Nimefarijika sana kuona taarifa za ujenzi wa hidden roof na gharama zake in sha allah nitaweza kutimiza ndoto zangu na mie atleast nimepata relie, kaka tuombe uzima nitakutafuta mkuu
@@ShelaMsabaha hahahah kaka inabidi tuone mambo yanawezekana maana kimtazamo sio rahisi kaka ila at least uki twist ubingo namna unavyoona jambo gumu na kuwa jepesi unaweza kufanikiaha ila to be honest hiyo bajet utaaishi kujenga pagala na kuweka bati kama eneo sio complected otherwise utatakiwa kuidouble ili ukamilishe
Saaafi sana. Tuwekee mjengo wa apartments zenye kibalaza. Chumba kimoja na vyumba 2. Choo ndani. Kibalaza kwa ajili ya privacy kama mtu anapika nje na mkaaa. Thanks
Hapa umenichanganya mwamba Tofari tu umesema sh 2,500,000 nondo 40 @sh 20,000 sawa na 800,000 Kuna Cement 85 @sh 17,000 Kuna Mchanga na Kokoto Jumlisha vizuri total
Nimefurahia Sana Kupata Maelezo Ya Ujenzi Wa Hiyi Nyumba Nawashukuru Sana Ila Pendekezo Ingelekuwa Kama Hivi Kisha Tuaona Mkato Wandani Na Pande Zilizo Baikia
Asalaam aleykum mr house ni mm nilie kupigia simu nikakuambia nipo nje ya nchi kwa matibabu nasema hii ndio ramani nilio kuambia naitaka lkn iwe na vyuma 4 tafadhali niandalie na site plan yake na elevation zake na uniambie kiasi gani nikutumie pia usiache kufanya bill of quantity
Hideni roof ni mahususi kwenye eneo lenye upepo mkali na vimbunga, hapa Bongo kama fashion, huyo msimuliaji haujui garama za majenzi kwa asimilia hata hamsini, kwa mfano garama za mchanga na kokoto inatajwa volume, sio idadi ya magari
Hata mi sijamuelewa kasema tofari milioni mbili na nusu sumente milioni moja nondo laki nane fundi milioni mbili mchanga na kokoto afu anatudanganya eti milioni tano inaisha mmh acha tujipe moyo😂😂
Asante sana bro nimepata picha halisi ya ujenzi na imeniondolea wasiwasi
Kazi ni nzuri sana tatizo ni maelezo, kibiashara hujielezi vizuri kuna sehemu unavyoziweka zinatia shaka kwa wachambuzi wa lugha otherwise Big Ups
Mashaallah nimefrah sana maana ukijua kinachaendelea ni vizuri sana asante kwakutuekawazi.
Bro hongera sana kufananua vzr ujenzi
Nimefarijika sana kuona taarifa za ujenzi wa hidden roof na gharama zake in sha allah nitaweza kutimiza ndoto zangu na mie atleast nimepata relie, kaka tuombe uzima nitakutafuta mkuu
Million kumi na nne unajenga nyumba yavyumba vingapi
@@ShelaMsabaha hahahah kaka inabidi tuone mambo yanawezekana maana kimtazamo sio rahisi kaka ila at least uki twist ubingo namna unavyoona jambo gumu na kuwa jepesi unaweza kufanikiaha ila to be honest hiyo bajet utaaishi kujenga pagala na kuweka bati kama eneo sio complected otherwise utatakiwa kuidouble ili ukamilishe
❤❤❤❤❤❤❤ ngoja nijipange jomba
Saaafi sana.
Tuwekee mjengo wa apartments zenye kibalaza. Chumba kimoja na vyumba 2. Choo ndani. Kibalaza kwa ajili ya privacy kama mtu anapika nje na mkaaa.
Thanks
Hapa umenichanganya mwamba Tofari tu umesema sh 2,500,000 nondo 40 @sh 20,000 sawa na 800,000 Kuna Cement 85 @sh 17,000 Kuna Mchanga na Kokoto Jumlisha vizuri total
Nimeipenda sana na itasaidia sana kwa wale wanaotaka kujenga
Nimefurahia Sana Kupata Maelezo Ya Ujenzi Wa Hiyi Nyumba Nawashukuru Sana Ila Pendekezo Ingelekuwa Kama Hivi Kisha Tuaona Mkato Wandani Na Pande Zilizo Baikia
Asante kwa ufafanuzi, umetuhamasisha pakubwa
Asalaam aleykum mr house ni mm nilie kupigia simu nikakuambia nipo nje ya nchi kwa matibabu nasema hii ndio ramani nilio kuambia naitaka lkn iwe na vyuma 4 tafadhali niandalie na site plan yake na elevation zake na uniambie kiasi gani nikutumie pia usiache kufanya bill of quantity
Hey bosi nimeipenda hii dizini ya nyumba ningependa kama nahitaji kila chumba kiwe na choo chake na choo cha pabliki harama zake inakuwaje
Safi kabisa, umetufungua ufahamu. Napenda kujua kuhusu msingi maana hujaongelea, au bajeti yake iko humohumo?
Hongera sana wewe ni mzalendo wa mafanikio hakika
Kaka Mbona hii lahisi sana na ni nyumba kubwa Ina vyumba 4 na ni nyumba nzur
Shukran
Mambo nambie hiilaman naipataje?
❤❤ je nikiamua baada ya muda niipige bat inawezekana
Vizuri sana
Safi sana mungu akulipe kheir
Naomba no zko.mm niko znz jee unaweza kuja kunijengea?
Nimeipenda hii Ramani
Unaweza kujenga hizi nyumba kwa kutumia tofari za kuchoma
Hongera kaka nitakutafuta aisee na vp changamoto ya kuvuja kwenye nyumba za hidden roof
Swari zuri pia kuhusu rangi
Jichanganye uanze kuongea pekeako
Msingi gharama yake hujafafanua, mbao za formwork na lenta nk.....
Hideni roof ni mahususi kwenye eneo lenye upepo mkali na vimbunga, hapa Bongo kama fashion, huyo msimuliaji haujui garama za majenzi kwa asimilia hata hamsini, kwa mfano garama za mchanga na kokoto inatajwa volume, sio idadi ya magari
Uko vizuri ila hidden ni hi kama katika neno himaya na si hai
Hujasema msingi,
Asante kaka
Zege la lenta inatajwa kwa volume,nondo inatajwa kwa mita,.
mpaka hapo kwenye Kozi 4 za juu inakua 5,695,000
Nkajua ni mimi tu yani hio hesabu inashida
Mimi Niko Geita, unaweza kutumia muda gani Hadi nyumba kumalizika?
Nionyeshe ndani
kaka unatupa moyo tulokata tamaa hongereni muwe mnatupa option ya wa mikoani gharama zake mtu akikutaka uje upige kazi mtalam
Nimepiga hesabu lakini, sijaelewa hesabu zako
Hy Hesabu umekosea ya hapo Chini mpaka Juu Sio 3.1
😂😂😂Sure ametupeleka chaka kidogo
Ni vema kuonyesha muonekano wa ndani, kutambulisha kazi zenu. Tunapo ona ukamilifu wa ndani waweza kutupatia uhondo pia
Hivi kwa nini nyumba hizi hazina 'vent' kwenye joto la Dar si hatari sana?
Nice
Hongera sana mkuu .. nimefurahi kuwa exposed na channel yako
Kaka nipe no yako nikupe kazi
😊
Umenipa ujasiri natumai ndoto zangu zitatimia ipo siku nitakutafuta fundi
Uko vzr sana
Please show me in
upo vzr mno aisee
Hii ramani Inapatikana Vp?
Nipe namba tuwasiliane pls
Ee mungu nisaidie ninaamini katika kupambana namimi nitamiliki mjengo
Allah akufanyie wepesi uweze kumiliki....Aamen.
Ameeen
👊👊
Weka mawasiliano bro .Ila hapo bado vitu kama.mfumo WA maji na umeme,makabati,taa na masinki,ujenzi wa jiko.
Mawasiliano no iko hapo
Aiseee mbona unenishtua sana
Wow hii nyumba ni nzuri sana nimeipenda
na design za jikoni pia mnafanya?
Ingekuwa vizuri utuonyeshe kwa ndani
Umesahau gharama ya cement kwenye mil3 na laki moja
Hongera sana
Asante
Nahamia Dar hivi karibuni nitakutafuta .Hongera kwa kazi nzuri
Hivi karibuni
Je inawezekana ikawa vyumba 3 badala ya 4? Kwa ukubwa huohuo ?Ili nyumba hii iwe na balcon mbele kubwa na pembezoni mwa chumba cha master??
Ntumie ramani
Shukran umetoa faida
👌🏿👌🏿
💜💜💟💟🤝🤝
Naomba Namba zako
Tunaomba utoe namba za simu tunataka kujenga nyumba kama hio
Hapo kwenye ufundi wa kunyanyua ndo umesema Bei kubwa hivyo
Mbona mi sijaelewa
Hata mi sijamuelewa kasema tofari milioni mbili na nusu sumente milioni moja nondo laki nane fundi milioni mbili mchanga na kokoto afu anatudanganya eti milioni tano inaisha mmh acha tujipe moyo😂😂
Kaka floor hujatuonesha imekaeje
Kaka nakupataje
Bara ujenzi rahisi njoo zenji
Hata nyumba bara bei nafuu zanji ghari sana
Kwa paa la kawaida inachukua bati ngapi?
Mi naomba kuuliza msingi mzur naamanisha msingi imara kbs unachukua kiasi gani msingi tu peke yko
Ntakucheki unijengee hii ya hidden roof
Mbona mi nimepata hela nyingi
Tuonyesheni na ramani kwa ndani
Upo wapi office yako
Mzuri sana unatafutwa
Naomba no yako
Safi sana
Mnakuja zanzibar
Tuonyeshe na ndani
Ukweli umesema ila bei umedanganya
Na ina ukubwa Gani nyumba hii?
Nqkuitq moshi nitumie wimu
Upo vzr sn
ndugu naomba lamani ya nyumba hiyo kuanzia msingi wake
mbona kama gharama za fundi zipo chini sana au ndio bei zako?
Uwe unatoa na kiwanja size yake imayotoshea
Usioneshe muonekano wa ndani watapeleka kwa mafundi wao labda walipie kama ulivyosema ila mm ntakucheki 2025 mana kupanga nimechoka
wewe nawe kwa kujipendekeza
Huku tunduma tofauti sana tofari moja inch 6 =2300
Tunduma sio tanzania bro 😅😅😅
@@franklinisaya4796😅😅😅😅kwanza tunduma wanatumia kwacha so 😅😅😅asijifananishe na sis 😂😂
Milango ya chooni,jikoni na stoo hakuna?
Lazima milango yote
Msingi pia haupo kwenye hesabu Sio 😮
Msingi haupo Bana ni kuhesabu mpka kufika juu kuanzia chini
Tofari zote mpaka msingi
Namba za simu sizioni
Ziwe wazi tafadhali
Hapo plumbing hujaweka
Tuonyeshe muonekano wa nje pande zote na muonekano wa ndani
Ukubwa gani
Mbn huweki na. Ya simu