Watanzania wajinga kweli kweli mnapigia makofi yaliyoletwa kuwanyima uchaguzi wa huru na wa haki. Kama kweli yeye ana nia nzuri na Watanzania asitumie vibaya kodi zetu anatakiwa ajenge hosipitali za rufaa kila mkoa. Watu tunakufa sana na maradhi. Sasa hivi kumezuka ugonjwa unawaua watu wetu na bado haujajulikana na Serekali haitaki kutamka wazi wazi.
Tunakupenda rais wetu chaguo la watanzania wengi juhud zako za kuikomboa tanzania dhid ya umaskini unaonekana tunakupenda sana tunazid kukumbea uishi Miaka 1000
Haha mzee wakat mwingne ss wapnzani unatuchekesha unaweka comedy watu hawana mbavu mb zetu znakwenda halali kabsa, lakin najifunza kitu hakuna kuzindua kwa macho ni vitendo.
Nafikiria mara mbili mbili ni nani wa upinzani atakayepoteza muda wake kuzunguka nchi nzima kuomba kura za Urais 2020... kama huoni na huamini kama ambavyo mimi siamini gonga like za kutosha
Yaani ningekuwa mimi ningechomoka na hilo gari mojakwamoja walinzi watanikuta ikulu au watanikuta nakagua maduka huko kariakoo au niko ubungo naangalia ujenzi.
Misaada km hii (ya magari) ni mizuri ila lazima yafuate 'specification' zinazoendana na nchi yetu; Gari za kuendeshwa kushoto (LHD) siyo muafaka kwa nchi hii nadhani hata Mhe lilimpa changamoto kidogo!
J.P.M anauwezo mkubwa sana. Amewahi kuendesha greda kule Dumila.wakati anasimamia ujenzi wa daraja. ameendesha basi la mwendokasi. ameendesha na hiyo gari ndogo . huyu ni genius wa kipekee!!
Raisi anafanya kazi na wananchi tunaona, tena anapambana kusikiliza shida zetu wanyonge, mabadiliko ya maendeleo ktk taifa letu yanaonekana, jaman kujenga nchi sio mchezo tusione wenzetu ulaya wako juu, wako juu kwasababu wametuibia na walikua wakishilikiana na viongoz wetu ktk wizi huo. Nchi ilijaa mafisadi tupu! Wafanya kaz ktk sekta ya serikal walijisahau wakaona wamefika kupata hizo nafas, walikua hawakusikilizi bila hongo. Jaman tufumbue macho watanzania tusiwe kama Matonya, matonya alikua kipofu sasa sio watanzania wote ni vipofu.
Wamenyanyasika sana na wao kidogo wachukue gari wamfukuzie walijua anatoroka .Mr. President you are good at all also a good Anjel help you in all things you do or you judge to (be President is a taff job)
Elf 2020 kula yngu unayo bila ubishi weka tiki kuwa una miaka 5 mingine y urais inshaallah Allah nimuaminie atakupa uhai n afya njema amiin
Nakupenda bureeeeeee Rais wetu mzuri. Haaaaaaaaaaaa hujavaa mkanda notification Elfu 30. Mm nitakulipia hiyo fine.
Huyu do rais mm huwa napigana na watu wanaomsema vibaya
Hata mm.
Nabiii akubaliki kwaoo shikaa iyoo
@@emmanuelbonifase1114 pamoja na hayo kwa hakika Mh Magufuli tumemkubali kwa zaidi ya asilimia 1,000,000,000,000,000,000,000,000. Tumemkubali.
Watanzania wajinga kweli kweli mnapigia makofi yaliyoletwa kuwanyima uchaguzi wa huru na wa haki. Kama kweli yeye ana nia nzuri na Watanzania asitumie vibaya kodi zetu anatakiwa ajenge hosipitali za rufaa kila mkoa. Watu tunakufa sana na maradhi. Sasa hivi kumezuka ugonjwa unawaua watu wetu na bado haujajulikana na Serekali haitaki kutamka wazi wazi.
@@evansmlalo4049 wewe upo Tanzania kweli au unapewa habari na waongo?
Mungu Amlinde Rais wetu na Ampe Afya tele pamoja na familia yake na viongozi waliomzunguka.
Sijui nicheke vipi tu,daaa big up muheshiwa Rais na walinzi kazi mnayo poleni mtulindie Rais wetu.hataki kuhadithiwa safi sana.
Rashidi Mpigachai wala cyo utani hawa jamaaa wanataabu sana juu ya ulinzi wa rais wetu maana yeye hajali anachojisikia anafanya
Duh kichwa iki kimenishinda jaman kah 🚔🚔🚔🚔🚔 kama unaungana nami week like yako apo twenzetu 2020
Tunakupenda rais wetu chaguo la watanzania wengi juhud zako za kuikomboa tanzania dhid ya umaskini unaonekana tunakupenda sana tunazid kukumbea uishi
Miaka 1000
Najivunia kuishi na kuzaliwaTanzania Rais wetu utabaki kileleni ukwl sioni wa kumlinganisha naye dunia nzima
Mungu atupe nini?kama raisi tunaye.Mungu amjalie afya na ampe nguvu ni mtumishi wa kweli na wa dhati wa Tanzania.
Ukweli mtupu
Naomba Naomba sana Mheshimiwa Rais Magufuli aongezewe muda angalau miaka 20 katiba yetu sio msahafu ibadilishwe!!!!!
Unajua bwana mh Rais wakati mwingine unatupa raha kweli. ..Ila Mungu akubariki na kukulinda. ...
Raisi tunae🙌🙌🙌💪
Mungu ndiye anatoa kiongozi MAGUFULI MHE amefanya mema yaliyopia Moyon mwangu ivyo hata kama sitakuja kuwa Rais Magufuli ameshakuwa kwa niaba
Mungu akutuze akupe afya njema
Wanao amini Magufuri atapata "A" % ya kura 2020 tulike hapa.
Very good my President
Kwakweli we rahisi nakukubari sana sema katiba hairuhusu ila binafsi napenda uwepo madarani milele
Watanzania mungu atupe nn Rais tunae
Mbele daima nyuma mwiko hongera
Aksante Zakia!nyuma mwiko!
angekamadarakani miaka Kama aliyo hudumu mwalim hakika wa Tanzania tusingeenda hata nchi zawatu kunyanyaswa huko
Mimi ni mpinzani ila 2020 Kwa Kamanda,kuna mambo mengi yakikuwa hayaendi ila sasa big up,bado kwenye Elimu kina matatizo,JPM hiyeeeeeee
Walinzi wa Mh. Rais nawapenda sana kwa umakini wenu, Mungu awazidishie Nguvu katika kazi yenu, Mungu Ibariki Tanzania yetu, Aamina.
Mzee ujavaa mkanda kosa la kwanza ilo ooh utalipa fain
Mkanda wa nini wakati anakata tu kiu
Mkanda ndani ya geti? ndani ya makao makuu ya jeshi hapo
😂
Hahaha
Amosi Mwangonji 🤣🤣🤣🤣🤣 nataka niulizie leseni nashindwa pa kuandikia... JPM ametutoa mbali Mungu amlinde zaidi maana namfurahia sana
Huyu ndio Rais wa wanyonge hapa kaz 2
Wah.! Huyo bodyguard man.
Umetufurahisha Sana watanzania kama comedy vile tuko nyuma yako
THE KING OF AFRICA ITS TIME FOR AFRICA TO HAVE THIS KIND OF LEADERS WE HAVE SAFER ALOT WITH POVERTY AND WAR
Mmh huyu rais ni kiboko..
Walinzi wa mkuu wana kazi, maana mashtukizo ni hapo kwa hapo tu, hakuna taarifa wala nini !!
Ila wapo fit !
Kweli
Kweli kaka
1:45 kwa Mara ya kwanza nimemuona yule jamaa the bodyguard amecheka.
my president viva magufuli, wew ni mwamba i really appreciate you my dear president, hakika unatugusa wengiii
Haha mzee wakat mwingne ss wapnzani unatuchekesha unaweka comedy watu hawana mbavu mb zetu znakwenda halali kabsa, lakin najifunza kitu hakuna kuzindua kwa macho ni vitendo.
Magufuri miaka 💯
raisi wangu Magufuli unafanya kazi nzuriii sanaa..umetufikisha mbalii sana japo kwa muda mchache,mungu akulindee kwa kweli
Huyu mzungu amewahi kumgeukia Mh Rais Magufuli kabla ya kumalizana na aliyekata naye utepe yaani wanamhanya Magu haswa!
Yupo sawa wala sio kumuogopa Magu yeye ndio senior hapo lazma amgeukie kumpigia salut
Uishi miaka mingi rais wangu👍
wangapi tupo hapa baada ya kifo cha hayat
Huyu ni rahisi wa wanyonge kweli
Tutaenda kuwakomoaa 2020 nkubaliana nawee
Prezo umeingizwa boxx na machinku😱😱😱
Najivunia wwe popote
Huyu ndiye raisi jmn,tuache maneno ya wapiga majungu!huyu mtu ingekua sio katiba ningetamani akae miaka yote!
Msukuma wa Chato
Very good 😊 😊
Mungu akulinde miaka yote raisi mheshimiwa jpm mungu akubariki sana pamoja na familia yako umeiinua inch ya tanzania nakuwa na hadhi bora
Hii kazi ni ngumu mno dah, alufu Urais huna uhuru hakyamungu fanya kazi mkuu ili tufike.
Daaah anko Magu bana...😘😘😘
Makosa Yote aliyoyafanya Rais kwenye harakati za ku test hilo Gari faini Zake nitalipa mimi.
Masonga Masonga Hilo ni gari la kijeshi.. Mambo ya mkanda inategemea na situation...
Nimekusoma mazeee
hapo kaz ipo duh,,,,nipeni kaz Na mm nkimbie nyuma yenu😁😁😁😁
Kiongozi yuko vizuri bado helicopter kuendesha bravo Mr. President......
Mimi napenda kuwakumbusha waTanzania tuna raisi wa ukweli.
sisi raisi wetu sio wa mchezo mchezo.
like it plz.
Nafikiria mara mbili mbili ni nani wa upinzani atakayepoteza muda wake kuzunguka nchi nzima kuomba kura za Urais 2020... kama huoni na huamini kama ambavyo mimi siamini gonga like za kutosha
Hatua nzur sana Raisi anatupigisha....
M4c 4rever
mungu ni mwema ametupa rais mzr
Yaani ningekuwa mimi ningechomoka na hilo gari mojakwamoja walinzi watanikuta ikulu au watanikuta nakagua maduka huko kariakoo au niko ubungo naangalia ujenzi.
upo kiogozi mugozaji jahazi
Wew ndo mogozi wa tanzania 😭💔💔💔Allah akurehm habby ♥️
Sina hofu na Mungu wng Magufuli kuwa raisi wng naipenda na nchi yng Mungu barik
Yule msema ovyo yuko wapi aseme na ili sasa
Najivunia paka nalia
Nakupenda sana
Haya magari si apewe kagame,Sasa haya maleft si usumbufu. Uwezi just pengine ni mbinu za kijeshi
Misaada km hii (ya magari) ni mizuri ila lazima yafuate 'specification' zinazoendana na nchi yetu;
Gari za kuendeshwa kushoto (LHD) siyo muafaka kwa nchi hii nadhani hata Mhe lilimpa changamoto kidogo!
Safi sana muheshimiwa watu Mungu akulinde
Mungu akubariki sana rais wetu jembe letu
Haya magari ni mabovu...kenya bought this cars but after 6months yote yamekufa..
Acha ujinga wewe unatuletea Mambo ya story hapa eti walinunua
J.P.M anauwezo mkubwa sana.
Amewahi kuendesha greda kule Dumila.wakati anasimamia ujenzi wa daraja.
ameendesha basi la mwendokasi.
ameendesha na hiyo gari ndogo .
huyu ni genius wa kipekee!!
Good job Mr preza
Watanzania wote tuko nyuma yako Rais wetu mpendwa Rais magufuri
Katika maraisi tumewahi kupata Tanzania huyu ndye Raisi anae jenga hili Taifa letu
Kbs
Rais huyu ni wa mfano mno
Mungu akupe uhai zaidi ya Adam
Safi sn mh.magufuri nakupenda mpk napata homa wallah
Hilo gari LA jeshi jamani.. Jujeni apa Kenya muone gari la jeshi
Msitusahau na Zanzibar hayo magari mkuu
Magari yenyewe mbona Ni Left hand!! Watayaendeshea Barbara gani ya Tanzania!??
2020 Kura yangu tiyari nilishapiga
Lazima ajikumbushie enz hzo
Ni mazuri good
Huyu ndio Rais sasa
Hahahaha hongera sana Rais wetu
Roho inaumaa yaanii magufuli 😪😪
Nice JP magufuli
Samata kuongoza genki leo?
Kuna mlinzi ana tako hatar
Hlfu mbona kama wanene hv jmni
Kua mwanajeshi china ni raha sana kuliko hapa tz
Noma aana
Nafikiri raise hange endesha gari hilo, wanaweza kuweka madawa kama yale waliyo mwekea Bob marliy akafa.
Raisi anafanya kazi na wananchi tunaona, tena anapambana kusikiliza shida zetu wanyonge, mabadiliko ya maendeleo ktk taifa letu yanaonekana, jaman kujenga nchi sio mchezo tusione wenzetu ulaya wako juu, wako juu kwasababu wametuibia na walikua wakishilikiana na viongoz wetu ktk wizi huo. Nchi ilijaa mafisadi tupu! Wafanya kaz ktk sekta ya serikal walijisahau wakaona wamefika kupata hizo nafas, walikua hawakusikilizi bila hongo. Jaman tufumbue macho watanzania tusiwe kama Matonya, matonya alikua kipofu sasa sio watanzania wote ni vipofu.
Hakika mheshimiwa rais ukovizur
Mnaandikaga uningaujingaa tu
Ankol tukumbuke nasisi wasomi kwa ajila
Magufur wewe ni kiboko
Wamenyanyasika sana na wao kidogo wachukue gari wamfukuzie walijua anatoroka .Mr. President you are good at all also a good Anjel help you in all things you do or you judge to (be President is a taff job)
@@davidwandelage6627 angel
@@davidwandelage6627 not anjel
Nasononeka natamani nengezaliwa Ulaya
Kuchukia Rais Magufuli nisawa nakuanzisha safari yakuelekea Sayari ya pluto.
😆😆😆😆
Tena kwa miguu
😂😂😂😂
Duuh walinzi wanakazi jaman
big up
Kudaiwa kubaya sana yaani hataki kuachiwa hata nukuta wanahis atawakimbia 😂😂😂😂😂
My president
Sanatuu
Huyu komandoo au mlinzi waupande wakulia namuelega sana yaan kama anasmaku Ata nzi skipita anadakwa Kwakwel anastahki kupewa nishani
hahahaha sio poa jamaa wametolewa mchaka mchakaa hahaa hapo ugali wote kwishney
Raha san
Good
Rais tafuta vijana hawa askari wamenona sana hawesi bio