WAMAREKANI WEUSI NI KAZI SANA KUISHI NAO | NIKIWA KWENYE MIPANGO YA NDOA NIKAJUA NI MUME WA MTU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
- Bertha Mama Africa, ameeleza Safari yake ya maisha na nia yake ya kutaka kuishi majuu namna alivyopambama kusaka fursa.
Maisha ya Ulaya, Bongo na Marekani, utofauti wa watu wake, matamanio yake ya maisha na malengo.
Thank you Bertha for allowing this to be online
www.oda.international
Bertha, you are the best teacher. May God bless you.
Mnn mambo makubwa hayo
Duuuuh dada yetu umetoa somo zuri Sana mpaka nimekupenda!! Kwa somo lako!!
Nimependa mazungumzo yenu. Bertha ulikuja na mipango iliyo nyooka, na Mwenyezi mungu amekusaidia kufikia malengo yako. Nakusihi wasiliana na kaka aliekupa mwaliko ukatimiza hili la kutoka, muyajenge, mmesaidiana itapendeza. Nina imani anakuombea mema ndio maana unafanikiwa. Kadhalika wewe mwenyewe una maarifa sana. inapendeza.
I learnt something honestly and am still learning.. am in India for school,hope i will reach to developed countries by the grace of Almighty Lord 🙏
India is not a developed country?
Betha Bella my classmate, wajina wangu upande wa mama Africa, nimependa Sana kupata story yako🥰
The best interview ever, huyu dada anajua kujieleza mpaka basi.....Nimejifunza mengiiiiiiiiiiiiiiiiii❤
Asante sana
Bertha umeongea vizuri sana kuhusu maisha ya huku ubarikiwe sana.
Very Interesting!!
Yaani kila atakae kuja anatoa ushauri wake .... Kwa kweli wanaushauri mzuri sana,,, dada nimekupenda bure unaushauri mzuri sana.. hilo swala la kanisani kwa kweli uko vizuri sana.. umefanya la maana... Ninaliweka kichwani
Amen
Barikiwa sana my Sister
Nimekukubali betha
❤ nimependa. Somo lako dada
Hongera sana Shena, napenda sana contents zako. Big up sister ❤️🔥
Jamani dada Mungu akubariki Kwa hiki kipindi ninakipenda mnoo na kinanichekesha cnaaa
Yaaan nishawah kuskia ukiwahoji wengi ila Bertha amewazidi wote😍
Admin can you share your story we want hear about you as well
Ipo nimeshajieleza.. ukiangalia kwa Videos za chini utaona
Shukran 🙏
Share your link here please 🙏
Thanks dada yetu wa Arusha unatuwakilisha vyema
kweli dada, aaah tuko wengii bora kudeal na wawest👌 Hongera sanaa safari yako haikuwa rahisi ila umewezaaa
You are such a strong woman. I can not be even half of you.
Asante sana sister nimejifunza mengi sana naomba website ya dating natafuta mke mzungu
Asante sana mimi nimejifunza vitu vingi. Mimi nashukuru mungu, niko Sweden. Mungu akubariki sana na wewe ni mwanamke wa nguvu ❤💪
❤amen
Hongera sana Bertha, Mungu akubariki @@berthabella8654
Watanzania hata mkikutana China atakuaribia...yani tubadilike!
😂😂😂du! Kama huko maisha mazuri mbona wengine wanalalamika? Kwa hiyo huko mliko maisha yakoje? Hiv wote wangekimbilia huko nchi ingejengwaje? Mh wabongo bhana mahali salama ni mbinguni tu huko ni kama huku tu
Woow
US visa yake only God knows.nilshanyimwa mara 3 sikukata tamaa now nimepata am in MD Glory to God
Hongera sana..hii visa ilinitoa machozi
@@JoyceakaJowi mh acheni kabisa jua labongo bns ngum kaz hakuna life iko tough but here nguvu yako tu unapiga kazi even no experience needed maisha yanasonga
Hongereni aiseee.kwakweli ukipata chance huko Duniani,pambana…
Hello queens I will love to support a queen dreams ❤❤❤
Wow tumejifunza mengi sana kwakweli mbarikiwe sana!
Uyu maama atabalikiwa so na Roho nzuri saana
Nataka nionje chakula chako ni kweli unaonekana unapika chakula kizuri na kitamu ❤
Mashaallah maisha popote my
such a wonderful lesson
Kila jambo m' mungu amelikadiria kwa wakat wake na yeye pekee tumtegemee, hivyo bas subraa, uvumilivu vyahitajika sanaa
❤ wawoo napenda kujua nini na Mimi nijiunge kuja usà
Hongera sana mtafutaji hachoki❤
Kabisa
Nice interview da shena na da bertha♥️♥️♥️
Asante dear
Hongera Bertha tumemiss msosi mtamu u turn hongera bonge umepata mzungu
Kila kitu kinawezekana
Mwenyezi mungu akutangulie azidi
Kweli kabisa
Mmmh! Hili balaa.
Mafunzo mazuri sana
Nipo Germany
Wa Kenya tuko na shida gani dada
1:23:58 hapo umemaliza.. umejibu kijeuri sana.. hayo ndo majibu yanayofaa
Good
Dada mm na kushauri fanya juu chini umtafute yure kaka aliye kupa mwariko wa Kwenda huko marekani Kwani umesha jipata atafarijika Kwani mmesaidiana maisha unapo mfungia vioo Ana jisikia vibaya
Bertha naomba namba zako dear.pole kwa shem yetu,Mungu amponye
Matapeli na dada zenu wanapenda sana pesa na sio waaminifu kwenye relationship
Kwa kweli ukiona mtu anamtapeli mtu mwenzake,ujue huyo hana hofu ya Mungu ndani yake.na huwa hata wakifanikiwa Hawafikagi mbali, mafanikio yao yanakuaga ya mda mfupi
Habari naweza pata mawasiliano yako
Mungu ni mwema
Naomba ku meet dating , kuelekezwa please
Karibu darasani +4367764790884
Sasa nawashangaa wanawake , huo SIo udangaji na utapeli? Halafu unasema unaomba Mungu, huyo Mungu yupi? Kwa huyo wewe hupendi ila unaendesha maisha kwa kujiuza au kwa kutumia uwanawake wake. Kwa maana hii Mungu Huwa hawajibu watu waaminifu na wanaiishi ktk Sheria za Mungu.
Hivi Mungu amekupa mamlaka ya kuhukumu na kutoa rizki ?
Ingekua hayo unayosema wewe unaejiona mtakatifu ni kweli basi wenye dhambi wote wangekufa halafu watakatifu kama wewe mngebaki… Unavitu vingi sana by kuviwazia kwenye maisha yako ya wa Karibu yako hapa duniani, hukumu na kugawa rizki ni kazi kubwa sana isiyokuhusu kabisa, dhambi zingine ziepuke basi
Naomba uniambukize na mimi ilo pepo la safari jamaniii japo sina ndugu ulaya😂😂
ongeza sauti tafadhali
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Umenivunja mbavu Bertha! Yaani ww bado upo kwenye mwendo kasi !!
Hey sis where you stay in USA
❤
Daah dada bonge la jembe nimemuelewa sana
Asante ndugu
Sister siyo uko tuu kila sehemu hukienda hutakapo kuta watanzania ni matatizo tupu na hawana mpango kabisa
European and Americans , hawatahiriwi , hiyo ni kawaida wengi wao hawajatahiriwa . Wachache sana wanatahiriwa.
Duh
❤
Aisee, dada umepambana
Namba yako ya what up plzz
Nimekupenda ila umetutenga sisi wakenya imekuaje???
Mbona si wakenya
Umebarikiwa sana shena mm kwa siku chache tuu nilipoanza kukufatila nimejifunza mambo mengi sana na ninajuta kwanini sijakujua mapema
Shukran dear, i’m humbled.. kikubwa tu subscribe and share with others wafaidike pia 🙏🥰
@@OfficialDatingAssistance tayari
Ujaribu pia wakenya tuwaskie idea zao
1:19:17 1:19:18 1:19:19 1:19:19
Naomba namba yako hapa plzzz
Story haieleweki mara mzungu umri umeenda mara nilitaka mzungu kama daraja sasa umri ulikuzuia nn wakati ulitaka awe daraja? Mara waafrica ndo nilivutiwa nilikuwa nampenda kweli mara nilitaka mzungu nizae chotara mara nilimsaidia mtu halafu miaka ikapita mingi akampigia sm mama inamaana namba yako hakuwa nayo namba ya mama yako aliipata huweleweki bhana hii story mengi tumepigwa
Huwa jui wanawake
❤❤❤
Dah hii story ya marafiki au ndugu kumuongelea vibaya mtu wako iki akuache ipo sana hapa Tz, kuna dada mmoja alikua kashaolewa kabisa na wamezaa, lakn mwanaume aliambiwa maneno na ndugu zake, iliwapeleka pabaya sanamahusiano yao😢
Jamani ❤natamani kufika huko mungu yupo nipo visiwa vya comoro huku africa kama housemaid ila nahangaika nije huko jaman USA nimalize contract huku dada shena hakuna kazi huko za ndani za kuanzia huko Australia tuhangahike na visa passport tunazo
mambo
Amen AMEN, Mungu atatupigania, mwenyew nko hvyohvyo.
Tuendelee kuomba kibali kwa MUNGU
Mie mwenyewe nipo Qatar natamani sana kufika huko
Huyu dada amenipa madini mnooo shena,mpambanaji
Huyu dada kapambana ni mjasilia mali mzuri wa mapenzi ila hapo 1:30:44 aliposema bado anasubiri makaratasi yake yaive atimize sara na ndoto yake ya kutafuta kuwa kwenye mahusihano ya kudumu na mtanzania mtu wa nyumbani, sijui hapa huyu shemeji yetu aliyenae sasa anaempatia makaratasi sijui aambiwe ukweli au tumuache kwanza atumike kama daraja.
Mimi nime mkataa mzungu kwajili ya ukafiri na uchafu sana
Mmmmmm
Asante yesu
Naendelea,kujifunza mengi kutokana na interview nyingi.
Apo kwenye ku innitiate talk ndio siwezi …. Yani sinaga cha kusema i dont even know how to flirt 😅😅 .. mtu anaweza kua ana flirt na mie na nisijue mpaka analoose intrest ndio ananiambia mbona upo slow
Karibu darasani
Mama
Habali dada Shena, naomba namba yako ninashida na wewe
Hi 👋
ukitaka uwajue wapopo waulize wadada wanaoishi Dubai, China na Uturuki huko zipo peple shetani akasome hizo engagement zao zimejaa ushetani mkubwa sana na ukiwa na Mungu wapopo wanaogopa kukusemesha kabisa maana kila kitu chao ni cha kimaagano achana na movie zao ila in real life hiyo ndio hali halisi yaani wanamitazamo michafu na mfumo dume wa kibabe mila na desturi zao hazimtendei haki mwanamke kabisa
Nimecheka Kama mazuri ,,mapopo ni wa Nigeria,,daaah maisha haya yanafanya ukumbuke mengi.
Na usipo kuwa makin na mpopo umekwishaaa😂China,Dubai,uturuki kweli kbsaa wapo kibaoooo
🤣🤣😂🤣@@lydiampayo597 ndio wapopo ni wanajeria hao ni mshetani kwenye mwili wa mwanadamu hawana huruma ni dada zetu hawajali ni maumivu tu kuachiwa tunatakiwa kujithamini hawa watu utu umekufa ndani yao
Eti figa ya wazungu 😊
Wazungu hawachagui jaman
Upo state gani betha
Sister shena naomba unisaidie najaribu kilipia kwenye extended dating site lakini Kuna kipengele nashindwa wanataka address verification na hii dating site kilipia ni Kwa kadi tu nimetengeneza tigo pesa masta cadi sasa inagoma na tatizo ni hilo ni address verification nahitaj msaada wako sister shena
Adres verification unaweza tumia bank statement yenye muhuri au lawyer akuandikie affidavit of residential adress na muhuri kwny legal paper kabisa Itawork
Mmh si ilisema umefunga ndoa mbon unakaribisha wengine
Hofu times 2😝
Uyu anasema kweli kabisa niko amerika lakini sio rahisi kupata mzungu na wa black tabia zawo nitufauti ya wafrika kwanza wanawake wao ni wakolofi sana
Mwacha asili ni mtumwa.
Mimi nina 73yrs napeda sana kuja huko kuishi nafanyaje?
Wanugu vilevile wanadharau sn
Hyu dada atakua ana mzigo
Story sijaielewa hii
Yani uyu dada naona kabisa story yake inafanana na mimi kabisaaaaa😂
Yani dada leo umejua kunifungua akili kuhusu hawa Wamarekani
Baada ya Corona ulikuwa tz,
Na sasa unamiaka 4 US, tanga kuisha Corona ni miaka 3
😂😂😂
Janja Janja mingi😅
@@peaceisrael8158mwaka wa nne sasahv bhana
2021 to 2024 ni miaka mingapi
Mama hii ni feb, 24.na feb 21 bado kulikuwa na Corona ilikua imepungua namakazini tulikua tunapima kila siku, wengine mara 2kwa wiki. Na nchi nyingi zilikuwa hazitoi visa miezi hiyo.
Usafi hawana sababu wanavuta ya bangi
Watu wa Magharibi ya Africa (inSwahili’s tone) wana hiyo tabia na kutumia watu kuvuka kwenda wanakotaka ni kama ndo jadi yao😢 Ila ukisema hiki kitu kwa ndugu zetu wa Kenya watakubishia😊😁
Kutokuacha uasilia hapo dada kaongea kweli kabisa. Na pia kwenye swala la wivu yuko sahihi kabisa., wabongo siyo kabisa
Hakika black Americans ni Zaid ya MZUNGU AKASOME 😂😂😂😂
Ninaomba namb , tuongee binafsi
Jamani unaapa kutokurudi nchini kwenu😢
Kutafuta maisha ndugu
Wapopo 😂
Nimecheka Kama mazuri,,,Kama hujawahi kutana na mapopo bdo dunia hujaijua😂,,,China wapo kibao,Dubai na uturuki.hawajawahi kushindwa na kitu,,,
Mapopo shikamooo😅😂😂😂
Mwanamke na robo tatu
Wanawake sio wa kuamini sana. Ktk mapambano Yao ni pamoja na kutafuta mwanaume wa kumchuna.