GOROFA YA ROOMS 4 SIKILIZA BAJETI HAPA ATA WEWE UNAWEZA KUSIMAMISHA GOROFA UKIACHA UWOGA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ม.ค. 2024
  • #gorofalamwijaku

ความคิดเห็น • 100

  • @ce-08
    @ce-08 6 หลายเดือนก่อน +10

    Bro Mungu akupe umri mrefu umenifanya nianze kujiamin kumbe naweza jenga nyumba ya maana hata kama sio ghorofa🤝

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 6 หลายเดือนก่อน +9

    Ulijuwaje jaman nilikuwa nataka raman ya kagolofa simplo kama hili zur ❤

  • @fastonerugotwa3026
    @fastonerugotwa3026 5 หลายเดือนก่อน +2

    Habari yako Mkuu , Kumbuka Mirunda, Mbao 2*2, 4*4, 1*8, six na Marine board. Board moja 48*60=
    Wawekee watu kila ki2, Then sijasikia habari ya ring, grill, maji kwenye ujenzi na kumwagilia slab for 14 to 21 days , na basi kama ni 140*140 au 120*120 kitako cha maana.
    All in all mambo mengine umeyaweka vizuri.
    Binafsi niliongeza na pagola ya kupumzikia juu yaani sehemu ya floor ya pili ndo ikagusa 380.

  • @jimmysantana3987
    @jimmysantana3987 6 หลายเดือนก่อน +3

    Umetishaaaaaa ndugu yng good insipiration

  • @user-dz9xg9ll1n
    @user-dz9xg9ll1n 6 หลายเดือนก่อน +2

    Great job

  • @jobuumwambelo2341
    @jobuumwambelo2341 6 หลายเดือนก่อน +3

    Mwambaa Mungu akuwekee kwa kadili apendavyooo 🤝🤝🤝🤝

  • @aploscoder4358
    @aploscoder4358 6 หลายเดือนก่อน +5

    wow wow wow UMETISHA MAN, TANGU NIMETUMIA VIDEO LEO NDO NMEKUTANA NA CHANEL YA BONGO YENYE VITU VYA MSING NA FONDESHENI

  • @athumannambombe4334
    @athumannambombe4334 6 หลายเดือนก่อน +8

    NONDO KWA HIYO IDADI HAIFIKII HIYO GHARAMA HIYO ILIYOKADIRIWA KWA SABABU UTAAGIZA KWA TONE AMBAYO INAKUWA NA NONDO ZISIZOPUNGUA 90 NA HATA CEMENT UNAWEZA KUAGIZA KWA TONE 30 AMBAYO UNAPATA MIFUKO 600.

  • @samwelisamsoni6402
    @samwelisamsoni6402 6 หลายเดือนก่อน +1

    Asante kaka nmejifunza kitu Mungu akubariki saba

  • @SalimhchialaAtilio-qj5cs
    @SalimhchialaAtilio-qj5cs 6 หลายเดือนก่อน +2

    Thanks brother 🥰

  • @bexy.
    @bexy. 6 หลายเดือนก่อน +4

    Umetisha kaka sina kitu ila natamani nyumba kana hii walau hata baba yangu alalie tu

  • @user-xn8jh1yw1h
    @user-xn8jh1yw1h 6 หลายเดือนก่อน

    Tutajenga. Ahsante kwa ushauri.

  • @yusuphHatibu-jy6kv
    @yusuphHatibu-jy6kv 2 หลายเดือนก่อน

    Broo Allah akujalie sana mana unatupa ufaham na kujiamni kua tunaweza kufanya vitu vikubwa. Shukran sana

  • @shabanikitula645
    @shabanikitula645 6 หลายเดือนก่อน +2

    Bado iko juu sana

  • @babupiza641
    @babupiza641 6 หลายเดือนก่อน +1

    Nimekuelewa sana mzee

  • @eliyagervas8680
    @eliyagervas8680 6 หลายเดือนก่อน +1

    Thanks man

  • @mkwejonathan361
    @mkwejonathan361 6 หลายเดือนก่อน +1

    Uko vzr, ntakucheki tukae tuyajenge brother

  • @zaiboris9696
    @zaiboris9696 6 หลายเดือนก่อน +1

    Nice

  • @jonasafumwisye6357
    @jonasafumwisye6357 6 หลายเดือนก่อน +3

    Mwamba nimekukubali nitakutafuta maana akina meinjaku wanatutisha sana

  • @user-is9oc6ul8h
    @user-is9oc6ul8h 5 หลายเดือนก่อน

    Uko njema bro

  • @phantyrhymes9536
    @phantyrhymes9536 6 หลายเดือนก่อน +1

    Very good explanations...umetumia bei halisia ya 2024,,, Nondo Tsh.23,000/= Cement 18,000/= Mchanga Lori 100k kwenda juu, Nondo 280K. Uko sahihi mkuu.

  • @sheikhalumbalambala2655
    @sheikhalumbalambala2655 6 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana

  • @chrizostomchristian1884
    @chrizostomchristian1884 6 หลายเดือนก่อน +2

    Ntakupa Kaz mwanza na bukoba uwe on line muda wote

  • @peternyambui7492
    @peternyambui7492 6 หลายเดือนก่อน

    Safi sana❤❤❤❤

  • @ChipakaJama-bi2jg
    @ChipakaJama-bi2jg 6 หลายเดือนก่อน +19

    Et b moja hv yuele kichaa anazan wote ni wendawazimu kama yeye b moja kigorofa kimebana kama vile chiz sana yule

    • @julianaharrison4356
      @julianaharrison4356 6 หลายเดือนก่อน

      Ole gorofa ya Mwijaku ni nzuri ila kiwanja kidogo sana haina hata garden ya maana

    • @cuthbertmkemwa4903
      @cuthbertmkemwa4903 6 หลายเดือนก่อน

      hahaha, kaka mbona kama umemmind? kazidisha pale

  • @jovinmancomedytz
    @jovinmancomedytz 5 หลายเดือนก่อน

    Nakubari

  • @AalyahNassor
    @AalyahNassor 6 หลายเดือนก่อน +1

    🎉🎉🎉

  • @osoromageta3381
    @osoromageta3381 6 หลายเดือนก่อน +3

    Nakukubali sana upo vzr

    • @VickKulekana-si1ib
      @VickKulekana-si1ib 6 หลายเดือนก่อน

      Namba zake si iso juu jaman ya mwisho 56

  • @elipidhugotesha1909
    @elipidhugotesha1909 6 หลายเดือนก่อน

    saf sana

  • @tonnyford5782
    @tonnyford5782 6 หลายเดือนก่อน

    Sawa bosi ngoja niandae nondo tofar na mchanga nataman sana hii kitu,nikiwa na 200m naanza ujenz❤

  • @shomarisangari-rt6le
    @shomarisangari-rt6le 6 หลายเดือนก่อน

    Ahsate sana

  • @fettiemaganza1484
    @fettiemaganza1484 6 หลายเดือนก่อน +5

    Ile ghorofa nimeaingalia weeeh kisha nikaenda kwa nyumba ya msechu nikaoangalia weeh kisha nikaangalia ya Aristote jibu likaja wale walojenga za chini wametumiq gharama kubwa kuliko yy

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 6 หลายเดือนก่อน

      Nalo Neno

  • @pendowilbert8808
    @pendowilbert8808 6 หลายเดือนก่อน +1

    Tatizo ukipigiwa simu una majibu ya kukatisha tamaa,unatuvunja moyo💔

  • @starfordalex4139
    @starfordalex4139 5 หลายเดือนก่อน

    Uko sahihi

  • @idrisadalluc4498
    @idrisadalluc4498 6 หลายเดือนก่อน

    Mwijaku choko

  • @kevinmary7129
    @kevinmary7129 6 หลายเดือนก่อน +2

    200M to 250M gorofa za billion 1.5M ni hotel za kitalii ghorofa 12 had 17 kwenda juu

  • @ericmwakingili6746
    @ericmwakingili6746 หลายเดือนก่อน

    KAZI NZR KAKA NTAKUTAFUTA

  • @stephenmwampondele7893
    @stephenmwampondele7893 6 หลายเดือนก่อน

    Saf nimekuelewa

  • @user-my6vn6mp6g
    @user-my6vn6mp6g 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mwamba we mkweli sana

  • @IsayaSamweli-pm4dd
    @IsayaSamweli-pm4dd 6 หลายเดือนก่อน

    Safi sans no yako mkuu.

  • @luckymsomba4818
    @luckymsomba4818 6 หลายเดือนก่อน

    mwijaku anatuona watanzania n mabwege

  • @christinainnocent3240
    @christinainnocent3240 5 หลายเดือนก่อน

    Unaweza kufika billion kulingana na nakshi ulimwende utaoweka na vitu vya thamani nk kama majakuzi swimming pool bustani ya sehemu ya kuchoma nyama na kufanya sherehe , ndani sehemu ya bar parking garage ya magari basement madirisha makubwa marefu ya za ajabu ajabu nk

  • @hallin9561
    @hallin9561 6 หลายเดือนก่อน +3

    Lile Ghorofa la marehem Mengi kule machame ni million 800 na ni ghorofa la maana sio poa vioo tupu limepanda hewani, Sasa uyu mpuuzi mwijaku anatuongezea namba kwa ghorofa gan pale Billion 1.3

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 6 หลายเดือนก่อน

      Ile ya machame M800?

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 6 หลายเดือนก่อน +3

    Hilo golifa juu lina sehem ya kupunzikia kama kwa mwijaku

    • @collinndabi1914
      @collinndabi1914 6 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂😂

    • @SallmaXg
      @SallmaXg 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

  • @samtelah7578
    @samtelah7578 6 หลายเดือนก่อน

    Umeelezea vzur sana

  • @user-pw4dx9hr1l
    @user-pw4dx9hr1l 5 หลายเดือนก่อน

    Nimekukubali bro ntakucheki napapata malamba mawili

  • @joskimmaro1556
    @joskimmaro1556 2 หลายเดือนก่อน

    Hiv hiz hydraform block ni salama kwa ujenzi especial kwa mazigira yetu?

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 6 หลายเดือนก่อน +1

    Na hiyo ya nje ni swiming pul au

  • @KyandoSpareparts
    @KyandoSpareparts 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mm ata mil 100 haifiki nkiandaa ramani yangu kwenye cad

  • @user-wy3jv4ri7x
    @user-wy3jv4ri7x 5 หลายเดือนก่อน

    Zanzibar unaweza kuja kujenga

  • @allanabdallah9124
    @allanabdallah9124 6 หลายเดือนก่อน +2

    Wapuuzi walinitisha nikajenga ya kawaida na nimeshatumia 110M. Halafu unakuja leo kusema 😠 9:30

    • @ginimbifamily3995
      @ginimbifamily3995 6 หลายเดือนก่อน

      Umeshatumia 110M ..Kwan aujamaliza?
      Kuna watu wanatafuta Kazi kiaina..watu wanachukulia kujenga gorofa ni makalio 😂😂😂

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 6 หลายเดือนก่อน

    Nataka kama hilo

  • @dottosweetbert8879
    @dottosweetbert8879 5 หลายเดือนก่อน

    Sasa Mr House decorations, je watu wanaojenga maeneo magumu kama Mwanza (ardhi ni mawe tupu), gharama hazipungui hapo?

  • @yohaneskomba9559
    @yohaneskomba9559 6 หลายเดือนก่อน +1

    Nitumie namba yako brother

  • @user-cu9mj3xj8x
    @user-cu9mj3xj8x หลายเดือนก่อน

    mwijaku? daah

  • @fridakipingu
    @fridakipingu 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ni nzuri asee ukiwa na milioni 150 usha maliza na usafi

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 6 หลายเดือนก่อน +1

      M150 bora ujenge nyumba ya chini kali

    • @SallmaXg
      @SallmaXg 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@adkajisi4536kwani kwa hiyo 150M ukijenga nyumba ya chini itakuwa ya rooms gapi

    • @sarahkimambo5324
      @sarahkimambo5324 6 หลายเดือนก่อน

      😂

  • @Mrpromotiongroup
    @Mrpromotiongroup 4 หลายเดือนก่อน

    Apo bado ni bei ya kiufundi 😅😅 nikijenga kwa kusimamia mwenyewe bila mafundi kuiba cement na nondo nanunua mwenyewe tsh 20000/= gorofa la vyumba 4 na kila kimojaa choo ndanj na jiko ni Tsh 200M

  • @kimandafukitefu2999
    @kimandafukitefu2999 4 หลายเดือนก่อน

    Ina square ngapi hiyo nyumba kabla ya budget yako?

  • @user-nb1lv9xw6m
    @user-nb1lv9xw6m 6 หลายเดือนก่อน +3

    Big up uko sawa nitumie namba yako ya simu

    • @selemanmaganga-le4zg
      @selemanmaganga-le4zg 6 หลายเดือนก่อน

      Namba mbona kazitaja pia hata kwenye hii kazionesha pia namba zake, rudia kuiangalia video hadi mwisho

  • @alaamarisaviel2979
    @alaamarisaviel2979 6 หลายเดือนก่อน

    Sasa wewe ndio umenipa motoooooo wa kuendelea kujenga gorofaaaaa

  • @AishaSaid-yx3jl
    @AishaSaid-yx3jl 6 หลายเดือนก่อน +5

    Fundi bado upo juu kibajeti kwani tofari za chini TU elfu sita kwenye nondo upo vizur ila tofar upo juu kwisha kwa bajet hii nakubali kuwa mwijaku ikawa sawa maana hii sukwe thalasini milioni sitini je Ile yenye sukwea karibu mia mbili piga vizur hesabu zako naona kama hiyo ya fundi wako ndiyo galama za hiyo nyumba tupo pamoja wacheni tuendelee kutuliza nyumba za chini

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 6 หลายเดือนก่อน

    Huyu Mwenjaku Maarufu Majisifu Maarufu Mtu Anajifu Amsifia Mpaka Mkewe Hakuna Mwanake Mazuri Kama Mkewangu...???????

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 6 หลายเดือนก่อน +2

    Room 4 kwa maana chini vyumba viwil na juu viwil

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 6 หลายเดือนก่อน

      Mimi pia sijaelewa.

    • @barakatingisa505
      @barakatingisa505 6 หลายเดือนก่อน

      Hapana, ni ghorofa yenye vyumba 4 vya kulala.

  • @shabanialfani5394
    @shabanialfani5394 6 หลายเดือนก่อน

    Wacha tujenge zetu za Million 5 tu huko tutaziona hata Barabarani

  • @WorldExploration381
    @WorldExploration381 6 หลายเดือนก่อน +1

    Bado mirunda na marine za kubebea zege,,,!

    • @gibsonjosephat6352
      @gibsonjosephat6352 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂 Kigoma Moja hiyo njoo niko Mwanga kwa Mchaga

    • @selemanmaganga-le4zg
      @selemanmaganga-le4zg 6 หลายเดือนก่อน

      Ujamsikiliza au bajeti ya kwanza kujenga Bola la gorofa alipata milioni 70 kasoro kidogo Ila ikasema we weka bajeti ya milioni 100 kwa Boma kwasababu ya vitu vidogo vidogo kama hivyo ambavyo akuolozesha!.

    • @WorldExploration381
      @WorldExploration381 6 หลายเดือนก่อน

      @@selemanmaganga-le4zg hivyo sio vitu vidogo kwenye ghorofa,,!

  • @oscarmwamlima93
    @oscarmwamlima93 6 หลายเดือนก่อน +2

    Hujasema vipimo vya nyumba ina sqm ngapi

    • @hallin9561
      @hallin9561 6 หลายเดือนก่อน

      ndio maana ameleta bajeti ya million 60 ila weka 40 pembeni. sikiliza kinachoongelewa kwanza

    • @selemanmaganga-le4zg
      @selemanmaganga-le4zg 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@hallin9561Ndugu yangu hawa watu sijui wanasikilizaga wapi mtu Katoa Maelezo mazuri yaliyojitosheleza lakini mijitu inaanza kulaumu, kweli hakuna kazi Ngumu kama uwalimu.

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 6 หลายเดือนก่อน

    Kiwanja cha robo heka iyo raman inatosha sema kanafas katabaki

    • @tunkuh661
      @tunkuh661 6 หลายเดือนก่อน

      Robo acre sio ndogo ina m² 1012 so bado una nafasi ya bustani n.k

  • @Cruxtrend
    @Cruxtrend 6 หลายเดือนก่อน

    Mimi nlijenga kama Hilo na Ksh 10m, sidhani inaezafika Tsh 1.5 b

  • @sarabura8933
    @sarabura8933 6 หลายเดือนก่อน

    Sasa hapo mbona hakuna afazari duh

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 6 หลายเดือนก่อน +1

      Kimsingi ghorofa la maana uwe Na m500 au zaidi. Hizi zngne tutaziba nyufa sanaa.

  • @jovitjonas8664
    @jovitjonas8664 6 หลายเดือนก่อน

    Hapo hakuna mbao, maji, bati,mbao za renta, milunda . Wewe ni muhongo haujawai Jenga nyumba ya kawaida boma si chini ya m 20,

    • @selemanmaganga-le4zg
      @selemanmaganga-le4zg 6 หลายเดือนก่อน

      Hivi we umesikiliza vizuri video au ulikuwa na mambo mawilimawili, bajeti yake ya kujenga hilo boma bila kupaua alifika milioni 70 kasoro kidogo ila akasema inabidi uandae bajeti ya milioni 100 kwa ajili ya Boma tu ilikufidia vitu vidogo vidogo ambavyo ajaviolozesha kama hivyo ulivyoviolozesha na kuna vitu vingi kwenye ujenzi vidogovidogo ambavyo hata wewe ukuviolozesha ndio kategea hiyo M40 inayobakia kwenye 100

    • @selemanmaganga-le4zg
      @selemanmaganga-le4zg 6 หลายเดือนก่อน

      We umeweka 20 mwenzako kaweka m 40 kwa ajili ya hivyo vitu vidogovidogo,

  • @florencemlay9333
    @florencemlay9333 4 หลายเดือนก่อน

    Please tupostie ramani ya Jaqueline Walper jamani

  • @ReuKakulima
    @ReuKakulima หลายเดือนก่อน

    Xamahan bro nawez kupata raman yake maan natak kujua ndan ikoje

  • @josiahkulwa5318
    @josiahkulwa5318 6 หลายเดือนก่อน

    Great job

  • @mohamedismail2662
    @mohamedismail2662 5 หลายเดือนก่อน

    safi sana