FULL BAJETI YA RAMANI YA ROOMS 4 SIKILIZA UPATE KUJUA GHARAMA ZAKE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 14 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 156

  • @MatildaMakawia
    @MatildaMakawia 8 หลายเดือนก่อน +2

    Asante sana bro nimepata picha halisi ya ujenzi na imeniondolea wasiwasi

  • @sskondopoleani9616
    @sskondopoleani9616 8 หลายเดือนก่อน +2

    Kazi ni nzuri sana tatizo ni maelezo, kibiashara hujielezi vizuri kuna sehemu unavyoziweka zinatia shaka kwa wachambuzi wa lugha otherwise Big Ups

  • @HafsaShekigenda
    @HafsaShekigenda 4 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah nimefrah sana maana ukijua kinachaendelea ni vizuri sana asante kwakutuekawazi.

  • @MwinyiShabani-p7o
    @MwinyiShabani-p7o 8 หลายเดือนก่อน +3

    Bro hongera sana kufananua vzr ujenzi

  • @harounkiyungi7288
    @harounkiyungi7288 ปีที่แล้ว +10

    Nimefarijika sana kuona taarifa za ujenzi wa hidden roof na gharama zake in sha allah nitaweza kutimiza ndoto zangu na mie atleast nimepata relie, kaka tuombe uzima nitakutafuta mkuu

    • @ShelaMsabaha
      @ShelaMsabaha 11 หลายเดือนก่อน

      Million kumi na nne unajenga nyumba yavyumba vingapi

    • @harounkiyungi7288
      @harounkiyungi7288 11 หลายเดือนก่อน +2

      @@ShelaMsabaha hahahah kaka inabidi tuone mambo yanawezekana maana kimtazamo sio rahisi kaka ila at least uki twist ubingo namna unavyoona jambo gumu na kuwa jepesi unaweza kufanikiaha ila to be honest hiyo bajet utaaishi kujenga pagala na kuweka bati kama eneo sio complected otherwise utatakiwa kuidouble ili ukamilishe

  • @Leonardjoely
    @Leonardjoely 6 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤❤ ngoja nijipange jomba

  • @benjaminjoseph1747
    @benjaminjoseph1747 10 หลายเดือนก่อน +1

    Saaafi sana.
    Tuwekee mjengo wa apartments zenye kibalaza. Chumba kimoja na vyumba 2. Choo ndani. Kibalaza kwa ajili ya privacy kama mtu anapika nje na mkaaa.
    Thanks

  • @pauljoseph4022
    @pauljoseph4022 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hapa umenichanganya mwamba Tofari tu umesema sh 2,500,000 nondo 40 @sh 20,000 sawa na 800,000 Kuna Cement 85 @sh 17,000 Kuna Mchanga na Kokoto Jumlisha vizuri total

  • @suleymanpongwa4588
    @suleymanpongwa4588 8 หลายเดือนก่อน

    Nimeipenda sana na itasaidia sana kwa wale wanaotaka kujenga

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 9 หลายเดือนก่อน +1

    Nimefurahia Sana Kupata Maelezo Ya Ujenzi Wa Hiyi Nyumba Nawashukuru Sana Ila Pendekezo Ingelekuwa Kama Hivi Kisha Tuaona Mkato Wandani Na Pande Zilizo Baikia

  • @witnessmallya5114
    @witnessmallya5114 8 หลายเดือนก่อน

    Asante kwa ufafanuzi, umetuhamasisha pakubwa

  • @AliAhmed-m1o2u
    @AliAhmed-m1o2u 7 หลายเดือนก่อน

    Asalaam aleykum mr house ni mm nilie kupigia simu nikakuambia nipo nje ya nchi kwa matibabu nasema hii ndio ramani nilio kuambia naitaka lkn iwe na vyuma 4 tafadhali niandalie na site plan yake na elevation zake na uniambie kiasi gani nikutumie pia usiache kufanya bill of quantity

  • @omaryjommo5591
    @omaryjommo5591 หลายเดือนก่อน

    Hey bosi nimeipenda hii dizini ya nyumba ningependa kama nahitaji kila chumba kiwe na choo chake na choo cha pabliki harama zake inakuwaje

  • @MrMachume
    @MrMachume 8 หลายเดือนก่อน

    Safi kabisa, umetufungua ufahamu. Napenda kujua kuhusu msingi maana hujaongelea, au bajeti yake iko humohumo?

  • @brunongelangela2709
    @brunongelangela2709 8 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana wewe ni mzalendo wa mafanikio hakika

  • @JaffariKatuamba
    @JaffariKatuamba 7 หลายเดือนก่อน

    Kaka Mbona hii lahisi sana na ni nyumba kubwa Ina vyumba 4 na ni nyumba nzur

  • @Neighborsjiran
    @Neighborsjiran 8 หลายเดือนก่อน +1

    Shukran

  • @InnocentLesilwa
    @InnocentLesilwa 5 หลายเดือนก่อน

    Mambo nambie hiilaman naipataje?

  • @DOMINICTHOMAS-p9n
    @DOMINICTHOMAS-p9n 11 หลายเดือนก่อน

    ❤❤ je nikiamua baada ya muda niipige bat inawezekana

  • @SaidyAllyAbdallah
    @SaidyAllyAbdallah 7 หลายเดือนก่อน

    Vizuri sana

  • @ismailgumbo289
    @ismailgumbo289 8 หลายเดือนก่อน

    Safi sana mungu akulipe kheir

  • @SafiaSeif-gw4ut
    @SafiaSeif-gw4ut 9 หลายเดือนก่อน

    Naomba no zko.mm niko znz jee unaweza kuja kunijengea?

  • @Mazoea
    @Mazoea 6 หลายเดือนก่อน

    Nimeipenda hii Ramani

  • @jescajaisonngonyani3107
    @jescajaisonngonyani3107 4 หลายเดือนก่อน

    Unaweza kujenga hizi nyumba kwa kutumia tofari za kuchoma

  • @Salumchiwili2023
    @Salumchiwili2023 9 หลายเดือนก่อน

    Hongera kaka nitakutafuta aisee na vp changamoto ya kuvuja kwenye nyumba za hidden roof

    • @JackiePaul-sd1jt
      @JackiePaul-sd1jt 9 หลายเดือนก่อน +1

      Swari zuri pia kuhusu rangi

  • @lusupi
    @lusupi 7 หลายเดือนก่อน +2

    Jichanganye uanze kuongea pekeako

  • @hezronwanyawawa4911
    @hezronwanyawawa4911 หลายเดือนก่อน

    Msingi gharama yake hujafafanua, mbao za formwork na lenta nk.....

  • @valentinemtei3588
    @valentinemtei3588 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hideni roof ni mahususi kwenye eneo lenye upepo mkali na vimbunga, hapa Bongo kama fashion, huyo msimuliaji haujui garama za majenzi kwa asimilia hata hamsini, kwa mfano garama za mchanga na kokoto inatajwa volume, sio idadi ya magari

  • @kazikazini1042
    @kazikazini1042 ปีที่แล้ว

    Uko vizuri ila hidden ni hi kama katika neno himaya na si hai

  • @godfreymatthew9023
    @godfreymatthew9023 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hujasema msingi,

  • @djbegge_tz
    @djbegge_tz 9 หลายเดือนก่อน

    Asante kaka

  • @valentinemtei3588
    @valentinemtei3588 8 หลายเดือนก่อน

    Zege la lenta inatajwa kwa volume,nondo inatajwa kwa mita,.

  • @st.alvincollege6184
    @st.alvincollege6184 ปีที่แล้ว +5

    mpaka hapo kwenye Kozi 4 za juu inakua 5,695,000

    • @CindyJohn-n7i
      @CindyJohn-n7i 8 หลายเดือนก่อน

      Nkajua ni mimi tu yani hio hesabu inashida

  • @MarryMakalwe
    @MarryMakalwe 9 หลายเดือนก่อน

    Mimi Niko Geita, unaweza kutumia muda gani Hadi nyumba kumalizika?

  • @davidmtoi4704
    @davidmtoi4704 8 หลายเดือนก่อน

    Nionyeshe ndani

  • @FlorentineLyimo
    @FlorentineLyimo 2 หลายเดือนก่อน

    kaka unatupa moyo tulokata tamaa hongereni muwe mnatupa option ya wa mikoani gharama zake mtu akikutaka uje upige kazi mtalam

  • @davisjavan2892
    @davisjavan2892 3 หลายเดือนก่อน

    Nimepiga hesabu lakini, sijaelewa hesabu zako

  • @munisoNunu
    @munisoNunu 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hy Hesabu umekosea ya hapo Chini mpaka Juu Sio 3.1

    • @Joppa555
      @Joppa555 8 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂Sure ametupeleka chaka kidogo

  • @vincentmlekwa9255
    @vincentmlekwa9255 ปีที่แล้ว +2

    Ni vema kuonyesha muonekano wa ndani, kutambulisha kazi zenu. Tunapo ona ukamilifu wa ndani waweza kutupatia uhondo pia

  • @mengikiguruwe6750
    @mengikiguruwe6750 9 หลายเดือนก่อน

    Hivi kwa nini nyumba hizi hazina 'vent' kwenye joto la Dar si hatari sana?

  • @keciarowland2558
    @keciarowland2558 7 หลายเดือนก่อน

    Nice

  • @Coachsamwel
    @Coachsamwel 8 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana mkuu .. nimefurahi kuwa exposed na channel yako

  • @fredychapwaya6025
    @fredychapwaya6025 7 หลายเดือนก่อน

    Kaka nipe no yako nikupe kazi

  • @suleymanpongwa4588
    @suleymanpongwa4588 8 หลายเดือนก่อน

    😊

  • @sistertrashid2488
    @sistertrashid2488 ปีที่แล้ว +2

    Umenipa ujasiri natumai ndoto zangu zitatimia ipo siku nitakutafuta fundi

  • @ezrajailo1032
    @ezrajailo1032 9 หลายเดือนก่อน

    Uko vzr sana

  • @davidmtoi4704
    @davidmtoi4704 8 หลายเดือนก่อน

    Please show me in

  • @rehemaedward9494
    @rehemaedward9494 8 หลายเดือนก่อน

    upo vzr mno aisee

  • @richardbegga6679
    @richardbegga6679 9 หลายเดือนก่อน

    Hii ramani Inapatikana Vp?

  • @neemajeremia815
    @neemajeremia815 9 หลายเดือนก่อน

    Nipe namba tuwasiliane pls

  • @sofrinasway1808
    @sofrinasway1808 ปีที่แล้ว +1

    Ee mungu nisaidie ninaamini katika kupambana namimi nitamiliki mjengo

  • @emmanuelymganga5737
    @emmanuelymganga5737 7 หลายเดือนก่อน

    👊👊

  • @brightonmwita2858
    @brightonmwita2858 ปีที่แล้ว +1

    Weka mawasiliano bro .Ila hapo bado vitu kama.mfumo WA maji na umeme,makabati,taa na masinki,ujenzi wa jiko.

  • @trillhappybeautypoint9874
    @trillhappybeautypoint9874 ปีที่แล้ว +1

    Aiseee mbona unenishtua sana

  • @JoshuaNgaeje-u6n
    @JoshuaNgaeje-u6n 11 หลายเดือนก่อน

    Wow hii nyumba ni nzuri sana nimeipenda

  • @luciamsani
    @luciamsani ปีที่แล้ว

    na design za jikoni pia mnafanya?

  • @HosianaUrassa
    @HosianaUrassa 10 หลายเดือนก่อน

    Ingekuwa vizuri utuonyeshe kwa ndani

  • @salimabdul4424
    @salimabdul4424 8 หลายเดือนก่อน

    Umesahau gharama ya cement kwenye mil3 na laki moja

  • @GustavitoJr
    @GustavitoJr ปีที่แล้ว

    Hongera sana

  • @ZuwenaSoni
    @ZuwenaSoni 10 หลายเดือนก่อน

    Asante

  • @didacianapeyton5798
    @didacianapeyton5798 ปีที่แล้ว

    Nahamia Dar hivi karibuni nitakutafuta .Hongera kwa kazi nzuri

    • @didacianapeyton5798
      @didacianapeyton5798 ปีที่แล้ว

      Hivi karibuni

    • @didacianapeyton5798
      @didacianapeyton5798 ปีที่แล้ว

      Je inawezekana ikawa vyumba 3 badala ya 4? Kwa ukubwa huohuo ?Ili nyumba hii iwe na balcon mbele kubwa na pembezoni mwa chumba cha master??

  • @AmiraballahChicg
    @AmiraballahChicg 6 หลายเดือนก่อน

    Ntumie ramani

  • @Stanbul.Y
    @Stanbul.Y ปีที่แล้ว

    Shukran umetoa faida

  • @shidashida6060
    @shidashida6060 8 หลายเดือนก่อน

    👌🏿👌🏿

  • @MudekereFrancine
    @MudekereFrancine 5 หลายเดือนก่อน

    💜💜💟💟🤝🤝

  • @batihubadiy3106
    @batihubadiy3106 8 หลายเดือนก่อน

    Naomba Namba zako

  • @davidmtoi4704
    @davidmtoi4704 8 หลายเดือนก่อน

    Tunaomba utoe namba za simu tunataka kujenga nyumba kama hio

  • @raymondprosper7790
    @raymondprosper7790 8 หลายเดือนก่อน

    Hapo kwenye ufundi wa kunyanyua ndo umesema Bei kubwa hivyo

  • @FatumaOmary-gk8zy
    @FatumaOmary-gk8zy 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona mi sijaelewa

    • @SalmaMohamedy-o2g
      @SalmaMohamedy-o2g 4 หลายเดือนก่อน

      Hata mi sijamuelewa kasema tofari milioni mbili na nusu sumente milioni moja nondo laki nane fundi milioni mbili mchanga na kokoto afu anatudanganya eti milioni tano inaisha mmh acha tujipe moyo😂😂

  • @FredManonga
    @FredManonga 8 หลายเดือนก่อน

    Kaka floor hujatuonesha imekaeje

  • @batihubadiy3106
    @batihubadiy3106 8 หลายเดือนก่อน

    Kaka nakupataje

  • @rajabjuma277
    @rajabjuma277 ปีที่แล้ว +1

    Bara ujenzi rahisi njoo zenji

    • @Kalssambabo-gv6uh
      @Kalssambabo-gv6uh ปีที่แล้ว

      Hata nyumba bara bei nafuu zanji ghari sana

  • @geofreyrwela594
    @geofreyrwela594 ปีที่แล้ว

    Kwa paa la kawaida inachukua bati ngapi?

  • @LailaLaila-kg2qd
    @LailaLaila-kg2qd ปีที่แล้ว

    Mi naomba kuuliza msingi mzur naamanisha msingi imara kbs unachukua kiasi gani msingi tu peke yko

  • @victorcephas3618
    @victorcephas3618 ปีที่แล้ว +1

    Ntakucheki unijengee hii ya hidden roof

  • @FatumaOmary-gk8zy
    @FatumaOmary-gk8zy 8 หลายเดือนก่อน

    Mbona mi nimepata hela nyingi

  • @JackiePaul-sd1jt
    @JackiePaul-sd1jt 9 หลายเดือนก่อน

    Tuonyesheni na ramani kwa ndani

  • @abdullahaljabri110
    @abdullahaljabri110 ปีที่แล้ว

    Upo wapi office yako

  • @PelagiaKawishe
    @PelagiaKawishe 9 หลายเดือนก่อน

    Mzuri sana unatafutwa

  • @nicolauslukona2694
    @nicolauslukona2694 8 หลายเดือนก่อน

    Naomba no yako

  • @TeddyMustaphaMustapha
    @TeddyMustaphaMustapha 9 หลายเดือนก่อน

    Safi sana

  • @shadya4988
    @shadya4988 ปีที่แล้ว

    Mnakuja zanzibar

  • @FranciscaLukinga-o6c
    @FranciscaLukinga-o6c 9 หลายเดือนก่อน

    Tuonyeshe na ndani

  • @godfreymatthew9023
    @godfreymatthew9023 8 หลายเดือนก่อน

    Ukweli umesema ila bei umedanganya

  • @geofreyrwela594
    @geofreyrwela594 ปีที่แล้ว

    Na ina ukubwa Gani nyumba hii?

  • @thewellministry9008
    @thewellministry9008 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nqkuitq moshi nitumie wimu

  • @PriscaSiame-f9z
    @PriscaSiame-f9z ปีที่แล้ว

    Upo vzr sn

  • @AmaniMendeli
    @AmaniMendeli 8 หลายเดือนก่อน

    ndugu naomba lamani ya nyumba hiyo kuanzia msingi wake

  • @matolakim
    @matolakim 9 หลายเดือนก่อน

    mbona kama gharama za fundi zipo chini sana au ndio bei zako?

  • @advinofficial6570
    @advinofficial6570 8 หลายเดือนก่อน

    Uwe unatoa na kiwanja size yake imayotoshea

  • @RehemaMakuka-q4e
    @RehemaMakuka-q4e 8 หลายเดือนก่อน

    Usioneshe muonekano wa ndani watapeleka kwa mafundi wao labda walipie kama ulivyosema ila mm ntakucheki 2025 mana kupanga nimechoka

    • @ManHussein.
      @ManHussein. หลายเดือนก่อน

      wewe nawe kwa kujipendekeza

  • @onlinemateustv1925
    @onlinemateustv1925 8 หลายเดือนก่อน

    Huku tunduma tofauti sana tofari moja inch 6 =2300

    • @franklinisaya4796
      @franklinisaya4796 2 หลายเดือนก่อน +1

      Tunduma sio tanzania bro 😅😅😅

    • @MwajumaHassan-d5l
      @MwajumaHassan-d5l 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@franklinisaya4796😅😅😅😅kwanza tunduma wanatumia kwacha so 😅😅😅asijifananishe na sis 😂😂

  • @neemahaule8407
    @neemahaule8407 11 หลายเดือนก่อน

    Milango ya chooni,jikoni na stoo hakuna?

  • @isayaambose219
    @isayaambose219 8 หลายเดือนก่อน

    Msingi pia haupo kwenye hesabu Sio 😮

    • @elizag.edmond7637
      @elizag.edmond7637 8 หลายเดือนก่อน

      Msingi haupo Bana ni kuhesabu mpka kufika juu kuanzia chini

  • @SaidiRamathani-l3n
    @SaidiRamathani-l3n 9 หลายเดือนก่อน +1

    Tofari zote mpaka msingi

  • @manyasimukungu7288
    @manyasimukungu7288 ปีที่แล้ว

    Namba za simu sizioni
    Ziwe wazi tafadhali

  • @shaidanidecoration1007
    @shaidanidecoration1007 8 หลายเดือนก่อน

    Hapo plumbing hujaweka

  • @ppandenassoro6666
    @ppandenassoro6666 ปีที่แล้ว

    Tuonyeshe muonekano wa nje pande zote na muonekano wa ndani

  • @ProganGideon
    @ProganGideon ปีที่แล้ว +1

    Ukubwa gani

  • @habibamahiti7455
    @habibamahiti7455 9 หลายเดือนก่อน

    Mbn huweki na. Ya simu