    Umeupiga mwingi bro,Alw akulinde zaidi nasi tunajifunza kitu

  • @skyleryung7555
    @skyleryung7555 4 หลายเดือนก่อน +3

    Kazi kwelikweli ila hongera bwana😁😁

  • @saumukiduma
    @saumukiduma 4 หลายเดือนก่อน

    Umeweza mwijakuol❤❤❤❤❤

  • @thomasmelele2669
    @thomasmelele2669 4 หลายเดือนก่อน +5

    Actions speaks more than words congratulations brother

  • @annayambayamba8614
    @annayambayamba8614 4 หลายเดือนก่อน +3

    Ongera saaaan 😊

  • @taturajabukhalfani7953
    @taturajabukhalfani7953 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana mwijaku!!!!umejitahidi saaaana

  • @AgathaMatambula-lf7fv
    @AgathaMatambula-lf7fv 4 หลายเดือนก่อน +4

    Hongera umeuanza mwaka vizur

    • @user-wd7ji6mn5b
      @user-wd7ji6mn5b 4 หลายเดือนก่อน

      Iwe kweli basi ya kwake manake alitudanganya hozu nyumba akaionyesha kumbe ya jamaa mwingine.ninawasiwasi na huomjengo

  • @jastinemwandobo2729
    @jastinemwandobo2729 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu nakulilia namimi uje unikumbuke ktk maisha haya ya dunia mpaka huko kwako😢😢😢😢😢

    • @hyacintagugu7
      @hyacintagugu7 4 หลายเดือนก่อน

      Usijali atakukumbuka tu

  • @marysaituni4584
    @marysaituni4584 4 หลายเดือนก่อน

    Kazi nzuri Sana hongera

  • @nasraswakala
    @nasraswakala 4 หลายเดือนก่อน

    Manshaa Allah ❤

  • @user-ro9de9jj9l
    @user-ro9de9jj9l 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana muha

  • @user-pp1lx2wc2t
    @user-pp1lx2wc2t 4 หลายเดือนก่อน

    Big up brother

  • @user-dz5jc6pp8e
    @user-dz5jc6pp8e 4 หลายเดือนก่อน +3

    Mashaallah

  • @frankmahenge5943
    @frankmahenge5943 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera Sanaa ushaurii ongea na majirani waliopo karibu na wewe uwahamishe Nyumba iwe na eneo kubwaa

  • @missmoona4497
    @missmoona4497 4 หลายเดือนก่อน +1

    Saleh kapatikana leo umbea woote umemuisha🤣🤣🤣🤣🤣

  • @athmanywaomary3204
    @athmanywaomary3204 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kitasa kinanunua nyumba za watu...😂😂😂😂😂

  • @Frolianagabito3000
    @Frolianagabito3000 4 หลายเดือนก่อน +27

    Wabongo tunavyopenda mafanikio ya haraka naona mwaka huu watu wengi watakuwa machawa 😅😅😅😅

    • @veronikachingo3900
      @veronikachingo3900 4 หลายเดือนก่อน +1

      Haaaaas

    • @hanifaally4694
      @hanifaally4694 4 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂😂

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 4 หลายเดือนก่อน +1

      Wa kumfanyia uchawa wenyewe Sasa,na je kuyaweza haya ya mwijaku

    • @majidfrolian4904
      @majidfrolian4904 4 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅😅

    • @anjuadnani2607
      @anjuadnani2607 4 หลายเดือนก่อน

      Huyo mnafki sana

  • @mohammedkombo9798
    @mohammedkombo9798 4 หลายเดือนก่อน

    Mashallah DC @ MK 🇬🇧