ZANZIBAR SI SHWARI - 01

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 14 ต.ค. 2024
  • Hali ya kisiasa si nzuri kwa Rais Hussein Mwinyi. Hii ni sehemu ya kwanza ya uchambuzi wa hali hiyo. Sikiliza.

ความคิดเห็น • 266

  • @fahmisaid6758
    @fahmisaid6758 7 หลายเดือนก่อน +10

    Shukran Ansbert kwa kutuelimisha, Zanzibar kuna mengi na mazito endelea kutufahamisha.

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi 7 หลายเดือนก่อน +12

    Bora ujiuzulu fadher mungu atakupa riziki ako kesho kiama upate pepo kazi mbaya sana

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 7 หลายเดือนก่อน +5

    Asante mzalendo Ansbert kwa uandishi wako mahiri, wananchi tunabahati kupata habari ingawa ni mtandaoni tutaambiana tulipofika. Huyu wa Zanzibar ameonyesha uthubutu, kama ni kwa manufaa ya wananchi iwe rahisi tu na wengine waige ili wenye mazoea wabaki wenyewe ndio demokrasia, lakini huku Tz.bara sidhani patatokea uthubutu huo zaidi ya kulindana kwa maslahi yao binafsi!.

    • @machoguhameri7757
      @machoguhameri7757 7 หลายเดือนก่อน

      Sio Zanzibar tu pasipo salaama.Hata nyumbani kwako wewe mwenyewe si shwari baina yako na mkeo na wanao.Wewe endelea kuchimba ya wengine kwako kunaporomoka

  • @KuzenzaSangija
    @KuzenzaSangija 7 หลายเดือนก่อน +2

    Wazanzibar wakaze ngoma siku zote maisha Yana maumivu!

  • @MasnamussaPp
    @MasnamussaPp 7 หลายเดือนก่อน

    ❤mchambuzi makini sana yajayo yanatisha 😢 wazanzibar hawatokubali tena kuibiwa kura na itaeleweka tu tupo tyr sote kuuwawa ikisha ccm itawale mikarafuuu😮

  • @JohnMabustar
    @JohnMabustar 7 หลายเดือนก่อน +2

    Asante mchambuzi mahili wangu umenidadafulia vizuri saaana

  • @kenedyrocky4641
    @kenedyrocky4641 7 หลายเดือนก่อน +11

    KAKA YANGU A NGURUMO, HUU UKURASA WAKO HUU UNANIPA ELIMU NZURI SANA YA KISIASA. SINA NENO ZURI ZAIDI YA NENO "ASANTE"
    MWENYEZI MUNGU AKUJAALIE AFYA NJEMA NA QWARESMA NJEMA MPENDWA WA MUNGU.🙏🙏🙏

    • @R10_Rajab
      @R10_Rajab 3 หลายเดือนก่อน

      @@kenedyrocky4641 Maneno ya kuambiwa ....

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi 7 หลายเดือนก่อน +8

    Jamaa kaangalia mbali Sana utalii unamambo mengi kwa Imani yake ameona kazi haifai

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 7 หลายเดือนก่อน +1

      Ni vita tu ya maslahi. Waziri yule alikuwa ndie anaeuza pombe yote Zanzibar kama alivyosema Rais.

    • @VuaiMuhidini
      @VuaiMuhidini 6 หลายเดือนก่อน

      Kwahuu uliowepo zbar ndio haufai kwasababu umebeba kila aina ya maasia

  • @naimaabdu8012
    @naimaabdu8012 7 หลายเดือนก่อน +2

    Huo muziki unatuchanganya. Unatutoa katika kusikiliza na kutafakari linaloongelewa

  • @stanslausmchonde7892
    @stanslausmchonde7892 7 หลายเดือนก่อน +11

    Jasusi @Evarist Chahali alisema haya bila ufafanuzi sana alisema TU Ufisadi wa mheshimiwa kuwapa watu wake kazi kujinufaisha lakini Leo Ngurumo SK MEDIA ama Maswali Magumu umeibua kile kilichojificha. Ahsante sana.

    • @batrumbeziks5946
      @batrumbeziks5946 6 หลายเดือนก่อน

      Huyo aliyejifanya "Mzanzibari" uliyempa kizungumza sio Mzanzibari. Sie Wazanzibari hatuna Kiswahili kibovu kama hicho.

  • @jafarindande5574
    @jafarindande5574 7 หลายเดือนก่อน +1

    Urais 2030 kazi ipo, naona Dr Mwinyi anawanyima usingizi.

  • @myself4128
    @myself4128 7 หลายเดือนก่อน +8

    Zanzibar leo hii Inatangaza Kuishiwa Pombe basi ujue Utalii umeleta Majanga! na Msisahau Mashoga na Ushoga! Nchi itanuka Mavi mkikaa Kimya!😊

    • @MohdIkra-d7s
      @MohdIkra-d7s 7 หลายเดือนก่อน

      Sijui nyie mnao wapigia makofi Hawa na kuwafumbia midomo

    • @DavidDanken-uf7kp
      @DavidDanken-uf7kp 7 หลายเดือนก่อน

      Dah tutatapakaa mav aisee!

    • @meekman1805
      @meekman1805 7 หลายเดือนก่อน

      😁😁😁

    • @mwanaishaabubakar5013
      @mwanaishaabubakar5013 7 หลายเดือนก่อน +1

      Nchi inanuka mavi ivooo kweli kweli kabisa.

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 7 หลายเดือนก่อน +6

    Afrika tuna uhaba wa viongozi bora.Tunaongozwa na watawala wasio na uwezo,bora liende.

  • @PricillaPaulo
    @PricillaPaulo 7 หลายเดือนก่อน +2

    Napenda sana melody ya huu wimbo 💕

  • @felixmsale9244
    @felixmsale9244 7 หลายเดือนก่อน +3

    Big up mkuuu .Zanzibar na Tanganyika haiwezi kua salama kabisa kwa ķosa moja kubwa .HAINA KATIBA NZURI .VIONGOZI WANAITAWALA NCHINKAMA WAFALME WANARIDHIANA MADARAKA.
    HATUWEZI KUA SALAMA HATA SIKU MOJA BILA KATIBA THABITI.

    • @MohdIkra-d7s
      @MohdIkra-d7s 7 หลายเดือนก่อน

      Ndio ila ilo ni Moja Kati ya mambo muhimu lakini tungelimpata Mt mzalendo engerekebisha yote ayo

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@MohdIkra-d7s Tanzania hakuna tatizo la Katiba tatizo ni kutokuheshimiwa na kutekelezwa. Kuna ibara kadhaa mfano 133 - 144 (Akaunti ya pamoja nk). Kubwa kuliko yote kizazi kilichopo sasa wa kila upande hawana imani tena na Muungano na kama ni hivyo Katiba haiwezi kupatikana.

  • @frankminga9307
    @frankminga9307 7 หลายเดือนก่อน +8

    Mchambuzi makini, aksante

    • @machaliakulima76
      @machaliakulima76 7 หลายเดือนก่อน

      Mchochezi makini yeye Ngurumo yuko Ulaya likitokea varangati hayumo atafuhia sababu yuko Ughaibuni

    • @MohdIkra-d7s
      @MohdIkra-d7s 7 หลายเดือนก่อน +1

      Atakama yuko wapi watawala wanao watu wao ukouko

  • @yudamtewele2006
    @yudamtewele2006 7 หลายเดือนก่อน +2

    Nakuelewa Sana mkuu I wish one day uje kugombea hata uenyekiti wa Kijiji . Example

  • @evansmtalo9406
    @evansmtalo9406 7 หลายเดือนก่อน +1

    Muda utasema! Tusubiri.

  • @rasheedabby2871
    @rasheedabby2871 7 หลายเดือนก่อน +2

    Tunakuza sana mambo madogo

  • @ProsperMwakasungura
    @ProsperMwakasungura 6 หลายเดือนก่อน

    Una weledi mkubwa sana Ngurumo.

  • @mbelechimakobola8835
    @mbelechimakobola8835 7 หลายเดือนก่อน +4

    Kila mtu na kipaji chake kweli, kwa upande wa chaneli hii, uchambuzi yakinifu wa kisiasa ndio mahali pake, safi kabisa ndugu, barikiwa, tunainjoi.

  • @giovannir.restone182
    @giovannir.restone182 7 หลายเดือนก่อน +7

    Kwa mwendendo huu wa uongozi.. Naiona Zanzibar ikipoteza hadhi yake ambayo kwa miaka mingi inajulikana na kuwa kivutio kikubwa sana kwa watalii wengi duniani. Huyu jamaa hafai kuiongoza Zanzibar

    • @omarkapula588
      @omarkapula588 7 หลายเดือนก่อน

      Sio kweli hilo ni jambo dogo msipotoshe watu zanzibar inazidi kuwa maarufu duniani

    • @RioIpo
      @RioIpo 7 หลายเดือนก่อน

      Hufai weye

    • @giovannir.restone182
      @giovannir.restone182 7 หลายเดือนก่อน

      @@RioIpo I don't have to !

    • @mwanaishaabubakar5013
      @mwanaishaabubakar5013 7 หลายเดือนก่อน

      Zanzibar imekwisha na ishazama waliobaki majeruhi.

  • @muhammedbakari2867
    @muhammedbakari2867 7 หลายเดือนก่อน +8

    Zanzibar tunatawaliwa na mtanganyika kwa maagizo ya uengereza na marekan ..hatu mumunyi maneno..

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 7 หลายเดือนก่อน +2

      Tanganyika kutawala visiwa vya Zanzibar ndo salama ya visiwa hivo... vinginevyo wangechinjana na kupinduana... Mzee Karume ni kiongozi hasa,aliona mbali,alichoka haraka baada ya mapinduzi na hakuachwa salama

    • @myself4128
      @myself4128 7 หลายเดือนก่อน

      sisi wote ni Nchi moja acheni ujinga

    • @MWIGAADAM-r3e
      @MWIGAADAM-r3e 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@myself4128Tanzania ni nchi 2 zenye geographia tofauti,historia tofaut ,mipaka tofaut ni utashi TU wachama tawala ila sio wananchi Zanzibar muungano tumeukataa zaman sana

    • @afropatriot7769
      @afropatriot7769 7 หลายเดือนก่อน +2

      Na tanganyika tunatawaliwa na mzanzibar kwa mamlaka ya nani

    • @barakanyamafu5937
      @barakanyamafu5937 7 หลายเดือนก่อน

      Wewe ni mwongo

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi 7 หลายเดือนก่อน +2

    Raisi mwiny umeongea point kubwa kwel kama angekufuata kwanza angetenda kitendo cha kiungwana si vizur kutangaza mtandaon kwanza bila kukufata

  • @josephmwita6012
    @josephmwita6012 7 หลายเดือนก่อน +1

    my prophetic mzee ngurumo

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 7 หลายเดือนก่อน +8

    ngurumo nimekukubali kuichambua Zanzibar ni ombi langu kwa muda mrefu huku ni shamba la bibi mwinyi anakipakulia minyama tu

  • @AbdallaJuma-tx5ck
    @AbdallaJuma-tx5ck 3 หลายเดือนก่อน

    Asante sana.

  • @evansmtalo9406
    @evansmtalo9406 7 หลายเดือนก่อน

    Hii familia ya mzee mwinyi inajua faida ya biashara ya pombe.ndo maana tangu zamani wanaipenda hii biashara

  • @HamadMbark
    @HamadMbark 7 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu sio rais huyu ni gavana wa Zanzibar

  • @ZubeirGrata
    @ZubeirGrata 7 หลายเดือนก่อน +1

    Uyo raix wa zanzibar anakula hela tuu alafu aondoke mchezo uishe

  • @elibarikikweka5712
    @elibarikikweka5712 7 หลายเดือนก่อน

    There must be a very crucial issue,so huwezi kusema eti Zanzibar si shwari. Lazima KUNA sababu

  • @amesalum3636
    @amesalum3636 7 หลายเดือนก่อน +1

    Well done My SIR ❤

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 7 หลายเดือนก่อน

    Ya Kikwwte na Lowassa . Ni haya tena Zanzibar

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ya Kikwwte na Lowassa . Ni haya tena .

  • @farisomar1889
    @farisomar1889 7 หลายเดือนก่อน

    Ni vibarak wa ccm kuiangamiza Zanzibar tu

  • @ChabAlly-jq6oo
    @ChabAlly-jq6oo 7 หลายเดือนก่อน

    Fitna tupu. Hakuna chochote hapo.Udini pia umetiwa ki namna.Na kumfanya Mwinyi si Mzanzibari. Matatizo kuyapeleka kwenye pombe ili kunyanyua hisia za wazanzbari. Mwinyi anafanya vizuri sana Zbar.

  • @mchagagaspar6649
    @mchagagaspar6649 7 หลายเดือนก่อน

    WAHAKIKISHA WEWE NDIE ULIWAFUNGA MSHEIKH WA ZANZIBA KUUNGWA MYAKA 9 HADI WENGINE KUWA WALEMAVU UKIMTIIKIKWEE BADALA YA MUNGU WAKO ,ILI UPWE URAISI ,HATA IDDI AMIN GADAFI NA ....WALIKUTANA NA MUNKARI NA NAKIR ....

  • @zapauzapau-ts7se
    @zapauzapau-ts7se 7 หลายเดือนก่อน

    Sahihi usemayo

  • @elibarikikweka5712
    @elibarikikweka5712 7 หลายเดือนก่อน

    Duuh! Kama ni HIVYO basi ni balaa. LAKINI hii haitoshi kusema Zanzibar si shwari

  • @kindi4926
    @kindi4926 7 หลายเดือนก่อน +1

    Zanzibar kuko shuwari kabisa. Haya maneno ni kawaida upande wapili wakiona shuwari hawapati usingizi

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 7 หลายเดือนก่อน

      Tena shwara kweli kweli We acha unafiki na kutia watu wasiwasi

  • @issayahya1640
    @issayahya1640 7 หลายเดือนก่อน +2

    Mwinyi watu wengi hawamjui ila ni fisadi sana na ana ujamaa sana. Ulizia kampujimya Tronic ni ya nani

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 7 หลายเดือนก่อน

    Huyu baba kweli tunakulenda sana

  • @patrickmarwa9587
    @patrickmarwa9587 7 หลายเดือนก่อน +2

    History of Gaddafi of Libya

  • @muuminsaid-bd6cm
    @muuminsaid-bd6cm 7 หลายเดือนก่อน

    Mm namkubali raisi wangu mwinyi pija kazi

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi9729 7 หลายเดือนก่อน

    Historia ya zanzibari kwa elimu ya dini ya mungu nchi iliyo jaa misikiti kila pahala haifai kutenda mambo enayo katazwa katika dini ya kiislaam hapo braka la mungu haitaendelea kwa uasi pombe utali ushoga pesa sio kila kitu masahaba hawakuwa hivyo bora ritha mungu NA kusoma gruani NA maana yake baraka itajaa tele kwa watoto na vizazi NA kwa nchi

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  7 หลายเดือนก่อน

      Zanzibar ni nchi inayotegemea sana UTALII. Ule si utalii wa kidini. Eleweni.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hayo ni ya kawaida mbona Lowasa slijiudhuru Mungu amlaze mahali pema peponi

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 7 หลายเดือนก่อน

      Lowasa amekujaje hapa 2naongelea kuhusu Znz

    • @abdifaraji2883
      @abdifaraji2883 7 หลายเดือนก่อน

      Kwa sababu Luwasa ni Mtanzania wa kupigiwa mfano.

  • @shahabdallah9407
    @shahabdallah9407 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kumbe kisa ulevi?

  • @MohammedAwadh-gq9si
    @MohammedAwadh-gq9si 7 หลายเดือนก่อน

    Huyu Mzee SAA ingine kama hazimtoshi kabisaa! Yeye ni mwandishi wa kizamaani ! Sasa hapa znz huwa hatubahatishi!

  • @momylaviel
    @momylaviel 7 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤

  • @DrFatmaKhanPanAfrikan
    @DrFatmaKhanPanAfrikan 7 หลายเดือนก่อน +1

    😒 Muziki sauti punguza please

  • @alvinbernad6549
    @alvinbernad6549 7 หลายเดือนก่อน

    Kimeumana😂😂

  • @salma0000
    @salma0000 7 หลายเดือนก่อน

    Wanajuana hao wala sitii langu

  • @ismaeldiwani1595
    @ismaeldiwani1595 7 หลายเดือนก่อน +2

    Fanyia utafiti mambo mengine unayoyawasilisha. Ukiendelea hivi utajivunjia heshima ya umakini

  • @jumakiduka4625
    @jumakiduka4625 7 หลายเดือนก่อน

    huo muziki kstska tsarifa zako unakera

  • @machaliakulima76
    @machaliakulima76 7 หลายเดือนก่อน +5

    Hussein Ali Hassan Mwinyi yuko vizuri kiutendaji tunayaona maendeleo anayofanya na ari ya kuijenga Zanzibar kama vile kuboresha na kujenga miundo mbinu kama vile barabara, maskuli ya kisasa, vituo vya kisasa vya usafiri wa jamii kama vile pale Malindi nk. Lakini akina aina ya Ngurumo hawapendi kuona Zanzibar ikiwa na amani wanapenda kuona vurugu, misuguano nk. Zanzibar ni portpal ni visiwa vya watu mchanganyiko karibu ulimwengu wote, iweje akina ALI HASSAN MWINYI, Ngurumo awaseme si wazanzibar mbona huyu mwandishi anatumia kalamu kalamu yake kuibomoa Zanzibar?

    • @R10_Rajab
      @R10_Rajab 7 หลายเดือนก่อน +1

      Ametumwa huyo

    • @MohdIkra-d7s
      @MohdIkra-d7s 7 หลายเดือนก่อน +3

      Wewe hujui kitu tulia unacho kiona wewe ni mshahara wako t

    • @R10_Rajab
      @R10_Rajab 7 หลายเดือนก่อน

      @@MohdIkra-d7s Wewe pia unachokiona ni chuki
      roho mbaya na husda tu ya Kipemba ndio unayoiona ila hahaha Mitano Tena kwa Daktari Hussein Mwinyi kipenzi cha Wazanzibari wanaojielewa

    • @MWIGAADAM-r3e
      @MWIGAADAM-r3e 7 หลายเดือนก่อน

      Mkereketwa kanena hhhhh

    • @gangmore9091
      @gangmore9091 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@R10_Rajab jiseme nafsi yko wa zanzibar wanaojielew ni wale wanaotka mamlaka kamili hayo anayofanya mwinyi n lazima wafenye kama serekali barabara hospital nk hayo majukum yao

  • @aronmtui597
    @aronmtui597 7 หลายเดือนก่อน

    Viongozi wa Africa ni shida

  • @MaulidSaady-b9u
    @MaulidSaady-b9u 7 หลายเดือนก่อน

    Wewe ngurumo unapandiwa kumbeee

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalim 7 หลายเดือนก่อน +5

    Uyo simai anauza pombe na mwinyi anaitk biashara ya pombe, kiufupi wote wanapigania matumbo Yao.

    • @MohdIkra-d7s
      @MohdIkra-d7s 7 หลายเดือนก่อน +1

      Una uhakika gani tupe uhakika sasaiv ili tujiridhishe ili tuingie mzigoni

  • @SalamaKhamis-un8vn
    @SalamaKhamis-un8vn 7 หลายเดือนก่อน +6

    Huu mziki unakeraaa

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 7 หลายเดือนก่อน

      2lia ww ndo unaleta stim ya kusikiliza vizuri kinacho ongewa

    • @MohdIkra-d7s
      @MohdIkra-d7s 7 หลายเดือนก่อน +2

      Ndio ila kwa wengine unafurahisha maana kwaya wanazipenda Sana hawa

    • @godsson5954
      @godsson5954 7 หลายเดือนก่อน +2

      bora umeongea ni heri awe anaongea bila mziki au bora waweke beat tu

    • @stanslausmchonde7892
      @stanslausmchonde7892 7 หลายเดือนก่อน

      Huo mziki ndio kitambulisho Cha chanel hii ya SK MEDIA

  • @rafaelmarquez9396
    @rafaelmarquez9396 5 หลายเดือนก่อน +1

    Urais wa kumwaga damu za wasio na hatia ili awe rais dhulma haidumu na ikidumu inadamirisha

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 7 หลายเดือนก่อน +2

    Acha uchonganishi Mzee miyeyusho

  • @lucylyuki4852
    @lucylyuki4852 7 หลายเดือนก่อน

    Eeeheee

  • @KhaleedHamad-vl7lz
    @KhaleedHamad-vl7lz 7 หลายเดือนก่อน

    Hahaha serikali ya kifalme baba mwana

  • @MkonoZacharia
    @MkonoZacharia 7 หลายเดือนก่อน

    Safi sana

  • @jonathanakhabuhaya1693
    @jonathanakhabuhaya1693 7 หลายเดือนก่อน +12

    kama ni kweli Rais Mwinyi amegawa tenda za pombe kwa upendeleo kwa ndugu zake, basi huyu ni Rais bomu na Z'bar inaelekea kuzimu.

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 7 หลายเดือนก่อน

      Shabib.... mzigo uliwekwa

    • @MohdIkra-d7s
      @MohdIkra-d7s 7 หลายเดือนก่อน

      Una Dhani nini wewe

    • @w4058
      @w4058 7 หลายเดือนก่อน +1

      Majambazi tu hao CCM wakosefu wa utu imani hawana jengine washenzi wakubwa

    • @w4058
      @w4058 7 หลายเดือนก่อน

      Allah atuhifadhi Ansberten kipenzi chetu wapenda haki

  • @froma3732
    @froma3732 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ukiwa unaongea hizo nyimbo hazihitajiki inakuwa unatuchanganya

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 7 หลายเดือนก่อน +1

    👊✌👍.

    • @MohdIkra-d7s
      @MohdIkra-d7s 7 หลายเดือนก่อน

      Chadema au ccm

  • @abubakaradnan4689
    @abubakaradnan4689 7 หลายเดือนก่อน

    Hakuna tatizo lolote zanzibar ni salama nchi imetulia hizo ni fitna zenu.Rais mwinyi piga kazi na tunakutakia kheri afya njema umri mrefu wenye afya na uzima uwendele kutuongoza mpaka 2030 kwani ufanya vizuri sana Amin.

  • @kabwangaselemani5228
    @kabwangaselemani5228 7 หลายเดือนก่อน

    Hivi ni kweli channel hii haijaona mema kwenye Serikali hizi mbili?

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 7 หลายเดือนก่อน +1

    Presidaar uko vizuri Baba piga kazi uko vizuri achana na wanafiki hao

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 7 หลายเดือนก่อน +1

    Sisi wanzanzibar tupo shwar saana kwa sasa, hakuna shida YOYOTE wala vurugu, habar ya viongozi tunawaachia wenyewe hadi 2025 😅 vurugu kwetu uchaguzi tu basi

    • @MohdIkra-d7s
      @MohdIkra-d7s 7 หลายเดือนก่อน

      Sawa ila isimaanishe kwa mba2025 ndo tufanye vurugu ama tufanyiwe hapana bali ni historian t kua kila uchaguzi tunafanyiwa fujo Mara hii bass ujinga ujinga huu

  • @HhhTt-vl9ct
    @HhhTt-vl9ct 7 หลายเดือนก่อน

    Sami ni waziri wa utalii na utalii unataka anasa Moja wapo ni pombe Sasa serikali imezuiya kuingiza pombe Zanzibar na yeye simai ana bar kubwa pale Zanzibar na ni kitovu Cha watalui wanao tumia vileo kwa ufupi hiyo ndio story.

    • @RioIpo
      @RioIpo 7 หลายเดือนก่อน +1

      Mercury na 6 degrees zote zake

  • @HajiMakame-m8l
    @HajiMakame-m8l 7 หลายเดือนก่อน +1

    Bora ujiuzulu zanzibar sinchi hii mkoa tu huu wewe waziri unaweza kwenda tia saini Kenya waje Kenya waje aekeze watu

    • @MWIGAADAM-r3e
      @MWIGAADAM-r3e 7 หลายเดือนก่อน +1

      Zanzibar ni mkowa wenye tarehe yake ya uhuru,katiba yake,Sheria zake,mipaka yake ni tofaut na mikoa ya Tanganyika kama vile Tanga,Daresalam,Dodoma nk

    • @MohdIkra-d7s
      @MohdIkra-d7s 7 หลายเดือนก่อน

      Kweli tumshauri huyu Mt kwa Hali ilivo bora a hie t akafanye mwengine yabinafsi

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@Sheba4651 Tanzania ni Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Hivyo ndani ya Muungano nje ya mataifa mengine Zanzibar sio nchi hata Ireland, Scotland, England na Wales zinafanya United Kingdom (Uingereza) passport yao ni moja hivyo nje ya nchi nyingine zote hizo sio nchi, nchi ni United Kingdom (Uingereza) na Tanzania ipo kama hivyo Zanzibar na Tanganyika zote sio nchi, nchi ni Tanzania.

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 7 หลายเดือนก่อน

    Kagame anaivamia nchi moja ya Africa mashariki Ndani ya wiki mbili hizi...fuatilia hii...it is serious

    • @WemaMwaikambo
      @WemaMwaikambo 7 หลายเดือนก่อน

      Inchi gani

    • @freduallughano2301
      @freduallughano2301 7 หลายเดือนก่อน

      Mmmh Kagame anajua madhara ya vita labda apigane na Burundi lkn kwa tz au kenya hawezi labda alazimike kupigana.

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 7 หลายเดือนก่อน +2

    😮SHAMTE MPUMBAVU MNAFIKI MUONGO HAJIJUWI WAPI YUPO 😮😮😮😮

  • @barakanyamafu5937
    @barakanyamafu5937 7 หลายเดือนก่อน +3

    MIMI SIONI TATIZO HAPO RAISI YUKO VIZURI TU

  • @KidijeiNuru
    @KidijeiNuru 7 หลายเดือนก่อน

    Eti anataka kugombea urais Bara na siumesema Bara ndiokwao kwani akigombea anaizuia chadema kushinda, jinga Sana wewe

  • @edesaron9070
    @edesaron9070 7 หลายเดือนก่อน +4

    Duuu urafi wa madaraka

  • @rev.livingstoneelihuruma-fk7es
    @rev.livingstoneelihuruma-fk7es 7 หลายเดือนก่อน +1

    Akioshwa Kwa Damu ya Yesu atatakata na kung'aa kabisa.

    • @MohdIkra-d7s
      @MohdIkra-d7s 7 หลายเดือนก่อน +1

      Au sio ulijuaje

    • @rev.livingstoneelihuruma-fk7es
      @rev.livingstoneelihuruma-fk7es 7 หลายเดือนก่อน +1

      Imeandikwa ktk Isaiah.1:18.

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@rev.livingstoneelihuruma-fk7es Ati damu ya Yesu ! Kwani alitoka damu?
      Hizo habari za kutoka damu mbona ni uongo, hata Paulo ana shaka nalo. Alisema, aliokolewa, sasa tushike lipi, kuna damu ya Yesu ama aliokolewa?
      ##Waebrania 5:7

    • @mrishojuma4695
      @mrishojuma4695 7 หลายเดือนก่อน

      Mjinga wewe we mwenyewe hujaoshwa na Yesu kwamaana hakujui Yesu mwenyewe kwamaana humuabudu Mungu Bali unawaabudu wazayuni

    • @rev.livingstoneelihuruma-fk7es
      @rev.livingstoneelihuruma-fk7es 7 หลายเดือนก่อน

      Haya ni Maneno ya Hekima, na Hekima ni Mafumbo.Mithali.1:1-7,Tunaweza kutambua kweli Fulani zilizofichwa tkt Maneno ya Hekima Kwa Hekima hiyo hiyo.John.1:29. Tangu kale watu walitumia kafara za wanyama Ili kuondoa khatiya,Nuksi,mikosi,na mabalaa. Na hata Sasa Bado Kuna njia watu wanazitumia.

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 7 หลายเดือนก่อน

    😮WAZANZIBARI HATUTAKI MUUNGANO HARAMU USIO NA MSINGI WA KIMAADILI WAZANZIBARI NA NCHI YAO 😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮

    • @begukulemosobe9685
      @begukulemosobe9685 7 หลายเดือนก่อน

      Maadili yapi? Wakati kumechafuka hatari

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 7 หลายเดือนก่อน

    😮😮Kaja bila ya WAZANZIBARI kujuwa nani raisi na yeye katumia kupiga watu na kuuwa alikuwa zaidi ya kujiuzuzu lakini kaganda na damu za watu 😮😮😢😢😢😮

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz 7 หลายเดือนก่อน +1

    Serekali si ndo baraza la mawaziri au anaongelea nn Mwinyi wa mkulanga

    • @mwanalelee6
      @mwanalelee6 7 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂

  • @leotvke.
    @leotvke. 7 หลายเดือนก่อน

    Bila shaka unayoyasema yanauzito mkubwa na mimi kama mchambuzi chipukizi wa siasa za kimataifa naunga a na wewe Mia fili Mia,
    2022 ni litembelea taifa hilo na nikaona hata kampuni zinazopewa tenda za ujenzi ni kupitia jina lake kama vile Mwinyi contraction engineering hilo lilinishangaza na vyombo vya habari na mashirika ya haki za uma yamekaa kimya juu ya huo unyama

  • @benedictmichael2425
    @benedictmichael2425 7 หลายเดือนก่อน

    Kimya kingi kina mshindo mkubwa. Tunausubiri huo mshindo....

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd8428 7 หลายเดือนก่อน +2

    Zanzibar ni shwari na amani

    • @machaliakulima76
      @machaliakulima76 7 หลายเดือนก่อน

      Ngurumo anachuki sana sana sana na Tanzania

    • @R10_Rajab
      @R10_Rajab 7 หลายเดือนก่อน

      Huyu mzee ametumwa

    • @MohdIkra-d7s
      @MohdIkra-d7s 7 หลายเดือนก่อน

      Alokwambia Nani au kimya cha njaa ndio tunagugumia acha masihara yako wewe

  • @gilbertshirima2684
    @gilbertshirima2684 7 หลายเดือนก่อน

    Naona nikiendelea kufurahia bando langu

  • @HajiHaji-u4h
    @HajiHaji-u4h 7 หลายเดือนก่อน

    Iko wapi Zanzibar tunayoijuwa?

    • @BabnaaNassour
      @BabnaaNassour 7 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂ipo subiria inaandaliwa vizury maanake ushoga unaenea kila kona usagaji usiseme dhulma n.k still kunawajinga wa unguja wanaipenda CCM ila tuendeleee😂😂

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 7 หลายเดือนก่อน

    😮

  • @josephbundala1475
    @josephbundala1475 7 หลายเดือนก่อน

    Huyu si mchambuzi. Ni mzushi tu.

  • @KidijeiNuru
    @KidijeiNuru 7 หลายเดือนก่อน +1

    We fyatu Sana umejaa ukabila fitna uzandidu, mnafiki mkubwa wewe

  • @pherdsonmasansi3068
    @pherdsonmasansi3068 7 หลายเดือนก่อน +1

    Biashara ya Bia

  • @makibadatela7865
    @makibadatela7865 7 หลายเดือนก่อน

    Kujiuzulu sio kwenda kumwomba Bosi wako kuwa mie naacha kazi au la, Bali ni uamuzi wako kuwa una acha kazi na hutoendelea nayo akubali au akatae, kumwarifu ni utaratibu tu haubadili umuzi uamuzi wako na ungwana, Hilo la kutaka kujizulu halafu bosi akakataa !!!!!

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 7 หลายเดือนก่อน

    Unatoka mkuranga unaenda kuwa Rais Znz😥😥😥😥

  • @festomombo5859
    @festomombo5859 7 หลายเดือนก่อน

    Hajasema uwongo.Si kila Jambo ni kuropoka ovyo.

  • @alikhamis2692
    @alikhamis2692 7 หลายเดือนก่อน

    Mzee baba umesema ukweli mtupu upo sahihi

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 7 หลายเดือนก่อน

    HHHHHHHH IMEFIKA ZAMA WATU NI WAZUR KUWASHAURI WENZA WAO ILA WAO NI NGUMU KUZIKUTA IZO TABIA KUWANAZO😂😂😂😂😂😂😂LAZIMA TUWE WA KWELI😂😂😂😂😂😂

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 7 หลายเดือนก่อน

    Kwani serekali ni nani si pamoja na huyo aliyejiuzulu?? Kama ana mawazo tofauti ndo ajiuzulu😢😢

  • @Iptysamkihiyo
    @Iptysamkihiyo 7 หลายเดือนก่อน

    acheni unafki ni chuki tu

  • @muhammedbakari2867
    @muhammedbakari2867 7 หลายเดือนก่อน

    Manyan yakipigana nyas ndio zinaumia

  • @machaliakulima76
    @machaliakulima76 7 หลายเดือนก่อน

    Rais Hussein si mlevi wala mnywaji wa vilevi

    • @rashidkihunga2938
      @rashidkihunga2938 7 หลายเดือนก่อน

      kama haukili wache wakile.kama hanywi ache wanywe