Kama kuna jambo nampongeza rais moja ni hilo nilitamani siku moja nimuone nimshauri jambo. Kwani nchi nyingi zina pata mapato makubwa kwa sheria za barabarani hongera hilo ni jambo zuri ila hio camera zisome offin kwako na upunguze traffic police barabarani km inchi nyengne zinavyo fanya hongera kiukweli
Huyu rais ukimpenda au usimpende haki yake apongezwe anafanya Mazuri anajitahidi kuleta maendeleo mwenye macho hambiwi tizama
Kabisa
❤❤❤❤
Kama kuna jambo nampongeza rais moja ni hilo nilitamani siku moja nimuone nimshauri jambo. Kwani nchi nyingi zina pata mapato makubwa kwa sheria za barabarani hongera hilo ni jambo zuri ila hio camera zisome offin kwako na upunguze traffic police barabarani km inchi nyengne zinavyo fanya hongera kiukweli
Jambo la kimshauri ni barabara kuzitanua sio kua nyembamba kama hivi
Tuambieni barabara gani zilizokuwepo Unguja line ngapi ?.NI barabara moja kwenda na moja kurudi na baiskeli zipo barabarani kama gari.
Hakika zilipaswa kutanuliwa suo kuwa nyembamba