THUBUTU UONE: PUTIN amuonya MACRON kwa kauli kuwa UKRAINE itumie silaha anazopewa kuipiga URUSI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 14 ต.ค. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

ความคิดเห็น • 168

  • @hassangaddafi2347
    @hassangaddafi2347 4 หลายเดือนก่อน +25

    Putin baba lao ❤❤🇷🇺🇷🇺🇷🇺
    Free Palestinian ❤❤🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇰🇪

  • @husseinhemedi9314
    @husseinhemedi9314 4 หลายเดือนก่อน +37

    Watapigwa kama ngoma yetu macho Putin piga mashoga hao🇷🇺

  • @imanuelnguya9277
    @imanuelnguya9277 4 หลายเดือนก่อน +7

    Asante sana ndg mtangazaji

  • @jumabuckary7698
    @jumabuckary7698 4 หลายเดือนก่อน +8

    Hawa wazungu wanajifurahisha tuu na maneno Yao Hawana kitu kipya mbele ya baba mtakitifu wa vita mwamba vladil putin 🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺Russia for life❤

  • @adamkapolo8817
    @adamkapolo8817 4 หลายเดือนก่อน +31

    Mmeshindwa kumpiga kwa vikwazo miaka miwili vikwazo vimedunda kwa vita ndo mtachemka kabisa

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 4 หลายเดือนก่อน +21

    Putin ni aina flani wale wazazi ukizira chakula yeye anakufukuza kabisa.
    Sio mchezomchezo

  • @AbubakarAlly-th6op
    @AbubakarAlly-th6op 4 หลายเดือนก่อน +21

    Macro anahasira na putin kwasababu ameporwa bukinafaso nk

    • @jerryndondole1965
      @jerryndondole1965 4 หลายเดือนก่อน +4

      Mapinduzi ya Sahel region yanamchanganya Macron wa watu

  • @russia1253
    @russia1253 4 หลายเดือนก่อน +18

    Uraaaaaaa uraaaaaaa uraaaaaaa 🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺

  • @ebengapierre8826
    @ebengapierre8826 4 หลายเดือนก่อน +21

    Ni ujinga ufaranca kupiga urusi 😂😂😂😂

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha894 4 หลายเดือนก่อน +8

    Mvua nyesha tuone kunapo vuja tenaaaaaa😂😂😂😂😂

  • @dullahabdallah-nu1py
    @dullahabdallah-nu1py 4 หลายเดือนก่อน +8

    Kisasi ndio hicho kinasukwa tu subirie muda tu,chanzo ni Sahel Regen

  • @LangxSheby
    @LangxSheby 4 หลายเดือนก่อน +27

    Wavulana wataomba like wanaume tutatoa comment zapoint

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @LangxSheby
      @LangxSheby 4 หลายเดือนก่อน

      @@MiriamAbdallah kumamake wanakeraa awawa like 😂😂

    • @abdulyabdunuru1476
      @abdulyabdunuru1476 4 หลายเดือนก่อน

      Hahaha pa1 sana mwamba putin azimishe atomic moja watu wafyate mkia

    • @paschalfausitine7108
      @paschalfausitine7108 4 หลายเดือนก่อน

      Yap

  • @sautisevarino1656
    @sautisevarino1656 4 หลายเดือนก่อน +15

    Putin lete Mziki

  • @RaibebeBebe
    @RaibebeBebe 4 หลายเดือนก่อน +8

    Kisa chá ugomvi ni nato kujitanua na lengo lao ni zidi ya urus isiendelee inawauma

  • @RaymondPaul-bs7su
    @RaymondPaul-bs7su 4 หลายเดือนก่อน +14

    Mh. Rais Putin kwa muda mrefu amekua akiwaonya NATO juu ya kuchochea vita Ukraine Lakini haya maonyo yamekua yakipuuzwa mara nyingi sana na Magharibi....Matamshi Rais wa ufaransa yasipofikiriwa mara mbili na kuzuiwa basi Wataingia kwenye mgogoro mkubwa sana wa kibinadamu ambao hautasahaulikaa

    • @hamidamussa-sy4fm
      @hamidamussa-sy4fm 4 หลายเดือนก่อน +2

      Izo nyukilia anazo jivunia kila mtu izo inchi kubwa pia wanazo

    • @ce-08
      @ce-08 4 หลายเดือนก่อน

      @@hamidamussa-sy4fm shida ufaransa ilivyo ndogo nyuklia 3 tu nchi Zima hawataelewana tofaut na urusi yeye anaaridh kubwa mpaka kuwavuruga nchi nzima inatakiwa utumie mabomu mengi na mda ambapo katika huo mda lazma na yy atakujibu tu

    • @clementsabuni75
      @clementsabuni75 4 หลายเดือนก่อน +2

      Putini hana cha kupoteza akifa anakufa nao wote.

    • @clementsabuni75
      @clementsabuni75 4 หลายเดือนก่อน +2

      ​@@hamidamussa-sy4fmtatizo urusi hana cha kupoteza watakaopoteza ni marekani na washirika wake yaani sio urusi sio marekani sio Nato watakufa wote maana urusi ana makombora ya kisasa sio kama yale ya marekani yaani kwake yamesukwa yakasukika moja tuu linasambaratisha ulaya yote ya marekani ni ya zamani hayana uharibifu kama ya mrusi.

    • @clementsabuni75
      @clementsabuni75 4 หลายเดือนก่อน +1

      Anajivunia nyuklia zake kwasababu anajua zina uwezo gani kwenye vita za Nato ni cha mtoto za kwake ni nzito ikipigwa moja hapa Africa mnakuwa majivu afrika nzima.

  • @mwawekomiuda9779
    @mwawekomiuda9779 4 หลายเดือนก่อน +8

    Wanayatafuta lkn watayapata. Wametosheka na maisha.

    • @MsangoDiesel
      @MsangoDiesel 4 หลายเดือนก่อน +1

      Mziki wa Kwanza Africa mangaribi wa pili tuone singeri

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 4 หลายเดือนก่อน +2

      @@MsangoDiesel M'mungu atawashinda inshaAllah. Wao pia wako chini ya M'mungu. Mwisho wao umefika wanaanza kutapatapa.

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 4 หลายเดือนก่อน

      ​@mwawekomiuda9779Amina yaarabi

  • @jogoomohamed2652
    @jogoomohamed2652 4 หลายเดือนก่อน +6

    Mkuu.Putin.Hao sio wanaume kamili,so wala wasikusumbue.Coz hamna nguvu kamili,maana mwanaume akipoteza hali ya kuwa kamili huyo wala hamna kitu.Piga kazi kiongozi sahihi kwa wanadamu

  • @kherisalum6304
    @kherisalum6304 4 หลายเดือนก่อน +3

    Dunia si sehemu salama tena inasikitisha sana kwa Hii Hali inavyokwenda

  • @ngoyaboy1590
    @ngoyaboy1590 4 หลายเดือนก่อน +7

    Sema yatokee mataifaa kama urusi manne hao ulaya na ushoga wao watanyokaa

    • @japhetjoseph1772
      @japhetjoseph1772 4 หลายเดือนก่อน +1

      hata uko russia wako

    • @ngoyaboy1590
      @ngoyaboy1590 4 หลายเดือนก่อน

      @@japhetjoseph1772 ilaa sheria ni kali dhid ya ushoga

    • @davidsika5292
      @davidsika5292 4 หลายเดือนก่อน

      Ushoga upo hata urusi hata kwenu upoo hata kwa waarabu upo

  • @babubabz4507
    @babubabz4507 4 หลายเดือนก่อน +3

    Vitisho va kazi gani hawa watu wote wachangia sana maskini kufaa sahi waache wapingane wawo wenyewe tuangalie dunia itakua vipi

  • @MohamedRaudha
    @MohamedRaudha 4 หลายเดือนก่อน +3

    Piga uwa huyo mpaka atowe talaka 😂

  • @jerryndondole1965
    @jerryndondole1965 4 หลายเดือนก่อน +1

    Shout out Ali

  • @ibrackibrahim6909
    @ibrackibrahim6909 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu mtangazaji akarudi shule anakera😁😁😂😂😂

  • @maisarirajab4846
    @maisarirajab4846 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mimi nadhani Putin angalimuua Zeleski tu pengine mambo yangaliisha kuliko kumuacha

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 4 หลายเดือนก่อน

    Marekan ufaransa imetuuruusu tuna anza kulipua urus

  • @selestinokazumba
    @selestinokazumba 4 หลายเดือนก่อน +1

    Subili wajae kama ndo huyo macron ana mdomo sana manina zake

  • @DaudFataki
    @DaudFataki 4 หลายเดือนก่อน

    Inatakiwa Englnd iungwe namaji liwebahali tu mungu ajaaliehichokitu

  • @jumaseif7514
    @jumaseif7514 4 หลายเดือนก่อน +2

    Nanukuu maneno ya mtu asiependa vita.. Yapaswa wayafikirie maneno wanayo ongea kwan wao wananchi ndogo japokuwa inawatu wengi.. Amemaliza sasa ikiwa ufaransa haitafikiria anachokisema atajisonya naapa kuwa atajisonya

  • @KurusumuMatola
    @KurusumuMatola 4 หลายเดือนก่อน

    Sanaaaaaa😂😂😂 urus mchezo bwanaaaaaa...?😢😢

  • @valentinesyekeye6846
    @valentinesyekeye6846 4 หลายเดือนก่อน

    Baba yao mwenyewe hataki kabisa kusikia siraha zake zimeingia mpaka Urusi

  • @Binja4
    @Binja4 4 หลายเดือนก่อน +3

    like

  • @rickiefisher1085
    @rickiefisher1085 4 หลายเดือนก่อน

    Dunia sio sehemu salama ya kuishi tenA

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 4 หลายเดือนก่อน

    Acha wajichanganye 😊

  • @AlexChonanga
    @AlexChonanga 4 หลายเดือนก่อน +2

    Good job Russia ❤❤❤❤❤

  • @HappyAlbatross-us3bg
    @HappyAlbatross-us3bg 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa mawazo yangu naamini zelensky hatumii akili kabisa ameamua kuwatoa wananchi wake kafara kisa marekani me naona wengi watakao PATA madhara ni raia WA Ukraine

  • @SuhailaAbdallah-w1f
    @SuhailaAbdallah-w1f 4 หลายเดือนก่อน +3

    Kwa misimamo ya puttin nato wakijicha ganya watapotea

  • @godfreyalphonce5646
    @godfreyalphonce5646 4 หลายเดือนก่อน

    Putin drop that shit😂😂

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 4 หลายเดือนก่อน

    Tumelipua meli 4 za urusi

  • @brianbaltazar6198
    @brianbaltazar6198 4 หลายเดือนก่อน

    Uraaaaaaaaaaa🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺

  • @madjidfine4295
    @madjidfine4295 4 หลายเดือนก่อน

    Uyo ni mkwala atapigwa na inci yake kubwa. Ukraine lazima asaidiwe coz anapigwa ndani kwake na miaka inazidi kwenda anapiga ncii jirani ilo nikosa kubwa sana lazima mataifa ya simame

  • @24mixnews6
    @24mixnews6 4 หลายเดือนก่อน

    Kama marekani anaogopa kumwambia Ukraine 🇺🇦 atumie Siraha zake kupiga moja kwa moja urusi wakijimix wataona moto

  • @anthonmoses1200
    @anthonmoses1200 4 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤

  • @BenMamadou-w9e
    @BenMamadou-w9e 4 หลายเดือนก่อน

    Hapo nato soon wanaimaliza Russia 🇷🇺 maana haina uwezo wakupigana na nato

  • @JÉSUSISLORDFOREVER-z1e
    @JÉSUSISLORDFOREVER-z1e 4 หลายเดือนก่อน +1

    Huu ni mupango wa kubeba watu kwenye New World older vita yote ina beba dunia kuwa umoja watasema tufanye amani

  • @IsmailJafary-ir8cv
    @IsmailJafary-ir8cv 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wamemmaliza rais wa iran wanamtafta putin sasa hawa wataukoga moto

  • @BenMamadou-w9e
    @BenMamadou-w9e 4 หลายเดือนก่อน

    France 🇫🇷 upo kwenye nato na usa 🇺🇸 na inch nyingi so Russia 🇷🇺 haiwezi kuipiga nato hata kwa ndoto ya msazi

  • @EmanuelMkongwi
    @EmanuelMkongwi 4 หลายเดือนก่อน +2

    Vita ya tatu ya dunia inakujaa sas ivii

  • @hamismaulid270
    @hamismaulid270 4 หลายเดือนก่อน +3

    Sio njuklia" WA", sema "WO"
    MBONA HUELEWI KAKAA.

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 4 หลายเดือนก่อน +2

    Wacha wajichanganye wasije kulaumu mtu

  • @AliAbdallah-yo8dx
    @AliAbdallah-yo8dx 4 หลายเดือนก่อน

    Western hali yao imezidi kuwa mbaya , Walifanya mahesabu ya sio sahihi , ni lazima wataingia vitani , na ndio wataisha kabisa🫡🫶🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🫶

  • @abdulyabdunuru1476
    @abdulyabdunuru1476 4 หลายเดือนก่อน

    nyuklia 1 kwa ukrain tu watu wafyate mkia nyau hawa

  • @GeorgeAkasha-zx2rj
    @GeorgeAkasha-zx2rj 4 หลายเดือนก่อน

    Siku ulaya(Nato) ikiingia vitani na urusi, basi china ndo itakua economic superpower duniani.Uwingi wa NATO kumshinda urusi upo ila changamoto ni china ambaye ni mshirika wa karibu wa urusi na taifa la pili kiuchumi duniani.

  • @stevensosipita
    @stevensosipita 4 หลายเดือนก่อน

    MWANA KULITAFUTA MWANA KULIPATA OLE YAKO EMMANUEL MACRON

  • @salehehassan2553
    @salehehassan2553 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hapa nishaona tunaenda kusomwa kwenye historia mda si mrefu

  • @Tanganyika-w5p
    @Tanganyika-w5p 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi nipo na President Putin

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 4 หลายเดือนก่อน

    Ukraine ma liza baba

  • @BunzarMarco
    @BunzarMarco 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mm naona Ni vita ya 3 kwani inchi za magaribi zimesha weka ramani zuri pakuazia nahapo unamuona Putin ana haha kila neno kwake Ni nyukiria acha tuone nani ataoba poa sio kwa mambilion ya mangaribi ya hera kwa Ukraine

    • @sultanbakary4292
      @sultanbakary4292 4 หลายเดือนก่อน +2

      Hv ww unafkir Russia ni Tanzania eeeh hapo anatoa onyo Kwa maneno ikitokea urus ikashumbuliwa bac kitakachokuja kutokea hatak lawama

    • @peteremmanuelymatwimatwiem3258
      @peteremmanuelymatwimatwiem3258 4 หลายเดือนก่อน +1

      😅😅😅😅Ww una utoto mwingi Alisha sema dunia bila Moscow ni upuzi watu hua mkoje😅😅

    • @michaelmisana650
      @michaelmisana650 4 หลายเดือนก่อน

      Sio kweli Kwan ptin ni MUNGU

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 4 หลายเดือนก่อน

    Sas tuna lipua urusi yote

  • @Brianlopez-kw1vr
    @Brianlopez-kw1vr 4 หลายเดือนก่อน +2

    We baba unajua kila kitu

  • @kdloon2030
    @kdloon2030 4 หลายเดือนก่อน

    Macaroni yapidi apikwe na aliwe

  • @YamunguMuha
    @YamunguMuha 4 หลายเดือนก่อน

    Macron anavurugwa na mapinduzi ya Sahal regional

  • @JaphetJairos-n4l
    @JaphetJairos-n4l 4 หลายเดือนก่อน +3

    Urusi hawez tumia nyukiria kamwe siku atakapo tumia nyukiria bc habar yake itaishia apo na kwake

    • @MirajiMiraji-v2j
      @MirajiMiraji-v2j 4 หลายเดือนก่อน +1

      Unaijua nyukilia lakini wewe ? Au unaongea ujinga

  • @hamidamussa-sy4fm
    @hamidamussa-sy4fm 4 หลายเดือนก่อน

    Wote nyukilia za kimbunu wanazo

  • @minanifreddy6969
    @minanifreddy6969 4 หลายเดือนก่อน +1

    Uingerza ilishindikana kupigika kwenye vita vya pili vya dunia

  • @toymadebho7048
    @toymadebho7048 4 หลายเดือนก่อน +6

    PUTIN PIGA NUCLEAR DUNIA NZIMA 2LIPOISH PANATOSH

    • @paschalsafari9747
      @paschalsafari9747 4 หลายเดือนก่อน +2

      😂😂😂

    • @lameckraphael3743
      @lameckraphael3743 4 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂 hakka

    • @carmp3
      @carmp3 4 หลายเดือนก่อน +2

      Hahaha

    • @Maxpaul-oi8pw
      @Maxpaul-oi8pw 4 หลายเดือนก่อน +2

      Kama umetosheka kuish jinyonge

    • @Muharram-c5n
      @Muharram-c5n 4 หลายเดือนก่อน

      Nimekukubali

  • @malkiawagiza1327
    @malkiawagiza1327 4 หลายเดือนก่อน

    Ufaransa nchi ya mashoga.

  • @ElijahOwino-xe2cd
    @ElijahOwino-xe2cd 4 หลายเดือนก่อน

    Yanikumbusha unabii wa Prophet David Owuor kuhusu hii vita... Alisema kuwa Urusi itamlipua ufaransa Kisha uingereza halafu marekani Kisha na hizo nchi ndogondogo kama vile Norway... Unabii wa vita vya Nuclear vya Tatu unakaribia

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco8350 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kwangu Mimi ufaransa ikishambuliwa na ikipotea ktk dunian nitafurah .. ask me why

  • @arriyamistamp4945
    @arriyamistamp4945 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wacha mvua inyeshe tuone panapo vuja

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk 4 หลายเดือนก่อน

    🇹🇿❣️🇷🇺

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 4 หลายเดือนก่อน

    Putin afe

  • @clearancekimambo7927
    @clearancekimambo7927 4 หลายเดือนก่อน

    Sikuelewagi Ally,,vielelezo vya picha tunavionaga kwa Netanyau,,acha kutudanganya, ,uingerereza ,ufaransa, ujerumani sio ndogo,,,, alimaanisha baltik countries, mkuuu unatowaga wapi days zako au kingereza kigumu mkuu

    • @clearancekimambo7927
      @clearancekimambo7927 4 หลายเดือนก่อน

      Unatowaga wapi days zako wee jamaa

    • @clearancekimambo7927
      @clearancekimambo7927 4 หลายเดือนก่อน

      Data l mean

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 4 หลายเดือนก่อน

      Najua kingereza kuliko unakivyojua.putin hajataja nchi nimesema kaongea kwa mafumbo we umejuaje kama ni baltics isitoshe poland nmeitaja hapo.usitangulize chuki mbele sikiliza kwa makini utaelewa.sns ni taasisi ambayo taarifa yoyote inahaririwa na kuhakikiwa usahihi wake kabla ya kuwekwa hewani na wahariri kazi yangu ni kutafuta habari na kuriport kwa urahisi zaidi kwa watu.kushindwa kuielewa habari sababu ya chuki hyo sio shida yangu.

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 4 หลายเดือนก่อน +1

    Waca wajicanganye

  • @ShaibuMkullu-ck6sl
    @ShaibuMkullu-ck6sl 4 หลายเดือนก่อน +2

    𝕨𝕒𝕜𝕨𝕒𝕟𝕫𝕒 𝕝𝕖𝕠

  • @asingizibwejacobkalokola7351
    @asingizibwejacobkalokola7351 4 หลายเดือนก่อน

    Du hayo mataifa Wana Viongozi wapumbavu.

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 4 หลายเดือนก่อน

    Puting asemagi mchezo

  • @CrevasonSambo
    @CrevasonSambo 4 หลายเดือนก่อน +2

    Daah putin piga mashoga hao

  • @godfreyfrugence4176
    @godfreyfrugence4176 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nafurah sana hasa kuona majesh ya Afrika kati yalivyoitimua majeshi ya Ufaransa mim nasema mfarasa atakipata atakachokitaka

  • @ce-08
    @ce-08 4 หลายเดือนก่อน +3

    Na Safar hii wakipigana vita ya tatu ya dunia ni zamu yetu Africa kutajiri SISI tutawauzia chakula tu unga wa Dona kilo dollar 5 😂😂😂

  • @noelnjementi8511
    @noelnjementi8511 4 หลายเดือนก่อน

    Uyu mchambuzi nafikili ana akili naomba mjalibu kumchinguza au kifo charaisi wairani mpaka reo mchambuzi haliamini😂😂😂😂😂

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 4 หลายเดือนก่อน

    Putin piga hao

  • @BimHamdi
    @BimHamdi 4 หลายเดือนก่อน

    Putin nae anajiona mwamba hatari😅😅😅

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108 4 หลายเดือนก่อน

    Babalao puti boy,piga hao

  • @timothzullu4665
    @timothzullu4665 4 หลายเดือนก่อน

    Sasa wanatak kuwapiga wenzao tu

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 4 หลายเดือนก่อน

    Wanamchokoz mwamba wasijal watakipat wanachohitj. Viva PUTTIN

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 4 หลายเดือนก่อน

    Putin ni bata

  • @Maxpaul-oi8pw
    @Maxpaul-oi8pw 4 หลายเดือนก่อน

    Mkristo puttin yaan mpaka waislamu wanamkubali huyu mkristo

    • @Awatee
      @Awatee 4 หลายเดือนก่อน +1

      Kikubwa Heshima ukiristo wa kwake mwenyewe kila mtu atabeba mzigo wak wakati wa Mtume sw kulikua na makabila hayakua waislam na walishirikiana ktk mambo muhimu na ya Amani wakiristo ndio huleta chuki ktk uislam

  • @BarakaAkech-r9q
    @BarakaAkech-r9q 4 หลายเดือนก่อน

    Mvamizi anaeua mpaka wapinzani mjinga sana ladmir

  • @GodfreyOsward
    @GodfreyOsward 4 หลายเดือนก่อน

    Vita vya ukabila vya makabila ya ulaya vikipiganwa tunaita vita ya Dunia.

  • @allykirunginyamka9171
    @allykirunginyamka9171 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wajina (Ally) acha nikujibu kana jinsi nilivyo kua namjibu djsmaa: for so long since hii vita ianze Germany 🇩🇪 ilivyo kataa kutoa silaha, imeenda m'vutano ukawa mkubwa ya kua haitoii ushirikiano katika vita hii but today wanairuhusu Ukraine 🇺🇦 ishambulie, Bro ninyi wawili kwenye uchambuzi wenu lazima mjifikirie, kwa nini hivi?? Huko nyuma Russia 🇷🇺 iliwahi kuonyesha ya kua inauwezo wakurusha mibomu yake hadi Paris miaka mingi kidogo so leo anajitoa na hali ya kua anajua treat zipo pale pale?? Hii vita hamna taaluma ya kuichambua.
    Jueni wamejiona wapo tayari ndipo wametoa ruhsa hio.
    Nipo huku ukweli naujua.

    • @hamimhassan9354
      @hamimhassan9354 4 หลายเดือนก่อน +1

      Wwe unaongela mazingira yako, unafikiri Putin yupo peke yake, Hilo ni kosa kubwa la kiufundi Kwa magharibi aamini. Kuwa huko ni sawa na kusema near the church far from God, pia hao nduguzo ni watu wa propaganda believe it or not ulaya itaumia zaidi kuna silaha gani mpya haijaenda Ukraine? That's y America hatoi jibu la wazi anafahamu ni janga la Dunia litakuwa.

    • @clearancekimambo7927
      @clearancekimambo7927 4 หลายเดือนก่อน

      Ila Ally bado yupo shallow sana wazee,,,hatadhmini chakuongea,,kwamfano Putin reality alimaanisha nchi ndogo ndogo za ulaya zenye demographic kubwa,nikimaanisha population,,sasa UK, GERMANY, FRANCE, hizi sio ndogo bingwa,, alimaanisha baltik Amazon zimekuwa namidomo alafu population nikubwa,then akipiga bas ataleta madhara makubwa,,sasa nishakwambia Ally hio GPS hatuskizi maana your not digging enough,,,huku sisi twawaskiza retired general kama wakina Scott Ritter,ambao walishakuwa masenior in the US military na bado hawaegemei upande wowote,,,unavyodanganya watanzania hapo kwa uchambuzi wako mbovu tunakushangaa Sana

    • @clearancekimambo7927
      @clearancekimambo7927 4 หลายเดือนก่อน

      Baltic countries,,sio Amazon sorry,,,am working in Amazon that's why,, sorry guys

    • @Muharram-c5n
      @Muharram-c5n 4 หลายเดือนก่อน +2

      Unadhani tangu kipindikile mpaka leo Putin hajadevelop military weapons zake,au ulichokijua ww yeye hajagundua na intelligence yake,au unamuona boya,wenyewe wanamfaham,jua kuwa kitawaka kisawasawa na shughuli zote duniani zitasimama kwa miaka na mikaka,tusiombee itokee

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 4 หลายเดือนก่อน

      Kuwa ujerumani au urusi sio kujua kinachiendelea hiyo futa kwanza.then tuendelee na hoja. 1. Vita hii ni verry complex kutegemea we unaamua kuichambua kwa engo gani.silaha zinazoongelewa hapa ni zile zenye uwezo wa kupiga mbali zaidi ndani ya urusi(range to 300Km) kama vile storm shadow,atacams,excalibur istoshe huyo ujerumani unaemsema ww hata bado hajazitoa Taurus missiles ambazo ndo zaeza piga ndani ya urusi.on top of that wako tayari kvp ilihali ukiongelea uzalishaji wa silaha wa utusi kwa sasa uko juu mno. *nato ina 5% tu ya uwezo wa kujilinda na mashambulizi ya anga yaani airdefence ya makombora ya urusi * hizi details zote ziko verry accurate kingine tu kama ikitokea nuclear war nchi uerope ndyo itakayoanza kupotea mapema sana.kingine mimi na sma kila mmoja ana aproach yake ya uchambuzi so don't compare us bro.

  • @mpjozzegalvanize4926
    @mpjozzegalvanize4926 4 หลายเดือนก่อน +1

    Putin mwamba

  • @noelnjementi8511
    @noelnjementi8511 4 หลายเดือนก่อน +1

    Pili nimegunduwa udini unamsumbuwa kama dj smar nimdini uwa simsikilizi kbs

  • @jabalimikechi7750
    @jabalimikechi7750 4 หลายเดือนก่อน

    Urusi Ana uchimi wakupigana na nato guys stop this propaganda of yours, look what happened since that war start every goes up fuel and food, we want peace enough is enough.

  • @ezekiambise2595
    @ezekiambise2595 4 หลายเดือนก่อน +1

    God bless russia 🇷🇺

  • @GeorgeElias-p5o
    @GeorgeElias-p5o 4 หลายเดือนก่อน

    Hata Sadam alikuwa na mikwara!Urusi ana miaka 2 sasa na Ukrain e hatawaweza NATO

  • @davidsika5292
    @davidsika5292 4 หลายเดือนก่อน

    Mchambuzi hajui huyu

  • @noelnjementi8511
    @noelnjementi8511 4 หลายเดือนก่อน

    Naisi uyu mchambuzi kire kifo Cha Ibrahim raisi wairani kilimchanganya adi reo ubongo wake auja tulia

  • @timothzullu4665
    @timothzullu4665 4 หลายเดือนก่อน

    Uyu Putin yeye Kawa MUNGU MTU AU

    • @sultanbakary4292
      @sultanbakary4292 4 หลายเดือนก่อน +1

      Mungu mtu ni marekan na washirika wake nato

  • @toyimwamedi6460
    @toyimwamedi6460 4 หลายเดือนก่อน

    KAMA NIMANENO WAPIME TUHONE .PUTI ATAFANYA NINI.APO NDIPO PUTINI ATAGEHUKA ITLA NAMBA MBILI

  • @allymatilda7519
    @allymatilda7519 4 หลายเดือนก่อน

    Viva Putin viva Russia 🇷🇺