NAMNA YA KUFIKA CANADA | KAZI ZA CARE ZINAKUTOA KIMAISHA | CHUNGA MAISHA YAKO YA MTANDAONI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2024
  • Alex ameeleza Safari yake ya kutoka Tanzania mpaka Marekani
    Ambapo alipoteza begi lake la documents zake Airport na kumfanya kukosa raha Marekani.
    Alirudi Tanzania baada ya kushinda DV lottery lakini kwa bahati mbaya hakuitwa kwaajili ya interview lakini alibahatika kupata Visa ya Canada na sasa anaishi Canada
    Anasema kazi za Care zinakutoa kimaisha endapo utakua na malengo.
    Thank you Alex for allowing this to be online
    www.oda.international

ความคิดเห็น • 239

  • @OfficialDatingAssistance
    @OfficialDatingAssistance  4 หลายเดือนก่อน +23

    TikTok: Alex_Karia

    • @aidaanatory9330
      @aidaanatory9330 4 หลายเดือนก่อน +3

      Ahsante da Shena nimeona acc yake but yuko private Tunaomba apokee request zetu naona huyu kaka anaweza kutusaidia

    • @BebitoYahoo
      @BebitoYahoo 4 หลายเดือนก่อน +1

      Habari dada

    • @EvelynKassera
      @EvelynKassera 3 หลายเดือนก่อน +1

      Habari nimependa kipindi chako

    • @xeroxxeroxmachinexeroxltd119
      @xeroxxeroxmachinexeroxltd119 3 หลายเดือนก่อน +1

      H

    • @eliwajajacob8569
      @eliwajajacob8569 3 หลายเดือนก่อน +1

      I like that how can i do?

  • @angelamaingi817
    @angelamaingi817 3 หลายเดือนก่อน +6

    Asante sana mwanangu Alex Karia, mimi ni mama mtu mzima (71) ni likuwa naishi na mtoto wangu Califoni ,lakini sasa niko Syato.na shikilia mama mwingine kazi ameenda Kenya. Naatarudi. Mimi ni MTANZANIA.Naomba unipe number ya huyu mama MTANZANIA. ATANISAIDIA NIKO NA GREEN GARD TAYARI. UBARIKIWE AMINA

  • @jacquelinepalangyo412
    @jacquelinepalangyo412 3 หลายเดือนก่อน +5

    Hakika huyu kaka Mungu amempa hekima kubwa sana,Mwenyezi Mungu amsaidie apate Mke mwema na amtangulize Mungu ktk hilo sana,nae atampa anachokistahili,nampenda mwanaume mwenye hofu ya Mungu sana,Mungu tukutanishe na watu sahihi ktk maisha yetu,hakika nimeipenda hii interview.

    • @deniskg310
      @deniskg310 หลายเดือนก่อน

      Alex Karia namjua tangu ubungo kibangu, ni kijana mtanashati, straight forward, na amejaliwa vipaji vingi hasa uongozi.
      He is a good man, atafika mbali.

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid9469 4 หลายเดือนก่อน +10

    Napenda kuangalia vipindi vyako but hii nimeipenda sana for me . Alex ameonge kijamii kiujana .ndoa ila yot ameeka mungu mbele ndio maana anafanikiwa .kufanikia not only material . Nafsi (Faith) 🇬🇧

  • @devothasimbi6495
    @devothasimbi6495 4 หลายเดือนก่อน +10

    Ahsante Shena kwa kutuletea mtu mwenye kunyoosha maneno hongera kijana ana nondo zenye mashiko.

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 4 วันที่ผ่านมา

    This man is matured enough 👋👋🙏Uko vzr kaka
    Umejitambua
    Naomba Yesu akusaidie ukutane na mtu sahihi in Jesus name i pray

  • @naomijoseph7749
    @naomijoseph7749 3 หลายเดือนก่อน +6

    Alex umenitia moyo Sana sana Barikiwa

  • @verynicemoshi9959
    @verynicemoshi9959 4 หลายเดือนก่อน +6

    Vipindi vyako vinafundisha sana Mungu akubariki sana mdogo wangu

  • @mbarakamwayungu3485
    @mbarakamwayungu3485 3 หลายเดือนก่อน +8

    DADA,MUALIKE TENA ALEX ATUPE MADINI.

  • @user-kt3bb7mr4e
    @user-kt3bb7mr4e 4 หลายเดือนก่อน +4

    Dada shena binafsi nimejifunza mengi Sana toka kwa huyo kaka,pia nimefurahi sana kusikia yeye ni msabato jamani waoooo,mie nipo dubai na nimuadiventista msabato pia,kaka mungu akubariki sana

  • @naomijoseph7749
    @naomijoseph7749 3 หลายเดือนก่อน +6

    Dada ubarikiwe umetufunguwa macho sana

  • @huludaemmanuel8803
    @huludaemmanuel8803 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kaka Alex Mwenyezi akubariki sana 🙏🏾, Dada Mungu akubariki sana pia🙏🏾

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 4 วันที่ผ่านมา

    Be blessed bro.
    Ni kweli sio wazungu wote wabaya ,km ilivyo waafrika sio wote wabaya!

  • @kevinmushi8209
    @kevinmushi8209 4 หลายเดือนก่อน +6

    Sister unajua sana very smart question

  • @AikenAidan-wf6wy
    @AikenAidan-wf6wy 4 หลายเดือนก่อน +6

    Jamaa Ana Akili sanaa ✅💪🏽big up Alex

  • @lillyborah1060
    @lillyborah1060 4 หลายเดือนก่อน +7

    Hongera sana dada Shenna,hupenda sana kukufatilia kwa kipindi chako natoka Kenya 🇰🇪

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  4 หลายเดือนก่อน +1

      Shukran Lilly🙏

    • @eleunolakihanza910
      @eleunolakihanza910 3 หลายเดือนก่อน

      Habar Dada VP mzima lakini pole na majukumu

    • @eleunolakihanza910
      @eleunolakihanza910 3 หลายเดือนก่อน

      Naomba namba yako yaani nimekupenda bure

    • @eleunolakihanza910
      @eleunolakihanza910 3 หลายเดือนก่อน

      @@OfficialDatingAssistance naomba namba yako ya WhatsApp naomba unitafutie kazi nilikuwa Dubai Sasa hv niko Tanzania

    • @eleunolakihanza910
      @eleunolakihanza910 3 หลายเดือนก่อน

      @@OfficialDatingAssistance Ahsante

  • @tabithadaudi5960
    @tabithadaudi5960 3 หลายเดือนก่อน +4

    Alex amemaliza,ameelezea vizuti sana yani,hayo mambo ya madawa ni jaribu kwakweli,nakumbuka niliacha kazi sababu hiyo sitaki kuua mtu mimi🤦🏼‍♀️🤦🏼‍♀️🤦🏼‍♀️🤦🏼‍♀️🤦🏼‍♀️🤦🏼‍♀️

  • @miriamkakwezi7309
    @miriamkakwezi7309 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu kaka anaroho nzuri sana, siku moja niliingia live yake nikamuomba kunitafutia kazi marekani akaniambia fika marekani nitafute.. he is very good.. mungu atambariki sana sana...

  • @user-cd2np5by6g
    @user-cd2np5by6g 4 หลายเดือนก่อน +7

    Nimeomba mwaka huu kwa EBM nimekosa na passport nnayo ila bado sijakata tamaa apa natak nichekeche nideal na summer camp chap kwa nichomoke 🙏🙏🙏

    • @BsekoMimi
      @BsekoMimi 4 หลายเดือนก่อน +3

      Iyo summer camp inakuwaje ndugu?

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 4 หลายเดือนก่อน +1

      Rajabu nakupataje ndugu

    • @edwardmkwelele
      @edwardmkwelele 3 หลายเดือนก่อน +1

      Green Card ngumu kupata lakini ukipata ni rahisi kwenda Marekani njia ingine rahisi ni kuoa au kuolewa

  • @user-th8bo9lu8n
    @user-th8bo9lu8n 4 หลายเดือนก่อน +4

    Jaman hii live Jana nilikua Ata siijali kumbe ya Maan hivi congratulations waadventist

  • @RahmaNaziru
    @RahmaNaziru หลายเดือนก่อน

    Samaan da shena nakufatilia sana kutokea zanzibar na napenda sana kukufatilia natamani sana kufika canada kutafuta maisha mie nimeishia da7 na kingeleza changu ni broken English nakua nafatilia sana kazi wanazo kua wanatangaza za friii viza na ni kazi ya viwanda na mda ni kwa miezi sita wanakulejesha unasubili msimu mwingine

  • @masatujustine-vh9xs
    @masatujustine-vh9xs 4 หลายเดือนก่อน +3

    Habari madaam naomba niunganishe na huyo jamaa,kwa sasa nipo qatar,ahsante.

  • @elibarikimaganga9571
    @elibarikimaganga9571 3 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana dada Shena, yaani kwenye hii interview nimejifunza mengi sana

  • @dorothysista7463
    @dorothysista7463 4 หลายเดือนก่อน +2

    I am always a silent watcher. I watch you all the time. You aredoing a wonderful job to educate our people. Kazi nzuri sana Shena ubarikiwe sana

  • @cookiegurl7780
    @cookiegurl7780 4 หลายเดือนก่อน +3

    Kazi nzuri sana hii dada yangu mimi nipo uganda 🇺🇬 katika kambi ya wakimbizi ni mtanzania

    • @beatriceemanuel1098
      @beatriceemanuel1098 4 หลายเดือนก่อน

      Unandoto gani embu nipo tips mwenzio

    • @olivernyange2349
      @olivernyange2349 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂 mbavu sana uko uganda,we ni mtanzania!!! TANZANIA Kuna shida gani hadi uitwe mkimbizi

  • @halimahassan3031
    @halimahassan3031 4 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana dada yetu Shena kwa kutuletea watu ili tujifunze, be blessed

  • @katumabiyan5090
    @katumabiyan5090 3 หลายเดือนก่อน +1

    My sister, how, are? You have done a very good innovation of enabling us to interact with our fellows brothers and sisters who are living abroad!!

  • @CatherineNyange-ku7yk
    @CatherineNyange-ku7yk 3 หลายเดือนก่อน +2

    Good interview 🎉

  • @Salumchiwili2023
    @Salumchiwili2023 4 หลายเดือนก่อน +1

    Aisee nimpe hongera sana brother aisee kweli amemshinda ebilisi

  • @beatriceemanuel1098
    @beatriceemanuel1098 4 หลายเดือนก่อน +2

    Asante shena , asante Alex asante asante@shena

  • @aidaanatory9330
    @aidaanatory9330 4 หลายเดือนก่อน +3

    Dada Naomba huyu kaka anaweza kusaidia hata wengne kupata chance

  • @RahmaNaziru
    @RahmaNaziru หลายเดือนก่อน

    Samaan da shena nakufatilia sana kutokea zanzibar na napenda sana kukufatilia natamani sana kufika canada kutafuta maisha mie nimeishia da7 na kingeleza changu ni broken English nakua nafatilia sana kazi wanazo kua wanatangaza za friii viza na ni kazi ya viwanda na mda ni kwa miezi sita wanakulejesha unasubili msimu mwingine 1:09:28

  • @matthewsasali5632
    @matthewsasali5632 หลายเดือนก่อน +1

    Wanaita 5 eyes counties Australia, Canada, New Zealand, the United Kingdom and the United States...wanashare their data "wanaita intelligence alliance"
    Uki-mess up in one of those countries umejifungia kote

  • @racheljoel-ry2gg
    @racheljoel-ry2gg 4 หลายเดือนก่อน +3

    hongera sana my brooo...

  • @sophiarwehumbiza209
    @sophiarwehumbiza209 4 หลายเดือนก่อน +2

    kwa kweli tangu nimejifunza mengi kupitia hii channel asante Shena🥰🥰🥰🥰🥰

    • @VictaMfumbilwa
      @VictaMfumbilwa หลายเดือนก่อน

      Dada shena Kwa kweli nimejifunza mengi nifanyaje

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 4 หลายเดือนก่อน +2

    Asante 🎉🎉

  • @surveyor_dk
    @surveyor_dk 4 หลายเดือนก่อน +1

    This interview is very informative! Thanks dada Shenna

  • @NattiePeter
    @NattiePeter 4 หลายเดือนก่อน +2

    Nice interview ever….

  • @sammsilanga711
    @sammsilanga711 24 วันที่ผ่านมา

    Habari. Nimefurahi sn kusikiliza mpaka nimepata hamu ya kwenda Canada. Sasa jamani naamzaje natamani kwenda

  • @ImaniFamilyChurch
    @ImaniFamilyChurch 2 หลายเดือนก่อน

    Good presentation very truthful Person.

  • @ChadoraMANYENGA
    @ChadoraMANYENGA 3 หลายเดือนก่อน +1

    Alex Kakaaangu Sio Mchoyooo Huyu ! Sisi Bado Tupo Marekani Tunalea Wezeee Mpaka Kieleweke❤

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  3 หลายเดือนก่อน +1

      Karibu sana kwenye kipindi tupate kujifunza pia +4367764790884

    • @wasilaahmad7913
      @wasilaahmad7913 3 หลายเดือนก่อน

      Tuunganisheni na sisi jaman mimi nipo Oman kwa sasa 😢😢😢

    • @ChalaS-uk7kb
      @ChalaS-uk7kb 3 หลายเดือนก่อน

      Mm nipo oman nataka kwenda Canada tusaidieni connection

  • @NancyPeter-pf3js
    @NancyPeter-pf3js 3 หลายเดือนก่อน +2

    Nibiashara ipi ambayo leseni yake or tin yake itanisaidia katika kupata visa nipe mfano tafadhari Ili niwe na aidia

  • @jumamtepa7424
    @jumamtepa7424 2 หลายเดือนก่อน

    Naitwa Juma, ni muislamu, napenda sana urafiki na wasabato, nimepemda sana elimu yako, hii ni sadaka uliyoitoa

  • @Big-oc8wl
    @Big-oc8wl 3 หลายเดือนก่อน

    Dada nakufuatilia sana upo powa sana Kwa taalifa zako.ila kiukweli natamani sana kufanya kazi uko Canada and us.

  • @prophetessbahatikashasha3858
    @prophetessbahatikashasha3858 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana dada
    Alex shukrani sana
    Ila naomba namba yako
    Nahitaji msaada wako

  • @jessicamwasandube944
    @jessicamwasandube944 4 หลายเดือนก่อน +1

    Well said Alex 👏

  • @bajunimgunya8559
    @bajunimgunya8559 2 หลายเดือนก่อน

    Alex umetisha sana...umefunguka sana babu

  • @happymsaki1720
    @happymsaki1720 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mtani wangu umevipiga vita vikali hongra sana mpambanaji Mungu akulinde

  • @dorothysista7463
    @dorothysista7463 4 หลายเดือนก่อน +7

    Pia shida nyingine kuhusu caregiver Tanzania walitoa hiyo course ya nursing assitant, course hizo zipo Kenya na zinawaptia njia ya kutoka. Pia wa TZ ndugu zangu tukazanie lugha ya Kingereza kinatuangusha sana. Nenda TH-cam au google ufanye mazoezi ya lugha. This is from my own experince. From USA

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  4 หลายเดือนก่อน

      Ahsante kwa ujumbe na Karibu sana kwa kipindi +4367764790884

    • @rachelmbwambo1627
      @rachelmbwambo1627 4 หลายเดือนก่อน

      kweli mdogo wangu nakujua huna choyo,Mungu akuinue sana,

    • @angelinamachibya-nb8sh
      @angelinamachibya-nb8sh 4 หลายเดือนก่อน

      Coz ya care giver unaipata Alison online na unalipia

  • @charlesmakelele4268
    @charlesmakelele4268 3 หลายเดือนก่อน

    Habari Madame,,, Asante kwa kutuletea Alex,,, kwa kweli amenitia moyo sn,,, naomba unisaidie namba yake ili niweza ongea nae baadhi ya Mambo.

  • @alhajiabed7479
    @alhajiabed7479 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana intreview ipo smart sana

  • @evakabete2944
    @evakabete2944 4 หลายเดือนก่อน +6

    Mimi pia ndo kazi ninayoifanya hapa Uk .siyo kazi rahisi lakini naipenda sana .napenda sana kumuhudumia binadamu mwenzangu .pia ni kazi ambayo huwa haiishi japo kuwa waafrica wengine wakisikia kuwa huko ulaya unafanya hii kazi wanakuzalau sana na kukutukana kwa kusema kuwa unafanya kazi ya kuosha matako ya wazungu wakati hao hao ndo kila wakipata shida ya hela ndo wanakuomba huwasaidie kuwatumia hela

    • @user-th8bo9lu8n
      @user-th8bo9lu8n 4 หลายเดือนก่อน +1

      Pole dear usisikie ya watu

    • @evakabete2944
      @evakabete2944 4 หลายเดือนก่อน

      @@user-th8bo9lu8n ahsante sana dear . Maneno yao yalikuwa yaniniumiza roho sana lakini siku hizi wala huwa siyaweki kichwani kwa sababu hii kazi inanisaidia sana mimi na family yangu

    • @user-th8bo9lu8n
      @user-th8bo9lu8n 4 หลายเดือนก่อน

      @@evakabete2944 Amina

    • @user-th8bo9lu8n
      @user-th8bo9lu8n 4 หลายเดือนก่อน

      @@evakabete2944 mm niko Oman pia na sijali wala nn Maan duh nilisikia mengi Sana mara wanalala na mbwa but Ata sijali kwa kuwa mm ndie nilipo

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  4 หลายเดือนก่อน

      Hongera sana Eva, na pole kwa changamoto za maneno ya ndugu zetu.. Karibu sana kwa kipindi +4367764790884

  • @ChukuMrido
    @ChukuMrido หลายเดือนก่อน

    Safi sana habari nzuri

  • @olivernyange2349
    @olivernyange2349 หลายเดือนก่อน

    Amepataje PR for a very shorttime like that,naomba no yake niko vancover nina 5 year sina PR

  • @amanamohd-bo8ih
    @amanamohd-bo8ih 4 หลายเดือนก่อน +4

    Natam kwend canda lakn wat hawaamin kuwao pesa jamn dad kam unawatu waamif naomba tuwasilian please 🙏

    • @Summerbtz
      @Summerbtz 3 หลายเดือนก่อน

      Dada kama financially upo vizuri karibu nitakusaidia kufanya application ya visa hata ya matembezi au hizo za conference ukishafika huko basi ndio mwanzo WA kupata connection zingine

    • @ChalaS-uk7kb
      @ChalaS-uk7kb 3 หลายเดือนก่อน

      Nataka hata mm

    • @ChalaS-uk7kb
      @ChalaS-uk7kb 3 หลายเดือนก่อน

      Jamani nipo oman narudi mwakani natamani niende Canada nataka mtu muaminifu anisaidie

  • @maryannaedward7764
    @maryannaedward7764 3 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe kaka kwa kushare information ❤

  • @maria_mutondioriginal5
    @maria_mutondioriginal5 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mh! Kazi ngumu sana care giver 😢🙌

  • @MaryamMohamed-xy8ti
    @MaryamMohamed-xy8ti 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu awabarki munaokahuko muwena maishamema

  • @user-eg9wt1vc4z
    @user-eg9wt1vc4z 4 หลายเดือนก่อน +2

    Jamaa Kutusanua sna

  • @angelinamachibya-nb8sh
    @angelinamachibya-nb8sh 4 หลายเดือนก่อน +4

    Nataka nijue pr ya Canada alipataje

  • @rahabbrayson6552
    @rahabbrayson6552 4 หลายเดือนก่อน +1

    Good job Shena

  • @RahmaNaziru
    @RahmaNaziru หลายเดือนก่อน

    Da shena namba kujua juuu ya zile kazi zinazo kua zinatangazwa za kanada za viwanda na uvunaji maepo na wanasema kua friii viza na mshaallah huwa wanautaja vp wanakua wakweli au ni ubaba ifu

  • @edwardmkwelele
    @edwardmkwelele 3 หลายเดือนก่อน +3

    huwezi kumkuta mzungu kijana aje aoe Afrika hiyo ni fact

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 4 วันที่ผ่านมา

      Wapo jmn
      Msikariri
      Wengine ht hapa Kwa shena kafanya nao interview

  • @godwinaxwesso8726
    @godwinaxwesso8726 3 หลายเดือนก่อน

    Shena you are doing great

  • @NeemaShababi-nu8dr
    @NeemaShababi-nu8dr 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera kaka nimefurahi kusikia wewe ni msabato

    • @NeemaShababi-nu8dr
      @NeemaShababi-nu8dr 4 หลายเดือนก่อน +1

      Napataje msaada wako tafathali msabato mwenzio

  • @justinatemba
    @justinatemba 2 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani naoomba namba ya huyu kaka Alex Karia tafadhali

  • @citycentre1561
    @citycentre1561 หลายเดือนก่อน

    Naitwa Jackson naipataje hiyo kaz ya care giver

  • @nurumwangoka5924
    @nurumwangoka5924 4 หลายเดือนก่อน +2

    Jamaa anajua kujieleza ,,ana madini

  • @maryamdotto2633
    @maryamdotto2633 หลายเดือนก่อน

    Hello sister mm nakupenda sana ila sijui ntakupataj

  • @user-uc8wd7dg7b
    @user-uc8wd7dg7b 4 หลายเดือนก่อน +2

    kijana mahojiano mazuri sana nimejifunza kitu kwa Alex ,kama sio umri umesogea ningepambania canada .by the way nakupongeza shena unafanya kazi nzuri sana tofauti na baadhi na you tubes wengine ,pia tuheshimu wanajitoa kwa kutoa elimu kwa wengine,

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  4 หลายเดือนก่อน

      Shukran sana
      Na Nashukuru kwa mchango mzuri kuhusu kuwaheshimu sana wanaotupa elimu 🙏

    • @user-yc8kb1ev3l
      @user-yc8kb1ev3l หลายเดือนก่อน

      ​@OfficialDatingAssistance Connection ya kazi please

  • @paulaugustino3242
    @paulaugustino3242 2 หลายเดือนก่อน

    Alex mwamba sana katoa nondo kali na pontetial

  • @AmbroseMwanganyi
    @AmbroseMwanganyi 3 หลายเดือนก่อน

    Pongezi dada kwa kazi njema,niko kenya naomba emeil address ya Kaka Alex.

  • @yohanakiongo5094
    @yohanakiongo5094 2 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana kaka na mimi ni msabato mwenzako nina dream ya kuja uko naomba namba ako niweze kuplay green card

  • @paskalnakiru
    @paskalnakiru 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu kubariki Dada

  • @AndrewAloyce
    @AndrewAloyce 3 หลายเดือนก่อน

    Hakika umeweza....
    Hayo ndiyo mahojiano tunayoyahitaji watu ambao tunajitafuta.
    Hongera Dada
    I wish nipate namba ya huyo KAKA.... Sijajua wewe naweza KUPATA muda wako lini na saa ngapi Ili nipate mwanga zaidi maana huyu amesimulia. 24:44

  • @irinefrank3114
    @irinefrank3114 3 หลายเดือนก่อน

    Dada shena nitakupataje for more information from Tanzania

  • @swahiliwithZita
    @swahiliwithZita 4 หลายเดือนก่อน +2

    Huyo binti mdogo mwenye miaka 30 bosi nahisi kama namjua hahahaha 😂 nice interview

  • @Samwelianaseti
    @Samwelianaseti 3 หลายเดือนก่อน

    ki ukweli ni elimu nzuri sana

  • @AgrimAbdi
    @AgrimAbdi 2 หลายเดือนก่อน

    Naanzaje kupata kazi huko, kwasababu sina hata ndugu

  • @HelinaMsese
    @HelinaMsese หลายเดือนก่อน

    Wao jaman nimejifunza kitu kikubwa sana

  • @MaryamMohamed-xy8ti
    @MaryamMohamed-xy8ti 3 หลายเดือนก่อน

    Alex naomba yako tuweze kuwasiliana

  • @AndrewAloyce
    @AndrewAloyce 3 หลายเดือนก่อน

    Hakika umeweza....
    Hayo ndiyo mahojiano tunayoyahitaji watu ambao tunajitafuta.
    Hongera Dada
    I wish nipate namba ya huyo KAKA.... Sijajua wewe naweza KUPATA muda wako lini na saa ngapi Ili nipate mwanga zaidi maana huyu amesimulia... 24:44 24:44 24:44 24:44 24:44 24:44 24:44

  • @user-pg4nl3fo8y
    @user-pg4nl3fo8y 3 หลายเดือนก่อน

    Jamani dada Shena naomba no.ya Alex ili aweze kumuongoza Mr.wangu naye anapambana aende Canada

  • @GodfreyMdemu-uw2lv
    @GodfreyMdemu-uw2lv 3 หลายเดือนก่อน +1

    Dada mwambie Alex kwamba iyo invety ya wasabato anitumie Link yake

  • @samsonmwaipaja4839
    @samsonmwaipaja4839 หลายเดือนก่อน

    wow tupe namba Yako nikutafute

  • @ZuleykhaIsmail-rc5ly
    @ZuleykhaIsmail-rc5ly 2 หลายเดือนก่อน

    Habari shena mulize Alex akiwa canada ili apate PR anatakiwa awe na sifa zipi na akipata PR akitaka kuwa nurse awe na viambata vipi

  • @user-mf2jf6dp7z
    @user-mf2jf6dp7z 2 หลายเดือนก่อน

    Nakubali sana jamani

  • @aronjohn8818
    @aronjohn8818 3 หลายเดือนก่อน

    Me nimeona nywele dada una nywele ndefu sana kama mzungu

  • @marygeorge3896
    @marygeorge3896 3 หลายเดือนก่อน

    Mi napenda sana

  • @user-iu1qq3kp3m
    @user-iu1qq3kp3m 3 หลายเดือนก่อน

    Bro anaongea fact 💯 san

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu kweli ni msabato bhna

  • @WandishaNatianota
    @WandishaNatianota 4 หลายเดือนก่อน

    Kazi nzuri Shena. Mimi niko Marekani Columbus Ohio. Naomba namba ya huyu kaka nna changamoto kidogo

  • @maryjoseph8914
    @maryjoseph8914 4 หลายเดือนก่อน

    Mambo?Mimi nipo dar es salaam na nimefurahia sana dada shenna kwa mambo mazuri unayotufunulia ili tusikate Tamaa.Kaka Alex natamani na mimi siku moja niwepo Canada maana ni ndoto yangu lakini nashindwa nipite njia gani.

  • @bonamaxmagabilo-db8hp
    @bonamaxmagabilo-db8hp 3 หลายเดือนก่อน

    Nahitaji sana kuja us or canada plz dada shena unaeza niunganisha na hyuyo kaka

  • @godwinaxwesso8726
    @godwinaxwesso8726 3 หลายเดือนก่อน

    Shena nahitaji nipate hata conferences ya kwenda Canada au marekani ninayo passport tayari

  • @user-is7ot7bq9x
    @user-is7ot7bq9x 4 หลายเดือนก่อน +2

    Why mtu ujiguse masikio afu utie kidole puani

  • @sabriwayee4180
    @sabriwayee4180 4 หลายเดือนก่อน

    Kuna utofaut gani WA ki financial katı ya Canada na marekani?.. mnisaidie jmn

  • @zuwenaomar4201
    @zuwenaomar4201 3 หลายเดือนก่อน +1

    Unatumalzia MB

  • @NeemaShababi-nu8dr
    @NeemaShababi-nu8dr หลายเดือนก่อน

    Hi

  • @user-bf3mm5wu1s
    @user-bf3mm5wu1s หลายเดือนก่อน

    sister mm naitaji visa ya kwenda canada nifanyeje