NAMNA YA KUFIKA CANADA | KAZI ZA CARE ZINAKUTOA KIMAISHA | CHUNGA MAISHA YAKO YA MTANDAONI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2024
- Alex ameeleza Safari yake ya kutoka Tanzania mpaka Marekani
Ambapo alipoteza begi lake la documents zake Airport na kumfanya kukosa raha Marekani.
Alirudi Tanzania baada ya kushinda DV lottery lakini kwa bahati mbaya hakuitwa kwaajili ya interview lakini alibahatika kupata Visa ya Canada na sasa anaishi Canada
Anasema kazi za Care zinakutoa kimaisha endapo utakua na malengo.
Thank you Alex for allowing this to be online
www.oda.international
TikTok: Alex_Karia
Ahsante da Shena nimeona acc yake but yuko private Tunaomba apokee request zetu naona huyu kaka anaweza kutusaidia
Habari dada
Habari nimependa kipindi chako
H
I like that how can i do?
Asante sana mwanangu Alex Karia, mimi ni mama mtu mzima (71) ni likuwa naishi na mtoto wangu Califoni ,lakini sasa niko Syato.na shikilia mama mwingine kazi ameenda Kenya. Naatarudi. Mimi ni MTANZANIA.Naomba unipe number ya huyu mama MTANZANIA. ATANISAIDIA NIKO NA GREEN GARD TAYARI. UBARIKIWE AMINA
Hakika huyu kaka Mungu amempa hekima kubwa sana,Mwenyezi Mungu amsaidie apate Mke mwema na amtangulize Mungu ktk hilo sana,nae atampa anachokistahili,nampenda mwanaume mwenye hofu ya Mungu sana,Mungu tukutanishe na watu sahihi ktk maisha yetu,hakika nimeipenda hii interview.
Alex Karia namjua tangu ubungo kibangu, ni kijana mtanashati, straight forward, na amejaliwa vipaji vingi hasa uongozi.
He is a good man, atafika mbali.
Napenda kuangalia vipindi vyako but hii nimeipenda sana for me . Alex ameonge kijamii kiujana .ndoa ila yot ameeka mungu mbele ndio maana anafanikiwa .kufanikia not only material . Nafsi (Faith) 🇬🇧
Ahsante Shena kwa kutuletea mtu mwenye kunyoosha maneno hongera kijana ana nondo zenye mashiko.
This man is matured enough 👋👋🙏Uko vzr kaka
Umejitambua
Naomba Yesu akusaidie ukutane na mtu sahihi in Jesus name i pray
Alex umenitia moyo Sana sana Barikiwa
Vipindi vyako vinafundisha sana Mungu akubariki sana mdogo wangu
DADA,MUALIKE TENA ALEX ATUPE MADINI.
Dada shena binafsi nimejifunza mengi Sana toka kwa huyo kaka,pia nimefurahi sana kusikia yeye ni msabato jamani waoooo,mie nipo dubai na nimuadiventista msabato pia,kaka mungu akubariki sana
Dada ubarikiwe umetufunguwa macho sana
Kaka Alex Mwenyezi akubariki sana 🙏🏾, Dada Mungu akubariki sana pia🙏🏾
Be blessed bro.
Ni kweli sio wazungu wote wabaya ,km ilivyo waafrika sio wote wabaya!
Sister unajua sana very smart question
Jamaa Ana Akili sanaa ✅💪🏽big up Alex
Hongera sana dada Shenna,hupenda sana kukufatilia kwa kipindi chako natoka Kenya 🇰🇪
Shukran Lilly🙏
Habar Dada VP mzima lakini pole na majukumu
Naomba namba yako yaani nimekupenda bure
@@OfficialDatingAssistance naomba namba yako ya WhatsApp naomba unitafutie kazi nilikuwa Dubai Sasa hv niko Tanzania
@@OfficialDatingAssistance Ahsante
Alex amemaliza,ameelezea vizuti sana yani,hayo mambo ya madawa ni jaribu kwakweli,nakumbuka niliacha kazi sababu hiyo sitaki kuua mtu mimi🤦🏼♀️🤦🏼♀️🤦🏼♀️🤦🏼♀️🤦🏼♀️🤦🏼♀️
Huyu kaka anaroho nzuri sana, siku moja niliingia live yake nikamuomba kunitafutia kazi marekani akaniambia fika marekani nitafute.. he is very good.. mungu atambariki sana sana...
Nimeomba mwaka huu kwa EBM nimekosa na passport nnayo ila bado sijakata tamaa apa natak nichekeche nideal na summer camp chap kwa nichomoke 🙏🙏🙏
Iyo summer camp inakuwaje ndugu?
Rajabu nakupataje ndugu
Green Card ngumu kupata lakini ukipata ni rahisi kwenda Marekani njia ingine rahisi ni kuoa au kuolewa
Jaman hii live Jana nilikua Ata siijali kumbe ya Maan hivi congratulations waadventist
Samaan da shena nakufatilia sana kutokea zanzibar na napenda sana kukufatilia natamani sana kufika canada kutafuta maisha mie nimeishia da7 na kingeleza changu ni broken English nakua nafatilia sana kazi wanazo kua wanatangaza za friii viza na ni kazi ya viwanda na mda ni kwa miezi sita wanakulejesha unasubili msimu mwingine
Habari madaam naomba niunganishe na huyo jamaa,kwa sasa nipo qatar,ahsante.
Asante sana dada Shena, yaani kwenye hii interview nimejifunza mengi sana
I am always a silent watcher. I watch you all the time. You aredoing a wonderful job to educate our people. Kazi nzuri sana Shena ubarikiwe sana
Shukran sana 🙏
Kazi nzuri sana hii dada yangu mimi nipo uganda 🇺🇬 katika kambi ya wakimbizi ni mtanzania
Unandoto gani embu nipo tips mwenzio
😂😂😂😂😂😂 mbavu sana uko uganda,we ni mtanzania!!! TANZANIA Kuna shida gani hadi uitwe mkimbizi
Asante sana dada yetu Shena kwa kutuletea watu ili tujifunze, be blessed
My sister, how, are? You have done a very good innovation of enabling us to interact with our fellows brothers and sisters who are living abroad!!
Good interview 🎉
Aisee nimpe hongera sana brother aisee kweli amemshinda ebilisi
Asante shena , asante Alex asante asante@shena
Dada Naomba huyu kaka anaweza kusaidia hata wengne kupata chance
Samaan da shena nakufatilia sana kutokea zanzibar na napenda sana kukufatilia natamani sana kufika canada kutafuta maisha mie nimeishia da7 na kingeleza changu ni broken English nakua nafatilia sana kazi wanazo kua wanatangaza za friii viza na ni kazi ya viwanda na mda ni kwa miezi sita wanakulejesha unasubili msimu mwingine 1:09:28
Wanaita 5 eyes counties Australia, Canada, New Zealand, the United Kingdom and the United States...wanashare their data "wanaita intelligence alliance"
Uki-mess up in one of those countries umejifungia kote
hongera sana my brooo...
kwa kweli tangu nimejifunza mengi kupitia hii channel asante Shena🥰🥰🥰🥰🥰
Dada shena Kwa kweli nimejifunza mengi nifanyaje
Asante 🎉🎉
This interview is very informative! Thanks dada Shenna
Most welcome!
He is amazing 🥰
Nice interview ever….
Habari. Nimefurahi sn kusikiliza mpaka nimepata hamu ya kwenda Canada. Sasa jamani naamzaje natamani kwenda
Good presentation very truthful Person.
Alex Kakaaangu Sio Mchoyooo Huyu ! Sisi Bado Tupo Marekani Tunalea Wezeee Mpaka Kieleweke❤
Karibu sana kwenye kipindi tupate kujifunza pia +4367764790884
Tuunganisheni na sisi jaman mimi nipo Oman kwa sasa 😢😢😢
Mm nipo oman nataka kwenda Canada tusaidieni connection
Nibiashara ipi ambayo leseni yake or tin yake itanisaidia katika kupata visa nipe mfano tafadhari Ili niwe na aidia
Naitwa Juma, ni muislamu, napenda sana urafiki na wasabato, nimepemda sana elimu yako, hii ni sadaka uliyoitoa
Dada nakufuatilia sana upo powa sana Kwa taalifa zako.ila kiukweli natamani sana kufanya kazi uko Canada and us.
Hongera sana dada
Alex shukrani sana
Ila naomba namba yako
Nahitaji msaada wako
Well said Alex 👏
Alex umetisha sana...umefunguka sana babu
Mtani wangu umevipiga vita vikali hongra sana mpambanaji Mungu akulinde
Pia shida nyingine kuhusu caregiver Tanzania walitoa hiyo course ya nursing assitant, course hizo zipo Kenya na zinawaptia njia ya kutoka. Pia wa TZ ndugu zangu tukazanie lugha ya Kingereza kinatuangusha sana. Nenda TH-cam au google ufanye mazoezi ya lugha. This is from my own experince. From USA
Ahsante kwa ujumbe na Karibu sana kwa kipindi +4367764790884
kweli mdogo wangu nakujua huna choyo,Mungu akuinue sana,
Coz ya care giver unaipata Alison online na unalipia
Habari Madame,,, Asante kwa kutuletea Alex,,, kwa kweli amenitia moyo sn,,, naomba unisaidie namba yake ili niweza ongea nae baadhi ya Mambo.
Hongera sana intreview ipo smart sana
Mimi pia ndo kazi ninayoifanya hapa Uk .siyo kazi rahisi lakini naipenda sana .napenda sana kumuhudumia binadamu mwenzangu .pia ni kazi ambayo huwa haiishi japo kuwa waafrica wengine wakisikia kuwa huko ulaya unafanya hii kazi wanakuzalau sana na kukutukana kwa kusema kuwa unafanya kazi ya kuosha matako ya wazungu wakati hao hao ndo kila wakipata shida ya hela ndo wanakuomba huwasaidie kuwatumia hela
Pole dear usisikie ya watu
@@user-th8bo9lu8n ahsante sana dear . Maneno yao yalikuwa yaniniumiza roho sana lakini siku hizi wala huwa siyaweki kichwani kwa sababu hii kazi inanisaidia sana mimi na family yangu
@@evakabete2944 Amina
@@evakabete2944 mm niko Oman pia na sijali wala nn Maan duh nilisikia mengi Sana mara wanalala na mbwa but Ata sijali kwa kuwa mm ndie nilipo
Hongera sana Eva, na pole kwa changamoto za maneno ya ndugu zetu.. Karibu sana kwa kipindi +4367764790884
Safi sana habari nzuri
Amepataje PR for a very shorttime like that,naomba no yake niko vancover nina 5 year sina PR
Natam kwend canda lakn wat hawaamin kuwao pesa jamn dad kam unawatu waamif naomba tuwasilian please 🙏
Dada kama financially upo vizuri karibu nitakusaidia kufanya application ya visa hata ya matembezi au hizo za conference ukishafika huko basi ndio mwanzo WA kupata connection zingine
Nataka hata mm
Jamani nipo oman narudi mwakani natamani niende Canada nataka mtu muaminifu anisaidie
Ubarikiwe kaka kwa kushare information ❤
Mh! Kazi ngumu sana care giver 😢🙌
Mungu awabarki munaokahuko muwena maishamema
Jamaa Kutusanua sna
Nataka nijue pr ya Canada alipataje
Good job Shena
Da shena namba kujua juuu ya zile kazi zinazo kua zinatangazwa za kanada za viwanda na uvunaji maepo na wanasema kua friii viza na mshaallah huwa wanautaja vp wanakua wakweli au ni ubaba ifu
huwezi kumkuta mzungu kijana aje aoe Afrika hiyo ni fact
Wapo jmn
Msikariri
Wengine ht hapa Kwa shena kafanya nao interview
Shena you are doing great
Hongera kaka nimefurahi kusikia wewe ni msabato
Napataje msaada wako tafathali msabato mwenzio
Jamani naoomba namba ya huyu kaka Alex Karia tafadhali
Naitwa Jackson naipataje hiyo kaz ya care giver
Jamaa anajua kujieleza ,,ana madini
Hello sister mm nakupenda sana ila sijui ntakupataj
kijana mahojiano mazuri sana nimejifunza kitu kwa Alex ,kama sio umri umesogea ningepambania canada .by the way nakupongeza shena unafanya kazi nzuri sana tofauti na baadhi na you tubes wengine ,pia tuheshimu wanajitoa kwa kutoa elimu kwa wengine,
Shukran sana
Na Nashukuru kwa mchango mzuri kuhusu kuwaheshimu sana wanaotupa elimu 🙏
@OfficialDatingAssistance Connection ya kazi please
Alex mwamba sana katoa nondo kali na pontetial
Pongezi dada kwa kazi njema,niko kenya naomba emeil address ya Kaka Alex.
Hongera sana kaka na mimi ni msabato mwenzako nina dream ya kuja uko naomba namba ako niweze kuplay green card
Mungu kubariki Dada
Hakika umeweza....
Hayo ndiyo mahojiano tunayoyahitaji watu ambao tunajitafuta.
Hongera Dada
I wish nipate namba ya huyo KAKA.... Sijajua wewe naweza KUPATA muda wako lini na saa ngapi Ili nipate mwanga zaidi maana huyu amesimulia. 24:44
Dada shena nitakupataje for more information from Tanzania
Huyo binti mdogo mwenye miaka 30 bosi nahisi kama namjua hahahaha 😂 nice interview
ki ukweli ni elimu nzuri sana
Naanzaje kupata kazi huko, kwasababu sina hata ndugu
Wao jaman nimejifunza kitu kikubwa sana
Alex naomba yako tuweze kuwasiliana
Hakika umeweza....
Hayo ndiyo mahojiano tunayoyahitaji watu ambao tunajitafuta.
Hongera Dada
I wish nipate namba ya huyo KAKA.... Sijajua wewe naweza KUPATA muda wako lini na saa ngapi Ili nipate mwanga zaidi maana huyu amesimulia... 24:44 24:44 24:44 24:44 24:44 24:44 24:44
Jamani dada Shena naomba no.ya Alex ili aweze kumuongoza Mr.wangu naye anapambana aende Canada
Dada mwambie Alex kwamba iyo invety ya wasabato anitumie Link yake
wow tupe namba Yako nikutafute
Habari shena mulize Alex akiwa canada ili apate PR anatakiwa awe na sifa zipi na akipata PR akitaka kuwa nurse awe na viambata vipi
Nakubali sana jamani
Me nimeona nywele dada una nywele ndefu sana kama mzungu
Mi napenda sana
Bro anaongea fact 💯 san
Huyu kweli ni msabato bhna
Kazi nzuri Shena. Mimi niko Marekani Columbus Ohio. Naomba namba ya huyu kaka nna changamoto kidogo
Nicheck WhatsApp +4367764790884
Mambo?Mimi nipo dar es salaam na nimefurahia sana dada shenna kwa mambo mazuri unayotufunulia ili tusikate Tamaa.Kaka Alex natamani na mimi siku moja niwepo Canada maana ni ndoto yangu lakini nashindwa nipite njia gani.
Nahitaji sana kuja us or canada plz dada shena unaeza niunganisha na hyuyo kaka
Shena nahitaji nipate hata conferences ya kwenda Canada au marekani ninayo passport tayari
Why mtu ujiguse masikio afu utie kidole puani
Kuna utofaut gani WA ki financial katı ya Canada na marekani?.. mnisaidie jmn
Unatumalzia MB
Hi
sister mm naitaji visa ya kwenda canada nifanyeje