Hawa wazungu wanajifurahisha tuu na maneno Yao Hawana kitu kipya mbele ya baba mtakitifu wa vita mwamba vladil putin 🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺Russia for life❤
Mh. Rais Putin kwa muda mrefu amekua akiwaonya NATO juu ya kuchochea vita Ukraine Lakini haya maonyo yamekua yakipuuzwa mara nyingi sana na Magharibi....Matamshi Rais wa ufaransa yasipofikiriwa mara mbili na kuzuiwa basi Wataingia kwenye mgogoro mkubwa sana wa kibinadamu ambao hautasahaulikaa
@@hamidamussa-sy4fm shida ufaransa ilivyo ndogo nyuklia 3 tu nchi Zima hawataelewana tofaut na urusi yeye anaaridh kubwa mpaka kuwavuruga nchi nzima inatakiwa utumie mabomu mengi na mda ambapo katika huo mda lazma na yy atakujibu tu
@@hamidamussa-sy4fmtatizo urusi hana cha kupoteza watakaopoteza ni marekani na washirika wake yaani sio urusi sio marekani sio Nato watakufa wote maana urusi ana makombora ya kisasa sio kama yale ya marekani yaani kwake yamesukwa yakasukika moja tuu linasambaratisha ulaya yote ya marekani ni ya zamani hayana uharibifu kama ya mrusi.
Anajivunia nyuklia zake kwasababu anajua zina uwezo gani kwenye vita za Nato ni cha mtoto za kwake ni nzito ikipigwa moja hapa Africa mnakuwa majivu afrika nzima.
Mkuu.Putin.Hao sio wanaume kamili,so wala wasikusumbue.Coz hamna nguvu kamili,maana mwanaume akipoteza hali ya kuwa kamili huyo wala hamna kitu.Piga kazi kiongozi sahihi kwa wanadamu
Nanukuu maneno ya mtu asiependa vita.. Yapaswa wayafikirie maneno wanayo ongea kwan wao wananchi ndogo japokuwa inawatu wengi.. Amemaliza sasa ikiwa ufaransa haitafikiria anachokisema atajisonya naapa kuwa atajisonya
Kwa mawazo yangu naamini zelensky hatumii akili kabisa ameamua kuwatoa wananchi wake kafara kisa marekani me naona wengi watakao PATA madhara ni raia WA Ukraine
Uyo ni mkwala atapigwa na inci yake kubwa. Ukraine lazima asaidiwe coz anapigwa ndani kwake na miaka inazidi kwenda anapiga ncii jirani ilo nikosa kubwa sana lazima mataifa ya simame
Siku ulaya(Nato) ikiingia vitani na urusi, basi china ndo itakua economic superpower duniani.Uwingi wa NATO kumshinda urusi upo ila changamoto ni china ambaye ni mshirika wa karibu wa urusi na taifa la pili kiuchumi duniani.
Mm naona Ni vita ya 3 kwani inchi za magaribi zimesha weka ramani zuri pakuazia nahapo unamuona Putin ana haha kila neno kwake Ni nyukiria acha tuone nani ataoba poa sio kwa mambilion ya mangaribi ya hera kwa Ukraine
Yanikumbusha unabii wa Prophet David Owuor kuhusu hii vita... Alisema kuwa Urusi itamlipua ufaransa Kisha uingereza halafu marekani Kisha na hizo nchi ndogondogo kama vile Norway... Unabii wa vita vya Nuclear vya Tatu unakaribia
Sikuelewagi Ally,,vielelezo vya picha tunavionaga kwa Netanyau,,acha kutudanganya, ,uingerereza ,ufaransa, ujerumani sio ndogo,,,, alimaanisha baltik countries, mkuuu unatowaga wapi days zako au kingereza kigumu mkuu
Najua kingereza kuliko unakivyojua.putin hajataja nchi nimesema kaongea kwa mafumbo we umejuaje kama ni baltics isitoshe poland nmeitaja hapo.usitangulize chuki mbele sikiliza kwa makini utaelewa.sns ni taasisi ambayo taarifa yoyote inahaririwa na kuhakikiwa usahihi wake kabla ya kuwekwa hewani na wahariri kazi yangu ni kutafuta habari na kuriport kwa urahisi zaidi kwa watu.kushindwa kuielewa habari sababu ya chuki hyo sio shida yangu.
Kikubwa Heshima ukiristo wa kwake mwenyewe kila mtu atabeba mzigo wak wakati wa Mtume sw kulikua na makabila hayakua waislam na walishirikiana ktk mambo muhimu na ya Amani wakiristo ndio huleta chuki ktk uislam
Wajina (Ally) acha nikujibu kana jinsi nilivyo kua namjibu djsmaa: for so long since hii vita ianze Germany 🇩🇪 ilivyo kataa kutoa silaha, imeenda m'vutano ukawa mkubwa ya kua haitoii ushirikiano katika vita hii but today wanairuhusu Ukraine 🇺🇦 ishambulie, Bro ninyi wawili kwenye uchambuzi wenu lazima mjifikirie, kwa nini hivi?? Huko nyuma Russia 🇷🇺 iliwahi kuonyesha ya kua inauwezo wakurusha mibomu yake hadi Paris miaka mingi kidogo so leo anajitoa na hali ya kua anajua treat zipo pale pale?? Hii vita hamna taaluma ya kuichambua. Jueni wamejiona wapo tayari ndipo wametoa ruhsa hio. Nipo huku ukweli naujua.
Wwe unaongela mazingira yako, unafikiri Putin yupo peke yake, Hilo ni kosa kubwa la kiufundi Kwa magharibi aamini. Kuwa huko ni sawa na kusema near the church far from God, pia hao nduguzo ni watu wa propaganda believe it or not ulaya itaumia zaidi kuna silaha gani mpya haijaenda Ukraine? That's y America hatoi jibu la wazi anafahamu ni janga la Dunia litakuwa.
Ila Ally bado yupo shallow sana wazee,,,hatadhmini chakuongea,,kwamfano Putin reality alimaanisha nchi ndogo ndogo za ulaya zenye demographic kubwa,nikimaanisha population,,sasa UK, GERMANY, FRANCE, hizi sio ndogo bingwa,, alimaanisha baltik Amazon zimekuwa namidomo alafu population nikubwa,then akipiga bas ataleta madhara makubwa,,sasa nishakwambia Ally hio GPS hatuskizi maana your not digging enough,,,huku sisi twawaskiza retired general kama wakina Scott Ritter,ambao walishakuwa masenior in the US military na bado hawaegemei upande wowote,,,unavyodanganya watanzania hapo kwa uchambuzi wako mbovu tunakushangaa Sana
Unadhani tangu kipindikile mpaka leo Putin hajadevelop military weapons zake,au ulichokijua ww yeye hajagundua na intelligence yake,au unamuona boya,wenyewe wanamfaham,jua kuwa kitawaka kisawasawa na shughuli zote duniani zitasimama kwa miaka na mikaka,tusiombee itokee
Kuwa ujerumani au urusi sio kujua kinachiendelea hiyo futa kwanza.then tuendelee na hoja. 1. Vita hii ni verry complex kutegemea we unaamua kuichambua kwa engo gani.silaha zinazoongelewa hapa ni zile zenye uwezo wa kupiga mbali zaidi ndani ya urusi(range to 300Km) kama vile storm shadow,atacams,excalibur istoshe huyo ujerumani unaemsema ww hata bado hajazitoa Taurus missiles ambazo ndo zaeza piga ndani ya urusi.on top of that wako tayari kvp ilihali ukiongelea uzalishaji wa silaha wa utusi kwa sasa uko juu mno. *nato ina 5% tu ya uwezo wa kujilinda na mashambulizi ya anga yaani airdefence ya makombora ya urusi * hizi details zote ziko verry accurate kingine tu kama ikitokea nuclear war nchi uerope ndyo itakayoanza kupotea mapema sana.kingine mimi na sma kila mmoja ana aproach yake ya uchambuzi so don't compare us bro.
Urusi Ana uchimi wakupigana na nato guys stop this propaganda of yours, look what happened since that war start every goes up fuel and food, we want peace enough is enough.
Putin baba lao ❤❤🇷🇺🇷🇺🇷🇺
Free Palestinian ❤❤🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇰🇪
Watapigwa kama ngoma yetu macho Putin piga mashoga hao🇷🇺
Asante sana ndg mtangazaji
Hawa wazungu wanajifurahisha tuu na maneno Yao Hawana kitu kipya mbele ya baba mtakitifu wa vita mwamba vladil putin 🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺Russia for life❤
Mmeshindwa kumpiga kwa vikwazo miaka miwili vikwazo vimedunda kwa vita ndo mtachemka kabisa
Putin ni aina flani wale wazazi ukizira chakula yeye anakufukuza kabisa.
Sio mchezomchezo
Macro anahasira na putin kwasababu ameporwa bukinafaso nk
Mapinduzi ya Sahel region yanamchanganya Macron wa watu
Uraaaaaaa uraaaaaaa uraaaaaaa 🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺
Ni ujinga ufaranca kupiga urusi 😂😂😂😂
Mvua nyesha tuone kunapo vuja tenaaaaaa😂😂😂😂😂
Kisasi ndio hicho kinasukwa tu subirie muda tu,chanzo ni Sahel Regen
Wavulana wataomba like wanaume tutatoa comment zapoint
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@MiriamAbdallah kumamake wanakeraa awawa like 😂😂
Hahaha pa1 sana mwamba putin azimishe atomic moja watu wafyate mkia
Yap
Putin lete Mziki
Kisa chá ugomvi ni nato kujitanua na lengo lao ni zidi ya urus isiendelee inawauma
Mh. Rais Putin kwa muda mrefu amekua akiwaonya NATO juu ya kuchochea vita Ukraine Lakini haya maonyo yamekua yakipuuzwa mara nyingi sana na Magharibi....Matamshi Rais wa ufaransa yasipofikiriwa mara mbili na kuzuiwa basi Wataingia kwenye mgogoro mkubwa sana wa kibinadamu ambao hautasahaulikaa
Izo nyukilia anazo jivunia kila mtu izo inchi kubwa pia wanazo
@@hamidamussa-sy4fm shida ufaransa ilivyo ndogo nyuklia 3 tu nchi Zima hawataelewana tofaut na urusi yeye anaaridh kubwa mpaka kuwavuruga nchi nzima inatakiwa utumie mabomu mengi na mda ambapo katika huo mda lazma na yy atakujibu tu
Putini hana cha kupoteza akifa anakufa nao wote.
@@hamidamussa-sy4fmtatizo urusi hana cha kupoteza watakaopoteza ni marekani na washirika wake yaani sio urusi sio marekani sio Nato watakufa wote maana urusi ana makombora ya kisasa sio kama yale ya marekani yaani kwake yamesukwa yakasukika moja tuu linasambaratisha ulaya yote ya marekani ni ya zamani hayana uharibifu kama ya mrusi.
Anajivunia nyuklia zake kwasababu anajua zina uwezo gani kwenye vita za Nato ni cha mtoto za kwake ni nzito ikipigwa moja hapa Africa mnakuwa majivu afrika nzima.
Wanayatafuta lkn watayapata. Wametosheka na maisha.
Mziki wa Kwanza Africa mangaribi wa pili tuone singeri
@@MsangoDiesel M'mungu atawashinda inshaAllah. Wao pia wako chini ya M'mungu. Mwisho wao umefika wanaanza kutapatapa.
@mwawekomiuda9779Amina yaarabi
Mkuu.Putin.Hao sio wanaume kamili,so wala wasikusumbue.Coz hamna nguvu kamili,maana mwanaume akipoteza hali ya kuwa kamili huyo wala hamna kitu.Piga kazi kiongozi sahihi kwa wanadamu
Dunia si sehemu salama tena inasikitisha sana kwa Hii Hali inavyokwenda
Upo Africa tulia uone
Sema yatokee mataifaa kama urusi manne hao ulaya na ushoga wao watanyokaa
hata uko russia wako
@@japhetjoseph1772 ilaa sheria ni kali dhid ya ushoga
Ushoga upo hata urusi hata kwenu upoo hata kwa waarabu upo
Vitisho va kazi gani hawa watu wote wachangia sana maskini kufaa sahi waache wapingane wawo wenyewe tuangalie dunia itakua vipi
Piga uwa huyo mpaka atowe talaka 😂
Shout out Ali
Huyu mtangazaji akarudi shule anakera😁😁😂😂😂
Mimi nadhani Putin angalimuua Zeleski tu pengine mambo yangaliisha kuliko kumuacha
Marekan ufaransa imetuuruusu tuna anza kulipua urus
Subili wajae kama ndo huyo macron ana mdomo sana manina zake
Inatakiwa Englnd iungwe namaji liwebahali tu mungu ajaaliehichokitu
Nanukuu maneno ya mtu asiependa vita.. Yapaswa wayafikirie maneno wanayo ongea kwan wao wananchi ndogo japokuwa inawatu wengi.. Amemaliza sasa ikiwa ufaransa haitafikiria anachokisema atajisonya naapa kuwa atajisonya
Sanaaaaaa😂😂😂 urus mchezo bwanaaaaaa...?😢😢
Baba yao mwenyewe hataki kabisa kusikia siraha zake zimeingia mpaka Urusi
like
Dunia sio sehemu salama ya kuishi tenA
Acha wajichanganye 😊
Good job Russia ❤❤❤❤❤
Kwa mawazo yangu naamini zelensky hatumii akili kabisa ameamua kuwatoa wananchi wake kafara kisa marekani me naona wengi watakao PATA madhara ni raia WA Ukraine
Kwa misimamo ya puttin nato wakijicha ganya watapotea
Putin drop that shit😂😂
Tumelipua meli 4 za urusi
Uraaaaaaaaaaa🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺
Uyo ni mkwala atapigwa na inci yake kubwa. Ukraine lazima asaidiwe coz anapigwa ndani kwake na miaka inazidi kwenda anapiga ncii jirani ilo nikosa kubwa sana lazima mataifa ya simame
Kama marekani anaogopa kumwambia Ukraine 🇺🇦 atumie Siraha zake kupiga moja kwa moja urusi wakijimix wataona moto
❤❤❤
Hapo nato soon wanaimaliza Russia 🇷🇺 maana haina uwezo wakupigana na nato
Huu ni mupango wa kubeba watu kwenye New World older vita yote ina beba dunia kuwa umoja watasema tufanye amani
Wamemmaliza rais wa iran wanamtafta putin sasa hawa wataukoga moto
France 🇫🇷 upo kwenye nato na usa 🇺🇸 na inch nyingi so Russia 🇷🇺 haiwezi kuipiga nato hata kwa ndoto ya msazi
Vita ya tatu ya dunia inakujaa sas ivii
Sio njuklia" WA", sema "WO"
MBONA HUELEWI KAKAA.
Wacha wajichanganye wasije kulaumu mtu
Western hali yao imezidi kuwa mbaya , Walifanya mahesabu ya sio sahihi , ni lazima wataingia vitani , na ndio wataisha kabisa🫡🫶🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🫶
nyuklia 1 kwa ukrain tu watu wafyate mkia nyau hawa
Siku ulaya(Nato) ikiingia vitani na urusi, basi china ndo itakua economic superpower duniani.Uwingi wa NATO kumshinda urusi upo ila changamoto ni china ambaye ni mshirika wa karibu wa urusi na taifa la pili kiuchumi duniani.
MWANA KULITAFUTA MWANA KULIPATA OLE YAKO EMMANUEL MACRON
Hapa nishaona tunaenda kusomwa kwenye historia mda si mrefu
😂😂😂😂
kvp sas
😂😂😂 Usijali upo mbali sana
Mimi nipo na President Putin
Ukraine ma liza baba
Mm naona Ni vita ya 3 kwani inchi za magaribi zimesha weka ramani zuri pakuazia nahapo unamuona Putin ana haha kila neno kwake Ni nyukiria acha tuone nani ataoba poa sio kwa mambilion ya mangaribi ya hera kwa Ukraine
Hv ww unafkir Russia ni Tanzania eeeh hapo anatoa onyo Kwa maneno ikitokea urus ikashumbuliwa bac kitakachokuja kutokea hatak lawama
😅😅😅😅Ww una utoto mwingi Alisha sema dunia bila Moscow ni upuzi watu hua mkoje😅😅
Sio kweli Kwan ptin ni MUNGU
Sas tuna lipua urusi yote
We baba unajua kila kitu
Macaroni yapidi apikwe na aliwe
Macron anavurugwa na mapinduzi ya Sahal regional
Urusi hawez tumia nyukiria kamwe siku atakapo tumia nyukiria bc habar yake itaishia apo na kwake
Unaijua nyukilia lakini wewe ? Au unaongea ujinga
Wote nyukilia za kimbunu wanazo
Uingerza ilishindikana kupigika kwenye vita vya pili vya dunia
Saizi itapigwa kama ngoma
PUTIN PIGA NUCLEAR DUNIA NZIMA 2LIPOISH PANATOSH
😂😂😂
😂😂 hakka
Hahaha
Kama umetosheka kuish jinyonge
Nimekukubali
Ufaransa nchi ya mashoga.
Yanikumbusha unabii wa Prophet David Owuor kuhusu hii vita... Alisema kuwa Urusi itamlipua ufaransa Kisha uingereza halafu marekani Kisha na hizo nchi ndogondogo kama vile Norway... Unabii wa vita vya Nuclear vya Tatu unakaribia
Awalipue tuu hakuna tatzo
Kwangu Mimi ufaransa ikishambuliwa na ikipotea ktk dunian nitafurah .. ask me why
Wacha mvua inyeshe tuone panapo vuja
🇹🇿❣️🇷🇺
Putin afe
Sikuelewagi Ally,,vielelezo vya picha tunavionaga kwa Netanyau,,acha kutudanganya, ,uingerereza ,ufaransa, ujerumani sio ndogo,,,, alimaanisha baltik countries, mkuuu unatowaga wapi days zako au kingereza kigumu mkuu
Unatowaga wapi days zako wee jamaa
Data l mean
Najua kingereza kuliko unakivyojua.putin hajataja nchi nimesema kaongea kwa mafumbo we umejuaje kama ni baltics isitoshe poland nmeitaja hapo.usitangulize chuki mbele sikiliza kwa makini utaelewa.sns ni taasisi ambayo taarifa yoyote inahaririwa na kuhakikiwa usahihi wake kabla ya kuwekwa hewani na wahariri kazi yangu ni kutafuta habari na kuriport kwa urahisi zaidi kwa watu.kushindwa kuielewa habari sababu ya chuki hyo sio shida yangu.
Waca wajicanganye
𝕨𝕒𝕜𝕨𝕒𝕟𝕫𝕒 𝕝𝕖𝕠
Sawa bana
Du hayo mataifa Wana Viongozi wapumbavu.
Puting asemagi mchezo
Daah putin piga mashoga hao
Nafurah sana hasa kuona majesh ya Afrika kati yalivyoitimua majeshi ya Ufaransa mim nasema mfarasa atakipata atakachokitaka
Na Safar hii wakipigana vita ya tatu ya dunia ni zamu yetu Africa kutajiri SISI tutawauzia chakula tu unga wa Dona kilo dollar 5 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
Uyu mchambuzi nafikili ana akili naomba mjalibu kumchinguza au kifo charaisi wairani mpaka reo mchambuzi haliamini😂😂😂😂😂
Putin piga hao
Putin nae anajiona mwamba hatari😅😅😅
Babalao puti boy,piga hao
Sasa wanatak kuwapiga wenzao tu
Acha waingie waingie sasa ndo una chotaka😅😅😅
Wanamchokoz mwamba wasijal watakipat wanachohitj. Viva PUTTIN
Putin ni bata
Mkristo puttin yaan mpaka waislamu wanamkubali huyu mkristo
Kikubwa Heshima ukiristo wa kwake mwenyewe kila mtu atabeba mzigo wak wakati wa Mtume sw kulikua na makabila hayakua waislam na walishirikiana ktk mambo muhimu na ya Amani wakiristo ndio huleta chuki ktk uislam
Mvamizi anaeua mpaka wapinzani mjinga sana ladmir
Vita vya ukabila vya makabila ya ulaya vikipiganwa tunaita vita ya Dunia.
Wajina (Ally) acha nikujibu kana jinsi nilivyo kua namjibu djsmaa: for so long since hii vita ianze Germany 🇩🇪 ilivyo kataa kutoa silaha, imeenda m'vutano ukawa mkubwa ya kua haitoii ushirikiano katika vita hii but today wanairuhusu Ukraine 🇺🇦 ishambulie, Bro ninyi wawili kwenye uchambuzi wenu lazima mjifikirie, kwa nini hivi?? Huko nyuma Russia 🇷🇺 iliwahi kuonyesha ya kua inauwezo wakurusha mibomu yake hadi Paris miaka mingi kidogo so leo anajitoa na hali ya kua anajua treat zipo pale pale?? Hii vita hamna taaluma ya kuichambua.
Jueni wamejiona wapo tayari ndipo wametoa ruhsa hio.
Nipo huku ukweli naujua.
Wwe unaongela mazingira yako, unafikiri Putin yupo peke yake, Hilo ni kosa kubwa la kiufundi Kwa magharibi aamini. Kuwa huko ni sawa na kusema near the church far from God, pia hao nduguzo ni watu wa propaganda believe it or not ulaya itaumia zaidi kuna silaha gani mpya haijaenda Ukraine? That's y America hatoi jibu la wazi anafahamu ni janga la Dunia litakuwa.
Ila Ally bado yupo shallow sana wazee,,,hatadhmini chakuongea,,kwamfano Putin reality alimaanisha nchi ndogo ndogo za ulaya zenye demographic kubwa,nikimaanisha population,,sasa UK, GERMANY, FRANCE, hizi sio ndogo bingwa,, alimaanisha baltik Amazon zimekuwa namidomo alafu population nikubwa,then akipiga bas ataleta madhara makubwa,,sasa nishakwambia Ally hio GPS hatuskizi maana your not digging enough,,,huku sisi twawaskiza retired general kama wakina Scott Ritter,ambao walishakuwa masenior in the US military na bado hawaegemei upande wowote,,,unavyodanganya watanzania hapo kwa uchambuzi wako mbovu tunakushangaa Sana
Baltic countries,,sio Amazon sorry,,,am working in Amazon that's why,, sorry guys
Unadhani tangu kipindikile mpaka leo Putin hajadevelop military weapons zake,au ulichokijua ww yeye hajagundua na intelligence yake,au unamuona boya,wenyewe wanamfaham,jua kuwa kitawaka kisawasawa na shughuli zote duniani zitasimama kwa miaka na mikaka,tusiombee itokee
Kuwa ujerumani au urusi sio kujua kinachiendelea hiyo futa kwanza.then tuendelee na hoja. 1. Vita hii ni verry complex kutegemea we unaamua kuichambua kwa engo gani.silaha zinazoongelewa hapa ni zile zenye uwezo wa kupiga mbali zaidi ndani ya urusi(range to 300Km) kama vile storm shadow,atacams,excalibur istoshe huyo ujerumani unaemsema ww hata bado hajazitoa Taurus missiles ambazo ndo zaeza piga ndani ya urusi.on top of that wako tayari kvp ilihali ukiongelea uzalishaji wa silaha wa utusi kwa sasa uko juu mno. *nato ina 5% tu ya uwezo wa kujilinda na mashambulizi ya anga yaani airdefence ya makombora ya urusi * hizi details zote ziko verry accurate kingine tu kama ikitokea nuclear war nchi uerope ndyo itakayoanza kupotea mapema sana.kingine mimi na sma kila mmoja ana aproach yake ya uchambuzi so don't compare us bro.
Putin mwamba
Pili nimegunduwa udini unamsumbuwa kama dj smar nimdini uwa simsikilizi kbs
Urusi Ana uchimi wakupigana na nato guys stop this propaganda of yours, look what happened since that war start every goes up fuel and food, we want peace enough is enough.
God bless russia 🇷🇺
Hata Sadam alikuwa na mikwara!Urusi ana miaka 2 sasa na Ukrain e hatawaweza NATO
Mchambuzi hajui huyu
Naisi uyu mchambuzi kire kifo Cha Ibrahim raisi wairani kilimchanganya adi reo ubongo wake auja tulia
Uyu Putin yeye Kawa MUNGU MTU AU
Mungu mtu ni marekan na washirika wake nato
KAMA NIMANENO WAPIME TUHONE .PUTI ATAFANYA NINI.APO NDIPO PUTINI ATAGEHUKA ITLA NAMBA MBILI
Viva Putin viva Russia 🇷🇺