Asante mzalendo Ansbert kwa uandishi wako mahiri, wananchi tunabahati kupata habari ingawa ni mtandaoni tutaambiana tulipofika. Huyu wa Zanzibar ameonyesha uthubutu, kama ni kwa manufaa ya wananchi iwe rahisi tu na wengine waige ili wenye mazoea wabaki wenyewe ndio demokrasia, lakini huku Tz.bara sidhani patatokea uthubutu huo zaidi ya kulindana kwa maslahi yao binafsi!.
Sio Zanzibar tu pasipo salaama.Hata nyumbani kwako wewe mwenyewe si shwari baina yako na mkeo na wanao.Wewe endelea kuchimba ya wengine kwako kunaporomoka
❤mchambuzi makini sana yajayo yanatisha 😢 wazanzibar hawatokubali tena kuibiwa kura na itaeleweka tu tupo tyr sote kuuwawa ikisha ccm itawale mikarafuuu😮
KAKA YANGU A NGURUMO, HUU UKURASA WAKO HUU UNANIPA ELIMU NZURI SANA YA KISIASA. SINA NENO ZURI ZAIDI YA NENO "ASANTE" MWENYEZI MUNGU AKUJAALIE AFYA NJEMA NA QWARESMA NJEMA MPENDWA WA MUNGU.🙏🙏🙏
Jasusi @Evarist Chahali alisema haya bila ufafanuzi sana alisema TU Ufisadi wa mheshimiwa kuwapa watu wake kazi kujinufaisha lakini Leo Ngurumo SK MEDIA ama Maswali Magumu umeibua kile kilichojificha. Ahsante sana.
Big up mkuuu .Zanzibar na Tanganyika haiwezi kua salama kabisa kwa ķosa moja kubwa .HAINA KATIBA NZURI .VIONGOZI WANAITAWALA NCHINKAMA WAFALME WANARIDHIANA MADARAKA. HATUWEZI KUA SALAMA HATA SIKU MOJA BILA KATIBA THABITI.
@@MohdIkra-d7s Tanzania hakuna tatizo la Katiba tatizo ni kutokuheshimiwa na kutekelezwa. Kuna ibara kadhaa mfano 133 - 144 (Akaunti ya pamoja nk). Kubwa kuliko yote kizazi kilichopo sasa wa kila upande hawana imani tena na Muungano na kama ni hivyo Katiba haiwezi kupatikana.
Kwa mwendendo huu wa uongozi.. Naiona Zanzibar ikipoteza hadhi yake ambayo kwa miaka mingi inajulikana na kuwa kivutio kikubwa sana kwa watalii wengi duniani. Huyu jamaa hafai kuiongoza Zanzibar
Tanganyika kutawala visiwa vya Zanzibar ndo salama ya visiwa hivo... vinginevyo wangechinjana na kupinduana... Mzee Karume ni kiongozi hasa,aliona mbali,alichoka haraka baada ya mapinduzi na hakuachwa salama
@@myself4128Tanzania ni nchi 2 zenye geographia tofauti,historia tofaut ,mipaka tofaut ni utashi TU wachama tawala ila sio wananchi Zanzibar muungano tumeukataa zaman sana
Fitna tupu. Hakuna chochote hapo.Udini pia umetiwa ki namna.Na kumfanya Mwinyi si Mzanzibari. Matatizo kuyapeleka kwenye pombe ili kunyanyua hisia za wazanzbari. Mwinyi anafanya vizuri sana Zbar.
WAHAKIKISHA WEWE NDIE ULIWAFUNGA MSHEIKH WA ZANZIBA KUUNGWA MYAKA 9 HADI WENGINE KUWA WALEMAVU UKIMTIIKIKWEE BADALA YA MUNGU WAKO ,ILI UPWE URAISI ,HATA IDDI AMIN GADAFI NA ....WALIKUTANA NA MUNKARI NA NAKIR ....
Historia ya zanzibari kwa elimu ya dini ya mungu nchi iliyo jaa misikiti kila pahala haifai kutenda mambo enayo katazwa katika dini ya kiislaam hapo braka la mungu haitaendelea kwa uasi pombe utali ushoga pesa sio kila kitu masahaba hawakuwa hivyo bora ritha mungu NA kusoma gruani NA maana yake baraka itajaa tele kwa watoto na vizazi NA kwa nchi
Hussein Ali Hassan Mwinyi yuko vizuri kiutendaji tunayaona maendeleo anayofanya na ari ya kuijenga Zanzibar kama vile kuboresha na kujenga miundo mbinu kama vile barabara, maskuli ya kisasa, vituo vya kisasa vya usafiri wa jamii kama vile pale Malindi nk. Lakini akina aina ya Ngurumo hawapendi kuona Zanzibar ikiwa na amani wanapenda kuona vurugu, misuguano nk. Zanzibar ni portpal ni visiwa vya watu mchanganyiko karibu ulimwengu wote, iweje akina ALI HASSAN MWINYI, Ngurumo awaseme si wazanzibar mbona huyu mwandishi anatumia kalamu kalamu yake kuibomoa Zanzibar?
@@MohdIkra-d7s Wewe pia unachokiona ni chuki roho mbaya na husda tu ya Kipemba ndio unayoiona ila hahaha Mitano Tena kwa Daktari Hussein Mwinyi kipenzi cha Wazanzibari wanaojielewa
@@R10_Rajab jiseme nafsi yko wa zanzibar wanaojielew ni wale wanaotka mamlaka kamili hayo anayofanya mwinyi n lazima wafenye kama serekali barabara hospital nk hayo majukum yao
Hakuna tatizo lolote zanzibar ni salama nchi imetulia hizo ni fitna zenu.Rais mwinyi piga kazi na tunakutakia kheri afya njema umri mrefu wenye afya na uzima uwendele kutuongoza mpaka 2030 kwani ufanya vizuri sana Amin.
Sisi wanzanzibar tupo shwar saana kwa sasa, hakuna shida YOYOTE wala vurugu, habar ya viongozi tunawaachia wenyewe hadi 2025 😅 vurugu kwetu uchaguzi tu basi
Sawa ila isimaanishe kwa mba2025 ndo tufanye vurugu ama tufanyiwe hapana bali ni historian t kua kila uchaguzi tunafanyiwa fujo Mara hii bass ujinga ujinga huu
Sami ni waziri wa utalii na utalii unataka anasa Moja wapo ni pombe Sasa serikali imezuiya kuingiza pombe Zanzibar na yeye simai ana bar kubwa pale Zanzibar na ni kitovu Cha watalui wanao tumia vileo kwa ufupi hiyo ndio story.
@@Sheba4651 Tanzania ni Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Hivyo ndani ya Muungano nje ya mataifa mengine Zanzibar sio nchi hata Ireland, Scotland, England na Wales zinafanya United Kingdom (Uingereza) passport yao ni moja hivyo nje ya nchi nyingine zote hizo sio nchi, nchi ni United Kingdom (Uingereza) na Tanzania ipo kama hivyo Zanzibar na Tanganyika zote sio nchi, nchi ni Tanzania.
@@rev.livingstoneelihuruma-fk7es Ati damu ya Yesu ! Kwani alitoka damu? Hizo habari za kutoka damu mbona ni uongo, hata Paulo ana shaka nalo. Alisema, aliokolewa, sasa tushike lipi, kuna damu ya Yesu ama aliokolewa? ##Waebrania 5:7
Haya ni Maneno ya Hekima, na Hekima ni Mafumbo.Mithali.1:1-7,Tunaweza kutambua kweli Fulani zilizofichwa tkt Maneno ya Hekima Kwa Hekima hiyo hiyo.John.1:29. Tangu kale watu walitumia kafara za wanyama Ili kuondoa khatiya,Nuksi,mikosi,na mabalaa. Na hata Sasa Bado Kuna njia watu wanazitumia.
Bila shaka unayoyasema yanauzito mkubwa na mimi kama mchambuzi chipukizi wa siasa za kimataifa naunga a na wewe Mia fili Mia, 2022 ni litembelea taifa hilo na nikaona hata kampuni zinazopewa tenda za ujenzi ni kupitia jina lake kama vile Mwinyi contraction engineering hilo lilinishangaza na vyombo vya habari na mashirika ya haki za uma yamekaa kimya juu ya huo unyama
😂😂😂ipo subiria inaandaliwa vizury maanake ushoga unaenea kila kona usagaji usiseme dhulma n.k still kunawajinga wa unguja wanaipenda CCM ila tuendeleee😂😂
Kujiuzulu sio kwenda kumwomba Bosi wako kuwa mie naacha kazi au la, Bali ni uamuzi wako kuwa una acha kazi na hutoendelea nayo akubali au akatae, kumwarifu ni utaratibu tu haubadili umuzi uamuzi wako na ungwana, Hilo la kutaka kujizulu halafu bosi akakataa !!!!!
Shukran Ansbert kwa kutuelimisha, Zanzibar kuna mengi na mazito endelea kutufahamisha.
Bora ujiuzulu fadher mungu atakupa riziki ako kesho kiama upate pepo kazi mbaya sana
Asante mzalendo Ansbert kwa uandishi wako mahiri, wananchi tunabahati kupata habari ingawa ni mtandaoni tutaambiana tulipofika. Huyu wa Zanzibar ameonyesha uthubutu, kama ni kwa manufaa ya wananchi iwe rahisi tu na wengine waige ili wenye mazoea wabaki wenyewe ndio demokrasia, lakini huku Tz.bara sidhani patatokea uthubutu huo zaidi ya kulindana kwa maslahi yao binafsi!.
Sio Zanzibar tu pasipo salaama.Hata nyumbani kwako wewe mwenyewe si shwari baina yako na mkeo na wanao.Wewe endelea kuchimba ya wengine kwako kunaporomoka
Wazanzibar wakaze ngoma siku zote maisha Yana maumivu!
❤mchambuzi makini sana yajayo yanatisha 😢 wazanzibar hawatokubali tena kuibiwa kura na itaeleweka tu tupo tyr sote kuuwawa ikisha ccm itawale mikarafuuu😮
Asante mchambuzi mahili wangu umenidadafulia vizuri saaana
KAKA YANGU A NGURUMO, HUU UKURASA WAKO HUU UNANIPA ELIMU NZURI SANA YA KISIASA. SINA NENO ZURI ZAIDI YA NENO "ASANTE"
MWENYEZI MUNGU AKUJAALIE AFYA NJEMA NA QWARESMA NJEMA MPENDWA WA MUNGU.🙏🙏🙏
@@kenedyrocky4641 Maneno ya kuambiwa ....
Jamaa kaangalia mbali Sana utalii unamambo mengi kwa Imani yake ameona kazi haifai
Ni vita tu ya maslahi. Waziri yule alikuwa ndie anaeuza pombe yote Zanzibar kama alivyosema Rais.
Kwahuu uliowepo zbar ndio haufai kwasababu umebeba kila aina ya maasia
Huo muziki unatuchanganya. Unatutoa katika kusikiliza na kutafakari linaloongelewa
Jasusi @Evarist Chahali alisema haya bila ufafanuzi sana alisema TU Ufisadi wa mheshimiwa kuwapa watu wake kazi kujinufaisha lakini Leo Ngurumo SK MEDIA ama Maswali Magumu umeibua kile kilichojificha. Ahsante sana.
Huyo aliyejifanya "Mzanzibari" uliyempa kizungumza sio Mzanzibari. Sie Wazanzibari hatuna Kiswahili kibovu kama hicho.
Urais 2030 kazi ipo, naona Dr Mwinyi anawanyima usingizi.
Zanzibar leo hii Inatangaza Kuishiwa Pombe basi ujue Utalii umeleta Majanga! na Msisahau Mashoga na Ushoga! Nchi itanuka Mavi mkikaa Kimya!😊
Sijui nyie mnao wapigia makofi Hawa na kuwafumbia midomo
Dah tutatapakaa mav aisee!
😁😁😁
Nchi inanuka mavi ivooo kweli kweli kabisa.
Afrika tuna uhaba wa viongozi bora.Tunaongozwa na watawala wasio na uwezo,bora liende.
Napenda sana melody ya huu wimbo 💕
Big up mkuuu .Zanzibar na Tanganyika haiwezi kua salama kabisa kwa ķosa moja kubwa .HAINA KATIBA NZURI .VIONGOZI WANAITAWALA NCHINKAMA WAFALME WANARIDHIANA MADARAKA.
HATUWEZI KUA SALAMA HATA SIKU MOJA BILA KATIBA THABITI.
Ndio ila ilo ni Moja Kati ya mambo muhimu lakini tungelimpata Mt mzalendo engerekebisha yote ayo
@@MohdIkra-d7s Tanzania hakuna tatizo la Katiba tatizo ni kutokuheshimiwa na kutekelezwa. Kuna ibara kadhaa mfano 133 - 144 (Akaunti ya pamoja nk). Kubwa kuliko yote kizazi kilichopo sasa wa kila upande hawana imani tena na Muungano na kama ni hivyo Katiba haiwezi kupatikana.
Mchambuzi makini, aksante
Mchochezi makini yeye Ngurumo yuko Ulaya likitokea varangati hayumo atafuhia sababu yuko Ughaibuni
Atakama yuko wapi watawala wanao watu wao ukouko
Nakuelewa Sana mkuu I wish one day uje kugombea hata uenyekiti wa Kijiji . Example
Muda utasema! Tusubiri.
Tunakuza sana mambo madogo
Una weledi mkubwa sana Ngurumo.
Kila mtu na kipaji chake kweli, kwa upande wa chaneli hii, uchambuzi yakinifu wa kisiasa ndio mahali pake, safi kabisa ndugu, barikiwa, tunainjoi.
Kwa mwendendo huu wa uongozi.. Naiona Zanzibar ikipoteza hadhi yake ambayo kwa miaka mingi inajulikana na kuwa kivutio kikubwa sana kwa watalii wengi duniani. Huyu jamaa hafai kuiongoza Zanzibar
Sio kweli hilo ni jambo dogo msipotoshe watu zanzibar inazidi kuwa maarufu duniani
Hufai weye
@@RioIpo I don't have to !
Zanzibar imekwisha na ishazama waliobaki majeruhi.
Zanzibar tunatawaliwa na mtanganyika kwa maagizo ya uengereza na marekan ..hatu mumunyi maneno..
Tanganyika kutawala visiwa vya Zanzibar ndo salama ya visiwa hivo... vinginevyo wangechinjana na kupinduana... Mzee Karume ni kiongozi hasa,aliona mbali,alichoka haraka baada ya mapinduzi na hakuachwa salama
sisi wote ni Nchi moja acheni ujinga
@@myself4128Tanzania ni nchi 2 zenye geographia tofauti,historia tofaut ,mipaka tofaut ni utashi TU wachama tawala ila sio wananchi Zanzibar muungano tumeukataa zaman sana
Na tanganyika tunatawaliwa na mzanzibar kwa mamlaka ya nani
Wewe ni mwongo
Raisi mwiny umeongea point kubwa kwel kama angekufuata kwanza angetenda kitendo cha kiungwana si vizur kutangaza mtandaon kwanza bila kukufata
Ndo wale wale
my prophetic mzee ngurumo
ngurumo nimekukubali kuichambua Zanzibar ni ombi langu kwa muda mrefu huku ni shamba la bibi mwinyi anakipakulia minyama tu
Asante sana.
Hii familia ya mzee mwinyi inajua faida ya biashara ya pombe.ndo maana tangu zamani wanaipenda hii biashara
Huyu sio rais huyu ni gavana wa Zanzibar
Uyo raix wa zanzibar anakula hela tuu alafu aondoke mchezo uishe
There must be a very crucial issue,so huwezi kusema eti Zanzibar si shwari. Lazima KUNA sababu
Well done My SIR ❤
Ya Kikwwte na Lowassa . Ni haya tena Zanzibar
Ya Kikwwte na Lowassa . Ni haya tena .
Ni vibarak wa ccm kuiangamiza Zanzibar tu
Fitna tupu. Hakuna chochote hapo.Udini pia umetiwa ki namna.Na kumfanya Mwinyi si Mzanzibari. Matatizo kuyapeleka kwenye pombe ili kunyanyua hisia za wazanzbari. Mwinyi anafanya vizuri sana Zbar.
WAHAKIKISHA WEWE NDIE ULIWAFUNGA MSHEIKH WA ZANZIBA KUUNGWA MYAKA 9 HADI WENGINE KUWA WALEMAVU UKIMTIIKIKWEE BADALA YA MUNGU WAKO ,ILI UPWE URAISI ,HATA IDDI AMIN GADAFI NA ....WALIKUTANA NA MUNKARI NA NAKIR ....
Sahihi usemayo
Duuh! Kama ni HIVYO basi ni balaa. LAKINI hii haitoshi kusema Zanzibar si shwari
Zanzibar kuko shuwari kabisa. Haya maneno ni kawaida upande wapili wakiona shuwari hawapati usingizi
Tena shwara kweli kweli We acha unafiki na kutia watu wasiwasi
Mwinyi watu wengi hawamjui ila ni fisadi sana na ana ujamaa sana. Ulizia kampujimya Tronic ni ya nani
Huyu baba kweli tunakulenda sana
History of Gaddafi of Libya
Mm namkubali raisi wangu mwinyi pija kazi
Historia ya zanzibari kwa elimu ya dini ya mungu nchi iliyo jaa misikiti kila pahala haifai kutenda mambo enayo katazwa katika dini ya kiislaam hapo braka la mungu haitaendelea kwa uasi pombe utali ushoga pesa sio kila kitu masahaba hawakuwa hivyo bora ritha mungu NA kusoma gruani NA maana yake baraka itajaa tele kwa watoto na vizazi NA kwa nchi
Zanzibar ni nchi inayotegemea sana UTALII. Ule si utalii wa kidini. Eleweni.
Hayo ni ya kawaida mbona Lowasa slijiudhuru Mungu amlaze mahali pema peponi
Lowasa amekujaje hapa 2naongelea kuhusu Znz
Kwa sababu Luwasa ni Mtanzania wa kupigiwa mfano.
Kumbe kisa ulevi?
Huyu Mzee SAA ingine kama hazimtoshi kabisaa! Yeye ni mwandishi wa kizamaani ! Sasa hapa znz huwa hatubahatishi!
❤❤❤
😒 Muziki sauti punguza please
Kimeumana😂😂
Wanajuana hao wala sitii langu
Fanyia utafiti mambo mengine unayoyawasilisha. Ukiendelea hivi utajivunjia heshima ya umakini
🤣🤣🤣🤣
usiyo yajua kaa kimya uyajue
huo muziki kstska tsarifa zako unakera
Hussein Ali Hassan Mwinyi yuko vizuri kiutendaji tunayaona maendeleo anayofanya na ari ya kuijenga Zanzibar kama vile kuboresha na kujenga miundo mbinu kama vile barabara, maskuli ya kisasa, vituo vya kisasa vya usafiri wa jamii kama vile pale Malindi nk. Lakini akina aina ya Ngurumo hawapendi kuona Zanzibar ikiwa na amani wanapenda kuona vurugu, misuguano nk. Zanzibar ni portpal ni visiwa vya watu mchanganyiko karibu ulimwengu wote, iweje akina ALI HASSAN MWINYI, Ngurumo awaseme si wazanzibar mbona huyu mwandishi anatumia kalamu kalamu yake kuibomoa Zanzibar?
Ametumwa huyo
Wewe hujui kitu tulia unacho kiona wewe ni mshahara wako t
@@MohdIkra-d7s Wewe pia unachokiona ni chuki
roho mbaya na husda tu ya Kipemba ndio unayoiona ila hahaha Mitano Tena kwa Daktari Hussein Mwinyi kipenzi cha Wazanzibari wanaojielewa
Mkereketwa kanena hhhhh
@@R10_Rajab jiseme nafsi yko wa zanzibar wanaojielew ni wale wanaotka mamlaka kamili hayo anayofanya mwinyi n lazima wafenye kama serekali barabara hospital nk hayo majukum yao
Viongozi wa Africa ni shida
Wewe ngurumo unapandiwa kumbeee
Uyo simai anauza pombe na mwinyi anaitk biashara ya pombe, kiufupi wote wanapigania matumbo Yao.
Una uhakika gani tupe uhakika sasaiv ili tujiridhishe ili tuingie mzigoni
Huu mziki unakeraaa
2lia ww ndo unaleta stim ya kusikiliza vizuri kinacho ongewa
Ndio ila kwa wengine unafurahisha maana kwaya wanazipenda Sana hawa
bora umeongea ni heri awe anaongea bila mziki au bora waweke beat tu
Huo mziki ndio kitambulisho Cha chanel hii ya SK MEDIA
Urais wa kumwaga damu za wasio na hatia ili awe rais dhulma haidumu na ikidumu inadamirisha
Acha uchonganishi Mzee miyeyusho
Eeeheee
Hahaha serikali ya kifalme baba mwana
Safi sana
kama ni kweli Rais Mwinyi amegawa tenda za pombe kwa upendeleo kwa ndugu zake, basi huyu ni Rais bomu na Z'bar inaelekea kuzimu.
Shabib.... mzigo uliwekwa
Una Dhani nini wewe
Majambazi tu hao CCM wakosefu wa utu imani hawana jengine washenzi wakubwa
Allah atuhifadhi Ansberten kipenzi chetu wapenda haki
Ukiwa unaongea hizo nyimbo hazihitajiki inakuwa unatuchanganya
👊✌👍.
Chadema au ccm
Hakuna tatizo lolote zanzibar ni salama nchi imetulia hizo ni fitna zenu.Rais mwinyi piga kazi na tunakutakia kheri afya njema umri mrefu wenye afya na uzima uwendele kutuongoza mpaka 2030 kwani ufanya vizuri sana Amin.
🙏
Hivi ni kweli channel hii haijaona mema kwenye Serikali hizi mbili?
Presidaar uko vizuri Baba piga kazi uko vizuri achana na wanafiki hao
Sisi wanzanzibar tupo shwar saana kwa sasa, hakuna shida YOYOTE wala vurugu, habar ya viongozi tunawaachia wenyewe hadi 2025 😅 vurugu kwetu uchaguzi tu basi
Sawa ila isimaanishe kwa mba2025 ndo tufanye vurugu ama tufanyiwe hapana bali ni historian t kua kila uchaguzi tunafanyiwa fujo Mara hii bass ujinga ujinga huu
Sami ni waziri wa utalii na utalii unataka anasa Moja wapo ni pombe Sasa serikali imezuiya kuingiza pombe Zanzibar na yeye simai ana bar kubwa pale Zanzibar na ni kitovu Cha watalui wanao tumia vileo kwa ufupi hiyo ndio story.
Mercury na 6 degrees zote zake
Bora ujiuzulu zanzibar sinchi hii mkoa tu huu wewe waziri unaweza kwenda tia saini Kenya waje Kenya waje aekeze watu
Zanzibar ni mkowa wenye tarehe yake ya uhuru,katiba yake,Sheria zake,mipaka yake ni tofaut na mikoa ya Tanganyika kama vile Tanga,Daresalam,Dodoma nk
Kweli tumshauri huyu Mt kwa Hali ilivo bora a hie t akafanye mwengine yabinafsi
@@Sheba4651 Tanzania ni Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Hivyo ndani ya Muungano nje ya mataifa mengine Zanzibar sio nchi hata Ireland, Scotland, England na Wales zinafanya United Kingdom (Uingereza) passport yao ni moja hivyo nje ya nchi nyingine zote hizo sio nchi, nchi ni United Kingdom (Uingereza) na Tanzania ipo kama hivyo Zanzibar na Tanganyika zote sio nchi, nchi ni Tanzania.
Kagame anaivamia nchi moja ya Africa mashariki Ndani ya wiki mbili hizi...fuatilia hii...it is serious
Inchi gani
Mmmh Kagame anajua madhara ya vita labda apigane na Burundi lkn kwa tz au kenya hawezi labda alazimike kupigana.
😮SHAMTE MPUMBAVU MNAFIKI MUONGO HAJIJUWI WAPI YUPO 😮😮😮😮
MIMI SIONI TATIZO HAPO RAISI YUKO VIZURI TU
Eti anataka kugombea urais Bara na siumesema Bara ndiokwao kwani akigombea anaizuia chadema kushinda, jinga Sana wewe
Duuu urafi wa madaraka
Akioshwa Kwa Damu ya Yesu atatakata na kung'aa kabisa.
Au sio ulijuaje
Imeandikwa ktk Isaiah.1:18.
@@rev.livingstoneelihuruma-fk7es Ati damu ya Yesu ! Kwani alitoka damu?
Hizo habari za kutoka damu mbona ni uongo, hata Paulo ana shaka nalo. Alisema, aliokolewa, sasa tushike lipi, kuna damu ya Yesu ama aliokolewa?
##Waebrania 5:7
Mjinga wewe we mwenyewe hujaoshwa na Yesu kwamaana hakujui Yesu mwenyewe kwamaana humuabudu Mungu Bali unawaabudu wazayuni
Haya ni Maneno ya Hekima, na Hekima ni Mafumbo.Mithali.1:1-7,Tunaweza kutambua kweli Fulani zilizofichwa tkt Maneno ya Hekima Kwa Hekima hiyo hiyo.John.1:29. Tangu kale watu walitumia kafara za wanyama Ili kuondoa khatiya,Nuksi,mikosi,na mabalaa. Na hata Sasa Bado Kuna njia watu wanazitumia.
😮WAZANZIBARI HATUTAKI MUUNGANO HARAMU USIO NA MSINGI WA KIMAADILI WAZANZIBARI NA NCHI YAO 😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮
Maadili yapi? Wakati kumechafuka hatari
😮😮Kaja bila ya WAZANZIBARI kujuwa nani raisi na yeye katumia kupiga watu na kuuwa alikuwa zaidi ya kujiuzuzu lakini kaganda na damu za watu 😮😮😢😢😢😮
Kumbeeerr
Serekali si ndo baraza la mawaziri au anaongelea nn Mwinyi wa mkulanga
😂😂😂😂😂😂
Bila shaka unayoyasema yanauzito mkubwa na mimi kama mchambuzi chipukizi wa siasa za kimataifa naunga a na wewe Mia fili Mia,
2022 ni litembelea taifa hilo na nikaona hata kampuni zinazopewa tenda za ujenzi ni kupitia jina lake kama vile Mwinyi contraction engineering hilo lilinishangaza na vyombo vya habari na mashirika ya haki za uma yamekaa kimya juu ya huo unyama
Kimya kingi kina mshindo mkubwa. Tunausubiri huo mshindo....
Zanzibar ni shwari na amani
Ngurumo anachuki sana sana sana na Tanzania
Huyu mzee ametumwa
Alokwambia Nani au kimya cha njaa ndio tunagugumia acha masihara yako wewe
Naona nikiendelea kufurahia bando langu
Iko wapi Zanzibar tunayoijuwa?
😂😂😂ipo subiria inaandaliwa vizury maanake ushoga unaenea kila kona usagaji usiseme dhulma n.k still kunawajinga wa unguja wanaipenda CCM ila tuendeleee😂😂
😮
Huyu si mchambuzi. Ni mzushi tu.
Hongera!
We fyatu Sana umejaa ukabila fitna uzandidu, mnafiki mkubwa wewe
Biashara ya Bia
Kujiuzulu sio kwenda kumwomba Bosi wako kuwa mie naacha kazi au la, Bali ni uamuzi wako kuwa una acha kazi na hutoendelea nayo akubali au akatae, kumwarifu ni utaratibu tu haubadili umuzi uamuzi wako na ungwana, Hilo la kutaka kujizulu halafu bosi akakataa !!!!!
Unatoka mkuranga unaenda kuwa Rais Znz😥😥😥😥
Hajasema uwongo.Si kila Jambo ni kuropoka ovyo.
Mzee baba umesema ukweli mtupu upo sahihi
HHHHHHHH IMEFIKA ZAMA WATU NI WAZUR KUWASHAURI WENZA WAO ILA WAO NI NGUMU KUZIKUTA IZO TABIA KUWANAZO😂😂😂😂😂😂😂LAZIMA TUWE WA KWELI😂😂😂😂😂😂
Kwani serekali ni nani si pamoja na huyo aliyejiuzulu?? Kama ana mawazo tofauti ndo ajiuzulu😢😢
acheni unafki ni chuki tu
Manyan yakipigana nyas ndio zinaumia
Rais Hussein si mlevi wala mnywaji wa vilevi
kama haukili wache wakile.kama hanywi ache wanywe